00:00:10
Watu wengi humwona Yesu00:00:11
00:00:11
kuwa mtu maarufu zaidi katika historia.00:00:14
00:00:16
Lakini je,00:00:17
00:00:17
yeye ndiye Mungu Mweza-Yote?00:00:19
00:00:20
Au alikuwa mtu mwema tu?00:00:22
00:00:23
Watu wengi walikutana00:00:25
00:00:25
moja kwa moja na Yesu,00:00:26
00:00:26
na baadhi ya masimulizi yao00:00:28
00:00:28
yanapatikana katika Biblia.00:00:30
00:00:30
Masimulizi hayo yanatufundisha00:00:32
00:00:32
Yesu alikuwa nani.00:00:33
00:00:35
Kwa mfano,00:00:35
00:00:35
kabla ya Yesu kuzaliwa,00:00:37
00:00:37
malaika alizungumza00:00:39
00:00:39
na mama yake kumhusu.00:00:40
00:00:40
Alimwambia hivi:00:00:42
00:00:42
“Huyo atakuwa mkuu00:00:43
00:00:43
naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi.”00:00:46
00:00:51
Yesu alipokuwa akibatizwa,00:00:53
00:00:53
Mungu mwenyewe alizungumza na00:00:55
00:00:55
kueleza Yesu alikuwa nani:00:00:57
00:00:57
“Huyu ni Mwanangu,00:00:59
00:00:59
mpendwa,00:01:00
00:01:00
ambaye nimemkubali.”00:01:01
00:01:06
Wafuasi wake waliamini nini?00:01:08
00:01:08
Walipoulizwa walifikiri Yesu ni nani,00:01:11
00:01:11
Petro alijibu hivi:00:01:13
00:01:13
“Wewe ndiye Kristo,00:01:15
00:01:16
Mwana wa Mungu aliye hai.”00:01:17
00:01:22
Maadui wa Yesu walisema nini?00:01:24
00:01:24
Wale waliotaka kumuua walisema hivi:00:01:26
00:01:27
“Sisi tuna sheria,00:01:28
00:01:29
na kulingana na sheria anapaswa kufa,00:01:31
00:01:31
kwa sababu alijifanya00:01:33
00:01:33
kuwa mwana wa Mungu.”00:01:34
00:01:37
Yesu mwenyewe alisema yeye ni nani,00:01:40
00:01:40
na alisema nini kuhusu00:01:41
00:01:41
uhusiano wake na Mungu?00:01:43
00:01:43
Aliwaambia wafuasi wake hivi:00:01:45
00:01:45
“Baba ni mkuu kuliko mimi.”00:01:48
00:01:51
Hata baada ya kufa na kufufuliwa,00:01:54
00:01:54
Yesu alisema hivi00:01:56
00:01:56
kuhusu wakati wake ujao:00:01:57
00:01:58
“Ninapanda kwenda kwa Baba yangu00:02:00
00:02:00
na Baba yenu00:02:01
00:02:01
na kwa Mungu wangu00:02:03
00:02:03
na Mungu wenu.”00:02:04
00:02:10
Biblia inaonyesha wazi00:02:11
00:02:11
kwamba Yesu00:02:12
00:02:12
na Mungu Mweza-Yote00:02:14
00:02:14
si mtu mmoja.00:02:15
00:02:18
Kwa kweli,00:02:19
00:02:19
Biblia inafundisha00:02:20
00:02:20
kwamba ingawa Yesu ni00:02:22
00:02:22
kiumbe wa roho mwenye nguvu00:02:23
00:02:23
anayeishi mbinguni,00:02:24
00:02:25
bado yeye hujitiisha kwa Mungu wake00:02:27
00:02:28
ambaye pia ni Baba yake.00:02:30
00:02:31
Hata hivyo,00:02:32
00:02:32
Mungu amempa Mwana wake00:02:33
00:02:33
mgawo wa pekee:00:02:35
00:02:35
Yesu atawasaidia wanadamu00:02:37
00:02:37
kupata uzima wa milele na furaha.00:02:39
00:02:40
Kama Mungu alivyokusudia awali00:02:42
00:02:43
Biblia inasema nini00:02:44
00:02:44
kingine kuhusu Yesu?00:02:46
00:02:47
Je, kweli Yesu alifanya miujiza?00:02:50
00:02:51
Kwa nini Yesu alikufa?00:02:53
00:02:54
Je, Yesu atarudi?00:02:55
00:02:58
Ili ujifunze mengi zaidi, 00:03:00
00:03:00
tafuta habari hizo kwenye jw.org®.00:03:03
00:03:03
Au jaza ombi lililo kwenye mtandao00:03:06
00:03:06
na mmoja wa00:03:07
00:03:07
Mashahidi wa Yehova atakutembelea00:03:09
00:03:09
wakati na mahali panapokufaa.00:03:12
Je, Yesu Kristo Ni Mungu?
-
Je, Yesu Kristo Ni Mungu?
Watu wengi humwona Yesu
kuwa mtu maarufu zaidi katika historia.
Lakini je,
yeye ndiye Mungu Mweza-Yote?
Au alikuwa mtu mwema tu?
Watu wengi walikutana
moja kwa moja na Yesu,
na baadhi ya masimulizi yao
yanapatikana katika Biblia.
Masimulizi hayo yanatufundisha
Yesu alikuwa nani.
Kwa mfano,
kabla ya Yesu kuzaliwa,
malaika alizungumza
na mama yake kumhusu.
Alimwambia hivi:
“Huyo atakuwa mkuu
naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi.”
Yesu alipokuwa akibatizwa,
Mungu mwenyewe alizungumza na
kueleza Yesu alikuwa nani:
“Huyu ni Mwanangu,
mpendwa,
ambaye nimemkubali.”
Wafuasi wake waliamini nini?
Walipoulizwa walifikiri Yesu ni nani,
Petro alijibu hivi:
“Wewe ndiye Kristo,
Mwana wa Mungu aliye hai.”
Maadui wa Yesu walisema nini?
Wale waliotaka kumuua walisema hivi:
“Sisi tuna sheria,
na kulingana na sheria anapaswa kufa,
kwa sababu alijifanya
kuwa mwana wa Mungu.”
Yesu mwenyewe alisema yeye ni nani,
na alisema nini kuhusu
uhusiano wake na Mungu?
Aliwaambia wafuasi wake hivi:
“Baba ni mkuu kuliko mimi.”
Hata baada ya kufa na kufufuliwa,
Yesu alisema hivi
kuhusu wakati wake ujao:
“Ninapanda kwenda kwa Baba yangu
na Baba yenu
na kwa Mungu wangu
na Mungu wenu.”
Biblia inaonyesha wazi
kwamba Yesu
na Mungu Mweza-Yote
si mtu mmoja.
Kwa kweli,
Biblia inafundisha
kwamba ingawa Yesu ni
kiumbe wa roho mwenye nguvu
anayeishi mbinguni,
bado yeye hujitiisha kwa Mungu wake
ambaye pia ni Baba yake.
Hata hivyo,
Mungu amempa Mwana wake
mgawo wa pekee:
Yesu atawasaidia wanadamu
kupata uzima wa milele na furaha.
Kama Mungu alivyokusudia awali
Biblia inasema nini
kingine kuhusu Yesu?
Je, kweli Yesu alifanya miujiza?
Kwa nini Yesu alikufa?
Je, Yesu atarudi?
Ili ujifunze mengi zaidi,
tafuta habari hizo kwenye jw.org®.
Au jaza ombi lililo kwenye mtandao
na mmoja wa
Mashahidi wa Yehova atakutembelea
wakati na mahali panapokufaa.
-