00:00:03
Watu wengi leo00:00:05
00:00:05
wanaamini kuna Mungu00:00:06
00:00:07
na wanataka kuwa na uhusiano00:00:08
00:00:08
mzuri pamoja naye.00:00:10
00:00:10
Lakini badala ya kujiunga na00:00:12
00:00:12
kikundi fulani cha kidini,00:00:13
00:00:13
wanaamua kumtafuta Mungu wenyewe.00:00:16
00:00:16
Kwa nini?00:00:17
00:00:19
Watu wengi wamekatishwa tamaa00:00:21
00:00:21
na ukatili wa kidini00:00:23
00:00:26
na unafiki wa viongozi wa kidini.00:00:29
00:00:34
Au wanahisi dini si muhimu leo.00:00:37
00:00:41
Je, ni lazima ujiunge na dini fulani00:00:44
00:00:44
ili umwabudu Mungu?00:00:46
00:00:47
Mungu ana maoni gani?00:00:49
00:00:49
Biblia inatueleza00:00:51
00:00:51
jinsi watumishi waaminifu wa kale00:00:53
00:00:53
walivyomwabudu Mungu,00:00:54
00:00:54
kama vile Abrahamu.00:00:56
00:00:56
Abrahamu alikuwa na00:00:58
00:00:58
uhusiano wa kibinafsi00:00:59
00:00:59
pamoja na Muumba wake;00:01:00
00:01:00
hata aliitwa ‘rafiki ya Mungu.’00:01:03
00:01:04
Aliishi kulingana na00:01:05
00:01:05
viwango vya Mungu00:01:06
00:01:06
na alifundisha familia yake00:01:07
00:01:07
kufanya hivyo.00:01:09
00:01:10
Kama tu watumishi wengine00:01:11
00:01:11
waaminifu katika Biblia,00:01:13
00:01:13
Abrahamu aliabudu pamoja na00:01:15
00:01:15
familia na watumishi wake00:01:16
00:01:16
wakiwa kikundi.00:01:17
00:01:18
Baadaye,00:01:19
00:01:19
Mungu aliwaagiza Waisraeli wa kale00:01:21
00:01:22
na Wakristo wa karne ya kwanza00:01:24
00:01:24
wamwabudu wakiwa kikundi.00:01:25
00:01:27
Walipokutana pamoja, 00:01:29
00:01:29
walisoma na kuzungumzia Maandiko,00:01:31
00:01:31
waliimba,00:01:32
00:01:32
na kusali pamoja.00:01:34
00:01:35
Waabudu wa Mungu waliabudu00:01:37
00:01:37
katika vikundi vilivyoitwa00:01:38
00:01:38
‘makutaniko.’00:01:39
00:01:41
Biblia inataja kuhusu makutaniko00:01:43
00:01:43
yaliyopatikana katika Bara la00:01:44
00:01:44
Asia Ndogo na Ulaya.00:01:46
00:01:47
Kwa kweli,00:01:48
00:01:48
mambo mengi katika Biblia00:01:49
00:01:49
hayangekuwa na maana00:01:51
00:01:51
ikiwa Mungu hangetuagiza00:01:52
00:01:52
tumwabudu tukiwa sehemu ya kutaniko.00:01:54
00:01:56
Kwa mfano,00:01:56
00:01:56
1 Wakorintho 1:10 inasema kwamba00:01:59
00:01:59
waabudu wake hawapaswi00:02:01
00:02:01
kuwa na mgawanyiko.00:02:02
00:02:02
Badala yake,00:02:03
00:02:04
wanapaswa kuungana00:02:05
00:02:05
na kuwa na upatano00:02:06
00:02:06
katika mambo ya kiroho.00:02:08
00:02:09
Ikiwa mtu anamwabudu Mungu00:02:11
00:02:11
akiwa peke yake,00:02:12
00:02:12
je, anaweza kutimiza kanuni hiyo?00:02:15
00:02:18
Biblia inaonyesha wazi kwamba00:02:20
00:02:20
Mungu anataka tumtumikie na tumsifu00:02:23
00:02:23
tukiwa sehemu ya00:02:24
00:02:24
kutaniko la watu wake.00:02:26
00:02:29
Anataka uungane na uabudu00:02:31
00:02:31
pamoja na watu wanaowajali00:02:32
00:02:32
wengine kikweli00:02:33
00:02:36
Na ambao kama wewe,00:02:38
00:02:38
wanataka kujifunza mengi zaidi00:02:40
00:02:40
kumhusu Mungu.00:02:41
00:02:44
Lakini huenda ukajiuliza,00:02:46
00:02:47
Ninawezaje kuipata00:02:48
00:02:48
dini ya kweli leo?00:02:49
00:02:53
Ili ujifunze kuhusu kile ambacho00:02:54
00:02:54
Biblia inasema kuhusu jambo00:02:56
00:02:56
hili na mengine mengi,00:02:57
00:02:58
tembelea jw.org.00:03:00
Je, Ni Lazima Ujiunge na Dini Fulani ili Umwabudu Mungu?
-
Je, Ni Lazima Ujiunge na Dini Fulani ili Umwabudu Mungu?
Watu wengi leo
wanaamini kuna Mungu
na wanataka kuwa na uhusiano
mzuri pamoja naye.
Lakini badala ya kujiunga na
kikundi fulani cha kidini,
wanaamua kumtafuta Mungu wenyewe.
Kwa nini?
Watu wengi wamekatishwa tamaa
na ukatili wa kidini
na unafiki wa viongozi wa kidini.
Au wanahisi dini si muhimu leo.
Je, ni lazima ujiunge na dini fulani
ili umwabudu Mungu?
Mungu ana maoni gani?
Biblia inatueleza
jinsi watumishi waaminifu wa kale
walivyomwabudu Mungu,
kama vile Abrahamu.
Abrahamu alikuwa na
uhusiano wa kibinafsi
pamoja na Muumba wake;
hata aliitwa ‘rafiki ya Mungu.’
Aliishi kulingana na
viwango vya Mungu
na alifundisha familia yake
kufanya hivyo.
Kama tu watumishi wengine
waaminifu katika Biblia,
Abrahamu aliabudu pamoja na
familia na watumishi wake
wakiwa kikundi.
Baadaye,
Mungu aliwaagiza Waisraeli wa kale
na Wakristo wa karne ya kwanza
wamwabudu wakiwa kikundi.
Walipokutana pamoja,
walisoma na kuzungumzia Maandiko,
waliimba,
na kusali pamoja.
Waabudu wa Mungu waliabudu
katika vikundi vilivyoitwa
‘makutaniko.’
Biblia inataja kuhusu makutaniko
yaliyopatikana katika Bara la
Asia Ndogo na Ulaya.
Kwa kweli,
mambo mengi katika Biblia
hayangekuwa na maana
ikiwa Mungu hangetuagiza
tumwabudu tukiwa sehemu ya kutaniko.
Kwa mfano,
1 Wakorintho 1:10 inasema kwamba
waabudu wake hawapaswi
kuwa na mgawanyiko.
Badala yake,
wanapaswa kuungana
na kuwa na upatano
katika mambo ya kiroho.
Ikiwa mtu anamwabudu Mungu
akiwa peke yake,
je, anaweza kutimiza kanuni hiyo?
Biblia inaonyesha wazi kwamba
Mungu anataka tumtumikie na tumsifu
tukiwa sehemu ya
kutaniko la watu wake.
Anataka uungane na uabudu
pamoja na watu wanaowajali
wengine kikweli
Na ambao kama wewe,
wanataka kujifunza mengi zaidi
kumhusu Mungu.
Lakini huenda ukajiuliza,
Ninawezaje kuipata
dini ya kweli leo?
Ili ujifunze kuhusu kile ambacho
Biblia inasema kuhusu jambo
hili na mengine mengi,
tembelea jw.org.
-