00:00:09
Tangu zamani00:00:10
00:00:11
Wanadamu wametaka kujihisi00:00:13
00:00:13
wako karibu na Mungu.00:00:15
00:00:15
Hiyo ni tamaa nzuri.00:00:17
00:00:18
Biblia inasema kwamba00:00:20
00:00:20
‘tukimtafuta Mungu’00:00:22
00:00:22
kwa kweli ‘tunaweza kumpata’00:00:25
00:00:25
na ‘kumkaribia.’00:00:26
00:00:27
Hata hivyo,00:00:28
00:00:28
Mungu hawezi kuonekana.00:00:30
00:00:30
Kwa hiyo, tutajihisije tuko karibu00:00:32
00:00:32
na Mungu ambaye hatuwezi kumwona.00:00:35
00:00:35
Je, ingefaa kuabudu00:00:37
00:00:37
vitu vilivyotengenezwa00:00:38
00:00:38
ili kujihisi tuko karibu na Mungu?00:00:40
00:00:41
Watu fulani hutumia sanamu katika ibada.00:00:44
00:00:44
Wengine hutumia picha,00:00:46
00:00:46
na mifano mingine ya kidini00:00:49
00:00:49
katika ibada yao.00:00:50
00:00:51
Lakini je, inawezekana kwamba00:00:53
00:00:53
wale ambao wanajaribu00:00:55
00:00:55
kumkaribia Mungu kwa njia hiyo00:00:57
00:00:57
wanasogea mbali zaidi naye?00:01:00
00:01:01
Fikiria kile ambacho Biblia inasema kilitokea00:01:04
00:01:04
wakati ambapo Waisraeli wa kale00:01:06
00:01:06
walitengeneza sanamu ya ndama00:01:08
00:01:08
na wakajaribu kuitumia kumwabudu Mungu00:01:11
00:01:11
kisha wakafanya sherehe na kuiita00:01:13
00:01:13
“sherehe kwa ajili ya Yehova”00:01:15
00:01:15
Mungu wa Biblia.00:01:17
00:01:17
Je, Mungu alikubali aina hiyo ya ibada?00:01:20
00:01:20
Hapana.00:01:22
00:01:22
Alisema kwamba alichukizwa00:01:24
00:01:24
na kile ambacho walikuwa wamefanya.00:01:26
00:01:26
Fikiria hili: 00:01:28
00:01:28
Badala ya kuwasaidia kumkaribia Mungu00:01:31
00:01:31
sanamu hiyo iliwasogeza mbali zaidi naye.00:01:34
00:01:37
Kwa kweli, tofauti na 00:01:38
00:01:38
watawala wengine wa kale ambao 00:01:39
00:01:39
mara nyingi walionwa kuwa miungu00:01:42
00:01:42
na ambao waliagiza00:01:44
00:01:44
sanamu zao zitengenezwe.00:01:45
00:01:45
Yule “Mfalme mkuu” juu ya wote00:01:48
00:01:48
Yehova Mungu00:01:49
00:01:49
aliwaambia watu wake wasitengeneze00:01:52
00:01:52
wala wasitumie sanamu katika ibada.00:01:54
00:01:55
Alisema:00:01:56
00:01:56
“Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa00:01:59
00:01:59
. . . Usiviinamie . . .00:02:01
00:02:01
mimi,00:02:02
00:02:02
. . . ni Mungu ninayetaka00:02:04
00:02:04
watu waniabudu mimi peke yangu.”00:02:06
00:02:06
Karne nyingi baadaye,00:02:09
00:02:09
amri hiyo pia ilitumika kwa wafuasi wa Yesu00:02:12
00:02:13
Mtume Yohana aliwaandikia00:02:14
00:02:14
Wakristo wa mapema akisema:00:02:17
00:02:17
“Jiepusheni na sanamu.”00:02:19
00:02:25
Mungu anaeleza kwa nini00:02:27
00:02:27
hakuna anayepaswa00:02:28
00:02:28
kutumia sanamu kumwabudu.00:02:30
00:02:30
“Simpi yeyote utukufu wangu,00:02:33
00:02:33
wala kuzipa sanamu00:02:35
00:02:35
za kuchongwa sifa yangu.”00:02:37
00:02:41
Anawaalika watu wamkaribie yeye kibinafsi00:02:45
00:02:45
na wasali kwake moja kwa moja00:02:48
00:02:48
bila kutumia sanamu.00:02:49
00:02:51
Je, kweli ni vibaya kutumia 00:02:53
00:02:53
sanamu, picha, au mifano00:02:56
00:02:56
kama njia ya kutusaidia tu katika ibada?00:02:59
00:02:59
Tunawezaje kujihisi karibu na Mungu00:03:01
00:03:01
ikiwa hatuwezi kumwona?00:03:03
00:03:05
Ili ujifunze mengi zaidi00:03:07
00:03:07
tafuta habari hizi kwenye jw.org00:03:10
00:03:10
au ujaze ombi kwenye mtandao00:03:12
00:03:12
na mmoja wa Mashahidi wa Yehova00:03:14
00:03:14
atakutembelea00:03:15
00:03:15
wakati na mahali panapokufaa.00:03:18
Je, Mungu Anakubali Sanamu Zitumiwe Katika Ibada?
-
Je, Mungu Anakubali Sanamu Zitumiwe Katika Ibada?
Tangu zamani
Wanadamu wametaka kujihisi
wako karibu na Mungu.
Hiyo ni tamaa nzuri.
Biblia inasema kwamba
‘tukimtafuta Mungu’
kwa kweli ‘tunaweza kumpata’
na ‘kumkaribia.’
Hata hivyo,
Mungu hawezi kuonekana.
Kwa hiyo, tutajihisije tuko karibu
na Mungu ambaye hatuwezi kumwona.
Je, ingefaa kuabudu
vitu vilivyotengenezwa
ili kujihisi tuko karibu na Mungu?
Watu fulani hutumia sanamu katika ibada.
Wengine hutumia picha,
na mifano mingine ya kidini
katika ibada yao.
Lakini je, inawezekana kwamba
wale ambao wanajaribu
kumkaribia Mungu kwa njia hiyo
wanasogea mbali zaidi naye?
Fikiria kile ambacho Biblia inasema kilitokea
wakati ambapo Waisraeli wa kale
walitengeneza sanamu ya ndama
na wakajaribu kuitumia kumwabudu Mungu
kisha wakafanya sherehe na kuiita
“sherehe kwa ajili ya Yehova”
Mungu wa Biblia.
Je, Mungu alikubali aina hiyo ya ibada?
Hapana.
Alisema kwamba alichukizwa
na kile ambacho walikuwa wamefanya.
Fikiria hili:
Badala ya kuwasaidia kumkaribia Mungu
sanamu hiyo iliwasogeza mbali zaidi naye.
Kwa kweli, tofauti na
watawala wengine wa kale ambao
mara nyingi walionwa kuwa miungu
na ambao waliagiza
sanamu zao zitengenezwe.
Yule “Mfalme mkuu” juu ya wote
Yehova Mungu
aliwaambia watu wake wasitengeneze
wala wasitumie sanamu katika ibada.
Alisema:
“Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa
. . . Usiviinamie . . .
mimi,
. . . ni Mungu ninayetaka
watu waniabudu mimi peke yangu.”
Karne nyingi baadaye,
amri hiyo pia ilitumika kwa wafuasi wa Yesu
Mtume Yohana aliwaandikia
Wakristo wa mapema akisema:
“Jiepusheni na sanamu.”
Mungu anaeleza kwa nini
hakuna anayepaswa
kutumia sanamu kumwabudu.
“Simpi yeyote utukufu wangu,
wala kuzipa sanamu
za kuchongwa sifa yangu.”
Anawaalika watu wamkaribie yeye kibinafsi
na wasali kwake moja kwa moja
bila kutumia sanamu.
Je, kweli ni vibaya kutumia
sanamu, picha, au mifano
kama njia ya kutusaidia tu katika ibada?
Tunawezaje kujihisi karibu na Mungu
ikiwa hatuwezi kumwona?
Ili ujifunze mengi zaidi
tafuta habari hizi kwenye jw.org
au ujaze ombi kwenye mtandao
na mmoja wa Mashahidi wa Yehova
atakutembelea
wakati na mahali panapokufaa.
-