00:00:02
“Mtumikieni Yehova kwa kushangilia,”00:00:04
00:00:04
inasema Zaburi ya 100:2.00:00:07
00:00:07
Naam Yehova anataka00:00:08
00:00:08
tuwe wenye shangwe.00:00:10
00:00:10
Naye ametupa sababu00:00:11
00:00:11
nyingi za kushangilia.00:00:12
00:00:12
Alitupatia uhai00:00:14
00:00:14
ambao una sababu nyingi00:00:15
00:00:15
zinazotufanya tuwe na shangwe.00:00:17
00:00:17
Alitupatia Biblia00:00:18
00:00:18
inayotufundisha00:00:19
00:00:19
jinsi ya kufurahia maisha.00:00:21
00:00:21
Na anatuelekeza kwa njia nyingi00:00:23
00:00:23
zinazotuletea shangwe.00:00:25
00:00:26
Kweli, Yehova ni Mungu00:00:27
00:00:27
anayewapa watu shangwe.00:00:29
00:00:30
Hata hivyo,00:00:31
00:00:31
Shetani hataki tupate00:00:33
00:00:33
shangwe kwa kumtumikia Yehova.00:00:35
00:00:35
Kwa nini?00:00:36
00:00:37
Kwa sababu, kwanza00:00:38
00:00:38
anajua shangwe inatusaidia00:00:40
00:00:40
kuendelea kuhubiri na kufundisha00:00:42
00:00:42
na hiyo ndiyo kazi00:00:43
00:00:43
anayotaka kukomesha.00:00:45
00:00:46
Kwa hiyo, anajaribu00:00:46
00:00:46
kuharibu shangwe yetu,00:00:48
00:00:48
iwe ni kupitia marufuku00:00:50
00:00:50
kutoka kwa serikali00:00:51
00:00:51
au upinzani kutoka kwa familia00:00:53
00:00:53
au jamii yetu.00:00:55
00:00:55
Pia Shetani anataka00:00:56
00:00:56
tupunguze utumishi wetu00:00:58
00:00:58
kwa Yehova ili kutafuta00:00:59
00:00:59
vitu vya kimwili00:01:01
00:01:01
ambavyo si vya lazima.00:01:02
00:01:03
Anataka tufikiri kwamba00:01:05
00:01:05
kupata vitu vingi zaidi vya kimwili00:01:07
00:01:07
kutatuletea shangwe ya kudumu.00:01:09
00:01:09
Lakini haviwezi kutuletea shangwe.00:01:12
00:01:13
Mbinu hizo za Shetani si mpya.00:01:15
00:01:16
Tutakaposoma sehemu za00:01:17
00:01:17
vitabu vya Ezra,00:01:19
00:01:19
Hagai,00:01:20
00:01:20
na Zekaria,00:01:22
00:01:22
tafuta masomo00:01:23
00:01:23
yanayoweza kutusaidia00:01:24
00:01:24
‘kumtumikia Yehova00:01:26
00:01:26
kwa kushangilia’ leo.00:01:28
00:01:28
Jaribu kutafuta00:01:30
00:01:30
ni mambo gani yaliyowaletea00:01:32
00:01:32
watu wa Yehova shangwe,00:01:34
00:01:34
na ni mambo gani00:01:35
00:01:35
yaliyowanyima shangwe.00:01:37
00:01:37
Na ufikirie ni kwa nini00:01:39
00:01:39
tunaweza kupata00:01:40
00:01:40
“shangwe ya Yehova” leo,00:01:42
00:01:42
na jinsi ya kuipata,00:01:44
00:01:44
hata chini ya hali ngumu.00:01:45
00:01:54
Ezra,00:01:55
00:01:55
kuhani na mwandishi wa00:01:56
00:01:56
Sheria ya Musa,00:01:57
00:01:57
ndiye aliyeandika kitabu00:01:58
00:01:58
kinachoitwa kwa jina lake.00:02:00
00:02:00
Ambacho kinaendelea00:02:01
00:02:01
kuzungumzia historia ya taifa la Israeli00:02:03
00:02:03
baada ya matukio00:02:04
00:02:04
tunayosoma kwenye Mambo ya
Nyakati cha pili.00:02:07
00:02:07
Huenda Ezra00:02:08
00:02:08
ndiye aliyeandika kitabu hicho.00:02:09
00:02:10
Ni mwaka wa 537 K.W.K.,00:02:14
00:02:14
na Wayahudi wengi wako00:02:15
00:02:15
karibu kurudi Yuda.00:02:17
00:02:17
Taifa hilo limekuwa utekwani00:02:19
00:02:19
Babiloni kwa miaka 7000:02:21
00:02:21
kwa sababu ya ibada ya sanamu.00:02:23
00:02:23
Wamejifunza somo muhimu,00:02:26
00:02:27
na hakuna wakati ambapo taifa lote00:02:29
00:02:29
linarudia ibada ya sanamu tena.00:02:32
00:02:32
Sasa wakati umefika00:02:35
00:02:35
wa kurudisha ibada safi00:02:37
00:02:37
Yerusalemu.00:02:39
00:02:39
Simulizi hilo linazungumzia00:02:41
00:02:41
mambo yaliyotokea wakati wa00:02:42
00:02:42
wafalme kadhaa wa Uajemi,00:02:44
00:02:44
kuanzia na Mfalme Koreshi,00:02:46
00:02:46
na linaanza kwa matukio yenye shangwe.00:02:49
00:02:49
Tafadhali fungua Ezra 1:1 hadi 6,00:02:52
00:02:52
tusome pamoja.00:02:54
00:02:55
Katika mwaka wa kwanza00:02:56
00:02:56
wa utawala wa Mfalme Koreshi00:02:57
00:02:57
wa Uajemi,00:02:58
00:02:59
ili neno la Yehova00:03:00
00:03:00
lililosemwa na Yeremia litimie,00:03:02
00:03:02
Yehova aliichochea00:03:03
00:03:03
roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi00:03:05
00:03:05
atoe tangazo katika ufalme wake wote,00:03:08
00:03:08
ambalo pia aliliandika,00:03:10
00:03:10
akisema:00:03:11
00:03:11
Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi:00:03:14
00:03:15
‘Yehova Mungu wa mbinguni00:03:16
00:03:16
amenipa falme zote za dunia,00:03:18
00:03:18
naye ameniagiza nimjengee00:03:20
00:03:20
nyumba Yerusalemu,00:03:21
00:03:21
nchini Yuda.00:03:22
00:03:23
Yeyote miongoni mwenu,00:03:25
00:03:25
ninyi watu wake wote,00:03:27
00:03:27
Mungu wake na awe pamoja naye,00:03:29
00:03:30
na apande kwenda Yerusalemu,00:03:32
00:03:32
kule Yuda,00:03:33
00:03:33
na kuijenga upya00:03:34
00:03:34
nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli00:03:36
00:03:37
yeye ndiye Mungu wa kweli00:03:39
00:03:39
ambaye nyumba yake00:03:40
00:03:40
ilikuwa Yerusalemu.00:03:42
00:03:43
Na mkaaji mgeni yeyote,00:03:45
00:03:45
popote alipo,00:03:46
00:03:47
majirani zake wamsaidie00:03:48
00:03:48
kwa kumpa fedha na dhahabu,00:03:50
00:03:50
mali na wanyama wa kufugwa,00:03:53
00:03:53
pamoja na toleo la hiari00:03:54
00:03:54
kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli,00:03:57
00:03:57
iliyokuwa Yerusalemu.”00:03:59
00:04:01
Ndipo viongozi wa ukoo wa Yuda00:04:03
00:04:03
na Benjamini00:04:04
00:04:04
na makuhani00:04:05
00:04:05
na Walawi00:04:07
00:04:07
kila mmoja ambaye roho yake00:04:08
00:04:08
ilichochewa na Mungu wa kweli00:04:10
00:04:10
wakajitayarisha kupanda00:04:11
00:04:11
kwenda kujenga upya nyumba ya Yehova,00:04:13
00:04:13
iliyokuwa Yerusalemu.00:04:15
00:04:16
Wale wote waliowazunguka00:04:17
00:04:17
wakawasaidia kwa kuwapa00:04:19
00:04:19
vyombo vya fedha00:04:20
00:04:20
na dhahabu,00:04:20
00:04:21
mali,00:04:21
00:04:22
wanyama wa kufugwa,00:04:23
00:04:23
na vitu vyenye thamani,00:04:25
00:04:25
mbali na matoleo yote ya hiari.00:04:27
00:04:28
Hebu wazia!00:04:30
00:04:30
Yehova anawarudisha00:04:31
00:04:31
Wayahudi katika nchi yao00:04:33
00:04:33
wakiwa na agizo kutoka kwa00:04:35
00:04:35
Mfalme Koreshi mwenyewe00:04:37
00:04:37
la kujenga upya hekalu.00:04:39
00:04:39
Wayahudi wengi wanakubali00:04:40
00:04:40
kwa shangwe mgawo huo.00:04:42
00:04:42
Hata hivyo,00:04:43
00:04:43
wale ambao hawangeweza kurudi00:04:45
00:04:45
wanatoa msaada wa kifedha00:04:47
00:04:47
kwa wale ambao wangeweza.00:04:48
00:04:49
Huenda mapema katika00:04:50
00:04:50
masika ya 537 K.W.K.,00:04:53
00:04:53
Waisraeli 50,000 hivi00:04:55
00:04:55
wanaondoka Babiloni.00:04:57
00:04:57
Wanaongozwa na kuhani mkuu00:04:59
00:04:59
Yeshua,00:05:00
00:05:00
ambaye pia anaitwa00:05:01
00:05:01
Yoshua,00:05:02
00:05:02
na gavana ambaye00:05:04
00:05:04
Koreshi amemweka rasmi,00:05:06
00:05:06
Zerubabeli.00:05:07
00:05:07
Wanafika Yuda mapema00:05:09
00:05:09
katika majira ya vuli,00:05:10
00:05:11
nao wana shangwe!00:05:12
00:05:12
Lakini wafanye nini00:05:14
00:05:14
ili kudumisha shangwe yao?00:05:16
00:05:16
Ona kile wanachofanya mara tu00:05:18
00:05:18
wanapozoea mazingira yao mapya.00:05:20
00:05:21
Tusome Ezra 3:1 hadi 6:00:05:24
00:05:24
Mwezi wa saba ulipofika00:05:26
00:05:26
Waisraeli walikuwa katika majiji yao;00:05:29
00:05:29
wakakusanyika Yerusalemu00:05:31
00:05:31
wakiwa na kusudi moja.00:05:32
00:05:32
Yeshua mwana wa Yehosadaki00:05:34
00:05:34
na makuhani wenzake00:05:36
00:05:36
na Zerubabeli mwana wa Shealtieli00:05:38
00:05:38
na ndugu zake wakasimama00:05:40
00:05:40
na kujenga madhabahu ya00:05:41
00:05:41
Mungu wa Israeli,00:05:42
00:05:42
ili kutoa dhabihu za00:05:44
00:05:44
kuteketezwa juu yake,00:05:45
00:05:45
kama ilivyoandikwa00:05:46
00:05:46
katika Sheria ya Musa,00:05:47
00:05:48
mtu wa Mungu wa kweli.00:05:49
00:05:50
Basi wakajenga madhabahu00:05:53
00:05:53
mahali ilipokuwa zamani,00:05:54
00:05:55
ingawa waliwaogopa watu wa nchi jirani,00:05:57
00:05:58
nao wakaanza kumtolea Yehova00:05:59
00:05:59
dhabihu za kuteketezwa juu yake,00:06:02
00:06:02
asubuhi00:06:03
00:06:03
na jioni.00:06:04
00:06:04
Kisha wakafanya Sherehe ya Vibanda00:06:06
00:06:06
kulingana na ilivyoandikwa,00:06:08
00:06:08
na siku baada ya siku00:06:10
00:06:10
walitoa idadi iliyohitajika ya00:06:12
00:06:12
dhabihu za kuteketezwa.00:06:13
00:06:14
Baadaye00:06:15
00:06:16
walitoa dhabihu za kuteketezwa00:06:17
00:06:17
zilizotolewa kwa ukawaida00:06:19
00:06:19
na matoleo kwa ajili ya miezi mipya00:06:22
00:06:22
na majira yote yaliyotakaswa00:06:24
00:06:24
ya sherehe za Yehova,00:06:25
00:06:25
na pia toleo la hiari00:06:27
00:06:27
la kila mtu00:06:27
00:06:27
aliyemtolea Yehova kwa kupenda.00:06:29
00:06:30
Tangu siku ya kwanza ya mwezi wa saba,00:06:32
00:06:32
walianza kumtolea Yehova00:06:34
00:06:34
dhabihu za kuteketezwa,00:06:35
00:06:35
ingawa bado msingi00:06:37
00:06:37
wa hekalu la Yehova00:06:38
00:06:38
haukuwa umewekwa.00:06:39
00:06:42
Je, ulitambua kwamba00:06:44
00:06:44
Wayahudi walirudisha ibada ya Yehova00:06:47
00:06:47
“ingawa waliwaogopa00:06:49
00:06:49
watu wa nchi jirani”?00:06:51
00:06:51
Kwa sababu ya kutenda kwa ujasiri,00:06:53
00:06:53
hiyo inakuwa pindi00:06:54
00:06:54
yenye shangwe sana kwao.00:06:56
00:06:57
Inakuwa tu kama Musa alivyosema00:06:59
00:06:59
alipoliagiza taifa00:07:00
00:07:00
lisherehekee Sherehe ya Vibanda:00:07:02
00:07:03
“Nanyi mtakuwa na shangwe kwelikweli”!00:07:06
00:07:07
Mwaka unaofuata,00:07:08
00:07:08
wanaweka msingi wa hekalu00:07:10
00:07:10
kwa ujasiri na kwa shangwe.00:07:12
00:07:12
Acheni tusome kuhusu hilo00:07:14
00:07:14
kwenye Ezra 3:10 hadi 13:00:07:17
00:07:19
Wajenzi walipoweka00:07:20
00:07:20
msingi wa hekalu la Yehova,00:07:22
00:07:22
makuhani waliovaa mavazi rasmi,00:07:25
00:07:25
wakiwa na tarumbeta,00:07:26
00:07:27
na Walawi,00:07:27
00:07:27
wana wa Asafu,00:07:28
00:07:28
wakiwa na matoazi,00:07:30
00:07:30
wakasimama ili kumsifu Yehova00:07:32
00:07:32
kulingana na maagizo ya00:07:33
00:07:33
Mfalme Daudi wa Israeli.00:07:35
00:07:36
Nao wakaanza kuimba kwa kuitiki00:07:38
00:07:38
wakimsifu na kumshukuru Yehova00:07:40
00:07:40
“kwa maana yeye ni mwema;00:07:42
00:07:42
upendo wake mshikamanifu00:07:44
00:07:44
kwa Israeli unadumu milele.”00:07:46
00:07:48
Kisha watu wote wakapaza sauti00:07:50
00:07:50
wakimsifu Yehova kwa sababu00:07:52
00:07:52
msingi wa nyumba ya Yehova00:07:53
00:07:53
ulikuwa umewekwa.00:07:54
00:07:55
Makuhani wengi,00:07:56
00:07:57
Walawi,00:07:58
00:07:58
na viongozi wa koo00:08:00
00:08:00
wazee ambao walikuwa00:08:01
00:08:01
wameona ile nyumba ya kwanza00:08:03
00:08:03
wakalia kwa sauti00:08:05
00:08:05
kubwa walipoona00:08:06
00:08:06
msingi wa nyumba hii ukiwekwa,00:08:08
00:08:09
na wengine wengi wakapaza00:08:11
00:08:11
sauti yao yote kwa shangwe.00:08:13
00:08:14
Hivyo watu hawakuweza kutofautisha00:08:17
00:08:17
kati ya sauti ya kushangilia00:08:18
00:08:18
na ya kulia,00:08:19
00:08:19
kwa maana watu walikuwa wakipaza sauti00:08:22
00:08:22
kubwa hivi kwamba sauti hiyo ikasikika00:08:24
00:08:24
mbali sana.00:08:25
00:08:27
Naam, baadhi ya wazee wa taifa hilo00:08:30
00:08:30
hawawezi kuwazia jinsi ambavyo00:08:33
00:08:33
hekalu hilo lingeweza kufanana00:08:34
00:08:34
na hekalu la Sulemani.00:08:36
00:08:36
Lakini kelele zenye shangwe za watu00:08:39
00:08:39
wengine zinafunika vilio vyao.00:08:42
00:08:42
Hata hivyo, watu wa maeneo00:08:44
00:08:44
yanayowazunguka hawafurahii jambo hilo.00:08:46
00:08:47
Badala yake wanafanya mipango ya00:08:48
00:08:48
kuzima shangwe yao.00:08:50
00:08:50
Acheni tuone wanafanya hivyo jinsi gani00:08:53
00:08:53
kwenye Ezra sura 4:1 hadi 3:00:08:56
00:08:57
Maadui wa Yuda na Benjamini waliposikia00:08:59
00:08:59
kwamba watu waliorudi00:09:01
00:09:01
kutoka uhamishoni walikuwa wakimjengea00:09:03
00:09:03
hekalu Yehova Mungu wa Israeli,00:09:05
00:09:05
mara moja wakamfikia Zerubabeli00:09:08
00:09:08
na viongozi wa koo00:09:09
00:09:09
na kuwaambia:00:09:10
00:09:11
Acheni tujenge pamoja nanyi;00:09:14
00:09:14
kwa maana,00:09:15
00:09:15
sisi pia tunamwabudu Mungu wenu00:09:17
00:09:17
na tumekuwa tukimtolea dhabihu00:09:19
00:09:19
tangu siku za00:09:20
00:09:20
Mfalme Esar-hadoni wa Ashuru,00:09:22
00:09:22
aliyetuleta hapa.00:09:24
00:09:24
Hata hivyo,00:09:25
00:09:26
Zerubabeli na Yeshua00:09:27
00:09:27
na viongozi wa koo za Israeli00:09:29
00:09:29
wakawaambia:00:09:30
00:09:31
Hamna haki ya kujenga00:09:33
00:09:33
pamoja nasi nyumba ya Mungu wetu,00:09:34
00:09:34
kwa maana sisi wenyewe00:09:36
00:09:36
tutamjengea Yehova00:09:37
00:09:37
Mungu wa Israeli,00:09:38
00:09:38
kama alivyotuamuru Mfalme Koreshi,00:09:41
00:09:41
mfalme wa Uajemi.00:09:42
00:09:43
Zerubabeli anatambua kwamba maadui hawa00:09:45
00:09:45
hawana nia ya kuwasaidia,00:09:47
00:09:47
bali wanataka kuwadhuru.00:09:49
00:09:49
Ombi lao la kusaidia linapokataliwa,00:09:52
00:09:52
wanajaribu kuwazuia00:09:53
00:09:53
Wayahudi wasijenge hekalu.00:09:55
00:09:55
Ona jinsi wanavyofanya hivyo00:09:57
00:09:57
tunaposoma mstari wa 4 hadi 7:00:09:59
00:10:01
Ndipo watu wa mataifa jirani wakazidi00:10:03
00:10:03
kuwavunja moyo watu wa Yuda00:10:05
00:10:05
na kuwakatisha tamaa ili wasijenge.00:10:08
00:10:08
Waliwakodi washauri ili00:10:10
00:10:10
kuvuruga mipango yao ya kujenga,00:10:12
00:10:12
siku zote za Mfalme Koreshi wa Uajemi00:10:14
00:10:14
mpaka wakati wa utawala00:10:15
00:10:15
wa Mfalme Dario wa Uajemi.00:10:17
00:10:17
Mwanzoni mwa utawala wa Ahasuero,00:10:20
00:10:20
waliandika mashtaka00:10:21
00:10:21
dhidi ya wakaaji wa Yuda00:10:23
00:10:23
na Yerusalemu.00:10:24
00:10:24
Na katika siku za utawala wa00:10:26
00:10:26
Mfalme Artashasta wa Uajemi,00:10:27
00:10:27
Bishlamu,00:10:28
00:10:28
Mithredathi,00:10:29
00:10:29
Tabeeli,00:10:30
00:10:31
na wenzake00:10:32
00:10:32
walimwandikia Mfalme Artashasta;00:10:34
00:10:34
wakaitafsiri barua hiyo katika Kiaramu,00:10:36
00:10:36
na kuiandika kwa herufi za Kiaramu.00:10:39
00:10:41
Acheni tusome barua ambayo Rehumu,00:10:43
00:10:43
ofisa mkuu wa serikali,00:10:45
00:10:45
na maadui wengine wa Waisraeli,00:10:47
00:10:47
wanamwandikia mfalme.00:10:49
00:10:49
Ona ni mashtaka gani ya00:10:50
00:10:50
uwongo wanayotoa,00:10:52
00:10:52
tunaposoma Ezra 4:11 hadi 16:00:10:56
00:10:57
Hii ndiyo nakala ya barua waliyomtumia.00:11:00
00:11:01
Kwa Mfalme Artashasta00:11:03
00:11:03
kutoka kwa watumishi wako,00:11:04
00:11:05
watu walio Ng’ambo ya Mto:00:11:06
00:11:07
Sasa tungependa kumjulisha00:11:08
00:11:08
mfalme kwamba Wayahudi00:11:10
00:11:10
waliokuja huku kutoka kwako00:11:11
00:11:11
wamefika Yerusalemu.00:11:13
00:11:14
Wanajenga upya00:11:15
00:11:15
lile jiji lenye uasi na uovu,00:11:17
00:11:18
nao wanamalizia kujenga kuta00:11:20
00:11:20
na kurekebisha misingi yake.00:11:22
00:11:22
Sasa tungependa mfalme ajue kwamba00:11:25
00:11:25
ikiwa jiji hili litajengwa upya00:11:27
00:11:27
na kuta zake kukamilishwa,00:11:29
00:11:30
hawatalipa kodi,00:11:31
00:11:32
ushuru,00:11:32
00:11:33
wala ada,00:11:34
00:11:34
na jambo hilo litasababisha hasara00:11:36
00:11:36
kwa hazina za wafalme.00:11:38
00:11:40
Na kwa kuwa sisi hula00:11:41
00:11:41
chumvi ya jumba la mfalme00:11:43
00:11:43
na si vema kwetu kuona00:11:45
00:11:45
masilahi ya mfalme yakiathiriwa,00:11:48
00:11:48
ndiyo sababu tumetuma barua00:11:50
00:11:50
ili kumjulisha mfalme jambo hilo,00:11:52
00:11:52
ili uchunguzi ufanywe katika kitabu cha00:11:55
00:11:55
kumbukumbu za mababu zako.00:11:56
00:11:57
Ndipo utakapoona katika kitabu hicho00:11:59
00:11:59
cha kumbukumbu kwamba00:12:01
00:12:01
hili ni jiji lenye uasi,00:12:02
00:12:03
linalowaletea hasara wafalme na mikoa,00:12:06
00:12:06
na tangu zamani lilikuwa00:12:08
00:12:08
na wachochezi wa uasi.00:12:10
00:12:11
Ndiyo sababu jiji hili00:12:12
00:12:13
liliangamizwa.00:12:14
00:12:15
Tunakujulisha mfalme00:12:17
00:12:17
kwamba jiji hili likijengwa upya00:12:19
00:12:19
na kuta zake kukamilishwa,00:12:21
00:12:22
hutaweza kutawala tena00:12:23
00:12:23
eneo lililo Ng’ambo ya Mto.00:12:25
00:12:27
Je, umewahi kusikia mashtaka00:12:29
00:12:29
kama hayo ya uwongo?00:12:30
00:12:30
Ni kama yale ambayo00:12:32
00:12:32
maadui wetu hutusingizia leo:00:12:34
00:12:35
“Hawalipi kodi.00:12:37
00:12:37
Waipinga serikali.00:12:40
00:12:40
Wao ni waasi00:12:41
00:12:41
na wanawachochea watu kuwa waasi.00:12:44
00:12:44
Hawawezi kudhibitiwa.”00:12:46
00:12:46
Bila shaka, hayo ni mashtaka ya uwongo!00:12:49
00:12:49
Mashtaka hayo yaliathiri kazi ya Waisraeli.00:12:52
00:12:53
Mfalme aliamuru kazi ikomeshwe,00:12:55
00:12:55
na kazi ya kujenga upya hekalu ikakoma.00:12:58
00:12:58
Inasikitisha sana!00:13:00
00:13:00
Mwanzoni Wayahudi waliporudi,00:13:03
00:13:03
hawakuruhusu woga wa wanadamu00:13:05
00:13:05
uwazuie kufanya kazi ya Yehova.00:13:07
00:13:07
Lakini sasa waliruhusu uwoga uwazuie.00:13:10
00:13:10
Leo, maadui wetu wameongeza00:13:12
00:13:12
upinzani wao dhidi ya kazi ya Yehova.00:13:15
00:13:15
Lakini, kulegeza msimamo00:13:17
00:13:17
au kuacha kabisa utendaji wetu00:13:19
00:13:19
hakuwezi kuleta shangwe00:13:21
00:13:21
kunaleta huzuni tu.00:13:22
00:13:22
Lakini kudumisha uaminifu00:13:24
00:13:24
kunaleta shangwe,00:13:26
00:13:26
hata tunapokabili upinzani mkali.00:13:28
00:13:29
Hilo linawezekanaje?00:13:30
00:13:31
Fikiria mfano halisi.00:13:33
00:13:33
Wazia mama na binti yake00:13:35
00:13:35
wakiwa wamezungukwa na00:13:36
00:13:36
kundi kubwa la wanaume wanaofanya00:13:38
00:13:38
fujo na kujaribu kuwalazimisha kununua00:13:40
00:13:40
kadi za chama cha kisiasa.00:13:42
00:13:42
Akina dada hao watafanya nini?00:13:44
00:13:44
Wakilegeza msimamo 00:13:46
00:13:46
na kununua kadi hizo, 00:13:47
00:13:47
maadui wao watafurahi.00:13:49
00:13:49
Lakini ikiwa wangefanya hivyo00:13:51
00:13:51
dada hao wangejisikia vibaya sana00:13:52
00:13:52
baadaye kwa sababu00:13:54
00:13:54
wanajua walimkana Baba yao wa mbinguni.00:13:57
00:13:57
Dada hao hawakukubali.00:14:00
00:14:00
Bila shaka, hawakufurahia00:14:01
00:14:01
kudhihakiwa na kutendewa vibaya.00:14:03
00:14:04
Hata hivyo, baadaye00:14:05
00:14:05
dhamiri zao zilikuwa safi.00:14:07
00:14:07
Na walikuwa na shangwe moyoni,00:14:10
00:14:10
kwa sababu walijua walidumisha00:14:11
00:14:11
uaminifu wao kwa Yehova.00:14:13
00:14:14
Namna gani Wayahudi katika siku za Ezra?00:14:16
00:14:17
Huenda wengi00:14:18
00:14:18
waliacha maisha yenye starehe00:14:19
00:14:19
Babiloni ili kufunga safari ndefu00:14:21
00:14:21
na ngumu kurudi Yuda.00:14:23
00:14:23
Sasa, baada ya miaka 1400:14:26
00:14:26
ya kukabili upinzani,00:14:27
00:14:27
kuanzia walipoweka msingi wa hekalu00:14:30
00:14:30
hadi walipopigwa marufuku,00:14:31
00:14:31
Wayahudi wamepoteza bidii yao00:14:33
00:14:33
kwa ajili ya kazi ya Yehova.00:14:35
00:14:35
Wanatoa dhabihu kidesturi tu,00:14:38
00:14:38
lakini hawafanyi kile ambacho Yehova 00:14:41
00:14:41
aliwaagiza wafanye,00:14:43
00:14:43
yaani, wamalize kujenga hekalu!00:14:45
00:14:46
Wanapokabili upinzani,00:14:48
00:14:48
wanafikia mkataa00:14:49
00:14:49
kwamba huenda huu si00:14:50
00:14:50
wakati wa Yehova wa00:14:51
00:14:51
kukamilisha kazi hiyo.00:14:53
00:14:53
Inaonekana kwamba hata00:14:54
00:14:54
Gavana Zerubabeli na00:14:56
00:14:56
kuhani mkuu Yeshua00:14:58
00:14:58
wanahitaji kutiwa moyo.00:15:00
00:15:00
Ili kuwatia moyo,00:15:01
00:15:01
Yehova anamtuma nabii Hagai.00:15:04
00:15:04
Sasa tufungue kitabu cha Hagai sura ya 1.00:15:07
00:15:08
Ujumbe mzito na ulio wazi wa Hagai,00:15:10
00:15:10
uliotolewa katika00:15:12
00:15:12
kipindi cha miezi minne hivi,00:15:13
00:15:13
unaonyesha wazi tatizo lilikuwa nini,00:15:16
00:15:16
kama tunavyosoma00:15:17
00:15:17
kwenye Hagai 1:2 hadi 11:00:15:20
00:15:21
Yehova wa majeshi anasema hivi:00:15:23
00:15:24
“Watu hawa wanasema,00:15:26
00:15:26
‘Wakati wa kujenga nyumba ya Yehova00:15:28
00:15:28
bado haujafika.’”00:15:29
00:15:29
Na neno la Yehova likaja tena00:15:31
00:15:31
kupitia nabii Hagai, likisema:00:15:34
00:15:34
“Je, ni wakati wa ninyi kukaa00:15:36
00:15:36
katika nyumba zilizopambwa kwa mbao,00:15:38
00:15:38
huku nyumba hii ikiwa magofu?00:15:40
00:15:41
Sasa hivi ndivyo anavyosema00:15:43
00:15:43
Yehova wa majeshi,00:15:44
00:15:44
‘Kazieni mioyo yenu juu ya njia zenu.00:15:47
00:15:47
Mmepanda mbegu nyingi,00:15:49
00:15:49
lakini mnavuna kidogo.00:15:50
00:15:51
Mnakula,00:15:52
00:15:52
lakini hamshibi.00:15:54
00:15:54
Mnakunywa,00:15:56
00:15:56
lakini hamtosheki.00:15:57
00:15:58
Mnavaa nguo,00:15:59
00:15:59
lakini hakuna yeyote anayepata joto.00:16:02
00:16:03
Kibarua huweka mshahara wake katika00:16:05
00:16:05
mfuko uliojaa mashimo.’00:16:06
00:16:07
Yehova wa majeshi anasema hivi:00:16:10
00:16:10
‘Kazieni mioyo yenu juu ya njia zenu.00:16:13
00:16:13
Pandeni juu mlimani mkalete miti.00:16:15
00:16:15
Jengeni nyumba hii,00:16:17
00:16:17
ili niifurahie00:16:19
00:16:19
na ili nitukuzwe,’00:16:21
00:16:21
asema Yehova.00:16:22
00:16:22
‘Mlitazamia mavuno mengi00:16:24
00:16:24
lakini mlipata kidogo;00:16:25
00:16:25
na mlipoyaleta katika nyumba hii,00:16:28
00:16:28
niliyapeperusha mbali.00:16:29
00:16:29
Kwa nini?’00:16:30
00:16:30
auliza Yehova wa majeshi.00:16:32
00:16:33
‘Kwa sababu nyumba yangu ni magofu,00:16:35
00:16:35
huku kila mmoja wenu00:16:37
00:16:37
akikimbia huku na huku00:16:39
00:16:39
ili kuitunza nyumba yake mwenyewe.00:16:41
00:16:41
Kwa hiyo00:16:43
00:16:43
mbingu zilizo juu yenu00:16:45
00:16:45
zikazuia umande wake,00:16:46
00:16:46
na dunia00:16:48
00:16:48
ikazuia mazao yake.00:16:49
00:16:49
Nami niliendelea00:16:51
00:16:51
kuuita ukame uje duniani,00:16:52
00:16:52
milimani,00:16:54
00:16:54
kwenye nafaka,00:16:55
00:16:55
kwenye divai mpya,00:16:56
00:16:56
kwenye mafuta,00:16:57
00:16:57
kwenye mimea inayoota ardhini,00:16:59
00:16:59
juu ya wanadamu00:17:01
00:17:01
na mifugo,00:17:02
00:17:02
na juu ya kazi yote00:17:04
00:17:04
ya mikono yenu.’”00:17:05
00:17:06
Yehova analinganisha00:17:07
00:17:07
matokeo ya ubinafsi wa Wayahudi00:17:10
00:17:10
na kibarua anayeweka00:17:11
00:17:11
mshahara wake katika00:17:12
00:17:12
mfuko uliojaa mashimo.00:17:14
00:17:15
Kwa kuwa Wayahudi00:17:16
00:17:16
wanaipuuza nyumba ya Yehova,00:17:18
00:17:18
anawanyima baraka zake.00:17:20
00:17:20
Wanapata matokeo machache00:17:22
00:17:22
kutokana na jitihada zao,00:17:24
00:17:24
na kwa kweli hawana furaha.00:17:26
00:17:27
Watu fulani wanajaribu kujifariji kwa00:17:30
00:17:30
kupamba nyumba zao.00:17:31
00:17:32
Lakini vitu vya kimwili,00:17:34
00:17:34
haviwezi kutosheleza mahitaji ya kiroho.00:17:37
00:17:38
Je, tunaona onyo kwetu?00:17:40
00:17:40
Si vibaya kuwa na vitu vizuri vya kimwili.00:17:43
00:17:44
Lakini vitu vya kimwili00:17:46
00:17:46
haviwezi kutuletea shangwe ya00:17:47
00:17:47
kweli na ya kudumu,00:17:49
00:17:49
hasa ikiwa tunapuuza00:17:51
00:17:51
kazi ya Yehova ili kuvipata.00:17:53
00:17:53
Kumbuka somo tunalopata00:17:55
00:17:55
kwenye Zaburi 127:1:00:17:58
00:17:58
“Yehova asipoijenga nyumba,00:18:00
00:18:00
wale wanaoijenga00:18:02
00:18:02
wanafanya kazi ngumu ya bure.”00:18:04
00:18:04
Kwa upande mwingine,00:18:06
00:18:06
‘tunapoutafuta kwanza00:18:08
00:18:08
Ufalme na uadilifu wake’, 00:18:09
00:18:10
Yehova atatuandalia kile tunachohitaji00:18:14
00:18:14
na atafanya hivyo00:18:15
00:18:15
kwa wakati unaofaa kabisa.00:18:17
00:18:17
Methali 10:22 inatuambia hivi:00:18:21
00:18:21
“Baraka ya Yehova00:18:24
00:18:24
ndiyo inayomtajirisha mtu,00:18:26
00:18:26
naye haichanganyi na maumivu.”00:18:29
00:18:29
Je, hekalu hilo litakalojengwa upya00:18:32
00:18:32
litakuwa na utukufu kama00:18:33
00:18:33
ule wa hekalu la Sulemani?00:18:35
00:18:35
Kupitia Hagai,00:18:37
00:18:37
Yehova anahakikisha00:18:38
00:18:38
kwamba utukufu wa nyumba hiyo00:18:40
00:18:40
utakuwa mkubwa00:18:42
00:18:42
kuliko ule wa Sulemani.00:18:44
00:18:44
Tuendelee kusoma Hagai 2:3 hadi 9.00:18:47
00:18:49
Ni nani aliyebaki00:18:50
00:18:50
miongoni mwenu ambaye00:18:51
00:18:51
aliiona nyumba hii00:18:53
00:18:53
katika utukufu wake wa mwanzoni?00:18:55
00:18:55
Sasa mnaionaje?00:18:56
00:18:56
Je, hamwoni kwamba ni duni00:18:58
00:18:58
ikilinganishwa na ilivyokuwa?00:19:00
00:19:00
Lakini sasa jipe moyo Zerubabeli,00:19:03
00:19:03
asema Yehova,00:19:04
00:19:04
jipe moyo Yoshua00:19:05
00:19:05
mwana wa Yehosadaki,00:19:07
00:19:07
kuhani mkuu.00:19:08
00:19:08
Nanyi watu wote wa nchi,00:19:10
00:19:10
jipeni moyo,00:19:11
00:19:11
asema Yehova,00:19:12
00:19:12
‘na mfanye kazi.00:19:13
00:19:13
Kwa maana niko pamoja nanyi,00:19:15
00:19:15
asema Yehova wa majeshi.00:19:17
00:19:17
Kumbukeni ahadi00:19:18
00:19:18
niliyowapa mlipotoka Misri,00:19:20
00:19:20
na roho yangu bado00:19:22
00:19:22
imo miongoni mwenu.00:19:23
00:19:23
Msiogope.00:19:24
00:19:24
Kwa maana Yehova wa majeshi00:19:26
00:19:26
anasema hivi:00:19:27
00:19:27
Kwa mara nyingine tena00:19:28
00:19:29
baada ya muda mfupi00:19:30
00:19:30
nitatikisa mbingu na dunia00:19:32
00:19:32
na bahari na nchi kavu.00:19:34
00:19:34
Nami nitayatikisa mataifa yote,00:19:36
00:19:36
na vitu vyenye thamani vya mataifa yote00:19:39
00:19:39
vitaingia katika nyumba hii;00:19:41
00:19:41
nami nitaijaza nyumba hii utukufu,00:19:43
00:19:43
asema Yehova wa majeshi.00:19:45
00:19:45
Fedha ni yangu,00:19:46
00:19:46
na dhahabu ni yangu,00:19:48
00:19:48
asema Yehova wa majeshi.00:19:50
00:19:50
Utukufu wa wakati ujao wa nyumba hii00:19:52
00:19:52
utakuwa mkubwa zaidi kuliko00:19:54
00:19:54
ule wa mwanzoni,00:19:55
00:19:55
asema Yehova wa majeshi.00:19:57
00:19:57
Na mahali hapa nitawapa amani,00:19:59
00:19:59
asema Yehova wa majeshi.00:20:01
00:20:02
Muumba na mmiliki wa ulimwengu mzima00:20:05
00:20:05
anapotangaza kusudi lake,00:20:07
00:20:08
ni nani au ni nini kinachoweza kumzuia?00:20:11
00:20:12
Hakuna kinachoweza kumzuia!00:20:14
00:20:15
Ujumbe wa Yehova00:20:17
00:20:17
uko wazi kabisa.00:20:18
00:20:19
Lakini bado Wayahudi waliorudi00:20:21
00:20:21
walihitaji kutiwa moyo zaidi.00:20:23
00:20:23
Yehova anamtuma malaika wake00:20:25
00:20:25
aende kwa nabii mwingine,00:20:27
00:20:27
Zekaria.00:20:28
00:20:28
Tafadhali fungua Zekaria 1:12 hadi 16,00:20:33
00:20:33
na tusome maneno yenye00:20:34
00:20:34
kutia moyo ambayo malaika00:20:36
00:20:36
aliliambia taifa la Israeli.00:20:38
00:20:38
Zekaria 1:12 hadi 16.00:20:42
00:20:43
Basi malaika wa Yehova akauliza:00:20:46
00:20:47
Ee Yehova wa majeshi,00:20:49
00:20:49
utaendelea hadi lini kukataa00:20:51
00:20:51
kuwaonyesha rehema00:20:52
00:20:52
wakaaji wa Yerusalemu00:20:54
00:20:54
na wa majiji ya Yuda,00:20:56
00:20:56
ambao umewakasirikia kwa miaka hii 70?00:20:59
00:20:59
Yehova akamjibu kwa maneno ya fadhili00:21:01
00:21:01
na yenye kufariji malaika huyo00:21:03
00:21:03
aliyekuwa akizungumza nami.00:21:04
00:21:05
Kisha malaika huyo aliyekuwa00:21:06
00:21:06
akizungumza nami akaniambia:00:21:08
00:21:08
Tangaza hivi kwa sauti,00:21:10
00:21:10
“Yehova wa majeshi anasema hivi:00:21:13
00:21:13
‘Nina bidii kwa ajili ya Yerusalemu00:21:15
00:21:15
na Sayuni,00:21:16
00:21:17
bidii nyingi.00:21:18
00:21:18
Kwa hasira kali nimeyakasirikia00:21:20
00:21:20
mataifa yanayostarehe,00:21:22
00:21:22
kwa sababu niliwakasirikia00:21:24
00:21:24
kidogo watu wangu,00:21:25
00:21:25
lakini yalizidisha msiba wao.’00:21:27
00:21:28
Basi Yehova anasema hivi:00:21:30
00:21:30
‘Nitarudi Yerusalemu kwa rehema,00:21:33
00:21:33
na nyumba yangu mwenyewe00:21:35
00:21:35
itajengwa humo,’00:21:36
00:21:37
asema Yehova wa majeshi,00:21:38
00:21:39
‘na kamba ya kupimia00:21:40
00:21:40
itanyooshwa juu ya Yerusalemu.’”00:21:42
00:21:43
Ili kukazia jinsi Yehova00:21:45
00:21:45
atakavyowalinda watu wake,00:21:47
00:21:47
malaika huyo anaendelea00:21:48
00:21:48
kusema hivi kwenye sura ya 2,00:21:50
00:21:50
mstari wa 7 hadi 9:00:21:52
00:21:52
Njoo, Ee Sayuni!00:21:54
00:21:55
Kimbia, wewe unayekaa na00:21:57
00:21:57
binti ya Babiloni.00:21:58
00:21:59
Kwa maana hivi ndivyo00:22:00
00:22:00
anavyosema Yehova wa majeshi,00:22:02
00:22:02
ambaye baada ya kutukuzwa00:22:04
00:22:04
amenituma kwa mataifa00:22:06
00:22:06
yaliyokuwa yakiwapora ninyi:00:22:07
00:22:07
“Yeyote anayewagusa ninyi00:22:10
00:22:10
anaigusa mboni ya jicho langu.00:22:12
00:22:12
Kwa maana sasa00:22:13
00:22:13
nitaupunga mkono wangu dhidi yao,00:22:16
00:22:16
nao watakuwa nyara00:22:17
00:22:17
kwa watumwa wao wenyewe.”00:22:19
00:22:19
Na hakika mtajua kwamba00:22:22
00:22:22
Yehova wa majeshi amenituma.00:22:24
00:22:24
Ungemruhusu mtu akuguse00:22:26
00:22:26
kwenye mboni ya jicho?00:22:27
00:22:27
Bila shaka la!00:22:29
00:22:29
Yehova pia hatawaruhusu00:22:31
00:22:31
wapinzani wa Waisraeli wawadhuru.00:22:33
00:22:33
Kwenye Zekaria 3:1 na 2,00:22:36
00:22:36
malaika huyo anafunua00:22:38
00:22:38
adui mwenye nguvu zaidi ambaye00:22:40
00:22:40
ndiye chanzo cha upinzani.00:22:41
00:22:43
Naye akanionyesha00:22:44
00:22:44
kuhani mkuu Yoshua akiwa amesimama00:22:46
00:22:46
mbele ya malaika wa Yehova,00:22:48
00:22:48
na Shetani alikuwa amesimama00:22:49
00:22:49
kwenye mkono wa kulia wa Yoshua00:22:51
00:22:51
ili kumpinga.00:22:52
00:22:52
Kisha malaika wa00:22:53
00:22:53
Yehova akamwambia Shetani:00:22:54
00:22:55
Yehova na akukemee,00:22:56
00:22:57
ewe Shetani, naam,00:22:59
00:22:59
Yehova,00:23:00
00:23:00
ambaye amechagua Yerusalemu,00:23:02
00:23:02
na akukemee!00:23:03
00:23:04
Je, mtu huyu si gogo00:23:06
00:23:06
lililochomolewa motoni?00:23:07
00:23:09
Je, hayo yote yalikusudiwa00:23:11
00:23:11
kuwafanya Waisraeli wajiamini00:23:13
00:23:13
kwa sababu ya uwezo wao wenyewe?00:23:15
00:23:15
La hasha!00:23:16
00:23:17
Walihitaji kukumbuka00:23:19
00:23:19
kwamba hawawezi00:23:20
00:23:20
kutimiza jambo lolote00:23:21
00:23:21
bila msaada wa Yehova.00:23:24
00:23:24
Sikiliza maneno yafuatayo ya00:23:26
00:23:26
malaika huyo kwenye Zekaria sura ya 4,00:23:29
00:23:29
mstari wa 6 na 7:00:23:30
00:23:30
Hili ndilo neno la Yehova00:23:32
00:23:32
kwa Zerubabeli:00:23:34
00:23:34
“‘Si kwa jeshi,00:23:36
00:23:36
wala si kwa nguvu,00:23:37
00:23:38
bali kwa roho yangu,’00:23:39
00:23:39
asema Yehova wa majeshi.00:23:41
00:23:41
Wewe ni nani,00:23:42
00:23:42
Ee mlima mkubwa?00:23:44
00:23:44
Mbele ya Zerubabeli00:23:45
00:23:45
utakuwa nchi tambarare.00:23:47
00:23:47
Naye ataleta nje00:23:49
00:23:49
jiwe la juu kabisa la hekalu00:23:52
00:23:52
huku watu wakishangilia:00:23:53
00:23:53
‘Ni zuri ajabu!00:23:55
00:23:55
Ni zuri ajabu!’”00:23:56
00:23:57
Wakiwa wamechochewa00:23:58
00:23:58
na maneno ya Yehova00:23:59
00:23:59
kupitia manabii wake wawili,00:24:01
00:24:01
Wayahudu wanaacha00:24:03
00:24:03
kuwa na shaka na wanaanza00:24:04
00:24:04
kujenga tena hekalu.00:24:06
00:24:07
Kama ilivyotarijiwa,00:24:08
00:24:08
maadui ambao ni majirani wa Israeli,00:24:11
00:24:11
wakiongozwa na Tatenai00:24:12
00:24:12
na Shethar-bozenai,00:24:14
00:24:14
wanajaribu kuvuruga kazi hiyo.00:24:16
00:24:16
Tusome tena Ezra,00:24:18
00:24:18
sura ya 5, mstari wa 3 hadi 5:00:24:21
00:24:23
Wakati huo00:24:24
00:24:24
Tatenai gavana wa00:24:25
00:24:25
eneo lililo Ng’ambo ya Mto00:24:27
00:24:27
na Shethar-bozenai00:24:28
00:24:28
na wenzao wakaja na kuwauliza:00:24:30
00:24:30
Ni nani aliyewaagiza00:24:31
00:24:31
mjenge nyumba hii00:24:32
00:24:32
na kukamilisha nguzo hizi?00:24:34
00:24:35
Pia, wakawauliza:00:24:37
00:24:37
Wanaume wanaojenga00:24:38
00:24:38
jengo hili ni akina nani?00:24:40
00:24:40
Lakini Mungu alikuwa00:24:41
00:24:41
pamoja na wazee wa Wayahudi,00:24:43
00:24:44
nao hawangeweza kuwazuia00:24:45
00:24:45
kabla ya kumwandikia Dario00:24:47
00:24:47
na kupata barua rasmi00:24:48
00:24:48
kuhusu jambo hilo kutoka kwake00:24:50
00:24:52
Hilo ni somo lingine kwetu leo:00:24:54
00:24:55
Tunapoendelea kufanya kazi ya Yehova00:24:57
00:24:57
kwa ujasiri licha ya upinzani,00:24:59
00:24:59
Yehova anabariki jitihada zetu00:25:02
00:25:02
na kutuwezesha kuendelea kumtumikia.00:25:05
00:25:05
Lakini, kwa sasa00:25:07
00:25:07
wanapaswa kuendelea na00:25:08
00:25:08
kazi yao ya kujenga hekalu00:25:10
00:25:10
licha ya marufuku.00:25:11
00:25:11
Mfalme aliyepiga marufuku kazi yao00:25:14
00:25:14
aliuawa baada ya00:25:15
00:25:15
kutawala kwa miezi saba tu.00:25:17
00:25:18
Kwa hiyo, Tatenai na wenzake00:25:20
00:25:20
wanashughulika na mfalme mpya,00:25:22
00:25:23
Dario wa kwanza.00:25:24
00:25:25
Wanapowashutumu Wayahudi,00:25:27
00:25:27
wanajaribu kutumia00:25:28
00:25:28
maneno ya Zerubabeli00:25:29
00:25:29
dhidi yake mwenyewe,00:25:31
00:25:31
kutia ndani maneno aliyosema00:25:33
00:25:33
kwamba Mfalme Koreshi00:25:34
00:25:34
ndiye aliyetoa agizo la00:25:36
00:25:36
kujenga upya hekalu.00:25:37
00:25:37
Wanamwomba Mfalme Dario00:25:39
00:25:39
afanye utafiti00:25:40
00:25:40
ili kuhakikisha00:25:41
00:25:41
ukweli wa maneno hayo.00:25:43
00:25:43
Dario anaagiza uchunguzi ufanywe.00:25:46
00:25:46
Mfalme Dario atafanya uamuzi gani?00:25:48
00:25:49
Je, imani ya Wayahudi iliyochochewa00:25:51
00:25:51
na iliyoimarishwa itawaletea shangwe?00:25:53
00:25:53
Au italeta matatizo zaidi?00:25:55
00:25:56
Dario aligundua kwamba00:25:58
00:25:58
Koreshi alitoa agizo la00:26:00
00:26:00
kujenga upya hekalu hilo.00:26:02
00:26:02
Tunasoma jibu kali alilolitoa00:26:04
00:26:04
kwenye Ezra 6:6 hadi 12.00:26:06
00:26:08
Basi, Tatenai00:26:10
00:26:10
gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto,00:26:12
00:26:13
Shethar-bozenai,00:26:14
00:26:14
na wenzenu,00:26:15
00:26:16
magavana wadogo wa00:26:17
00:26:17
eneo lililo Ng’ambo ya Mto00:26:19
00:26:19
msikaribie mahali hapo.00:26:21
00:26:21
Msiingilie kazi ya nyumba hiyo ya Mungu.00:26:23
00:26:23
Gavana wa Wayahudi00:26:25
00:26:25
na wazee wa Wayahudi00:26:26
00:26:26
watajenga upya nyumba hiyo ya Mungu00:26:29
00:26:29
mahali ilipokuwa zamani.00:26:31
00:26:31
Pia, ninatoa agizo00:26:33
00:26:33
kuhusu jambo mnalopaswa00:26:35
00:26:35
kuwafanyia wazee hao wa Wayahudi00:26:36
00:26:37
kwa ajili ya kujenga upya00:26:38
00:26:38
nyumba hiyo ya Mungu:00:26:39
00:26:40
Gharama zao zote00:26:42
00:26:42
zitalipwa bila kuchelewa00:26:43
00:26:44
kutoka katika hazina ya mfalme,00:26:46
00:26:46
kodi inayokusanywa00:26:47
00:26:47
katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto,00:26:49
00:26:49
ili ujenzi uendelee bila kukatizwa.00:26:51
00:26:52
Na chochote kinachohitajiwa00:26:54
00:26:54
ng’ombe dume wachanga00:26:55
00:26:55
pamoja na kondoo dume00:26:57
00:26:57
na wanakondoo kwa ajili ya dhabihu00:26:59
00:26:59
za kuteketezwa00:26:59
00:26:59
kwa Mungu wa mbinguni,00:27:01
00:27:01
ngano,00:27:02
00:27:02
chumvi,00:27:03
00:27:03
divai,00:27:04
00:27:04
na mafuta,00:27:05
00:27:05
kama watakavyosema00:27:06
00:27:06
makuhani walio Yerusalemu00:27:08
00:27:08
waendelee kupewa vitu hivyo00:27:10
00:27:10
siku baada ya siku00:27:11
00:27:11
bila kukosa,00:27:12
00:27:13
ili waendelee kutoa matoleo00:27:14
00:27:14
yanayompendeza Mungu wa mbinguni00:27:16
00:27:16
na kumwombea mfalme na wanawe00:27:18
00:27:19
wawe na maisha marefu.00:27:20
00:27:21
Pia nimetoa agizo kwamba00:27:23
00:27:23
yeyote atakayevunja amri hii,00:27:25
00:27:25
nguzo itang’olewa katika nyumba yake00:27:28
00:27:28
naye atatundikwa juu ya nguzo hiyo,00:27:30
00:27:30
na nyumba yake itafanywa00:27:31
00:27:31
kuwa choo cha umma00:27:32
00:27:32
kwa sababu ya kosa hilo.00:27:34
00:27:34
Na Mungu aliyefanya jina lake likae huko00:27:37
00:27:37
na ampindue mfalme yeyote00:27:39
00:27:39
na watu watakaonyoosha mkono00:27:41
00:27:41
ili kukiuka agizo hili00:27:42
00:27:43
na kuiharibu nyumba ya Mungu,00:27:44
00:27:44
iliyo Yerusalemu.00:27:45
00:27:46
Mimi, Dario,00:27:47
00:27:48
ninatoa agizo hili.00:27:49
00:27:49
Nalo litekelezwe bila kukawia.00:27:51
00:27:53
Baada ya kupokea amri ya mfalme,00:27:56
00:27:56
Tatenai na wenzake wanasalimu amri.00:27:58
00:27:59
Hawakupaswa tu kuacha kuzuia00:28:01
00:28:01
kazi ya ujenzi wa hekalu,00:28:02
00:28:02
bali pia wanapaswa00:28:03
00:28:03
kulipia gharama za ujenzi!00:28:05
00:28:05
Wayahudi waaminifu wanashangilia sana00:28:08
00:28:08
kupata uamuzi huo.00:28:09
00:28:10
Mwaka 515 K. W. K.,00:28:13
00:28:13
wanazindua nyumba ya Mungu00:28:15
00:28:15
kwa shangwe,00:28:16
00:28:16
ona maneno tunayosoma kwenye00:28:18
00:28:18
mstari wa 22:00:28:20
00:28:20
Pia, wakasherehekea00:28:22
00:28:22
kwa shangwe Sherehe ya00:28:23
00:28:23
Mikate Isiyo na Chachu kwa siku saba,00:28:25
00:28:25
kwa maana Yehova aliwafanya washangilie00:28:27
00:28:27
na alikuwa ameugeuza moyo wa00:28:29
00:28:29
mfalme wa Ashuru00:28:30
00:28:30
ili awatendee mema,00:28:32
00:28:32
hivi kwamba akawaunga00:28:33
00:28:33
mkono katika kazi 00:28:34
00:28:34
ya nyumba ya Mungu wa kweli,00:28:35
00:28:35
Mungu wa Israeli.00:28:37
00:28:39
Leo, maofisa wenye hekima 00:28:41
00:28:41
na wanaofuata haki wanapotumia00:28:44
00:28:44
mamlaka yao kutusaidia,00:28:45
00:28:45
tunashukuru sana.00:28:47
00:28:47
Lakini tunashukuru zaidi00:28:49
00:28:49
kwamba Yehova anaelekeza mambo.00:28:51
00:28:51
Kama Methali 21:1 inavyosema:00:28:54
00:28:54
“Moyo wa mfalme ni kama00:28:56
00:28:56
vijito vya maji mkononi mwa Yehova.00:28:58
00:28:58
Yeye huuelekeza mahali00:29:00
00:29:00
popote anapopenda.”00:29:02
00:29:02
Kwa hiyo,00:29:03
00:29:03
hatuweki tegemeo letu katika mtawala00:29:05
00:29:05
au shirika lolote la ulimwengu huu.00:29:08
00:29:08
Hakuna yeyote kati yao anayeweza00:29:10
00:29:10
kutuletea wokovu wa kudumu.00:29:12
00:29:12
Kabla ya mwisho wa00:29:14
00:29:14
mfumo huu wa Shetani,00:29:15
00:29:15
mataifa yote yatawashambulia00:29:18
00:29:18
watu wa Yehova.00:29:19
00:29:19
Lakini mataifa yatapatwa00:29:21
00:29:21
na hali mbaya kuliko00:29:22
00:29:22
ile iliyompata Tatenai.00:29:24
00:29:25
Tunajifunza masomo gani00:29:27
00:29:27
kutokana na sehemu hizo za Ezra,00:29:29
00:29:29
Hagai,00:29:29
00:29:29
na Zekaria?00:29:30
00:29:31
Kwanza,00:29:32
00:29:32
Yehova anabariki jitihada zetu za00:29:35
00:29:35
kuendelea kufanya kazi yake00:29:37
00:29:37
licha ya changamoto,00:29:39
00:29:39
lakini hawaruhusu00:29:40
00:29:40
wapinzani waizuie kazi yetu.00:29:42
00:29:43
Pili, tunapotanguliza00:29:45
00:29:45
kazi ya Yehova mbele ya vitu vya kimwili,00:29:47
00:29:47
anatupatia shangwe ya kweli.00:29:49
00:29:50
Yesu ametukabidhi kazi gani leo?00:29:52
00:29:52
Katika maneno yake ya mwisho00:29:54
00:29:54
kwa wafuasi wake,00:29:55
00:29:55
alisema hivi waziwazi:00:29:57
00:29:57
“Basi,00:29:59
00:29:59
nendeni00:30:00
00:30:00
mkafanye wanafunzi kutoka00:30:02
00:30:02
kwa watu wa mataifa yote.”00:30:04
00:30:05
Kupitia mambo tunayofikiria na kutenda,00:30:08
00:30:08
Je, tunaonyesha kwamba huo ndiyo00:30:09
00:30:09
mgawo muhimu zaidi kwetu?00:30:11
00:30:11
Hagai alitabiri kwamba siku moja,00:30:14
00:30:14
hekalu la Yehova00:30:15
00:30:15
lingekuwa na utukufu mkubwa00:30:17
00:30:17
kuliko lile lililojengwa na Sulemani.00:30:20
00:30:21
Unabii huo unatimizwa leo.00:30:24
00:30:24
Yehova anatumia00:30:26
00:30:26
kazi yetu ya kuhubiri00:30:28
00:30:28
kuyatikisa mataifa.00:30:30
00:30:30
Mamilioni ya “vitu vyenye thamani,00:30:33
00:30:33
yaani,00:30:33
00:30:33
waabudu wapya,00:30:35
00:30:35
wanakuja kwake.00:30:36
00:30:36
Wanamiminika kwa shangwe00:30:38
00:30:38
katika hekalu kubwa la kiroho00:30:40
00:30:40
mpango wa Yehova wa kumwabudu00:30:43
00:30:43
kwa msingi wa dhabihu 00:30:45
00:30:45
ya fidia ya Yesu Kristo.00:30:47
00:30:47
Huu si wakati wa kukazia fikira00:30:51
00:30:51
“nyumba zilizopambwa kwa mbao”00:30:54
00:30:54
au katika utendaji mwingine00:30:56
00:30:56
usio wa lazima.00:30:57
00:30:58
Hivi karibuni sana,00:30:59
00:30:59
katika siku ambayo hatutarajii,00:31:02
00:31:02
ulimwengu wa Shetani utakoma,00:31:04
00:31:04
nasi tutaingia katika00:31:05
00:31:05
ulimwengu mpya wa Yehova.00:31:07
00:31:08
Kwa hiyo, hata Shetani00:31:10
00:31:10
ajaribu kufanya nini kutuvunja moyo,00:31:13
00:31:13
na kutukengeusha,00:31:14
00:31:14
na tusimruhusu atunyang’anye00:31:16
00:31:16
shangwe yetu ya kumtumikia Yehova!00:31:19
00:31:19
Na tuendelee kutembea pamoja na Yehova00:31:22
00:31:22
mpaka tutakapoingia00:31:23
00:31:23
katika ulimwengu wake mpya wenye amani,00:31:26
00:31:26
ambapo tutamtumikia milele kwa shangwe.00:31:29
00:31:29
Zerubabeli,00:31:31
00:31:31
Yeshua,00:31:32
00:31:32
Hagai,00:31:33
00:31:33
na Zekaria00:31:35
00:31:35
wamefanya mengi kuwasaidia Waisraeli00:31:38
00:31:38
kupata tena kibali cha Yehova.00:31:40
00:31:40
Katika mwaka wa 468 K. W. K.,00:31:44
00:31:44
Ezra mwenyewe alifika Yerusalemu00:31:46
00:31:46
kuunga mkono ibada ya kweli.00:31:48
00:31:48
Lakini bado taifa linahitaji mwongozo zaidi.00:31:51
00:31:52
Kwa hiyo,00:31:52
00:31:52
Yehova anamtuma kiongozi mwingine jasiri.00:31:55
00:31:56
Wakati wa siku mbili zifuatazo00:31:58
00:31:58
za kusanyiko hili,00:31:59
00:31:59
tutajifunza kumhusu mwanamume00:32:01
00:32:01
huyo mwaminifu na mwenye nguvu00:32:03
00:32:03
Nehemia.00:32:05
“Yehova Aliwafanya Washangilie”
-
“Yehova Aliwafanya Washangilie”
“Mtumikieni Yehova kwa kushangilia,”
inasema Zaburi ya 100:2.
Naam Yehova anataka
tuwe wenye shangwe.
Naye ametupa sababu
nyingi za kushangilia.
Alitupatia uhai
ambao una sababu nyingi
zinazotufanya tuwe na shangwe.
Alitupatia Biblia
inayotufundisha
jinsi ya kufurahia maisha.
Na anatuelekeza kwa njia nyingi
zinazotuletea shangwe.
Kweli, Yehova ni Mungu
anayewapa watu shangwe.
Hata hivyo,
Shetani hataki tupate
shangwe kwa kumtumikia Yehova.
Kwa nini?
Kwa sababu, kwanza
anajua shangwe inatusaidia
kuendelea kuhubiri na kufundisha
na hiyo ndiyo kazi
anayotaka kukomesha.
Kwa hiyo, anajaribu
kuharibu shangwe yetu,
iwe ni kupitia marufuku
kutoka kwa serikali
au upinzani kutoka kwa familia
au jamii yetu.
Pia Shetani anataka
tupunguze utumishi wetu
kwa Yehova ili kutafuta
vitu vya kimwili
ambavyo si vya lazima.
Anataka tufikiri kwamba
kupata vitu vingi zaidi vya kimwili
kutatuletea shangwe ya kudumu.
Lakini haviwezi kutuletea shangwe.
Mbinu hizo za Shetani si mpya.
Tutakaposoma sehemu za
vitabu vya Ezra,
Hagai,
na Zekaria,
tafuta masomo
yanayoweza kutusaidia
‘kumtumikia Yehova
kwa kushangilia’ leo.
Jaribu kutafuta
ni mambo gani yaliyowaletea
watu wa Yehova shangwe,
na ni mambo gani
yaliyowanyima shangwe.
Na ufikirie ni kwa nini
tunaweza kupata
“shangwe ya Yehova” leo,
na jinsi ya kuipata,
hata chini ya hali ngumu.
Ezra,
kuhani na mwandishi wa
Sheria ya Musa,
ndiye aliyeandika kitabu
kinachoitwa kwa jina lake.
Ambacho kinaendelea
kuzungumzia historia ya taifa la Israeli
baada ya matukio
tunayosoma kwenye Mambo ya
Nyakati cha pili.
Huenda Ezra
ndiye aliyeandika kitabu hicho.
Ni mwaka wa 537 K.W.K.,
na Wayahudi wengi wako
karibu kurudi Yuda.
Taifa hilo limekuwa utekwani
Babiloni kwa miaka 70
kwa sababu ya ibada ya sanamu.
Wamejifunza somo muhimu,
na hakuna wakati ambapo taifa lote
linarudia ibada ya sanamu tena.
Sasa wakati umefika
wa kurudisha ibada safi
Yerusalemu.
Simulizi hilo linazungumzia
mambo yaliyotokea wakati wa
wafalme kadhaa wa Uajemi,
kuanzia na Mfalme Koreshi,
na linaanza kwa matukio yenye shangwe.
Tafadhali fungua Ezra 1:1 hadi 6,
tusome pamoja.
Katika mwaka wa kwanza
wa utawala wa Mfalme Koreshi
wa Uajemi,
ili neno la Yehova
lililosemwa na Yeremia litimie,
Yehova aliichochea
roho ya Mfalme Koreshi wa Uajemi
atoe tangazo katika ufalme wake wote,
ambalo pia aliliandika,
akisema:
Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi:
‘Yehova Mungu wa mbinguni
amenipa falme zote za dunia,
naye ameniagiza nimjengee
nyumba Yerusalemu,
nchini Yuda.
Yeyote miongoni mwenu,
ninyi watu wake wote,
Mungu wake na awe pamoja naye,
na apande kwenda Yerusalemu,
kule Yuda,
na kuijenga upya
nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli
yeye ndiye Mungu wa kweli
ambaye nyumba yake
ilikuwa Yerusalemu.
Na mkaaji mgeni yeyote,
popote alipo,
majirani zake wamsaidie
kwa kumpa fedha na dhahabu,
mali na wanyama wa kufugwa,
pamoja na toleo la hiari
kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli,
iliyokuwa Yerusalemu.”
Ndipo viongozi wa ukoo wa Yuda
na Benjamini
na makuhani
na Walawi
kila mmoja ambaye roho yake
ilichochewa na Mungu wa kweli
wakajitayarisha kupanda
kwenda kujenga upya nyumba ya Yehova,
iliyokuwa Yerusalemu.
Wale wote waliowazunguka
wakawasaidia kwa kuwapa
vyombo vya fedha
na dhahabu,
mali,
wanyama wa kufugwa,
na vitu vyenye thamani,
mbali na matoleo yote ya hiari.
Hebu wazia!
Yehova anawarudisha
Wayahudi katika nchi yao
wakiwa na agizo kutoka kwa
Mfalme Koreshi mwenyewe
la kujenga upya hekalu.
Wayahudi wengi wanakubali
kwa shangwe mgawo huo.
Hata hivyo,
wale ambao hawangeweza kurudi
wanatoa msaada wa kifedha
kwa wale ambao wangeweza.
Huenda mapema katika
masika ya 537 K.W.K.,
Waisraeli 50,000 hivi
wanaondoka Babiloni.
Wanaongozwa na kuhani mkuu
Yeshua,
ambaye pia anaitwa
Yoshua,
na gavana ambaye
Koreshi amemweka rasmi,
Zerubabeli.
Wanafika Yuda mapema
katika majira ya vuli,
nao wana shangwe!
Lakini wafanye nini
ili kudumisha shangwe yao?
Ona kile wanachofanya mara tu
wanapozoea mazingira yao mapya.
Tusome Ezra 3:1 hadi 6:
Mwezi wa saba ulipofika
Waisraeli walikuwa katika majiji yao;
wakakusanyika Yerusalemu
wakiwa na kusudi moja.
Yeshua mwana wa Yehosadaki
na makuhani wenzake
na Zerubabeli mwana wa Shealtieli
na ndugu zake wakasimama
na kujenga madhabahu ya
Mungu wa Israeli,
ili kutoa dhabihu za
kuteketezwa juu yake,
kama ilivyoandikwa
katika Sheria ya Musa,
mtu wa Mungu wa kweli.
Basi wakajenga madhabahu
mahali ilipokuwa zamani,
ingawa waliwaogopa watu wa nchi jirani,
nao wakaanza kumtolea Yehova
dhabihu za kuteketezwa juu yake,
asubuhi
na jioni.
Kisha wakafanya Sherehe ya Vibanda
kulingana na ilivyoandikwa,
na siku baada ya siku
walitoa idadi iliyohitajika ya
dhabihu za kuteketezwa.
Baadaye
walitoa dhabihu za kuteketezwa
zilizotolewa kwa ukawaida
na matoleo kwa ajili ya miezi mipya
na majira yote yaliyotakaswa
ya sherehe za Yehova,
na pia toleo la hiari
la kila mtu
aliyemtolea Yehova kwa kupenda.
Tangu siku ya kwanza ya mwezi wa saba,
walianza kumtolea Yehova
dhabihu za kuteketezwa,
ingawa bado msingi
wa hekalu la Yehova
haukuwa umewekwa.
Je, ulitambua kwamba
Wayahudi walirudisha ibada ya Yehova
“ingawa waliwaogopa
watu wa nchi jirani”?
Kwa sababu ya kutenda kwa ujasiri,
hiyo inakuwa pindi
yenye shangwe sana kwao.
Inakuwa tu kama Musa alivyosema
alipoliagiza taifa
lisherehekee Sherehe ya Vibanda:
“Nanyi mtakuwa na shangwe kwelikweli”!
Mwaka unaofuata,
wanaweka msingi wa hekalu
kwa ujasiri na kwa shangwe.
Acheni tusome kuhusu hilo
kwenye Ezra 3:10 hadi 13:
Wajenzi walipoweka
msingi wa hekalu la Yehova,
makuhani waliovaa mavazi rasmi,
wakiwa na tarumbeta,
na Walawi,
wana wa Asafu,
wakiwa na matoazi,
wakasimama ili kumsifu Yehova
kulingana na maagizo ya
Mfalme Daudi wa Israeli.
Nao wakaanza kuimba kwa kuitiki
wakimsifu na kumshukuru Yehova
“kwa maana yeye ni mwema;
upendo wake mshikamanifu
kwa Israeli unadumu milele.”
Kisha watu wote wakapaza sauti
wakimsifu Yehova kwa sababu
msingi wa nyumba ya Yehova
ulikuwa umewekwa.
Makuhani wengi,
Walawi,
na viongozi wa koo
wazee ambao walikuwa
wameona ile nyumba ya kwanza
wakalia kwa sauti
kubwa walipoona
msingi wa nyumba hii ukiwekwa,
na wengine wengi wakapaza
sauti yao yote kwa shangwe.
Hivyo watu hawakuweza kutofautisha
kati ya sauti ya kushangilia
na ya kulia,
kwa maana watu walikuwa wakipaza sauti
kubwa hivi kwamba sauti hiyo ikasikika
mbali sana.
Naam, baadhi ya wazee wa taifa hilo
hawawezi kuwazia jinsi ambavyo
hekalu hilo lingeweza kufanana
na hekalu la Sulemani.
Lakini kelele zenye shangwe za watu
wengine zinafunika vilio vyao.
Hata hivyo, watu wa maeneo
yanayowazunguka hawafurahii jambo hilo.
Badala yake wanafanya mipango ya
kuzima shangwe yao.
Acheni tuone wanafanya hivyo jinsi gani
kwenye Ezra sura 4:1 hadi 3:
Maadui wa Yuda na Benjamini waliposikia
kwamba watu waliorudi
kutoka uhamishoni walikuwa wakimjengea
hekalu Yehova Mungu wa Israeli,
mara moja wakamfikia Zerubabeli
na viongozi wa koo
na kuwaambia:
Acheni tujenge pamoja nanyi;
kwa maana,
sisi pia tunamwabudu Mungu wenu
na tumekuwa tukimtolea dhabihu
tangu siku za
Mfalme Esar-hadoni wa Ashuru,
aliyetuleta hapa.
Hata hivyo,
Zerubabeli na Yeshua
na viongozi wa koo za Israeli
wakawaambia:
Hamna haki ya kujenga
pamoja nasi nyumba ya Mungu wetu,
kwa maana sisi wenyewe
tutamjengea Yehova
Mungu wa Israeli,
kama alivyotuamuru Mfalme Koreshi,
mfalme wa Uajemi.
Zerubabeli anatambua kwamba maadui hawa
hawana nia ya kuwasaidia,
bali wanataka kuwadhuru.
Ombi lao la kusaidia linapokataliwa,
wanajaribu kuwazuia
Wayahudi wasijenge hekalu.
Ona jinsi wanavyofanya hivyo
tunaposoma mstari wa 4 hadi 7:
Ndipo watu wa mataifa jirani wakazidi
kuwavunja moyo watu wa Yuda
na kuwakatisha tamaa ili wasijenge.
Waliwakodi washauri ili
kuvuruga mipango yao ya kujenga,
siku zote za Mfalme Koreshi wa Uajemi
mpaka wakati wa utawala
wa Mfalme Dario wa Uajemi.
Mwanzoni mwa utawala wa Ahasuero,
waliandika mashtaka
dhidi ya wakaaji wa Yuda
na Yerusalemu.
Na katika siku za utawala wa
Mfalme Artashasta wa Uajemi,
Bishlamu,
Mithredathi,
Tabeeli,
na wenzake
walimwandikia Mfalme Artashasta;
wakaitafsiri barua hiyo katika Kiaramu,
na kuiandika kwa herufi za Kiaramu.
Acheni tusome barua ambayo Rehumu,
ofisa mkuu wa serikali,
na maadui wengine wa Waisraeli,
wanamwandikia mfalme.
Ona ni mashtaka gani ya
uwongo wanayotoa,
tunaposoma Ezra 4:11 hadi 16:
Hii ndiyo nakala ya barua waliyomtumia.
Kwa Mfalme Artashasta
kutoka kwa watumishi wako,
watu walio Ng’ambo ya Mto:
Sasa tungependa kumjulisha
mfalme kwamba Wayahudi
waliokuja huku kutoka kwako
wamefika Yerusalemu.
Wanajenga upya
lile jiji lenye uasi na uovu,
nao wanamalizia kujenga kuta
na kurekebisha misingi yake.
Sasa tungependa mfalme ajue kwamba
ikiwa jiji hili litajengwa upya
na kuta zake kukamilishwa,
hawatalipa kodi,
ushuru,
wala ada,
na jambo hilo litasababisha hasara
kwa hazina za wafalme.
Na kwa kuwa sisi hula
chumvi ya jumba la mfalme
na si vema kwetu kuona
masilahi ya mfalme yakiathiriwa,
ndiyo sababu tumetuma barua
ili kumjulisha mfalme jambo hilo,
ili uchunguzi ufanywe katika kitabu cha
kumbukumbu za mababu zako.
Ndipo utakapoona katika kitabu hicho
cha kumbukumbu kwamba
hili ni jiji lenye uasi,
linalowaletea hasara wafalme na mikoa,
na tangu zamani lilikuwa
na wachochezi wa uasi.
Ndiyo sababu jiji hili
liliangamizwa.
Tunakujulisha mfalme
kwamba jiji hili likijengwa upya
na kuta zake kukamilishwa,
hutaweza kutawala tena
eneo lililo Ng’ambo ya Mto.
Je, umewahi kusikia mashtaka
kama hayo ya uwongo?
Ni kama yale ambayo
maadui wetu hutusingizia leo:
“Hawalipi kodi.
Waipinga serikali.
Wao ni waasi
na wanawachochea watu kuwa waasi.
Hawawezi kudhibitiwa.”
Bila shaka, hayo ni mashtaka ya uwongo!
Mashtaka hayo yaliathiri kazi ya Waisraeli.
Mfalme aliamuru kazi ikomeshwe,
na kazi ya kujenga upya hekalu ikakoma.
Inasikitisha sana!
Mwanzoni Wayahudi waliporudi,
hawakuruhusu woga wa wanadamu
uwazuie kufanya kazi ya Yehova.
Lakini sasa waliruhusu uwoga uwazuie.
Leo, maadui wetu wameongeza
upinzani wao dhidi ya kazi ya Yehova.
Lakini, kulegeza msimamo
au kuacha kabisa utendaji wetu
hakuwezi kuleta shangwe
kunaleta huzuni tu.
Lakini kudumisha uaminifu
kunaleta shangwe,
hata tunapokabili upinzani mkali.
Hilo linawezekanaje?
Fikiria mfano halisi.
Wazia mama na binti yake
wakiwa wamezungukwa na
kundi kubwa la wanaume wanaofanya
fujo na kujaribu kuwalazimisha kununua
kadi za chama cha kisiasa.
Akina dada hao watafanya nini?
Wakilegeza msimamo
na kununua kadi hizo,
maadui wao watafurahi.
Lakini ikiwa wangefanya hivyo
dada hao wangejisikia vibaya sana
baadaye kwa sababu
wanajua walimkana Baba yao wa mbinguni.
Dada hao hawakukubali.
Bila shaka, hawakufurahia
kudhihakiwa na kutendewa vibaya.
Hata hivyo, baadaye
dhamiri zao zilikuwa safi.
Na walikuwa na shangwe moyoni,
kwa sababu walijua walidumisha
uaminifu wao kwa Yehova.
Namna gani Wayahudi katika siku za Ezra?
Huenda wengi
waliacha maisha yenye starehe
Babiloni ili kufunga safari ndefu
na ngumu kurudi Yuda.
Sasa, baada ya miaka 14
ya kukabili upinzani,
kuanzia walipoweka msingi wa hekalu
hadi walipopigwa marufuku,
Wayahudi wamepoteza bidii yao
kwa ajili ya kazi ya Yehova.
Wanatoa dhabihu kidesturi tu,
lakini hawafanyi kile ambacho Yehova
<i>aliwaagiza</i> wafanye,
yaani, wamalize kujenga hekalu!
Wanapokabili upinzani,
wanafikia mkataa
kwamba huenda huu si
wakati wa Yehova wa
kukamilisha kazi hiyo.
Inaonekana kwamba hata
Gavana Zerubabeli na
kuhani mkuu Yeshua
wanahitaji kutiwa moyo.
Ili kuwatia moyo,
Yehova anamtuma nabii Hagai.
Sasa tufungue kitabu cha Hagai sura ya 1.
Ujumbe mzito na ulio wazi wa Hagai,
uliotolewa katika
kipindi cha miezi minne hivi,
unaonyesha wazi tatizo lilikuwa nini,
kama tunavyosoma
kwenye Hagai 1:2 hadi 11:
Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Watu hawa wanasema,
‘Wakati wa kujenga nyumba ya Yehova
bado haujafika.’”
Na neno la Yehova likaja tena
kupitia nabii Hagai, likisema:
“Je, ni wakati wa ninyi kukaa
katika nyumba zilizopambwa kwa mbao,
huku nyumba hii ikiwa magofu?
Sasa hivi ndivyo anavyosema
Yehova wa majeshi,
‘Kazieni mioyo yenu juu ya njia zenu.
Mmepanda mbegu nyingi,
lakini mnavuna kidogo.
Mnakula,
lakini hamshibi.
Mnakunywa,
lakini hamtosheki.
Mnavaa nguo,
lakini hakuna yeyote anayepata joto.
Kibarua huweka mshahara wake katika
mfuko uliojaa mashimo.’
Yehova wa majeshi anasema hivi:
‘Kazieni mioyo yenu juu ya njia zenu.
Pandeni juu mlimani mkalete miti.
Jengeni nyumba hii,
ili niifurahie
na ili nitukuzwe,’
asema Yehova.
‘Mlitazamia mavuno mengi
lakini mlipata kidogo;
na mlipoyaleta katika nyumba hii,
niliyapeperusha mbali.
Kwa nini?’
auliza Yehova wa majeshi.
‘Kwa sababu nyumba yangu ni magofu,
huku kila mmoja wenu
akikimbia huku na huku
ili kuitunza nyumba yake mwenyewe.
Kwa hiyo
mbingu zilizo juu yenu
zikazuia umande wake,
na dunia
ikazuia mazao yake.
Nami niliendelea
kuuita ukame uje duniani,
milimani,
kwenye nafaka,
kwenye divai mpya,
kwenye mafuta,
kwenye mimea inayoota ardhini,
juu ya wanadamu
na mifugo,
na juu ya kazi yote
ya mikono yenu.’”
Yehova analinganisha
matokeo ya ubinafsi wa Wayahudi
na kibarua anayeweka
mshahara wake katika
mfuko uliojaa mashimo.
Kwa kuwa Wayahudi
wanaipuuza nyumba ya Yehova,
anawanyima baraka zake.
Wanapata matokeo machache
kutokana na jitihada zao,
na kwa kweli hawana furaha.
Watu fulani wanajaribu kujifariji kwa
kupamba nyumba zao.
Lakini <i>vitu vya kimwili,</i>
haviwezi kutosheleza mahitaji ya kiroho.
Je, tunaona onyo kwetu?
Si vibaya kuwa na vitu vizuri vya kimwili.
Lakini vitu vya kimwili
haviwezi kutuletea shangwe ya
kweli na ya kudumu,
hasa ikiwa tunapuuza
kazi ya Yehova ili kuvipata.
Kumbuka somo tunalopata
kwenye Zaburi 127:1:
“Yehova asipoijenga nyumba,
wale wanaoijenga
wanafanya kazi ngumu ya bure.”
Kwa upande mwingine,
‘tunapoutafuta kwanza
Ufalme na uadilifu wake’,
<i>Yehova</i> atatuandalia kile tunachohitaji
na atafanya hivyo
kwa wakati unaofaa kabisa.
Methali 10:22 inatuambia hivi:
“Baraka ya Yehova
ndiyo inayomtajirisha mtu,
naye haichanganyi na maumivu.”
Je, hekalu hilo litakalojengwa upya
litakuwa na utukufu kama
ule wa hekalu la Sulemani?
Kupitia Hagai,
Yehova anahakikisha
kwamba utukufu wa nyumba hiyo
utakuwa mkubwa
kuliko ule wa Sulemani.
Tuendelee kusoma Hagai 2:3 hadi 9.
Ni nani aliyebaki
miongoni mwenu ambaye
aliiona nyumba hii
katika utukufu wake wa mwanzoni?
Sasa mnaionaje?
Je, hamwoni kwamba ni duni
ikilinganishwa na ilivyokuwa?
Lakini sasa jipe moyo Zerubabeli,
asema Yehova,
jipe moyo Yoshua
mwana wa Yehosadaki,
kuhani mkuu.
Nanyi watu wote wa nchi,
jipeni moyo,
asema Yehova,
‘na mfanye kazi.
Kwa maana niko pamoja nanyi,
asema Yehova wa majeshi.
Kumbukeni ahadi
niliyowapa mlipotoka Misri,
na roho yangu bado
imo miongoni mwenu.
Msiogope.
Kwa maana Yehova wa majeshi
anasema hivi:
Kwa mara nyingine tena
baada ya muda mfupi
nitatikisa mbingu na dunia
na bahari na nchi kavu.
Nami nitayatikisa mataifa yote,
na vitu vyenye thamani vya mataifa yote
vitaingia katika nyumba hii;
nami nitaijaza nyumba hii utukufu,
asema Yehova wa majeshi.
Fedha ni yangu,
na dhahabu ni yangu,
asema Yehova wa majeshi.
Utukufu wa wakati ujao wa nyumba hii
utakuwa mkubwa zaidi kuliko
ule wa mwanzoni,
asema Yehova wa majeshi.
Na mahali hapa nitawapa amani,
asema Yehova wa majeshi.
Muumba na mmiliki wa ulimwengu mzima
anapotangaza kusudi lake,
ni nani au ni nini kinachoweza kumzuia?
Hakuna kinachoweza kumzuia!
Ujumbe wa Yehova
uko wazi kabisa.
Lakini bado Wayahudi waliorudi
walihitaji kutiwa moyo zaidi.
Yehova anamtuma malaika wake
aende kwa nabii mwingine,
Zekaria.
Tafadhali fungua Zekaria 1:12 hadi 16,
na tusome maneno yenye
kutia moyo ambayo malaika
aliliambia taifa la Israeli.
Zekaria 1:12 hadi 16.
Basi malaika wa Yehova akauliza:
Ee Yehova wa majeshi,
utaendelea hadi lini kukataa
kuwaonyesha rehema
wakaaji wa Yerusalemu
na wa majiji ya Yuda,
ambao umewakasirikia kwa miaka hii 70?
Yehova akamjibu kwa maneno ya fadhili
na yenye kufariji malaika huyo
aliyekuwa akizungumza nami.
Kisha malaika huyo aliyekuwa
akizungumza nami akaniambia:
Tangaza hivi kwa sauti,
“Yehova wa majeshi anasema hivi:
‘Nina bidii kwa ajili ya Yerusalemu
na Sayuni,
bidii nyingi.
Kwa hasira kali nimeyakasirikia
mataifa yanayostarehe,
kwa sababu niliwakasirikia
kidogo watu wangu,
lakini yalizidisha msiba wao.’
Basi Yehova anasema hivi:
‘Nitarudi Yerusalemu kwa rehema,
na nyumba yangu mwenyewe
itajengwa humo,’
asema Yehova wa majeshi,
‘na kamba ya kupimia
itanyooshwa juu ya Yerusalemu.’”
Ili kukazia jinsi Yehova
atakavyowalinda watu wake,
malaika huyo anaendelea
kusema hivi kwenye sura ya 2,
mstari wa 7 hadi 9:
Njoo, Ee Sayuni!
Kimbia, wewe unayekaa na
binti ya Babiloni.
Kwa maana hivi ndivyo
anavyosema Yehova wa majeshi,
ambaye baada ya kutukuzwa
amenituma kwa mataifa
yaliyokuwa yakiwapora ninyi:
“Yeyote anayewagusa ninyi
anaigusa mboni ya jicho langu.
Kwa maana sasa
nitaupunga mkono wangu dhidi yao,
nao watakuwa nyara
kwa watumwa wao wenyewe.”
Na hakika mtajua kwamba
Yehova wa majeshi amenituma.
Ungemruhusu mtu akuguse
kwenye mboni ya jicho?
Bila shaka la!
Yehova pia hatawaruhusu
wapinzani wa Waisraeli wawadhuru.
Kwenye Zekaria 3:1 na 2,
malaika huyo anafunua
adui mwenye nguvu zaidi ambaye
ndiye chanzo cha upinzani.
Naye akanionyesha
kuhani mkuu Yoshua akiwa amesimama
mbele ya malaika wa Yehova,
na Shetani alikuwa amesimama
kwenye mkono wa kulia wa Yoshua
ili kumpinga.
Kisha malaika wa
Yehova akamwambia Shetani:
Yehova na akukemee,
ewe Shetani, naam,
Yehova,
ambaye amechagua Yerusalemu,
na akukemee!
Je, mtu huyu si gogo
lililochomolewa motoni?
Je, hayo yote yalikusudiwa
kuwafanya Waisraeli wajiamini
kwa sababu ya uwezo wao wenyewe?
La hasha!
Walihitaji kukumbuka
kwamba hawawezi
kutimiza jambo lolote
bila msaada wa Yehova.
Sikiliza maneno yafuatayo ya
malaika huyo kwenye Zekaria sura ya 4,
mstari wa 6 na 7:
Hili ndilo neno la Yehova
kwa Zerubabeli:
“‘Si kwa jeshi,
wala si kwa nguvu,
bali kwa roho yangu,’
asema Yehova wa majeshi.
Wewe ni nani,
Ee mlima mkubwa?
Mbele ya Zerubabeli
utakuwa nchi tambarare.
Naye ataleta nje
jiwe la juu kabisa la hekalu
huku watu wakishangilia:
‘Ni zuri ajabu!
Ni zuri ajabu!’”
Wakiwa wamechochewa
na maneno ya Yehova
kupitia manabii wake wawili,
Wayahudu wanaacha
kuwa na shaka na wanaanza
kujenga tena hekalu.
Kama ilivyotarijiwa,
maadui ambao ni majirani wa Israeli,
wakiongozwa na Tatenai
na Shethar-bozenai,
wanajaribu kuvuruga kazi hiyo.
Tusome tena Ezra,
sura ya 5, mstari wa 3 hadi 5:
Wakati huo
Tatenai gavana wa
eneo lililo Ng’ambo ya Mto
na Shethar-bozenai
na wenzao wakaja na kuwauliza:
Ni nani aliyewaagiza
mjenge nyumba hii
na kukamilisha nguzo hizi?
Pia, wakawauliza:
Wanaume wanaojenga
jengo hili ni akina nani?
Lakini Mungu alikuwa
pamoja na wazee wa Wayahudi,
nao hawangeweza kuwazuia
kabla ya kumwandikia Dario
na kupata barua rasmi
kuhusu jambo hilo kutoka kwake
Hilo ni somo lingine kwetu leo:
Tunapoendelea kufanya kazi ya Yehova
kwa ujasiri licha ya upinzani,
Yehova anabariki jitihada zetu
na kutuwezesha kuendelea kumtumikia.
Lakini, kwa sasa
wanapaswa kuendelea na
kazi yao ya kujenga hekalu
licha ya marufuku.
Mfalme aliyepiga marufuku kazi yao
aliuawa baada ya
kutawala kwa miezi saba tu.
Kwa hiyo, Tatenai na wenzake
wanashughulika na mfalme <i>mpya</i>,
Dario wa kwanza.
Wanapowashutumu Wayahudi,
wanajaribu kutumia
maneno ya Zerubabeli
dhidi yake mwenyewe,
kutia ndani maneno aliyosema
kwamba Mfalme Koreshi
ndiye aliyetoa agizo la
kujenga upya hekalu.
Wanamwomba Mfalme Dario
afanye utafiti
ili kuhakikisha
ukweli wa maneno hayo.
Dario anaagiza uchunguzi ufanywe.
Mfalme Dario atafanya uamuzi gani?
Je, imani ya Wayahudi iliyochochewa
na iliyoimarishwa itawaletea shangwe?
Au italeta matatizo zaidi?
Dario aligundua kwamba
Koreshi alitoa agizo la
kujenga upya hekalu hilo.
Tunasoma jibu kali alilolitoa
kwenye Ezra 6:6 hadi 12.
Basi, Tatenai
gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto,
Shethar-bozenai,
na wenzenu,
magavana wadogo wa
eneo lililo Ng’ambo ya Mto
msikaribie mahali hapo.
Msiingilie kazi ya nyumba hiyo ya Mungu.
Gavana wa Wayahudi
na wazee wa Wayahudi
watajenga upya nyumba hiyo ya Mungu
mahali ilipokuwa zamani.
Pia, ninatoa agizo
kuhusu jambo mnalopaswa
kuwafanyia wazee hao wa Wayahudi
kwa ajili ya kujenga upya
nyumba hiyo ya Mungu:
Gharama zao zote
zitalipwa bila kuchelewa
kutoka katika hazina ya mfalme,
kodi inayokusanywa
katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto,
ili ujenzi uendelee bila kukatizwa.
Na chochote kinachohitajiwa
ng’ombe dume wachanga
pamoja na kondoo dume
na wanakondoo kwa ajili ya dhabihu
za kuteketezwa
kwa Mungu wa mbinguni,
ngano,
chumvi,
divai,
na mafuta,
kama watakavyosema
makuhani walio Yerusalemu
waendelee kupewa vitu hivyo
siku baada ya siku
bila kukosa,
ili waendelee kutoa matoleo
yanayompendeza Mungu wa mbinguni
na kumwombea mfalme na wanawe
wawe na maisha marefu.
Pia nimetoa agizo kwamba
yeyote atakayevunja amri hii,
nguzo itang’olewa katika nyumba yake
naye atatundikwa juu ya nguzo hiyo,
na nyumba yake itafanywa
kuwa choo cha umma
kwa sababu ya kosa hilo.
Na Mungu aliyefanya jina lake likae huko
na ampindue mfalme yeyote
na watu watakaonyoosha mkono
ili kukiuka agizo hili
na kuiharibu nyumba ya Mungu,
iliyo Yerusalemu.
Mimi, Dario,
ninatoa agizo hili.
Nalo litekelezwe bila kukawia.
Baada ya kupokea amri ya mfalme,
Tatenai na wenzake wanasalimu amri.
Hawakupaswa tu kuacha kuzuia
kazi ya ujenzi wa hekalu,
bali pia wanapaswa
kulipia gharama za ujenzi!
Wayahudi waaminifu wanashangilia sana
kupata uamuzi huo.
Mwaka 515 K. W. K.,
wanazindua nyumba ya Mungu
kwa shangwe,
ona maneno tunayosoma kwenye
mstari wa 22:
Pia, wakasherehekea
kwa shangwe Sherehe ya
Mikate Isiyo na Chachu kwa siku saba,
kwa maana Yehova aliwafanya washangilie
na alikuwa ameugeuza moyo wa
mfalme wa Ashuru
ili awatendee mema,
hivi kwamba akawaunga
mkono katika kazi
ya nyumba ya Mungu wa kweli,
Mungu wa Israeli.
Leo, maofisa wenye hekima
na wanaofuata haki wanapotumia
mamlaka yao kutusaidia,
tunashukuru sana.
Lakini tunashukuru zaidi
kwamba Yehova anaelekeza mambo.
Kama Methali 21:1 inavyosema:
“Moyo wa mfalme ni kama
vijito vya maji mkononi mwa Yehova.
Yeye huuelekeza mahali
popote anapopenda.”
Kwa hiyo,
hatuweki tegemeo letu katika mtawala
au shirika lolote la ulimwengu huu.
Hakuna yeyote kati yao anayeweza
kutuletea wokovu wa kudumu.
Kabla ya mwisho wa
mfumo huu wa Shetani,
mataifa yote yatawashambulia
watu wa Yehova.
Lakini mataifa yatapatwa
na hali mbaya kuliko
ile iliyompata Tatenai.
Tunajifunza masomo gani
kutokana na sehemu hizo za Ezra,
Hagai,
na Zekaria?
Kwanza,
Yehova anabariki jitihada zetu za
kuendelea kufanya kazi yake
licha ya changamoto,
lakini hawaruhusu
wapinzani waizuie kazi yetu.
Pili, tunapotanguliza
kazi ya Yehova mbele ya vitu vya kimwili,
anatupatia shangwe ya kweli.
Yesu ametukabidhi kazi gani leo?
Katika maneno yake ya mwisho
kwa wafuasi wake,
alisema hivi waziwazi:
“Basi,
nendeni
mkafanye wanafunzi kutoka
kwa watu wa mataifa yote.”
Kupitia mambo tunayofikiria na kutenda,
Je, tunaonyesha kwamba huo ndiyo
mgawo muhimu zaidi kwetu?
Hagai alitabiri kwamba siku moja,
hekalu la Yehova
lingekuwa na utukufu mkubwa
kuliko lile lililojengwa na Sulemani.
Unabii huo unatimizwa leo.
Yehova anatumia
kazi yetu ya kuhubiri
kuyatikisa mataifa.
Mamilioni ya “vitu vyenye thamani,
yaani,
waabudu wapya,
wanakuja kwake.
Wanamiminika kwa shangwe
katika hekalu kubwa la kiroho
mpango wa Yehova wa kumwabudu
kwa msingi wa dhabihu
ya fidia ya Yesu Kristo.
Huu si wakati wa kukazia fikira
“nyumba zilizopambwa kwa mbao”
au katika utendaji mwingine
usio wa lazima.
Hivi karibuni sana,
katika siku ambayo hatutarajii,
ulimwengu wa Shetani utakoma,
nasi tutaingia katika
ulimwengu mpya wa Yehova.
Kwa hiyo, hata Shetani
ajaribu kufanya nini kutuvunja moyo,
na kutukengeusha,
na tusimruhusu atunyang’anye
shangwe yetu ya kumtumikia Yehova!
Na tuendelee kutembea pamoja na Yehova
mpaka tutakapoingia
katika ulimwengu wake mpya wenye amani,
ambapo tutamtumikia milele kwa shangwe.
Zerubabeli,
Yeshua,
Hagai,
na Zekaria
wamefanya mengi kuwasaidia Waisraeli
kupata tena kibali cha Yehova.
Katika mwaka wa 468 K. W. K.,
Ezra mwenyewe alifika Yerusalemu
kuunga mkono ibada ya kweli.
Lakini bado taifa linahitaji mwongozo zaidi.
Kwa hiyo,
Yehova anamtuma kiongozi mwingine jasiri.
Wakati wa siku mbili zifuatazo
za kusanyiko hili,
tutajifunza kumhusu mwanamume
huyo mwaminifu na mwenye nguvu
Nehemia.
-