00:00:01
“Endeleeni kukesha.” 00:00:03
00:00:04
Hivyo ndivyo Yesu00:00:05
00:00:05
aliwaambia wanafunzi wake00:00:07
00:00:07
baada ya kusimulia mambo00:00:08
00:00:08
yatakayotokea katika siku za mwisho.00:00:10
00:00:11
Wewe umekuwa ukiendelea00:00:13
00:00:13
kukesha kwa muda gani?00:00:14
00:00:15
Bila shaka sasa tunakabili00:00:17
00:00:17
nyakati za hatari00:00:18
00:00:18
zilizo ngumu kushughulika nazo.00:00:20
00:00:22
Hizi ndizo hali ambazo00:00:23
00:00:23
tunakuwa tukihubiri00:00:24
00:00:24
kuzihusu kwa miaka mingi.00:00:26
00:00:27
Katika ripoti hii,00:00:28
00:00:28
acheni tuchunguze baadhi ya unabii00:00:30
00:00:30
ambao tunaona ukitimia mbele yetu00:00:33
00:00:33
sasa hivi.00:00:34
00:00:34
Na tuzungumzie00:00:35
00:00:35
jinsi kampeni ya Novemba00:00:37
00:00:37
ya kutangaza00:00:38
00:00:38
kuhusu Ufalme wa Mungu00:00:39
00:00:39
inavyofaa kabisa wakati huu.00:00:41
00:00:43
Kwanza,00:00:44
00:00:44
fikiria kuhusu ishara00:00:45
00:00:45
ambayo Yesu aliwapa wanafunzi wake.00:00:47
00:00:48
Kwenye Luka 21:11,00:00:50
00:00:50
Yesu alisema kwamba00:00:52
00:00:52
tungeona “magonjwa 00:00:53
00:00:53
na upungufu wa chakula”00:00:55
00:00:55
“katika sehemu mbalimbali.”00:00:57
00:00:58
Sasa hivi00:01:00
00:01:00
tunajionea sehemu hiyo ya ishara00:01:02
00:01:02
ambayo Yesu alitoa00:01:03
00:01:03
ikitimia kwa njia kubwa sana.00:01:06
00:01:07
Unabii wa pili ambao tutachunguza00:01:10
00:01:10
unapatikana katika Danieli sura ya 2.00:01:12
00:01:13
Hapo tunasoma kuhusu00:01:14
00:01:14
sanamu kubwa sana00:01:16
00:01:16
inayowakilisha falme za wanadamu00:01:18
00:01:18
ambazo zingefuatana00:01:20
00:01:20
kuanzia milki ya Babiloni00:01:22
00:01:22
hadi leo.00:01:23
00:01:24
Vidole vya miguu00:01:25
00:01:25
kwenye sehemu ya chini00:01:26
00:01:26
ya sanamu hiyo00:01:28
00:01:28
viliwakilisha serikali kuu ya ulimwengu00:01:30
00:01:30
ya Uingereza na Marekani.00:01:31
00:01:32
Na Danieli anatuambia00:01:33
00:01:33
vilikuwa kwa sehemu vya chuma00:01:35
00:01:36
na kwa sehemu vya00:01:37
00:01:37
udongo wa mfinyanzi.00:01:38
00:01:39
Je, unakumbuka mchanganyiko huo00:01:41
00:01:41
wa udongo wa mfinyanzi00:01:42
00:01:42
na chuma unawakilisha nini?00:01:44
00:01:45
Udongo unafananisha00:01:47
00:01:47
watu wanaotawaliwa na00:01:48
00:01:48
serkali hiyo kuu ya ulimwengu00:01:50
00:01:50
ya Uingereza na Marekani00:01:51
00:01:51
ambao wanapinga utawala huo00:01:53
00:01:53
na kudhoofisha uwezo wa00:01:55
00:01:55
serikali hiyo kutumia nguvu00:01:56
00:01:56
zake kikamili kama chuma.00:01:58
00:02:00
Danieli 2:43 inasema:00:02:03
00:02:03
‘sehemu hizo mbili00:02:05
00:02:05
hazitashikamana.’00:02:06
00:02:08
Mnara wa Mlinzi la Juni 15, 201200:02:12
00:02:12
lilitoa uthibitisho wa wazi00:02:14
00:02:14
wa chuma na udongo wa mfinyanzi00:02:16
00:02:16
liliposema hivi:00:02:17
00:02:19
“maoni ya kisiasa yanayopingana00:02:21
00:02:22
na matokeo ya uchaguzi yanayokaribiana 00:02:24
00:02:25
na ambayo hayaonyeshi wazi mshindi00:02:27
00:02:28
yamedhoofisha uwezo00:02:29
00:02:29
wa hata viongozi maarufu,00:02:31
00:02:31
hivi kwamba 00:02:32
00:02:32
hawana mamlaka ya00:02:33
00:02:33
kutekeleza sera zao.”00:02:34
00:02:37
Je, hukubali kwamba00:02:39
00:02:39
tunajionea ukweli wa hilo sasa00:02:40
00:02:40
kuliko miaka minane iliyopita00:02:42
00:02:42
wakati ambapo gazeti hilo lilichapishwa.00:02:45
00:02:46
Tafakari kutimizwa00:02:47
00:02:47
kwa unabii wa Biblia ambao00:02:48
00:02:48
tunaona sasa hivi00:02:50
00:02:50
kunaweza kuimarisha00:02:52
00:02:52
imani yetu sana.00:02:53
00:02:54
Katika mahojiano yafuatayo00:02:56
00:02:56
Ndugu Richard Kelsey00:02:58
00:02:58
ambaye alibatizwa mwaka wa 194100:03:01
00:03:01
anasimulia ni mambo gani00:03:03
00:03:03
ambayo yamemsaidia00:03:04
00:03:04
kuendelea kukesha00:03:05
00:03:05
kwa karibu miaka 80 sasa.00:03:08
00:03:10
Nilibatizwa Juni 194100:03:13
00:03:13
huko Des Moines, Iowa,00:03:15
00:03:15
wakati uleule kama Peggy, 00:03:17
00:03:17
na tulibatizwa katika tangi00:03:19
00:03:19
la kunyweshea farasi.00:03:20
00:03:20
Hiyo ilikuwa muda mfupi kabla ya00:03:22
00:03:22
kusanyiko la kimataifa00:03:24
00:03:24
kule St. Louis, Missouri.00:03:26
00:03:26
Sisi vijana na watoto00:03:28
00:03:28
tuliambiwa sote tuketi00:03:30
00:03:30
kwenye safu zilizokuwa00:03:31
00:03:31
mbele tu ya jukwaa.00:03:33
00:03:33
Na Ndugu Rutherford alitoa hotuba00:03:35
00:03:36
“Watoto wa Mfalme.”00:03:37
00:03:38
Na wakati wa hotuba hiyo00:03:39
00:03:39
mwishoni alisema:00:03:41
00:03:41
“’Kuna kitabu kipya,00:03:43
00:03:43
kitabu cha Watoto00:03:45
00:03:45
nanyi mtapata nakala yenu00:03:47
00:03:47
bila malipo.’00:03:48
00:03:48
Hilo lilinichochea sana00:03:50
00:03:50
nilipokisoma baadaye00:03:52
00:03:52
nilichochewa hata zaidi00:03:53
00:03:53
kumtumikia Yehova.00:03:55
00:03:55
Nilianza upainia Septemba 1948, 00:04:00
00:04:00
lakini tayari nilikuwa painia msaidizi00:04:02
00:04:02
na bila shaka00:04:04
00:04:04
hilo lilinisaidia kuwa na hamu00:04:06
00:04:06
ya kushiriki katika00:04:07
00:04:07
utumishi wa wakati wote.00:04:08
00:04:08
Tunaona hali za ulimwengu00:04:10
00:04:10
zikiendelea kuwa mbaya00:04:12
00:04:12
na hilo linaweza kutuogopesha00:04:14
00:04:14
na wenye umri mkubwa00:04:15
00:04:15
ambao ni waaminifu00:04:17
00:04:17
wanaweza kuanza kuvunjika moyo00:04:19
00:04:19
baada ya miaka mingi00:04:20
00:04:20
basi ni muhimu sana kuwa na00:04:22
00:04:22
uhusiano wa karibu pamoja na Yehova.00:04:24
00:04:24
Tunatazamia wakati ambapo00:04:26
00:04:26
Ufalme wake utatatua00:04:27
00:04:27
matatizo yetu yote.00:04:29
00:04:29
Vijana watatambua00:04:30
00:04:30
kwamba wenye umri mkubwa00:04:31
00:04:31
wanadumisha uaminifu wao00:04:33
00:04:33
na hilo litawachochea00:04:34
00:04:34
kuiga imani yao.00:04:36
00:04:36
Na bila shaka00:04:37
00:04:37
hilo linampendeza Yehova.00:04:39
00:04:40
Tuliposikia kwamba kutakuwa00:04:42
00:04:42
na kampeni ya pekee,00:04:44
00:04:44
mimi na mke wangu Peggy,00:04:46
00:04:46
tulijiandikisha kuwa mapainia wasaidizi.00:04:49
00:04:50
Tumekuwa tukihubiri00:04:51
00:04:51
kuhusu Ufalme wa Mungu00:04:52
00:04:52
kwa miaka mingi00:04:54
00:04:54
na sasa kuna kampeni ya pekee00:04:56
00:04:56
ya kutangaza hasa kuhusu ujumbe huo00:04:59
00:04:59
Ufalme wa Mungu.00:05:01
00:05:01
HIlo litakuwa jambo la pekee00:05:03
00:05:03
katika miaka yetu00:05:05
00:05:05
mingi ya utumishi kwa Yehova.00:05:07
00:05:08
Kama tu Ndugu Kelsey00:05:09
00:05:09
Je, uhakika wako katika00:05:11
00:05:11
ahadi za Yehova umeimarishwa00:05:13
00:05:13
kwa sababu ya kuona00:05:14
00:05:14
mambo yanayotukia leo?00:05:16
00:05:17
Watu ulimwenguni pote wanatambua00:05:19
00:05:19
kwamba si jambo la kawaida00:05:21
00:05:21
kuwa na ugonjwa wa kuenea,00:05:23
00:05:23
upungufu wa chakula,00:05:24
00:05:24
misukosuko ya kijamii,00:05:26
00:05:26
matetemeko ya ardhi00:05:27
00:05:27
na majanga mengine,00:05:29
00:05:29
yote yakitokea wakati ule ule.00:05:31
00:05:32
Kuona utimizo wa unabii wa Biblia00:05:34
00:05:34
kunaimarisha uhakika wetu kwamba00:05:37
00:05:37
unabii mwingine00:05:38
00:05:38
wote utatimia.00:05:39
00:05:39
Unabii unaoahidi kuleta00:05:41
00:05:41
kitulizo cha kudumu00:05:43
00:05:43
kwa matatizo tunayokabiliana nayo.00:05:45
00:05:46
Kwa mfano,00:05:47
00:05:47
kama Danieli 2:44 inavyotuambia,00:05:50
00:05:50
hivi karibuni Ufalme wa Mungu00:05:53
00:05:53
utakuwa ndio serikali pekee00:05:55
00:05:55
inayotawala dunia yote milele.00:05:57
00:05:58
Je, haisisimui kwamba00:06:01
00:06:01
licha ya hali hizi ngumu00:06:02
00:06:02
tunashiriki katika kampeni ya pekee00:06:05
00:06:05
inayowaelekeza watu00:06:06
00:06:06
kwenye suluhisho la pekee00:06:08
00:06:08
na ambalo ni halisi kabisa00:06:10
00:06:10
yaani Ufalme wa Mungu.00:06:12
00:06:14
Baadhi ya watu00:06:15
00:06:15
ambao wakati fulani00:06:16
00:06:16
walishirikiana na00:06:17
00:06:17
tengenezo la Yehova.00:06:18
00:06:18
Pia, wanatambua utimizo00:06:20
00:06:20
wa unabii wa Biblia,00:06:21
00:06:22
na sasa wamechochewa kurudi.00:06:25
00:06:26
Ikiwa wewe ni asiyetenda00:06:27
00:06:27
au umetengwa na ushirika00:06:29
00:06:29
Tunakutia moyo00:06:30
00:06:30
uzungumze na wazee wa kutaniko00:06:32
00:06:32
lililo katika eneo lako.00:06:34
00:06:34
Watafurahi sana kukusaidia.00:06:37
00:06:37
Ikiwa ungependa nakala ya gazeti hili,00:06:40
00:06:40
tafadhali nenda kwenye tovuti yetu00:06:42
00:06:42
jw.org/sw00:06:46
00:06:46
na uipakue00:06:47
00:06:47
au umwombe mmoja wa00:06:48
00:06:48
Mashahidi wa Yehova nakala.00:06:50
00:06:50
Siku chache tu00:06:52
00:06:52
baada ya kampeni hii ya00:06:53
00:06:53
Novemba kuanza,00:06:54
00:06:54
dada nchini Ufaransa00:06:56
00:06:56
alipigiwa simu na mfanyabiashara fulani.00:06:58
00:06:59
Acheni tumsikilize Ndugu Bruno Faure 00:07:01
00:07:01
akieleza jinsi dada huyo00:07:03
00:07:03
alivyotumia nafasi hiyo00:07:05
00:07:05
kutangaza kuhusu Ufalme.00:07:07
00:07:08
Dada yetu alipigiwa simu00:07:10
00:07:10
na mmoja wa wafanya biashara00:07:12
00:07:12
wanaotumia simu kuuza bidhaa.00:07:15
00:07:15
Alimsikiliza mfanyabiashara huyo00:07:18
00:07:18
kisha badala tu ya kukata simu hiyo,00:07:22
00:07:22
dada huyo alimuuliza00:07:23
00:07:23
mwanamke huyo maoni yake00:07:25
00:07:25
kuhusu hali za ulimwengu.00:07:27
00:07:27
Baada ya mwanamke huyo kujibu,00:07:29
00:07:29
dada yetu aliongezea kwamba00:07:31
00:07:31
hali hizo zote00:07:33
00:07:33
tayari zilishatabiriwa na Yesu.00:07:35
00:07:35
Na kwamba hivi karibuni ukombozi00:07:37
00:07:37
utakuja kupitia Ufalme wa Mungu.00:07:40
00:07:40
Mwanamke huyo alipendezwa sana00:07:42
00:07:42
na akasema atampigia00:07:44
00:07:44
dada huyo baadaye00:07:45
00:07:45
akiwa na mume wake00:07:46
00:07:46
baada ya kazi00:07:47
00:07:47
ili waendeleze mazungumzo hayo.00:07:50
00:07:50
Basi baadaye siku hiyo,00:07:53
00:07:53
mwanamke huyo na mume wake00:07:55
00:07:55
walipiga simu00:07:56
00:07:56
kama walivyoahidi.00:07:58
00:07:58
walikuwa na mazungumzo mazuri00:08:00
00:08:00
yanayotegemea Mnara wa Mlinzi, Na. 200:08:02
00:08:02
tunalotoa katika kampeni yetu.00:08:04
00:08:04
Na wakafanya mpango00:08:06
00:08:06
kuzungumza tena siku inayofuata.00:08:09
00:08:10
Kwa kupendeza siku inayofuata00:08:12
00:08:12
wenzi hao wa ndoa walikuwa tayari 00:08:15
00:08:15
na nakala yao ya Biblia.00:08:17
00:08:17
Walisema kwamba00:08:18
00:08:18
baada ya kusoma kwa makini00:08:20
00:08:20
Mnara huo wa Mlinzi00:08:21
00:08:21
waliguswa00:08:23
00:08:23
na andiko la Yohana 17:300:08:25
00:08:25
na wakatambua umuhimu wa00:08:27
00:08:27
kujifunza Biblia.00:08:28
00:08:28
Walisema kwamba wao00:08:30
00:08:30
wamezaliwa nchini Kamerun00:08:32
00:08:32
na walipata nafasi ya00:08:33
00:08:33
kufahamiana na Mashahidi wa Yehova00:08:35
00:08:35
walipokuwa nchini humo.00:08:37
00:08:37
walipotembelea tovuti ya jw.org00:08:40
00:08:40
waliguswa sana kuona habari ikipatikana 00:08:44
00:08:44
katika lugha yao ya mama.00:08:45
00:08:46
Sasa walisema wangependa00:08:48
00:08:48
kuhudhuria mikutano00:08:50
00:08:50
na kuendeleza00:08:51
00:08:51
mazungumzo hayo ya Biblia.00:08:53
00:08:53
Kwa hiyo mipango inafanywa00:08:55
00:08:55
ili kufuatilia upendezi.00:08:57
00:08:59
Ni wazi jitihada zenye bidii00:09:01
00:09:01
za ndugu zetu nchi Ufaransa00:09:03
00:09:03
na ulimwenguni pote00:09:05
00:09:05
zinatokeza ushahidi mkubwa sana. 00:09:07
00:09:08
Watu wengi wanashangazwa sana00:09:10
00:09:10
kuona jinsi mambo yamebadilika haraka00:09:12
00:09:12
katika mwaka wa 2020.00:09:14
00:09:15
Miezi michache tu iliyopita00:09:17
00:09:17
maisha yalikuwa tofauti sana,00:09:19
00:09:20
hilo ni somo zuri sana kwetu00:09:22
00:09:22
na jinsi mambo yanavyoweza00:09:23
00:09:23
kubadilika upesi sana wakati ujao.00:09:25
00:09:27
Baada ya Yesu kusema00:09:29
00:09:29
“endeleeni kukesha” 00:09:30
00:09:30
kwenye Mathayo 24:42,00:09:34
00:09:34
hebu ona00:09:35
00:09:35
jinsi alivyoonyesha kwamba00:09:37
00:09:37
mambo hayo yatatokea00:09:39
00:09:39
kwa mfuatano wa haraka00:09:40
00:09:40
na jinsi tunavyopaswa kutenda.00:09:42
00:09:42
Mathayo 24:42-44 inasema:00:09:48
00:09:49
“Kwa hiyo,00:09:50
00:09:50
endeleeni kukesha00:09:51
00:09:51
kwa sababu hamjui 00:09:52
00:09:52
Bwana wenu atakuja siku gani.00:09:55
00:09:56
Lakini jueni jambo hili: 00:09:58
00:09:59
Ikiwa mwenye nyumba angejua00:10:01
00:10:01
mwizi atakuja katika kesha gani,00:10:03
00:10:03
angekaa macho00:10:05
00:10:05
na hangeruhusu nyumba yake ivunjwe.00:10:08
00:10:09
Kwa hiyo00:10:11
00:10:11
ninyi pia00:10:12
00:10:12
iweni tayari,00:10:13
00:10:14
kwa sababu Mwana wa binadamu00:10:16
00:10:17
atakuja saa00:10:18
00:10:18
msiyotazamia.”00:10:20
00:10:22
Je, hali zinazobadilika upesi00:10:25
00:10:25
katika ulimwengu00:10:26
00:10:26
hazijakuonyesha umuhimu00:10:29
00:10:29
wa kuendelea kuwa tayari?00:10:31
00:10:31
Badala ya kuruhusu00:10:33
00:10:33
vikengeusha fikira00:10:34
00:10:34
vitufanye tuache kuwa macho kiroho,00:10:37
00:10:37
sasa kuliko wakati mwingine00:10:39
00:10:39
tunahitaji kusali,00:10:41
00:10:41
kujifunza,00:10:42
00:10:42
kuhudhuria mikutano00:10:44
00:10:44
na kuwa watendaji katika huduma.00:10:46
00:10:47
Tunawashukuru nyote00:10:49
00:10:49
ambao mmefanya kazi kwa bidii00:10:51
00:10:51
katika kampeni hii00:10:53
00:10:53
ya kutangaza kuhusu Ufalme.00:10:55
00:10:55
Ikiwa bado hujashiriki00:10:57
00:10:57
katika kampeni hii,00:10:58
00:10:58
tafadhali usikose.00:11:00
00:11:01
Ni pendeleo kubwa sana kwetu00:11:03
00:11:03
kutangaza kuhusu Ufalme,00:11:05
00:11:05
suluhisho00:11:06
00:11:06
la matatizo yote ya wanadamu!00:11:08
00:11:10
Kufanya hivyo kutatusaidia 00:11:12
00:11:12
‘kuendelea kukesha’00:11:13
00:11:13
na kuendelea ‘kuwa tayari.’00:11:16
00:11:18
Muwe na uhakika kwamba00:11:20
00:11:20
tunaendelea kusali kwa ajili yenu00:11:22
00:11:22
na kwamba tunawapenda sana.00:11:24
00:11:26
Kutoka kwenye Makao Makuu00:11:27
00:11:27
ya Mashahidi wa Yehova,00:11:29
00:11:29
Hii ni JW Broadcasting.00:11:32
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2020
-
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2020
“Endeleeni kukesha.”
Hivyo ndivyo Yesu
aliwaambia wanafunzi wake
baada ya kusimulia mambo
yatakayotokea katika siku za mwisho.
Wewe umekuwa ukiendelea
kukesha kwa muda gani?
Bila shaka sasa tunakabili
nyakati za hatari
zilizo ngumu kushughulika nazo.
Hizi ndizo hali ambazo
tunakuwa tukihubiri
kuzihusu kwa miaka mingi.
Katika ripoti hii,
acheni tuchunguze baadhi ya unabii
ambao tunaona ukitimia mbele yetu
sasa hivi.
Na tuzungumzie
jinsi kampeni ya Novemba
ya kutangaza
kuhusu Ufalme wa Mungu
inavyofaa kabisa wakati huu.
Kwanza,
fikiria kuhusu ishara
ambayo Yesu aliwapa wanafunzi wake.
Kwenye Luka 21:11,
Yesu alisema kwamba
tungeona “magonjwa
na upungufu wa chakula”
“katika sehemu mbalimbali.”
Sasa hivi
tunajionea sehemu hiyo ya ishara
ambayo Yesu alitoa
ikitimia kwa njia kubwa sana.
Unabii wa pili ambao tutachunguza
unapatikana katika Danieli sura ya 2.
Hapo tunasoma kuhusu
sanamu kubwa sana
inayowakilisha falme za wanadamu
ambazo zingefuatana
kuanzia milki ya Babiloni
hadi leo.
Vidole vya miguu
kwenye sehemu ya chini
ya sanamu hiyo
viliwakilisha serikali kuu ya ulimwengu
ya Uingereza na Marekani.
Na Danieli anatuambia
vilikuwa kwa sehemu vya chuma
na kwa sehemu vya
udongo wa mfinyanzi.
Je, unakumbuka mchanganyiko huo
wa udongo wa mfinyanzi
na chuma unawakilisha nini?
Udongo unafananisha
watu wanaotawaliwa na
serkali hiyo kuu ya ulimwengu
ya Uingereza na Marekani
ambao wanapinga utawala huo
na kudhoofisha uwezo wa
serikali hiyo kutumia nguvu
zake kikamili kama chuma.
Danieli 2:43 inasema:
‘sehemu hizo mbili
hazitashikamana.’
<i>Mnara wa Mlinzi </i> la Juni 15, 2012
lilitoa uthibitisho wa wazi
wa chuma na udongo wa mfinyanzi
liliposema hivi:
“maoni ya kisiasa yanayopingana
na matokeo ya uchaguzi yanayokaribiana
na ambayo hayaonyeshi wazi mshindi
yamedhoofisha uwezo
wa hata viongozi maarufu,
hivi kwamba
hawana mamlaka ya
kutekeleza sera zao.”
Je, hukubali kwamba
tunajionea ukweli wa hilo sasa
kuliko miaka minane iliyopita
wakati ambapo gazeti hilo lilichapishwa.
Tafakari kutimizwa
kwa unabii wa Biblia ambao
tunaona sasa hivi
kunaweza kuimarisha
imani yetu sana.
Katika mahojiano yafuatayo
Ndugu Richard Kelsey
ambaye alibatizwa mwaka wa 1941
anasimulia ni mambo gani
ambayo yamemsaidia
kuendelea kukesha
kwa karibu miaka 80 sasa.
Nilibatizwa Juni 1941
huko Des Moines, Iowa,
wakati uleule kama Peggy,
na tulibatizwa katika tangi
la kunyweshea farasi.
Hiyo ilikuwa muda mfupi kabla ya
kusanyiko la kimataifa
kule St. Louis, Missouri.
Sisi vijana na watoto
tuliambiwa sote tuketi
kwenye safu zilizokuwa
mbele tu ya jukwaa.
Na Ndugu Rutherford alitoa hotuba
“Watoto wa Mfalme.”
Na wakati wa hotuba hiyo
mwishoni alisema:
“’Kuna kitabu kipya,
kitabu cha <i>Watoto</i>
nanyi mtapata nakala yenu
bila malipo.’
Hilo lilinichochea sana
nilipokisoma baadaye
nilichochewa hata zaidi
kumtumikia Yehova.
Nilianza upainia Septemba 1948,
lakini tayari nilikuwa painia msaidizi
na bila shaka
hilo lilinisaidia kuwa na hamu
ya kushiriki katika
utumishi wa wakati wote.
Tunaona hali za ulimwengu
zikiendelea kuwa mbaya
na hilo linaweza kutuogopesha
na wenye umri mkubwa
ambao ni waaminifu
wanaweza kuanza kuvunjika moyo
baada ya miaka mingi
basi ni muhimu sana kuwa na
uhusiano wa karibu pamoja na Yehova.
Tunatazamia wakati ambapo
Ufalme wake utatatua
matatizo yetu yote.
Vijana watatambua
kwamba wenye umri mkubwa
wanadumisha uaminifu wao
na hilo litawachochea
kuiga imani yao.
Na bila shaka
hilo linampendeza Yehova.
Tuliposikia kwamba kutakuwa
na kampeni ya pekee,
mimi na mke wangu Peggy,
tulijiandikisha kuwa mapainia wasaidizi.
Tumekuwa tukihubiri
kuhusu Ufalme wa Mungu
kwa miaka mingi
na sasa kuna kampeni ya pekee
ya kutangaza hasa kuhusu ujumbe huo
Ufalme wa Mungu.
HIlo litakuwa jambo la pekee
katika miaka yetu
mingi ya utumishi kwa Yehova.
Kama tu Ndugu Kelsey
Je, uhakika wako katika
ahadi za Yehova umeimarishwa
kwa sababu ya kuona
mambo yanayotukia leo?
Watu ulimwenguni pote wanatambua
kwamba si jambo la kawaida
kuwa na ugonjwa wa kuenea,
upungufu wa chakula,
misukosuko ya kijamii,
matetemeko ya ardhi
na majanga mengine,
yote yakitokea wakati ule ule.
Kuona utimizo wa unabii wa Biblia
kunaimarisha uhakika wetu kwamba
unabii mwingine
wote utatimia.
Unabii unaoahidi kuleta
kitulizo cha kudumu
kwa matatizo tunayokabiliana nayo.
Kwa mfano,
kama Danieli 2:44 inavyotuambia,
hivi karibuni Ufalme wa Mungu
utakuwa ndio serikali pekee
inayotawala dunia yote milele.
Je, haisisimui kwamba
licha ya hali hizi ngumu
tunashiriki katika kampeni ya pekee
inayowaelekeza watu
kwenye suluhisho la pekee
na ambalo ni halisi kabisa
yaani Ufalme wa Mungu.
Baadhi ya watu
ambao wakati fulani
walishirikiana na
tengenezo la Yehova.
Pia, wanatambua utimizo
wa unabii wa Biblia,
na sasa wamechochewa kurudi.
Ikiwa wewe ni asiyetenda
au umetengwa na ushirika
Tunakutia moyo
uzungumze na wazee wa kutaniko
lililo katika eneo lako.
Watafurahi sana kukusaidia.
Ikiwa ungependa nakala ya gazeti hili,
tafadhali nenda kwenye tovuti yetu
jw.org/sw
na uipakue
au umwombe mmoja wa
Mashahidi wa Yehova nakala.
Siku chache tu
baada ya kampeni hii ya
Novemba kuanza,
dada nchini Ufaransa
alipigiwa simu na mfanyabiashara fulani.
Acheni tumsikilize Ndugu Bruno Faure
akieleza jinsi dada huyo
alivyotumia nafasi hiyo
kutangaza kuhusu Ufalme.
Dada yetu alipigiwa simu
na mmoja wa wafanya biashara
wanaotumia simu kuuza bidhaa.
Alimsikiliza mfanyabiashara huyo
kisha badala tu ya kukata simu hiyo,
dada huyo alimuuliza
mwanamke huyo maoni yake
kuhusu hali za ulimwengu.
Baada ya mwanamke huyo kujibu,
dada yetu aliongezea kwamba
hali hizo zote
tayari zilishatabiriwa na Yesu.
Na kwamba hivi karibuni ukombozi
utakuja kupitia Ufalme wa Mungu.
Mwanamke huyo alipendezwa sana
na akasema atampigia
dada huyo baadaye
akiwa na mume wake
baada ya kazi
ili waendeleze mazungumzo hayo.
Basi baadaye siku hiyo,
mwanamke huyo na mume wake
walipiga simu
kama walivyoahidi.
walikuwa na mazungumzo mazuri
yanayotegemea <i>Mnara wa Mlinzi,</i> Na. 2
tunalotoa katika kampeni yetu.
Na wakafanya mpango
kuzungumza tena siku inayofuata.
Kwa kupendeza siku inayofuata
wenzi hao wa ndoa walikuwa tayari
na nakala yao ya Biblia.
Walisema kwamba
baada ya kusoma kwa makini
Mnara huo wa Mlinzi
waliguswa
na andiko la Yohana 17:3
na wakatambua umuhimu wa
kujifunza Biblia.
Walisema kwamba wao
wamezaliwa nchini Kamerun
na walipata nafasi ya
kufahamiana na Mashahidi wa Yehova
walipokuwa nchini humo.
walipotembelea tovuti ya jw.org
waliguswa sana kuona habari ikipatikana
katika lugha yao ya mama.
Sasa walisema wangependa
kuhudhuria mikutano
na kuendeleza
mazungumzo hayo ya Biblia.
Kwa hiyo mipango inafanywa
ili kufuatilia upendezi.
Ni wazi jitihada zenye bidii
za ndugu zetu nchi Ufaransa
na ulimwenguni pote
zinatokeza ushahidi mkubwa sana.
Watu wengi wanashangazwa sana
kuona jinsi mambo yamebadilika haraka
katika mwaka wa 2020.
Miezi michache tu iliyopita
maisha yalikuwa tofauti sana,
hilo ni somo zuri sana kwetu
na jinsi mambo yanavyoweza
kubadilika upesi sana wakati ujao.
Baada ya Yesu kusema
“endeleeni kukesha”
kwenye Mathayo 24:42,
hebu ona
jinsi alivyoonyesha kwamba
mambo hayo yatatokea
kwa mfuatano wa haraka
na jinsi tunavyopaswa kutenda.
Mathayo 24:42-44 inasema:
“Kwa hiyo,
endeleeni kukesha
kwa sababu hamjui
Bwana wenu atakuja siku gani.
Lakini jueni jambo hili:
Ikiwa mwenye nyumba angejua
mwizi atakuja katika kesha gani,
angekaa macho
na hangeruhusu nyumba yake ivunjwe.
Kwa hiyo
ninyi pia
iweni tayari,
kwa sababu Mwana wa binadamu
atakuja saa
msiyotazamia.”
Je, hali zinazobadilika upesi
katika ulimwengu
hazijakuonyesha umuhimu
wa kuendelea kuwa tayari?
Badala ya kuruhusu
vikengeusha fikira
vitufanye tuache kuwa macho kiroho,
sasa kuliko wakati mwingine
tunahitaji kusali,
kujifunza,
kuhudhuria mikutano
na kuwa watendaji katika huduma.
Tunawashukuru nyote
ambao mmefanya kazi kwa bidii
katika kampeni hii
ya kutangaza kuhusu Ufalme.
Ikiwa bado hujashiriki
katika kampeni hii,
tafadhali usikose.
Ni pendeleo kubwa sana kwetu
kutangaza kuhusu Ufalme,
suluhisho
la matatizo yote ya wanadamu!
Kufanya hivyo kutatusaidia
‘kuendelea kukesha’
na kuendelea ‘kuwa tayari.’
Muwe na uhakika kwamba
tunaendelea kusali kwa ajili yenu
na kwamba tunawapenda sana.
Kutoka kwenye Makao Makuu
ya Mashahidi wa Yehova,
Hii ni JW Broadcasting.
-