00:00:06
Watu wengi wanaamini kwamba00:00:08
00:00:08
si muhimu unachagua kuwa wa dini gani00:00:11
00:00:11
na kwamba dini ni kama barabara tofauti00:00:14
00:00:14
zinazoongoza mahali pamoja—00:00:16
00:00:16
kwenye baraka za milele za Mungu.00:00:19
00:00:19
Je, hilo ni kweli?00:00:21
00:00:22
Je, Mungu
anakubali aina zote za ibada?00:00:25
00:00:25
Biblia yenyewe
inalinganisha dini na barabara mbili:00:00:29
00:00:29
Moja ni pana na
watu wengi wanapita juu yake.00:00:33
00:00:33
Nyingine ni nyembamba
na ni wachache tu wanaoipata.00:00:37
00:00:37
Barabara nyembamba tu00:00:39
00:00:39
ndiyo inayowakilisha ibada inayokubalika,00:00:42
00:00:42
inayoongoza kwenye
uzima na baraka za Mungu.00:00:45
00:00:45
Tunawezaje kujua ikiwa tuko00:00:47
00:00:47
kwenye barabara inayofaa?00:00:49
00:00:51
Wazia kwamba umepotea.00:00:53
00:00:53
Unasimama na
kumwomba mtu akuelekeze.00:00:57
00:00:57
Mtu mmoja anakuambia
uende kulia00:01:00
00:01:00
mwingine anasema
uende kushoto.00:01:03
00:01:04
Hatimaye,
mtu anakuonyesha kwenye ramani00:01:08
00:01:08
kwamba unapaswa kwenda00:01:09
00:01:09
mbele moja kwa moja.00:01:11
00:01:13
Utamwamini nani?00:01:14
00:01:17
Biblia ni kama ramani hiyo,00:01:19
00:01:19
na inatuonyesha jinsi
ya kupata baraka za Mungu.00:01:23
00:01:24
Lakini kwa nini kuna
imani nyingi zinazotofautiana sana?00:01:28
00:01:29
Kwa mfano,00:01:31
00:01:31
dini nyingi zinafundisha kwamba00:01:33
00:01:33
nafsi ya mwanadamu huendelea kuishi milele00:01:36
00:01:36
katika makao ya roho,00:01:38
00:01:40
na nyingine zinafundisha kwamba00:01:41
00:01:41
mtu huzaliwa upya akiwa na mwili00:01:44
00:01:44
au umbo tofauti.00:01:46
00:01:47
Huo ni mfano mmoja tu00:01:48
00:01:48
wa imani
nyingi za kidini zinazotofautiana.00:01:51
00:01:52
Je, kweli dini zote
zinaweza kuwa zikifundisha kweli?00:01:56
00:01:58
Kulingana na ramani,00:02:00
00:02:02
waliokufa hawajui lolote kamwe.00:02:06
00:02:07
Wakati utakapofika,00:02:09
00:02:09
Mungu atawafufua00:02:10
00:02:10
na waadilifu wataishi milele duniani.00:02:13
00:02:15
Ikiwa Biblia inasema
mambo wazi kuhusu fundisho hili,00:02:19
00:02:19
namna gani
kuhusu mambo mengine,00:02:21
00:02:21
kama vile mwenendo wetu?00:02:23
00:02:24
Huenda tukawa
washiriki wa dini fulani,00:02:26
00:02:27
lakini ikiwa
mwenendo wetu unamchukiza Mungu,00:02:30
00:02:30
huenda ibada yetu ikawa ya bure.00:02:32
00:02:33
Biblia inafundisha kwamba00:02:35
00:02:35
watu wengi leo wangekuwa00:02:37
00:02:37
“wasiojizuia,
wakali, wasiopenda wema.”00:02:41
00:02:45
Hata hivyo,00:02:46
00:02:46
inasema pia kwamba
waabudu wa kweli wa Mungu00:02:50
00:02:51
wangekuwa
wenye kufanya amani,00:02:54
00:02:55
wakidhibiti
maneno na matendo yao.00:02:58
00:02:58
Badala ya kusema kwamba00:03:00
00:03:00
kuna dini nyingi zinazompendeza Mungu,00:03:03
00:03:03
Biblia inasema kwamba00:03:05
00:03:05
kuna dini moja tu ya kweli.00:03:07
00:03:07
Ibada ya kweli humsaidia mtu00:03:10
00:03:10
kuwa na uhusiano mzuri na Mungu00:03:12
00:03:13
na kupata uzima wa milele.00:03:15
00:03:16
Huenda ukajiuliza,00:03:18
00:03:18
‘Ninaweza kuitambuaje dini ya kweli?’00:03:20
00:03:21
Swali hilo na mengine mengi00:03:22
00:03:22
yanajibiwa katika somo la 10 la broshua00:03:25
00:03:25
Habari Njema Kutoka kwa Mungu!00:03:27
00:03:28
Unaweza kuipakua kwenye jw.org/sw00:03:32
00:03:33
Mashahidi wa Yehova00:03:34
00:03:34
watafurahi kujifunza Biblia pamoja nawe.00:03:37
00:03:39
Jaza ombi la kujifunza Biblia00:03:41
00:03:41
linalopatikana kwenye mtandao,00:03:43
00:03:43
na mmoja wa
Mashahidi wa Yehova00:03:45
00:03:45
atakutembelea
wakati na mahali panapokufaa.00:03:49
Je, Mungu Anakubali Aina Zote za Ibada?
-
Je, Mungu Anakubali Aina Zote za Ibada?
Watu wengi wanaamini kwamba
si muhimu unachagua kuwa wa dini gani
na kwamba dini ni kama barabara tofauti
zinazoongoza mahali pamoja—
kwenye baraka za milele za Mungu.
Je, hilo ni kweli?
Je, Mungu
anakubali aina zote za ibada?
Biblia yenyewe
inalinganisha dini na barabara mbili:
Moja ni pana na
watu wengi wanapita juu yake.
Nyingine ni nyembamba
na ni wachache tu wanaoipata.
Barabara nyembamba tu
ndiyo inayowakilisha ibada inayokubalika,
inayoongoza kwenye
uzima na baraka za Mungu.
Tunawezaje kujua ikiwa tuko
kwenye barabara inayofaa?
Wazia kwamba umepotea.
Unasimama na
kumwomba mtu akuelekeze.
Mtu mmoja anakuambia
uende kulia
mwingine anasema
uende kushoto.
Hatimaye,
mtu anakuonyesha kwenye ramani
kwamba unapaswa kwenda
mbele moja kwa moja.
Utamwamini nani?
Biblia ni kama ramani hiyo,
na inatuonyesha jinsi
ya kupata baraka za Mungu.
Lakini kwa nini kuna
imani nyingi zinazotofautiana sana?
Kwa mfano,
dini nyingi zinafundisha kwamba
nafsi ya mwanadamu huendelea kuishi milele
katika makao ya roho,
na nyingine zinafundisha kwamba
mtu huzaliwa upya akiwa na mwili
au umbo tofauti.
Huo ni mfano mmoja tu
wa imani
nyingi za kidini zinazotofautiana.
Je, kweli dini zote
zinaweza kuwa zikifundisha kweli?
Kulingana na ramani,
waliokufa hawajui lolote kamwe.
Wakati utakapofika,
Mungu atawafufua
na waadilifu wataishi milele duniani.
Ikiwa Biblia inasema
mambo wazi kuhusu fundisho hili,
namna gani
kuhusu mambo mengine,
kama vile mwenendo wetu?
Huenda tukawa
washiriki wa dini fulani,
lakini ikiwa
mwenendo wetu unamchukiza Mungu,
huenda ibada yetu ikawa ya bure.
Biblia inafundisha kwamba
watu wengi leo wangekuwa
“wasiojizuia,
wakali, wasiopenda wema.”
Hata hivyo,
inasema pia kwamba
waabudu wa kweli wa Mungu
wangekuwa
wenye kufanya amani,
wakidhibiti
maneno na matendo yao.
Badala ya kusema kwamba
kuna dini nyingi zinazompendeza Mungu,
Biblia inasema kwamba
kuna dini moja tu ya kweli.
Ibada ya kweli humsaidia mtu
kuwa na uhusiano mzuri na Mungu
na kupata uzima wa milele.
Huenda ukajiuliza,
‘Ninaweza kuitambuaje dini ya kweli?’
Swali hilo na mengine mengi
yanajibiwa katika somo la 10 la broshua
Habari Njema Kutoka kwa Mungu!
Unaweza kuipakua kwenye jw.org/sw
Mashahidi wa Yehova
watafurahi kujifunza Biblia pamoja nawe.
Jaza ombi la kujifunza Biblia
linalopatikana kwenye mtandao,
na mmoja wa
Mashahidi wa Yehova
atakutembelea
wakati na mahali panapokufaa.
-