00:00:01
Habari zenu nyote?00:00:03
00:00:03
Katika ripoti hii,00:00:05
00:00:05
Ningependa kuzungumzia kile00:00:06
00:00:06
ambacho ninyi ndugu na dada mmetimiza 00:00:08
00:00:08
katika miezi michache iliyopita.00:00:11
00:00:11
Lazima Yehova awe00:00:12
00:00:12
anafurahishwa sana nanyi.00:00:14
00:00:14
Utii wenu,00:00:16
00:00:16
bidii yenu,00:00:17
00:00:17
licha ya vizuizi vyote00:00:19
00:00:19
hamjaacha kumpa Yehova kilicho bora.00:00:22
00:00:22
Tofauti na hilo,00:00:23
00:00:23
tunapokea ripoti kutoka nchi00:00:25
00:00:25
moja baada ya nyingine00:00:27
00:00:27
ya vilele vipya katika idadi ya wahubiri, 00:00:29
00:00:29
machapisho,00:00:30
00:00:30
mapainia wa kawaida00:00:32
00:00:32
mafunzo ya Biblia,00:00:33
00:00:33
na hudhurio la mikutano.00:00:35
00:00:35
Hongereni sana00:00:36
00:00:36
ninyi watumishi waaminifu wa Yehova.00:00:39
00:00:40
Bila shaka,00:00:41
00:00:41
sisi sote tunatamani00:00:42
00:00:42
kurudi kuhubiri nyumba kwa nyumba00:00:44
00:00:44
na kufanya mahubiri ya hadharani.00:00:46
00:00:46
Na ikiwa kwa sasa00:00:47
00:00:47
tunaandika barua na pia00:00:49
00:00:49
kuhubiri kupitia simu00:00:50
00:00:50
huenda tukaanza kujihisi00:00:51
00:00:51
hatutimizi mengi.00:00:53
00:00:53
Ikiwa hivyo ndivyo unavyohisi00:00:55
00:00:55
kumbuka kile ambacho tunaambiwa00:00:57
00:00:57
kwenye Ufunuo 14:6.00:01:00
00:01:00
Tafadhali fuatana nami00:01:01
00:01:01
ninaposoma mstari huo.00:01:03
00:01:04
Unasema00:01:05
00:01:05
“Nami nikamwona malaika mwingine00:01:08
00:01:08
akiruka katikati ya mbingu,00:01:10
00:01:10
naye alikuwa na00:01:11
00:01:11
habari njema ya milele00:01:13
00:01:13
ili aitangaze kwa wale wanaokaa duniani00:01:16
00:01:16
kwa kila taifa 00:01:18
00:01:18
na kabila 00:01:19
00:01:19
na lugha 00:01:20
00:01:20
na watu.”00:01:21
00:01:21
Kwa hiyo malaika00:01:23
00:01:23
au kikundi cha malaika00:01:24
00:01:24
wanasimamia kazi ya kuhubiri.00:01:27
00:01:27
Kwa hiyo ukitafakari00:01:29
00:01:29
kwa sababu ya vizuizi vilivyopo00:01:31
00:01:31
Huenda malaika wana00:01:32
00:01:32
shughuli nyingi zaidi wakati huu00:01:34
00:01:34
wakihakikisha ujumbe wa Ufalme00:01:36
00:01:36
unawafikia watu wanaofaa.00:01:37
00:01:38
Ikiwa sivyo, 00:01:39
00:01:39
ungeelezaje ongezeko lote tunaloona?00:01:42
00:01:42
Unaandika barua na kuituma00:01:45
00:01:45
anayeipokea anaisoma00:01:47
00:01:47
lakini hapendezwi.00:01:49
00:01:50
Umetimiza nini?00:01:51
00:01:51
Umetoa ushahidi.00:01:53
00:01:53
Na huenda huo ndio ushahidi00:01:55
00:01:55
bora zaidi mtu huyo amewahi kupokea.00:01:58
00:01:58
Watu wengine hawapatikani00:02:00
00:02:00
nyumbani tunapowatembelea.00:02:01
00:02:01
Au huenda hawafungui mlango.00:02:03
00:02:03
Kwa hiyo hawajui tunaamini nini00:02:06
00:02:06
hadi . . .00:02:07
00:02:08
hadi wanapopokea barua yako.00:02:11
00:02:12
Lakini namna gani mtu mwingine00:02:13
00:02:13
katika nyumba hiyo anapopendezwa?00:02:15
00:02:16
Malaika watahakikisha00:02:18
00:02:18
mtu huyo anasoma barua hiyo.00:02:20
00:02:20
Umewapa malaika nafasi00:02:21
00:02:21
ya kutimiza kazi yao.00:02:23
00:02:24
Au00:02:25
00:02:25
unapiga simu kwenye namba isiyofaa00:02:28
00:02:28
halafu kumbe ndio namba00:02:30
00:02:30
uliyofaa kupiga.00:02:32
00:02:33
Je, malaika walihusika00:02:35
00:02:35
katika yeyote ya masimulizi yafuatayo:00:02:38
00:02:38
Nitakuacha wewe uamue.00:02:40
00:02:41
Dada mmoja kule Amerika Kusini00:02:43
00:02:43
alikuwa akihubiri00:02:43
00:02:43
kupitia simu na hakuwa akipata matokeo.00:02:46
00:02:46
lakini hakukata tamaa.00:02:48
00:02:48
Alipiga namba nyingine00:02:50
00:02:51
na mwanamume akajibu,00:02:52
00:02:53
Dada huyo alieleza kwamba alikuwa 00:02:55
00:02:55
akipiga simu ili00:02:56
00:02:56
kuwatia moyo majirani wake00:02:57
00:02:57
kwa sababu ya ugonjwa wa corona00:02:59
00:02:59
na akasoma Yeremia 29:1100:03:01
00:03:01
inayoonyesha kwamba Yehova00:03:03
00:03:03
anatupatia “wakati ujao00:03:05
00:03:05
na tumaini.”00:03:06
00:03:07
Kisha mwanamume huyo akasema00:03:09
00:03:09
“Hujapiga00:03:11
00:03:11
simu hii kimakosa.00:03:13
00:03:13
Umetumwa na Mungu.”00:03:15
00:03:15
Alimwambia Dada huyo kwamba00:03:17
00:03:17
alikuwa amepiga kwenye kituo cha redio00:03:19
00:03:19
na kwamba alikuwa hewani wakati huo,00:03:21
00:03:21
watu wengi sana walikuwa00:03:22
00:03:22
wakimsikiliza akizungumza00:03:24
00:03:24
na mada iliyokuwa ikizungumziwa00:03:26
00:03:26
ni ugonjwa wa corona.00:03:27
00:03:28
Upesi Dada huyo alisali apate nguvu00:03:31
00:03:31
kisha 00:03:32
00:03:32
akashiriki Maandiko yenye kutia moyo00:03:34
00:03:34
na wasikilizaji wote kwenye redio.00:03:36
00:03:36
Na pia akawajulisha kuhusu tovuti yetu.00:03:38
00:03:39
Mtangazaji aliandika Maandiko hayo00:03:41
00:03:41
na akawatia moyo kwa uchangamfu00:03:43
00:03:43
wasikilizaji watembelee tovuti hiyo.00:03:45
00:03:46
Ajabu sana.00:03:48
00:03:48
Sasa jiulize,00:03:49
00:03:49
je dada yetu angepiga simu hiyo00:03:52
00:03:52
ikiwa angejua mapema00:03:53
00:03:53
kwamba angezungumza00:03:54
00:03:54
na watu kwenye redio?00:03:56
00:03:57
Dada mwingine nchini Marekani00:03:59
00:03:59
alikuwa akinunua nguo kupitia simu00:04:01
00:04:02
na alikuwa amesali kwa Yehova00:04:03
00:04:03
ampe ujasiri wa kutoa ushahidi00:04:05
00:04:05
baada ya kumaliza ununuzi.00:04:07
00:04:08
Alitenda kupatana na sala yake.00:04:10
00:04:10
Kwanza alimshukuru muuzaji huyo00:04:13
00:04:13
kwa kuwa mwenye fadhili00:04:14
00:04:14
kisha akamuuliza ikiwa00:04:16
00:04:16
angemsomea andiko la Biblia.00:04:17
00:04:18
Msichana huyo alikubali.00:04:20
00:04:21
Kumbe00:04:22
00:04:22
zamani alikuwa akijifunza Biblia00:04:24
00:04:24
lakini akaacha kwa sababu00:04:25
00:04:25
ya kuwa na mambo mengi maishani.00:04:27
00:04:28
Walianza kujifunza00:04:29
00:04:29
kitabu Biblia Inatufundisha00:04:31
00:04:31
na msichana huyo00:04:32
00:04:32
akahudhuria mikutano kupitia Zoom00:04:34
00:04:34
Jumapili iliyofuata.00:04:36
00:04:37
Namna gani simulizi hilo?00:04:39
00:04:39
Ndugu nchini Japani00:04:41
00:04:41
aliwaandikia barua00:04:42
00:04:42
wanafunzi wenzake wa zamani 100.00:04:44
00:04:45
Sasa wakiwa na miaka thelathini na kitu00:04:47
00:04:47
wengi wao walikuwa00:04:48
00:04:48
wanakabili matatizo kazini00:04:49
00:04:49
na mahangaiko ya kuwalea watoto wao00:04:51
00:04:51
kwa njia inayofaa.00:04:52
00:04:53
Hotuba kuhusu maisha ya familia00:04:55
00:04:55
ilipotolewa kutanikoni00:04:56
00:04:56
29 kati yao walihudhuria.00:04:59
00:05:00
Sasa00:05:01
00:05:01
anajifunza na 18 kati yao.00:05:04
00:05:06
Dada nchini Brazili00:05:08
00:05:08
alimpigia mwanamke simu00:05:09
00:05:10
kumbe simu ililia wakati00:05:12
00:05:12
mwanamke huyo alikuwa karibu tu kujiua.00:05:14
00:05:14
Alikuwa na matatizo mengi00:05:16
00:05:16
lakini simu hiyo00:05:17
00:05:17
ilimsadikisha kwamba00:05:19
00:05:19
Mungu anapendezwa naye.00:05:20
00:05:21
Alikubali funzo00:05:22
00:05:22
na anafanya maendeleo makubwa.00:05:24
00:05:26
Dada mwingine anayeishi00:05:27
00:05:27
kwenye kisiwa kilicho chini ya00:05:28
00:05:28
ofisi ya Tawi ya Ufaransa00:05:29
00:05:29
alienda kumwona daktari.00:05:31
00:05:31
Baada ya kuzungumzia00:05:33
00:05:33
matatizo yake ya afya kwa muda00:05:35
00:05:35
alimuuliza daktari yeye anaendeleaje.00:05:37
00:05:37
Daktari alishtuka00:05:39
00:05:39
alimwambia00:05:40
00:05:40
ni mara chache wagonjwa wake00:05:41
00:05:41
wanapendezwa naye kibinafsi.00:05:43
00:05:44
Hilo00:05:44
00:05:44
lilimfungulia njia dada yetu kutoa ushahidi.00:05:47
00:05:47
Daktari huyo alisema hajawahi00:05:49
00:05:49
kufungua mlango00:05:50
00:05:50
Mashahidi walipomtembelea.00:05:52
00:05:53
Walipomaliza mazungumzo00:05:54
00:05:54
Daktari alimwambia Dada yetu atakaporudi00:05:57
00:05:57
atampanga awe mwisho kabisa00:05:59
00:05:59
ya wagonjwa wengine00:06:00
00:06:00
ili waweze kuendeleza mazungumzo yao.00:06:02
00:06:03
Dada mwenye umri wa miaka 80 anaishi00:06:05
00:06:05
vijijini nchini Ufaransa00:06:07
00:06:07
alimpigia simu mwanamke katika00:06:08
00:06:08
kijiji cha mbali00:06:10
00:06:10
wakazungumza kuhusu ile sala ya kielelezo.00:06:12
00:06:12
Na hiyo,00:06:13
00:06:13
ndiyo habari iliyomfaa mwanamke huyo.00:06:16
00:06:16
Alisema kwamba alilelewa na watawa00:06:19
00:06:19
lakini hakuwa ameilewa sala hiyo ya Bwana.00:06:21
00:06:22
Funzo la Biblia linaongozwa kila juma00:06:24
00:06:24
na mwanamke huyo00:06:26
00:06:26
anahudhuria mikutano kupitia Zoom.00:06:28
00:06:29
Masimulizi yote hayo00:06:31
00:06:31
yanapatana kwa njia gani?00:06:32
00:06:33
Mtu aliandika barua,00:06:35
00:06:35
alipiga simu00:06:36
00:06:36
au kuanzisha mazungumzo.00:06:38
00:06:38
Ndugu na Dada walifanya walichoweza00:06:40
00:06:40
na kuwapa malaika jambo la kufanyia kazi.00:06:43
00:06:44
Kwa hiyo, wape malaika kazi!00:06:46
00:06:47
Tumia nafasi zote kutoa00:06:48
00:06:48
ushahidi kwa wanafunzi wenzako,00:06:50
00:06:50
wataalamu wa afya,00:06:52
00:06:52
wafanyabiashara,00:06:53
00:06:53
na wauza duka.00:06:54
00:06:54
Njia rahisi ya kuanzisha00:06:55
00:06:55
mazungumzo ni kusema:00:06:57
00:06:57
“Ningependa kukuambia kuhusu tovuti00:06:59
00:06:59
ambayo mamilioni ya watu wameona00:07:01
00:07:01
ina habari zenye kutia moyo.”00:07:03
00:07:03
Kuhusu tovuti yetu00:07:05
00:07:05
jitihada za pekee zinafanywa00:07:06
00:07:06
ili kuandaa habari za karibuni zaidi00:07:09
00:07:09
kwenye jw.org00:07:11
00:07:11
Acheni tumsikilize Ndugu Herman van Selm00:07:14
00:07:14
Msaidizi wa Halmashauri ya00:07:15
00:07:15
Uandikaji anapotueleza.00:07:17
00:07:19
Jambo la pekee lilitokea00:07:21
00:07:21
Januari mwaka uliopita.00:07:23
00:07:23
Ni jambo gani hilo?00:07:25
00:07:25
Halmashauri ya Uandikaji00:07:27
00:07:27
pamoja na Halmashauri ya Waratibu00:07:29
00:07:29
ziliamua kwamba00:07:30
00:07:30
ukurasa wa Mwanzo wa tovuti yetu00:07:32
00:07:32
uwe na makala zinazoonyesha00:07:35
00:07:35
matukio ya karibuni zaidi,00:07:37
00:07:37
unase fikira za watazamaji00:07:39
00:07:39
na kuandaa ufafanuzi00:07:41
00:07:41
na ushauri kutoka katika Biblia.00:07:43
00:07:43
Basi uamuzi huo00:07:45
00:07:45
uliofanywa mwezi Januari00:07:46
00:07:46
ulithibitikaje kuwa wa wakati unaofaa?00:07:49
00:07:49
Kwa kweli,00:07:50
00:07:50
miezi michache tu baadaye00:07:52
00:07:52
ugonjwa wa corona ulianza.00:07:54
00:07:54
Kwa hiyo mara moja idara ya uandikaji 00:07:56
00:07:56
ilianza kutayarisha makala00:07:58
00:07:58
ambazo zingejibu maswali muhimu00:08:00
00:08:00
yaliyokuwa yakiwahangaisha watu.00:08:03
00:08:03
Hata hiyo,00:08:05
00:08:05
changamoto ni kwamba00:08:06
00:08:06
kutayarisha toleo moja la Amkeni!00:08:09
00:08:09
au Mnara wa Mlinzi kunaweza kuchukua00:08:11
00:08:11
zaidi ya miezi 18.00:08:12
00:08:12
Kwa hiyo tulihitaji kutafuta njia00:08:14
00:08:14
ya kutayarisha makala kwa ajili ya00:08:17
00:08:17
ukurasa wa Mwanzo
kwa muda mfupi zaidi.00:08:20
00:08:20
Kwa kupendeza,00:08:21
00:08:21
kwa msaada wa Yehova00:08:23
00:08:23
na kwa msaada wa ndugu na dada00:08:25
00:08:25
katika idara mbalimbali00:08:26
00:08:26
muda wote wa kutayarisha00:08:29
00:08:29
na kutokeza makala moja mpya00:08:31
00:08:31
kwa ajili ya ukurasa wa Mwanzo 00:08:33
00:08:33
umepunguzwa na kuwa majuma 5.00:08:35
00:08:35
Tunafurahi sana kwamba00:08:37
00:08:37
tayari kuna makala nyingi00:08:39
00:08:39
ambazo zimetayatishwa
kwa ajili ya ukurasa wa Mwanzo00:08:42
00:08:42
kuhusiana na ugonjwa wa corona.00:08:44
00:08:44
Kati ya makala hizi sita,00:08:46
00:08:46
unafikiri ni gani ambayo watu wengi00:08:48
00:08:48
waliitembelea kwenye ukurasa wa Mwanzo?00:08:51
00:08:51
Makala iliyotembelewa00:08:53
00:08:53
na watu wengi zaidi ilikuwa na kichwa00:08:55
00:08:55
“Biblia Inasema Nini Kuhusu Magonjwa ya Mlipuko?”00:08:59
00:08:59
Basi hilo linatuonyesha nini?00:09:01
00:09:01
Watu wanataka kujua00:09:03
00:09:03
jinsi matukio ya karibuni00:09:05
00:09:05
yanayohusiana na Biblia.00:09:06
00:09:06
Na tovuti yetu inaeleza kwa njia ya wazi00:09:09
00:09:09
jinsi hali za ulimwengu00:09:11
00:09:11
zinavyotimiza unabii wa Biblia.00:09:14
00:09:14
Hilo linafanya habari00:09:15
00:09:15
zilizo katika tovuti yetu00:09:17
00:09:17
ziwe tofauti na habari ambazo00:09:19
00:09:19
watu wanaweza kupata00:09:20
00:09:20
katika sehemu nyingine.00:09:21
00:09:21
Pia, ndugu na dada00:09:23
00:09:23
kutoka ulimwenguni pote00:09:24
00:09:24
wanaona kwamba00:09:26
00:09:26
makala hizo zinawasaidia.00:09:28
00:09:28
Huu ni mfano mmoja00:09:29
00:09:29
wa wenzi wa ndoa walio na watoto matineja.00:09:32
00:09:33
Wakati tu sisi wazazi tunapohisi00:09:36
00:09:36
hatujui jinsi ya kushughulika00:09:38
00:09:38
na ugonjwa huu wa corona00:09:39
00:09:39
na pia kutengwa, mkazo, na vurugu katika jamii00:09:43
00:09:43
makala inatokea ambayo inatupa00:09:46
00:09:46
mwongozo ulio wazi wa Maandiko00:09:47
00:09:47
wa jinsi ya kushughulikia hali tunayokabili.00:09:51
00:09:51
Tunashukuru sana kwamba00:09:53
00:09:53
mtumwa mwaminifu00:09:54
00:09:54
anatuandalia upesi sana00:09:56
00:09:56
kile hasa ambacho tunahitaji.00:09:59
00:10:00
Wengi wameeleza jinsi makala00:10:03
00:10:03
zilizo kwenye ukurasa wa Mwanzo00:10:05
00:10:05
zinavyowasaidia katika huduma00:10:07
00:10:07
Haya ni baadhi ya maelezo yao:00:10:10
00:10:10
Kutoka Hispania:00:10:12
00:10:12
Vichwa vinavuta uangalifu,00:10:14
00:10:14
lugha ni rahisi00:10:16
00:10:16
lakini yenye nguvu.00:10:18
00:10:18
Kutoka Benin:00:10:20
00:10:20
Wahubiri wanavutiwa sana 00:10:22
00:10:22
na jinsi makala hizo00:10:24
00:10:25
zinavyopatana na matukio ya sasa.00:10:27
00:10:27
Uholanzi:00:10:29
00:10:29
Zinawasaidia wahubiri kuendelea00:10:31
00:10:31
kuwa na uchangamfu katika huduma00:10:33
00:10:33
wakati wa ugonjwa huu wa corona.00:10:36
00:10:36
Skandinavia:00:10:37
00:10:37
Wahubiri huangalia ukurasa wa Mwanzo00:10:40
00:10:40
kabla ya kuanza mahubiri ya simu.00:10:43
00:10:43
Uingereza:00:10:44
00:10:45
Ndicho kitu tulichohitaji zaidi00:10:47
00:10:47
kwa ajili ya huduma tunayofanya sasa.00:10:50
00:10:51
Mabadiliko haya ya karibuni00:10:53
00:10:53
katika ukurasa wa Mwanzo00:10:55
00:10:55
ni mfano wenye kuimarisha imani wa jinsi00:10:58
00:10:58
mtumwa mwaminifu na mwenye busara00:11:01
00:11:01
anavyoandaa chakula00:11:03
00:11:03
kinachofaa00:11:05
00:11:05
kwa wakati unaofaa.00:11:07
00:11:09
Kwa kumalizia,00:11:11
00:11:11
tungependa kuwapongeza tena00:11:13
00:11:13
kwa kubadilikana na kwa bidii yenu00:11:15
00:11:15
wakati wa ugonjwa huu wa corona.00:11:17
00:11:17
Endeleeni kutia bidii ndugu na dada00:11:20
00:11:20
na Yehova atawabariki sana.00:11:23
00:11:24
Kutoka kwenye Makao Makuu00:11:25
00:11:25
ya Ulimwenguni Pote00:11:26
00:11:26
ya Mashahidi wa Yehova.00:11:28
00:11:28
Hii ni JW Broadcasting®.00:11:30
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2021
-
Ripoti ya 1 ya Baraza Linaloongoza ya 2021
Habari zenu nyote?
Katika ripoti hii,
Ningependa kuzungumzia kile
ambacho ninyi ndugu na dada mmetimiza
katika miezi michache iliyopita.
Lazima Yehova awe
anafurahishwa sana nanyi.
Utii wenu,
bidii yenu,
licha ya vizuizi vyote
hamjaacha kumpa Yehova kilicho bora.
Tofauti na hilo,
tunapokea ripoti kutoka nchi
moja baada ya nyingine
ya vilele vipya katika idadi ya wahubiri,
machapisho,
mapainia wa kawaida
mafunzo ya Biblia,
na hudhurio la mikutano.
Hongereni sana
ninyi watumishi waaminifu wa Yehova.
Bila shaka,
sisi sote tunatamani
kurudi kuhubiri nyumba kwa nyumba
na kufanya mahubiri ya hadharani.
Na ikiwa kwa sasa
tunaandika barua na pia
kuhubiri kupitia simu
huenda tukaanza kujihisi
hatutimizi mengi.
Ikiwa hivyo ndivyo unavyohisi
kumbuka kile ambacho tunaambiwa
kwenye Ufunuo 14:6.
Tafadhali fuatana nami
ninaposoma mstari huo.
Unasema
“Nami nikamwona malaika mwingine
akiruka katikati ya mbingu,
naye alikuwa na
habari njema ya milele
ili aitangaze kwa wale wanaokaa duniani
kwa kila taifa
na kabila
na lugha
na watu.”
Kwa hiyo malaika
au kikundi cha malaika
wanasimamia kazi ya kuhubiri.
Kwa hiyo ukitafakari
kwa sababu ya vizuizi vilivyopo
Huenda malaika wana
shughuli nyingi zaidi wakati huu
wakihakikisha ujumbe wa Ufalme
unawafikia watu wanaofaa.
Ikiwa sivyo,
ungeelezaje ongezeko lote tunaloona?
Unaandika barua na kuituma
anayeipokea anaisoma
lakini hapendezwi.
Umetimiza nini?
Umetoa ushahidi.
Na huenda huo ndio ushahidi
bora zaidi mtu huyo amewahi kupokea.
Watu wengine hawapatikani
nyumbani tunapowatembelea.
Au huenda hawafungui mlango.
Kwa hiyo hawajui tunaamini nini
hadi . . .
hadi wanapopokea barua yako.
Lakini namna gani mtu mwingine
katika nyumba hiyo anapopendezwa?
Malaika watahakikisha
mtu huyo anasoma barua hiyo.
Umewapa malaika nafasi
ya kutimiza kazi yao.
Au
unapiga simu kwenye namba isiyofaa
halafu kumbe ndio namba
uliyofaa kupiga.
Je, malaika walihusika
katika yeyote ya masimulizi yafuatayo:
Nitakuacha wewe uamue.
Dada mmoja kule Amerika Kusini
alikuwa akihubiri
kupitia simu na hakuwa akipata matokeo.
lakini hakukata tamaa.
Alipiga namba nyingine
na mwanamume akajibu,
Dada huyo alieleza kwamba alikuwa
akipiga simu ili
kuwatia moyo majirani wake
kwa sababu ya ugonjwa wa corona
na akasoma Yeremia 29:11
inayoonyesha kwamba Yehova
anatupatia “wakati ujao
na tumaini.”
Kisha mwanamume huyo akasema
“Hujapiga
simu hii kimakosa.
Umetumwa na Mungu.”
Alimwambia Dada huyo kwamba
alikuwa amepiga kwenye kituo cha redio
na kwamba alikuwa hewani wakati huo,
watu wengi sana walikuwa
wakimsikiliza akizungumza
na mada iliyokuwa ikizungumziwa
ni ugonjwa wa corona.
Upesi Dada huyo alisali apate nguvu
kisha
akashiriki Maandiko yenye kutia moyo
na wasikilizaji wote kwenye redio.
Na pia akawajulisha kuhusu tovuti yetu.
Mtangazaji aliandika Maandiko hayo
na akawatia moyo kwa uchangamfu
wasikilizaji watembelee tovuti hiyo.
Ajabu sana.
Sasa jiulize,
je dada yetu angepiga simu hiyo
ikiwa angejua mapema
kwamba angezungumza
na watu kwenye redio?
Dada mwingine nchini Marekani
alikuwa akinunua nguo kupitia simu
na alikuwa amesali kwa Yehova
ampe ujasiri wa kutoa ushahidi
baada ya kumaliza ununuzi.
Alitenda kupatana na sala yake.
Kwanza alimshukuru muuzaji huyo
kwa kuwa mwenye fadhili
kisha akamuuliza ikiwa
angemsomea andiko la Biblia.
Msichana huyo alikubali.
Kumbe
zamani alikuwa akijifunza Biblia
lakini akaacha kwa sababu
ya kuwa na mambo mengi maishani.
Walianza kujifunza
kitabu <i>Biblia Inatufundisha</i>
na msichana huyo
akahudhuria mikutano kupitia <i>Zoom</i>
Jumapili iliyofuata.
Namna gani simulizi hilo?
Ndugu nchini Japani
aliwaandikia barua
wanafunzi wenzake wa zamani 100.
Sasa wakiwa na miaka thelathini na kitu
wengi wao walikuwa
wanakabili matatizo kazini
na mahangaiko ya kuwalea watoto wao
kwa njia inayofaa.
Hotuba kuhusu maisha ya familia
ilipotolewa kutanikoni
29 kati yao walihudhuria.
Sasa
anajifunza na 18 kati yao.
Dada nchini Brazili
alimpigia mwanamke simu
kumbe simu ililia wakati
mwanamke huyo alikuwa karibu tu kujiua.
Alikuwa na matatizo mengi
lakini simu hiyo
ilimsadikisha kwamba
Mungu anapendezwa naye.
Alikubali funzo
na anafanya maendeleo makubwa.
Dada mwingine anayeishi
kwenye kisiwa kilicho chini ya
ofisi ya Tawi ya Ufaransa
alienda kumwona daktari.
Baada ya kuzungumzia
matatizo yake ya afya kwa muda
alimuuliza daktari yeye anaendeleaje.
Daktari alishtuka
alimwambia
ni mara chache wagonjwa wake
wanapendezwa naye kibinafsi.
Hilo
lilimfungulia njia dada yetu kutoa ushahidi.
Daktari huyo alisema hajawahi
kufungua mlango
Mashahidi walipomtembelea.
Walipomaliza mazungumzo
Daktari alimwambia Dada yetu atakaporudi
atampanga awe mwisho kabisa
ya wagonjwa wengine
ili waweze kuendeleza mazungumzo yao.
Dada mwenye umri wa miaka 80 anaishi
vijijini nchini Ufaransa
alimpigia simu mwanamke katika
kijiji cha mbali
wakazungumza kuhusu ile sala ya kielelezo.
Na hiyo,
ndiyo habari iliyomfaa mwanamke huyo.
Alisema kwamba alilelewa na watawa
lakini hakuwa ameilewa sala hiyo ya Bwana.
Funzo la Biblia linaongozwa kila juma
na mwanamke huyo
anahudhuria mikutano kupitia <i>Zoom</i>.
Masimulizi yote hayo
yanapatana kwa njia gani?
Mtu aliandika barua,
alipiga simu
au kuanzisha mazungumzo.
Ndugu na Dada walifanya walichoweza
na kuwapa malaika jambo la kufanyia kazi.
Kwa hiyo, wape malaika kazi!
Tumia nafasi zote kutoa
ushahidi kwa wanafunzi wenzako,
wataalamu wa afya,
wafanyabiashara,
na wauza duka.
Njia rahisi ya kuanzisha
mazungumzo ni kusema:
“Ningependa kukuambia kuhusu tovuti
ambayo mamilioni ya watu wameona
ina habari zenye kutia moyo.”
Kuhusu tovuti yetu
jitihada za pekee zinafanywa
ili kuandaa habari za karibuni zaidi
kwenye jw.org
Acheni tumsikilize Ndugu Herman van Selm
Msaidizi wa Halmashauri ya
Uandikaji anapotueleza.
Jambo la pekee lilitokea
Januari mwaka uliopita.
Ni jambo gani hilo?
Halmashauri ya Uandikaji
pamoja na Halmashauri ya Waratibu
ziliamua kwamba
ukurasa wa Mwanzo wa tovuti yetu
uwe na makala zinazoonyesha
matukio ya karibuni zaidi,
unase fikira za watazamaji
na kuandaa ufafanuzi
na ushauri kutoka katika Biblia.
Basi uamuzi huo
uliofanywa mwezi Januari
ulithibitikaje kuwa wa wakati unaofaa?
Kwa kweli,
miezi michache tu baadaye
ugonjwa wa corona ulianza.
Kwa hiyo mara moja idara ya uandikaji
ilianza kutayarisha makala
ambazo zingejibu maswali muhimu
yaliyokuwa yakiwahangaisha watu.
Hata hiyo,
changamoto ni kwamba
kutayarisha toleo moja la <i>Amkeni!</i>
au <i>Mnara wa Mlinzi</i> kunaweza kuchukua
zaidi ya miezi 18.
Kwa hiyo tulihitaji kutafuta njia
ya kutayarisha makala kwa ajili ya
ukurasa wa Mwanzo
kwa muda mfupi zaidi.
Kwa kupendeza,
kwa msaada wa Yehova
na kwa msaada wa ndugu na dada
katika idara mbalimbali
muda wote wa kutayarisha
na kutokeza makala moja mpya
kwa ajili ya ukurasa wa Mwanzo
umepunguzwa na kuwa majuma 5.
Tunafurahi sana kwamba
tayari kuna makala nyingi
ambazo zimetayatishwa
kwa ajili ya ukurasa wa Mwanzo
kuhusiana na ugonjwa wa corona.
Kati ya makala hizi sita,
unafikiri ni gani ambayo watu wengi
waliitembelea kwenye ukurasa wa Mwanzo?
Makala iliyotembelewa
na watu wengi zaidi ilikuwa na kichwa
“Biblia Inasema Nini Kuhusu Magonjwa ya Mlipuko?”
Basi hilo linatuonyesha nini?
Watu wanataka kujua
jinsi matukio ya karibuni
yanayohusiana na Biblia.
Na tovuti yetu inaeleza kwa njia ya wazi
jinsi hali za ulimwengu
zinavyotimiza unabii wa Biblia.
Hilo linafanya habari
zilizo katika tovuti yetu
ziwe tofauti na habari ambazo
watu wanaweza kupata
katika sehemu nyingine.
Pia, ndugu na dada
kutoka ulimwenguni pote
wanaona kwamba
makala hizo zinawasaidia.
Huu ni mfano mmoja
wa wenzi wa ndoa walio na watoto matineja.
Wakati tu sisi wazazi tunapohisi
hatujui jinsi ya kushughulika
na ugonjwa huu wa corona
na pia kutengwa, mkazo, na vurugu katika jamii
makala inatokea ambayo inatupa
mwongozo ulio wazi wa Maandiko
wa jinsi ya kushughulikia hali tunayokabili.
Tunashukuru sana kwamba
mtumwa mwaminifu
anatuandalia upesi sana
kile hasa ambacho tunahitaji.
Wengi wameeleza jinsi makala
zilizo kwenye ukurasa wa Mwanzo
zinavyowasaidia katika huduma
Haya ni baadhi ya maelezo yao:
Kutoka Hispania:
Vichwa vinavuta uangalifu,
lugha ni rahisi
lakini yenye nguvu.
Kutoka Benin:
Wahubiri wanavutiwa sana
na jinsi makala hizo
zinavyopatana na matukio ya sasa.
Uholanzi:
Zinawasaidia wahubiri kuendelea
kuwa na uchangamfu katika huduma
wakati wa ugonjwa huu wa corona.
Skandinavia:
Wahubiri huangalia ukurasa wa Mwanzo
kabla ya kuanza mahubiri ya simu.
Uingereza:
Ndicho kitu tulichohitaji zaidi
kwa ajili ya huduma tunayofanya sasa.
Mabadiliko haya ya karibuni
katika ukurasa wa Mwanzo
ni mfano wenye kuimarisha imani wa jinsi
mtumwa mwaminifu na mwenye busara
anavyoandaa chakula
kinachofaa
kwa wakati unaofaa.
Kwa kumalizia,
tungependa kuwapongeza tena
kwa kubadilikana na kwa bidii yenu
wakati wa ugonjwa huu wa corona.
Endeleeni kutia bidii ndugu na dada
na Yehova atawabariki sana.
Kutoka kwenye Makao Makuu
ya Ulimwenguni Pote
ya Mashahidi wa Yehova.
Hii ni JW Broadcasting®.
-