00:00:03
Yehova anathamini sana ujasiri
wa waabudu wake washikamanifu. 00:00:08
00:00:08
Ujasiri wa kweli huonekana
kupitia matendo, 00:00:11
00:00:11
kama ilivyo na
sifa nyingine nzuri. 00:00:13
00:00:14
Kwa mfano, “imani bila
matendo imekufa.” 00:00:17
00:00:17
Vivyo hivyo, upendo unapaswa
kuonyeshwa, si kwa maneno tu,00:00:22
00:00:22
bali kama Biblia inavyosema,00:00:24
00:00:24
“kwa tendo na kweli.” 00:00:26
00:00:26
Ndivyo ilivyo
na ujasiri.00:00:28
00:00:28
Tunahitaji kumtegemea Yehova00:00:30
00:00:30
ili kukabiliana
na hali ngumu, 00:00:33
00:00:33
lakini matendo yetu yanapaswa
kuonyesha tunamtegemea. 00:00:36
00:00:36
Kutochukua hatua,00:00:38
00:00:38
kutofanya uamuzi,00:00:39
00:00:39
au kuwa goigoi00:00:41
00:00:41
ni ishara za
kukosa ujasiri.00:00:43
00:00:44
Ujasiri unapaswa kutuchochea
tuzungumze na kutenda bila woga. 00:00:48
00:00:49
Naye Yehova00:00:50
00:00:50
atabariki ujasiri wetu
na kutusaidia tufanikiwe.00:00:53
00:00:54
Hilo linaonekana vizuri
kupitia simulizi la Biblia kumhusu Daudi. 00:00:58
00:00:59
Ilipohusu kufanya
mapenzi ya Yehova, 00:01:01
00:01:02
Daudi alionyesha
ujasiri kwa matendo. 00:01:05
00:01:05
Hata alipojikwaa
na kuteseka sana, 00:01:07
00:01:08
Daudi aliendelea kuwa mshikamanifu
kwa Yehova maisha yake yote. 00:01:11
00:01:13
Muda mfupi
kabla ya kufa, 00:01:15
00:01:15
Daudi alimkabidhi rasmi
mwanawe Sulemani 00:01:18
00:01:18
kazi ya kujenga
hekalu la Yehova. 00:01:20
00:01:21
Wazia jinsi
Sulemani alivyohisi00:01:23
00:01:23
Daudi alipomkabidhi 00:01:24
00:01:24
ramani za ujenzi zilizoongozwa
na Yehova Mungu mwenyewe! 00:01:27
00:01:29
Bila shaka, Sulemani alihisi
kwamba kazi hiyo ni ngumu. 00:01:32
00:01:34
Lakini Daudi baba
yake alimwimarisha00:01:36
00:01:36
kwa maneno yanayoweza
kutuimarisha leo 00:01:38
00:01:38
tunapokabili
hali ngumu.00:01:40
00:01:41
Tunawakaribisha nyote,
kutia ndani watoto na vijana, 00:01:45
00:01:45
mfungue Biblia zenu00:01:46
00:01:46
na tufuatane tunaposikiliza
simulizi lililo katika00:01:49
00:01:49
1 Mambo ya Nyakati 28:1-20. 00:01:55
00:01:55
Nitawapa muda
wa kufungua.00:01:57
00:01:57
1 Mambo ya Nyakati sura ya 28,00:02:01
00:02:01
kuanzia mstari wa 1.00:02:03
00:02:08
Kisha Daudi
akawakusanya Yerusalemu00:02:10
00:02:10
wakuu wote wa Israeli:00:02:12
00:02:13
wakuu wa makabila,00:02:15
00:02:15
viongozi wa vikundi
vilivyomhudumia mfalme,00:02:18
00:02:18
wakuu wa maelfu
na wakuu wa mamia,00:02:20
00:02:20
wasimamizi wa mali
zote za mfalme00:02:23
00:02:23
na mifugo yake
na wa wanawe, 00:02:25
00:02:25
pamoja na maofisa wa
makao ya mfalme00:02:28
00:02:28
na kila mwanamume
hodari mwenye uwezo. 00:02:30
00:02:31
Halafu Mfalme Daudi
akasimama na kusema:00:02:34
00:02:38
Nisikilizeni,00:02:40
00:02:40
ndugu zangu
na watu wangu. 00:02:43
00:02:43
Moyo wangu ulitamani
kujenga nyumba ambamo00:02:47
00:02:47
sanduku la agano
la Yehova lingekaa00:02:49
00:02:49
na ambayo ingekuwa kiti cha
miguu cha Mungu wetu,00:02:53
00:02:53
nami nilifanya
matayarisho ya kuijenga. 00:02:57
00:02:57
Lakini Mungu wa
kweli akaniambia,00:03:00
00:03:00
‘Hutajenga nyumba
kwa ajili ya jina langu, 00:03:03
00:03:03
kwa maana wewe
ni mtu wa vita,00:03:06
00:03:06
nawe umemwaga damu.’ 00:03:08
00:03:09
Hata hivyo, Yehova
Mungu wa Israeli 00:03:13
00:03:13
alinichagua kutoka katika
nyumba yote ya baba yangu 00:03:17
00:03:17
niwe mfalme wa
Israeli milele,00:03:19
00:03:20
kwa maana alimchagua
Yuda kuwa kiongozi 00:03:23
00:03:23
na kutoka katika
nyumba ya Yuda00:03:25
00:03:25
aliichagua nyumba
ya baba yangu,00:03:28
00:03:28
na kati ya wana
wa baba yangu00:03:30
00:03:30
alinikubali mimi00:03:32
00:03:32
niwe mfalme wa
Israeli yote. 00:03:34
00:03:35
Na kutoka kati ya
wanangu wote—00:03:37
00:03:37
kwa maana Yehova
amenipa wana wengi—00:03:40
00:03:40
alimchagua Sulemani
mwanangu00:03:43
00:03:43
aketi kwenye kiti
cha ufalme wa Yehova00:03:46
00:03:46
juu ya Israeli. 00:03:47
00:03:48
Akaniambia,00:03:50
00:03:50
“Sulemani mwana wako 00:03:52
00:03:52
ndiye atakayeijenga
nyumba yangu00:03:54
00:03:54
na nyua zangu,00:03:56
00:03:56
kwa maana nimemchagua
yeye kuwa mwanangu,00:03:59
00:03:59
nami nitakuwa
baba yake. 00:04:01
00:04:02
Nitauimarisha kabisa
ufalme wake milele00:04:05
00:04:05
ikiwa atazishika kwa
dhati amri zangu00:04:09
00:04:09
na sheria zangu,00:04:10
00:04:10
kama anavyofanya sasa.” 00:04:13
00:04:13
Basi, nasema machoni pa
Waisraeli wote, 00:04:17
00:04:17
kutaniko la Yehova,00:04:19
00:04:19
na masikioni mwa
Mungu wetu:00:04:21
00:04:22
Shikeni kwa uangalifu00:04:24
00:04:24
na mtafute amri zote
za Yehova Mungu wenu,00:04:28
00:04:28
ili mwimiliki
nchi nzuri 00:04:30
00:04:30
na kuwaachia wana wenu kuwa
urithi wa kudumu baada yenu. 00:04:35
00:04:36
“Nawe, Sulemani mwanangu,00:04:39
00:04:39
mjue Mungu wa baba yako00:04:41
00:04:41
na kumtumikia
kwa moyo kamili00:04:43
00:04:43
na kwa nafsi
yenye shangwe;00:04:45
00:04:45
kwa maana Yehova00:04:47
00:04:47
huichunguza kabisa
mioyo yote,00:04:49
00:04:49
naye hutambua
kila mwelekeo wa fikira. 00:04:52
00:04:53
Ukimtafuta,00:04:54
00:04:54
atakuruhusu umpate, 00:04:56
00:04:56
lakini ukimwacha,00:04:58
00:04:58
atakukataa milele. 00:05:00
00:05:00
Ona kwamba Yehova
amekuchagua00:05:03
00:05:03
wewe ujenge nyumba00:05:05
00:05:05
ili iwe mahali
patakatifu. 00:05:07
00:05:08
Uwe jasiri, anza kazi.00:05:11
00:05:12
Kisha Daudi akampa
Sulemani mwana wake00:05:15
00:05:15
ramani ya ujenzi wa ukumbi
na ya nyumba zake,00:05:18
00:05:18
maghala yake,00:05:20
00:05:20
vyumba vyake vya darini,00:05:22
00:05:22
vyumba vyake vya ndani, 00:05:23
00:05:23
na nyumba ya
kifuniko cha upatanisho. 00:05:26
00:05:26
Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa
kupitia mwongozo wa roho00:05:30
00:05:30
kuhusu ujenzi wa nyua za
nyumba ya Yehova,00:05:33
00:05:33
vyumba vyote vya
kulia chakula vilivyoizunguka,00:05:36
00:05:36
hazina za nyumba
ya Mungu wa kweli,00:05:39
00:05:39
na hazina za vitu vilivyofanywa
kuwa vitakatifu; 00:05:42
00:05:42
pia kuhusu vikundi vya
makuhani na Walawi, 00:05:46
00:05:46
kuhusu kazi zote za utumishi
wa nyumba ya Yehova,00:05:49
00:05:49
na kuhusu vyombo vyote vya
utumishi wa nyumba ya Yehova; 00:05:53
00:05:53
pia kuhusu uzito
wa dhahabu,00:05:55
00:05:55
dhahabu ya vyombo vyote
vya utumishi mbalimbali, 00:05:58
00:05:58
uzito wa vyombo
vyote vya fedha,00:06:00
00:06:00
na vyombo vyote vya
utumishi mbalimbali;00:06:03
00:06:03
pia uzito wa vinara
vya taa vya dhahabu00:06:07
00:06:07
na taa zake za dhahabu,00:06:08
00:06:08
uzito wa vinara mbalimbali00:06:10
00:06:10
vya taa na taa zake,00:06:12
00:06:12
na uzito wa vinara
vya taa vya fedha,00:06:14
00:06:14
uzito wa kila kinara
cha taa na taa zake00:06:17
00:06:17
kulingana na
matumizi yake;00:06:19
00:06:19
pia kuhusu uzito
wa dhahabu za00:06:22
00:06:22
meza za mikate
ya tabaka,00:06:24
00:06:24
uzito wa kila meza, 00:06:26
00:06:26
na pia fedha kwa ajili ya
meza za fedha,00:06:29
00:06:29
kuhusu nyuma,00:06:30
00:06:30
mabakuli,00:06:31
00:06:31
magudulia ya
dhahabu safi, 00:06:33
00:06:33
na uzito wa mabakuli
madogo ya dhahabu,00:06:36
00:06:36
uzito wa kila
bakuli dogo,00:06:38
00:06:38
na uzito wa mabakuli
madogo ya fedha,00:06:41
00:06:41
uzito wa kila
bakuli dogo. 00:06:43
00:06:44
Pia alimpa uzito
wa dhahabu safi00:06:47
00:06:47
kwa ajili ya madhabahu
ya uvumba00:06:49
00:06:49
na kwa ajili ya mfano
wa lile gari,00:06:52
00:06:52
yaani, wale makerubi wa dhahabu
walionyoosha mabawa yao00:06:56
00:06:56
na kulifunika sanduku
la agano la Yehova.00:07:00
00:07:00
Daudi akasema:00:07:01
00:07:01
Mkono wa Yehova
ulikuwa juu yangu,00:07:04
00:07:04
naye alinipa ufahamu
wa kuandika mambo yote00:07:09
00:07:09
kuhusu ramani
hii ya ujenzi.00:07:11
00:07:11
Kisha Daudi akamwambia
Sulemani mwanawe:00:07:15
00:07:15
Uwe jasiri na imara
na uanze kazi. 00:07:20
00:07:20
Usiogope wala usihofu,00:07:23
00:07:23
kwa maana
Yehova Mungu,00:07:25
00:07:25
Mungu wangu,00:07:26
00:07:26
yuko pamoja nawe. 00:07:28
00:07:28
Hatakuacha wala kukutupa,00:07:30
00:07:30
lakini atakuwa
pamoja nawe 00:07:33
00:07:33
mpaka kazi yote ya utumishi wa
nyumba ya Yehova itakapokamilika.00:07:38
00:07:43
Wazia kazi ya Sulemani! 00:07:45
00:07:46
Hakuagizwa tu kujenga nyumba
ya pekee kwa ajili ya ibada ya kweli 00:07:49
00:07:49
bali hekalu hilo lilipaswa kuwa
“na utukufu usio na kifani,” 00:07:53
00:07:53
umaarufu na umaridadi wake
ungejulikana “katika nchi zote.” ’00:07:57
00:07:58
Ingawa hivyo,00:08:00
00:08:00
Sulemani hakuwa na
uzoefu wa kujenga. 00:08:02
00:08:03
Daudi alifikiria hali ngumu
ambazo angekabili. 00:08:06
00:08:07
Isitoshe, Sulemani
angekabili upinzani 00:08:10
00:08:10
ndani na nje ya familia yake. 00:08:12
00:08:13
Kwa hiyo, Daudi alimhimiza
mwanawe awe mtiifu00:08:16
00:08:16
na mshikamanifu
kwa Yehova. 00:08:18
00:08:20
Pia alimhimiza Sulemani00:08:22
00:08:22
‘awe jasiri na imara
na aanze kazi.’00:08:25
00:08:27
Sulemani angelemewa
na woga. 00:08:29
00:08:30
Akifikiria kwamba mgawo wake
ulikuwa mgumu sana,00:08:33
00:08:33
huenda angeahirisha au
hata kuacha kazi hiyo. 00:08:36
00:08:38
Hilo lingemkasirisha
sana Yehova.00:08:40
00:08:42
Basi, Daudi alirudia ushauri
huu: “Anza kazi.” 00:08:46
00:08:47
Daudi alielewa kwamba ujasiri
na kumtegemea Yehova 00:08:50
00:08:50
kunapaswa kuambatana
na matendo. 00:08:52
00:08:53
Alijua hivyo kutokana na
mambo aliyojionea.00:08:56
00:08:57
Acheni tuchunguze baadhi ya
matukio katika maisha ya Daudi 00:09:00
00:09:00
yaliyohitaji ujasiri. 00:09:02
00:09:02
Tunaposoma masimulizi
haya, jiulize, 00:09:05
00:09:05
‘Je, Daudi aliahirisha
mambo,00:09:08
00:09:08
alisitasita, 00:09:09
00:09:09
au kuogopa alipokabili
hali ngumu?’ 00:09:11
00:09:12
Kwa mfano, fikiria
hali zilizokuwepo00:09:14
00:09:14
Daudi alipotiwa mafuta
kuwa mfalme wa Israeli. 00:09:17
00:09:17
Bado Mfalme Sauli
alikuwa akitawala,00:09:20
00:09:20
lakini Yehova
alikuwa amemkataa00:09:22
00:09:22
Sauli kwa sababu ya kutotii. 00:09:24
00:09:24
Fuatana katika Biblia yako
tunaposikiliza maneno ya 00:09:27
00:09:27
1 Samweli 16:1-23. 1 Samweli 16:1-23.00:09:38
00:09:43
Mwishowe Yehova
akamuuliza Samweli:00:09:47
00:09:47
Kwa kuwa nimemkataa Sauli
asitawale akiwa mfalme wa Israeli,00:09:51
00:09:51
utaendelea kumwombolezea
mpaka lini? 00:09:55
00:09:55
Jaza pembe
yako mafuta,00:09:58
00:09:58
uende. 00:09:59
00:09:59
Nitakutuma kwa
Yese Mbethlehemu,00:10:02
00:10:02
kwa sababu
nimejichagulia mfalme00:10:03
00:10:03
kutoka miongoni
mwa wanawe.00:10:06
00:10:07
Lakini Samweli
akasema:00:10:09
00:10:09
Nitaendaje? 00:10:10
00:10:10
Sauli akisikia
habari hii,00:10:12
00:10:12
ataniua.00:10:14
00:10:14
Yehova akamwambia:00:10:16
00:10:16
Nenda na ng’ombe
mchanga, useme, 00:10:20
00:10:20
“Nimekuja kumtolea
Yehova dhabihu.” 00:10:23
00:10:23
Mwalike Yese
kwenye dhabihu;00:10:26
00:10:26
kisha nitakujulisha
utakalofanya. 00:10:28
00:10:29
Utamtia mafuta kwa ajili yangu
yule nitakayekuonyesha.00:10:32
00:10:33
Samweli alifanya mambo
aliyoambiwa na Yehova. 00:10:36
00:10:36
Alipofika Bethlehemu,00:10:38
00:10:38
wazee wa jiji walitetemeka
walipokutana naye,00:10:41
00:10:41
wakamuuliza:00:10:43
00:10:43
Je, umekuja
kwa amani?00:10:45
00:10:46
Akajibu:00:10:47
00:10:48
Nimekuja kwa amani. 00:10:50
00:10:50
Nimekuja kumtolea
Yehova dhabihu. 00:10:53
00:10:53
Jitakaseni, mje pamoja
nami kwenye dhabihu.00:10:57
00:10:57
Kisha akamtakasa
Yese na wanawe,00:11:00
00:11:00
halafu akawaalika
kwenye dhabihu. 00:11:03
00:11:03
Walipokuwa wakiingia,00:11:05
00:11:05
Samweli alimwona Eliabu
na kusema:00:11:08
00:11:09
Hakika mtiwa-mafuta wa Yehova
amesimama hapa mbele zake.00:11:14
00:11:15
Lakini Yehova
akamwambia Samweli:00:11:17
00:11:17
Usitazame sura yake
wala urefu wake, 00:11:20
00:11:20
kwa maana
nimemkataa. 00:11:23
00:11:25
Kwa kuwa Mungu haoni kama
mwanadamu anavyoona,00:11:28
00:11:28
kwa maana mwanadamu huona
kinachoonekana kwa macho, 00:11:33
00:11:33
lakini Yehova huona
ndani ya moyo.00:11:37
00:11:38
Kisha Yese akamwita
Abinadabu,00:11:40
00:11:40
akampitisha mbele
ya Samweli,00:11:43
00:11:43
lakini Samweli akasema:00:11:44
00:11:45
Huyu pia Yehova
hajamchagua.00:11:47
00:11:48
Kisha Yese akampitisha
Shamma, 00:11:50
00:11:50
lakini Samweli akasema:00:11:53
00:11:53
Hata huyu
Yehova hajamchagua.00:11:56
00:11:56
Basi Yese akawapitisha wanawe
saba mbele ya Samweli, 00:12:01
00:12:01
lakini Samweli
akamwambia Yese:00:12:04
00:12:04
Yehova hajamchagua
yeyote kati ya hawa.00:12:08
00:12:08
Mwishowe Samweli
akamuuliza Yese:00:12:10
00:12:10
Je, hawa ndio
wana wako wote?00:12:13
00:12:13
Akajibu:00:12:15
00:12:15
Aliye mdogo zaidi
ameachwa mpaka sasa; 00:12:18
00:12:18
anawalisha kondoo.00:12:20
00:12:21
Kisha Samweli
akamwambia Yese:00:12:23
00:12:23
Mtume mtu akamwite,00:12:25
00:12:25
kwa sababu hatutaketi
kula chakula00:12:28
00:12:28
mpaka atakapokuja hapa.00:12:30
00:12:30
Basi akamtuma
mtu amwite,00:12:32
00:12:32
Yese akamleta ndani. 00:12:34
00:12:34
Kijana huyo
alikuwa mwekundu,00:12:36
00:12:36
mwenye macho yanayovutia,00:12:38
00:12:38
na mwenye sura nzuri. 00:12:39
00:12:40
Ndipo Yehova akasema:00:12:42
00:12:42
Simama,00:12:43
00:12:43
mtie mafuta,00:12:44
00:12:44
kwa maana
huyu ndiye!00:12:46
00:12:47
Basi Samweli akachukua
ile pembe ya mafuta 00:12:51
00:12:51
na kumtia mafuta
mbele ya ndugu zake. 00:12:54
00:12:54
Na roho ya Yehova ikaanza
kumtia nguvu Daudi00:12:57
00:12:57
kuanzia siku hiyo
na kuendelea. 00:12:59
00:13:00
Baadaye
Samweli akainuka00:13:02
00:13:02
na kwenda zake Rama. 00:13:04
00:13:05
Sasa roho ya Yehova
ilikuwa imemwacha Sauli, 00:13:08
00:13:08
na roho mbaya kutoka kwa
Yehova ilikuwa ikimtesa. 00:13:12
00:13:12
Watumishi wa Sauli
wakamwambia:00:13:15
00:13:15
Unaona kwamba roho mbaya
kutoka kwa Mungu inakutesa. 00:13:18
00:13:18
Tafadhali, bwana wetu,00:13:20
00:13:20
waamuru watumishi wako
walio mbele yako00:13:22
00:13:22
wamtafute mtu mwenye
ustadi wa kupiga kinubi. 00:13:25
00:13:26
Wakati wowote roho mbaya
kutoka kwa Mungu inapokujia,00:13:29
00:13:29
atapiga kinubi,
nawe utahisi vizuri.00:13:33
00:13:34
Basi Sauli akawaambia
watumishi wake:00:13:37
00:13:37
Tafadhali, nitafutieni mtu
anayepiga kinubi vizuri,00:13:40
00:13:40
mumlete kwangu.00:13:42
00:13:42
Mtumishi mmoja akasema:00:13:43
00:13:43
Tazama! 00:13:45
00:13:45
Nimeona mwana fulani
wa Yese Mbethlehemu 00:13:47
00:13:47
anavyopiga kinubi kwa ustadi, 00:13:49
00:13:49
ni mtu jasiri na shujaa hodari. 00:13:51
00:13:52
Ana ustadi wa kuongea, 00:13:53
00:13:53
ana sura nzuri, 00:13:55
00:13:55
na Yehova yuko
pamoja naye.00:13:56
00:13:56
Ndipo Sauli akawatuma wajumbe
kwa Yese na kumwambia:00:14:00
00:14:00
Mtume mwana wako
Daudi aje kwangu, 00:14:02
00:14:02
yule anayechunga kondoo.00:14:04
00:14:04
Basi Yese akapakia mikate,00:14:06
00:14:06
kiriba cha ngozi
chenye divai,00:14:08
00:14:08
na mwanambuzi
juu ya punda,00:14:10
00:14:10
akamtuma Daudi mwana wake
kwa Sauli akiwa na vitu hivyo. 00:14:14
00:14:14
Kwa hiyo Daudi akafika kwa
Sauli na kuanza kumtumikia. 00:14:17
00:14:17
Sauli akampenda sana,00:14:19
00:14:19
naye Daudi akawa
akimbebea silaha zake. 00:14:22
00:14:23
Sauli akamtumia
Yese ujumbe huu:00:14:25
00:14:25
Tafadhali, mruhusu Daudi
aendelee kunitumikia,00:14:28
00:14:28
kwa sababu amepata
kibali machoni pangu.00:14:31
00:14:31
Wakati wowote roho mbaya
kutoka kwa Mungu ilipomjia Sauli,00:14:35
00:14:35
Daudi alichukua
kinubi na kukipiga, 00:14:38
00:14:38
kisha Sauli alipata
kitulizo na kuhisi vizuri,00:14:42
00:14:42
na roho hiyo
mbaya ilimwacha.00:14:44
00:14:49
Je, unaweza
kuwazia kijana Daudi,00:14:53
00:14:53
baba yake, na ndugu
zake wakiwa wamesimama00:14:55
00:14:55
mbele ya nabii Samweli? 00:14:57
00:14:58
Kisha Yehova akamchagua
Daudi awe mfalme00:15:01
00:15:01
na kumwagiza Samweli 00:15:02
00:15:02
amtie mafuta mvulana huyo. 00:15:03
00:15:04
Hata hivyo, Sauli
aliendelea kutawala, 00:15:07
00:15:07
akijulikana na wengi kuwa
mfalme halali wa Israeli.00:15:10
00:15:12
Kwa kweli Daudi alihitaji
ujasiri wakati huo. 00:15:15
00:15:16
Sauli angetendaje baada
ya kujua kwamba00:15:20
00:15:20
Daudi ametiwa
mafuta awe mfalme? 00:15:24
00:15:24
Bila shaka, Sauli angetafuta
njia ya kumuua. 00:15:27
00:15:27
Basi wazia jinsi
Daudi alivyohisi 00:15:32
00:15:32
alipoagizwa aende kwenye
nyumba ya Sauli ili kumhudumia! 00:15:36
00:15:37
Kwa kweli,
alikuwa na wasiwasi.00:15:40
00:15:41
Namna gani sisi leo? 00:15:43
00:15:44
Huenda tukawa na wasiwasi
kwa sababu ya matatizo ya familia,00:15:48
00:15:48
ugonjwa,00:15:48
00:15:48
matatizo ya kifedha,00:15:50
00:15:50
mateso, 00:15:51
00:15:51
au mwelekeo wetu
wenye dhambi. 00:15:54
00:15:54
Lakini hatupaswi kuruhusu
matatizo hayo yatulemee kiroho. 00:15:59
00:15:59
Tunapokabili matatizo hayo00:16:01
00:16:01
tunapaswa kutafuta msaada
wa Yehova kupitia sala, 00:16:05
00:16:05
Neno lake, na kutaniko. 00:16:07
00:16:07
Mara nyingi,
tunaweza kupata njia00:16:09
00:16:09
za kupunguza
matatizo hayo. 00:16:11
00:16:11
Hata matatizo yasipokwisha, 00:16:14
00:16:14
tunapaswa kufanya mapenzi
ya Yehova kwa bidii00:16:16
00:16:16
kulingana na uwezo wetu, 00:16:18
00:16:18
hata tunapokabili matatizo. 00:16:20
00:16:21
Huo ni ujasiri wa kweli!00:16:24
00:16:25
Daudi alipoitwa na Sauli, 00:16:27
00:16:27
hakulemewa na woga. 00:16:29
00:16:29
Alikuwa imara na jasiri,00:16:31
00:16:31
na akaanza kazi! 00:16:33
00:16:33
Alikubali mgawo huo,00:16:35
00:16:35
akijua kwamba Yehova
angempatia hekima 00:16:38
00:16:38
ili kutimiza mgawo wake. 00:16:40
00:16:41
Baadaye, Mfalme Sauli
alimpenda sana Daudi, 00:16:44
00:16:44
na Daudi akawa mtumishi
aliyembebea Sauli silaha. 00:16:48
00:16:49
Tafadhali tuambatane na
usomaji wa 1 Samweli 17:1-51. 00:16:56
00:16:57
Ni sura inayofuata—00:16:59
00:16:59
1 Samweli sura ya 17,
kuanzia mstari wa 1. 00:17:04
00:17:05
Hii ni hadithi yenye kusisimua
ya Daudi na Goliathi. 00:17:08
00:17:08
Simulizi hilo linaonyesha jinsi
Daudi alivyotenda kwa hekima00:17:12
00:17:12
na kuonyesha ujasiri.00:17:13
00:17:23
Sasa Wafilisti wakakusanya
majeshi yao kwa ajili ya vita. 00:17:28
00:17:28
Walikusanyika huko Soko,00:17:30
00:17:30
jiji la Yuda, wakapiga kambi
kati ya Soko na Azeka, 00:17:34
00:17:34
kule Efes-damimu. 00:17:36
00:17:36
Sauli na wanaume wa
Israeli wakakusanyika 00:17:38
00:17:38
na kupiga kambi
katika Bonde la Ela,00:17:41
00:17:41
nao wakajipanga kivita
ili kupigana na Wafilisti. 00:17:45
00:17:45
Wafilisti walikuwa upande
mmoja wa mlima,00:17:48
00:17:48
na Waisraeli walikuwa
upande ule mwingine, 00:17:51
00:17:51
na bonde lilikuwa
katikati yao. 00:17:54
00:17:54
Kisha shujaa mmoja akatoka
katika kambi za Wafilisti;00:17:58
00:17:58
aliitwa Goliathi,00:18:02
00:18:02
kutoka Gathi, 00:18:04
00:18:04
alikuwa na urefu wa mikono
sita na shubiri moja. 00:18:09
00:18:09
Alikuwa na kofia ya
shaba kichwani,00:18:12
00:18:12
naye alivaa koti la vita lenye
magamba yanayolaliana. 00:18:15
00:18:15
Koti hilo la vita la shaba
lilikuwa na uzito wa 00:18:18
00:18:18
shekeli 5,000. 00:18:21
00:18:21
Alikuwa na mabamba ya shaba
yaliyokinga miguu yake00:18:24
00:18:24
na fumo la shaba lililoning’inia
katikati ya mabega yake. 00:18:28
00:18:28
Mpini wa mbao wa
mkuki wake00:18:31
00:18:31
ulikuwa kama mti wa
wafumaji wa nguo,00:18:34
00:18:34
na kichwa cha chuma
cha mkuki wake00:18:36
00:18:36
kilikuwa na uzito
wa shekeli 600;00:18:39
00:18:39
na mtu aliyembebea ngao
alitembea mbele yake. 00:18:43
00:18:43
Basi akasimama na kuviita
vikosi vya Israeli akisema:00:18:47
00:18:47
Kwa nini mmekuja
kujipanga kivita? 00:18:50
00:18:51
Je, mimi si Mfilisti nanyi je,
si watumishi wa Sauli? 00:18:57
00:18:58
Jichagulieni mwanamume,00:19:01
00:19:01
aje kupigana nami. 00:19:03
00:19:03
Akiweza kupigana
nami na kuniua,00:19:06
00:19:06
tutakuwa watumishi wenu. 00:19:08
00:19:09
Lakini nikimshinda
na kumuua,00:19:12
00:19:12
mtakuwa watumishi wetu,00:19:14
00:19:14
nanyi mtatutumikia.00:19:16
00:19:19
Kisha Mfilisti
huyo akasema:00:19:21
00:19:22
Ninavitukana vikosi
vya Israeli leo. 00:19:25
00:19:25
Nipeni mwanamume,
nipigane naye!00:19:29
00:19:30
Sauli na Waisraeli wote 00:19:32
00:19:32
waliposikia maneno
hayo ya Mfilisti huyo,00:19:35
00:19:35
wakashikwa na hofu
na kuogopa sana. 00:19:39
00:19:40
Basi Daudi alikuwa
mwana wa Yese,00:19:42
00:19:42
Mwefrathi kutoka mji wa
Bethlehemu wa Yuda, 00:19:45
00:19:45
ambaye alikuwa
na wana wanane00:19:47
00:19:47
na ambaye katika siku za
Sauli alikuwa tayari amezeeka. 00:19:51
00:19:51
Wana watatu wakubwa
wa Yese walikuwa00:19:53
00:19:53
wameenda na Sauli vitani. 00:19:55
00:19:56
Majina ya wana hao
watatu walioenda vitani ni00:19:59
00:19:59
Eliabu mzaliwa
wake wa kwanza, 00:20:01
00:20:01
Abinadabu mwana
wake wa pili,00:20:03
00:20:03
na Shamma mwana
wake wa tatu. 00:20:06
00:20:06
Daudi ndiye aliyekuwa
mdogo zaidi,00:20:08
00:20:08
na wale watatu wakubwa
walikuwa wameenda pamoja na Sauli. 00:20:12
00:20:12
Daudi alikuwa akienda na
kurudi kutoka kwa Sauli00:20:15
00:20:15
ili kuchunga kondoo wa
baba yake huko Bethlehemu. 00:20:18
00:20:18
Wakati huo, yule
Mfilisti alikuwa akija 00:20:21
00:20:21
na kuwadhihaki kila asubuhi
na kila jioni kwa siku 40. 00:20:25
00:20:26
Ndipo Yese akamwambia
Daudi mwana wake:00:20:29
00:20:29
Tafadhali, chukua hii efa ya
nafaka iliyokaangwa00:20:32
00:20:32
na mikate hii kumi,00:20:34
00:20:34
uwapelekee haraka
ndugu zako kambini. 00:20:37
00:20:37
Nawe umpelekee
mkuu wa elfu00:20:40
00:20:40
mafungu haya
kumi ya jibini;00:20:42
00:20:42
pia, angalia ndugu
zako wanaendeleaje 00:20:45
00:20:45
na uniletee kitu
fulani kutoka kwao.00:20:48
00:20:48
Walikuwa pamoja na Sauli na
wanaume wengine wote wa Israeli00:20:52
00:20:52
katika Bonde la Ela,00:20:54
00:20:54
wakipigana na Wafilisti. 00:20:56
00:20:56
Kwa hiyo Daudi akaamka
asubuhi na mapema 00:20:59
00:20:59
na kuwaacha kondoo
mikononi mwa mtu mwingine;00:21:01
00:21:01
kisha akapakia vitu hivyo 00:21:03
00:21:03
na kwenda kama Yese
alivyokuwa amemwamuru. 00:21:06
00:21:06
Alipofika kambini, 00:21:08
00:21:08
jeshi lilikuwa likienda
kwenye uwanja wa vita 00:21:11
00:21:11
huku likipiga kelele za vita. 00:21:14
00:21:14
Waisraeli na Wafilisti
wakajipanga kivita00:21:16
00:21:16
wakikabiliana
uso kwa uso. 00:21:18
00:21:18
Mara moja Daudi
akaiacha mizigo yake 00:21:21
00:21:21
mikononi mwa mtu
aliyetunza mizigo,00:21:23
00:21:23
akakimbia kwenda
kwenye uwanja wa vita. 00:21:26
00:21:26
Alipofika, akaanza kuulizia
habari za ndugu zake. 00:21:30
00:21:31
Alipokuwa akizungumza nao,00:21:33
00:21:33
akaja yule Mfilisti shujaa
aliyeitwa Goliathi,00:21:37
00:21:37
kutoka Gathi. 00:21:39
00:21:39
Alitoka katika
vikosi vya Wafilisti, 00:21:41
00:21:41
akasema maneno yaleyale
aliyozoea kusema, 00:21:45
00:21:45
na Daudi akamsikia. 00:21:47
00:21:47
Wanaume wote wa Israeli
walipomwona mwanamume huyo,00:21:51
00:21:51
wakaogopa sana
na kumkimbia. 00:21:55
00:21:55
Wanaume wa Israeli
walikuwa wakisema:00:21:57
00:21:58
Je, mnamwona mwanamume
yule anayekuja? 00:22:01
00:22:01
Anakuja kuwatukana Waisraeli. 00:22:04
00:22:04
Mfalme atampa utajiri mwingi
mtu atakayemuua mwanamume huyo, 00:22:08
00:22:08
atampa pia binti
yake mwenyewe, 00:22:11
00:22:11
naye ataiondolea wajibu nyumba
ya baba yake katika Israeli.00:22:14
00:22:14
Daudi akaanza kuwauliza
wanaume waliokuwa00:22:17
00:22:17
wamesimama karibu naye:00:22:19
00:22:19
Mtu atakayemuua
yule Mfilisti 00:22:21
00:22:21
na kuwaondolea Waisraeli
aibu atafanyiwa nini? 00:22:24
00:22:25
Kwani huyu Mfilisti
asiyetahiriwa ni nani 00:22:28
00:22:28
hata avitukane vikosi
vya Mungu aliye hai?00:22:30
00:22:31
Basi watu hao
wakamwambia00:22:33
00:22:33
maneno yaleyale
yaliyokuwa yamesemwa:00:22:35
00:22:35
Hivi ndivyo atakavyofanyiwa
mwanamume atakayemuua.00:22:38
00:22:38
Eliabu ndugu yake mkubwa
alipomsikia Daudi00:22:40
00:22:40
akizungumza
na wanaume hao, 00:22:43
00:22:43
akamkasirikia Daudi
na kumwambia:00:22:45
00:22:45
Kwa nini
umeshuka huku? 00:22:47
00:22:48
Na wale kondoo wachache
nyikani umemwachia nani? 00:22:50
00:22:52
Najua vizuri kimbelembele chako
na nia mbaya ya moyo wako; 00:22:56
00:22:56
umeshuka tu ili
kutazama vita.00:23:00
00:23:00
Daudi akamwambia:00:23:02
00:23:02
Sasa nimefanya nini? 00:23:04
00:23:04
Nilikuwa
nikiuliza swali tu!00:23:06
00:23:07
Ndipo Daudi akamwacha,00:23:08
00:23:08
akamgeukia mtu mwingine
na kumuuliza swali lilelile,00:23:12
00:23:12
na watu wakamjibu
vilevile kama mwanzoni. 00:23:15
00:23:15
Watu wakasikia maneno
aliyosema Daudi, 00:23:18
00:23:18
wakamwambia Sauli. 00:23:19
00:23:19
Basi Sauli akaagiza aitwe. 00:23:22
00:23:22
Daudi akamwambia Sauli:00:23:24
00:23:25
Mtu yeyote asife moyo
kwa sababu yake. 00:23:27
00:23:27
Mimi mtumishi wako nitaenda
kupigana na huyo Mfilisti.00:23:31
00:23:31
Lakini Sauli
akamwambia Daudi:00:23:33
00:23:33
Huwezi kwenda kupigana
na huyo Mfilisti,00:23:35
00:23:35
kwa sababu wewe
ni mvulana tu,00:23:38
00:23:38
naye amekuwa mwanajeshi
tangu alipokuwa kijana.00:23:41
00:23:41
Ndipo Daudi
akamwambia Sauli:00:23:44
00:23:44
Mimi mtumishi wako nimekuwa
nikichunga kondoo wa baba yangu,00:23:47
00:23:47
na simba akaja,
na pia dubu, 00:23:50
00:23:50
na kila mmoja wao akamchukua
kondoo kutoka kundini. 00:23:53
00:23:53
Nilimfuata, nikamuua00:23:55
00:23:55
na kumwokoa kondoo
kutoka kinywani mwake. 00:23:58
00:23:58
Aliporuka ili kunishambulia, 00:24:00
00:24:00
nilimkamata manyoya yake,
nikampiga, na kumuua. 00:24:03
00:24:04
Mimi mtumishi wako nilimuua
simba na dubu pia, 00:24:07
00:24:07
na huyu Mfilisti asiyetahiriwa
atakuwa kama mmoja wao,00:24:11
00:24:11
kwa sababu amevitukana
vikosi vya Mungu aliye hai.00:24:14
00:24:14
Kisha Daudi akasema:00:24:16
00:24:16
Yehova, aliyeniokoa 00:24:17
00:24:17
kutoka katika makucha
ya simba na ya dubu,00:24:20
00:24:20
ndiye atakayeniokoa kutoka
mikononi mwa Mfilisti huyo.00:24:24
00:24:25
Ndipo Sauli
akamwambia Daudi:00:24:27
00:24:27
Nenda, na Yehova
awe pamoja nawe.00:24:30
00:24:31
Basi Sauli akamvisha
Daudi mavazi yake. 00:24:34
00:24:34
Akamvisha kofia
ya shaba kichwani, 00:24:36
00:24:36
halafu akamvisha
koti la vita. 00:24:38
00:24:39
Kisha Daudi akajifunga upanga
wake juu ya mavazi yake, 00:24:42
00:24:42
akajaribu kutembea
lakini akashindwa 00:24:45
00:24:45
kwa sababu
hakuwa ameyazoea. 00:24:47
00:24:47
Basi Daudi
akamwambia Sauli:00:24:49
00:24:49
Siwezi kwenda nikiwa
nimevaa vitu hivi,00:24:52
00:24:52
kwa maana sijavizoea.00:24:54
00:24:54
Kwa hiyo Daudi akavivua. 00:24:56
00:24:56
Kisha akachukua
fimbo yake mkononi,00:24:58
00:24:58
akajichagulia mawe
matano laini 00:25:00
00:25:00
kutoka katika
bonde la kijito,00:25:02
00:25:02
akayaweka kwenye kifuko
ndani ya mfuko wake wa mchungaji,00:25:06
00:25:06
na kombeo lilikuwa
mkononi mwake. 00:25:08
00:25:08
Naye akaanza kumkaribia
huyo Mfilisti. 00:25:12
00:25:12
Mfilisti huyo akaanza kumkaribia
Daudi zaidi na zaidi,00:25:15
00:25:15
na mtu aliyembebea ngao
alikuwa mbele yake. 00:25:18
00:25:18
Mfilisti huyo alipotazama
na kumwona Daudi, 00:25:21
00:25:21
akaanza kumdhihaki
kwa dharau00:25:23
00:25:23
kwa sababu alikuwa tu mvulana
mwekundu mwenye sura nzuri. 00:25:26
00:25:26
Basi Mfilisti huyo
akamuuliza Daudi:00:25:29
00:25:29
Je, mimi ni mbwa hivi
kwamba unijie na vijiti?00:25:34
00:25:35
Ndipo huyo Mfilisti akamlaani
Daudi kwa miungu yake.00:25:39
00:25:39
Akamwambia Daudi:00:25:41
00:25:41
Nikaribie tu, 00:25:44
00:25:44
nyama yako nitawapa
ndege wa angani00:25:48
00:25:48
na wanyama
wa mwituni.00:25:50
00:25:51
Daudi akamjibu
hivi huyo Mfilisti:00:25:54
00:25:54
Unakuja kupigana nami kwa
upanga, mkuki, na fumo,00:25:58
00:25:58
lakini mimi naja
kupigana nawe 00:26:00
00:26:00
kwa jina la Yehova
wa majeshi, 00:26:02
00:26:02
Mungu wa vikosi vya Israeli,00:26:05
00:26:05
ambaye umemtukana. 00:26:06
00:26:07
Siku hii ya leo00:26:08
00:26:08
Yehova atakutia wewe
mikononi mwangu,00:26:11
00:26:11
nami nitakuua na
kukata kichwa chako;00:26:15
00:26:15
na siku ya leo nitawapa
ndege wa angani 00:26:19
00:26:19
na wanyama
mwitu wa dunia00:26:21
00:26:21
maiti za kambi ya Wafilisti;00:26:23
00:26:23
na watu wote duniani 00:26:25
00:26:25
watajua kwamba kuna
Mungu katika Israeli. 00:26:28
00:26:28
Na watu wote
waliokusanyika hapa00:26:31
00:26:31
watajua kwamba Yehova00:26:33
00:26:33
haokoi kwa upanga
wala kwa mkuki, 00:26:36
00:26:36
kwa sababu vita
ni vya Yehova,00:26:38
00:26:38
naye atawatia ninyi nyote
mikononi mwetu.00:26:42
00:26:42
Basi Mfilisti huyo
akasimama, 00:26:45
00:26:45
akazidi kukaribia ili
akutane na Daudi,00:26:47
00:26:47
lakini Daudi
akakimbia haraka 00:26:49
00:26:49
kuelekea kwenye uwanja wa vita
kukutana na Mfilisti huyo. 00:26:52
00:26:52
Daudi akautia mkono wake
ndani ya mfuko wake,00:26:55
00:26:55
akachukua jiwe kutoka humo,
na kulirusha kwa kombeo. 00:26:57
00:26:57
Akampiga Mfilisti huyo
kwenye paji la uso,00:27:00
00:27:00
na jiwe hilo likapenya
katika paji la uso wake, 00:27:03
00:27:03
akaanguka
chini kifudifudi. 00:27:06
00:27:07
Basi Daudi akamshinda Mfilisti
huyo kwa kombeo na jiwe;00:27:11
00:27:11
alimpiga Mfilisti
huyo na kumuua,00:27:14
00:27:14
ingawa Daudi hakuwa na
upanga mkononi mwake. 00:27:18
00:27:18
Daudi akaendelea kukimbia
na kusimama juu yake. 00:27:21
00:27:22
Kisha akaushika upanga
wa Mfilisti huyo 00:27:24
00:27:24
na kuuchomoa kutoka
katika ala yake, 00:27:27
00:27:27
akahakikisha
kwamba amekufa00:27:29
00:27:29
kwa kumkata kichwa
kwa upanga huo. 00:27:32
00:27:32
Wafilisti walipoona kwamba
shujaa wao amekufa, wakakimbia.00:27:39
00:27:45
Tunajifunza kuhusu ujasiri 00:27:47
00:27:47
kutokana na simulizi
la Daudi na Goliathi. 00:27:49
00:27:49
Pia tunajifunza kuhusu
kutumia hekima00:27:52
00:27:52
na kuonyesha
imani kwa matendo.00:27:54
00:27:55
Daudi alikuwa
akifanya kazi00:27:57
00:27:57
baba yake alipomwambia
awapelekee ndugu zake00:27:59
00:27:59
chakula vitani. 00:28:00
00:28:01
Kwa hiyo, 00:28:02
00:28:02
Daudi alitarajia kufanya
mambo mawili wakati uleule. 00:28:05
00:28:06
Angewatunzaje kondoo
wa familia yake00:28:07
00:28:07
na wakati huohuo kuwapelekea
chakula ndugu zake00:28:10
00:28:10
waliokuwa umbali wa
kilomita kadhaa? 00:28:12
00:28:12
Alitumia hekima. 00:28:14
00:28:15
Pia, alionyesha
kwamba alitegemeka. 00:28:18
00:28:19
Biblia inasema:00:28:20
00:28:20
“Daudi akaamka
asubuhi na mapema00:28:23
00:28:23
na kuwaacha kondoo
mikononi mwa mtu mwingine;00:28:25
00:28:25
kisha akapakia vitu
hivyo na kwenda 00:28:28
00:28:28
kama Yese alivyokuwa
amemwamuru.”00:28:30
00:28:32
Muda mfupi
baadaye,00:28:34
00:28:34
alikabili hali
yenye kutia hofu. 00:28:37
00:28:39
Daudi alipokuwa
akiwatafuta ndugu zake00:28:41
00:28:41
aliona jeshi la Israeli
likiwa limetishwa00:28:43
00:28:43
na ukubwa wa Goliathi
na dhihaka zake. 00:28:46
00:28:47
Papo hapo,00:28:48
00:28:48
Daudi alitenda
kwa ujasiri. 00:28:50
00:28:51
Aliuliza kwa nini
hakuna mtu00:28:53
00:28:53
aliyekuwa amemuua
mtu huyo mwenye 00:28:54
00:28:54
kimbelembele
aliyemdhihaki Yehova. 00:28:56
00:28:57
Hata hivyo, Eliabu,00:28:59
00:28:59
ndugu ya Daudi
alimkemea hadharani,00:29:02
00:29:02
akatilia shaka nia yake,00:29:04
00:29:04
akamwita mwenye
kimbelembele,00:29:05
00:29:05
na akadai kwamba amewaacha
kondoo wa baba yake. 00:29:09
00:29:09
Hata hivyo, Daudi alijitolea
kupigana na Goliathi,00:29:13
00:29:14
lakini mfalme
akampuuza. 00:29:16
00:29:17
Sauli alimwambia kwamba
hangeweza kumshinda Goliathi00:29:21
00:29:21
kwa sababu Daudi
alikuwa “mvulana tu”!00:29:23
00:29:24
Daudi alitendaje alipokabili
hali hizo zenye kuvunja moyo? 00:29:28
00:29:29
Alitenda kwa ujasiri. 00:29:31
00:29:32
Ujasiri huo ulimchochea kiroho
na kihisia ili aanze kazi. 00:29:37
00:29:38
Alikumbuka mambo ambayo
Yehova alimtendea zamani. 00:29:42
00:29:42
Daudi hakusahau kamwe 00:29:44
00:29:44
jinsi Yehova alivyomkomboa
kutoka kwa dubu na simba—00:29:47
00:29:47
wanyama wenye mbio na
nguvu kuliko wanadamu. 00:29:51
00:29:52
Yehova hakumwokoa
tu Daudi 00:29:54
00:29:54
bali pia alimwezesha kuwaua
wanyama hao hatari. 00:29:57
00:29:58
Daudi angeweza kusema
hivi kwa uhakika: 00:30:01
00:30:01
“Yehova, aliyeniokoa
kutoka katika00:30:04
00:30:04
makucha ya simba
na ya dubu,00:30:05
00:30:05
ndiye atakayeniokoa kutoka
mikononi mwa Mfilisti huyo.”00:30:09
00:30:10
Tunapokata tamaa au
kushuka moyo, 00:30:13
00:30:13
tunaweza kufaidika
kwa kutafakari00:30:15
00:30:15
jinsi Yehova alivyotukomboa
tulipokabili matatizo00:30:18
00:30:18
yaliyoonekana kuwa
makubwa sana, sivyo?00:30:21
00:30:22
Daudi alikuwa jasiri
na akaanza kazi. 00:30:26
00:30:27
Alifanya maamuzi na
akapata matokeo mazuri. 00:30:30
00:30:30
Kwa mfano, Sauli alipompa Daudi
mavazi yake mazito ya vita, 00:30:35
00:30:35
Daudi alijaribu kuyavaa. 00:30:37
00:30:38
Lakini akatambua
kwamba angelemewa00:30:40
00:30:40
kwa kuvaa kofia ya shaba,00:30:41
00:30:41
koti la vita,00:30:42
00:30:42
na kufunga upanga
juu ya vazi lake. 00:30:45
00:30:45
Basi, alifanyaje? 00:30:48
00:30:49
Kwa kweli,00:30:50
00:30:50
alirahisisha mambo! 00:30:51
00:30:52
Aliuondoa mzigo huo.00:30:53
00:30:55
Namna gani sisi? 00:30:56
00:30:57
Kwa miaka mingi,00:30:58
00:30:58
huenda tumejaza maisha
yetu vitu tusivyohitaji 00:31:01
00:31:01
au shughuli
zisizo za lazima. 00:31:03
00:31:04
Vitu hivyo vinaweza
kutuathiri kiroho. 00:31:07
00:31:07
Ikiwa hali yako
iko hivyo,00:31:09
00:31:09
kwa nini usianze kazi? 00:31:11
00:31:11
Orodhesha vitu vyako
na mazoea yako,00:31:13
00:31:13
na uondoe vitu
visivyo vya lazima. 00:31:15
00:31:16
Tukirahisisha
maisha yetu,00:31:18
00:31:18
itakuwa rahisi zaidi
kwa jicho letu 00:31:20
00:31:20
kukazia utumishi
kwa Yehova.00:31:22
00:31:23
Kama sisi, Daudi
hakuwa mkamilifu. 00:31:26
00:31:26
Lakini matendo
yake ya ujasiri00:31:29
00:31:29
yalimfanya awe na urafiki
wa karibu na Yehova. 00:31:32
00:31:32
Kwa hiyo, mwishoni mwa
maisha yake ya uaminifu,00:31:36
00:31:36
Daudi akiwa na uhuru
mwingi wa kusema 00:31:38
00:31:38
angeweza kumwambia
hivi mwanawe: 00:31:40
00:31:40
“Uwe jasiri na imara00:31:42
00:31:42
na uanze kazi”!00:31:46
“Uwe Jasiri na Imara na Uanze Kazi”!
-
“Uwe Jasiri na Imara na Uanze Kazi”!
Yehova anathamini sana ujasiri
wa waabudu wake washikamanifu.
Ujasiri wa kweli huonekana
kupitia matendo,
kama ilivyo na
sifa nyingine nzuri.
Kwa mfano, “imani bila
matendo imekufa.”
Vivyo hivyo, upendo unapaswa
kuonyeshwa, si kwa maneno tu,
bali kama Biblia inavyosema,
“kwa tendo na kweli.”
Ndivyo ilivyo
na ujasiri.
Tunahitaji kumtegemea Yehova
ili kukabiliana
na hali ngumu,
lakini matendo yetu yanapaswa
kuonyesha tunamtegemea.
Kutochukua hatua,
kutofanya uamuzi,
au kuwa goigoi
ni ishara za
kukosa ujasiri.
Ujasiri unapaswa kutuchochea
tuzungumze na kutenda bila woga.
Naye Yehova
atabariki ujasiri wetu
na kutusaidia tufanikiwe.
Hilo linaonekana vizuri
kupitia simulizi la Biblia kumhusu Daudi.
Ilipohusu kufanya
mapenzi ya Yehova,
Daudi alionyesha
ujasiri kwa matendo.
Hata alipojikwaa
na kuteseka sana,
Daudi aliendelea kuwa mshikamanifu
kwa Yehova maisha yake yote.
Muda mfupi
kabla ya kufa,
Daudi alimkabidhi rasmi
mwanawe Sulemani
kazi ya kujenga
hekalu la Yehova.
Wazia jinsi
Sulemani alivyohisi
Daudi alipomkabidhi
ramani za ujenzi zilizoongozwa
na Yehova Mungu mwenyewe!
Bila shaka, Sulemani alihisi
kwamba kazi hiyo ni ngumu.
Lakini Daudi baba
yake alimwimarisha
kwa maneno yanayoweza
kutuimarisha leo
tunapokabili
hali ngumu.
Tunawakaribisha nyote,
kutia ndani watoto na vijana,
mfungue Biblia zenu
na tufuatane tunaposikiliza
simulizi lililo katika
1 Mambo ya Nyakati 28:1-20.
Nitawapa muda
wa kufungua.
1 Mambo ya Nyakati sura ya 28,
kuanzia mstari wa 1.
Kisha Daudi
akawakusanya Yerusalemu
wakuu wote wa Israeli:
wakuu wa makabila,
viongozi wa vikundi
vilivyomhudumia mfalme,
wakuu wa maelfu
na wakuu wa mamia,
wasimamizi wa mali
zote za mfalme
na mifugo yake
na wa wanawe,
pamoja na maofisa wa
makao ya mfalme
na kila mwanamume
hodari mwenye uwezo.
Halafu Mfalme Daudi
akasimama na kusema:
Nisikilizeni,
ndugu zangu
na watu wangu.
Moyo wangu ulitamani
kujenga nyumba ambamo
sanduku la agano
la Yehova lingekaa
na ambayo ingekuwa kiti cha
miguu cha Mungu wetu,
nami nilifanya
matayarisho ya kuijenga.
Lakini Mungu wa
kweli akaniambia,
‘Hutajenga nyumba
kwa ajili ya jina langu,
kwa maana wewe
ni mtu wa vita,
nawe umemwaga damu.’
Hata hivyo, Yehova
Mungu wa Israeli
alinichagua kutoka katika
nyumba yote ya baba yangu
niwe mfalme wa
Israeli milele,
kwa maana alimchagua
Yuda kuwa kiongozi
na kutoka katika
nyumba ya Yuda
aliichagua nyumba
ya baba yangu,
na kati ya wana
wa baba yangu
alinikubali mimi
niwe mfalme wa
Israeli yote.
Na kutoka kati ya
wanangu wote—
kwa maana Yehova
amenipa wana wengi—
alimchagua Sulemani
mwanangu
aketi kwenye kiti
cha ufalme wa Yehova
juu ya Israeli.
Akaniambia,
“Sulemani mwana wako
ndiye atakayeijenga
nyumba yangu
na nyua zangu,
kwa maana nimemchagua
yeye kuwa mwanangu,
nami nitakuwa
baba yake.
Nitauimarisha kabisa
ufalme wake milele
ikiwa atazishika kwa
dhati amri zangu
na sheria zangu,
kama anavyofanya sasa.”
Basi, nasema machoni pa
Waisraeli wote,
kutaniko la Yehova,
na masikioni mwa
Mungu wetu:
Shikeni kwa uangalifu
na mtafute amri zote
za Yehova Mungu wenu,
ili mwimiliki
nchi nzuri
na kuwaachia wana wenu kuwa
urithi wa kudumu baada yenu.
“Nawe, Sulemani mwanangu,
mjue Mungu wa baba yako
na kumtumikia
kwa moyo kamili
na kwa nafsi
yenye shangwe;
kwa maana Yehova
huichunguza kabisa
mioyo yote,
naye hutambua
kila mwelekeo wa fikira.
Ukimtafuta,
atakuruhusu umpate,
lakini ukimwacha,
atakukataa milele.
Ona kwamba Yehova
amekuchagua
wewe ujenge nyumba
ili iwe mahali
patakatifu.
Uwe jasiri, anza kazi.
Kisha Daudi akampa
Sulemani mwana wake
ramani ya ujenzi wa ukumbi
na ya nyumba zake,
maghala yake,
vyumba vyake vya darini,
vyumba vyake vya ndani,
na nyumba ya
kifuniko cha upatanisho.
Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa
kupitia mwongozo wa roho
kuhusu ujenzi wa nyua za
nyumba ya Yehova,
vyumba vyote vya
kulia chakula vilivyoizunguka,
hazina za nyumba
ya Mungu wa kweli,
na hazina za vitu vilivyofanywa
kuwa vitakatifu;
pia kuhusu vikundi vya
makuhani na Walawi,
kuhusu kazi zote za utumishi
wa nyumba ya Yehova,
na kuhusu vyombo vyote vya
utumishi wa nyumba ya Yehova;
pia kuhusu uzito
wa dhahabu,
dhahabu ya vyombo vyote
vya utumishi mbalimbali,
uzito wa vyombo
vyote vya fedha,
na vyombo vyote vya
utumishi mbalimbali;
pia uzito wa vinara
vya taa vya dhahabu
na taa zake za dhahabu,
uzito wa vinara mbalimbali
vya taa na taa zake,
na uzito wa vinara
vya taa vya fedha,
uzito wa kila kinara
cha taa na taa zake
kulingana na
matumizi yake;
pia kuhusu uzito
wa dhahabu za
meza za mikate
ya tabaka,
uzito wa kila meza,
na pia fedha kwa ajili ya
meza za fedha,
kuhusu nyuma,
mabakuli,
magudulia ya
dhahabu safi,
na uzito wa mabakuli
madogo ya dhahabu,
uzito wa kila
bakuli dogo,
na uzito wa mabakuli
madogo ya fedha,
uzito wa kila
bakuli dogo.
Pia alimpa uzito
wa dhahabu safi
kwa ajili ya madhabahu
ya uvumba
na kwa ajili ya mfano
wa lile gari,
yaani, wale makerubi wa dhahabu
walionyoosha mabawa yao
na kulifunika sanduku
la agano la Yehova.
Daudi akasema:
Mkono wa Yehova
ulikuwa juu yangu,
naye alinipa ufahamu
wa kuandika mambo yote
kuhusu ramani
hii ya ujenzi.
Kisha Daudi akamwambia
Sulemani mwanawe:
Uwe jasiri na imara
na uanze kazi.
Usiogope wala usihofu,
kwa maana
Yehova Mungu,
Mungu wangu,
yuko pamoja nawe.
Hatakuacha wala kukutupa,
lakini atakuwa
pamoja nawe
mpaka kazi yote ya utumishi wa
nyumba ya Yehova itakapokamilika.
Wazia kazi ya Sulemani!
Hakuagizwa tu kujenga nyumba
ya pekee kwa ajili ya ibada ya kweli
bali hekalu hilo lilipaswa kuwa
“na utukufu usio na kifani,”
umaarufu na umaridadi wake
ungejulikana “katika nchi zote.” ’
Ingawa hivyo,
Sulemani hakuwa na
uzoefu wa kujenga.
Daudi alifikiria hali ngumu
ambazo angekabili.
Isitoshe, Sulemani
angekabili upinzani
ndani na nje ya familia yake.
Kwa hiyo, Daudi alimhimiza
mwanawe awe mtiifu
na mshikamanifu
kwa Yehova.
Pia alimhimiza Sulemani
‘awe jasiri na imara
na aanze kazi.’
Sulemani angelemewa
na woga.
Akifikiria kwamba mgawo wake
ulikuwa mgumu sana,
huenda angeahirisha au
hata kuacha kazi hiyo.
Hilo lingemkasirisha
sana Yehova.
Basi, Daudi alirudia ushauri
huu: “Anza kazi.”
Daudi alielewa kwamba ujasiri
na kumtegemea Yehova
kunapaswa kuambatana
na matendo.
Alijua hivyo kutokana na
mambo aliyojionea.
Acheni tuchunguze baadhi ya
matukio katika maisha ya Daudi
yaliyohitaji ujasiri.
Tunaposoma masimulizi
haya, jiulize,
‘Je, Daudi aliahirisha
mambo,
alisitasita,
au kuogopa alipokabili
hali ngumu?’
Kwa mfano, fikiria
hali zilizokuwepo
Daudi alipotiwa mafuta
kuwa mfalme wa Israeli.
Bado Mfalme Sauli
alikuwa akitawala,
lakini Yehova
alikuwa amemkataa
Sauli kwa sababu ya kutotii.
Fuatana katika Biblia yako
tunaposikiliza maneno ya
1 Samweli 16:1-23. 1 Samweli 16:1-23.
Mwishowe Yehova
akamuuliza Samweli:
Kwa kuwa nimemkataa Sauli
asitawale akiwa mfalme wa Israeli,
utaendelea kumwombolezea
mpaka lini?
Jaza pembe
yako mafuta,
uende.
Nitakutuma kwa
Yese Mbethlehemu,
kwa sababu
nimejichagulia mfalme
kutoka miongoni
mwa wanawe.
Lakini Samweli
akasema:
Nitaendaje?
Sauli akisikia
habari hii,
ataniua.
Yehova akamwambia:
Nenda na ng’ombe
mchanga, useme,
“Nimekuja kumtolea
Yehova dhabihu.”
Mwalike Yese
kwenye dhabihu;
kisha nitakujulisha
utakalofanya.
Utamtia mafuta kwa ajili yangu
yule nitakayekuonyesha.
Samweli alifanya mambo
aliyoambiwa na Yehova.
Alipofika Bethlehemu,
wazee wa jiji walitetemeka
walipokutana naye,
wakamuuliza:
Je, umekuja
kwa amani?
Akajibu:
Nimekuja kwa amani.
Nimekuja kumtolea
Yehova dhabihu.
Jitakaseni, mje pamoja
nami kwenye dhabihu.
Kisha akamtakasa
Yese na wanawe,
halafu akawaalika
kwenye dhabihu.
Walipokuwa wakiingia,
Samweli alimwona Eliabu
na kusema:
Hakika mtiwa-mafuta wa Yehova
amesimama hapa mbele zake.
Lakini Yehova
akamwambia Samweli:
Usitazame sura yake
wala urefu wake,
kwa maana
nimemkataa.
Kwa kuwa Mungu haoni kama
mwanadamu anavyoona,
kwa maana mwanadamu huona
kinachoonekana kwa macho,
lakini Yehova huona
ndani ya moyo.
Kisha Yese akamwita
Abinadabu,
akampitisha mbele
ya Samweli,
lakini Samweli akasema:
Huyu pia Yehova
hajamchagua.
Kisha Yese akampitisha
Shamma,
lakini Samweli akasema:
Hata huyu
Yehova hajamchagua.
Basi Yese akawapitisha wanawe
saba mbele ya Samweli,
lakini Samweli
akamwambia Yese:
Yehova hajamchagua
yeyote kati ya hawa.
Mwishowe Samweli
akamuuliza Yese:
Je, hawa ndio
wana wako wote?
Akajibu:
Aliye mdogo zaidi
ameachwa mpaka sasa;
anawalisha kondoo.
Kisha Samweli
akamwambia Yese:
Mtume mtu akamwite,
kwa sababu hatutaketi
kula chakula
mpaka atakapokuja hapa.
Basi akamtuma
mtu amwite,
Yese akamleta ndani.
Kijana huyo
alikuwa mwekundu,
mwenye macho yanayovutia,
na mwenye sura nzuri.
Ndipo Yehova akasema:
Simama,
mtie mafuta,
kwa maana
huyu ndiye!
Basi Samweli akachukua
ile pembe ya mafuta
na kumtia mafuta
mbele ya ndugu zake.
Na roho ya Yehova ikaanza
kumtia nguvu Daudi
kuanzia siku hiyo
na kuendelea.
Baadaye
Samweli akainuka
na kwenda zake Rama.
Sasa roho ya Yehova
ilikuwa imemwacha Sauli,
na roho mbaya kutoka kwa
Yehova ilikuwa ikimtesa.
Watumishi wa Sauli
wakamwambia:
Unaona kwamba roho mbaya
kutoka kwa Mungu inakutesa.
Tafadhali, bwana wetu,
waamuru watumishi wako
walio mbele yako
wamtafute mtu mwenye
ustadi wa kupiga kinubi.
Wakati wowote roho mbaya
kutoka kwa Mungu inapokujia,
atapiga kinubi,
nawe utahisi vizuri.
Basi Sauli akawaambia
watumishi wake:
Tafadhali, nitafutieni mtu
anayepiga kinubi vizuri,
mumlete kwangu.
Mtumishi mmoja akasema:
Tazama!
Nimeona mwana fulani
wa Yese Mbethlehemu
anavyopiga kinubi kwa ustadi,
ni mtu jasiri na shujaa hodari.
Ana ustadi wa kuongea,
ana sura nzuri,
na Yehova yuko
pamoja naye.
Ndipo Sauli akawatuma wajumbe
kwa Yese na kumwambia:
Mtume mwana wako
Daudi aje kwangu,
yule anayechunga kondoo.
Basi Yese akapakia mikate,
kiriba cha ngozi
chenye divai,
na mwanambuzi
juu ya punda,
akamtuma Daudi mwana wake
kwa Sauli akiwa na vitu hivyo.
Kwa hiyo Daudi akafika kwa
Sauli na kuanza kumtumikia.
Sauli akampenda sana,
naye Daudi akawa
akimbebea silaha zake.
Sauli akamtumia
Yese ujumbe huu:
Tafadhali, mruhusu Daudi
aendelee kunitumikia,
kwa sababu amepata
kibali machoni pangu.
Wakati wowote roho mbaya
kutoka kwa Mungu ilipomjia Sauli,
Daudi alichukua
kinubi na kukipiga,
kisha Sauli alipata
kitulizo na kuhisi vizuri,
na roho hiyo
mbaya ilimwacha.
Je, unaweza
kuwazia kijana Daudi,
baba yake, na ndugu
zake wakiwa wamesimama
mbele ya nabii Samweli?
Kisha Yehova akamchagua
Daudi awe mfalme
na kumwagiza Samweli
amtie mafuta mvulana huyo.
Hata hivyo, Sauli
aliendelea kutawala,
akijulikana na wengi kuwa
mfalme halali wa Israeli.
Kwa kweli Daudi alihitaji
ujasiri wakati huo.
Sauli angetendaje baada
ya kujua kwamba
Daudi ametiwa
mafuta awe mfalme?
Bila shaka, Sauli angetafuta
njia ya kumuua.
Basi wazia jinsi
Daudi alivyohisi
alipoagizwa aende kwenye
nyumba ya Sauli ili kumhudumia!
Kwa kweli,
alikuwa na wasiwasi.
Namna gani sisi leo?
Huenda tukawa na wasiwasi
kwa sababu ya matatizo ya familia,
ugonjwa,
matatizo ya kifedha,
mateso,
au mwelekeo wetu
wenye dhambi.
Lakini hatupaswi kuruhusu
matatizo hayo yatulemee kiroho.
Tunapokabili matatizo hayo
tunapaswa kutafuta msaada
wa Yehova kupitia sala,
Neno lake, na kutaniko.
Mara nyingi,
tunaweza kupata njia
za kupunguza
matatizo hayo.
Hata matatizo yasipokwisha,
tunapaswa kufanya mapenzi
ya Yehova kwa bidii
kulingana na uwezo wetu,
hata tunapokabili matatizo.
Huo ni ujasiri wa kweli!
Daudi alipoitwa na Sauli,
hakulemewa na woga.
Alikuwa imara na jasiri,
na akaanza kazi!
Alikubali mgawo huo,
akijua kwamba Yehova
angempatia hekima
ili kutimiza mgawo wake.
Baadaye, Mfalme Sauli
alimpenda sana Daudi,
na Daudi akawa mtumishi
aliyembebea Sauli silaha.
Tafadhali tuambatane na
usomaji wa 1 Samweli 17:1-51.
Ni sura inayofuata—
1 Samweli sura ya 17,
kuanzia mstari wa 1.
Hii ni hadithi yenye kusisimua
ya Daudi na Goliathi.
Simulizi hilo linaonyesha jinsi
Daudi alivyotenda kwa hekima
na kuonyesha ujasiri.
Sasa Wafilisti wakakusanya
majeshi yao kwa ajili ya vita.
Walikusanyika huko Soko,
jiji la Yuda, wakapiga kambi
kati ya Soko na Azeka,
kule Efes-damimu.
Sauli na wanaume wa
Israeli wakakusanyika
na kupiga kambi
katika Bonde la Ela,
nao wakajipanga kivita
ili kupigana na Wafilisti.
Wafilisti walikuwa upande
mmoja wa mlima,
na Waisraeli walikuwa
upande ule mwingine,
na bonde lilikuwa
katikati yao.
Kisha shujaa mmoja akatoka
katika kambi za Wafilisti;
aliitwa Goliathi,
kutoka Gathi,
alikuwa na urefu wa mikono
sita na shubiri moja.
Alikuwa na kofia ya
shaba kichwani,
naye alivaa koti la vita lenye
magamba yanayolaliana.
Koti hilo la vita la shaba
lilikuwa na uzito wa
shekeli 5,000.
Alikuwa na mabamba ya shaba
yaliyokinga miguu yake
na fumo la shaba lililoning’inia
katikati ya mabega yake.
Mpini wa mbao wa
mkuki wake
ulikuwa kama mti wa
wafumaji wa nguo,
na kichwa cha chuma
cha mkuki wake
kilikuwa na uzito
wa shekeli 600;
na mtu aliyembebea ngao
alitembea mbele yake.
Basi akasimama na kuviita
vikosi vya Israeli akisema:
Kwa nini mmekuja
kujipanga kivita?
Je, mimi si Mfilisti nanyi je,
si watumishi wa Sauli?
Jichagulieni mwanamume,
aje kupigana nami.
Akiweza kupigana
nami na kuniua,
tutakuwa watumishi wenu.
Lakini nikimshinda
na kumuua,
mtakuwa watumishi wetu,
nanyi mtatutumikia.
Kisha Mfilisti
huyo akasema:
Ninavitukana vikosi
vya Israeli leo.
Nipeni mwanamume,
nipigane naye!
Sauli na Waisraeli wote
waliposikia maneno
hayo ya Mfilisti huyo,
wakashikwa na hofu
na kuogopa sana.
Basi Daudi alikuwa
mwana wa Yese,
Mwefrathi kutoka mji wa
Bethlehemu wa Yuda,
ambaye alikuwa
na wana wanane
na ambaye katika siku za
Sauli alikuwa tayari amezeeka.
Wana watatu wakubwa
wa Yese walikuwa
wameenda na Sauli vitani.
Majina ya wana hao
watatu walioenda vitani ni
Eliabu mzaliwa
wake wa kwanza,
Abinadabu mwana
wake wa pili,
na Shamma mwana
wake wa tatu.
Daudi ndiye aliyekuwa
mdogo zaidi,
na wale watatu wakubwa
walikuwa wameenda pamoja na Sauli.
Daudi alikuwa akienda na
kurudi kutoka kwa Sauli
ili kuchunga kondoo wa
baba yake huko Bethlehemu.
Wakati huo, yule
Mfilisti alikuwa akija
na kuwadhihaki kila asubuhi
na kila jioni kwa siku 40.
Ndipo Yese akamwambia
Daudi mwana wake:
Tafadhali, chukua hii efa ya
nafaka iliyokaangwa
na mikate hii kumi,
uwapelekee haraka
ndugu zako kambini.
Nawe umpelekee
mkuu wa elfu
mafungu haya
kumi ya jibini;
pia, angalia ndugu
zako wanaendeleaje
na uniletee kitu
fulani kutoka kwao.
Walikuwa pamoja na Sauli na
wanaume wengine wote wa Israeli
katika Bonde la Ela,
wakipigana na Wafilisti.
Kwa hiyo Daudi akaamka
asubuhi na mapema
na kuwaacha kondoo
mikononi mwa mtu mwingine;
kisha akapakia vitu hivyo
na kwenda kama Yese
alivyokuwa amemwamuru.
Alipofika kambini,
jeshi lilikuwa likienda
kwenye uwanja wa vita
huku likipiga kelele za vita.
Waisraeli na Wafilisti
wakajipanga kivita
wakikabiliana
uso kwa uso.
Mara moja Daudi
akaiacha mizigo yake
mikononi mwa mtu
aliyetunza mizigo,
akakimbia kwenda
kwenye uwanja wa vita.
Alipofika, akaanza kuulizia
habari za ndugu zake.
Alipokuwa akizungumza nao,
akaja yule Mfilisti shujaa
aliyeitwa Goliathi,
kutoka Gathi.
Alitoka katika
vikosi vya Wafilisti,
akasema maneno yaleyale
aliyozoea kusema,
na Daudi akamsikia.
Wanaume wote wa Israeli
walipomwona mwanamume huyo,
wakaogopa sana
na kumkimbia.
Wanaume wa Israeli
walikuwa wakisema:
Je, mnamwona mwanamume
yule anayekuja?
Anakuja kuwatukana Waisraeli.
Mfalme atampa utajiri mwingi
mtu atakayemuua mwanamume huyo,
atampa pia binti
yake mwenyewe,
naye ataiondolea wajibu nyumba
ya baba yake katika Israeli.
Daudi akaanza kuwauliza
wanaume waliokuwa
wamesimama karibu naye:
Mtu atakayemuua
yule Mfilisti
na kuwaondolea Waisraeli
aibu atafanyiwa nini?
Kwani huyu Mfilisti
asiyetahiriwa ni nani
hata avitukane vikosi
vya Mungu aliye hai?
Basi watu hao
wakamwambia
maneno yaleyale
yaliyokuwa yamesemwa:
Hivi ndivyo atakavyofanyiwa
mwanamume atakayemuua.
Eliabu ndugu yake mkubwa
alipomsikia Daudi
akizungumza
na wanaume hao,
akamkasirikia Daudi
na kumwambia:
Kwa nini
umeshuka huku?
Na wale kondoo wachache
nyikani umemwachia nani?
Najua vizuri kimbelembele chako
na nia mbaya ya moyo wako;
umeshuka tu ili
kutazama vita.
Daudi akamwambia:
Sasa nimefanya nini?
Nilikuwa
nikiuliza swali tu!
Ndipo Daudi akamwacha,
akamgeukia mtu mwingine
na kumuuliza swali lilelile,
na watu wakamjibu
vilevile kama mwanzoni.
Watu wakasikia maneno
aliyosema Daudi,
wakamwambia Sauli.
Basi Sauli akaagiza aitwe.
Daudi akamwambia Sauli:
Mtu yeyote asife moyo
kwa sababu yake.
Mimi mtumishi wako nitaenda
kupigana na huyo Mfilisti.
Lakini Sauli
akamwambia Daudi:
Huwezi kwenda kupigana
na huyo Mfilisti,
kwa sababu wewe
ni mvulana tu,
naye amekuwa mwanajeshi
tangu alipokuwa kijana.
Ndipo Daudi
akamwambia Sauli:
Mimi mtumishi wako nimekuwa
nikichunga kondoo wa baba yangu,
na simba akaja,
na pia dubu,
na kila mmoja wao akamchukua
kondoo kutoka kundini.
Nilimfuata, nikamuua
na kumwokoa kondoo
kutoka kinywani mwake.
Aliporuka ili kunishambulia,
nilimkamata manyoya yake,
nikampiga, na kumuua.
Mimi mtumishi wako nilimuua
simba na dubu pia,
na huyu Mfilisti asiyetahiriwa
atakuwa kama mmoja wao,
kwa sababu amevitukana
vikosi vya Mungu aliye hai.
Kisha Daudi akasema:
Yehova, aliyeniokoa
kutoka katika makucha
ya simba na ya dubu,
ndiye atakayeniokoa kutoka
mikononi mwa Mfilisti huyo.
Ndipo Sauli
akamwambia Daudi:
Nenda, na Yehova
awe pamoja nawe.
Basi Sauli akamvisha
Daudi mavazi yake.
Akamvisha kofia
ya shaba kichwani,
halafu akamvisha
koti la vita.
Kisha Daudi akajifunga upanga
wake juu ya mavazi yake,
akajaribu kutembea
lakini akashindwa
kwa sababu
hakuwa ameyazoea.
Basi Daudi
akamwambia Sauli:
Siwezi kwenda nikiwa
nimevaa vitu hivi,
kwa maana sijavizoea.
Kwa hiyo Daudi akavivua.
Kisha akachukua
fimbo yake mkononi,
akajichagulia mawe
matano laini
kutoka katika
bonde la kijito,
akayaweka kwenye kifuko
ndani ya mfuko wake wa mchungaji,
na kombeo lilikuwa
mkononi mwake.
Naye akaanza kumkaribia
huyo Mfilisti.
Mfilisti huyo akaanza kumkaribia
Daudi zaidi na zaidi,
na mtu aliyembebea ngao
alikuwa mbele yake.
Mfilisti huyo alipotazama
na kumwona Daudi,
akaanza kumdhihaki
kwa dharau
kwa sababu alikuwa tu mvulana
mwekundu mwenye sura nzuri.
Basi Mfilisti huyo
akamuuliza Daudi:
Je, mimi ni mbwa hivi
kwamba unijie na vijiti?
Ndipo huyo Mfilisti akamlaani
Daudi kwa miungu yake.
Akamwambia Daudi:
Nikaribie tu,
nyama yako nitawapa
ndege wa angani
na wanyama
wa mwituni.
Daudi akamjibu
hivi huyo Mfilisti:
Unakuja kupigana nami kwa
upanga, mkuki, na fumo,
lakini mimi naja
kupigana nawe
kwa jina la Yehova
wa majeshi,
Mungu wa vikosi vya Israeli,
ambaye umemtukana.
Siku hii ya leo
Yehova atakutia wewe
mikononi mwangu,
nami nitakuua na
kukata kichwa chako;
na siku ya leo nitawapa
ndege wa angani
na wanyama
mwitu wa dunia
maiti za kambi ya Wafilisti;
na watu wote duniani
watajua kwamba kuna
Mungu katika Israeli.
Na watu wote
waliokusanyika hapa
watajua kwamba Yehova
haokoi kwa upanga
wala kwa mkuki,
kwa sababu vita
ni vya Yehova,
naye atawatia ninyi nyote
mikononi mwetu.
Basi Mfilisti huyo
akasimama,
akazidi kukaribia ili
akutane na Daudi,
lakini Daudi
akakimbia haraka
kuelekea kwenye uwanja wa vita
kukutana na Mfilisti huyo.
Daudi akautia mkono wake
ndani ya mfuko wake,
akachukua jiwe kutoka humo,
na kulirusha kwa kombeo.
Akampiga Mfilisti huyo
kwenye paji la uso,
na jiwe hilo likapenya
katika paji la uso wake,
akaanguka
chini kifudifudi.
Basi Daudi akamshinda Mfilisti
huyo kwa kombeo na jiwe;
alimpiga Mfilisti
huyo na kumuua,
ingawa Daudi hakuwa na
upanga mkononi mwake.
Daudi akaendelea kukimbia
na kusimama juu yake.
Kisha akaushika upanga
wa Mfilisti huyo
na kuuchomoa kutoka
katika ala yake,
akahakikisha
kwamba amekufa
kwa kumkata kichwa
kwa upanga huo.
Wafilisti walipoona kwamba
shujaa wao amekufa, wakakimbia.
Tunajifunza kuhusu ujasiri
kutokana na simulizi
la Daudi na Goliathi.
Pia tunajifunza kuhusu
kutumia hekima
na kuonyesha
imani kwa matendo.
Daudi alikuwa
akifanya kazi
baba yake alipomwambia
awapelekee ndugu zake
chakula vitani.
Kwa hiyo,
Daudi alitarajia kufanya
mambo mawili wakati uleule.
Angewatunzaje kondoo
wa familia yake
na wakati huohuo kuwapelekea
chakula ndugu zake
waliokuwa umbali wa
kilomita kadhaa?
Alitumia hekima.
Pia, alionyesha
kwamba alitegemeka.
Biblia inasema:
“Daudi akaamka
asubuhi na mapema
na kuwaacha kondoo
mikononi mwa mtu mwingine;
kisha akapakia vitu
hivyo na kwenda
kama Yese alivyokuwa
amemwamuru.”
Muda mfupi
baadaye,
alikabili hali
yenye kutia hofu.
Daudi alipokuwa
akiwatafuta ndugu zake
aliona jeshi la Israeli
likiwa limetishwa
na ukubwa wa Goliathi
na dhihaka zake.
Papo hapo,
Daudi alitenda
kwa ujasiri.
Aliuliza kwa nini
hakuna mtu
aliyekuwa amemuua
mtu huyo mwenye
kimbelembele
aliyemdhihaki Yehova.
Hata hivyo, Eliabu,
ndugu ya Daudi
alimkemea hadharani,
akatilia shaka nia yake,
akamwita mwenye
kimbelembele,
na akadai kwamba amewaacha
kondoo wa baba yake.
Hata hivyo, Daudi alijitolea
kupigana na Goliathi,
lakini mfalme
akampuuza.
Sauli alimwambia kwamba
hangeweza kumshinda Goliathi
kwa sababu Daudi
alikuwa “mvulana tu”!
Daudi alitendaje alipokabili
hali hizo zenye kuvunja moyo?
Alitenda kwa ujasiri.
Ujasiri huo ulimchochea kiroho
na kihisia ili aanze kazi.
Alikumbuka mambo ambayo
Yehova alimtendea zamani.
Daudi hakusahau kamwe
jinsi Yehova alivyomkomboa
kutoka kwa dubu na simba—
wanyama wenye mbio na
nguvu kuliko wanadamu.
Yehova hakumwokoa
tu Daudi
bali pia alimwezesha kuwaua
wanyama hao hatari.
Daudi angeweza kusema
hivi kwa uhakika:
“Yehova, aliyeniokoa
kutoka katika
makucha ya simba
na ya dubu,
ndiye atakayeniokoa kutoka
mikononi mwa Mfilisti huyo.”
Tunapokata tamaa au
kushuka moyo,
tunaweza kufaidika
kwa kutafakari
jinsi Yehova alivyotukomboa
tulipokabili matatizo
yaliyoonekana kuwa
makubwa sana, sivyo?
Daudi alikuwa jasiri
na akaanza kazi.
Alifanya maamuzi na
akapata matokeo mazuri.
Kwa mfano, Sauli alipompa Daudi
mavazi yake mazito ya vita,
Daudi alijaribu kuyavaa.
Lakini akatambua
kwamba angelemewa
kwa kuvaa kofia ya shaba,
koti la vita,
na kufunga upanga
juu ya vazi lake.
Basi, alifanyaje?
Kwa kweli,
alirahisisha mambo!
Aliuondoa mzigo huo.
Namna gani sisi?
Kwa miaka mingi,
huenda tumejaza maisha
yetu vitu tusivyohitaji
au shughuli
zisizo za lazima.
Vitu hivyo vinaweza
kutuathiri kiroho.
Ikiwa hali yako
iko hivyo,
kwa nini usianze kazi?
Orodhesha vitu vyako
na mazoea yako,
na uondoe vitu
visivyo vya lazima.
Tukirahisisha
maisha yetu,
itakuwa rahisi zaidi
kwa jicho letu
kukazia utumishi
kwa Yehova.
Kama sisi, Daudi
hakuwa mkamilifu.
Lakini matendo
yake ya ujasiri
yalimfanya awe na urafiki
wa karibu na Yehova.
Kwa hiyo, mwishoni mwa
maisha yake ya uaminifu,
Daudi akiwa na uhuru
mwingi wa kusema
angeweza kumwambia
hivi mwanawe:
“Uwe jasiri na imara
na uanze kazi”!
-