00:00:04
Kila mtu angependa kuwa mshindi.00:00:07
00:00:07
Lakini je,unaweza kuwa mshindi00:00:10
00:00:10
ikiwa kila wakati wewe ni mnyoofu?00:00:11
00:00:12
Hakuna mtu anayempenda mwongo.00:00:15
00:00:17
Lakini wakati fulani00:00:18
00:00:18
inaweza kuonekana kwamba00:00:19
00:00:19
watu wasio wanyoofu wanafanikiwa.00:00:21
00:00:22
Basi kwa nini wewe peke yako uwe mnyoofu?00:00:25
00:00:25
na hasa ikiwa hakuna mtu yeyote anayeumia.00:00:29
00:00:29
Tatizo ni kwamba00:00:30
00:00:30
uongo una madhara mengi
kuliko faida.00:00:33
00:00:38
Na ukishaanza kutueleza kwenye njia
hiyo ya kudanganya,00:00:42
00:00:46
ni vigumu sana kuaacha.00:00:48
00:00:50
Na ikiwa utafanikiwa kwa sababu ya uongo wako00:00:53
00:00:54
inaelekea utadanganya tena.00:00:57
00:01:00
Lakini huenda ukijiambia si vibaya00:01:03
00:01:03
kusema ukweli nusu nusu00:01:06
00:01:09
lakini bado huo ni uongo00:01:12
00:01:12
ikiwa utawapotosha wale wanaostahili
kujua ukweli kamili.00:01:15
00:01:18
Kuna ubaya gani kutia chumvi kidogo?00:01:20
00:01:23
Hasa ikiwa unataka kupata marafiki00:01:27
00:01:28
Unapojifanya uonekane tofauti na ulivyo kikweli00:01:31
00:01:31
hiyo pia ni aina ya uwongo.00:01:33
00:01:33
Kadiri unavyoendelea kufanya hivyo,00:01:36
00:01:37
huenda usione kuwa una tatizo00:01:40
00:01:40
mpaka utakapogundua kwamba00:01:42
00:01:42
umekuwa mtu tofauti kabisa.00:01:44
00:01:45
Huwezi kuwa na amani ya akili ukidanganya00:01:48
00:01:48
ni vigumu zaidi kukumbuka uongo uliosema00:01:51
00:01:51
kuliko ukweli.00:01:52
00:01:52
Na punde si punde matokeo ya kusema
uongo yataka kulipukia.00:01:57
00:01:57
Kwenye Methali ishirini na moja sita00:01:59
00:01:59
Biblia inasema kwamba00:02:01
00:02:02
faida zozote tunazopata kwa kusema uongo00:02:04
00:02:05
ni kama ukungu unatoweka.00:02:07
00:02:08
Huenda familia yako ikaacha kukuheshimu
na kukuamini00:02:11
00:02:12
huenda pia ukapoteza marafiki wako00:02:15
00:02:15
na ikiwa utazoea kudanganya maishani mwako,00:02:19
00:02:19
Eh huenda utapata madhara makubwa hata zaidi.00:02:22
00:02:23
mbali na hayo yote00:02:24
00:02:24
kusema uongo00:02:27
00:02:27
kuna madhara yaliojificha00:02:29
00:02:29
kunabadili jinsi unavyohisi kujihusu00:02:30
00:02:31
lakini unaweza kuchagua kuwa mnyoofu00:02:33
00:02:33
na uone jinsi utakavyonufaika.00:02:36
00:02:36
ukishawishiwa kujinufaisha kutokana udanganyifu00:02:39
00:02:40
kataa mmm utajiheshimu00:02:42
00:02:42
kwa sababu matokeo uliopata,00:02:44
00:02:44
yalitegemea jitihada ulizofanya.00:02:47
00:02:47
Acha watu wa familia wakuheshimu na kukuamini 00:02:50
00:02:50
kwa kuwaeleza ukweli kamili.00:02:52
00:02:53
Huenda ukapata adhabu00:02:54
00:02:54
lakini utajifunza kutokana na makosa yako.00:02:57
00:02:57
Na utapata marafiki wanaokupenda00:02:59
00:02:59
kwa jinsi ulivyo00:03:01
00:03:01
Kuna faida kubwa zaidi kuwa mnyofu00:03:03
00:03:03
kuliko kuwa mwongo00:03:05
00:03:05
Katika familia pamoja na marafiki00:03:08
00:03:08
na kwako mwenyewe00:03:10
Kwa Nini Uwe Mnyoofu?
-
Kwa Nini Uwe Mnyoofu?
Kila mtu angependa kuwa mshindi.
Lakini je,unaweza kuwa mshindi
ikiwa kila wakati wewe ni mnyoofu?
Hakuna mtu anayempenda mwongo.
Lakini wakati fulani
inaweza kuonekana kwamba
watu wasio wanyoofu wanafanikiwa.
Basi kwa nini wewe peke yako uwe mnyoofu?
na hasa ikiwa hakuna mtu yeyote anayeumia.
Tatizo ni kwamba
uongo una madhara mengi
kuliko faida.
Na ukishaanza kutueleza kwenye njia
hiyo ya kudanganya,
ni vigumu sana kuaacha.
Na ikiwa utafanikiwa kwa sababu ya uongo wako
inaelekea utadanganya tena.
Lakini huenda ukijiambia si vibaya
kusema ukweli nusu nusu
lakini bado huo ni uongo
ikiwa utawapotosha wale wanaostahili
kujua ukweli kamili.
Kuna ubaya gani kutia chumvi kidogo?
Hasa ikiwa unataka kupata marafiki
Unapojifanya uonekane tofauti na ulivyo kikweli
hiyo pia ni aina ya uwongo.
Kadiri unavyoendelea kufanya hivyo,
huenda usione kuwa una tatizo
mpaka utakapogundua kwamba
umekuwa mtu tofauti kabisa.
Huwezi kuwa na amani ya akili ukidanganya
ni vigumu zaidi kukumbuka uongo uliosema
kuliko ukweli.
Na punde si punde matokeo ya kusema
uongo yataka kulipukia.
Kwenye Methali ishirini na moja sita
Biblia inasema kwamba
faida zozote tunazopata kwa kusema uongo
ni kama ukungu unatoweka.
Huenda familia yako ikaacha kukuheshimu
na kukuamini
huenda pia ukapoteza marafiki wako
na ikiwa utazoea kudanganya maishani mwako,
Eh huenda utapata madhara makubwa hata zaidi.
mbali na hayo yote
kusema uongo
kuna madhara yaliojificha
kunabadili jinsi unavyohisi kujihusu
lakini unaweza kuchagua kuwa mnyoofu
na uone jinsi utakavyonufaika.
ukishawishiwa kujinufaisha kutokana udanganyifu
kataa mmm utajiheshimu
kwa sababu matokeo uliopata,
yalitegemea jitihada ulizofanya.
Acha watu wa familia wakuheshimu na kukuamini
kwa kuwaeleza ukweli kamili.
Huenda ukapata adhabu
lakini utajifunza kutokana na makosa yako.
Na utapata marafiki wanaokupenda
kwa jinsi ulivyo
Kuna faida kubwa zaidi kuwa mnyofu
kuliko kuwa mwongo
Katika familia pamoja na marafiki
na kwako mwenyewe
-