00:00:01
Katika ripoti hii,00:00:03
00:00:03
tutazungumzia kazi yetu muhimu00:00:05
00:00:05
zaidi ya kufanya wanafunzi.00:00:07
00:00:08
Licha ya janga la corona,00:00:11
00:00:11
Baraza Linaloongoza linaendelea00:00:13
00:00:13
kutafuta njia zinazoweza kufanya
huduma yetu iwe yenye matokeo zaidi.00:00:17
00:00:18
Jinsi gani?00:00:19
00:00:20
Kwa kufuata mwelekezo uliotolewa00:00:22
00:00:22
kwenye mkutano wa kila mwaka wa 2017.00:00:25
00:00:27
Kwenye mkutano huo,00:00:28
00:00:28
Baraza Linaloongoza lilitangaza mabadiliko ya kitengenezo00:00:32
00:00:33
yanayotegemea 1 Wakorintho 9:26.00:00:36
00:00:37
Mstari huo unasema:00:00:39
00:00:39
“Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia si bila kusudi,00:00:43
00:00:44
jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa.”00:00:48
00:00:49
Tunaelekezaje “ngumi” zetu kwa matokeo?00:00:52
00:00:53
Tunafuata kile Matendo 13:48 inasema:00:00:57
00:00:57
“kutafuta wale walio na mwelekeo unaofaa
kwa ajili ya uzima wa milele.”00:01:02
00:01:04
Tumepata msaada gani wa kufanya hivyo?00:01:07
00:01:09
Fikiria mifano michache ya mwaka uliopita.00:01:12
00:01:12
Tulijifunza makala za funzo la Mnara wa Mlinzi00:01:14
00:01:14
zilizokazia jinsi tunavyoweza00:01:16
00:01:16
kuwasaidia wanafunzi wa Biblia
kufanya maendeleo kufikia ubatizo,00:01:20
00:01:20
na zilitukumbusha tunapaswa kusitisha
mafunzo yasiyo na matokeo.00:01:24
00:01:25
Programu ya kusanyiko la eneo la 2020,00:01:28
00:01:29
lilitenga siku nzima kwa ajili ya
kazi ya kufanya wanafunzi00:01:33
00:01:33
na kuwasaidia wanafunzi wa Biblia
kufanya maendeleo kufikia ubatizo.00:01:37
00:01:38
Hakuna anayeweza kuwasahau
Neema na Lulu.00:01:41
00:01:42
Kampeni yetu ya
Novemba ilitia ndani jitihada ya pekee00:01:45
00:01:45
ya kuwaandalia maofisa wa serikali habari
kuhusu Ufalme wa Mungu.00:01:49
00:01:49
Lengo likiwa kuwafikia watu wengi zaidi
walio na “mwelekeo unaofaa.”00:01:56
00:01:56
Na sisi sote tumesisimka kutumia kifaa kipya
cha kufundishia Biblia,00:02:01
00:02:01
Furahia Maisha Milele!00:02:02
00:02:02
ambacho kinatumia njia yenye
matokeo zaidi ya kufundisha.00:02:06
00:02:07
Jambo lingine lilitokea mwaka wa 202000:02:10
00:02:10
ili kutusaidia kuelekeza ngumi zetu
kwa njia inayofaa.00:02:13
00:02:14
Juni 202000:02:16
00:02:16
ilitangazwa kwamba ofisi zote za tawi
zingechanganua00:02:20
00:02:20
vikundi, vikundi vidogo, na makutaniko00:02:24
00:02:24
ya lugha za kigeni na ya lugha za wenyeji.00:02:28
00:02:29
Kwa nini waliombwa kufanya
uchanganuzi huo?00:02:31
00:02:33
Ona jambo ambalo Baraza Linaloongoza
liliwaeleza wazee wakati huo.00:02:37
00:02:39
“Katika miaka ya hivi karibuni,00:02:41
00:02:41
watu wa Yehova wameitikia
wito wa kupanua huduma yao,00:02:46
00:02:46
kwa kujifunza lugha nyingine ili kuwafikia
wale walio na mioyo minyoofu,00:02:51
00:02:52
na wahubiri wanastahili kupongezwa00:02:54
00:02:54
kwa bidii yao ya kujidhabihu kwa njia hiyo. 00:02:58
00:02:58
Hata hivyo, imeonekana kwamba
katika visa fulani,00:03:04
00:03:04
vikundi au vikundi vidogo huonyesha
uwezekano mdogo sana wa ukuzi,00:03:08
00:03:09
kukiwa na mafunzo machache ya
Biblia yenye maendeleo,00:03:12
00:03:12
hasa wanaoendelea hadi kwenye ubatizo.00:03:15
00:03:16
Kupatana na andiko la 1 Wakorintho 9:26,00:03:20
00:03:20
Baraza Linaloongoza
lingependa kuwa na uhakika00:03:23
00:03:23
kwamba tunaelekeza ngumi zetu
kwa matokeo.”00:03:26
00:03:28
Uchanganuzi huo wa vikundi vya lugha,00:03:31
00:03:31
na makutaniko ulifanywaje?00:03:34
00:03:35
Ona kilichotokea katika karne ya kwanza00:03:38
00:03:38
wakati ambapo Paulo na waandamani
wake walitaka kupanua huduma yao.00:03:43
00:03:44
Matendo 16:6-10 inaeleza kwamba00:03:47
00:03:47
walisafiri kilometa nyingi00:03:49
00:03:49
na wakafanya jitihada kubwa kuhubiri
katika maeneo mbalimbali.00:03:53
00:03:54
Hata hivyo, Yehova,
kupitia roho yake takatifu,00:04:00
00:04:00
aliwaelekeza kwenye eneo linalofaa.00:04:03
00:04:03
Tusome kuhusu hilo kwenye Matendo 16:9:00:04:07
00:04:07
“Naye Paulo akaona maono usiku00:04:10
00:04:10
mwanamume Mmakedonia alikuwa
amesimama hapo akimsihi:00:04:14
00:04:15
‘Vuka uingie Makedonia utusaidie.’” 00:04:18
00:04:19
Walitendaje?00:04:20
00:04:20
Mstari wa 10 unasema:00:04:22
00:04:22
“Mara tu alipoona maono hayo,00:04:25
00:04:25
tukajaribu kuingia Makedonia00:04:27
00:04:28
tukikata kauli kwamba Mungu00:04:30
00:04:30
alikuwa akituita tuwatangazie Habari Njema.”00:04:34
00:04:35
Walipotambua mwelekezo wa Yehova,00:04:38
00:04:38
bila kukawia,00:04:40
00:04:40
ndugu hao walifuata mwelekezo
wa roho takatifu.00:04:43
00:04:45
Vivyo hivyo, tunafuata mwelekezo
wa roho takatifu.00:04:50
00:04:50
Bila shaka mwelekezo
hautolewi kupitia maono00:04:53
00:04:53
bali kupitia mambo tunayojionea
katika huduma.00:04:57
00:04:58
Uchanganuzi uliofanywa00:05:00
00:05:00
ulionyesha kwamba vikundi na
makutaniko fulani00:05:03
00:05:03
ya lugha za kigeni na lugha za kienyeji00:05:05
00:05:05
yalikuwepo kwa miaka mingi00:05:07
00:05:07
na yalikuwa na wahubiri wachache00:05:09
00:05:09
au hata hayakuwa na wahubiri
waliotegemea lugha hizo. 00:05:13
00:05:15
Katika visa vingine00:05:16
00:05:17
eneo lilikuwa pana sana00:05:19
00:05:19
hivi kwamba wahubiri na mapainia
walilazimika kusafiri mbali sana00:05:24
00:05:24
ili kumpata mtu anayeweza
kuzungumza lugha hiyo.00:05:27
00:05:29
Licha ya jitihada hizo zote,00:05:31
00:05:31
ni mafunzo machache tu ya Biblia00:05:34
00:05:34
na watu wachache tu waliopendezwa00:05:36
00:05:36
ambao walihudhuria mikutano.00:05:38
00:05:40
Roho ya Yehova ilikuwa ikituambia nini?00:05:43
00:05:44
Ingefaa kutumia jitihada hizo00:05:47
00:05:47
katika maeneo mengine.00:05:49
00:05:50
Kwa hiyo vikundi hivyo na
makutaniko hayo yalivunjwa. 00:05:56
00:05:58
Je umeathiriwa kwa njia fulani
na uchanganuzi huo?00:06:03
00:06:04
Ikiwa ndivyo hauko peke yako.00:06:07
00:06:08
Kwa mfano,00:06:09
00:06:09
matokeo ya uchanganuzi00:06:11
00:06:11
uliofanywa katika ofisi 16 tu za tawi,00:06:14
00:06:14
ni kwamba wazee 4,700,00:06:17
00:06:17
watumishi wa huduma 2,80000:06:20
00:06:20
na mapainia wa kawaida 11,00000:06:24
00:06:24
sasa wanaweza kutumiwa
katika maeneo mengine. 00:06:28
00:06:30
Wakati fulani huenda tulifikiri
ongezeko kubwa zaidi00:06:35
00:06:35
linatokea katika maeneo ya lugha
za kigeni au lugha za wenyeji.00:06:40
00:06:40
Lakini tulipochunguza jambo hilo00:06:42
00:06:42
kwa uangalifu zaidi,00:06:44
00:06:44
ilionekana kwamba makutaniko
ya lugha kuu ya nchi nyingi00:06:48
00:06:49
yalikuwa na idadi kubwa zaidi
ya wanafunzi wapya waliobatizwa. 00:06:54
00:06:56
Kwa hiyo, ikiwa sasa unarudi00:06:59
00:06:59
katika kutaniko la mojawapo ya
lugha kuu nchini kwenu,00:07:03
00:07:04
kumbuka kwamba unahitajika hapo!00:07:07
00:07:07
Makutaniko mengi yanahitaji msaada00:07:10
00:07:10
wa kuhubiri katika maeneo yao makubwa.00:07:12
00:07:14
Katika majiji makubwa kuna mamilioni
ya watu wanaohitaji kuhubiriwa00:07:19
00:07:19
lakini kuna wahubiri na mapainia
wachache tu wa kuhubiri.00:07:23
00:07:25
Mapainia na wahubiri wengi00:07:27
00:07:27
wanapata ziara za kurudia
na mafunzo ya Biblia00:07:30
00:07:30
yanayofanya maendeleo
katika maeneo hayo.00:07:33
00:07:34
Fikiria pia jinsi makutaniko
yanavyoimarishwa00:07:37
00:07:37
ndugu na dada wakomavu
wanaporudi kujiunga nao!00:07:41
00:07:41
Ndugu wengi waliowekwa rasmi00:07:43
00:07:43
sasa wanapatikana
kusaidia katika uchungaji,00:07:46
00:07:47
kutoa migawo mikutanoni,00:07:49
00:07:49
na kusaidia katika njia nyingine nyingi. 00:07:52
00:07:53
Kumekuwa na matokeo gani00:07:55
00:07:55
baada ya kufanya mabadiliko hayo yote?00:07:57
00:07:58
Tusikilize maelezo ya washiriki
kadhaa wa Halmashauri za Tawi. 00:08:02
00:08:05
Mwelekezo wenye hekima wa
Baraza Linaloongoza00:08:08
00:08:08
ulisaidia kuboresha00:08:09
00:08:09
jinsi tunavyotimiza huduma yetu.00:08:11
00:08:11
Kuwa na wahubiri wengi zaidi,00:08:13
00:08:13
mapainia wanaostahili00:08:14
00:08:14
na ndugu waliowekwa rasmi,00:08:16
00:08:16
kutanufaisha makutaniko mengine00:08:18
00:08:18
na kuwawezesha kukazia fikira zao00:08:20
00:08:20
kusaidia maeneo yaliyo na matokeo zaidi00:08:23
00:08:23
au maeneo yaliyo na uhitaji zaidi.00:08:25
00:08:26
Uchanganuzi huo00:08:27
00:08:27
umetuwezesha kuwapeleka wahitimu 00:08:28
00:08:28
wa Shule ya Waeneza-Injili wa Ufalme00:08:31
00:08:31
na mapainia wa pekee pia00:08:33
00:08:33
kwenye maeneo yaliyo na matokeo zaidi.00:08:36
00:08:36
Kufikia sasa tumepata habari
kwamba kufanya hivyo,00:08:40
00:08:40
kumewafanya mapainia hao wawe
na shangwe zaidi katika huduma.00:08:44
00:08:44
Na kwa kweli wengi wao sasa wanaongoza
mafunzo ya Biblia yenye maendeleo.00:08:49
00:08:49
Si rahisi kwa yeyote kati yetu00:08:51
00:08:51
kufanya mabadiliko00:08:52
00:08:52
kwa hiyo tulifurahi kuona wengi00:08:54
00:08:54
wakiwa tayari kuunga mkono
kikamili mabadiliko hayo.00:08:58
00:08:58
Katika eneo la lugha moja00:09:00
00:09:00
baadhi ya akina ndugu
mwanzoni walisitasita.00:09:03
00:09:03
Lakini walikuwa washikamanifu,00:09:05
00:09:05
kwa hiyo waliunga mkono mabadiliko hayo.00:09:08
00:09:08
Sasa mwangalizi wa mzunguko
anatuambia kwamba ndugu hao,00:09:12
00:09:12
wameshukuru sana kwa ajili ya
mabadiliko hayo yenye upendo. 00:09:16
00:09:16
Wengi waliokuwa wakijifunza lugha,00:09:19
00:09:19
wametuambia kwamba siku hizi
hawana mkazo sana.00:09:22
00:09:22
Mabadiliko hayo yamewawezesha sasa00:09:24
00:09:24
kuwa katika kutaniko ambamo
wanaweza kukazia fikira00:09:27
00:09:27
kuwa na huduma yenye matokeo zaidi00:09:30
00:09:30
na pia kutunza hali yao wenyewe ya kiroho. 00:09:33
00:09:34
Ndugu mmoja aliyekuwa anajifunza
lugha nyingine,00:09:37
00:09:37
alikuwa kwenye kutaniko ambalo
lilibadilishwa na kuwa kikundi.00:09:41
00:09:41
Alisema: “Hatimaye ni kama
mtu ameniondolea00:09:44
00:09:44
mkazo mwingi sana niliokuwa nao.”00:09:46
00:09:46
Kwa kweli Halmashauri yetu ya Tawi
iliona roho ya Yehova ikitenda00:09:51
00:09:51
na tunasadiki kwamba amebariki
uchanganuzi huo. 00:09:54
00:09:56
Namna gani mapainia na wahubiri?00:09:58
00:09:59
Acheni tusikie kutoka kwa baadhi ya wale
ambao wamepitia mabadiliko hayo. 00:10:04
00:10:06
Katika kutaniko ambalo sasa00:10:08
00:10:08
natumikia la Kireno,00:10:09
00:10:09
eneo lina matokeo sana.00:10:11
00:10:11
Watu wanaitikia vizuri sana.00:10:13
00:10:13
Nilijiwekea mradi wa kuaanzisha
funzo moja la Biblia00:10:16
00:10:16
nilipokuwa katika kikundi
cha lugha ya kigeni,00:10:18
00:10:18
lakini baada ya mabadiliko00:10:20
00:10:20
nilianzisha
mafunzo matano baada ya juma moja tu. 00:10:23
00:10:23
Zamani tuliendesha gari kwa saa nyingi00:10:25
00:10:25
tukitafuta watu wachache tu.00:10:27
00:10:27
Sasa tunawahubiria watu wote00:10:29
00:10:29
na tukipata mtu anayezungumza
lugha ya kigeni tunamhubiria pia.00:10:33
00:10:33
Sasa ninapata shangwe katika huduma00:10:35
00:10:35
kwa sababu ninahisi ninatumia
wakati vizuri zaidi. 00:10:38
00:10:38
Tulipenda sana kuwa katika kikundi
cha lugha ya kigeni,00:10:40
00:10:40
lakini inachukua muda mwingi sana.00:10:42
00:10:42
Kwa hiyo tumefurahia kuwa na00:10:44
00:10:44
muda mwingi sana wa kutayarisha mikutano,00:10:46
00:10:46
kuzungumzia mambo makuu,00:10:47
00:10:47
na jinsi ya kuyatumia.00:10:49
00:10:49
Imekuwa baraka kubwa kwetu.00:10:51
00:10:51
Mimi nimenufaika sana kwa kuwa
na muda mwingi zaidi00:10:54
00:10:54
wa kuimarisha uhusiano wangu na Yehova.00:10:57
00:10:59
Ndugu mmoja kutoka kwenye kikundi kingine,00:11:02
00:11:02
alisema jambo fulani lenye kupendeza sana.00:11:04
00:11:04
Alisema: “Sasa nafikiri naelewa vizuri
zaidi jinsi Yehova anavyofanya hesabu zake.00:11:10
00:11:10
Badala ya watu 15 kujifunza lugha
ili kumsaidia mtu mmoja,00:11:13
00:11:13
sasa mtu mmoja tu anahitaji kujifunza lugha00:11:16
00:11:16
ili anufaike kutokana na kutaniko zima,00:11:19
00:11:19
ndugu na dada 100 au hata zaidi.”00:11:21
00:11:23
Mwanzoni tulikuwa na wasiwasi kwa wale00:11:25
00:11:25
ambao hawangeweza kuzungumza00:11:27
00:11:27
lugha ya kutaniko letu vizuri.00:11:28
00:11:29
Lakini sasa kadiri wanavyozidi
kuwa sehemu ya kutaniko00:11:32
00:11:32
wamekuwa na familia kubwa zaidi00:11:34
00:11:34
ya ndugu na dada ambao wanawajali. 00:11:36
00:11:37
Katika kutaniko letu dogo,00:11:38
00:11:38
kwa kawaida ni wahubiri tu
waliohudhuria ukumbusho.00:11:41
00:11:42
Lakini katika kutaniko hili jipya,00:11:44
00:11:44
ilipendeza kwamba mwaka huu zaidi
ya mara mbili ya wahubiri00:11:47
00:11:47
ndio waliohudhuria ukumbusho.00:11:49
00:11:49
Hilo lilikuwa jambo lenye kutia moyo sana. 00:11:52
00:11:52
Sasa tunahisi kwamba tunatumia
wakati na nguvu zetu00:11:55
00:11:55
katika eneo ambalo lina matokeo,00:11:57
00:11:57
na kama 1 Wakorintho 9:26 inavyosema,00:12:01
00:12:01
tunahisi kwamba tunaelekeza “ngumi”
zetu kwa njia yenye matokeo. 00:12:05
00:12:08
Ikiwa hali yako inafanana
na ya wahubiri hao,00:12:12
00:12:12
utafanya nini sasa?00:12:14
00:12:15
Kama Paulo tunahitaji kuelekeza
jitihada zetu kupatana na mwongozo00:12:20
00:12:21
wa roho ya Mungu.00:12:22
00:12:24
Kujifunza lugha nyingine kunaweza
kuwa njia moja ya kupanua huduma yetu.00:12:28
00:12:30
Lakini kuna njia nyingine pia.00:12:32
00:12:33
Ni wapi palipo na uhitaji
mkubwa zaidi wa wahubiri?00:12:37
00:12:38
Ni wapi ambapo kuna ongezeko?00:12:40
00:12:41
Huenda ikawa katika eneo la
lugha kuu nchini kwenu.00:12:45
00:12:46
Ukipenda kujua ni wapi ambapo
unaweza kutumiwa kwa njia nzuri zaidi,00:12:51
00:12:52
zungumza na mwangalizi wako
wa mzunguko00:12:55
00:12:55
au uwasiliane na ofisi yenu ya tawi. 00:12:57
00:12:58
Tengenezo la Yehova linazidi kusonga mbele,00:13:02
00:13:02
na halitasimamishwa na janga hili
la corona00:13:05
00:13:05
au jambo lingine lolote!00:13:07
00:13:10
Je, mabadiliko yaliyofanywa karibuni00:13:13
00:13:13
yatatokeza ongezeko kubwa zaidi?00:13:16
00:13:16
Labda.00:13:18
00:13:18
Ni mapema sana kusema.00:13:20
00:13:20
Lakini ripoti zinazotufikia zinapendeza.00:13:23
00:13:24
Ofisi moja ya tawi inaripoti kwamba00:13:26
00:13:26
wamekuwa na vilele kumi vipya
mfululizo katika idadi ya wahubiri.00:13:31
00:13:31
Na ofisi nyingine ya tawi inasema kwamba
idadi ya mapainia wapya wa kawaida00:13:36
00:13:36
na ya mafunzo mapya ya Biblia00:13:38
00:13:38
inaongezeka kwa kasi ambayo
haijawahi kuonekana tena.00:13:41
00:13:43
Baraza Linaloongoza lina uhakika kamili00:13:46
00:13:47
kwamba Yehova atawaimarisha nyinyi nyote00:13:49
00:13:50
ili kila mmoja wenu aelekeze ngumi
zake kwa njia yenye matokeo.00:13:54
00:13:55
Tunawapenda sana ninyi nyote.00:13:58
00:14:00
Kutoka kwenye Makao Makuu ya
Ulimwenguni Pote ya Mashahidi wa Yehova,00:14:04
00:14:04
hii ni JW Broadcasting®.00:14:07
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2021
-
Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2021
Katika ripoti hii,
tutazungumzia kazi yetu muhimu
zaidi ya kufanya wanafunzi.
Licha ya janga la corona,
Baraza Linaloongoza linaendelea
kutafuta njia zinazoweza kufanya
huduma yetu iwe yenye matokeo zaidi.
Jinsi gani?
Kwa kufuata mwelekezo uliotolewa
kwenye mkutano wa kila mwaka wa 2017.
Kwenye mkutano huo,
Baraza Linaloongoza lilitangaza mabadiliko ya kitengenezo
yanayotegemea 1 Wakorintho 9:26.
Mstari huo unasema:
“Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia si bila kusudi,
jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa.”
Tunaelekezaje “ngumi” zetu kwa matokeo?
Tunafuata kile Matendo 13:48 inasema:
“kutafuta wale walio na mwelekeo unaofaa
kwa ajili ya uzima wa milele.”
Tumepata msaada gani wa kufanya hivyo?
Fikiria mifano michache ya mwaka uliopita.
Tulijifunza makala za funzo la
<i>Mnara wa Mlinzi</i>
zilizokazia jinsi tunavyoweza
kuwasaidia wanafunzi wa Biblia
kufanya maendeleo kufikia ubatizo,
na zilitukumbusha tunapaswa kusitisha
mafunzo yasiyo na matokeo.
Programu ya kusanyiko la eneo la 2020,
lilitenga siku nzima kwa ajili ya
kazi ya kufanya wanafunzi
na kuwasaidia wanafunzi wa Biblia
kufanya maendeleo kufikia ubatizo.
Hakuna anayeweza kuwasahau
Neema na Lulu.
Kampeni yetu ya
Novemba ilitia ndani jitihada ya pekee
ya kuwaandalia maofisa wa serikali habari
kuhusu Ufalme wa Mungu.
Lengo likiwa kuwafikia watu wengi zaidi
walio na “mwelekeo unaofaa.”
Na sisi sote tumesisimka kutumia kifaa kipya
cha kufundishia Biblia,
<i>Furahia Maisha Milele!</i>
ambacho kinatumia njia yenye
matokeo zaidi ya kufundisha.
Jambo lingine lilitokea mwaka wa 2020
ili kutusaidia kuelekeza ngumi zetu
kwa njia inayofaa.
Juni 2020
ilitangazwa kwamba ofisi zote za tawi
zingechanganua
vikundi, vikundi vidogo, na makutaniko
ya lugha za kigeni na ya lugha za wenyeji.
Kwa nini waliombwa kufanya
uchanganuzi huo?
Ona jambo ambalo Baraza Linaloongoza
liliwaeleza wazee wakati huo.
“Katika miaka ya hivi karibuni,
watu wa Yehova wameitikia
wito wa kupanua huduma yao,
kwa kujifunza lugha nyingine ili kuwafikia
wale walio na mioyo minyoofu,
na wahubiri wanastahili kupongezwa
kwa bidii yao ya kujidhabihu kwa njia hiyo.
Hata hivyo, imeonekana kwamba
katika visa fulani,
vikundi au vikundi vidogo huonyesha
uwezekano mdogo sana wa ukuzi,
kukiwa na mafunzo machache ya
Biblia yenye maendeleo,
hasa wanaoendelea hadi kwenye ubatizo.
Kupatana na andiko la 1 Wakorintho 9:26,
Baraza Linaloongoza
lingependa kuwa na uhakika
kwamba tunaelekeza ngumi zetu
kwa matokeo.”
Uchanganuzi huo wa vikundi vya lugha,
na makutaniko ulifanywaje?
Ona kilichotokea katika karne ya kwanza
wakati ambapo Paulo na waandamani
wake walitaka kupanua huduma yao.
Matendo 16:6-10 inaeleza kwamba
walisafiri kilometa nyingi
na wakafanya jitihada kubwa kuhubiri
katika maeneo mbalimbali.
Hata hivyo, Yehova,
kupitia roho yake takatifu,
aliwaelekeza kwenye eneo linalofaa.
Tusome kuhusu hilo kwenye Matendo 16:9:
“Naye Paulo akaona maono usiku
mwanamume Mmakedonia alikuwa
amesimama hapo akimsihi:
‘Vuka uingie Makedonia utusaidie.’”
Walitendaje?
Mstari wa 10 unasema:
“Mara tu alipoona maono hayo,
tukajaribu kuingia Makedonia
tukikata kauli kwamba Mungu
alikuwa akituita tuwatangazie Habari Njema.”
Walipotambua mwelekezo wa Yehova,
bila kukawia,
ndugu hao walifuata mwelekezo
wa roho takatifu.
Vivyo hivyo, tunafuata mwelekezo
wa roho takatifu.
Bila shaka mwelekezo
hautolewi kupitia maono
bali kupitia mambo tunayojionea
katika huduma.
Uchanganuzi uliofanywa
ulionyesha kwamba vikundi na
makutaniko fulani
ya lugha za kigeni na lugha za kienyeji
yalikuwepo kwa miaka mingi
na yalikuwa na wahubiri wachache
au hata hayakuwa na wahubiri
waliotegemea lugha hizo.
Katika visa vingine
eneo lilikuwa pana sana
hivi kwamba wahubiri na mapainia
walilazimika kusafiri mbali sana
ili kumpata mtu anayeweza
kuzungumza lugha hiyo.
Licha ya jitihada hizo zote,
ni mafunzo machache tu ya Biblia
na watu wachache tu waliopendezwa
ambao walihudhuria mikutano.
Roho ya Yehova ilikuwa ikituambia nini?
Ingefaa kutumia jitihada hizo
katika maeneo mengine.
Kwa hiyo vikundi hivyo na
makutaniko hayo yalivunjwa.
Je umeathiriwa kwa njia fulani
na uchanganuzi huo?
Ikiwa ndivyo hauko peke yako.
Kwa mfano,
matokeo ya uchanganuzi
uliofanywa katika ofisi 16 tu za tawi,
ni kwamba wazee 4,700,
watumishi wa huduma 2,800
na mapainia wa kawaida 11,000
sasa wanaweza kutumiwa
katika maeneo mengine.
Wakati fulani huenda tulifikiri
ongezeko kubwa zaidi
linatokea katika maeneo ya lugha
za kigeni au lugha za wenyeji.
Lakini tulipochunguza jambo hilo
kwa uangalifu zaidi,
ilionekana kwamba makutaniko
ya lugha kuu ya nchi nyingi
yalikuwa na idadi kubwa zaidi
ya wanafunzi wapya waliobatizwa.
Kwa hiyo, ikiwa sasa unarudi
katika kutaniko la mojawapo ya
lugha kuu nchini kwenu,
kumbuka kwamba unahitajika hapo!
Makutaniko mengi yanahitaji msaada
wa kuhubiri katika maeneo yao makubwa.
Katika majiji makubwa kuna mamilioni
ya watu wanaohitaji kuhubiriwa
lakini kuna wahubiri na mapainia
wachache tu wa kuhubiri.
Mapainia na wahubiri wengi
wanapata ziara za kurudia
na mafunzo ya Biblia
yanayofanya maendeleo
katika maeneo hayo.
Fikiria pia jinsi makutaniko
yanavyoimarishwa
ndugu na dada wakomavu
wanaporudi kujiunga nao!
Ndugu wengi waliowekwa rasmi
sasa wanapatikana
kusaidia katika uchungaji,
kutoa migawo mikutanoni,
na kusaidia katika njia nyingine nyingi.
Kumekuwa na matokeo gani
baada ya kufanya mabadiliko hayo yote?
Tusikilize maelezo ya washiriki
kadhaa wa Halmashauri za Tawi.
Mwelekezo wenye hekima wa
Baraza Linaloongoza
ulisaidia kuboresha
jinsi tunavyotimiza huduma yetu.
Kuwa na wahubiri wengi zaidi,
mapainia wanaostahili
na ndugu waliowekwa rasmi,
kutanufaisha makutaniko mengine
na kuwawezesha kukazia fikira zao
kusaidia maeneo yaliyo na matokeo zaidi
au maeneo yaliyo na uhitaji zaidi.
Uchanganuzi huo
umetuwezesha kuwapeleka wahitimu
wa Shule ya Waeneza-Injili wa Ufalme
na mapainia wa pekee pia
kwenye maeneo yaliyo na matokeo zaidi.
Kufikia sasa tumepata habari
kwamba kufanya hivyo,
kumewafanya mapainia hao wawe
na shangwe zaidi katika huduma.
Na kwa kweli wengi wao sasa wanaongoza
mafunzo ya Biblia yenye maendeleo.
Si rahisi kwa yeyote kati yetu
kufanya mabadiliko
kwa hiyo tulifurahi kuona wengi
wakiwa tayari kuunga mkono
kikamili mabadiliko hayo.
Katika eneo la lugha moja
baadhi ya akina ndugu
mwanzoni walisitasita.
Lakini walikuwa washikamanifu,
kwa hiyo waliunga mkono mabadiliko hayo.
Sasa mwangalizi wa mzunguko
anatuambia kwamba ndugu hao,
wameshukuru sana kwa ajili ya
mabadiliko hayo yenye upendo.
Wengi waliokuwa wakijifunza lugha,
wametuambia kwamba siku hizi
hawana mkazo sana.
Mabadiliko hayo yamewawezesha sasa
kuwa katika kutaniko ambamo
wanaweza kukazia fikira
kuwa na huduma yenye matokeo zaidi
na pia kutunza hali yao wenyewe ya kiroho.
Ndugu mmoja aliyekuwa anajifunza
lugha nyingine,
alikuwa kwenye kutaniko ambalo
lilibadilishwa na kuwa kikundi.
Alisema: “Hatimaye ni kama
mtu ameniondolea
mkazo mwingi sana niliokuwa nao.”
Kwa kweli Halmashauri yetu ya Tawi
iliona roho ya Yehova ikitenda
na tunasadiki kwamba amebariki
uchanganuzi huo.
Namna gani mapainia na wahubiri?
Acheni tusikie kutoka kwa baadhi ya wale
ambao wamepitia mabadiliko hayo.
Katika kutaniko ambalo sasa
natumikia la Kireno,
eneo lina matokeo sana.
Watu wanaitikia vizuri sana.
Nilijiwekea mradi wa kuaanzisha
funzo moja la Biblia
nilipokuwa katika kikundi
cha lugha ya kigeni,
lakini baada ya mabadiliko
nilianzisha
mafunzo matano baada ya juma moja tu.
Zamani tuliendesha gari kwa saa nyingi
tukitafuta watu wachache tu.
Sasa tunawahubiria watu wote
na tukipata mtu anayezungumza
lugha ya kigeni tunamhubiria pia.
Sasa ninapata shangwe katika huduma
kwa sababu ninahisi ninatumia
wakati vizuri zaidi.
Tulipenda sana kuwa katika kikundi
cha lugha ya kigeni,
lakini inachukua muda mwingi sana.
Kwa hiyo tumefurahia kuwa na
muda mwingi sana wa kutayarisha mikutano,
kuzungumzia mambo makuu,
na jinsi ya kuyatumia.
Imekuwa baraka kubwa kwetu.
Mimi nimenufaika sana kwa kuwa
na muda mwingi zaidi
wa kuimarisha uhusiano wangu na Yehova.
Ndugu mmoja kutoka kwenye kikundi kingine,
alisema jambo fulani lenye kupendeza sana.
Alisema: “Sasa nafikiri naelewa vizuri
zaidi jinsi Yehova anavyofanya hesabu zake.
Badala ya watu 15 kujifunza lugha
ili kumsaidia mtu mmoja,
sasa mtu mmoja tu anahitaji kujifunza lugha
ili anufaike kutokana na kutaniko zima,
ndugu na dada 100 au hata zaidi.”
Mwanzoni tulikuwa na wasiwasi kwa wale
ambao hawangeweza kuzungumza
lugha ya kutaniko letu vizuri.
Lakini sasa kadiri wanavyozidi
kuwa sehemu ya kutaniko
wamekuwa na familia kubwa zaidi
ya ndugu na dada ambao wanawajali.
Katika kutaniko letu dogo,
kwa kawaida ni wahubiri tu
waliohudhuria ukumbusho.
Lakini katika kutaniko hili jipya,
ilipendeza kwamba mwaka huu zaidi
ya mara mbili ya wahubiri
ndio waliohudhuria ukumbusho.
Hilo lilikuwa jambo lenye kutia moyo sana.
Sasa tunahisi kwamba tunatumia
wakati na nguvu zetu
katika eneo ambalo lina matokeo,
na kama 1 Wakorintho 9:26 inavyosema,
tunahisi kwamba tunaelekeza “ngumi”
zetu kwa njia yenye matokeo.
Ikiwa hali yako inafanana
na ya wahubiri hao,
utafanya nini sasa?
Kama Paulo tunahitaji kuelekeza
jitihada zetu kupatana na mwongozo
wa roho ya Mungu.
Kujifunza lugha nyingine kunaweza
kuwa njia moja ya kupanua huduma yetu.
Lakini kuna njia nyingine pia.
Ni wapi palipo na uhitaji
mkubwa zaidi wa wahubiri?
Ni wapi ambapo kuna ongezeko?
Huenda ikawa katika eneo la
lugha kuu nchini kwenu.
Ukipenda kujua ni wapi ambapo
unaweza kutumiwa kwa njia nzuri zaidi,
zungumza na mwangalizi wako
wa mzunguko
au uwasiliane na ofisi yenu ya tawi.
Tengenezo la Yehova linazidi kusonga mbele,
na halitasimamishwa na janga hili
la corona
au jambo lingine lolote!
Je, mabadiliko yaliyofanywa karibuni
yatatokeza ongezeko kubwa zaidi?
Labda.
Ni mapema sana kusema.
Lakini ripoti zinazotufikia zinapendeza.
Ofisi moja ya tawi inaripoti kwamba
wamekuwa na vilele kumi vipya
mfululizo katika idadi ya wahubiri.
Na ofisi nyingine ya tawi inasema kwamba
idadi ya mapainia wapya wa kawaida
na ya mafunzo mapya ya Biblia
inaongezeka kwa kasi ambayo
haijawahi kuonekana tena.
Baraza Linaloongoza lina uhakika kamili
kwamba Yehova atawaimarisha nyinyi nyote
ili kila mmoja wenu aelekeze ngumi
zake kwa njia yenye matokeo.
Tunawapenda sana ninyi nyote.
Kutoka kwenye Makao Makuu ya
Ulimwenguni Pote ya Mashahidi wa Yehova,
hii ni JW Broadcasting®.
-