00:00:05
Wakati mwingine ninakosa jibu.00:00:07
00:00:07
Ni vigumu kwangu kueleza.00:00:09
00:00:09
Je, kweli ninapenda kusoma?00:00:11
00:00:11
Si sana.00:00:12
00:00:12
Sijui kwa nini00:00:14
00:00:14
lakini sipendi vitabu.00:00:16
00:00:16
Naona vinanichosha.00:00:17
00:00:17
Mimi hukengushwa kwa urahisi.00:00:19
00:00:19
Ninahitaji kujitayarisha kiakili ili nisome00:00:22
00:00:22
kwa sababu kuna mambo00:00:23
00:00:23
mengine ya kufanya.00:00:24
00:00:25
Sifurahii kusoma00:00:28
00:00:28
lakini ninapenda kusoma Biblia.00:00:30
00:00:30
Kwangu hicho si kitabu cha kawaida.00:00:32
00:00:35
Kina thamani kubwa.00:00:37
00:00:38
Watu wengine husema hakina faida leo00:00:40
00:00:40
Lakini unapoisoma00:00:42
00:00:42
kila wakati unaona00:00:43
00:00:43
kuna mambo unayoweza kujifunza.00:00:45
00:00:45
Imenisaidia kufikiri kabla ya kusema.00:00:48
00:00:48
Imenisaidia kupendezwa na watu,00:00:50
00:00:50
kujua hali yao00:00:51
00:00:51
afya yao, na kujaribu kuwasaidia.00:00:54
00:00:54
Kusoma Biblia kumenifanya niwe mtu mzuri.00:00:56
00:00:56
Ninapata jambo linanlonitia moyo.00:00:59
00:01:00
Nadhani ninapenda00:01:01
00:01:01
kitabu cha Zaburi 00:01:02
00:01:02
zaidi katika Biblia kwa sababu00:01:04
00:01:04
ni rahisi kwangu kukielewa na kinanivutia.00:01:07
00:01:07
Vijana wanaweza kutembelea00:01:09
00:01:09
jw.org na kupata Biblia.00:01:12
00:01:12
Zinapatikana hapo.00:01:13
00:01:14
Unaweza kuandika andiko00:01:16
00:01:16
na kutafuta makala00:01:17
00:01:17
zinazozungumzia andiko hilo.00:01:19
00:01:20
Ninapenda sana kutazama video mpya00:01:22
00:01:23
za utangulizi wa kitabu cha Biblia.00:01:25
00:01:25
Zimetayarishwa vizuri.00:01:27
00:01:27
Ni za dakika mbili au tatu hivi.00:01:30
00:01:30
Na unaweza kuelewa vizuri00:01:31
00:01:31
kitabu unachotaka kuanza kusoma.00:01:33
00:01:33
Hilo hufanya usomaji upendeze sana.00:01:35
00:01:35
Ninasoma kwa kutegemea00:01:37
00:01:37
mada au jambo linalonivutia.00:01:39
00:01:39
Ninaangalia sehemu zinazonivutia,00:01:41
00:01:41
ambazo zinanigusa moja kwa moja.00:01:43
00:01:44
Hilo hufurahisha.00:01:46
00:01:46
Ina faida sana.00:01:48
00:01:48
Na ni muhimu sana.00:01:49
00:01:49
Unaweza kupata furaha00:01:52
00:01:52
nasi sote tunapenda kuwa na furaha.00:01:55
Kusoma Biblia
-
Kusoma Biblia
Wakati mwingine ninakosa jibu.
Ni vigumu kwangu kueleza.
Je, kweli ninapenda kusoma?
Si sana.
Sijui kwa nini
lakini sipendi vitabu.
Naona vinanichosha.
Mimi hukengushwa kwa urahisi.
Ninahitaji kujitayarisha kiakili ili nisome
kwa sababu kuna mambo
mengine ya kufanya.
Sifurahii kusoma
lakini ninapenda kusoma Biblia.
Kwangu hicho si kitabu cha kawaida.
Kina thamani kubwa.
Watu wengine husema hakina faida leo
Lakini unapoisoma
kila wakati unaona
kuna mambo unayoweza kujifunza.
Imenisaidia kufikiri kabla ya kusema.
Imenisaidia kupendezwa na watu,
kujua hali yao
afya yao, na kujaribu kuwasaidia.
Kusoma Biblia kumenifanya niwe mtu mzuri.
Ninapata jambo linanlonitia moyo.
Nadhani ninapenda
kitabu cha Zaburi
zaidi katika Biblia kwa sababu
ni rahisi kwangu kukielewa na kinanivutia.
Vijana wanaweza kutembelea
jw.org na kupata Biblia.
Zinapatikana hapo.
Unaweza kuandika andiko
na kutafuta makala
zinazozungumzia andiko hilo.
Ninapenda sana kutazama video mpya
za utangulizi wa kitabu cha Biblia.
Zimetayarishwa vizuri.
Ni za dakika mbili au tatu hivi.
Na unaweza kuelewa vizuri
kitabu unachotaka kuanza kusoma.
Hilo hufanya usomaji upendeze sana.
Ninasoma kwa kutegemea
mada au jambo linalonivutia.
Ninaangalia sehemu zinazonivutia,
ambazo zinanigusa moja kwa moja.
Hilo hufurahisha.
Ina faida sana.
Na ni muhimu sana.
Unaweza kupata furaha
nasi sote tunapenda kuwa na furaha.
-