00:00:01
Ndugu wapendwa,00:00:02
00:00:02
akina dada,00:00:03
00:00:04
watoto waaminifu,00:00:05
00:00:05
na marafiki wapendwa,00:00:08
00:00:08
ni furaha kubwa kuwa00:00:10
00:00:10
pamoja nanyi kwa ajili ya00:00:11
00:00:11
ripoti hii.00:00:12
00:00:13
Tuna mambo mengi
sana mazuri ya00:00:15
00:00:15
kuwaeleza kutia ndani00:00:17
00:00:17
ripoti kuhusu jinsi ambavyo00:00:19
00:00:19
tumeshughulikia misiba
ya asili00:00:21
00:00:22
na mwishoni mwa ripoti hii00:00:25
00:00:25
tutafurahi sana00:00:26
00:00:26
kuwajulisha andiko00:00:28
00:00:28
la mwaka lenye kujenga sana00:00:30
00:00:30
kwa ajili ya mwaka wa 2022.00:00:33
00:00:34
Hata hivyo,00:00:36
00:00:36
ningependa kuanza00:00:38
00:00:38
kwa kueleza mambo00:00:39
00:00:39
fulani muhimu kuhusu
chanjo00:00:41
00:00:41
ya COVID-19.00:00:43
00:00:44
Kwa sababu
tunawapenda sana00:00:46
00:00:46
na kwa sababu hili00:00:47
00:00:47
ni suala linaloweza00:00:49
00:00:49
kuokoa uhai00:00:50
00:00:50
tumeamua kuwaeleza00:00:52
00:00:52
mambo tunayofahamu00:00:53
00:00:53
kuhusu hili.00:00:55
00:00:56
Kuanzia Juni 1,00:00:58
00:00:58
nchini Marekani00:00:59
00:00:59
wahubiri 1,40700:01:03
00:01:03
wamelazwa hospitalini00:01:05
00:01:05
kwa sababu ya COVID-1900:01:08
00:01:08
au dalili zake.00:01:10
00:01:10
Kati yao00:01:11
00:01:11
zaidi ya asilimia 9900:01:13
00:01:13
hawakuwa wamepata00:01:14
00:01:14
chanjo kamili.00:01:15
00:01:16
Kwa kusikitisha katika00:01:18
00:01:18
kipindi hicho hicho00:01:19
00:01:19
nchini Marekani,00:01:20
00:01:21
ndugu 48600:01:24
00:01:24
walikufa kutokana00:01:26
00:01:26
na ugonjwa wa COVID-19.00:01:29
00:01:29
Kati yao,00:01:30
00:01:30
zaidi ya asilimia 9900:01:33
00:01:33
hawakuwa wamepata
chanjo kamili.00:01:35
00:01:36
Na habari tulizopata00:01:37
00:01:37
waliokufa ambao walikuwa00:01:39
00:01:39
wamepata chanjo kamili00:01:40
00:01:40
walikuwa na matatizo mengine00:01:42
00:01:42
mabaya sana ya afya.00:01:44
00:01:45
Takwimu hizo00:01:47
00:01:47
ni zenye kuchochea
fikira sana.00:01:49
00:01:51
Tunaweza pia kuwajulisha00:01:53
00:01:53
kwamba kati ya00:01:54
00:01:54
Wanabetheli 22,00000:01:56
00:01:56
na watumishi wa wakati wote00:01:58
00:01:58
wa pekee, 44,00000:02:00
00:02:00
walio shambani00:02:01
00:02:01
ambao wamepewa chanjo,00:02:02
00:02:02
tumejulishwa kwamba 00:02:04
00:02:04
ni 4 tu kati yao00:02:07
00:02:07
ambao walipata matatizo fulani00:02:09
00:02:09
yanayohusiana00:02:11
00:02:11
na chanjo hiyo.00:02:13
00:02:13
Lakini kwa kupendeza00:02:15
00:02:15
imeripotiwa kwamba00:02:17
00:02:17
afya yao iko salama00:02:19
00:02:19
na kwamba wanaendelea00:02:20
00:02:20
kupata nafuu.00:02:22
00:02:23
Tunawajulisha habari hizi zote00:02:26
00:02:26
ili mzifikirie kwa makini00:02:28
00:02:28
mnapofanya uamuzi00:02:30
00:02:30
wenu wenyewe00:02:31
00:02:31
kuhusiana na kupata
chanjo.00:02:33
00:02:34
Tunahisi lisingekuwa00:02:35
00:02:35
jambo lenye upendo00:02:37
00:02:37
ikiwa tungewanyima00:02:39
00:02:39
habari zote hizi muhimu.00:02:41
00:02:42
Kama andiko la
Methali 3:27 linavyosema:00:02:46
00:02:46
“Usiwanyime mema00:02:48
00:02:48
wale unaopaswa kuwatendea mema.”00:02:51
00:02:53
Tunajua inaweza kuwa vigumu00:02:55
00:02:55
kufanya uamuzi wa hekima00:02:58
00:02:58
kunapokuwa na maoni tofauti-tofauti.00:03:00
00:03:00
Na ripoti zinazopingana00:03:02
00:03:03
zinazotolewa katika ulimwengu.00:03:05
00:03:05
Na huenda hilo00:03:06
00:03:06
likafanya iwe vigumu00:03:08
00:03:08
kujua uamini nini.00:03:10
00:03:10
Lakini takwimu tulizotaja00:03:13
00:03:13
zimekusanywa00:03:15
00:03:15
na ndugu zetu.00:03:17
00:03:17
Kwa hiyo tunaweza00:03:18
00:03:18
kuamini takwimu hizo.00:03:20
00:03:20
Tunatumaini00:03:22
00:03:22
zitakuwa na manufaa kwenu.00:03:24
00:03:24
Tunatambua kwamba00:03:26
00:03:26
huo si uchunguzi00:03:27
00:03:27
uliofanywa na wanasayansi00:03:29
00:03:29
lakini tunaweza kuwajulisha
kile ambacho00:03:32
00:03:32
ndugu zetu wameona.00:03:33
00:03:34
Na kwa sababu tuna habari hizo00:03:36
00:03:37
tungependa nyinyi pia mjue00:03:39
00:03:39
tunachojua sisi.00:03:41
00:03:43
Bila shaka, lazima pia00:03:45
00:03:45
tuzingatie mwongozo00:03:46
00:03:46
unaotolewa na wenye mamlaka.00:03:48
00:03:49
Katika nchi fulani,00:03:50
00:03:51
serikali zimeanza kutoa sheria00:03:53
00:03:53
kwamba raia wao wote00:03:55
00:03:55
wanapaswa kupata chanjo.00:03:57
00:03:58
Katika maeneo mengi00:03:59
00:03:59
wanachochewa sana.00:04:01
00:04:02
Sisi tunatendaje tunapopata
mwongozo huo?00:04:05
00:04:05
Kitabu “Dumu Katika Upendo
wa Mungu”00:04:08
00:04:08
kimetaja jambo muhimu.00:04:10
00:04:10
Kiliposema hivi:00:04:11
00:04:12
“Leo, Yehova ameruhusu serikali00:04:16
00:04:16
ziwe na mamlaka fulani00:04:18
00:04:18
nasi tunapaswa kuziheshimu00:04:21
00:04:21
zinafanya mipango00:04:22
00:04:22
katika nchi na jamii00:04:24
00:04:24
ili shughuli ziendeshwe00:04:26
00:04:26
kwa njia inayofaa00:04:27
00:04:27
na watu wapate00:04:28
00:04:28
huduma za lazima.00:04:30
00:04:30
Wakristo wanatii agizo lililo00:04:33
00:04:33
katika Waroma 13:1-7.00:04:36
00:04:37
Tunaheshimu
‘mamlaka zilizo kubwa’00:04:40
00:04:40
na kutii sheria za nchi00:04:42
00:04:42
au jamii tunamoishi.”00:04:44
00:04:44
Huenda sheria hizo zikaathiri00:04:46
00:04:46
familia yetu,00:04:48
00:04:48
biashara yetu,00:04:50
00:04:50
au mali zetu.00:04:51
00:04:52
Mbali na hilo,00:04:53
00:04:53
habari za utafiti00:04:54
00:04:54
kwenye Waroma 13:500:04:56
00:04:56
zinasema hivi:00:04:57
00:04:58
“Mkristo hujitiisha00:04:59
00:04:59
kwa serikali za wanadamu00:05:01
00:05:01
wakati amri inayotolewa00:05:03
00:05:03
haipingi sheria za Mungu.”00:05:05
00:05:07
Basi hilo ni jambo00:05:08
00:05:08
lingine muhimu sana00:05:10
00:05:10
ambalo kila mmoja wetu00:05:11
00:05:11
anapaswa kufikiria kwa uzito00:05:13
00:05:13
na kupitia sala00:05:14
00:05:14
anapofanya uamuzi.00:05:16
00:05:17
Kwa kuwa sasa,00:05:18
00:05:18
zaidi ya asilimia 99 ya00:05:20
00:05:20
familia ya betheli ya Marekani00:05:22
00:05:22
imepata chanjo kamili.00:05:24
00:05:24
Tumefaulu kuruhusu00:05:25
00:05:25
utendaji mwingi zaidi00:05:27
00:05:27
ndani ya Betheli00:05:28
00:05:28
kupatana na maagizo00:05:30
00:05:30
ya jimbo la New York.00:05:31
00:05:32
Hilo liliwezesha familia ya Betheli00:05:35
00:05:35
kula mlo pamoja na00:05:36
00:05:36
wahitimu wa Gileadi00:05:38
00:05:38
halafu Septemba 11,00:05:40
00:05:40
kukawa na kuhitimu00:05:41
00:05:41
kwa shule ya Gileadi.00:05:42
00:05:43
Wageni kutoka nje ya Betheli00:05:45
00:05:45
hawakuruhusiwa kuwepo00:05:47
00:05:47
kwenye matukio hayo.00:05:48
00:05:51
Pia,00:05:52
00:05:52
Wanabetheli ambao wamepata00:05:55
00:05:55
chanjo kamili nchini Marekani00:05:57
00:05:57
walipewa ruhusa00:05:58
00:05:58
ya kuchukua
Muda wa Kibinafsi00:06:01
00:06:01
ili kuwatembelea00:06:02
00:06:02
watu wa familia00:06:03
00:06:03
na marafiki.00:06:04
00:06:04
Wakizingatia miongozo ya00:06:06
00:06:06
kujilinda na covid-1900:06:08
00:06:08
wanapokuwa nje ya Betheli.00:06:09
00:06:10
Kwa kweli,00:06:11
00:06:11
kufikia Septemba 24,00:06:13
00:06:13
zaidi Wanabetheli 3,97500:06:17
00:06:17
ambao wamepata chanjo kamili,00:06:20
00:06:20
nchini Marekani,00:06:21
00:06:21
wameweza kusafiri00:06:23
00:06:23
katika miezi ya Agosti00:06:25
00:06:25
na Septemba.00:06:26
00:06:27
Baada ya kurudi Betheli00:06:29
00:06:29
wanaweka katika aina
ya karantini00:06:30
00:06:30
ambayo si kufungiwa kabisa00:06:33
00:06:33
na siku chache baadaye00:06:34
00:06:34
wanapimwa ikiwa wana COVID-19.00:06:37
00:06:38
Kati ya hao 3,97500:06:41
00:06:41
walioambukizwa00:06:43
00:06:43
ni wanne tu kati yao.00:06:45
00:06:45
Wawili00:06:47
00:06:47
waliambukizwa kwa00:06:48
00:06:48
kadiri ndogo eneo waliloenda00:06:50
00:06:50
na walipata nafuu00:06:52
00:06:52
kabla ya kurudi Betheli.00:06:53
00:06:54
Wale wengine wawili00:06:56
00:06:56
ambao waligunduliwa00:06:57
00:06:57
kuwa wameambukizwa00:06:58
00:06:58
baada ya kurudi,00:06:59
00:06:59
walilkuwa na dalili ndogo tu00:07:01
00:07:01
ambazo zilikwisha upesi.00:07:04
00:07:04
Wote wanne00:07:06
00:07:06
sasa wamepata nafuu kabisa.00:07:08
00:07:10
Tunafurahi kuripoti00:07:12
00:07:12
kwamba mpango huo utaanza00:07:13
00:07:13
kutumika kwa ajili00:07:14
00:07:14
ya Wanabetheli00:07:15
00:07:15
katika ofisi nyingi za tawi
ulimwenguni pote.00:07:19
00:07:19
Tunaweza kufanya hivyo00:07:21
00:07:21
katika ofisi za tawi00:07:22
00:07:22
ambapo asilimia 90 ya00:07:24
00:07:24
familia ya Betheli00:07:25
00:07:25
wamepewa chanjo kamili.00:07:27
00:07:28
Ofisi hizo za tawi00:07:29
00:07:29
zimeanza kurudia00:07:31
00:07:31
ratiba ya utendaji
wa kawaida.00:07:33
00:07:41
Sasa, tuna ripoti fupi00:07:43
00:07:43
kuhusu jinsi ndugu zetu
wanavyoendelea00:07:46
00:07:46
baada ya misiba ya asili00:07:48
00:07:48
iliiyotokea karibuni nchini Haiti,00:07:50
00:07:50
na pia,00:07:51
00:07:51
nchini Marekani.00:07:53
00:07:53
Kama ilivyoripotiwa00:07:54
00:07:54
kwenye Habari za JW,00:07:56
00:07:56
tetemeko la ardhi lenye00:07:58
00:07:58
kipimo cha 7.200:07:59
00:07:59
liliikumba Haiti00:08:01
00:08:01
Jumamosi, Agosti 14.00:08:03
00:08:05
Kwa kusikitisha,00:08:06
00:08:06
Mashahidi watatu walikufa00:08:09
00:08:09
kutokana na tetemeko hilo.00:08:11
00:08:11
Tunasikitika pamoja na00:08:13
00:08:13
familia za hao waliokufa.00:08:15
00:08:17
Ofisi ya tawi ilitoa00:08:19
00:08:19
ripoti hii hivi karibuni00:08:20
00:08:20
kuhusu jitihada00:08:21
00:08:21
za kutoa msaada.00:08:23
00:08:23
Tetemeko hilo liliharibu00:08:26
00:08:26
kabisa angalau00:08:27
00:08:27
nyumba 130 za akina ndugu,00:08:30
00:08:30
na likaharibu kwa kadiri fulani00:08:32
00:08:32
nyumba nyingine 250.00:08:34
00:08:35
Jumatatu, Agosti 16,00:08:37
00:08:37
siku mbili baada ya tetemeko00:08:39
00:08:39
matarubai yalifika00:08:41
00:08:41
kwa ajili ya akina ndugu00:08:43
00:08:43
kabla tu ya mvua kubwa00:08:45
00:08:45
zilizosababishwa na00:08:46
00:08:46
Kimbunga Grace kumwagika.00:08:48
00:08:48
Tangu wakati huo00:08:49
00:08:49
tumesambaza bidhaa00:08:50
00:08:50
zenye uzito wa zaidi ya tani 300:08:53
00:08:53
na pia tukawasambazia00:08:54
00:08:54
ndugu zetu tani 28 za chakula,00:08:57
00:08:57
mahema,00:08:58
00:08:58
matarubai,00:08:59
00:08:59
blanketi,00:09:00
00:09:00
magodoro,00:09:01
00:09:01
mifumo ya kuchuja maji,00:09:03
00:09:03
na pia tochi na chaja00:09:04
00:09:04
zinazotumia nguvu
za jua zimesambazwa.00:09:07
00:09:07
Isitoshe wajitoleaji00:09:09
00:09:09
wanafanya kazi kwa bidii00:09:10
00:09:10
ili kukagua00:09:11
00:09:11
na kutathmini00:09:12
00:09:12
nyumba za ndugu zetu.00:09:14
00:09:14
Ingawa ndugu wa eneo hilo00:09:16
00:09:16
wana hali ngumu ya kiuchumi00:09:18
00:09:18
ndugu hao walio katika00:09:20
00:09:20
mji mkuu wa Port-au-Prince 00:09:21
00:09:21
wametoa kwa ukarimu00:09:23
00:09:23
mchango wa tani00:09:24
00:09:24
nyingi za chakula.00:09:26
00:09:30
Marekani ilikumbwa00:09:32
00:09:32
na kimbunga Ida00:09:33
00:09:33
nacho kilikuwa00:09:34
00:09:34
kimbunga kikubwa sana00:09:35
00:09:35
kilichofika Pwani00:09:37
00:09:37
Agosti 29.00:09:39
00:09:39
Kimbunga hicho kiliathiri00:09:41
00:09:41
eneo linaloitwa Gulf Coast00:09:43
00:09:43
hadi kaskazini-mashariki
mwa Marekani.00:09:45
00:09:46
Ofisi ya tawi inaripoti00:09:47
00:09:47
kwamba kufikia Septemba 20,00:09:49
00:09:49
ndugu zetu 2,78800:09:53
00:09:53
ambao walilazimika kuhama00:09:55
00:09:55
hawajaweza kurudi00:09:56
00:09:56
nyumbani kwao.00:09:57
00:09:58
Inakadiriwa kwamba00:09:59
00:09:59
itachukua majuma kadhaa00:10:01
00:10:01
kabla ya umeme kurudishwa00:10:03
00:10:03
katika maeneo fulani.00:10:04
00:10:05
Kimbunga hicho kiliharibu00:10:06
00:10:06
nyumba 1,800 za ndugu zetu00:10:09
00:10:09
na kubomoa kabisa00:10:11
00:10:11
nyumba nyingine 28.00:10:13
00:10:13
Mbali na hilo,00:10:15
00:10:15
Majumba 58 ya Ufalme00:10:17
00:10:17
na Majumba manne ya Kusanyiko00:10:19
00:10:19
yaliharibiwa.00:10:20
00:10:21
Chini ya mwelekezo wa00:10:22
00:10:22
waangalizi wa mzunguko00:10:24
00:10:24
upesi ndugu na dada00:10:26
00:10:26
walianza kuimarisha00:10:27
00:10:27
mamia ya nyumba00:10:28
00:10:28
zilizoharibiwa na00:10:29
00:10:29
kimbunga hicho.00:10:30
00:10:32
Halmashauri mbili za Kutoa Msaada00:10:34
00:10:34
zinaandaa matarubai00:10:36
00:10:36
vifaa,00:10:37
00:10:37
chakula,00:10:38
00:10:38
maji,00:10:39
00:10:39
jenereta00:10:40
00:10:40
wakati ambapo bidhaa hizo00:10:42
00:10:42
hazipatikani katika eneo.00:10:44
00:10:44
Utendaji wote huo unafanywa00:10:46
00:10:46
kwa kuzingatia00:10:48
00:10:48
miongozo inayofaa ya usalama00:10:49
00:10:49
na pia kupata na miongozo00:10:51
00:10:51
ya kujilinda na COVID-19.00:10:53
00:10:54
Tunashukuru sana00:10:55
00:10:56
kwa kazi yote ngumu00:10:57
00:10:57
ambayo nyinyi ndugu00:10:59
00:10:59
mnaotoa msaada mnafanya00:11:01
00:11:01
kutia ndani00:11:02
00:11:02
nyinyi nyote ambao00:11:04
00:11:04
mmetoa michango ya kifedha.00:11:06
00:11:06
Asanteni sana00:11:08
00:11:08
kwa ukarimu wenu00:11:10
00:11:10
na fadhili mlizoonyesha.00:11:12
00:11:13
Lakini sasa acheni tuzungumzie00:11:15
00:11:15
andiko la mwaka wa 2022.00:11:18
00:11:19
Janga hili lilipoanza00:11:22
00:11:22
hatukujua kwamba bado00:11:24
00:11:24
lingekuwa likiendelea00:11:26
00:11:26
zaidi ya mwaka mmoja na
nusu baadaye.00:11:29
00:11:30
Limeathiri uchumi00:11:31
00:11:31
wa nchi nyingi sana.00:11:33
00:11:34
Kwa sababu hiyo00:11:35
00:11:35
watu00:11:36
00:11:36
kutia ndani ndugu na
dada zetu wengi00:11:38
00:11:38
wamekosa vitu vingi
vya kimwili.00:11:41
00:11:41
Baadhi yao00:11:43
00:11:43
wana vitu vichache sana00:11:45
00:11:45
kutia ndani
ukosefu wa chakula.00:11:48
00:11:49
Hilo linatukumbusha kuhusu00:11:51
00:11:51
Daudi aliyekuwa mwaminifu00:11:52
00:11:52
nyakati za kale.00:11:53
00:11:54
Ingawa si ugonjwa mbaya00:11:56
00:11:56
uliokuwa ukimsumbua,00:11:57
00:11:58
bali alikuwa akikimbia00:11:59
00:11:59
na kujificha asipatikane na00:12:01
00:12:01
Mfalme Sauli mwenye wivu,00:12:02
00:12:02
ambaye alikusudia kumuua Daudi00:12:04
00:12:04
na wale waliokuwa
pamoja naye.00:12:07
00:12:07
Walikuwa na vitu vichache,00:12:09
00:12:09
walikula chakula kidogo sana,00:12:12
00:12:12
naye Daudi alipoteza00:12:13
00:12:13
makao yake kwa muda.00:12:15
00:12:15
Wakijificha katika mapango
kule nyikani.00:12:18
00:12:19
Ingawa alikuwa na vitu
vichache sana00:12:21
00:12:21
vya kimwili,00:12:22
00:12:23
ni katika pindi hiyo00:12:25
00:12:25
ambapo Daudi aliandika00:12:27
00:12:27
Zaburi yenye kupendeza,00:12:29
00:12:29
kwenye Zaburi ya 34.00:12:31
00:12:32
Je, alikengeushwa00:12:33
00:12:33
kutoka kwenye ibada yake
kwa Yehova?00:12:35
00:12:35
Je, alijisikitikia00:12:37
00:12:37
na kuvunjika moyo00:12:38
00:12:38
wakati wa kipindi00:12:39
00:12:39
hicho kigumu?00:12:40
00:12:41
Acheni tusome00:12:42
00:12:42
mistari michache,00:12:43
00:12:43
Kwenye Zaburi 34.00:12:45
00:12:45
Tuone Daudi alikuwaje00:12:47
00:12:47
inapohusu mtazamo wake.00:12:50
00:12:50
Zaburi 34:100:12:53
00:12:54
“Nitamsifu Yehova00:12:56
00:12:56
nyakati zote,00:12:58
00:12:58
sifa yake00:13:00
00:13:00
itakuwa midomoni mwangu00:13:02
00:13:02
daima.”00:13:03
00:13:04
Kisha, katika mstari wa 300:13:06
00:13:06
aliwatia moyo wengine00:13:08
00:13:08
wajiunge naye00:13:10
00:13:10
kumsifu Yehova.00:13:12
00:13:12
Msatari wa 3, Daudi alisema:00:13:14
00:13:14
“Mtukuzeni Yehova00:13:16
00:13:16
pamoja nami,00:13:18
00:13:18
na tulikweze jina lake00:13:21
00:13:21
pamoja.”00:13:22
00:13:23
Huo ulikuwa00:13:24
00:13:24
mtazamo mzuri sana.00:13:26
00:13:26
Licha ya hali ngumu00:13:28
00:13:28
ambazo alikuwa akikabili00:13:30
00:13:30
wakati huo.00:13:31
00:13:32
Ninyi ndugu na dada00:13:34
00:13:34
wengi sana00:13:35
00:13:35
mnakabili hali ngumu kiuchumi.00:13:37
00:13:37
Katika kipindi hiki00:13:38
00:13:38
cha janga hili00:13:39
00:13:39
na huenda mna wasiwasi.00:13:41
00:13:41
Lakini Baraza Linaloongoza00:13:44
00:13:44
lilitaka nishiriki nanyi00:13:45
00:13:45
hasa, mstari wa 1000:13:47
00:13:47
wa Zaburi 34,00:13:49
00:13:49
mstari wa 10 unasema:00:13:51
00:13:51
“Hata wanasimba wenye nguvu 00:13:54
00:13:54
wamelemewa na njaa,00:13:56
00:13:57
lakini wale wanaomtafuta Yehova00:14:00
00:14:00
hawatakosa chochote chema.”00:14:04
00:14:04
Sehemu ya mwisho ya andiko hilo00:14:06
00:14:06
ndio andiko la mwaka wa 2022.00:14:09
00:14:10
Wale wanaomtafuta Yehova00:14:12
00:14:12
hawatakosa chochote chema.00:14:14
00:14:14
Zaburi 34:1000:14:17
00:14:17
Ni wazi, kutokana na00:14:19
00:14:19
kile ambacho00:14:19
00:14:19
tumekuwa tukizungumzia,00:14:21
00:14:21
Daudi hakuwa akirejelea00:14:23
00:14:23
kuwa na wingi wa00:14:25
00:14:25
vitu vya kimwili.00:14:26
00:14:27
Tunakumbuka Zaburi ya 2300:14:29
00:14:29
ambapo Daudi alisema00:14:31
00:14:31
kitu kama hicho.00:14:32
00:14:32
Hapo alisema:00:14:33
00:14:34
“Yehova ni Mchungaji wangu.00:14:36
00:14:36
Sitakosa chochote.”00:14:39
00:14:40
Sehemu inayosalia00:14:41
00:14:41
ya Zaburi hiyo00:14:42
00:14:42
inaonyesha baraka za kiroho.00:14:44
00:14:44
Hata ingawa00:14:45
00:14:45
kwa kweli alisema00:14:47
00:14:47
nikinukuu:00:14:48
00:14:48
“Katika bonde lenye
kivuli kizito.”00:14:51
00:14:52
Katika Zaburi hiyo yote00:14:54
00:14:54
anataja baraka00:14:55
00:14:55
za kiroho ambazo alifurahia.00:14:57
00:14:58
Alimalizia kwa kusema hivi00:14:59
00:14:59
kwenye Zaburi 23:6:00:15:01
00:15:01
“Nami nitakaa katika00:15:03
00:15:03
nyumba ya Yehova00:15:04
00:15:05
siku zangu zote.”00:15:08
00:15:08
Na hiyo ndiyo sala00:15:10
00:15:10
ya watumishi wote00:15:11
00:15:11
waaminifu wa Yehova00:15:13
00:15:13
katika nyakati hizi ngumu.00:15:15
00:15:16
Ndugu wapendwa,00:15:18
00:15:18
ugonjwa wa corona00:15:19
00:15:19
siyo pigo kubwa zaidi00:15:21
00:15:21
ambalo limewapata wanadamu,00:15:23
00:15:24
na halitakuwa la mwisho.00:15:26
00:15:26
Tunapaswa kutarajia00:15:28
00:15:28
hali ziwe mbaya hata zaidi.00:15:30
00:15:31
Kadiri siku hizi za mwisho00:15:33
00:15:33
zinavyozidi kusonga00:15:34
00:15:34
kufikia mwisho.00:15:36
00:15:37
Hali ngumu za kiuchumi00:15:39
00:15:39
na majaribu mengine00:15:40
00:15:40
yatakuja00:15:41
00:15:41
na kuondoka.00:15:42
00:15:43
Lakini kama mtunga Zaburi00:15:45
00:15:45
tunaweza kukubali00:15:47
00:15:47
kwamba andiko la00:15:48
00:15:48
mwaka wa 202200:15:50
00:15:50
litathibitika kuwa kweli.00:15:52
00:15:52
Hasa kwa njia ya kiroho.00:15:54
00:15:54
Kama Zaburi 34:10 inavyosema:00:15:57
00:15:57
“Wale wanaomtafuta Yehova 00:16:00
00:16:00
hawatakosa chochote chema.”00:16:02
00:16:04
Ndugu na dada wapendwa,00:16:06
00:16:06
tunawapenda00:16:08
00:16:08
sana00:16:10
00:16:10
nyinyi nyote00:16:12
00:16:12
kutoka moyoni.00:16:14
00:16:15
Kutoka kwenye Makao Makuu
ya Ulimwenguni Pote00:16:18
00:16:18
ya Mashahidi wa Yehova00:16:19
00:16:19
Hii ni JW Broadcasting®!00:16:24
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2021
-
Ripoti ya 8 ya Baraza Linaloongoza ya 2021
Ndugu wapendwa,
akina dada,
watoto waaminifu,
na marafiki wapendwa,
ni furaha kubwa kuwa
pamoja nanyi kwa ajili ya
ripoti hii.
Tuna mambo mengi
sana mazuri ya
kuwaeleza kutia ndani
ripoti kuhusu jinsi ambavyo
tumeshughulikia misiba
ya asili
na mwishoni mwa ripoti hii
tutafurahi sana
kuwajulisha andiko
la mwaka lenye kujenga sana
kwa ajili ya mwaka wa 2022.
Hata hivyo,
ningependa kuanza
kwa kueleza mambo
fulani muhimu kuhusu
chanjo
ya COVID-19.
Kwa sababu
tunawapenda sana
na kwa sababu hili
ni suala linaloweza
kuokoa uhai
tumeamua kuwaeleza
mambo tunayofahamu
kuhusu hili.
Kuanzia Juni 1,
nchini Marekani
wahubiri 1,407
wamelazwa hospitalini
kwa sababu ya COVID-19
au dalili zake.
Kati yao
zaidi ya asilimia 99
hawakuwa wamepata
chanjo kamili.
Kwa kusikitisha katika
kipindi hicho hicho
nchini Marekani,
ndugu 486
walikufa kutokana
na ugonjwa wa COVID-19.
Kati yao,
zaidi ya asilimia 99
hawakuwa wamepata
chanjo kamili.
Na habari tulizopata
waliokufa ambao walikuwa
wamepata chanjo kamili
walikuwa na matatizo mengine
mabaya sana ya afya.
Takwimu hizo
ni zenye kuchochea
fikira sana.
Tunaweza pia kuwajulisha
kwamba kati ya
Wanabetheli 22,000
na watumishi wa wakati wote
wa pekee, 44,000
walio shambani
ambao wamepewa chanjo,
tumejulishwa kwamba
ni 4 tu kati yao
ambao walipata matatizo fulani
yanayohusiana
na chanjo hiyo.
Lakini kwa kupendeza
imeripotiwa kwamba
afya yao iko salama
na kwamba wanaendelea
kupata nafuu.
Tunawajulisha habari hizi zote
ili mzifikirie kwa makini
mnapofanya uamuzi
wenu wenyewe
kuhusiana na kupata
chanjo.
Tunahisi lisingekuwa
jambo lenye upendo
ikiwa tungewanyima
habari zote hizi muhimu.
Kama andiko la
Methali 3:27 linavyosema:
“Usiwanyime mema
wale unaopaswa kuwatendea mema.”
Tunajua inaweza kuwa vigumu
kufanya uamuzi wa hekima
kunapokuwa na maoni tofauti-tofauti.
Na ripoti zinazopingana
zinazotolewa katika ulimwengu.
Na huenda hilo
likafanya iwe vigumu
kujua uamini nini.
Lakini takwimu tulizotaja
zimekusanywa
na ndugu zetu.
Kwa hiyo tunaweza
kuamini takwimu hizo.
Tunatumaini
zitakuwa na manufaa kwenu.
Tunatambua kwamba
huo si uchunguzi
uliofanywa na wanasayansi
lakini tunaweza kuwajulisha
kile ambacho
ndugu zetu wameona.
Na kwa sababu tuna habari hizo
tungependa nyinyi pia mjue
tunachojua sisi.
Bila shaka, lazima pia
tuzingatie mwongozo
unaotolewa na wenye mamlaka.
Katika nchi fulani,
serikali zimeanza kutoa sheria
kwamba raia wao wote
wanapaswa kupata chanjo.
Katika maeneo mengi
wanachochewa sana.
Sisi tunatendaje tunapopata
mwongozo huo?
Kitabu “Dumu Katika Upendo
wa Mungu”
kimetaja jambo muhimu.
Kiliposema hivi:
“Leo, Yehova ameruhusu serikali
ziwe na mamlaka fulani
nasi tunapaswa kuziheshimu
zinafanya mipango
katika nchi na jamii
ili shughuli ziendeshwe
kwa njia inayofaa
na watu wapate
huduma za lazima.
Wakristo wanatii agizo lililo
katika Waroma 13:1-7.
Tunaheshimu
‘mamlaka zilizo kubwa’
na kutii sheria za nchi
au jamii tunamoishi.”
Huenda sheria hizo zikaathiri
familia yetu,
biashara yetu,
au mali zetu.
Mbali na hilo,
habari za utafiti
kwenye Waroma 13:5
zinasema hivi:
“Mkristo hujitiisha
kwa serikali za wanadamu
wakati amri inayotolewa
haipingi sheria za Mungu.”
Basi hilo ni jambo
lingine muhimu sana
ambalo kila mmoja wetu
anapaswa kufikiria kwa uzito
na kupitia sala
anapofanya uamuzi.
Kwa kuwa sasa,
zaidi ya asilimia 99 ya
familia ya betheli ya Marekani
imepata chanjo kamili.
Tumefaulu kuruhusu
utendaji mwingi zaidi
ndani ya Betheli
kupatana na maagizo
ya jimbo la New York.
Hilo liliwezesha familia ya Betheli
kula mlo pamoja na
wahitimu wa Gileadi
halafu Septemba 11,
kukawa na kuhitimu
kwa shule ya Gileadi.
Wageni kutoka nje ya Betheli
hawakuruhusiwa kuwepo
kwenye matukio hayo.
Pia,
Wanabetheli ambao wamepata
chanjo kamili nchini Marekani
walipewa ruhusa
ya kuchukua
Muda wa Kibinafsi
ili kuwatembelea
watu wa familia
na marafiki.
Wakizingatia miongozo ya
kujilinda na covid-19
wanapokuwa nje ya Betheli.
Kwa kweli,
kufikia Septemba 24,
zaidi Wanabetheli 3,975
ambao wamepata chanjo kamili,
nchini Marekani,
wameweza kusafiri
katika miezi ya Agosti
na Septemba.
Baada ya kurudi Betheli
wanaweka katika aina
ya karantini
ambayo si kufungiwa kabisa
na siku chache baadaye
wanapimwa ikiwa wana COVID-19.
Kati ya hao 3,975
walioambukizwa
ni wanne tu kati yao.
Wawili
waliambukizwa kwa
kadiri ndogo eneo waliloenda
na walipata nafuu
kabla ya kurudi Betheli.
Wale wengine wawili
ambao waligunduliwa
kuwa wameambukizwa
baada ya kurudi,
walilkuwa na dalili ndogo tu
ambazo zilikwisha upesi.
Wote wanne
sasa wamepata nafuu kabisa.
Tunafurahi kuripoti
kwamba mpango huo utaanza
kutumika kwa ajili
ya Wanabetheli
katika ofisi nyingi za tawi
ulimwenguni pote.
Tunaweza kufanya hivyo
katika ofisi za tawi
ambapo asilimia 90 ya
familia ya Betheli
wamepewa chanjo kamili.
Ofisi hizo za tawi
zimeanza kurudia
ratiba ya utendaji
wa kawaida.
Sasa, tuna ripoti fupi
kuhusu jinsi ndugu zetu
wanavyoendelea
baada ya misiba ya asili
iliiyotokea karibuni nchini Haiti,
na pia,
nchini Marekani.
Kama ilivyoripotiwa
kwenye Habari za JW,
tetemeko la ardhi lenye
kipimo cha 7.2
liliikumba Haiti
Jumamosi, Agosti 14.
Kwa kusikitisha,
Mashahidi watatu walikufa
kutokana na tetemeko hilo.
Tunasikitika pamoja na
familia za hao waliokufa.
Ofisi ya tawi ilitoa
ripoti hii hivi karibuni
kuhusu jitihada
za kutoa msaada.
Tetemeko hilo liliharibu
kabisa angalau
nyumba 130 za akina ndugu,
na likaharibu kwa kadiri fulani
nyumba nyingine 250.
Jumatatu, Agosti 16,
siku mbili baada ya tetemeko
matarubai yalifika
kwa ajili ya akina ndugu
kabla tu ya mvua kubwa
zilizosababishwa na
Kimbunga Grace kumwagika.
Tangu wakati huo
tumesambaza bidhaa
zenye uzito wa zaidi ya tani 3
na pia tukawasambazia
ndugu zetu tani 28 za chakula,
mahema,
matarubai,
blanketi,
magodoro,
mifumo ya kuchuja maji,
na pia tochi na chaja
zinazotumia nguvu
za jua zimesambazwa.
Isitoshe wajitoleaji
wanafanya kazi kwa bidii
ili kukagua
na kutathmini
nyumba za ndugu zetu.
Ingawa ndugu wa eneo hilo
wana hali ngumu ya kiuchumi
ndugu hao walio katika
mji mkuu wa Port-au-Prince
wametoa kwa ukarimu
mchango wa tani
nyingi za chakula.
Marekani ilikumbwa
na kimbunga Ida
nacho kilikuwa
kimbunga kikubwa sana
kilichofika Pwani
Agosti 29.
Kimbunga hicho kiliathiri
eneo linaloitwa Gulf Coast
hadi kaskazini-mashariki
mwa Marekani.
Ofisi ya tawi inaripoti
kwamba kufikia Septemba 20,
ndugu zetu 2,788
ambao walilazimika kuhama
hawajaweza kurudi
nyumbani kwao.
Inakadiriwa kwamba
itachukua majuma kadhaa
kabla ya umeme kurudishwa
katika maeneo fulani.
Kimbunga hicho kiliharibu
nyumba 1,800 za ndugu zetu
na kubomoa kabisa
nyumba nyingine 28.
Mbali na hilo,
Majumba 58 ya Ufalme
na Majumba manne ya Kusanyiko
yaliharibiwa.
Chini ya mwelekezo wa
waangalizi wa mzunguko
upesi ndugu na dada
walianza kuimarisha
mamia ya nyumba
zilizoharibiwa na
kimbunga hicho.
Halmashauri mbili za Kutoa Msaada
zinaandaa matarubai
vifaa,
chakula,
maji,
jenereta
wakati ambapo bidhaa hizo
hazipatikani katika eneo.
Utendaji wote huo unafanywa
kwa kuzingatia
miongozo inayofaa ya usalama
na pia kupata na miongozo
ya kujilinda na COVID-19.
Tunashukuru sana
kwa kazi yote ngumu
ambayo nyinyi ndugu
mnaotoa msaada mnafanya
kutia ndani
nyinyi nyote ambao
mmetoa michango ya kifedha.
Asanteni sana
kwa ukarimu wenu
na fadhili mlizoonyesha.
Lakini sasa acheni tuzungumzie
andiko la mwaka wa 2022.
Janga hili lilipoanza
hatukujua kwamba bado
lingekuwa likiendelea
zaidi ya mwaka mmoja na
nusu baadaye.
Limeathiri uchumi
wa nchi nyingi sana.
Kwa sababu hiyo
watu
kutia ndani ndugu na
dada zetu wengi
wamekosa vitu vingi
vya kimwili.
Baadhi yao
wana vitu vichache sana
kutia ndani
ukosefu wa chakula.
Hilo linatukumbusha kuhusu
Daudi aliyekuwa mwaminifu
nyakati za kale.
Ingawa si ugonjwa mbaya
uliokuwa ukimsumbua,
bali alikuwa akikimbia
na kujificha asipatikane na
Mfalme Sauli mwenye wivu,
ambaye alikusudia kumuua Daudi
na wale waliokuwa
pamoja naye.
Walikuwa na vitu vichache,
walikula chakula kidogo sana,
naye Daudi alipoteza
makao yake kwa muda.
Wakijificha katika mapango
kule nyikani.
Ingawa alikuwa na vitu
vichache sana
vya kimwili,
ni katika pindi hiyo
ambapo Daudi aliandika
Zaburi yenye kupendeza,
kwenye Zaburi ya 34.
Je, alikengeushwa
kutoka kwenye ibada yake
kwa Yehova?
Je, alijisikitikia
na kuvunjika moyo
wakati wa kipindi
hicho kigumu?
Acheni tusome
mistari michache,
Kwenye Zaburi 34.
Tuone Daudi alikuwaje
inapohusu mtazamo wake.
Zaburi 34:1
“Nitamsifu Yehova
nyakati zote,
sifa yake
itakuwa midomoni mwangu
daima.”
Kisha, katika mstari wa 3
aliwatia moyo wengine
wajiunge naye
kumsifu Yehova.
Msatari wa 3, Daudi alisema:
“Mtukuzeni Yehova
pamoja nami,
na tulikweze jina lake
pamoja.”
Huo ulikuwa
mtazamo mzuri sana.
Licha ya hali ngumu
ambazo alikuwa akikabili
wakati huo.
Ninyi ndugu na dada
wengi sana
mnakabili hali ngumu kiuchumi.
Katika kipindi hiki
cha janga hili
na huenda mna wasiwasi.
Lakini Baraza Linaloongoza
lilitaka nishiriki nanyi
hasa, mstari wa 10
wa Zaburi 34,
mstari wa 10 unasema:
“Hata wanasimba wenye nguvu
wamelemewa na njaa,
lakini wale wanaomtafuta Yehova
hawatakosa chochote chema.”
Sehemu ya mwisho ya andiko hilo
ndio andiko la mwaka wa 2022.
Wale wanaomtafuta Yehova
hawatakosa chochote chema.
Zaburi 34:10
Ni wazi, kutokana na
kile ambacho
tumekuwa tukizungumzia,
Daudi hakuwa akirejelea
kuwa na wingi wa
vitu vya kimwili.
Tunakumbuka Zaburi ya 23
ambapo Daudi alisema
kitu kama hicho.
Hapo alisema:
“Yehova ni Mchungaji wangu.
Sitakosa chochote.”
Sehemu inayosalia
ya Zaburi hiyo
inaonyesha baraka za kiroho.
Hata ingawa
kwa kweli alisema
nikinukuu:
“Katika bonde lenye
kivuli kizito.”
Katika Zaburi hiyo yote
anataja baraka
za kiroho ambazo alifurahia.
Alimalizia kwa kusema hivi
kwenye Zaburi 23:6:
“Nami nitakaa katika
nyumba ya Yehova
siku zangu zote.”
Na hiyo ndiyo sala
ya watumishi wote
waaminifu wa Yehova
katika nyakati hizi ngumu.
Ndugu wapendwa,
ugonjwa wa corona
siyo pigo kubwa zaidi
ambalo limewapata wanadamu,
na halitakuwa la mwisho.
Tunapaswa kutarajia
hali ziwe mbaya hata zaidi.
Kadiri siku hizi za mwisho
zinavyozidi kusonga
kufikia mwisho.
Hali ngumu za kiuchumi
na majaribu mengine
yatakuja
na kuondoka.
Lakini kama mtunga Zaburi
tunaweza kukubali
kwamba andiko la
mwaka wa 2022
litathibitika kuwa kweli.
Hasa kwa njia ya kiroho.
Kama Zaburi 34:10 inavyosema:
“Wale wanaomtafuta Yehova
hawatakosa chochote chema.”
Ndugu na dada wapendwa,
tunawapenda
sana
nyinyi nyote
kutoka moyoni.
Kutoka kwenye Makao Makuu
ya Ulimwenguni Pote
ya Mashahidi wa Yehova
Hii ni JW Broadcasting®!
-