00:00:01
Karibuni.00:00:02
00:00:03
Tutazungumzia00:00:04
00:00:04
umuhimu wa kujiwekea miradi ya kibinafsi00:00:06
00:00:06
katika huduma.00:00:07
00:00:08
Lakini kwanza00:00:09
00:00:09
acheni tupate habari za karibuni.00:00:11
00:00:12
Januari 01 mwaka huu,00:00:13
00:00:14
tetemeko la ardhi lenye kipimo cha 7.600:00:17
00:00:17
liliikumba Japani.00:00:18
00:00:20
Kwa kupendeza00:00:21
00:00:21
hakuna yeyote kati ya ndugu zetu aliyekufa.00:00:23
00:00:24
Hata hivyo,00:00:25
00:00:25
zaidi ya nyumba 100 za ndugu zetu00:00:27
00:00:27
zilipata uharibifu00:00:28
00:00:29
na mbili ziliharibiwa kabisa.00:00:31
00:00:32
Pia Majumba tisa ya Ufalme00:00:35
00:00:35
yalipata uharibifu.00:00:37
00:00:37
Upesi ofisi ya tawi ilifanya mipango00:00:39
00:00:39
ya kupata mahali pa kulala00:00:41
00:00:41
na mahitaji mengine00:00:42
00:00:42
kwa ajili ya ndugu na dada.00:00:44
00:00:44
Muda mfupi baada ya hapo00:00:45
00:00:45
ofisi ya tawi iliweka rasmi00:00:47
00:00:47
Halmashauri ya Kutoa Msaada00:00:49
00:00:49
na ikawatuma wawakilishi wa ofisi ya tawi00:00:51
00:00:51
kwenda kuwatembelea akina ndugu00:00:52
00:00:52
katika maeneo yaliyoathiriwa.00:00:54
00:00:54
Baada ya siku chache tu,00:00:56
00:00:56
msaada zaidi ulipelekwa00:00:58
00:00:58
kwenye makutaniko yaliyokuwa na uhitaji.00:01:00
00:01:01
Katika kutaniko la Wajima00:01:02
00:01:02
wazee hawakuweza kumpata dada mmoja.00:01:05
00:01:05
Ili kumtafuta00:01:07
00:01:07
mzee mmoja alitembea kwa saa nane,00:01:09
00:01:09
akikwepa maporomoko ya ardhi00:01:11
00:01:11
na nyufa zilizokuwa ardhini,00:01:13
00:01:13
hadi alipohakikisha dada yetu yuko salama.00:01:15
00:01:16
Makutaniko katika eneo hilo00:01:18
00:01:18
kutia ndani yaliyoathiriwa kabisa,00:01:20
00:01:20
yameendelea kufanya00:01:21
00:01:21
mikutano tangu juma lile00:01:23
00:01:23
tetemeko la ardhi lilitokea00:01:25
00:01:25
Wengi kati ya wahubiri00:01:26
00:01:26
wamehudhuria uso kwa uso00:01:28
00:01:28
ili waweze kutiana moyo.00:01:29
00:01:30
Tunaendelea kusali00:01:31
00:01:31
kwa ajili ya ndugu na dada zetu nchini Japani00:01:33
00:01:33
na katika nchi nyingine00:01:35
00:01:35
zilizoathiriwa na misiba ya asili hivi karibuni.00:01:37
00:01:38
Januari 1,00:01:39
00:01:39
kituo cha wageni cha Patterson00:01:42
00:01:42
kilifunguliwa rasmi kwa ajili ya matembezi!00:01:44
00:01:44
Ujenzi ulianza mapema mwaka wa 202100:01:48
00:01:48
na ulikamilishwa Septemba 2023.00:01:50
00:01:52
Utajionea mambo gani00:01:53
00:01:53
utakapotembelea eneo hilo?00:01:55
00:01:55
Acheni tuone!00:01:56
00:02:04
Kituo cha wageni cha Patterson00:02:06
00:02:06
kina maonyesho matatu00:02:07
00:02:07
kutia ndani sehemu ya maonyesho ya sarafu.00:02:10
00:02:12
Maonyesho ya kwanza utakayoona00:02:13
00:02:13
yana kichwa00:02:14
00:02:14
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema.”00:02:17
00:02:17
Yanaonyesha mambo yaliyoonwa00:02:19
00:02:19
ya wanaume, wanawake,00:02:20
00:02:20
na hata watoto wa shule00:02:22
00:02:22
walioshikamana na imani yao00:02:24
00:02:24
inayotegemea Biblia00:02:25
00:02:25
licha ya upinzani wa kisheria.00:02:27
00:02:27
Maonyesho haya yanaonyesha00:02:28
00:02:28
jinsi tengenezo la Yehova00:02:30
00:02:30
lilivyowategemeza00:02:31
00:02:31
walipokabili majaribu magumu. 00:02:33
00:02:33
Maonyesho ya sarafu za Biblia00:02:35
00:02:35
yanaonyesha mkusanyo wa pekee00:02:36
00:02:36
wa sarafu za awali zilizotumiwa00:02:38
00:02:38
katika karne ya kwanza00:02:40
00:02:40
na pia kuna maelezo kuhusu00:02:41
00:02:41
Maandiko yanayoonyesha sarafu hizo00:02:43
00:02:43
na umuhimu wake. 00:02:44
00:02:45
Maonyesho mengine yenye kichwa00:02:46
00:02:47
“Wana Wako Wote Watafundishwa na Yehova,”00:02:49
00:02:49
yanaonyesha baadhi ya programu za mazoezi00:02:51
00:02:51
na shule ambazo zimetumiwa na tengenezo la Yehova00:02:54
00:02:54
kutuzoeza kuwa wahudumu na walimu.00:02:57
00:02:57
Tuna uhakika yatakuchochea kuona njia za ziada00:03:00
00:03:00
unazoweza kutumia ili kufaidika00:03:02
00:03:02
kutokana na elimu ambayo Yehova anatupatia.00:03:05
00:03:05
Maonyesho ya pekee katika eneo hili00:03:08
00:03:08
ni kijiji cha Biblia katika karne ya kwanza.00:03:11
00:03:11
“Wanakijiji” watakukaribisha kwa uchangamfu00:03:13
00:03:13
na wana hamu ya kukuonyesha00:03:14
00:03:14
jinsi wanavyoishi00:03:15
00:03:15
na kufanya kazi pamoja kama jamii.00:03:17
00:03:18
Utajionea jinsi maisha yalivyokuwa00:03:20
00:03:20
Yesu alipokuwa duniani.00:03:21
00:03:22
Utapata nafasi ya kutembelea mashamba,00:03:25
00:03:25
soko,00:03:26
00:03:26
eneo la makazi,00:03:27
00:03:28
sinagogi00:03:29
00:03:29
na hata ufuo wa bahari. 00:03:31
00:03:33
Bila shaka maonyesho hayo mapya00:03:34
00:03:34
yataongeza uthamini wako kwa Biblia00:03:37
00:03:37
na kwa kile ambacho Yehova anatimiza00:03:39
00:03:39
kupitia tengenezo lake leo.00:03:41
00:03:42
Tunawakaribisha wote wanaoweza00:03:44
00:03:44
waje wajionee00:03:46
00:03:46
kituo kipya cha wageni cha Patterson.00:03:49
00:03:54
Kituo cha wageni cha Patterson00:03:56
00:03:56
ni chenye kustaajabisha!00:03:58
00:03:58
Tunawashukuru wote waliofanya kazi kwenye mradi huo.00:04:01
00:04:02
Sasa tunawakaribisha nyote mje mtembee00:04:04
00:04:04
unaweza kuomba kutembelea00:04:06
00:04:06
kupitia jw.org. 00:04:08
00:04:09
Sasa acheni tuzungumzie kuhusu00:04:11
00:04:11
mabadiliko ya karibuni00:04:13
00:04:13
kuhusu jinsi tunavyoripoti huduma yetu.00:04:15
00:04:15
Tuone jinsi yanavyoathiri miradi yetu.00:04:17
00:04:18
Kwenye mkutano wa kila mwaka00:04:20
00:04:20
tulitangaziwa kuanzia Novemba00:04:23
00:04:23
hatutakuwa tena tukitoa ripoti ya utumishi00:04:25
00:04:25
yenye mambo mengi.00:04:26
00:04:27
Mhh! Hilo lilikuwa badiliko kubwa sivyo?00:04:30
00:04:30
Lakini ingawa tumebadili jinsi tunavyoripoti00:04:33
00:04:33
hatujabadili maoni yetu00:04:35
00:04:35
kuhusu huduma yenyewe, sivyo?00:04:37
00:04:38
Tunawakazia fikira watu.00:04:40
00:04:40
Tunawapenda watu,00:04:42
00:04:42
na tunataka kuwasaidia.00:04:44
00:04:44
Tuko tayari kuwaeleza habari njema00:04:46
00:04:46
popote tunapowakuta.00:04:47
00:04:48
Jumamosi asubuhi00:04:49
00:04:49
huenda tukaenda nyumba kwa nyumba00:04:51
00:04:51
kwa saa kadhaa.00:04:52
00:04:53
Kisha tunaenda kufanya manunuzi.00:04:55
00:04:56
Je wakati huu tunaacha kufanya kazi00:04:58
00:04:59
eti kwa sababu hatuko katika mahubiri rasmi?00:05:01
00:05:02
Sisi hatuna maoni hayo,00:05:04
00:05:04
tunapoendelea na manunuzi00:05:06
00:05:06
bado tunaangalia00:05:07
00:05:07
tunaweza kushiriki na nani habari njema. 00:05:09
00:05:10
Tunaweza kuzungumza00:05:11
00:05:11
na mtu aliyesimama kando yetu00:05:13
00:05:13
tunapokuwa tukisubiri kulipa00:05:15
00:05:15
au na muuza duka tunapomlipa.00:05:18
00:05:19
Hatutazungumza sana.00:05:20
00:05:21
Baada ya kusalimiana kwa uchangamfu kidogo00:05:24
00:05:24
tunaweza tu kumtolea kadi ya mawasiliano00:05:26
00:05:26
na kusema:00:05:26
00:05:26
“Ninafikiri utafurahia tovuti hii,00:05:28
00:05:29
ina makala zenye kupendeza00:05:30
00:05:30
katika lugha zaidi ya 1000.”00:05:32
00:05:33
Au baada ya kusema maneno fulani yanayofaa00:05:36
00:05:36
unaweza kumtolea trakti00:05:38
00:05:38
ikiwa muda unaruhusu00:05:39
00:05:39
na mtu huyo anapendezwa,00:05:41
00:05:41
tunaweza kusema mengi zaidi.00:05:42
00:05:43
Kanuni hiyo inaweza kutumika00:05:44
00:05:44
tunapokuwa tukimsubiri daktari,00:05:46
00:05:46
kwenye uwanja wa ndege,00:05:48
00:05:48
dukani, au katika usafiri wa umma. 00:05:50
00:05:52
Hili ni dokezo:00:05:53
00:05:53
Kwa nini usibebe kadi kadhaa00:05:55
00:05:55
au machapisho mengine00:05:56
00:05:57
popote unapoenda?00:05:58
00:06:01
Tumesema tuko tayari00:06:02
00:06:02
kushiriki habari njema00:06:03
00:06:03
popote tunapowapata watu.00:06:05
00:06:06
Lakini vipi kuhusu watu ambao hatuwakuti,00:06:09
00:06:09
wale ambao mara nyingi00:06:10
00:06:10
hawapatikani nyumbani? 00:06:11
00:06:13
Je, umewahi kupita kwenye eneo00:06:15
00:06:15
Jumamosi au Jumapili alasiri00:06:17
00:06:17
na ukaona ya kwamba kuna gari katika kila nyumba?00:06:20
00:06:20
Hata hivyo ulipopita hapo asubuhi00:06:22
00:06:23
hakukuwa na mtu nyumbani.00:06:24
00:06:25
Sijui ni watu wangapi kati ya hao00:06:27
00:06:27
ambao wangekubali funzo la Biblia00:06:29
00:06:29
ikiwa tungewajulisha.00:06:30
00:06:31
Upendo wetu kuelekea watu00:06:33
00:06:33
utatuchochea kuwaendea00:06:35
00:06:35
wanapokuwa nyumbani.00:06:36
00:06:37
Nakumbuka jioni moja00:06:38
00:06:38
tulikuwa tukienda kula mlo kwenye mkahawa00:06:41
00:06:41
pamoja na wenzi fulani wa ndoa.00:06:42
00:06:43
Ndugu ndiye aliyekuwa akiendesha.00:06:45
00:06:45
Tulipopita kwenye nyumba fulani,00:06:47
00:06:48
alisimama akaegesha gari na kusema,00:06:51
00:06:51
“Samahani sana,00:06:52
00:06:52
lakini naona gari kwenye nyumba ile,00:06:54
00:06:54
kwa majuma kadhaa00:06:55
00:06:55
tumejaribu kumtafuta mtu huyu.00:06:57
00:06:58
Hatutakaa sana.”00:06:59
00:06:59
Yeye na mke wake wakashuka00:07:01
00:07:01
wakaenda kwenye nyumba hiyo.00:07:02
00:07:03
Hongera sana.00:07:04
00:07:06
Sehemu nyingine ambapo jitihada inahitajika00:07:09
00:07:08
ni kufuatilia upendezi.00:07:10
00:07:11
Mhubiri anayehubiri kwenye kigari,00:07:13
00:07:13
anazungumza na mtu anayependezwa00:07:15
00:07:14
anayeomba kutembelewa.00:07:16
00:07:16
Mtu huyo anaishi kwenye eneo lenu00:07:18
00:07:18
na unakubali kwamba utamtembelea.00:07:20
00:07:21
Jumamosi asubuhi unabisha mlango wake00:07:23
00:07:23
nini kinatokea?00:07:24
00:07:25
Najua unajua00:07:26
00:07:26
mtu huyo hayupo nyumbani.00:07:27
00:07:28
Je, tutainua mikono yetu na kusema,00:07:30
00:07:30
“si nimejaribu?00:07:32
00:07:32
La hasha!00:07:33
00:07:33
Mtu huyo alionyesha anapendezwa00:07:35
00:07:35
na tutaendelea kurudi hapo wakati mbalimbali00:07:38
00:07:38
hadi tutakapompata.00:07:39
00:07:41
Ingawa hatuandiki00:07:42
00:07:42
ripoti ya utumishi yenye mambo mengi,00:07:44
00:07:44
bado tunaweza kujiwekea miradi yetu wenyewe.00:07:47
00:07:47
Baadhi ya miradi hiyo inaweza kuwa00:07:50
00:07:50
kusikiliza kwa makini zaidi00:07:51
00:07:51
mwenye nyumba anapozungumza00:07:53
00:07:53
au kuonyesha upendezi wa kibinafsi zaidi.00:07:55
00:07:55
Lengo lingine linaweza kuwa00:07:57
00:07:57
kuhubiri eneo letu kikamili. 00:07:58
00:07:59
Kujiwekea miradi ya kibinafsi00:08:01
00:08:01
kunapatana na ushauri ambao Paulo alitoa00:08:04
00:08:04
kwenye Wagalatia 6:4.00:08:06
00:08:06
Unaweza kufuatana kwenye skrini yako00:08:08
00:08:08
tunaposoma.00:08:09
00:08:09
Paulo aliandika:00:08:10
00:08:11
“Lakini kila mmoja na achunguze matendo yake mwenyewe00:08:14
00:08:15
kisha atakuwa na sababu ya kushangilia00:08:17
00:08:17
kuhusiana na yeye mwenyewe.00:08:19
00:08:20
Na si kwa kujilinganisha na mtu mwingine.” 00:08:23
00:08:25
Miradi ya kibinafsi00:08:26
00:08:26
inaweza kutupatia kichocheo tunachohitaji00:08:28
00:08:28
ili kushiriki katika kazi hii muhimu.00:08:31
00:08:31
Acheni tusikie baadhi ya ndugu na dada00:08:33
00:08:33
wanahisije kuhusu mabadiliko ya karibuni00:08:36
00:08:36
na mambo wanayofanya00:08:37
00:08:37
ili kupanua utendaji wao. 00:08:38
00:08:39
Mabadiliko haya yamenisaidia00:08:41
00:08:41
kufurahia huduma hata zaidi00:08:43
00:08:43
na kufanya wanafunzi.00:08:44
00:08:44
Kwa kweli nimeyafurahia.00:08:46
00:08:47
Ninahisi mabadiliko haya mapya00:08:49
00:08:49
kuhusu kuripoti saa yamenisaidia00:08:51
00:08:51
nisiwe na wasiwasi kuhusu wakati ninapoanza00:08:53
00:08:53
na ninapomaliza utumishi00:08:54
00:08:55
nipo utumishi wakati wote. 00:08:56
00:08:57
Kwanza kabisa nimebadili ratiba yangu00:08:59
00:08:59
ninaenda kuhubiri00:09:00
00:09:00
wakati watu wanapopatikana. 00:09:01
00:09:02
Hapo awali nilipoenda katika huduma00:09:04
00:09:04
nilitarajia watu wanisikilize mimi,00:09:06
00:09:06
lakini sasa ninataka kuwasikiliza wao. 00:09:09
00:09:10
Sasa sijali ninawaachia watu machapisho mangapi?00:09:13
00:09:13
Nimeona umuhimu wa kuzungumza na watu00:09:15
00:09:15
kila nafasi inapopatikana.00:09:17
00:09:17
Lengo likiwa kufanya wanafunzi. 00:09:19
00:09:20
Hapo awali nilikuwa ninafurahi sana00:09:23
00:09:23
ninapomwachia mtu kitu kutoka kwenye mfuko wangu.00:09:25
00:09:26
Lakini sasa nina furaha00:09:28
00:09:28
ninapomwachia mtu kitu kutoka moyoni mwangu. 00:09:31
00:09:32
Mabadiliko haya00:09:33
00:09:33
yamenisaidia kukazia fikira jambo muhimu zaidi,00:09:37
00:09:37
yaani, kufanya wanafunzi.00:09:39
00:09:39
Ninapenda njia hii mpya ya kuhubiri00:09:42
00:09:42
kwa sababu sasa sihitaji00:09:43
00:09:43
kukariri utoaji fulani hususa.00:09:45
00:09:46
Sasa ninazungumza na watu kwa njia ya kawaida00:09:48
00:09:48
na wanafurahia mazungumzo ya Biblia. 00:09:51
00:09:53
Utendaji wetu hautegemei00:09:55
00:09:55
idadi ya tunachoripoti00:09:57
00:09:58
badala yake unachochewa00:10:00
00:10:00
na upendo tulionao kwa watu. 00:10:02
00:10:03
Tumetambua kwamba00:10:04
00:10:04
ndugu na dada katika mzunguko wetu00:10:06
00:10:06
wamesikia sana00:10:07
00:10:07
mbinu hii mpya katika huduma.00:10:09
00:10:10
Hapo awali kulikuwa na mpangilio00:10:11
00:10:11
wazo fulani kisha andiko00:10:13
00:10:13
lakini sasa ni mazungumzo tu. 00:10:15
00:10:17
Awali nilikuwa na wasiwasi ningesema nini00:10:20
00:10:20
na ningeelekezaje mazungumzo yenyewe00:10:22
00:10:22
kwenye Biblia.00:10:23
00:10:23
Lakini sasa ninatambua00:10:25
00:10:25
jambo muhimu hata kuliko ninachosema.00:10:28
00:10:28
Ni kwamba mwenye nyumba00:10:30
00:10:30
ahisi kwamba ninamjali kikweli. 00:10:32
00:10:33
Kwa hiyo kama tu Yesu00:10:34
00:10:34
alivyomwendea yule mwanamke kwenye kisima,00:10:36
00:10:36
mimi hupenda kuwaendea watu00:10:38
00:10:38
na kuzungumza nao kuhusu mbwa wao00:10:40
00:10:40
na kuuliza ikiwa ninaweza00:10:41
00:10:41
kugusa mbwa wao.00:10:42
00:10:42
Hilo huanzisha mazungumzo00:10:44
00:10:44
yenye kustarehesha00:10:45
00:10:45
kisha ninawaachia kadi au kuwahubiria00:10:48
00:10:48
na mara nyingi ninapoondoka00:10:49
00:10:49
ninaona tayari wameanza kuingia kwenye tovuti yetu00:10:52
00:10:52
kwa kutumia kadi niliyowaachia. 00:10:54
00:10:56
Nimetambua kwamba kutanikoni kwetu.00:10:58
00:10:58
Tumeanza kuwa na utambuzi hata zaidi.00:11:00
00:11:01
Kisha tunatumia mambo tulipotambua00:11:03
00:11:03
kuanzisha mazungumzo. 00:11:04
00:11:05
Kwa kawaida mimi ni mkimya00:11:07
00:11:07
na mwenye haya, kwa hiyo00:11:09
00:11:09
mbinu hii mpya inayosema usizungumze sana,00:11:12
00:11:12
nilipoisikia nilisema safi sana.00:11:15
00:11:15
Hilo ni jambo mimi ninaweza kufanya vizuri.00:11:17
00:11:17
Nimeipenda. 00:11:18
00:11:19
Ninajihisi nikiwa nimestarehe zaidi sasa00:11:21
00:11:21
kwa sababu lengo letu ni kuanzisha mazungumzo00:11:23
00:11:23
kwa hiyo ninakazia fikira kutayarisha mawazo00:11:25
00:11:25
yanayotegemea mahitaji ya watu00:11:27
00:11:27
katika eneo. 00:11:28
00:11:29
Nimesisimka sana00:11:30
00:11:30
kuhusiana na mabadiliko katika kazi ya kuhubiri00:11:33
00:11:33
kwa sababu00:11:34
00:11:34
yanatutia moyo00:11:34
00:11:34
tushiriki katika aina mbalimbali za utumishi,00:11:37
00:11:37
kama vile mahubiri yasiyo rasmi.00:11:39
00:11:39
Na hilo si rahisi kwangu.00:11:40
00:11:40
Hata hivyo, ninahisi inachochewa na Yehova00:11:42
00:11:42
na tengenezo lake nijaribu mbinu hizo mpya,00:11:45
00:11:45
ninapojaribu kufikia mradi00:11:46
00:11:46
wa kuwa painia wa kawaida. 00:11:48
00:11:48
Yametuchochea sana00:11:49
00:11:49
kujaribu kupanua huduma yetu,00:11:51
00:11:51
tungependa sasa kutoka00:11:53
00:11:53
kwenda kuwasaidia watu00:11:55
00:11:55
wamfahamu Yehova. 00:11:56
00:11:59
Niliona wengi kutanikoni00:12:01
00:12:01
wakipata shangwe ya kufanya upainia.00:12:03
00:12:03
Na mimi pia nilitaka kuhisi hivyo.00:12:06
00:12:07
Kwa hiyo nina furaha sana00:12:09
00:12:09
kuanza upainia wa kawaida00:12:11
00:12:11
kuanzia mwezi huu.00:12:12
00:12:13
Tukiwa wenzi wa ndoa00:12:14
00:12:14
tungependa kuhudhuria00:12:15
00:12:15
shule wenye za Injili wa ufalme00:12:17
00:12:17
ili tujifunze njia mpya za kuwaonyesha watu kwamba tunawapenda. 00:12:21
00:12:21
Ninatamani sana kuanza kufanya upainia00:12:24
00:12:24
kisha nihudhurie shule ya Waeneza Injili wa Ufalme00:12:27
00:12:27
na niende popote ninapotumwa00:12:28
00:12:28
kwa sababu naona nitafurahia sana.00:12:30
00:12:31
Inapendeza sana00:12:32
00:12:32
ninahitaji tu sasa kukazia fikira watu00:12:34
00:12:34
na hilo ndilo lengo letu kuu. 00:12:36
00:13:02
Ndugu na dada tunawapenda sana00:13:05
00:13:05
kwa sababu mnafanya yote mnayoweza00:13:07
00:13:07
kulingana na hali zenu!00:13:08
00:13:09
Yesu alisema hivi00:13:10
00:13:10
kama inavyopatikana kwenye Yohana 14:15:00:13:13
00:13:13
“Ikiwa mnanipenda00:13:14
00:13:14
mtazishika amri zangu.”00:13:16
00:13:16
Tunampenda Bwana wetu00:13:18
00:13:18
na tunawapenda watu.00:13:19
00:13:19
Kwa hiyo kwa shangwe tunatia amri
ambayo Yesu aliwapa wanafunzi wake:00:13:23
00:13:23
“mnapoenda hubirini.”00:13:26
00:13:26
Kutoka kwenye Makao Makuu00:13:28
00:13:27
ya Ulimwenguni Pote ya Mashahidi wa Yehova00:13:30
00:13:30
hii ni JW Broadcasting.00:13:33
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
-
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Karibuni.
Tutazungumzia
umuhimu wa kujiwekea miradi ya kibinafsi
katika huduma.
Lakini kwanza
acheni tupate habari za karibuni.
Januari 01 mwaka huu,
tetemeko la ardhi lenye kipimo cha 7.6
liliikumba Japani.
Kwa kupendeza
hakuna yeyote kati ya ndugu zetu aliyekufa.
Hata hivyo,
zaidi ya nyumba 100 za ndugu zetu
zilipata uharibifu
na mbili ziliharibiwa kabisa.
Pia Majumba tisa ya Ufalme
yalipata uharibifu.
Upesi ofisi ya tawi ilifanya mipango
ya kupata mahali pa kulala
na mahitaji mengine
kwa ajili ya ndugu na dada.
Muda mfupi baada ya hapo
ofisi ya tawi iliweka rasmi
Halmashauri ya Kutoa Msaada
na ikawatuma wawakilishi wa ofisi ya tawi
kwenda kuwatembelea akina ndugu
katika maeneo yaliyoathiriwa.
Baada ya siku chache tu,
msaada zaidi ulipelekwa
kwenye makutaniko yaliyokuwa na uhitaji.
Katika kutaniko la Wajima
wazee hawakuweza kumpata dada mmoja.
Ili kumtafuta
mzee mmoja alitembea kwa saa nane,
akikwepa maporomoko ya ardhi
na nyufa zilizokuwa ardhini,
hadi alipohakikisha dada yetu yuko salama.
Makutaniko katika eneo hilo
kutia ndani yaliyoathiriwa kabisa,
yameendelea kufanya
mikutano tangu juma lile
tetemeko la ardhi lilitokea
Wengi kati ya wahubiri
wamehudhuria uso kwa uso
ili waweze kutiana moyo.
Tunaendelea kusali
kwa ajili ya ndugu na dada zetu nchini Japani
na katika nchi nyingine
zilizoathiriwa na misiba ya asili hivi karibuni.
Januari 1,
kituo cha wageni cha Patterson
kilifunguliwa rasmi kwa ajili ya matembezi!
Ujenzi ulianza mapema mwaka wa 2021
na ulikamilishwa Septemba 2023.
Utajionea mambo gani
utakapotembelea eneo hilo?
Acheni tuone!
Kituo cha wageni cha Patterson
kina maonyesho matatu
kutia ndani sehemu ya maonyesho ya sarafu.
Maonyesho ya kwanza utakayoona
yana kichwa
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema.”
Yanaonyesha mambo yaliyoonwa
ya wanaume, wanawake,
na hata watoto wa shule
walioshikamana na imani yao
inayotegemea Biblia
licha ya upinzani wa kisheria.
Maonyesho haya yanaonyesha
jinsi tengenezo la Yehova
lilivyowategemeza
walipokabili majaribu magumu.
Maonyesho ya sarafu za Biblia
yanaonyesha mkusanyo wa pekee
wa sarafu za awali zilizotumiwa
katika karne ya kwanza
na pia kuna maelezo kuhusu
Maandiko yanayoonyesha sarafu hizo
na umuhimu wake.
Maonyesho mengine yenye kichwa
“Wana Wako Wote Watafundishwa na Yehova,”
yanaonyesha baadhi ya programu za mazoezi
na shule ambazo zimetumiwa na tengenezo la Yehova
kutuzoeza kuwa wahudumu na walimu.
Tuna uhakika yatakuchochea kuona njia za ziada
unazoweza kutumia ili kufaidika
kutokana na elimu ambayo Yehova anatupatia.
Maonyesho ya pekee katika eneo hili
ni kijiji cha Biblia katika karne ya kwanza.
“Wanakijiji” watakukaribisha kwa uchangamfu
na wana hamu ya kukuonyesha
jinsi wanavyoishi
na kufanya kazi pamoja kama jamii.
Utajionea jinsi maisha yalivyokuwa
Yesu alipokuwa duniani.
Utapata nafasi ya kutembelea mashamba,
soko,
eneo la makazi,
sinagogi
na hata ufuo wa bahari.
Bila shaka maonyesho hayo mapya
yataongeza uthamini wako kwa Biblia
na kwa kile ambacho Yehova anatimiza
kupitia tengenezo lake leo.
Tunawakaribisha wote wanaoweza
waje wajionee
kituo kipya cha wageni cha Patterson.
Kituo cha wageni cha Patterson
ni chenye kustaajabisha!
Tunawashukuru wote waliofanya kazi kwenye mradi huo.
Sasa tunawakaribisha nyote mje mtembee
unaweza kuomba kutembelea
kupitia jw.org.
Sasa acheni tuzungumzie kuhusu
mabadiliko ya karibuni
kuhusu jinsi tunavyoripoti huduma yetu.
Tuone jinsi yanavyoathiri miradi yetu.
Kwenye mkutano wa kila mwaka
tulitangaziwa kuanzia Novemba
hatutakuwa tena tukitoa ripoti ya utumishi
yenye mambo mengi.
Mhh! Hilo lilikuwa badiliko kubwa sivyo?
Lakini ingawa tumebadili jinsi tunavyoripoti
hatujabadili maoni yetu
kuhusu huduma yenyewe, sivyo?
Tunawakazia fikira watu.
Tunawapenda watu,
na tunataka kuwasaidia.
Tuko tayari kuwaeleza habari njema
popote tunapowakuta.
Jumamosi asubuhi
huenda tukaenda nyumba kwa nyumba
kwa saa kadhaa.
Kisha tunaenda kufanya manunuzi.
Je wakati huu tunaacha kufanya kazi
eti kwa sababu hatuko katika mahubiri rasmi?
Sisi hatuna maoni hayo,
tunapoendelea na manunuzi
bado tunaangalia
tunaweza kushiriki na nani habari njema.
Tunaweza kuzungumza
na mtu aliyesimama kando yetu
tunapokuwa tukisubiri kulipa
au na muuza duka tunapomlipa.
Hatutazungumza sana.
Baada ya kusalimiana kwa uchangamfu kidogo
tunaweza tu kumtolea kadi ya mawasiliano
na kusema:
“Ninafikiri utafurahia tovuti hii,
ina makala zenye kupendeza
katika lugha zaidi ya 1000.”
Au baada ya kusema maneno fulani yanayofaa
unaweza kumtolea trakti
ikiwa muda unaruhusu
na mtu huyo anapendezwa,
tunaweza kusema mengi zaidi.
Kanuni hiyo inaweza kutumika
tunapokuwa tukimsubiri daktari,
kwenye uwanja wa ndege,
dukani, au katika usafiri wa umma.
Hili ni dokezo:
Kwa nini usibebe kadi kadhaa
au machapisho mengine
popote unapoenda?
Tumesema tuko tayari
kushiriki habari njema
popote tunapowapata watu.
Lakini vipi kuhusu watu ambao hatuwakuti,
wale ambao mara nyingi
hawapatikani nyumbani?
Je, umewahi kupita kwenye eneo
Jumamosi au Jumapili alasiri
na ukaona ya kwamba kuna gari katika kila nyumba?
Hata hivyo ulipopita hapo asubuhi
hakukuwa na mtu nyumbani.
Sijui ni watu wangapi kati ya hao
ambao wangekubali funzo la Biblia
ikiwa tungewajulisha.
Upendo wetu kuelekea watu
utatuchochea kuwaendea
wanapokuwa nyumbani.
Nakumbuka jioni moja
tulikuwa tukienda kula mlo kwenye mkahawa
pamoja na wenzi fulani wa ndoa.
Ndugu ndiye aliyekuwa akiendesha.
Tulipopita kwenye nyumba fulani,
alisimama akaegesha gari na kusema,
“Samahani sana,
lakini naona gari kwenye nyumba ile,
kwa majuma kadhaa
tumejaribu kumtafuta mtu huyu.
Hatutakaa sana.”
Yeye na mke wake wakashuka
wakaenda kwenye nyumba hiyo.
Hongera sana.
Sehemu nyingine ambapo jitihada inahitajika
ni kufuatilia upendezi.
Mhubiri anayehubiri kwenye kigari,
anazungumza na mtu anayependezwa
anayeomba kutembelewa.
Mtu huyo anaishi kwenye eneo lenu
na unakubali kwamba utamtembelea.
Jumamosi asubuhi unabisha mlango wake
nini kinatokea?
Najua unajua
mtu huyo hayupo nyumbani.
Je, tutainua mikono yetu na kusema,
“si nimejaribu?
La hasha!
Mtu huyo alionyesha anapendezwa
na tutaendelea kurudi hapo wakati mbalimbali
hadi tutakapompata.
Ingawa hatuandiki
ripoti ya utumishi yenye mambo mengi,
bado tunaweza kujiwekea miradi yetu wenyewe.
Baadhi ya miradi hiyo inaweza kuwa
kusikiliza kwa makini zaidi
mwenye nyumba anapozungumza
au kuonyesha upendezi wa kibinafsi zaidi.
Lengo lingine linaweza kuwa
kuhubiri eneo letu kikamili.
Kujiwekea miradi ya kibinafsi
kunapatana na ushauri ambao Paulo alitoa
kwenye Wagalatia 6:4.
Unaweza kufuatana kwenye skrini yako
tunaposoma.
Paulo aliandika:
“Lakini kila mmoja na achunguze matendo yake mwenyewe
kisha atakuwa na sababu ya kushangilia
kuhusiana na yeye mwenyewe.
Na si kwa kujilinganisha na mtu mwingine.”
Miradi ya kibinafsi
inaweza kutupatia kichocheo tunachohitaji
ili kushiriki katika kazi hii muhimu.
Acheni tusikie baadhi ya ndugu na dada
wanahisije kuhusu mabadiliko ya karibuni
na mambo wanayofanya
ili kupanua utendaji wao.
Mabadiliko haya yamenisaidia
kufurahia huduma hata zaidi
na kufanya wanafunzi.
Kwa kweli nimeyafurahia.
Ninahisi mabadiliko haya mapya
kuhusu kuripoti saa yamenisaidia
nisiwe na wasiwasi kuhusu wakati ninapoanza
na ninapomaliza utumishi
nipo utumishi wakati wote.
Kwanza kabisa nimebadili ratiba yangu
ninaenda kuhubiri
wakati watu wanapopatikana.
Hapo awali nilipoenda katika huduma
nilitarajia watu wanisikilize mimi,
lakini sasa ninataka kuwasikiliza wao.
Sasa sijali ninawaachia watu machapisho mangapi?
Nimeona umuhimu wa kuzungumza na watu
kila nafasi inapopatikana.
Lengo likiwa kufanya wanafunzi.
Hapo awali nilikuwa ninafurahi sana
ninapomwachia mtu kitu kutoka kwenye mfuko wangu.
Lakini sasa nina furaha
ninapomwachia mtu kitu kutoka moyoni mwangu.
Mabadiliko haya
yamenisaidia kukazia fikira jambo muhimu zaidi,
yaani, kufanya wanafunzi.
Ninapenda njia hii mpya ya kuhubiri
kwa sababu sasa sihitaji
kukariri utoaji fulani hususa.
Sasa ninazungumza na watu kwa njia ya kawaida
na wanafurahia mazungumzo ya Biblia.
Utendaji wetu hautegemei
idadi ya tunachoripoti
badala yake unachochewa
na upendo tulionao kwa watu.
Tumetambua kwamba
ndugu na dada katika mzunguko wetu
wamesikia sana
mbinu hii mpya katika huduma.
Hapo awali kulikuwa na mpangilio
wazo fulani kisha andiko
lakini sasa ni mazungumzo tu.
Awali nilikuwa na wasiwasi ningesema nini
na ningeelekezaje mazungumzo yenyewe
kwenye Biblia.
Lakini sasa ninatambua
jambo muhimu hata kuliko ninachosema.
Ni kwamba mwenye nyumba
ahisi kwamba ninamjali kikweli.
Kwa hiyo kama tu Yesu
alivyomwendea yule mwanamke kwenye kisima,
mimi hupenda kuwaendea watu
na kuzungumza nao kuhusu mbwa wao
na kuuliza ikiwa ninaweza
kugusa mbwa wao.
Hilo huanzisha mazungumzo
yenye kustarehesha
kisha ninawaachia kadi au kuwahubiria
na mara nyingi ninapoondoka
ninaona tayari wameanza kuingia kwenye tovuti yetu
kwa kutumia kadi niliyowaachia.
Nimetambua kwamba kutanikoni kwetu.
Tumeanza kuwa na utambuzi hata zaidi.
Kisha tunatumia mambo tulipotambua
kuanzisha mazungumzo.
Kwa kawaida mimi ni mkimya
na mwenye haya, kwa hiyo
mbinu hii mpya inayosema usizungumze sana,
nilipoisikia nilisema safi sana.
Hilo ni jambo mimi ninaweza kufanya vizuri.
Nimeipenda.
Ninajihisi nikiwa nimestarehe zaidi sasa
kwa sababu lengo letu ni kuanzisha mazungumzo
kwa hiyo ninakazia fikira kutayarisha mawazo
yanayotegemea mahitaji ya watu
katika eneo.
Nimesisimka sana
kuhusiana na mabadiliko katika kazi ya kuhubiri
kwa sababu
yanatutia moyo
tushiriki katika aina mbalimbali za utumishi,
kama vile mahubiri yasiyo rasmi.
Na hilo si rahisi kwangu.
Hata hivyo, ninahisi inachochewa na Yehova
na tengenezo lake nijaribu mbinu hizo mpya,
ninapojaribu kufikia mradi
wa kuwa painia wa kawaida.
Yametuchochea sana
kujaribu kupanua huduma yetu,
tungependa sasa kutoka
kwenda kuwasaidia watu
wamfahamu Yehova.
Niliona wengi kutanikoni
wakipata shangwe ya kufanya upainia.
Na mimi pia nilitaka kuhisi hivyo.
Kwa hiyo nina furaha sana
kuanza upainia wa kawaida
kuanzia mwezi huu.
Tukiwa wenzi wa ndoa
tungependa kuhudhuria
shule wenye za Injili wa ufalme
ili tujifunze njia mpya za kuwaonyesha watu kwamba tunawapenda.
Ninatamani sana kuanza kufanya upainia
kisha nihudhurie shule ya Waeneza Injili wa Ufalme
na niende popote ninapotumwa
kwa sababu naona nitafurahia sana.
Inapendeza sana
ninahitaji tu sasa kukazia fikira watu
na hilo ndilo lengo letu kuu.
Ndugu na dada tunawapenda sana
kwa sababu mnafanya yote mnayoweza
kulingana na hali zenu!
Yesu alisema hivi
kama inavyopatikana kwenye Yohana 14:15:
“Ikiwa mnanipenda
mtazishika amri zangu.”
Tunampenda Bwana wetu
na tunawapenda watu.
Kwa hiyo kwa shangwe tunatia amri
ambayo Yesu aliwapa wanafunzi wake:
“mnapoenda hubirini.”
Kutoka kwenye Makao Makuu
ya Ulimwenguni Pote ya Mashahidi wa Yehova
hii ni JW Broadcasting.
-