00:00:09
Kila mutu anahuzunikaka wakati fulani.00:00:11
00:00:15
Na weye?00:00:16
00:00:19
Wakati fulani,00:00:20
00:00:20
unaweza kujua sababu yenye inakufanya uhuzunike,00:00:23
00:00:26
na wakati ingine, hautajua.00:00:28
00:00:33
Unaweza kufanya nini wakati unahuzunika pengine hata bila sababu?00:00:37
00:00:39
Kwanza, elezea mutu fulani ile hali, sawa vile muzazi ao rafiki wa karibu.00:00:44
00:00:46
Wakati Yobu alikuwa anateseka, alisema:00:00:48
00:00:49
“Nitasema kwa sababu ya uchungu wangu mwingi!”00:00:51
00:00:52
Wakati mutu anajua namna uko unajisikia, anaweza kukusaidia,00:00:56
00:00:57
ni kama vile anakutupia kamba juu utoke mu shimo.00:01:01
00:01:03
Pili:00:01:04
00:01:05
Andika namna unajisikia.00:01:07
00:01:11
Biblia inatuambia hivi mu Mezali 3:21,00:01:14
00:01:14
“linda hekima yenye kutenda na uwezo wa kufikiri.”00:01:17
00:01:21
Kuandika namna unajisikia kunaweza kukusaidia kufikiri.00:01:25
00:01:25
Ukiandika, unaweza kuelewa ni juu ya nini unajisikia vile,00:01:29
00:01:31
na kwa hiyo huzuni yako inaweza kupunguka.00:01:33
00:01:37
Tatu:00:01:38
00:01:38
Biblia inasema kama wakati unasali juu ya mahangaiko yako,00:01:41
00:01:42
‘amani ya Mungu yenye kupita uelewaji wote italinda moyo wako na nguvu zako za akili.’00:01:47
00:01:48
Kwa hiyo, usisahau sala.00:01:50
00:01:52
Jambo la mwisho lakini la maana sana ni kusoma Biblia—00:01:55
00:01:56
zaidi sana kitabu cha Zaburi.00:01:58
00:02:00
Kujaza akili yako na mawazo ya muzuri, kunaweza kukusaidia ujisikie muzuri.00:02:05
00:02:06
Lakini tuseme nini kama huzuni yako inaendelea tu?00:02:09
00:02:10
Haufurahie tena kufanya mambo yenye ulikuwa unapenda kufanya?00:02:14
00:02:16
Unapoteza hamu ya kula,00:02:18
00:02:20
unakosa usingizi,00:02:22
00:02:23
ao unajisikia kama hauko kabisa wa maana?00:02:26
00:02:27
Kama zile hali zinaendelea, ambia wazazi wako juu ya kuenda kumuona munganga.00:02:32
00:02:34
Anaweza kukuambia kama huzuni yako inatokana na tatizo fulani la afya,00:02:38
00:02:38
sawa vile kushuka moyo.00:02:40
00:02:41
Usisikie haya kama uko na ugonjwa wa kushuka moyo.00:02:44
00:02:44
Matunzo, imesaidia watu wengi wenye walikuwa mu ile hali wajisikie muzuri zaidi,00:02:50
00:02:50
pengine hata kupita namna walijisikia zamani.00:02:53
00:02:54
Ikuwe ni kushuka moyo njo kunakufanya uhuzunike ao hapana,00:02:58
00:02:59
ukijikaza na kutumikisha musaada wa wengine unaweza kutoka mu ile shimo.00:03:04
00:03:08
Kumbuka, huzuni ni ya muda tu na itapita.00:03:13
00:03:13
Na kama unaweza kupambana nayo sasa,00:03:15
00:03:16
ile itakusaidia pia wakati utakuwa mutu muzima.00:03:19
00:03:20
Kama tu unahangaikia mambo ya leo00:03:22
00:03:24
na kama unategemea wazazi wako na marafiki wa karibu,00:03:27
00:03:29
huzuni yako inaweza kugeuka kuwa furaha.00:03:31
Huzuni Inaweza Kugeuka Kuwa Furaha
-
Huzuni Inaweza Kugeuka Kuwa Furaha
Kila mutu anahuzunikaka wakati fulani.
Na weye?
Wakati fulani,
unaweza kujua sababu yenye inakufanya uhuzunike,
na wakati ingine, hautajua.
Unaweza kufanya nini wakati unahuzunika pengine hata bila sababu?
Kwanza, elezea mutu fulani ile hali, sawa vile muzazi ao rafiki wa karibu.
Wakati Yobu alikuwa anateseka, alisema:
“Nitasema kwa sababu ya uchungu wangu mwingi!”
Wakati mutu anajua namna uko unajisikia, anaweza kukusaidia,
ni kama vile anakutupia kamba juu utoke mu shimo.
Pili:
Andika namna unajisikia.
Biblia inatuambia hivi mu Mezali 3:21,
“linda hekima yenye kutenda na uwezo wa kufikiri.”
Kuandika namna unajisikia kunaweza kukusaidia kufikiri.
Ukiandika, unaweza kuelewa ni juu ya nini unajisikia vile,
na kwa hiyo huzuni yako inaweza kupunguka.
Tatu:
Biblia inasema kama wakati unasali juu ya mahangaiko yako,
‘amani ya Mungu yenye kupita uelewaji wote italinda moyo wako na nguvu zako za akili.’
Kwa hiyo, usisahau sala.
Jambo la mwisho lakini la maana sana ni kusoma Biblia—
zaidi sana kitabu cha Zaburi.
Kujaza akili yako na mawazo ya muzuri, kunaweza kukusaidia ujisikie muzuri.
Lakini tuseme nini kama huzuni yako inaendelea tu?
Haufurahie tena kufanya mambo yenye ulikuwa unapenda kufanya?
Unapoteza hamu ya kula,
unakosa usingizi,
ao unajisikia kama hauko kabisa wa maana?
Kama zile hali zinaendelea, ambia wazazi wako juu ya kuenda kumuona munganga.
Anaweza kukuambia kama huzuni yako inatokana na tatizo fulani la afya,
sawa vile kushuka moyo.
Usisikie haya kama uko na ugonjwa wa kushuka moyo.
Matunzo, imesaidia watu wengi wenye walikuwa mu ile hali wajisikie muzuri zaidi,
pengine hata kupita namna walijisikia zamani.
Ikuwe ni kushuka moyo njo kunakufanya uhuzunike ao hapana,
ukijikaza na kutumikisha musaada wa wengine unaweza kutoka mu ile shimo.
Kumbuka, huzuni ni ya muda tu na itapita.
Na kama unaweza kupambana nayo sasa,
ile itakusaidia pia wakati utakuwa mutu muzima.
Kama tu unahangaikia mambo ya leo
na kama unategemea wazazi wako na marafiki wa karibu,
huzuni yako inaweza kugeuka kuwa furaha.
-