00:00:02
Karibuni!00:00:03
00:00:03
Tangu ripoti iliyopita,00:00:05
00:00:05
tumefanya makusanyiko matano zaidi ya pekee.00:00:08
00:00:08
Makusanyiko hayo00:00:09
00:00:09
yalifanyika katika maeneo yafuatayo:00:00:11
00:00:12
Prague, kwenye Jamhuri ya Cheki;00:00:13
00:00:14
Helsinki, Finland;00:00:16
00:00:17
Budapest, Hungary;00:00:18
00:00:19
Reykjavik, Iceland;00:00:20
00:00:21
na Zurich, Switzerland.00:00:23
00:00:24
Wajumbe kutoka nchi zaidi ya 30,00:00:27
00:00:27
walihudhuria,00:00:28
00:00:28
ni shangwe kubwa kuona upendo na umoja00:00:30
00:00:30
miongoni mwa watu wa Mungu.00:00:32
00:00:32
Jumla ya ndugu na dada zetu 57800:00:35
00:00:35
walibatizwa katika makusanyiko hayo. 00:00:38
00:00:39
Katika kusanyiko la pekee lililofanyika Iceland,00:00:42
00:00:42
Biblia Takatifu Tafsiri ya Ulimwengu Mpya00:00:45
00:00:45
ilitolewa katika Kiiceland.00:00:47
00:00:47
Chakuka kingi cha kiroho katika makusanyiko ya mwaka huu00:00:50
00:00:51
kinaburudisha na kutuimarisha,00:00:53
00:00:54
ili tuendelee kutangaza habari njema. 00:00:56
00:00:57
Tunapofikiria kuhusu huduma,00:00:59
00:01:00
tunafikiria kuhusu mwaka wa utumishi00:01:02
00:01:02
ulio karibu sana kuanza.00:01:04
00:01:04
Huenda unakumbuka kwamba kuanzia Septemba 1,00:01:07
00:01:08
tutakuwa na kampeni kubwa ya ulimwenguni pote00:01:11
00:01:11
ya kuanzisha mafunzo ya Biblia.00:01:13
00:01:13
Ni vizuri kwetu kuanza matayarisho sasa. 00:01:16
00:01:17
Wakati wa kampeni,00:01:19
00:01:19
tutaanzisha mafunzo ya Biblia kwa watu wengi iwezekanavyo00:01:22
00:01:23
kwa kutumia Broshua 00:01:24
00:01:24
Furahia Maisha Milele!00:01:26
00:01:26
Katika mwezi huo,00:01:27
00:01:27
mapainia wasaidizi watakuwa na fursa00:01:30
00:01:30
ya kuchagua,00:01:31
00:01:31
ikiwa watatimiza takwa la saa 1500:01:34
00:01:34
au saa 30.00:01:35
00:01:35
Kwa nini usitumie dakika chache juma hili00:01:38
00:01:38
kupanga ratiba zako za mwezi wa Septemba?00:01:40
00:01:40
Kupitia Sala00:01:41
00:01:41
tafakari ikiwa unaweza kupanua utumishi wako mwezi huo.00:01:45
00:01:46
Pia, tuna jambo la pekee00:01:47
00:01:47
ambalo tungependa kushiriki nanyi.00:01:49
00:01:50
Jumapili Julai 28,00:01:52
00:01:53
tulifikia kilele kipya00:01:54
00:01:54
inapohusu kazi ya kutafsiri Biblia. 00:01:57
00:01:57
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya00:01:59
00:01:59
sasa inapatikana ikiwa nzima au kwa sehemu00:02:02
00:02:03
katika lugha 300.00:02:04
00:02:05
Inastaajabisha sana.00:02:07
00:02:08
Kuna mambo mengi yenye kustaajabisha00:02:10
00:02:10
yanayotokea katika tengenezo la Yehova. 00:02:13
00:02:14
Lakini sasa katika sehemu inayobaki00:02:17
00:02:17
ya ripoti yetu,00:02:18
00:02:18
ningependa kuzungumzia pamoja nanyi00:02:20
00:02:20
mada hii muhimu.00:02:21
00:02:22
Kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu,00:02:25
00:02:25
kuwa ndiyo suluhisho pekee00:02:27
00:02:27
la matatizo ya wanadamu.00:02:28
00:02:29
Kweli hiyo muhimu00:02:30
00:02:30
inatusaidia kutounga mkono upande wowote,00:02:33
00:02:33
inapohusu siasa za ulimwengu huu. 00:02:35
00:02:36
Kusanyiko la eneo la mwaka huu00:02:39
00:02:39
linatusaidia kukumbuka jambo hilo.00:02:41
00:02:41
Wakati wa kusanyiko00:02:43
00:02:43
tulifurahia drama ya kwanza00:02:45
00:02:45
ya Habari Njema Kulingana na Yesu.00:02:47
00:02:48
Ilitukumbusha jinsi kutokea kwa Masihi00:02:50
00:02:51
kulivyokuwa habari njema.00:02:53
00:02:54
Kwa kuwa Yesu alizaliwa duniani,00:02:56
00:02:57
ahadi zote za Mungu,00:02:59
00:02:59
zitatimizwa kupitia kwake.00:03:01
00:03:02
Ahadi hizo zinatia ndani nini?00:03:04
00:03:05
Kwamba suluhisho pekee la matatizo ya wanadamu,00:03:08
00:03:08
Ufalme wa Mungu,00:03:09
00:03:10
utaongozwa na Yesu00:03:11
00:03:11
akiwa Mfalme. 00:03:12
00:03:15
Yesu Kristo ni Mfalme wa aina gani?00:03:17
00:03:19
Isaya 9:6, 700:03:21
00:03:21
ina unabii unaomfafanua Yesu kwa njia hii:00:03:24
00:03:25
Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,00:03:27
00:03:28
Tumepewa mwana00:03:29
00:03:30
na utawala utakaa juu ya bega lake.00:03:33
00:03:33
Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,00:03:36
00:03:37
Mungu Mwenye Nguvu,00:03:38
00:03:38
Baba wa Milele,00:03:39
00:03:40
Mkuu wa Amani.00:03:41
00:03:42
Kwa wingi wa utawala wake na amani,00:03:44
00:03:44
hakutakuwa na mwisho,00:03:46
00:03:46
kwenye kiti cha ufalme cha Daudi00:03:48
00:03:48
na juu ya ufalme wake00:03:50
00:03:50
ili kuuimarisha kabisa na kuutegemeza00:03:53
00:03:53
kupitia haki na uadilifu,00:03:55
00:03:55
kuanzia sasa mpaka milele.00:03:58
00:03:58
Bidii ya Yehova wa majeshi00:04:00
00:04:01
itafanya hayo.00:04:02
00:04:03
Mistari hii00:04:04
00:04:04
inatuonyesha kwamba utawala wa Yesu00:04:07
00:04:07
utaleta amani,00:04:08
00:04:09
haki,00:04:10
00:04:10
na uadilifu.00:04:11
00:04:13
Na utawala wake00:04:14
00:04:14
utadumu milele.00:04:16
00:04:17
Jambo lenye kupendeza sana.00:04:18
00:04:20
Tunashukuru kujua kwamba00:04:21
00:04:21
tayari Ufalme wa Mungu umenza kutawala mbinguni,00:04:25
00:04:25
tayari umekuwa suluhisho halisi na la kudumu,00:04:27
00:04:28
kwa matatizo yote00:04:29
00:04:29
ya jamii ya wanadamu.00:04:31
00:04:32
Lakini tunahitaji kuwa waangalifu00:04:34
00:04:34
ili tusisahau jambo hilo.00:04:36
00:04:37
Kwa nini?00:04:37
00:04:38
Kwa sababu wakati tunaoishi,00:04:40
00:04:41
inafanya iwe vigumu sana kwetu00:04:43
00:04:43
kukazia Ufalme wa Mungu00:04:44
00:04:44
kuwa suluhisho halisi00:04:46
00:04:46
kwa matatizo yetu yote. 00:04:48
00:04:49
Kuna mambo mengi yanayoleta migawanyiko ulimwenguni leo.00:04:52
00:04:53
Vurugu na vita00:04:54
00:04:54
vinaendelea katika maeneo mbalimbali,00:04:57
00:04:57
ulimwengu unajitahidi sana00:04:59
00:04:59
kuwashinikiza watu00:05:00
00:05:00
waunge mkono upande fulani wa kisiasa00:05:03
00:05:03
na hata uchaguzi.00:05:04
00:05:04
Kwa ujumla00:05:05
00:05:06
inakadiriwa kwamba00:05:07
00:05:07
mabilioni ya watu,00:05:09
00:05:09
karibu nusu ya watu wote duniani,00:05:11
00:05:11
wanaishi katika nchi00:05:13
00:05:13
ambazo kumekuwa00:05:14
00:05:15
ama kutakuwa na uchaguzi mwaka huu. 00:05:17
00:05:19
Tumeona pia,00:05:20
00:05:21
ongezeko la sherehe za kizalendo na kitaifa,00:05:24
00:05:24
kutia ndani kwenye maeneo ya shule.00:05:26
00:05:27
Hata michezo00:05:28
00:05:28
imesababisha migawanyiko mbalimbali ya kitaifa.00:05:31
00:05:32
Tunasikia mambo hayo00:05:34
00:05:34
kupitia vyombo vya habari kila siku.00:05:36
00:05:37
Ulimwengu leo00:05:38
00:05:38
unakabili matizo mabaya hata zaidi.00:05:41
00:05:41
Na wanadamu wasio wakamilifu00:05:43
00:05:43
wamejaribu kutatua matizo hayo00:05:45
00:05:45
kwa njia mbalimbali.00:05:46
00:05:47
Lakini tukiwa Mashahidi wa Yehova,00:05:49
00:05:50
tunapaswa kuwa na mtazamo gani00:05:51
00:05:51
kuhusu maoni hayo?00:05:52
00:05:53
Kwa kweli hatujihusishi kwa vyovyote na siasa.00:05:56
00:05:58
Tunakumbuka maneno ya Yesu00:05:59
00:06:00
kwenye Yohana 18:36 aliposema:00:06:03
00:06:03
“Ufalme wangu00:06:04
00:06:04
si sehemu ya ulimwengu huu.”00:06:06
00:06:08
Badala yake00:06:09
00:06:09
tunashikamana na Ufalme wa Mungu00:06:11
00:06:11
kwa moyo wote00:06:13
00:06:13
na hatujihusishi00:06:14
00:06:15
na siasa za ulimwengu huu. 00:06:17
00:06:18
Ni kweli kwamba00:06:19
00:06:20
Waroma 13:1, 2 inaonyesha00:06:22
00:06:22
kwamba mamlaka zilizopo00:06:24
00:06:24
zimewekwa na Mungu00:06:25
00:06:25
katika vyeo vyao vya kadiri.00:06:27
00:06:29
Kwa hiyo tunashukuru kwa kazi ambazo serikali zinafanya00:06:32
00:06:33
na tunaheshimu mamlaka yao.00:06:34
00:06:35
Hilo linapatana na maneno ya Yesu00:06:37
00:06:37
yaliyorekodiwa katika Mathayo 22:21,00:06:41
00:06:41
aliposema: “Basi mlipeni Kaisari00:06:44
00:06:44
vitu vya Kaisari,00:06:45
00:06:46
na Mungu vitu vya Mungu.”00:06:48
00:06:49
Tunapowaheshimu wale walio na nafasi00:06:52
00:06:52
ya kuwa na mamlaka katika serikali,00:06:54
00:06:55
hatujihusishi katika masuala au mijadala ya kisiasa.00:06:58
00:06:59
hata iwe maoni ya upande fulani00:07:02
00:07:02
yanaonekana kuwa sawa.00:07:04
00:07:05
Tunaendelea kuutafuta kwanza Ufalme wa Mungu00:07:08
00:07:08
na uadilifu wake.00:07:10
00:07:11
Tunajua kwamba hilo ndilo suluhisho la kweli.00:07:14
00:07:14
Hivyo hatuungi mkono ulimwengu huu00:07:17
00:07:17
kwa njia yoyote hata kupitia mawazo yetu.00:07:19
00:07:20
Hatuungi mkono mgombea,00:07:21
00:07:21
chama cha kisiasa,00:07:23
00:07:23
au mtu fulani.00:07:24
00:07:24
Hata ikiwa wao wanaunga mkono00:07:26
00:07:26
au kufanya mambo yatakayotunufaisha.00:07:29
00:07:30
Tunakazia fikira suluhisho la kweli.00:07:33
00:07:34
Ufalme wa Mungu00:07:36
00:07:36
chini ya Uongozi wa Yesu Kristo.00:07:38
00:07:40
Ni nini kitatusaidia kuepuka kuunga mkono00:07:42
00:07:42
upande wowote?00:07:43
00:07:43
Tutazungumzia njia mbili kwa ufupi.00:07:46
00:07:47
Kwanza tunapaswa kufikiria zaidi kuhusu suluhisho,00:07:51
00:07:52
kuliko tatizo00:07:53
00:07:54
na pili kutumia muda mwingi zaidi00:07:57
00:07:57
kuzungumza kuhusu suluhisho00:07:58
00:07:58
kuliko tatizo.00:07:59
00:08:01
Tuzungumzie njia ya kwanza.00:08:03
00:08:04
Ni nini kitatusaidia kutumia muda mwingi00:08:06
00:08:06
kufikiria kuhusu suluhisho00:08:09
00:08:09
badala ya tatizo?00:08:10
00:08:11
Kusoma Biblia kila siku00:08:13
00:08:13
na kutafakari.00:08:14
00:08:14
Kufanya hivyo kutatusaidia kudumisha00:08:16
00:08:16
na kuimarisha tumaini letu.00:08:18
00:08:18
Na tunalinda mioyo yetu00:08:20
00:08:20
kwa kupunguza wakati tunaotumia kusoma00:08:23
00:08:24
au kusikiliza habari00:08:25
00:08:25
au kutumia mitandao ya kijamii,00:08:27
00:08:27
mambo yanayoweza kutuhangaisha, kutuvunja moyo00:08:30
00:08:30
au hata kutuchosha. 00:08:31
00:08:33
Njia ya pili ya kutusaidia tusiunge mkono upande wowote00:08:36
00:08:36
ni kutumia muda mwingi00:08:38
00:08:38
kuzungumza kuhusu suluhisho00:08:40
00:08:40
kuliko tatizo.00:08:41
00:08:42
Si ni kweli kwamba00:08:44
00:08:44
usemi wetu unafunua kile kilicho moyoni mwetu,00:08:47
00:08:47
ikiwa tunaanza kuwaeleza wengine00:08:49
00:08:49
jinsi tunavyohisi kuhusu uchaguzi,00:08:51
00:08:51
vita, au mambo mengine ya kisiasa?00:08:54
00:08:55
Je, hilo halitaonyesha kwamba00:08:57
00:08:57
tumeanza kuunga mkono upande fulani?00:09:00
00:09:01
Kwa kweli hiyo itakuwa ishara ya onyo kwetu.00:09:04
00:09:05
Usemi wetu unaweza kuonyesha kwamba,00:09:07
00:09:07
tunahitaji kujichunguza ikiwa hatuungi00:09:09
00:09:09
mkono upande wowote. 00:09:11
00:09:11
Njia bora ya kuzungumza kuhusu suluhisho,00:09:14
00:09:14
ni kuhubiri kuhusu habari njema ya Ufalme wa Mungu.00:09:17
00:09:18
Hilo litatusaidia00:09:19
00:09:19
kudumisha utimilifu wetu.00:09:20
00:09:20
Tuna uhakika kwamba00:09:22
00:09:22
Yehova ataondoa ukosefu wote wa haki00:09:24
00:09:24
tunaokabili.00:09:25
00:09:26
Kuhubiri kunatusaidai kuendelea kukumbuka tumaini letu.00:09:30
00:09:30
Tumaini ni nanga00:09:32
00:09:32
inayotuimarisha tunapokabili nyakati ngumu.00:09:35
00:09:36
Inatuzuia tusiende mbali zaidi na Yehova,00:09:39
00:09:40
au na tengenezo lake.00:09:41
00:09:43
Ikiwa tutaendelea kufanya mambo yote hayo,00:09:45
00:09:45
hatutaunga mkono upande wowote00:09:48
00:09:48
inapohusu siasa za ulimwengu huu.00:09:50
00:09:51
Na tutakazia fikira00:09:52
00:09:53
kwenye suluhisho la kweli,00:09:54
00:09:55
Ufalme wa Mungu. 00:09:57
00:09:58
Baraza Linaloongoza linashiriki nasi vikumbusho hivyo muhimu,00:10:02
00:10:02
kwa kuwa Shetani mtawala wa ulimwengu huu00:10:05
00:10:05
anawashinikiza00:10:06
00:10:06
watu wa Yehova kuliko wakati mwingine wowote.00:10:09
00:10:09
Shetani angependa tuunge mkono00:10:11
00:10:11
mambo ya ulimwengu huu,00:10:13
00:10:14
tukifanya hivyo00:10:15
00:10:16
tutaacha kuwa washikamanifu kwa Yehova.00:10:18
00:10:20
Hata tunaweza kujipata wenyewe,00:10:22
00:10:22
tukianza kumpinga Yehova00:10:24
00:10:24
na Ufalme wake.00:10:25
00:10:27
Na matokeo?00:10:28
00:10:28
tunaweza kutenda00:10:29
00:10:29
kana kwamba Shetani ndiye mwenye suluhisho00:10:32
00:10:32
la matatizo yetu.00:10:33
00:10:33
Hatutaki tupatwe na jambo kama hilo.00:10:35
00:10:36
Kwa hiyo ndugu na dada wapendwa00:10:38
00:10:39
ni lazima tusali kwa Yehova00:10:41
00:10:41
ili atusaidie kuimarisha imani yetu. 00:10:43
00:10:45
Ili kutusaidia kukazia fikira suluhisho la kweli,00:10:48
00:10:48
jiwekee lengo00:10:50
00:10:50
la kuwa na funzo la kibinafsi,00:10:52
00:10:52
au ibada ya familia00:10:53
00:10:53
kuhusu kutounga mkono upande wowote.00:10:56
00:10:56
Fikiria mambo haya machache.00:10:58
00:10:59
Kwenye kitabu,00:10:59
00:10:59
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo,00:11:02
00:11:02
unaweza kupitia habari kuhusu “Serikali.”00:11:05
00:11:06
Ili kupata chapisho hili kwenye JW Library,00:11:09
00:11:10
fungua JW Library,00:11:12
00:11:12
kisha Machapisho,00:11:14
00:11:14
kisha Vitabu.00:11:16
00:11:18
Njia nyingine,00:11:19
00:11:19
ni kupitia tena makala ya Mnara wa Mlinzi ya Oktoba 2023,00:11:24
00:11:24
yenye kichwa, “Je Uko Tayari Kutii?”00:11:27
00:11:27
Au kutazama00:11:28
00:11:28
JW Broadcasting ya Machi 2019.00:11:32
00:11:32
Ina mapendekezo mazuri00:11:33
00:11:33
ya kutusaidia kutounga mkono00:11:35
00:11:35
upande wowote.00:11:36
00:11:36
Ili kuipata kwenye JW Library,00:11:38
00:11:38
fungua JW Library, kisha video,00:11:41
00:11:42
JW Broadcasting,00:11:43
00:11:44
kisha fungua programu za kila mwezi,00:11:46
00:11:47
au kwenye jw.org,00:11:49
00:11:49
tafuta broadcasting ya Machi 2019.00:11:53
00:11:54
Ikiwa utaandika00:11:55
00:11:55
“Kutounga Mkono Upande Wowote” kwenye jw.org00:11:58
00:11:58
utapata video na makala nyingi00:12:00
00:12:00
zinazoweza kukusaidia. 00:12:02
00:12:03
Tunaweza kuwa na uhakika00:12:05
00:12:05
kwamba moyo wa Yehova unashangilia,00:12:07
00:12:07
kuona mamilioni ya watu kutoka mataifa yote,00:12:10
00:12:10
wakiungana ili kumwabudu yeye,00:12:12
00:12:13
hawaungi mkono upande wowote,00:12:15
00:12:15
na kutangaza suluhisho la kweli00:12:17
00:12:17
kwa matatizo ya wanadamu,00:12:18
00:12:18
habari njema ya Ufalme wa Mungu.00:12:21
00:12:22
Ndugu na dada00:12:23
00:12:23
tafadhali kumbukeni,00:12:25
00:12:25
tunawapenda sana ninyi nyote.00:12:27
00:12:27
Kutoka Makao Makuu00:12:29
00:12:29
ya Ulimwenguni Pote00:12:30
00:12:30
ya Mashahidi wa Yehova,00:12:31
00:12:32
hii ni JW Broadcasting.00:12:34
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
-
Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2024
Karibuni!
Tangu ripoti iliyopita,
tumefanya makusanyiko matano zaidi ya pekee.
Makusanyiko hayo
yalifanyika katika maeneo yafuatayo:
Prague, kwenye Jamhuri ya Cheki;
Helsinki, Finland;
Budapest, Hungary;
Reykjavik, Iceland;
na Zurich, Switzerland.
Wajumbe kutoka nchi zaidi ya 30,
walihudhuria,
ni shangwe kubwa kuona upendo na umoja
miongoni mwa watu wa Mungu.
Jumla ya ndugu na dada zetu 578
walibatizwa katika makusanyiko hayo.
Katika kusanyiko la pekee lililofanyika Iceland,
<i>Biblia Takatifu Tafsiri ya Ulimwengu Mpya</i>
ilitolewa katika Kiiceland.
Chakuka kingi cha kiroho katika makusanyiko ya mwaka huu
kinaburudisha na kutuimarisha,
ili tuendelee kutangaza habari njema.
Tunapofikiria kuhusu huduma,
tunafikiria kuhusu mwaka wa utumishi
ulio karibu sana kuanza.
Huenda unakumbuka kwamba kuanzia Septemba 1,
tutakuwa na kampeni kubwa ya ulimwenguni pote
ya kuanzisha mafunzo ya Biblia.
Ni vizuri kwetu kuanza matayarisho sasa.
Wakati wa kampeni,
tutaanzisha mafunzo ya Biblia kwa watu wengi iwezekanavyo
kwa kutumia Broshua <i></i>
<i>Furahia Maisha Milele!</i>
Katika mwezi huo,
mapainia wasaidizi watakuwa na fursa
ya kuchagua,
ikiwa watatimiza takwa la saa 15
au saa 30.
Kwa nini usitumie dakika chache juma hili
kupanga ratiba zako za mwezi wa Septemba?
Kupitia Sala
tafakari ikiwa unaweza kupanua utumishi wako mwezi huo.
Pia, tuna jambo la pekee
ambalo tungependa kushiriki nanyi.
Jumapili Julai 28,
tulifikia kilele kipya
inapohusu kazi ya kutafsiri Biblia.
<i>Tafsiri ya Ulimwengu Mpya</i>
sasa inapatikana ikiwa nzima au kwa sehemu
katika lugha 300.
Inastaajabisha sana.
Kuna mambo mengi yenye kustaajabisha
yanayotokea katika tengenezo la Yehova.
Lakini sasa katika sehemu inayobaki
ya ripoti yetu,
ningependa kuzungumzia pamoja nanyi
mada hii muhimu.
Kuendelea kukazia fikira Ufalme wa Mungu,
kuwa ndiyo suluhisho pekee
la matatizo ya wanadamu.
Kweli hiyo muhimu
inatusaidia kutounga mkono upande wowote,
inapohusu siasa za ulimwengu huu.
Kusanyiko la eneo la mwaka huu
linatusaidia kukumbuka jambo hilo.
Wakati wa kusanyiko
tulifurahia drama ya kwanza
ya <i>Habari Njema Kulingana na Yesu</i>.
Ilitukumbusha jinsi kutokea kwa Masihi
kulivyokuwa habari njema.
Kwa kuwa Yesu alizaliwa duniani,
ahadi zote za Mungu,
zitatimizwa kupitia kwake.
Ahadi hizo zinatia ndani nini?
Kwamba suluhisho pekee la matatizo ya wanadamu,
Ufalme wa Mungu,
utaongozwa na Yesu
akiwa Mfalme.
Yesu Kristo ni Mfalme wa aina gani?
Isaya 9:6, 7
ina unabii unaomfafanua Yesu kwa njia hii:
Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu,
Tumepewa mwana
na utawala utakaa juu ya bega lake.
Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu,
Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele,
Mkuu wa Amani.
Kwa wingi wa utawala wake na amani,
hakutakuwa na mwisho,
kwenye kiti cha ufalme cha Daudi
na juu ya ufalme wake
ili kuuimarisha kabisa na kuutegemeza
kupitia haki na uadilifu,
kuanzia sasa mpaka milele.
Bidii ya Yehova wa majeshi
itafanya hayo.
Mistari hii
inatuonyesha kwamba utawala wa Yesu
utaleta amani,
haki,
na uadilifu.
Na utawala wake
utadumu milele.
Jambo lenye kupendeza sana.
Tunashukuru kujua kwamba
tayari Ufalme wa Mungu umenza kutawala mbinguni,
tayari umekuwa suluhisho halisi na la kudumu,
kwa matatizo yote
ya jamii ya wanadamu.
Lakini tunahitaji kuwa waangalifu
ili tusisahau jambo hilo.
Kwa nini?
Kwa sababu wakati tunaoishi,
inafanya iwe vigumu sana kwetu
kukazia Ufalme wa Mungu
kuwa suluhisho halisi
kwa matatizo yetu yote.
Kuna mambo mengi yanayoleta migawanyiko ulimwenguni leo.
Vurugu na vita
vinaendelea katika maeneo mbalimbali,
ulimwengu unajitahidi sana
kuwashinikiza watu
waunge mkono upande fulani wa kisiasa
na hata uchaguzi.
Kwa ujumla
inakadiriwa kwamba
mabilioni ya watu,
karibu nusu ya watu wote duniani,
wanaishi katika nchi
ambazo kumekuwa
ama kutakuwa na uchaguzi mwaka huu.
Tumeona pia,
ongezeko la sherehe za kizalendo na kitaifa,
kutia ndani kwenye maeneo ya shule.
Hata michezo
imesababisha migawanyiko mbalimbali ya kitaifa.
Tunasikia mambo hayo
kupitia vyombo vya habari kila siku.
Ulimwengu leo
unakabili matizo mabaya hata zaidi.
Na wanadamu wasio wakamilifu
wamejaribu kutatua matizo hayo
kwa njia mbalimbali.
Lakini tukiwa Mashahidi wa Yehova,
tunapaswa kuwa na mtazamo gani
kuhusu maoni hayo?
Kwa kweli hatujihusishi kwa vyovyote na siasa.
Tunakumbuka maneno ya Yesu
kwenye Yohana 18:36 aliposema:
“Ufalme wangu
si sehemu ya ulimwengu huu.”
Badala yake
tunashikamana na Ufalme wa Mungu
kwa moyo wote
na hatujihusishi
na siasa za ulimwengu huu.
Ni kweli kwamba
Waroma 13:1, 2 inaonyesha
kwamba mamlaka zilizopo
zimewekwa na Mungu
katika vyeo vyao vya kadiri.
Kwa hiyo tunashukuru kwa kazi ambazo serikali zinafanya
na tunaheshimu mamlaka yao.
Hilo linapatana na maneno ya Yesu
yaliyorekodiwa katika Mathayo 22:21,
aliposema: “Basi mlipeni Kaisari
vitu vya Kaisari,
na Mungu vitu vya Mungu.”
Tunapowaheshimu wale walio na nafasi
ya kuwa na mamlaka katika serikali,
hatujihusishi katika masuala au mijadala ya kisiasa.
hata iwe maoni ya upande fulani
yanaonekana kuwa sawa.
Tunaendelea kuutafuta kwanza Ufalme wa Mungu
na uadilifu wake.
Tunajua kwamba hilo ndilo suluhisho la kweli.
Hivyo hatuungi mkono ulimwengu huu
kwa njia yoyote hata kupitia mawazo yetu.
Hatuungi mkono mgombea,
chama cha kisiasa,
au mtu fulani.
Hata ikiwa wao wanaunga mkono
au kufanya mambo yatakayotunufaisha.
Tunakazia fikira suluhisho la kweli.
Ufalme wa Mungu
chini ya Uongozi wa Yesu Kristo.
Ni nini kitatusaidia kuepuka kuunga mkono
upande wowote?
Tutazungumzia njia mbili kwa ufupi.
Kwanza tunapaswa kufikiria zaidi kuhusu suluhisho,
kuliko tatizo
na pili kutumia muda mwingi zaidi
kuzungumza kuhusu suluhisho
kuliko tatizo.
Tuzungumzie njia ya kwanza.
Ni nini kitatusaidia kutumia muda mwingi
kufikiria kuhusu suluhisho
badala ya tatizo?
Kusoma Biblia kila siku
na kutafakari.
Kufanya hivyo kutatusaidia kudumisha
na kuimarisha tumaini letu.
Na tunalinda mioyo yetu
kwa kupunguza wakati tunaotumia kusoma
au kusikiliza habari
au kutumia mitandao ya kijamii,
mambo yanayoweza kutuhangaisha, kutuvunja moyo
au hata kutuchosha.
Njia ya pili ya kutusaidia tusiunge mkono upande wowote
ni kutumia muda mwingi
kuzungumza kuhusu suluhisho
kuliko tatizo.
Si ni kweli kwamba
usemi wetu unafunua kile kilicho moyoni mwetu,
ikiwa tunaanza kuwaeleza wengine
jinsi tunavyohisi kuhusu uchaguzi,
vita, au mambo mengine ya kisiasa?
Je, hilo halitaonyesha kwamba
tumeanza kuunga mkono upande fulani?
Kwa kweli hiyo itakuwa ishara ya onyo kwetu.
Usemi wetu unaweza kuonyesha kwamba,
tunahitaji kujichunguza ikiwa hatuungi
mkono upande wowote.
Njia bora ya kuzungumza kuhusu suluhisho,
ni kuhubiri kuhusu habari njema ya Ufalme wa Mungu.
Hilo litatusaidia
kudumisha utimilifu wetu.
Tuna uhakika kwamba
Yehova ataondoa ukosefu wote wa haki
tunaokabili.
Kuhubiri kunatusaidai kuendelea kukumbuka tumaini letu.
Tumaini ni nanga
inayotuimarisha tunapokabili nyakati ngumu.
Inatuzuia tusiende mbali zaidi na Yehova,
au na tengenezo lake.
Ikiwa tutaendelea kufanya mambo yote hayo,
hatutaunga mkono upande wowote
inapohusu siasa za ulimwengu huu.
Na tutakazia fikira
kwenye suluhisho la kweli,
Ufalme wa Mungu.
Baraza Linaloongoza linashiriki nasi vikumbusho hivyo muhimu,
kwa kuwa Shetani mtawala wa ulimwengu huu
anawashinikiza
watu wa Yehova kuliko wakati mwingine wowote.
Shetani angependa tuunge mkono
mambo ya ulimwengu huu,
tukifanya hivyo
tutaacha kuwa washikamanifu kwa Yehova.
Hata tunaweza kujipata wenyewe,
tukianza kumpinga Yehova
na Ufalme wake.
Na matokeo?
tunaweza kutenda
kana kwamba Shetani ndiye mwenye suluhisho
la matatizo yetu.
Hatutaki tupatwe na jambo kama hilo.
Kwa hiyo ndugu na dada wapendwa
ni lazima tusali kwa Yehova
ili atusaidie kuimarisha imani yetu.
Ili kutusaidia kukazia fikira suluhisho la kweli,
jiwekee lengo
la kuwa na funzo la kibinafsi,
au ibada ya familia
kuhusu kutounga mkono upande wowote.
Fikiria mambo haya machache.
Kwenye kitabu,
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo,
unaweza kupitia habari kuhusu “Serikali.”
Ili kupata chapisho hili kwenye <i>JW Library,</i>
fungua <i>JW Library</i>,
kisha Machapisho,
kisha Vitabu.
Njia nyingine,
ni kupitia tena makala ya <i>Mnara wa Mlinzi</i> ya Oktoba 2023,
yenye kichwa, “Je Uko Tayari Kutii?”
Au kutazama
JW Broadcasting ya Machi 2019.
Ina mapendekezo mazuri
ya kutusaidia kutounga mkono
upande wowote.
Ili kuipata kwenye <i>JW Library</i>,
fungua <i>JW Library</i>, kisha video,
JW Broadcasting,
kisha fungua programu za kila mwezi,
au kwenye jw.org,
tafuta broadcasting ya Machi 2019.
Ikiwa utaandika
“Kutounga Mkono Upande Wowote” kwenye jw.org
utapata video na makala nyingi
zinazoweza kukusaidia.
Tunaweza kuwa na uhakika
kwamba moyo wa Yehova unashangilia,
kuona mamilioni ya watu kutoka mataifa yote,
wakiungana ili kumwabudu yeye,
hawaungi mkono upande wowote,
na kutangaza suluhisho la kweli
kwa matatizo ya wanadamu,
habari njema ya Ufalme wa Mungu.
Ndugu na dada
tafadhali kumbukeni,
tunawapenda sana ninyi nyote.
Kutoka Makao Makuu
ya Ulimwenguni Pote
ya Mashahidi wa Yehova,
hii ni JW Broadcasting.
-