00:00:04
Dini nyingi zinafundisha kwamba
Mungu huwatupa waovu00:00:08
00:00:08
katika moto wa mateso baada ya kufa00:00:10
00:00:10
zikitarajia kwamba hofu ya kuteketezwa00:00:13
00:00:13
itawazuia watu kutenda mabaya.00:00:16
00:00:16
Je, kweli Mungu huwaadhibu watu
baada ya wao kufa?00:00:20
00:00:33
Biblia inatuhakikishia kwamba
wafu hawana fahamu00:00:37
00:00:37
na hawajui jambo lolote kamwe.00:00:40
00:00:40
Ikiwa wafu hawana fahamu00:00:42
00:00:42
hawawezi kuteseka.00:00:44
00:00:45
Je, hilo linamaanisha Mungu
hawaadhibu waovu kamwe?00:00:49
00:00:49
Hapana.00:00:50
00:00:51
Mungu aliwaeleza wazazi wetu wa kwanza00:00:54
00:00:54
jinsi ambavyo wangeadhibiwa
ikiwa wangemwasi.00:00:57
00:01:01
Lakini Mungu hakusema chochote
kuhusu moto wa mateso.00:01:05
00:01:05
Alimwambia Adamu00:01:07
00:01:07
“hakika utakufa.”00:01:10
00:01:10
Baada ya kufukuzwa kutoka
kwenye bustani ya Edeni,00:01:13
00:01:13
hilo ndilo jambo lililowapata Adamu
na Hawa waliokuwa waovu.00:01:17
00:01:18
Walikufa wakawa mavumbi.00:01:21
00:01:21
Biblia inaonyesha kwamba mtu anapokufa00:01:23
00:01:23
hawajibiki tena kwa ajili ya makosa
aliyofanya alipokuwa hai00:01:27
00:01:27
kwa sababu “yule ambaye amekufa00:01:29
00:01:29
ameondolewa hatia ya dhambi yake.”00:01:32
00:01:32
Lakini kuna sababu nyingine muhimu zaidi00:01:35
00:01:35
kwa nini moto wa mateso
hauwezi hata kuwepo.00:01:37
00:01:38
Biblia inatuambia:00:01:40
00:01:40
“Mungu ni upendo.”00:01:42
00:01:43
Je, Mungu mwenye upendo anaweza
kuamuru waovu wateswe,00:01:47
00:01:48
si kwa dakika chache00:01:49
00:01:49
bali milele na milele?00:01:51
00:01:53
Fikiria jambo hili:00:01:55
00:01:55
katika nyakati za Biblia00:01:57
00:01:57
Mungu alishutumu zoea la
kuwadhabihu watoto katika moto00:02:01
00:02:01
kwa ajili ya miungu ya uwongo.00:02:03
00:02:04
Alisema kwamba tendo la ukatili kama hilo00:02:08
00:02:08
hata halikuingia moyoni mwake.00:02:11
00:02:12
Sisi tunachukia wazo lenye ukatili kama hilo00:02:15
00:02:15
kwa sababu tumeumbwa00:02:16
00:02:16
kwa mfano wa Mungu00:02:18
00:02:18
mwenye upendo na mwenye rehema.00:02:20
00:02:20
Ni wazi kwamba hatuhitaji
kuwa na wasiwasi00:02:23
00:02:23
kwamba wapendwa wetu waliokufa00:02:25
00:02:25
huenda wakawa wanateswa mahali fulani.00:02:28
00:02:28
Bilia inatuambia kwamba00:02:30
00:02:30
wamepumzika.00:02:32
00:02:34
Lakini kwa nini watu wema wanakufa?00:02:37
00:02:38
Wanapatwa na nini wanapokufa?00:02:40
00:02:41
Kuna tumaini gani kwa
wapendwa wetu waliokufa?00:02:45
00:02:46
Ili ujifunze mengi zaidi00:02:48
00:02:48
tembelea tovuti ya jw.org00:02:51
00:02:51
na utafute habari hizo00:02:53
00:02:53
au ujaze ombi kwenye mtandao00:02:56
00:02:56
na mmoja wa Mashahidi wa Yehova
atawasiliana nawe.00:02:58
Je, Watu Watateswa Katika Moto wa Mateso?
-
Je, Watu Watateswa Katika Moto wa Mateso?
Dini nyingi zinafundisha kwamba
Mungu huwatupa waovu
katika moto wa mateso baada ya kufa
zikitarajia kwamba hofu ya kuteketezwa
itawazuia watu kutenda mabaya.
Je, kweli Mungu huwaadhibu watu
baada ya wao kufa?
Biblia inatuhakikishia kwamba
wafu hawana fahamu
na hawajui jambo lolote kamwe.
Ikiwa wafu hawana fahamu
hawawezi kuteseka.
Je, hilo linamaanisha Mungu
hawaadhibu waovu kamwe?
Hapana.
Mungu aliwaeleza wazazi wetu wa kwanza
jinsi ambavyo wangeadhibiwa
ikiwa wangemwasi.
Lakini Mungu hakusema chochote
kuhusu moto wa mateso.
Alimwambia Adamu
“hakika utakufa.”
Baada ya kufukuzwa kutoka
kwenye bustani ya Edeni,
hilo ndilo jambo lililowapata Adamu
na Hawa waliokuwa waovu.
Walikufa wakawa mavumbi.
Biblia inaonyesha kwamba mtu anapokufa
hawajibiki tena kwa ajili ya makosa
aliyofanya alipokuwa hai
kwa sababu “yule ambaye amekufa
ameondolewa hatia ya dhambi yake.”
Lakini kuna sababu nyingine muhimu zaidi
kwa nini moto wa mateso
hauwezi hata kuwepo.
Biblia inatuambia:
“Mungu ni upendo.”
Je, Mungu mwenye upendo anaweza
kuamuru waovu wateswe,
si kwa dakika chache
bali milele na milele?
Fikiria jambo hili:
katika nyakati za Biblia
Mungu alishutumu zoea la
kuwadhabihu watoto katika moto
kwa ajili ya miungu ya uwongo.
Alisema kwamba tendo la ukatili kama hilo
hata halikuingia moyoni mwake.
Sisi tunachukia wazo lenye ukatili kama hilo
kwa sababu tumeumbwa
kwa mfano wa Mungu
mwenye upendo na mwenye rehema.
Ni wazi kwamba hatuhitaji
kuwa na wasiwasi
kwamba wapendwa wetu waliokufa
huenda wakawa wanateswa mahali fulani.
Bilia inatuambia kwamba
wamepumzika.
Lakini kwa nini watu wema wanakufa?
Wanapatwa na nini wanapokufa?
Kuna tumaini gani kwa
wapendwa wetu waliokufa?
Ili ujifunze mengi zaidi
tembelea tovuti ya jw.org
na utafute habari hizo
au ujaze ombi kwenye mtandao
na mmoja wa Mashahidi wa Yehova
atawasiliana nawe.
-