00:00:05
Maisha yetu tukiwa wanadamu00:00:07
00:00:07
mambo tunayofanya,00:00:08
00:00:09
mambo tunayokabili, na hisia zetu00:00:11
00:00:12
hutukia hapa00:00:13
00:00:13
kwenye sehemu ndogo sana ya ulimwengu.00:00:16
00:00:20
Kadiri tunavyojifunza,00:00:22
00:00:22
ndivyo tunavyostaajabishwa na dunia00:00:24
00:00:24
na sehemu yetu katika dunia hiyo.00:00:26
00:00:27
Je, maisha yana kusudi?00:00:29
00:00:33
Uhai ulitoka wapi?00:00:35
00:00:37
Kwa nini tuko hapa?00:00:39
00:00:41
Tunaweza kupata maana00:00:42
00:00:42
kupitia jinsi tunavyoamua kutumia maisha yetu00:00:45
00:00:47
kuwa tofauti na ulimwengu00:00:49
00:00:52
au kujitafutia usalama wa kimwili wa wakati ujao00:00:55
00:00:56
na tunaweza kutumia maisha yetu00:00:58
00:00:58
kusitawisha uhusiano wa karibu00:01:00
00:01:00
pamoja na familia na marafiki.00:01:02
00:01:04
Lakini unafikiri vitu hivyo00:01:06
00:01:06
vinaweza kutupatia kusudi la kudumu maishani?00:01:08
00:01:11
Kwa kawaida00:01:12
00:01:12
mambo tuliyotazamia kuyatimiza,00:01:14
00:01:15
hukoma tunapokufa00:01:16
00:01:17
na watu hukumbuka00:01:18
00:01:18
sisi tulikuwa watu wa aina gani00:01:20
00:01:20
na mambo tuliyofanya.00:01:22
00:01:25
Tunaweza kufanya nini00:01:27
00:01:27
ili kupata shangwe ya kudumu00:01:29
00:01:30
na kusudi maishani?00:01:31
00:01:34
Biblia inasema kwamba00:01:36
00:01:36
tumeumbwa tukiwa na uhitaji wa kiroho,00:01:38
00:01:39
kama tu tunavyohitaji chakula.00:01:42
00:01:44
Ikiwa hatutatosheleza uhitaji wetu wa kiroho,00:01:47
00:01:47
hatutaweza kupata furaha ya kweli.00:01:50
00:01:52
Mungu anatukaribisha tujifunze kumhusu,00:01:55
00:01:55
na kupitia Neno lake Biblia,00:01:57
00:01:58
tujifunze jinsi tunavyoweza kufanikiwa maishani.00:02:01
00:02:01
Anasema:00:02:03
00:02:03
“Mimi Yehova, ni Mungu wako,00:02:06
00:02:07
ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,00:02:10
00:02:10
ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.00:02:14
00:02:15
Laiti ungesikiliza amri zangu!00:02:19
00:02:20
Ndipo amani yako00:02:22
00:02:23
ingekuwa kama mto00:02:25
00:02:26
na uadilifu wako00:02:28
00:02:28
kama mawimbi ya bahari.”00:02:30
00:02:35
Kumwabudu Mungu00:02:37
00:02:37
na kunufaika kutokana na mwongozo wake00:02:40
00:02:40
ndilo kusudi bora maishani,00:02:43
00:02:45
na anataka tuishi milele.00:02:48
00:02:50
Kukubali ukweli huo00:02:52
00:02:52
kutatusaidia tuwe na maisha yeye kusudi00:02:55
00:02:56
sasa na milele.00:02:58
00:03:01
Kujifunza kuhusu kile00:03:02
00:03:02
ambacho Biblia inasema kuhusu hilo00:03:05
00:03:05
na habari nyingine nyingi,00:03:07
00:03:08
tembelea jw.org.00:03:10
Maisha Yana Kusudi Gani?
-
Maisha Yana Kusudi Gani?
Maisha yetu tukiwa wanadamu
mambo tunayofanya,
mambo tunayokabili, na hisia zetu
hutukia hapa
kwenye sehemu ndogo sana ya ulimwengu.
Kadiri tunavyojifunza,
ndivyo tunavyostaajabishwa na dunia
na sehemu yetu katika dunia hiyo.
Je, maisha yana kusudi?
Uhai ulitoka wapi?
Kwa nini tuko hapa?
Tunaweza kupata maana
kupitia jinsi tunavyoamua kutumia maisha yetu
kuwa tofauti na ulimwengu
au kujitafutia usalama wa kimwili wa wakati ujao
na tunaweza kutumia maisha yetu
kusitawisha uhusiano wa karibu
pamoja na familia na marafiki.
Lakini unafikiri vitu hivyo
vinaweza kutupatia kusudi la kudumu maishani?
Kwa kawaida
mambo tuliyotazamia kuyatimiza,
hukoma tunapokufa
na watu hukumbuka
sisi tulikuwa watu wa aina gani
na mambo tuliyofanya.
Tunaweza kufanya nini
ili kupata shangwe ya kudumu
na kusudi maishani?
Biblia inasema kwamba
tumeumbwa tukiwa na uhitaji wa kiroho,
kama tu tunavyohitaji chakula.
Ikiwa hatutatosheleza uhitaji wetu wa kiroho,
hatutaweza kupata furaha ya kweli.
Mungu anatukaribisha tujifunze kumhusu,
na kupitia Neno lake Biblia,
tujifunze jinsi tunavyoweza kufanikiwa maishani.
Anasema:
“Mimi Yehova, ni Mungu wako,
ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,
ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.
Laiti ungesikiliza amri zangu!
Ndipo amani yako
ingekuwa kama mto
na uadilifu wako
kama mawimbi ya bahari.”
Kumwabudu Mungu
na kunufaika kutokana na mwongozo wake
ndilo kusudi bora maishani,
na anataka tuishi milele.
Kukubali ukweli huo
kutatusaidia tuwe na maisha yeye kusudi
sasa na milele.
Kujifunza kuhusu kile
ambacho Biblia inasema kuhusu hilo
na habari nyingine nyingi,
tembelea jw.org.
-