00:00:06
Hebu ona00:00:07
00:00:07
una shughuli nyingi,00:00:09
00:00:09
kuwa pamoja na marafiki,00:00:11
00:00:12
kwenda shule,00:00:13
00:00:14
na labda00:00:15
00:00:15
una kazi fulani ya kufanya.00:00:17
00:00:20
Na unahisi kwamba huna wakati wa kudumisha usafi.00:00:23
00:00:24
Lakini hizi ni sababu tatu00:00:26
00:00:26
zinazofanya usafi kuwa jambo muhimu kwetu.00:00:29
00:00:30
Kwanza00:00:31
00:00:32
tunaonyesha tunawaheshimu wengine,00:00:34
00:00:37
pili00:00:38
00:00:39
inafanya ujihisi vizuri,00:00:41
00:00:43
na tatu00:00:44
00:00:44
kunafanya maisha yawe rahisi00:00:46
00:00:46
na yasiyo na mkazo.00:00:47
00:00:51
Unaweza kudumishaje usafi,00:00:53
00:00:53
anza na mambo ya msingi,00:00:55
00:00:56
nawa mikono kwa ukawaida,00:00:58
00:00:58
hasa kabla ya kula chakula00:01:00
00:01:00
na baada ya kutumia choo.00:01:02
00:01:04
Kufanya hivyo kunasaidia kuua vimelea00:01:07
00:01:07
na kunalinda afya yako.00:01:09
00:01:11
Safisha mwili wako kwa ukawaida,00:01:13
00:01:13
baada ya mchezo wowote00:01:15
00:01:15
au baada ya kufanya kazi ngumu.00:01:17
00:01:19
Kumbuka kwamba00:01:20
00:01:22
meno yako yanahitaji kusafishwa pia.00:01:24
00:01:27
Na ujifunze jinsi ya kusafisha nguo zako.00:01:29
00:01:29
Kwa kuwa utakapoondoka nyumbani00:01:31
00:01:31
utahitaji kufanya kazi hizo wewe mwenyewe.00:01:34
00:01:34
Hivyo mara zote tafuta wakati00:01:37
00:01:37
wa kupanga na kusafisha nyumba yako,00:01:39
00:01:39
gari yako,00:01:40
00:01:41
na vitu vingine vilivyo muhimu kwako.00:01:43
00:01:45
Biblia inasema kwamba00:01:46
00:01:46
mtu mwenye utimamu,00:01:48
00:01:48
anaona hekima ya kufanya mambo yote kwa adabu00:01:50
00:01:50
na kwa mpangilio mzuri.00:01:52
00:01:55
Ni kweli una shughuli nyingi,00:01:57
00:02:01
lakini zisikuzuie00:02:03
00:02:04
kudumisha usafi. 00:02:05
Uwe Nadhifu—Uwe Safi
-
Uwe Nadhifu—Uwe Safi
Hebu ona
una shughuli nyingi,
kuwa pamoja na marafiki,
kwenda shule,
na labda
una kazi fulani ya kufanya.
Na unahisi kwamba huna wakati wa kudumisha usafi.
Lakini hizi ni sababu tatu
zinazofanya usafi kuwa jambo muhimu kwetu.
Kwanza
tunaonyesha tunawaheshimu wengine,
pili
inafanya ujihisi vizuri,
na tatu
kunafanya maisha yawe rahisi
na yasiyo na mkazo.
Unaweza kudumishaje usafi,
anza na mambo ya msingi,
nawa mikono kwa ukawaida,
hasa kabla ya kula chakula
na baada ya kutumia choo.
Kufanya hivyo kunasaidia kuua vimelea
na kunalinda afya yako.
Safisha mwili wako kwa ukawaida,
baada ya mchezo wowote
au baada ya kufanya kazi ngumu.
Kumbuka kwamba
meno yako yanahitaji kusafishwa pia.
Na ujifunze jinsi ya kusafisha nguo zako.
Kwa kuwa utakapoondoka nyumbani
utahitaji kufanya kazi hizo wewe mwenyewe.
Hivyo mara zote tafuta wakati
wa kupanga na kusafisha nyumba yako,
gari yako,
na vitu vingine vilivyo muhimu kwako.
Biblia inasema kwamba
mtu mwenye utimamu,
anaona hekima ya kufanya mambo yote kwa adabu
na kwa mpangilio mzuri.
Ni kweli una shughuli nyingi,
lakini zisikuzuie
kudumisha usafi.
-