00:00:08
Ulikuwa mwezi wa Tishri,00:00:10
00:00:10
mwanzo wa sherehe ambayo00:00:12
00:00:12
ingeendelea kwa mwezi mzima.00:00:14
00:00:14
Tulikuwa tumemaliza kujenga upya00:00:16
00:00:16
ukuta wa jiji kuu la Yehova.00:00:18
00:00:20
Sasa wakati ulikuwa umefika00:00:22
00:00:22
wa kujenga upya hali ya kiroho00:00:24
00:00:24
ya watu wake waliochaguliwa.00:00:26
00:00:26
Wengi wao hawakujua Sheria ya Mungu.00:00:29
00:00:29
Na mtu ambaye angetusaidia00:00:31
00:00:31
kupata uelewaji huu ni00:00:33
00:00:33
mwanamume aliyekuwa amerudi00:00:34
00:00:34
Yerusalemu kabla yangu00:00:36
00:00:36
Ezra.00:00:37
00:00:37
. . . masharti na sheria za Yehova.00:00:41
00:00:42
Yeye na Walawi wengine walisoma kwa sauti00:00:45
00:00:45
maneno ya Sheria ya Mungu.00:00:47
00:00:47
-Tafakari kumhusu Mungu
-Na hawakuisoma tu,00:00:49
00:00:49
-umpende na kumtii Yehova.
-bali waliifafanua waziwazi. 00:00:52
00:00:52
na kueleza maana yake.00:00:54
00:00:55
Sisi sote,00:00:56
00:00:56
tulianza kuelewa tulikuwa00:00:58
00:00:58
tumemhuzunisha Yehova kwa kadiri gani,00:01:01
00:01:01
Kwa kufanya kazi siku ya Sabato,00:01:03
00:01:04
kwa kutoa dhabihu za wanyama00:01:06
00:01:06
walio vilema,00:01:07
00:01:07
na kuwataliki wake zetu00:01:09
00:01:09
ili kuoa wanawake wa kigeni.00:01:11
00:01:12
Ingawa mioyo yetu iliumia,00:01:14
00:01:14
kwa kusoma sheria ya Mungu,00:01:16
00:01:16
tulikuwa tukijifunza00:01:17
00:01:17
kuwa watu wa Yehova tena.00:01:19
00:01:19
Msiomboleze wala kulia.00:01:22
00:01:22
Sasa kwa kuwa mnajua00:01:23
00:01:23
kinachomchukiza Mungu,00:01:25
00:01:25
mnaweza kufanya kinachompendeza.00:01:27
00:01:28
Nendeni.00:01:29
00:01:29
Mkale vitu bora,00:01:31
00:01:31
na kunywa vitu vitamu,00:01:33
00:01:33
na mwape chakula wale ambao hawana.00:01:36
00:01:36
nanyi msihuzunike,00:01:38
00:01:38
kwa maana shangwe ya Yehova00:01:41
00:01:41
ndiyo ngome yenu.00:01:42
00:01:49
Tulifuata maagizo ya Yehova00:01:51
00:01:51
tuliposherehekea sherehe ya vibanda.00:01:53
00:02:08
Kwa siku nyingi tulikuwa na shangwe00:02:11
00:02:11
na tukamshukuru00:02:12
00:02:12
Yehova kwa baraka zake.00:02:14
00:02:15
Kisha kwenye siku ya 24,00:02:17
00:02:17
tulikusanyika ili kusoma sheria ya Mungu,00:02:21
00:02:21
kutubu dhambi zetu,00:02:23
00:02:25
na kuomboleza kwa sababu ya makosa yetu.00:02:27
00:02:35
Tulifanya mapatano thabiti kwa maandishi.00:02:39
00:02:55
Tuliazimia kutii sheria ya Yehova.00:02:58
00:02:59
Amina!00:03:00
00:03:01
Amina!00:03:02
00:03:03
Lakini00:03:04
00:03:05
upesi wengine wakasahau ahadi yao.00:03:08
00:03:08
Pelethi!00:03:09
00:03:11
Rahamu,00:03:12
00:03:15
ndio hii kodi yetu.00:03:17
00:03:18
Niingizie ndani ya mfuko.00:03:19
00:03:19
Ni vigumu kubeba kikapu.00:03:21
00:03:24
Umesikia kuhusu wazo jipya la Nehemia?00:03:26
00:03:27
Unamaanisha mpango wa watu00:03:28
00:03:28
kuhamia Yerusalemu?00:03:29
00:03:29
Namaanisha wazo lake la ajabu00:03:31
00:03:31
la kulazimisha familia zirudi ndani ya jiji00:03:33
00:03:33
familia 1 kati ya 10.00:03:35
00:03:37
Ndiyo, nimesikia.00:03:38
00:03:38
Sielewi nimechaguliwaje.00:03:40
00:03:40
Kwa nini nichaguliwe?00:03:41
00:03:41
Hajali jinsi sisi00:03:42
00:03:42
tunaomiliki mashamba tunavyoathiriwa?00:03:45
00:03:46
Oh!00:03:46
00:03:48
Wewe unapaswa kuhama lini?00:03:50
00:03:51
Eti nihame?00:03:52
00:03:52
Mimi sihami.00:03:53
00:03:53
Nina haki ya kuishi ninapotaka,00:03:55
00:03:55
nawe pia.00:03:56
00:03:57
Mimi sikuchaguliwa.00:03:58
00:03:58
Utachaguliwa tu.00:03:59
00:03:59
Na wakati huu unapaswa00:04:01
00:04:01
kujiunga na mimi kukataa kuhama.00:04:03
00:04:06
Rahamu,00:04:07
00:04:09
mfalme alimtuma Nehemia hapa00:04:11
00:04:11
kujenga upya jiji.00:04:12
00:04:14
Nehemia ndiye gavana.00:04:16
00:04:16
Magavana huja00:04:17
00:04:17
nao huondoka.00:04:19
00:04:19
Mfalme anamsubiri Nehemia arudi,00:04:21
00:04:21
na atakaporudi,00:04:22
00:04:22
hali zitabadilika.00:04:23
00:04:23
Hata Nehemia atakapoondoka,00:04:25
00:04:25
Yehova bado atakuwa hapa.00:04:27
00:04:27
Na ni mapenzi yake00:04:29
00:04:29
Yerusalemu lijengwe upya,00:04:30
00:04:32
wewe huamini hilo?00:04:34
00:04:34
Kwa hiyo utamuunga mkono Nehemia?00:04:36
00:04:37
Unawezaje kunisaliti hivyo?00:04:39
00:04:42
Rahamu,00:04:43
00:04:46
kodi yako!00:04:48
00:04:58
Wewe na Rahamu00:04:59
00:04:59
mlikuwa mnazungumzia nini?00:05:01
00:05:01
Rahamu anagoma kuhamia Yerusalemu00:05:04
00:05:08
na anataka tumuunge mkono.00:05:10
00:05:10
Ulimwambia nini?00:05:11
00:05:13
Nilimwambia,00:05:14
00:05:14
Nehemia anafanya mapenzi ya Yehova.00:05:16
00:05:18
Rahamu haelewi00:05:19
00:05:19
jinsi anavyoweza kuwa na furaha,00:05:21
00:05:21
ikiwa tu angefuata mwongozo wa Yehova.00:05:24
00:05:27
Kwa hiyo,00:05:28
00:05:28
sisi tutahama tukichaguliwa?00:05:30
00:05:32
Ndiyo.00:05:33
00:05:35
Afadhali niwe kama Nehemia00:05:37
00:05:38
kuliko Rahamu,00:05:39
00:05:40
unakubaliana nami?00:05:41
00:05:41
Ndiyo.00:05:41
00:05:43
Mimi pia.00:05:43
00:05:51
Wakati wa kuzindua kuta,00:05:54
00:05:54
tulijaza Yerusalemu nyimbo za kumsifu00:05:57
00:05:57
na kumshukuru Mungu.00:05:59
00:06:04
Shangwe yetu kubwa ingeweza kusikika00:06:07
00:06:07
kutoka mbali sana.00:06:08
00:06:11
Niliendelea kufikiria kuhusu siku hiyo00:06:13
00:06:13
hata baada ya kurudi Uajemi.00:06:16
00:06:17
Lakini yaliyofuata yalinionyesha00:06:19
00:06:19
laiti nisingaliondoka.00:06:21
00:06:33
Yehova alimtokeza00:06:35
00:06:35
mjumbe ambaye aliandika00:06:36
00:06:36
mambo yaliyotokea Yerusalemu00:06:39
00:06:39
baada ya mimi kuondoka.00:06:41
00:06:41
Aliitwa Malaki.00:06:43
00:06:48
Tobia,00:06:49
00:06:49
ambaye hakuwa Myahudi,00:06:51
00:06:51
alipata chumba katika hekalu.00:06:54
00:06:54
Tobia,00:06:56
00:06:56
-Alitumia watu wake wa ukoo
-na uwe na amani.00:06:58
00:06:58
-waliokuwa Wayahudi
-Na uwe na amani pia.00:07:00
00:07:00
kujifaidi mwenyewe.00:07:02
00:07:02
Nini kimekuleta hekaluni00:07:03
00:07:03
baada ya muda mrefu?00:07:04
00:07:04
Nilitaka tu kukusalimu,00:07:06
00:07:06
oh, na kukuletea zawadi hii ndogo.00:07:08
00:07:11
Tobia,00:07:12
00:07:12
wewe ni mkarimu sana.00:07:14
00:07:14
Ni kitu kidogo tu.00:07:15
00:07:16
Kwa hiyo,00:07:17
00:07:17
kuna chochote ninachoweza kukufanyia?00:07:19
00:07:19
Kwa kuwa umeuliza,00:07:21
00:07:21
eeh, nina ombi moja dogo tu.00:07:23
00:07:23
Niambie,00:07:24
00:07:24
ungependa nikufanyie nini?00:07:25
00:07:25
Eeh, kwa kuwa sisi ni familia moja . . .00:07:28
00:07:29
Watu wetu wa ukoo00:07:30
00:07:30
wanapotutembelea kutoka Samaria,00:07:32
00:07:33
ingependeza sana ikiwa00:07:34
00:07:34
tungekuwa na mahali pa kula pamoja.00:07:36
00:07:36
-Mmh
-Hapa hapa ndani ya hekalu.00:07:38
00:07:40
Isitoshe, nao wanamwabudu Yehova pia.00:07:42
00:07:42
mara nyingi.00:07:43
00:07:45
Au tuseme mara chache.00:07:46
00:07:47
Eti chumba ndani ya hekalu?00:07:49
00:07:49
Unajua siwezi kufanya hivyo,00:07:51
00:07:53
yaani vyumba vyote vinatumika.00:07:56
00:07:56
Eti vyote vinatumika?00:07:57
00:07:58
Si vingine ni vya kuhifadhia vitu tu?00:08:00
00:08:00
Hayo ni maandalizi ya Walawi.00:08:02
00:08:04
Huwezi kuyahamisha nipate kimoja?00:08:06
00:08:06
Kimoja tu?00:08:07
00:08:07
Ninahitaji kimoja tu.00:08:09
00:08:09
Lakini Nehemia atasema nini?00:08:12
00:08:13
Nani anajali atasema nini?00:08:14
00:08:15
Nehemia alisharudi kule Shushani.00:08:17
00:08:18
Lakini vipi akijua?00:08:20
00:08:20
Nani atamwambia?00:08:21
00:08:22
Unapanga kumwambia?00:08:23
00:08:23
La, 00:08:24
00:08:24
-la!
-Basi,00:08:25
00:08:25
kwa nini uwe na hofu?00:08:26
00:08:39
Kwa hiyo kwa mara nyingine tena00:08:41
00:08:41
kuhani mkuu amefanya kile Tobia anataka.00:08:43
00:08:45
Niweke wapi hizi nafaka?00:08:46
00:08:46
Kuna nafasi hapa.00:08:47
00:08:47
-Uwe mwangalifu!
-Sawa, asante.00:08:49
00:08:52
Angalia nani anakuja.00:08:53
00:08:58
Mnaweza kuharakisha?00:08:59
00:08:59
Wakishaondoka,00:09:01
00:09:01
tutaweka meza hapa.00:09:04
00:09:04
Halafu,00:09:05
00:09:05
vitu tutavipanga ukutani. 00:09:06
00:09:07
Tobia,00:09:07
00:09:08
hebu nieleze,00:09:09
00:09:09
unafikiri tutahifadhia wapi vitu vyetu?00:09:11
00:09:11
Popote tu.00:09:12
00:09:12
Hiyo si shida yangu.00:09:13
00:09:14
Sasa, tafadhali ondokeni.00:09:16
00:09:16
Ondoeni hilo gari.00:09:17
00:09:17
Ondokeni.00:09:18
00:09:18
Kwa hiyo, tutashushia hapa,00:09:20
00:09:20
kisha kama nilivyosema,00:09:22
00:09:22
viti pale, meza hapo,00:09:23
00:09:24
halafu chakula.00:09:25
00:09:25
Eliashibu angewezaje kumruhusu yeyote,00:09:28
00:09:29
acha tu Tobia00:09:30
00:09:30
ajichukulie chumba00:09:32
00:09:32
kwa matumizi yake mwenyewe.00:09:33
00:09:33
Baada ya kazi yote ya Nehemia00:09:35
00:09:35
ya kurudisha utakatifu wa hekalu?00:09:37
00:09:37
Lakini kikweli watu wengi00:09:39
00:09:39
walishaacha kutoa sehemu ya kumi.00:09:40
00:09:40
Ikiwa tunataka kula00:09:42
00:09:42
tunapaswa kwenda00:09:43
00:09:43
kuchunga mifugo yetu na kulima.00:09:44
00:09:44
Hakuna faida kumtumikia Mungu.00:09:46
00:09:47
Samahani,00:09:48
00:09:48
ndugu zangu!00:09:49
00:09:50
Tusiruhusu matendo yao mabaya00:09:52
00:09:52
yatunyime shangwe.00:09:53
00:09:53
Kwa nini?00:09:53
00:09:53
Sisi tumefaidikaje kwa kumtumikia Yehova?00:09:56
00:09:56
Kweli,00:09:56
00:09:56
si andiko linasema:00:09:58
00:09:58
“Watunze vizuri kondoo wako”?00:10:00
00:10:02
Na linasema pia:00:10:04
00:10:04
“Mtu mwaminifu atapata baraka nyingi.”00:10:06
00:10:07
Tunapaswa kumtumaini Yehova,00:10:09
00:10:09
hatimaye00:10:10
00:10:10
yeye atanyoosha kila kitu.00:10:12
00:10:14
Malaki aliona hali mbaya sana ya watu.00:10:17
00:10:18
Walawi,00:10:19
00:10:19
ambao wakati fulani00:10:21
00:10:21
walikuwa watetezi wakuu00:10:22
00:10:22
wa viwango vya Yehova,00:10:24
00:10:24
sasa walianza kuwa na shaka00:10:26
00:10:26
kuhusu utumishi wao wenyewe.00:10:28
00:10:54
Kijana!00:10:55
00:10:56
Mbona usitoe dhabihu ya kondoo?00:10:58
00:10:59
Toa dhabihu kubwa,00:11:01
00:11:01
upate baraka kubwa.00:11:02
00:11:04
Na usisahau,00:11:05
00:11:06
majirani wako watakuheshimu.00:11:08
00:11:10
Asante.00:11:11
00:11:11
Tayari nina dhabihu yangu.00:11:12
00:11:12
Sawa, sawa. Subiri!00:11:14
00:11:14
Unaonekana kama mtu mzuri.00:11:16
00:11:17
Kwa hiyo wewe leo00:11:18
00:11:18
nikuuzie kwa bei maalumu00:11:20
00:11:20
ya chini hata kuliko njiwa wako.00:11:22
00:11:22
Karibia uangalie.00:11:24
00:11:25
Huyo kondoo ni kipofu!00:11:27
00:11:27
Halafu anachechemea!00:11:28
00:11:28
Kijana sikiliza,00:11:30
00:11:30
aina hii ya kondoo wanakuwa hivyo.00:11:32
00:11:33
Sheria inasema00:11:34
00:11:34
tusitoe wanyama vilema, vipofu00:11:36
00:11:36
au wagonjwa.00:11:37
00:11:37
Nitakapoweza kutoa kondoo,00:11:39
00:11:39
atakuwa mwenye afya.00:11:40
00:11:40
Huko ni kutupa pesa!00:11:42
00:11:42
Huyu kondoo yuko sawa.00:11:43
00:11:43
-Tena bei nzuri!
-Niache niondoke.00:11:45
00:11:45
Tumia akili,00:11:46
00:11:47
hiyo ni desturi tu.00:11:48
00:11:49
Aah!00:11:50
00:11:52
Mambo hekaluni yamebadilika sana.00:11:55
00:11:55
Ni kana kwamba00:11:56
00:11:56
watu wote hawamkumbuki Yehova tena.00:11:58
00:12:02
Azuba!00:12:03
00:12:05
Kuna nini?00:12:06
00:12:08
Azuba00:12:09
00:12:09
Nini kimetokea?00:12:11
00:12:12
Rahamu anaendeleaje?00:12:14
00:12:23
Eti cheti cha talaka?00:12:25
00:12:28
Nilijaribu kuwa mke mzuri,00:12:30
00:12:30
lakini hakuridhika.00:12:32
00:12:36
Rahamu amenifukuza.00:12:37
00:12:37
Usiogope Azuba.00:12:39
00:12:39
Unaweza kuishi hapa,00:12:41
00:12:41
na sisi.00:12:41
00:12:42
Unakaribishwa.00:12:43
00:12:45
Jamani!00:12:46
00:12:46
Ni makosa yangu.00:12:47
00:12:48
Hupaswi kufikiri hivyo.00:12:50
00:12:50
Lakini sikumzalia watoto.00:12:52
00:12:53
Muwe mna watoto au la.00:12:55
00:12:56
Ndoa ni takatifu.00:12:57
00:12:59
Mtegemee Yehova.00:13:01
00:13:01
Yeye hatawahi kukuacha.00:13:03
00:13:08
Asante.00:13:09
00:13:36
Rahamu!00:13:37
00:13:39
Tulipata mgeni jana usiku.00:13:41
00:13:43
Mke wako,00:13:44
00:13:48
au tuseme mke wako wa awali.00:13:50
00:13:51
Rahamu,00:13:52
00:13:53
hujali kumuumiza mwenzi00:13:54
00:13:54
wako asiye na hatia?00:13:56
00:13:56
Unawezaje kuwa na moyo mgumu hivyo?00:13:58
00:13:58
Musa alisema ukiona00:13:59
00:13:59
jambo fulani lisilofaa kwa mke wako,00:14:01
00:14:01
mwandikie cheti cha talaka,00:14:03
00:14:03
mpe na umruhusu aondoke.00:14:05
00:14:05
Nieleze nini kingine hakifai00:14:07
00:14:07
mbali na kukosa kunipa watoto.00:14:09
00:14:09
Na pia nimechoka kuishi naye,00:14:11
00:14:11
namwoa Gisla leo.00:14:13
00:14:13
Gisla?00:14:14
00:14:15
Yule msichana Mmoabu?00:14:17
00:14:17
Nilikusikia ukijifunga kiapo na laana00:14:20
00:14:20
kwamba hutachukua00:14:21
00:14:21
mwanamke kutoka kwa mataifa!00:14:22
00:14:22
Sheria inasema00:14:23
00:14:23
“Watawapotosha wana wenu waache00:14:25
00:14:25
kumfuata Mungu00:14:26
00:14:26
na kuanza kuabudu miungu mingine;00:14:27
00:14:27
kisha hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu”!00:14:30
00:14:30
Wewe ni nani, 00:14:31
00:14:31
unishauri mimi?00:14:32
00:14:32
Kila mtu lazima ajitafutie00:14:33
00:14:33
raha mwenyewe,00:14:34
00:14:34
na mimi najitafutia yangu.00:14:36
00:14:37
Rahamu,00:14:37
00:14:38
ni Yehova tu anayeweza00:14:39
00:14:39
kukupa shangwe ya kweli.00:14:41
00:14:41
Unafikiri unaweza kujipatia shangwe00:14:43
00:14:43
kuliko ile anayotoa?00:14:44
00:15:06
Yehova,00:15:08
00:15:08
kwa nini tunatendeana kwa hila hivi,00:15:11
00:15:11
na kulinajisi agano lako?00:15:14
00:15:25
Malaki!00:15:26
00:15:28
Waambie makuhani00:15:30
00:15:30
wanaolidharau jina langu:00:15:31
00:15:32
“Mwana humheshimu baba yake,00:15:34
00:15:35
na mtumishi bwana wake.00:15:36
00:15:37
Basi ikiwa mimi ni baba,00:15:39
00:15:39
iko wapi heshima ninayostahili?00:15:41
00:15:42
Na ikiwa mimi ni bwana,00:15:44
00:15:44
iko wapi hofu ninayostahili?”00:15:47
00:15:58
Rafiki yangu!00:15:59
00:16:00
karibu, naona huna dhabihu.00:16:03
00:16:28
Kwa nini ninyi Walawi mmelidharau00:16:31
00:16:31
jina la Yehova?
-Eti kulidharau?00:16:32
00:16:33
Vipi?00:16:34
00:16:34
Mnamtoa mnyama kipofu00:16:36
00:16:36
kilema,00:16:37
00:16:37
au mgonjwa00:16:38
00:16:38
kuwa dhabihu na mnasema: “Si vibaya.”00:16:40
00:16:41
Je, Yehova anapaswa00:16:42
00:16:42
kukubali dhabihu hizo?00:16:43
00:16:43
Nyama inapopikwa ndani ya chungu,00:16:44
00:16:44
hakuna anayeweza kujua00:16:46
00:16:46
ikiwa mnyama huyo alikuwa kilema.00:16:47
00:16:47
Namna gani Yehova?00:16:48
00:16:48
Yeye hawezi kutofautisha?00:16:50
00:16:50
Siku moja Yehova atakuja hekaluni mwake.00:16:53
00:16:53
Naye atawasafisha00:16:55
00:16:55
ninyi wana wa Lawi kwa moto.00:16:56
00:16:56
Malaki, kwani wewe una shida gani?00:16:58
00:16:58
Kwa nini wewe ulalamike00:17:00
00:17:00
wakati hakuna mtu mwingine00:17:01
00:17:01
anayeona tatizo?00:17:02
00:17:03
“Enyi makuhani00:17:04
00:17:05
mkikataa kuitia00:17:06
00:17:06
moyoni mwenu” asema Yehova00:17:08
00:17:08
“Nitawaletea laana,00:17:10
00:17:10
nami nitabadili baraka zenu ziwe laana.”00:17:13
00:17:14
“Nirudieni,00:17:15
00:17:17
nami nitawarudia”00:17:18
00:17:18
asema Yehova.00:17:19
00:17:20
Sisi tutamrudiaje?00:17:22
00:17:22
“Je, mwanadamu00:17:23
00:17:23
anaweza kumwibia Mungu?00:17:24
00:17:25
Lakini ninyi mnaniibia.”00:17:27
00:17:27
asema Yehova.00:17:28
00:17:28
Tumemwibiaje?00:17:29
00:17:29
“Katika sehemu za kumi00:17:30
00:17:30
na michango mnaniibia.00:17:32
00:17:32
Naam, taifa zima linafanya hivyo.00:17:35
00:17:35
“Leteni ghalani sehemu yote ya kumi,00:17:38
00:17:38
ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;00:17:40
00:17:40
tafadhali, nijaribuni,00:17:42
00:17:42
mwone kama sitawafungulia00:17:43
00:17:43
malango ya mbinguni ya mafuriko00:17:45
00:17:45
na kuwamwagia baraka00:17:47
00:17:47
hivi kwamba hamtakosa chochote.”00:17:49
00:17:51
Na kuna jambo lingine mnalotenda,00:17:53
00:17:53
hivi kwamba hakubali00:17:54
00:17:54
chochote mnachotoa.00:17:55
00:17:55
Kwa nini?00:17:56
00:17:56
Kwa sababu mnamsaliti mke wa ujana,00:17:59
00:17:59
ingawa ni mwenzi wako,00:18:00
00:18:00
mke wako halali.00:18:02
00:18:02
Lakini kuna baadhi yenu00:18:03
00:18:03
ambao hawafanyi hivyo00:18:05
00:18:05
kwa sababu bado wana roho ya Mungu.00:18:07
00:18:08
Basi jilindeni kuhusiana na roho yenu,00:18:10
00:18:12
na usimtendee kwa hila00:18:14
00:18:14
mke wa ujana wako.00:18:15
00:18:15
“Kwa maana ninachukia talaka,”00:18:17
00:18:17
asema Yehova Mungu wa Israeli.00:18:20
00:18:20
Midomo ya kuhani inapaswa kulinda ujuzi,00:18:23
00:18:23
na watu wanapaswa kutafuta sheria00:18:25
00:18:25
kutoka kinywani mwake.00:18:26
00:18:26
Lakini nyinyi00:18:28
00:18:28
mmewafanya wengi wajikwae.00:18:30
00:18:39
Ujumbe wa Yehova ulifunua kwamba00:18:41
00:18:41
tatizo lilikuwa moyoni mwao.00:18:43
00:18:45
Licha ya hilo,00:18:46
00:18:46
Malaki aliwatafuta wale waliokuwa na00:18:49
00:18:49
shangwe katika kufanya lililo sawa.00:18:51
00:19:01
Pelethi.00:19:02
00:19:03
Malaki.00:19:04
00:19:04
Nimefurahi kukuona?00:19:05
00:19:06
Azuba,00:19:07
00:19:07
usiwe na hofu.00:19:08
00:19:09
Utaona tofauti kati ya mwadilifu00:19:12
00:19:12
na mwovu,00:19:13
00:19:13
kati ya mtu anayemtumikia Mungu00:19:16
00:19:16
na asiyemtumikia.00:19:17
00:19:17
Lazima wewe ni nabii.00:19:19
00:19:19
Ninamtumikia Yehova kama nyinyi tu.00:19:21
00:19:21
Na niwaambie,00:19:22
00:19:23
unapozungumza na mwenzako00:19:24
00:19:24
kuhusu Yehova00:19:25
00:19:26
anasikiliza.00:19:27
00:19:28
Anaandika kitabu00:19:29
00:19:29
kwa ajili ya wanaomwogopa00:19:31
00:19:31
na wanaolitafakari jina lake.00:19:33
00:19:36
Yehova na awe pamoja nanyi.00:19:38
00:19:51
Kwa miaka mingi nilikuwa00:19:53
00:19:53
mbali na Yerusalemu00:19:55
00:19:55
lakini sikuzote moyo wangu00:19:57
00:19:57
ulikuwa pamoja na watu wangu.00:19:59
00:19:59
Kwa hiyo niliomba ruhusu00:20:01
00:20:01
nirudi Yerusalemu.00:20:02
00:20:03
Nilichoona kilinishtua.00:20:06
00:20:06
Eliashibu!00:20:08
00:20:09
Na uwe na amani.00:20:11
00:20:11
Nehemia!00:20:12
00:20:13
Sikuwa nikikutarajia . . .00:20:14
00:20:15
Wako wapi Walawi wote na waimbaji?00:20:17
00:20:18
Baadhi yao wameondoka kwa muda.00:20:19
00:20:19
Eti wameondoka?00:20:21
00:20:21
Kwa nini wameondoka?00:20:23
00:20:24
Umm,00:20:25
00:20:25
Pedaya yuko hapa.00:20:27
00:20:28
Pedaya mtembeze Gavana Nehemia.00:20:30
00:20:34
Samahani kidogo.00:20:35
00:20:36
Sawa tu.00:20:37
00:20:43
Pedaya nieleze kuhusu00:20:45
00:20:45
huduma za hekalu.00:20:46
00:20:46
Je, mnapata maandalizi yote mnayohitaji?00:20:48
00:20:48
Gavana Nehemia,00:20:49
00:20:49
hatuna maandalizi yoyote hapa.00:20:51
00:20:51
Hilo linawezekanaje?00:20:52
00:20:52
Kwa muda mrefu sana,00:20:53
00:20:53
makuhani na Walawi00:20:54
00:20:54
hawajachukua majukumu yao00:20:55
00:20:55
kwa uzito.00:20:56
00:20:57
Watu walipoona hivyo00:20:58
00:20:58
wakaacha kutoa sehemu ya kumi.00:21:00
00:21:00
Bila sehemu ya kumi,00:21:02
00:21:02
Walawi na waimbaji00:21:03
00:21:03
wengi walirudi kwenye mashamba yao.00:21:05
00:21:05
Kwa nini wewe hujarudi?00:21:07
00:21:08
Ninaridhika na ninachopata.00:21:10
00:21:10
Sikuzote nimeamini Yehova00:21:12
00:21:12
huwasaidia wanaomtegemea.00:21:14
00:21:14
Najua00:21:15
00:21:15
atarekebisha mambo kwa wakati wake.00:21:17
00:21:17
Kwani Eliashibu hakuwaambia00:21:19
00:21:19
watu walete maandalizi?00:21:21
00:21:21
Ulipoondoka00:21:22
00:21:22
nabii Malaki alimwonya00:21:24
00:21:24
na makuhani wengine wote.00:21:25
00:21:27
Lakini Eliashibu00:21:28
00:21:28
alichukua chumba chetu,00:21:30
00:21:30
akaondoa maandalizi yetu00:21:32
00:21:32
na kumpa Tobia00:21:33
00:21:33
kiwe chumba chake cha kulia chakula.00:21:35
00:21:47
Pedaya,00:21:48
00:21:48
tusaidie kuondoa vitu hivi. 00:21:50
00:21:56
Unafanya nini?00:21:58
00:22:00
Eliashibu!00:22:02
00:22:02
Wewe umekuwa ukifanya nini?00:22:04
00:22:04
Kwa nini wewe na watawala wasaidizi00:22:06
00:22:06
mmeipuuza nyumba ya Mungu?00:22:07
00:22:07
Nehemia.00:22:08
00:22:08
Tafadhali takasa chumba hiki00:22:10
00:22:10
na urudishe vyombo vilivyotolewa.
-Ndio bwanangu.00:22:12
00:22:12
Na uwakusanye Walawi wote,00:22:13
00:22:13
waimbaji na watawala wasaidizi.00:22:15
00:22:15
Nawarudisha kwenye migawo yao hekaluni.00:22:18
00:22:18
Pedaya,00:22:18
00:22:19
Ninakuweka wewe, Shelemia, na Sadoki00:22:21
00:22:21
kusimamia maghala.00:22:23
00:22:23
Hanani atakuwa msaidizi wako.00:22:24
00:22:24
Ni jukumu lako kuwagawia00:22:26
00:22:26
ndugu zako maandalizi.00:22:27
00:22:27
Nehemia,00:22:28
00:22:28
subiri kidogo.00:22:29
00:22:29
Acha nikueleze.00:22:31
00:22:31
Nami nitawaambia watu wote wa Yuda00:22:33
00:22:33
walete sehemu ya kumi ya nafaka,00:22:35
00:22:35
ya divai mpya00:22:37
00:22:37
na mafuta.00:22:37
00:22:37
Acha nikueleze.00:22:38
00:22:39
Hapana,00:22:40
00:22:40
subirini, subirini.00:22:42
00:22:54
Unikumbuke mimi, Ee Mungu wangu,00:22:56
00:22:57
usiyafutilie mbali00:22:58
00:22:58
matendo yangu ya upendo mshikamanifu00:23:00
00:23:00
kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.00:23:02
00:23:07
Mbali tu na kuipuuza nyumba ya Yehova00:23:10
00:23:11
baadhi ya Wayahudi waliendelea00:23:13
00:23:13
kufanya bishara siku ya Sabato.00:23:15
00:23:15
Siku ambayo Yehova00:23:17
00:23:17
alikuwa ameitangaza kuwa takatifu.00:23:19
00:23:22
Unauza nini leo?00:23:24
00:23:24
Samaki bora zaidi kutoka Tiro.00:23:28
00:23:29
Mnafanya nini?00:23:30
00:23:30
Hamjui kwamba leo ni Sabato?00:23:33
00:23:33
Nehemia.00:23:34
00:23:38
Huu ni uovu gani ambao mnafanya?00:23:40
00:23:40
Hii ndio sababu Yehova aliangamiza jiji hili!00:23:43
00:23:43
Watu wanaona kwamba ni sawa sasa.00:23:44
00:23:44
Na Yehova ana maoni gani?00:23:46
00:23:46
Nilizuia biashara ya kununua na kuuza00:23:49
00:23:49
na nikaamuru malango yafungwe00:23:51
00:23:51
ili kudumisha utakatifu wa siku ya Sabato00:23:55
00:24:01
Lakini juma lililofuata00:24:03
00:24:03
wafanyabiashara walijaribu tena.00:24:05
00:24:06
Kwani kuna nini kinaendelea?00:24:08
00:24:08
Jana nimelazimika kulala hapa chini.00:24:11
00:24:11
Mnajua sheria ya Mungu:00:24:13
00:24:13
Hakuna kazi,00:24:14
00:24:14
wala biashara,00:24:15
00:24:15
siku ya Sabato!00:24:17
00:24:17
Ondokeni!00:24:18
00:24:18
Walawi mtalinda malango,00:24:20
00:24:20
Sabato idumishwe ikiwa takatifu.00:24:22
00:24:22
Usimruhusu mtu aingie!00:24:23
00:24:32
Ee Mungu wangu,00:24:34
00:24:34
unikumbuke pia kwa jambo hili00:24:36
00:24:37
na unihurumie kwa sababu ya00:24:38
00:24:38
upendo wako mwingi mshikamanifu.00:24:41
00:24:44
Kuna jambo lingine ambalo nilihitaji kufanya.00:24:48
00:24:48
Njoo twende.00:24:49
00:24:49
Ana la mitbayen.00:24:51
00:24:51
Wewe!00:24:52
00:24:52
Unaenda wapi?00:24:53
00:24:53
Rudi hapa.00:24:54
00:24:54
Mimi ni baba yako, nakuambia urudi!00:24:56
00:24:56
Watoto wana shida gani?00:24:58
00:24:58
Aah!00:24:59
00:24:59
Hawapendi kuja hekaluni.00:25:01
00:25:01
Binti yangu,00:25:02
00:25:03
kwani wewe hulipendi hekalu?00:25:05
00:25:05
Shvok Y-ati!00:25:06
00:25:06
Wewe!00:25:07
00:25:07
Ah!00:25:07
00:25:07
Rudi hapa.00:25:08
00:25:12
Samahani bwana wangu.00:25:14
00:25:15
Mke wangu hajui Kiebrania.00:25:16
00:25:18
Je, hukuapa kwamba hutawahi00:25:20
00:25:20
kumwoa mtu asiyemwabudu Yehova?00:25:22
00:25:22
Nehemia hakuna mtu anajali.00:25:24
00:25:25
Je, uliapa?00:25:27
00:25:27
Ndiyo!00:25:27
00:25:27
-Ndiyo!
-Basi kwa nini umepuuza00:25:29
00:25:29
amri ya Yehova00:25:30
00:25:30
na kiapo chako mwenyewe?00:25:32
00:25:32
Niache!00:25:33
00:25:33
Ndio sababu watoto wako00:25:34
00:25:34
hawampendi Yehova.00:25:36
00:25:36
Ulifikiri ungefanikiwa00:25:38
00:25:38
bila baraka za Yehova?00:25:40
00:25:40
Nilisali Yehova anibariki!00:25:42
00:25:42
Kweli?00:25:42
00:25:42
Basi kwa nini hukumtii?00:25:44
00:25:45
Rahamu,00:25:45
00:25:46
Yehova atabarikije kitu kilicho00:25:48
00:25:48
kinyume na mapenzi yake?00:25:50
00:25:52
Sikupaswa kushangaa?00:25:54
00:25:54
Watu walikuwa wakiiga mfano mbaya00:25:57
00:25:57
wa wale waliokuwa wakiongoza.00:25:59
00:26:00
Mjukuu wa Eliashibu alioa Mhoroni,00:26:02
00:26:03
binti ya Sanbalati.00:26:05
00:26:15
Kwa nini huheshimu sheria ya Mungu?00:26:17
00:26:18
Msikubali binti zenu waolewe na wana wao00:26:21
00:26:21
na msikubali mabinti wao00:26:23
00:26:23
waolewe na wana wenu!00:26:25
00:26:25
Au ninyi wenyewe?00:26:26
00:26:28
Je, mfalme Sulemani wa Israeli00:26:30
00:26:30
hakutenda dhambi kwa sababu yao?00:26:32
00:26:34
Babu, si useme kitu?00:26:36
00:26:36
Tulia mwanangu.00:26:37
00:26:37
Je, si jambo linaloshangaza kwenu00:26:40
00:26:40
kutenda uovu huu mkubwa00:26:42
00:26:42
kwa kuoa wanawake wa kigeni?00:26:44
00:26:48
Umeuchafua ukuhani!00:26:50
00:26:51
Huwezi tena kuendelea kuwa kuhani00:26:54
00:26:54
wala kuishi Yerusalemu00:26:56
00:27:00
Sawa.00:27:01
00:27:02
Nitaenda Samaria.00:27:04
00:27:04
Huko watanikubali.00:27:06
00:27:10
Lakini yeye ni mjukuu wangu.00:27:12
00:27:13
Basi kwa nini ulimruhusu00:27:15
00:27:15
avunje sheria ya Yehova?00:27:17
00:27:18
Wewe unajua00:27:20
00:27:20
utumishi wa hekalu00:27:22
00:27:22
ndio unaotuwezesha00:27:23
00:27:23
tuwe na uhusiano na Mungu!00:27:25
00:27:25
Lakini mara tu nilipoondoka,00:27:27
00:27:29
ninyi nyote,00:27:30
00:27:32
mliruhusu mambo yakazorota.00:27:34
00:27:45
Ilichukua muda,00:27:46
00:27:47
lakini ibada ya kweli00:27:49
00:27:49
ilirudishwa.00:27:50
00:28:03
Ninapotafakari mambo yote00:28:06
00:28:06
ambayo Yehova alituwezesha kutimiza . . .00:28:09
00:28:11
Licha ya upinzani tuliokabili00:28:14
00:28:15
Mimi napendekeza00:28:16
00:28:17
tumshtaki Nehemia kuwa mwasi na mhaini.00:28:20
00:28:20
Sauti inayofuata watakayosikia00:28:23
00:28:23
ni kishindo chetu cha vita00:28:24
00:28:24
Unataka kusubiri00:28:26
00:28:26
hadi watakapoanza kutuua?00:28:27
00:28:28
. . . uvutano mbaya tulioepuka . . .00:28:30
00:28:30
Nina haki ya kuishi niapotaka, nawe pia.00:28:33
00:28:33
Unapaswa kujiunga na mimi kukataa kuhama.00:28:35
00:28:35
Huko ni kutupa pesa!00:28:37
00:28:37
Tumia akili!00:28:38
00:28:38
Hiyo ni desturi tu.00:28:39
00:28:39
Ikiwa tunataka kula,00:28:41
00:28:41
tunapaswa kwenda kuchunga mifugo yetu00:28:42
00:28:42
na kulima.00:28:43
00:28:43
Hakuna faida kumtumikia Mungu.00:28:45
00:28:45
. . . usiku wote tuliokesha bila kulala, . . .00:28:47
00:28:47
Lazima twende Yerusalemu00:28:48
00:28:48
tuone Nehemia anapanga kufanya nini.00:28:50
00:28:50
Hawafurahishwi na tunachofanya00:28:52
00:28:52
wanatuchukia.00:28:53
00:28:53
Na wewe huishi na kufanya kazi00:28:54
00:28:54
karibu nao kama sisi.00:28:55
00:28:55
. . . jasho na kazi ngumu . . .00:28:58
00:28:58
Na pia hii kazi ni kubwa mno kwetu.00:28:59
00:28:59
Tumechoka kabisa.00:29:01
00:29:01
Kwani ukuta wenyewe hata ni wa nini? . . .00:29:03
00:29:03
Ninakumbuka tu shangwe tuliyohisi00:29:07
00:29:07
kwa sababu tulikuwa tunamtumikia Yehova00:29:09
00:29:09
kwa njia inayofaa00:29:11
00:29:13
Tulifikiri kwamba tulikuwa00:29:15
00:29:15
tunajenga ukuta tu,00:29:16
00:29:17
lakini Yehova alikuwa00:29:19
00:29:19
akijenga upya imani yetu.00:29:21
00:29:28
Sitasahau jinsi Yehova alivyotuunganisha00:29:31
00:29:32
ili kutimiza mapenzi yake.00:29:34
00:29:36
Alitufundisha kumtegemea00:29:39
00:29:41
na alituimarisha.00:29:43
00:29:44
Mkale vitu bora,00:29:46
00:29:46
na kunywa vitu vitamu,00:29:47
00:29:47
na mwape chakula wale ambao hawana.00:29:50
00:29:50
Nanyi msihuzunike,00:29:52
00:29:52
kwa maana shangwe ya Yehova00:29:55
00:29:55
ndiyo ngome yenu.00:29:56
00:30:05
Unikumbuke na kunitendea wema,00:30:08
00:30:08
Ee Mungu wangu.00:30:10
00:30:23
Nehemia alikuwa mwanamume jasiri.00:30:25
00:30:25
Angeweza kukaa kwenye00:30:27
00:30:27
makao ya mfalme kule Shushani00:30:29
00:30:29
na amtumikie Yehova akiwa huko.00:30:31
00:30:31
Hakufanya hivyo.00:30:32
00:30:32
Kulipokuwa na uhitaji00:30:34
00:30:34
alikuwa tayari kusafiri kwenda mbali00:30:37
00:30:37
hadi Yerusalemu00:30:38
00:30:38
ili kuunga mkono ndugu zake.00:30:41
00:30:41
Lakini haikuwa rahisi.00:30:43
00:30:43
Kwanza, alihitaji kumwomba00:30:44
00:30:44
mfalme wa Uajemi amruhusu kuondoka.00:30:46
00:30:47
Ni nini kilichomsaidia Nehemia atende00:30:49
00:30:49
kwa ujasiri kwa ajili ya Yehova?00:30:51
00:30:51
Je, alitegemea utu wake00:30:53
00:30:53
au kwamba mfalme alimpenda00:30:55
00:30:55
na kumheshimu?00:30:56
00:30:56
Acheni tutazame sehemu hii tena.00:30:58
00:31:00
Mahali ambapo mababu zangu00:31:01
00:31:01
wamezikwa ni magofu00:31:03
00:31:03
na malango yake yameteketezwa kwa moto.00:31:05
00:31:05
Nehemia, unasema nini?00:31:07
00:31:07
Nieleze unachotaka.00:31:09
00:31:09
Usinifiche chochote.00:31:10
00:31:12
Mara moja nikasali kwa Mungu wa mbinguni.00:31:15
00:31:19
Ukipenda ee mfalme,00:31:21
00:31:22
na ikiwa mimi mtumishi wako00:31:24
00:31:24
nimepata kibali chako00:31:25
00:31:27
niruhusu niende Yuda,00:31:28
00:31:28
kwenye jiji ambalo mababu zangu wamezikwa,00:31:31
00:31:31
ili nilijenge upya.00:31:33
00:31:39
Unaweza kwenda.00:31:41
00:31:42
Yehova alikuwa pamoja nasi.00:31:44
00:31:47
Mara moja00:31:48
00:31:48
Nehemia alitoa sala00:31:50
00:31:50
kwa unyenyekevu kwa Yehova00:31:52
00:31:52
ambaye ndiye Chanzo cha ujasiri wa kweli.00:31:54
00:31:55
Alisali mara nyingi wakati wa mgawo wake00:31:58
00:31:58
na Yehova alibariki jitihada zake.00:32:00
00:32:01
Kwa hiyo somo la kwanza kwetu leo,00:32:04
00:32:04
hali zinapokuwa ngumu00:32:05
00:32:05
huenda ikawa rahisi kumtegemea Yehova.00:32:08
00:32:08
Lakini vipi ikiwa mambo ni shwari?00:32:10
00:32:10
Je, bado tunaendelea kumtegemea Yehova?00:32:13
00:32:13
Au je, sasa tunajikuta00:32:16
00:32:16
tukistarehe tu,00:32:17
00:32:17
na labda hata kujiambia:00:32:19
00:32:19
“Maisha yangu ni raha mstarehe.00:32:22
00:32:22
Najua kuna kazi nyingi ya kufanya00:32:25
00:32:25
lakini nimemtumikia Yehova00:32:27
00:32:27
kwa miaka mingi sana sasa.00:32:30
00:32:30
Nimetimiza sehemu yangu.00:32:31
00:32:31
Acha mtu mwingine sasa afanye.”?00:32:33
00:32:34
Je, Yehova atabariki mtazamo kama huo?00:32:37
00:32:37
Je, isingefaa kutoa sala00:32:39
00:32:39
kwa Yehova na kumwomba00:32:41
00:32:41
akupe ujasiri na shangwe00:32:44
00:32:44
ya kuendelea kujitoa zaidi00:32:47
00:32:47
katika utumishi wako kwake?00:32:50
00:32:50
Huenda ukashangaa 00:32:52
00:32:52
kuona milango00:32:54
00:32:54
ambayo Yehova atakufungulia.00:32:57
00:32:57
Sasa, Nehemia alipowasili Yerusalemu,00:33:00
00:33:00
hakuanza kuwaamuruamuru watu, sivyo?00:33:03
00:33:04
Biblia inasema kwamba00:33:06
00:33:06
kila siku alifanya kazi00:33:08
00:33:08
pamoja na Waisraeli wenzake00:33:10
00:33:10
“kuanzia mapambazuko00:33:12
00:33:12
mpaka nyota zilipoonekana.”00:33:15
00:33:15
Kwa njia hiyo,00:33:16
00:33:16
sisi pia tunapoonyesha roho ya kujidhabihu,00:33:20
00:33:20
Yehova atatupatia nguvu tunazohitaji00:33:22
00:33:22
ili kutimiza kazi iliyo mbele yetu.00:33:25
00:33:26
Waisraeli walikamilisha kazi ya00:33:28
00:33:28
ujenzi wa ukuta katika siku 52 tu!00:33:32
00:33:32
Hilo lilikuwa jambo lenye kushangaza00:33:35
00:33:35
hasa ukifikiria upinzani waliokabili!00:33:38
00:33:39
Mwanzoni, upinzani ulikuwa ni dhihaka.00:33:42
00:33:42
Halafu wapinzani wakatisha kushambulia!00:33:45
00:33:47
Kaskazini kulikuwa na Wasamaria,00:33:49
00:33:49
Waamoni walikuwa upande wa mashariki,00:33:51
00:33:51
Waarabu upande wa kusini,00:33:54
00:33:54
na Waashdodi upande wa magharibi.00:33:56
00:33:56
Yerusalemu lilizungukwa na maadui.00:33:59
00:34:00
Ingekuwa rahisi kujihisi wamenaswa00:34:02
00:34:02
na kuruhusu hofu iwalemaze.00:34:04
00:34:04
Nehemia alifanya nini?00:34:06
00:34:07
Unakumbuka kawaida yake?00:34:08
00:34:09
Kwa maneno yake mwenyewe alisema:00:34:11
00:34:11
“Tulisali kwa Mungu wetu.”00:34:14
00:34:15
Kisha Nehemia00:34:16
00:34:16
akawaimarisha watu kwa kuwaambia: 00:34:18
00:34:19
“Msiwaogope.00:34:21
00:34:21
Mkumbukeni Yehova,00:34:23
00:34:23
ambaye ni mkuu na mwenye kuogopesha.”00:34:26
00:34:28
Na basi wakaendelea kujenga.00:34:30
00:34:30
Maadui wa Nehemia walipotambua00:34:32
00:34:32
kwamba vitisho vyao vilikuwa vimeshindwa,00:34:35
00:34:35
je, walikata tamaa?00:34:37
00:34:37
La.00:34:38
00:34:38
Walianza kutumia00:34:40
00:34:40
mbinu nyingine za upinzani.00:34:41
00:34:42
Walijaribu mbinu tatu00:34:45
00:34:45
ili kumkengeusha Nehemia00:34:47
00:34:47
aache kufanya kazi.00:34:48
00:34:49
Ulitambua mbinu hizo?00:34:50
00:34:51
Tutazame video hiyo tena.00:34:53
00:34:55
Walimwambia Nehemia wakutane katikati.00:34:58
00:35:01
Nenda umwambie Nehemia:00:35:03
00:35:05
“Njoo,00:35:06
00:35:06
tupange wakati ili tukutane00:35:08
00:35:08
kwenye vijiji vya Bonde Tambarare la Ono.”00:35:10
00:35:11
Ni mbinu ya kunitoa nje ya Yerusalemu.00:35:13
00:35:17
Walieneza habari za uwongo.00:35:20
00:35:20
Geshemu,00:35:21
00:35:21
wakati umefika wa kutumia mbinu yako.00:35:24
00:35:24
Tobia, 00:35:25
00:35:25
andika maneno haya:00:35:27
00:35:28
“Kuna habari zinazoenezwa katika mataifa,00:35:31
00:35:31
na Geshemu00:35:32
00:35:32
anasema pia00:35:34
00:35:34
kwamba wewe00:35:36
00:35:36
na Wayahudi00:35:37
00:35:37
mnapanga kuasi.00:35:39
00:35:40
Hii ndiyo sababu unajenga ukuta.”00:35:42
00:35:44
Na walitumia msaliti00:35:46
00:35:46
kujaribu kumdanganya Nehemia.00:35:49
00:35:49
Wanakuja kukuua.00:35:50
00:35:50
Watakuja usiku!00:35:52
00:35:52
Tunapaswa kuingia ndani ya hekalu00:35:54
00:35:54
na tufunge milango.00:35:55
00:35:55
Shemaya,00:35:56
00:35:56
je, mtu kama mimi anapaswa kukimbia?00:35:59
00:35:59
Naona huelewi.00:36:00
00:36:00
Hapana,00:36:01
00:36:01
Kufanya hivyo00:36:02
00:36:02
kutaathiri ujasiri wa taifa lote?00:36:04
00:36:04
Hapo tu ndipo utakuwa salama.00:36:06
00:36:06
Na usisahau mimi si kuhani.00:36:08
00:36:08
Nikiingia hekaluni, ninastahili kufa.00:36:12
00:36:12
Kwa hiyo, sitaingia.00:36:14
00:36:14
Huo ni uamuzi wa kipumbavu Nehemia.00:36:17
00:36:23
Sasa nimeelewa!00:36:25
00:36:25
Tobia na Sanbalati walikutuma00:36:27
00:36:27
uje uniambie maneno hayo, sivyo?00:36:29
00:36:29
Mnafiki. 00:36:30
00:36:30
Yehova na awakumbuke wao.00:36:32
00:36:33
Na akukumbuke wewe00:36:34
00:36:34
na manabii wenzako wa uwongo00:36:35
00:36:35
wanaojaribu kuniogopesha. 00:36:37
00:36:37
Tuondoke Hanani,00:36:38
00:36:38
tuna kazi ya kufanya.00:36:39
00:36:43
Njama tatu00:36:45
00:36:46
na zote zilishindwa.00:36:47
00:36:48
Basi hili ndilo somo la pili:00:36:50
00:36:50
Huenda tukakumbana00:36:51
00:36:51
na wapinzani ambao kwa ujanja watajaribu00:36:54
00:36:54
kutuzuia00:36:56
00:36:56
tusiendelee kumtumikia Yehova00:36:58
00:36:58
kwa ushikamanifu.00:36:59
00:36:59
Huenda baadhi yao wakajaribu00:37:01
00:37:01
kutufanya tukutane katikati00:37:03
00:37:03
kwa njia ya mfano,00:37:04
00:37:04
labda kwa kujaribu kutusadikisha kwamba00:37:06
00:37:07
tukipunguza bidii ya kumtumikia Yehova00:37:10
00:37:10
tunaweza kufuatia miradi00:37:11
00:37:11
ya kilimwengu wakati huohuo.00:37:13
00:37:13
Hata hivyo,00:37:14
00:37:14
kwa kuwa tunatanguliza00:37:16
00:37:16
Ufalme wa Mungu maishani mwetu00:37:18
00:37:18
tunaweza kuwa kama Nehemia00:37:20
00:37:20
na kukataa kuunga mkono.00:37:22
00:37:22
Tunajua mahali ambapo00:37:23
00:37:23
ulimwengu huu unaelekea.00:37:25
00:37:27
Pia wapinzani wetu hutoa00:37:29
00:37:29
mashtaka ya uwongo dhidi yetu.00:37:31
00:37:31
Katika nchi fulani,00:37:32
00:37:32
tunashtakiwa kwamba sisi ni00:37:34
00:37:34
hatari kwa serikali.00:37:35
00:37:35
Tumefanikiwa kushinda00:37:37
00:37:37
mashtaka fulani mahakamani.00:37:39
00:37:39
Lakini vyovyote vile,00:37:41
00:37:42
tuna uhakika00:37:43
00:37:43
kwamba Yehova ataongoza mambo00:37:45
00:37:45
kulingana na mapenzi yake.00:37:47
00:37:47
Pia,00:37:48
00:37:48
upinzani unaweza kutoka00:37:50
00:37:50
kwa wale wanaodai00:37:52
00:37:52
kwamba wanamtumikia Yehova.00:37:54
00:37:54
Kama vile Myahudi mwenzake00:37:56
00:37:56
alivyojaribu kumfanya Nehemia00:37:57
00:37:57
avunje sheria ya Mungu ili kuokoa uhai wake,00:38:00
00:38:00
ndivyo baadhi ya watu00:38:02
00:38:02
ambao zamani walikuwa Mashahidi00:38:03
00:38:03
wanaweza kujaribu kutufanya00:38:05
00:38:05
tuvunje imani yetu.00:38:06
00:38:07
Lakini tunawapinga waasi-imani00:38:10
00:38:10
kwa sababu tunajua tunaokoa maisha yetu,00:38:13
00:38:13
si kwa kuvunja sheria za Mungu,00:38:15
00:38:15
bali kwa kuzifuata.00:38:17
00:38:18
Pindi zote,00:38:19
00:38:20
Nehemia alikataa00:38:21
00:38:21
kunaswa na mitego waliyoweka.00:38:24
00:38:24
Kwa nini?00:38:25
00:38:25
je, ni kwa sababu alikuwa na akili nyingi?00:38:27
00:38:27
Hapana!00:38:28
00:38:28
Ni kwa sababu alimtegemea Yehova,00:38:31
00:38:31
naye Yehova alimpa ufahamu aliohitaji00:38:35
00:38:35
ili kutambua njama zao zenye hila.00:38:38
00:38:38
Baada ya kuta kujengwa,00:38:40
00:38:40
Nehemia aliondoka Yerusalemu kwa muda.00:38:43
00:38:43
Lakini hali zilikuwaje aliporudi?00:38:46
00:38:47
Badala ya kurudi00:38:48
00:38:48
na kukuta ibada safi ikinawiri,00:38:50
00:38:50
alikuta hali ikiwa mbaya sana.00:38:53
00:38:54
Alikuwa amefanya kazi nyingi sana00:38:57
00:38:57
kuwasaidia watu wamtegemee Yehova00:39:00
00:39:01
Unafikiri alihisije?00:39:02
00:39:03
Angeweza kusema:00:39:04
00:39:04
“Imetosha!00:39:06
00:39:06
Mimi nimechoka!00:39:07
00:39:07
Acha mwingine aje arekebishe hali hii,”00:39:10
00:39:10
halafu aondoke.00:39:11
00:39:11
Je, alifanya hivyo?00:39:12
00:39:12
Acheni tuone tena.00:39:14
00:39:14
Kwa nini wewe na watawala wasaidizi00:39:16
00:39:16
mmeipuuza nyumba ya Mungu?00:39:17
00:39:18
Tafadhali takasa chumba hiki.00:39:20
00:39:21
Mnajua sheria ya Mungu:00:39:22
00:39:22
Hakuna kazi,00:39:24
00:39:24
wala biashara,00:39:25
00:39:25
Siku ya Sabato!00:39:26
00:39:27
Ondokeni!00:39:28
00:39:28
Je, hukuapa kwamba hutawahi00:39:31
00:39:31
kumwoa mtu asiyemwabudu Yehova?00:39:33
00:39:33
Basi kwa nini umepuuza amri ya Yehova00:39:36
00:39:36
na kiapo chako mwenyewe?00:39:38
00:39:38
Nehemia,00:39:39
00:39:39
mjukuu wa Eliashibu alioa Mhoroni,00:39:42
00:39:43
binti ya Sanbalati.00:39:44
00:39:46
Msikubali binti zenu waolewe na wana wao00:39:50
00:39:50
na wana wenu wasioe binti zao!00:39:52
00:39:52
Umeuchafua ukuhani!00:39:54
00:39:54
Huwezi tena kuendelea kuwa kuhani00:39:56
00:39:56
wala kuishi Yerusalemu.00:39:58
00:40:00
Ilichukua muda00:40:01
00:40:02
lakini ibada ya kweli00:40:04
00:40:04
ilirudishwa.00:40:05
00:40:10
Nehemia hakuondoka tu,00:40:12
00:40:12
sivyo?00:40:13
00:40:13
La,00:40:14
00:40:14
alidumu katika mgawo wake.00:40:16
00:40:16
Kwa nini?00:40:17
00:40:18
Kwa sababu alidumisha shangwe yake.00:40:20
00:40:21
Chanzo chake kikuu cha shangwe00:40:24
00:40:25
hakikuwa mambo aliyotimiza,00:40:27
00:40:28
au usalama ulitokezwa na kuta hizo,00:40:30
00:40:30
wala haukutegemea00:40:32
00:40:32
mambo ambayo wengine walifanya.00:40:33
00:40:34
Shangwe ya kweli inatoka wapi?00:40:36
00:40:36
Nehemia mwenyewe alituambia:00:40:39
00:40:39
“Shangwe ya Yehova ndiyo ngome yenu.”00:40:44
00:40:45
Kwa hiyo hili ndilo somo la tatu kwetu:00:40:47
00:40:48
Licha ya hali ngumu na changamoto,00:40:51
00:40:51
tunaweza kuwa na shangwe00:40:52
00:40:52
kwa sababu shangwe ya kweli huja00:40:54
00:40:54
kwa kuwa na uhusiano mzuri00:40:56
00:40:56
pamoja na Yehova.00:40:57
00:40:57
Nehemia alikuwa mwanadamu00:40:59
00:40:59
kama wewe na mimi.00:41:00
00:41:01
Kumbuka,00:41:02
00:41:02
Nehemia hakuona miujiza ya Yehova00:41:05
00:41:05
kama vile Musa na Yoshua walivyojionea.00:41:07
00:41:08
Lakini angeweza kufanya nini?00:41:10
00:41:10
Angeweza kusali,00:41:12
00:41:12
angeweza kuonyesha imani00:41:14
00:41:14
na alikuwa na uhakika.00:41:16
00:41:17
Mambo hayo yalimtegemeza.00:41:19
00:41:19
Na hakuna shaka00:41:20
00:41:21
kwamba Yehova alikuwa akitenda00:41:23
00:41:23
kwa niaba ya Nehemia,00:41:24
00:41:24
akiongoza na kubariki jitihada zake.00:41:27
00:41:27
Sisi tunaweza kutumia mambo hayo leo.00:41:30
00:41:31
Sali kwa Yehova,00:41:32
00:41:32
uwe na imani katika Yeye,00:41:34
00:41:34
na uwe na uhakika kwamba atabariki00:41:37
00:41:37
jitihada zako za kujidhabihu.00:41:39
00:41:39
Kama tu Yehova alivyompa Nehemia ujasiri,00:41:42
00:41:42
nguvu,00:41:43
00:41:43
ufahamu,00:41:44
00:41:44
na udumifu wa kutimiza mgawo wake00:41:47
00:41:47
atafanya hivyo pia,00:41:49
00:41:49
kwa niaba yako.00:41:50
Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”—Sehemu ya 2
-
Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”—Sehemu ya 2
Ulikuwa mwezi wa Tishri,
mwanzo wa sherehe ambayo
ingeendelea kwa mwezi mzima.
Tulikuwa tumemaliza kujenga upya
ukuta wa jiji kuu la Yehova.
Sasa wakati ulikuwa umefika
wa kujenga upya hali ya kiroho
ya watu wake waliochaguliwa.
Wengi wao hawakujua Sheria ya Mungu.
Na mtu ambaye angetusaidia
kupata uelewaji huu ni
mwanamume aliyekuwa amerudi
Yerusalemu kabla yangu
Ezra.
. . . masharti na sheria za Yehova.
Yeye na Walawi wengine walisoma kwa sauti
maneno ya Sheria ya Mungu.
-Tafakari kumhusu Mungu
-Na hawakuisoma tu,
-umpende na kumtii Yehova.
-bali waliifafanua waziwazi.
na kueleza maana yake.
Sisi sote,
tulianza kuelewa tulikuwa
tumemhuzunisha Yehova kwa kadiri gani,
Kwa kufanya kazi siku ya Sabato,
kwa kutoa dhabihu za wanyama
walio vilema,
na kuwataliki wake zetu
ili kuoa wanawake wa kigeni.
Ingawa mioyo yetu iliumia,
kwa kusoma sheria ya Mungu,
tulikuwa tukijifunza
kuwa watu wa Yehova tena.
Msiomboleze wala kulia.
Sasa kwa kuwa mnajua
kinachomchukiza Mungu,
mnaweza kufanya kinachompendeza.
Nendeni.
Mkale vitu bora,
na kunywa vitu vitamu,
na mwape chakula wale ambao hawana.
nanyi msihuzunike,
kwa maana shangwe ya Yehova
ndiyo ngome yenu.
Tulifuata maagizo ya Yehova
tuliposherehekea sherehe ya vibanda.
Kwa siku nyingi tulikuwa na shangwe
na tukamshukuru
Yehova kwa baraka zake.
Kisha kwenye siku ya 24,
tulikusanyika ili kusoma sheria ya Mungu,
kutubu dhambi zetu,
na kuomboleza kwa sababu ya makosa yetu.
Tulifanya mapatano thabiti kwa maandishi.
Tuliazimia kutii sheria ya Yehova.
Amina!
Amina!
Lakini
upesi wengine wakasahau ahadi yao.
Pelethi!
Rahamu,
ndio hii kodi yetu.
Niingizie ndani ya mfuko.
Ni vigumu kubeba kikapu.
Umesikia kuhusu wazo jipya la Nehemia?
Unamaanisha mpango wa watu
kuhamia Yerusalemu?
Namaanisha wazo lake la ajabu
la kulazimisha familia zirudi ndani ya jiji
familia 1 kati ya 10.
Ndiyo, nimesikia.
Sielewi nimechaguliwaje.
Kwa nini nichaguliwe?
Hajali jinsi sisi
tunaomiliki mashamba tunavyoathiriwa?
Oh!
Wewe unapaswa kuhama lini?
Eti nihame?
Mimi sihami.
Nina haki ya kuishi ninapotaka,
nawe pia.
Mimi sikuchaguliwa.
Utachaguliwa tu.
Na wakati huu unapaswa
kujiunga na mimi kukataa kuhama.
Rahamu,
mfalme alimtuma Nehemia hapa
kujenga upya jiji.
Nehemia ndiye gavana.
Magavana huja
nao huondoka.
Mfalme anamsubiri Nehemia arudi,
na atakaporudi,
hali zitabadilika.
Hata Nehemia atakapoondoka,
Yehova bado atakuwa hapa.
Na ni mapenzi yake
Yerusalemu lijengwe upya,
wewe huamini hilo?
Kwa hiyo utamuunga mkono Nehemia?
Unawezaje kunisaliti hivyo?
Rahamu,
kodi yako!
Wewe na Rahamu
mlikuwa mnazungumzia nini?
Rahamu anagoma kuhamia Yerusalemu
na anataka tumuunge mkono.
Ulimwambia nini?
Nilimwambia,
Nehemia anafanya mapenzi ya Yehova.
Rahamu haelewi
jinsi anavyoweza kuwa na furaha,
ikiwa tu angefuata mwongozo wa Yehova.
Kwa hiyo,
sisi tutahama tukichaguliwa?
Ndiyo.
Afadhali niwe kama Nehemia
kuliko Rahamu,
unakubaliana nami?
Ndiyo.
Mimi pia.
Wakati wa kuzindua kuta,
tulijaza Yerusalemu nyimbo za kumsifu
na kumshukuru Mungu.
Shangwe yetu kubwa ingeweza kusikika
kutoka mbali sana.
Niliendelea kufikiria kuhusu siku hiyo
hata baada ya kurudi Uajemi.
Lakini yaliyofuata yalinionyesha
laiti nisingaliondoka.
Yehova alimtokeza
mjumbe ambaye aliandika
mambo yaliyotokea Yerusalemu
baada ya mimi kuondoka.
Aliitwa Malaki.
Tobia,
ambaye hakuwa Myahudi,
alipata chumba katika hekalu.
Tobia,
-Alitumia watu wake wa ukoo
-na uwe na amani.
-waliokuwa Wayahudi
-Na uwe na amani pia.
kujifaidi mwenyewe.
Nini kimekuleta hekaluni
baada ya muda mrefu?
Nilitaka tu kukusalimu,
oh, na kukuletea zawadi hii ndogo.
Tobia,
wewe ni mkarimu sana.
Ni kitu kidogo tu.
Kwa hiyo,
kuna chochote ninachoweza kukufanyia?
Kwa kuwa umeuliza,
eeh, nina ombi moja dogo tu.
Niambie,
ungependa nikufanyie nini?
Eeh, kwa kuwa sisi ni familia moja . . .
Watu wetu wa ukoo
wanapotutembelea kutoka Samaria,
ingependeza sana ikiwa
tungekuwa na mahali pa kula pamoja.
-Mmh
-Hapa hapa ndani ya hekalu.
Isitoshe, nao wanamwabudu Yehova pia.
mara nyingi.
Au tuseme mara chache.
Eti chumba ndani ya hekalu?
Unajua siwezi kufanya hivyo,
yaani vyumba vyote vinatumika.
Eti vyote vinatumika?
Si vingine ni vya kuhifadhia vitu tu?
Hayo ni maandalizi ya Walawi.
Huwezi kuyahamisha nipate kimoja?
Kimoja tu?
Ninahitaji kimoja tu.
Lakini Nehemia atasema nini?
Nani anajali atasema nini?
Nehemia alisharudi kule Shushani.
Lakini vipi akijua?
Nani atamwambia?
Unapanga kumwambia?
La,
-la!
-Basi,
kwa nini uwe na hofu?
Kwa hiyo kwa mara nyingine tena
kuhani mkuu amefanya kile Tobia anataka.
Niweke wapi hizi nafaka?
Kuna nafasi hapa.
-Uwe mwangalifu!
-Sawa, asante.
Angalia nani anakuja.
Mnaweza kuharakisha?
Wakishaondoka,
tutaweka meza hapa.
Halafu,
vitu tutavipanga ukutani.
Tobia,
hebu nieleze,
unafikiri tutahifadhia wapi vitu vyetu?
Popote tu.
Hiyo si shida yangu.
Sasa, tafadhali ondokeni.
Ondoeni hilo gari.
Ondokeni.
Kwa hiyo, tutashushia hapa,
kisha kama nilivyosema,
viti pale, meza hapo,
halafu chakula.
Eliashibu angewezaje kumruhusu yeyote,
acha tu Tobia
ajichukulie chumba
kwa matumizi yake mwenyewe.
Baada ya kazi yote ya Nehemia
ya kurudisha utakatifu wa hekalu?
Lakini kikweli watu wengi
walishaacha kutoa sehemu ya kumi.
Ikiwa tunataka kula
tunapaswa kwenda
kuchunga mifugo yetu na kulima.
Hakuna faida kumtumikia Mungu.
Samahani,
ndugu zangu!
Tusiruhusu matendo yao mabaya
yatunyime shangwe.
Kwa nini?
Sisi tumefaidikaje kwa kumtumikia Yehova?
Kweli,
si andiko linasema:
“Watunze vizuri kondoo wako”?
Na linasema pia:
“Mtu mwaminifu atapata baraka nyingi.”
Tunapaswa kumtumaini Yehova,
hatimaye
yeye atanyoosha kila kitu.
Malaki aliona hali mbaya sana ya watu.
Walawi,
ambao wakati fulani
walikuwa watetezi wakuu
wa viwango vya Yehova,
sasa walianza kuwa na shaka
kuhusu utumishi wao wenyewe.
Kijana!
Mbona usitoe dhabihu ya kondoo?
Toa dhabihu kubwa,
upate baraka kubwa.
Na usisahau,
majirani wako watakuheshimu.
Asante.
Tayari nina dhabihu yangu.
Sawa, sawa. Subiri!
Unaonekana kama mtu mzuri.
Kwa hiyo wewe leo
nikuuzie kwa bei maalumu
ya chini hata kuliko njiwa wako.
Karibia uangalie.
Huyo kondoo ni kipofu!
Halafu anachechemea!
Kijana sikiliza,
aina hii ya kondoo wanakuwa hivyo.
Sheria inasema
tusitoe wanyama vilema, vipofu
au wagonjwa.
Nitakapoweza kutoa kondoo,
atakuwa mwenye afya.
Huko ni kutupa pesa!
Huyu kondoo yuko sawa.
-Tena bei nzuri!
-Niache niondoke.
Tumia akili,
hiyo ni desturi tu.
Aah!
Mambo hekaluni yamebadilika sana.
Ni kana kwamba
watu wote hawamkumbuki Yehova tena.
Azuba!
Kuna nini?
Azuba
Nini kimetokea?
Rahamu anaendeleaje?
Eti cheti cha talaka?
Nilijaribu kuwa mke mzuri,
lakini hakuridhika.
Rahamu amenifukuza.
Usiogope Azuba.
Unaweza kuishi hapa,
na sisi.
Unakaribishwa.
Jamani!
Ni makosa yangu.
Hupaswi kufikiri hivyo.
Lakini sikumzalia watoto.
Muwe mna watoto au la.
Ndoa ni takatifu.
Mtegemee Yehova.
Yeye hatawahi kukuacha.
Asante.
Rahamu!
Tulipata mgeni jana usiku.
Mke wako,
au tuseme mke wako wa awali.
Rahamu,
hujali kumuumiza mwenzi
wako asiye na hatia?
Unawezaje kuwa na moyo mgumu hivyo?
Musa alisema ukiona
jambo fulani lisilofaa kwa mke wako,
mwandikie cheti cha talaka,
mpe na umruhusu aondoke.
Nieleze nini kingine hakifai
mbali na kukosa kunipa watoto.
Na pia nimechoka kuishi naye,
namwoa Gisla leo.
Gisla?
Yule msichana Mmoabu?
Nilikusikia ukijifunga kiapo na laana
kwamba hutachukua
mwanamke kutoka kwa mataifa!
Sheria inasema
“Watawapotosha wana wenu waache
kumfuata Mungu
na kuanza kuabudu miungu mingine;
kisha hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu”!
Wewe ni nani,
unishauri mimi?
Kila mtu lazima ajitafutie
raha mwenyewe,
na mimi najitafutia yangu.
Rahamu,
ni Yehova tu anayeweza
kukupa shangwe ya kweli.
Unafikiri unaweza kujipatia shangwe
kuliko ile anayotoa?
Yehova,
kwa nini tunatendeana kwa hila hivi,
na kulinajisi agano lako?
Malaki!
Waambie makuhani
wanaolidharau jina langu:
“Mwana humheshimu baba yake,
na mtumishi bwana wake.
Basi ikiwa mimi ni baba,
iko wapi heshima ninayostahili?
Na ikiwa mimi ni bwana,
iko wapi hofu ninayostahili?”
Rafiki yangu!
karibu, naona huna dhabihu.
Kwa nini ninyi Walawi mmelidharau
jina la Yehova?
-Eti kulidharau?
Vipi?
Mnamtoa mnyama kipofu
kilema,
au mgonjwa
kuwa dhabihu na mnasema: “Si vibaya.”
Je, Yehova anapaswa
kukubali dhabihu hizo?
Nyama inapopikwa ndani ya chungu,
hakuna anayeweza kujua
ikiwa mnyama huyo alikuwa kilema.
Namna gani Yehova?
Yeye hawezi kutofautisha?
Siku moja Yehova atakuja hekaluni mwake.
Naye atawasafisha
ninyi wana wa Lawi kwa moto.
Malaki, kwani wewe una shida gani?
Kwa nini wewe ulalamike
wakati hakuna mtu mwingine
anayeona tatizo?
“Enyi makuhani
mkikataa kuitia
moyoni mwenu” asema Yehova
“Nitawaletea laana,
nami nitabadili baraka zenu ziwe laana.”
“Nirudieni,
nami nitawarudia”
asema Yehova.
Sisi tutamrudiaje?
“Je, mwanadamu
anaweza kumwibia Mungu?
Lakini ninyi mnaniibia.”
asema Yehova.
Tumemwibiaje?
“Katika sehemu za kumi
na michango mnaniibia.
Naam, taifa zima linafanya hivyo.
“Leteni ghalani sehemu yote ya kumi,
ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;
tafadhali, nijaribuni,
mwone kama sitawafungulia
malango ya mbinguni ya mafuriko
na kuwamwagia baraka
hivi kwamba hamtakosa chochote.”
Na kuna jambo lingine mnalotenda,
hivi kwamba hakubali
chochote mnachotoa.
Kwa nini?
Kwa sababu mnamsaliti mke wa ujana,
ingawa ni mwenzi wako,
mke wako halali.
Lakini kuna baadhi yenu
ambao hawafanyi hivyo
kwa sababu bado wana roho ya Mungu.
Basi jilindeni kuhusiana na roho yenu,
na usimtendee kwa hila
mke wa ujana wako.
“Kwa maana ninachukia talaka,”
asema Yehova Mungu wa Israeli.
Midomo ya kuhani inapaswa kulinda ujuzi,
na watu wanapaswa kutafuta sheria
kutoka kinywani mwake.
Lakini nyinyi
mmewafanya wengi wajikwae.
Ujumbe wa Yehova ulifunua kwamba
tatizo lilikuwa moyoni mwao.
Licha ya hilo,
Malaki aliwatafuta wale waliokuwa na
shangwe katika kufanya lililo sawa.
Pelethi.
Malaki.
Nimefurahi kukuona?
Azuba,
usiwe na hofu.
Utaona tofauti kati ya mwadilifu
na mwovu,
kati ya mtu anayemtumikia Mungu
na asiyemtumikia.
Lazima wewe ni nabii.
Ninamtumikia Yehova kama nyinyi tu.
Na niwaambie,
unapozungumza na mwenzako
kuhusu Yehova
anasikiliza.
Anaandika kitabu
kwa ajili ya wanaomwogopa
na wanaolitafakari jina lake.
Yehova na awe pamoja nanyi.
Kwa miaka mingi nilikuwa
mbali na Yerusalemu
lakini sikuzote moyo wangu
ulikuwa pamoja na watu wangu.
Kwa hiyo niliomba ruhusu
nirudi Yerusalemu.
Nilichoona kilinishtua.
Eliashibu!
Na uwe na amani.
Nehemia!
Sikuwa nikikutarajia . . .
Wako wapi Walawi wote na waimbaji?
Baadhi yao wameondoka kwa muda.
Eti wameondoka?
Kwa nini wameondoka?
Umm,
Pedaya yuko hapa.
Pedaya mtembeze Gavana Nehemia.
Samahani kidogo.
Sawa tu.
Pedaya nieleze kuhusu
huduma za hekalu.
Je, mnapata maandalizi yote mnayohitaji?
Gavana Nehemia,
hatuna maandalizi yoyote hapa.
Hilo linawezekanaje?
Kwa muda mrefu sana,
makuhani na Walawi
hawajachukua majukumu yao
kwa uzito.
Watu walipoona hivyo
wakaacha kutoa sehemu ya kumi.
Bila sehemu ya kumi,
Walawi na waimbaji
wengi walirudi kwenye mashamba yao.
Kwa nini wewe hujarudi?
Ninaridhika na ninachopata.
Sikuzote nimeamini Yehova
huwasaidia wanaomtegemea.
Najua
atarekebisha mambo kwa wakati wake.
Kwani Eliashibu hakuwaambia
watu walete maandalizi?
Ulipoondoka
nabii Malaki alimwonya
na makuhani wengine wote.
Lakini Eliashibu
alichukua chumba chetu,
akaondoa maandalizi yetu
na kumpa Tobia
kiwe chumba chake cha kulia chakula.
Pedaya,
tusaidie kuondoa vitu hivi.
Unafanya nini?
Eliashibu!
Wewe umekuwa ukifanya nini?
Kwa nini wewe na watawala wasaidizi
mmeipuuza nyumba ya Mungu?
Nehemia.
Tafadhali takasa chumba hiki
na urudishe vyombo vilivyotolewa.
-Ndio bwanangu.
Na uwakusanye Walawi wote,
waimbaji na watawala wasaidizi.
Nawarudisha kwenye migawo yao hekaluni.
Pedaya,
Ninakuweka wewe, Shelemia, na Sadoki
kusimamia maghala.
Hanani atakuwa msaidizi wako.
Ni jukumu lako kuwagawia
ndugu zako maandalizi.
Nehemia,
subiri kidogo.
Acha nikueleze.
Nami nitawaambia watu wote wa Yuda
walete sehemu ya kumi ya nafaka,
ya divai mpya
na mafuta.
Acha nikueleze.
Hapana,
subirini, subirini.
Unikumbuke mimi, Ee Mungu wangu,
usiyafutilie mbali
matendo yangu ya upendo mshikamanifu
kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.
Mbali tu na kuipuuza nyumba ya Yehova
baadhi ya Wayahudi waliendelea
kufanya bishara siku ya Sabato.
Siku ambayo Yehova
alikuwa ameitangaza kuwa takatifu.
Unauza nini leo?
Samaki bora zaidi kutoka Tiro.
Mnafanya nini?
Hamjui kwamba leo ni Sabato?
Nehemia.
Huu ni uovu gani ambao mnafanya?
Hii ndio sababu Yehova aliangamiza jiji hili!
Watu wanaona kwamba ni sawa sasa.
Na Yehova ana maoni gani?
Nilizuia biashara ya kununua na kuuza
na nikaamuru malango yafungwe
ili kudumisha utakatifu wa siku ya Sabato
Lakini juma lililofuata
wafanyabiashara walijaribu tena.
Kwani kuna nini kinaendelea?
Jana nimelazimika kulala hapa chini.
Mnajua sheria ya Mungu:
Hakuna kazi,
wala biashara,
siku ya Sabato!
Ondokeni!
Walawi mtalinda malango,
Sabato idumishwe ikiwa takatifu.
Usimruhusu mtu aingie!
Ee Mungu wangu,
unikumbuke pia kwa jambo hili
na unihurumie kwa sababu ya
upendo wako mwingi mshikamanifu.
Kuna jambo lingine ambalo nilihitaji kufanya.
Njoo twende.
<i>Ana la mitbayen.</i>
Wewe!
Unaenda wapi?
Rudi hapa.
Mimi ni baba yako, nakuambia urudi!
Watoto wana shida gani?
Aah!
Hawapendi kuja hekaluni.
Binti yangu,
kwani wewe hulipendi hekalu?
<i>Shvok Y-ati!</i>
Wewe!
Ah!
Rudi hapa.
Samahani bwana wangu.
Mke wangu hajui Kiebrania.
Je, hukuapa kwamba hutawahi
kumwoa mtu asiyemwabudu Yehova?
Nehemia hakuna mtu anajali.
Je, uliapa?
Ndiyo!
-Ndiyo!
-Basi kwa nini umepuuza
amri ya Yehova
na kiapo chako mwenyewe?
Niache!
Ndio sababu watoto wako
hawampendi Yehova.
Ulifikiri ungefanikiwa
bila baraka za Yehova?
Nilisali Yehova anibariki!
Kweli?
Basi kwa nini hukumtii?
Rahamu,
Yehova atabarikije kitu kilicho
kinyume na mapenzi yake?
Sikupaswa kushangaa?
Watu walikuwa wakiiga mfano mbaya
wa wale waliokuwa wakiongoza.
Mjukuu wa Eliashibu alioa Mhoroni,
binti ya Sanbalati.
Kwa nini huheshimu sheria ya Mungu?
Msikubali binti zenu waolewe na wana wao
na msikubali mabinti wao
waolewe na wana wenu!
Au ninyi wenyewe?
Je, mfalme Sulemani wa Israeli
hakutenda dhambi kwa sababu yao?
Babu, si useme kitu?
Tulia mwanangu.
Je, si jambo linaloshangaza kwenu
kutenda uovu huu mkubwa
kwa kuoa wanawake wa kigeni?
Umeuchafua ukuhani!
Huwezi tena kuendelea kuwa kuhani
wala kuishi Yerusalemu
Sawa.
Nitaenda Samaria.
Huko watanikubali.
Lakini yeye ni mjukuu wangu.
Basi kwa nini ulimruhusu
avunje sheria ya Yehova?
Wewe unajua
utumishi wa hekalu
ndio unaotuwezesha
tuwe na uhusiano na Mungu!
Lakini mara tu nilipoondoka,
ninyi nyote,
mliruhusu mambo yakazorota.
Ilichukua muda,
lakini ibada ya kweli
ilirudishwa.
Ninapotafakari mambo yote
ambayo Yehova alituwezesha kutimiza . . .
Licha ya upinzani tuliokabili
Mimi napendekeza
tumshtaki Nehemia kuwa mwasi na mhaini.
Sauti inayofuata watakayosikia
ni kishindo chetu cha vita
Unataka kusubiri
hadi watakapoanza kutuua?
. . . uvutano mbaya tulioepuka . . .
Nina haki ya kuishi niapotaka, nawe pia.
Unapaswa kujiunga na mimi kukataa kuhama.
Huko ni kutupa pesa!
Tumia akili!
Hiyo ni desturi tu.
Ikiwa tunataka kula,
tunapaswa kwenda kuchunga mifugo yetu
na kulima.
Hakuna faida kumtumikia Mungu.
. . . usiku wote tuliokesha bila kulala, . . .
Lazima twende Yerusalemu
tuone Nehemia anapanga kufanya nini.
Hawafurahishwi na tunachofanya
wanatuchukia.
Na wewe huishi na kufanya kazi
karibu nao kama sisi.
. . . jasho na kazi ngumu . . .
Na pia hii kazi ni kubwa mno kwetu.
Tumechoka kabisa.
Kwani ukuta wenyewe hata ni wa nini? . . .
Ninakumbuka tu shangwe tuliyohisi
kwa sababu tulikuwa tunamtumikia Yehova
kwa njia inayofaa
Tulifikiri kwamba tulikuwa
tunajenga ukuta tu,
lakini Yehova alikuwa
akijenga upya imani yetu.
Sitasahau jinsi Yehova alivyotuunganisha
ili kutimiza mapenzi yake.
Alitufundisha kumtegemea
na alituimarisha.
Mkale vitu bora,
na kunywa vitu vitamu,
na mwape chakula wale ambao hawana.
Nanyi msihuzunike,
kwa maana shangwe ya Yehova
ndiyo ngome yenu.
Unikumbuke na kunitendea wema,
Ee Mungu wangu.
Nehemia alikuwa mwanamume jasiri.
Angeweza kukaa kwenye
makao ya mfalme kule Shushani
na amtumikie Yehova akiwa huko.
Hakufanya hivyo.
Kulipokuwa na uhitaji
alikuwa tayari kusafiri kwenda mbali
hadi Yerusalemu
ili kuunga mkono ndugu zake.
Lakini haikuwa rahisi.
Kwanza, alihitaji kumwomba
mfalme wa Uajemi amruhusu kuondoka.
Ni nini kilichomsaidia Nehemia atende
kwa ujasiri kwa ajili ya Yehova?
Je, alitegemea utu wake
au kwamba mfalme alimpenda
na kumheshimu?
Acheni tutazame sehemu hii tena.
Mahali ambapo mababu zangu
wamezikwa ni magofu
na malango yake yameteketezwa kwa moto.
Nehemia, unasema nini?
Nieleze unachotaka.
Usinifiche chochote.
Mara moja nikasali kwa Mungu wa mbinguni.
Ukipenda ee mfalme,
na ikiwa mimi mtumishi wako
nimepata kibali chako
niruhusu niende Yuda,
kwenye jiji ambalo mababu zangu wamezikwa,
ili nilijenge upya.
Unaweza kwenda.
Yehova alikuwa pamoja nasi.
Mara moja
Nehemia alitoa sala
kwa unyenyekevu kwa Yehova
ambaye ndiye Chanzo cha ujasiri wa kweli.
Alisali mara nyingi wakati wa mgawo wake
na Yehova alibariki jitihada zake.
Kwa hiyo somo la kwanza kwetu leo,
hali zinapokuwa ngumu
huenda ikawa rahisi kumtegemea Yehova.
Lakini vipi ikiwa mambo ni shwari?
Je, bado tunaendelea kumtegemea Yehova?
Au je, sasa tunajikuta
tukistarehe tu,
na labda hata kujiambia:
“Maisha yangu ni raha mstarehe.
Najua kuna kazi nyingi ya kufanya
lakini nimemtumikia Yehova
kwa miaka mingi sana sasa.
Nimetimiza sehemu yangu.
Acha mtu mwingine sasa afanye.”?
Je, Yehova atabariki mtazamo kama huo?
Je, isingefaa kutoa sala
kwa Yehova na kumwomba
akupe ujasiri na shangwe
ya kuendelea kujitoa zaidi
katika utumishi wako kwake?
Huenda ukashangaa
kuona milango
ambayo Yehova atakufungulia.
Sasa, Nehemia alipowasili Yerusalemu,
hakuanza kuwaamuruamuru watu, sivyo?
Biblia inasema kwamba
kila siku alifanya kazi
pamoja na Waisraeli wenzake
“kuanzia mapambazuko
mpaka nyota zilipoonekana.”
Kwa njia hiyo,
sisi pia tunapoonyesha roho ya kujidhabihu,
Yehova atatupatia nguvu tunazohitaji
ili kutimiza kazi iliyo mbele yetu.
Waisraeli walikamilisha kazi ya
ujenzi wa ukuta katika siku 52 tu!
Hilo lilikuwa jambo lenye kushangaza
hasa ukifikiria upinzani waliokabili!
Mwanzoni, upinzani ulikuwa ni dhihaka.
Halafu wapinzani wakatisha kushambulia!
Kaskazini kulikuwa na Wasamaria,
Waamoni walikuwa upande wa mashariki,
Waarabu upande wa kusini,
na Waashdodi upande wa magharibi.
Yerusalemu lilizungukwa na maadui.
Ingekuwa rahisi kujihisi wamenaswa
na kuruhusu hofu iwalemaze.
Nehemia alifanya nini?
Unakumbuka kawaida yake?
Kwa maneno yake mwenyewe alisema:
“Tulisali kwa Mungu wetu.”
Kisha Nehemia
akawaimarisha watu kwa kuwaambia:
“Msiwaogope.
Mkumbukeni Yehova,
ambaye ni mkuu na mwenye kuogopesha.”
Na basi wakaendelea kujenga.
Maadui wa Nehemia walipotambua
kwamba vitisho vyao vilikuwa vimeshindwa,
je, walikata tamaa?
La.
Walianza kutumia
mbinu nyingine za upinzani.
Walijaribu mbinu tatu
ili kumkengeusha Nehemia
aache kufanya kazi.
Ulitambua mbinu hizo?
Tutazame video hiyo tena.
Walimwambia Nehemia wakutane katikati.
Nenda umwambie Nehemia:
“Njoo,
tupange wakati ili tukutane
kwenye vijiji vya Bonde Tambarare la Ono.”
Ni mbinu ya kunitoa nje ya Yerusalemu.
Walieneza habari za uwongo.
Geshemu,
wakati umefika wa kutumia mbinu yako.
Tobia,
andika maneno haya:
“Kuna habari zinazoenezwa katika mataifa,
na Geshemu
anasema pia
kwamba wewe
na Wayahudi
mnapanga kuasi.
Hii ndiyo sababu unajenga ukuta.”
Na walitumia msaliti
kujaribu kumdanganya Nehemia.
Wanakuja kukuua.
Watakuja usiku!
Tunapaswa kuingia ndani ya hekalu
na tufunge milango.
Shemaya,
je, mtu kama mimi anapaswa kukimbia?
Naona huelewi.
Hapana,
Kufanya hivyo
kutaathiri ujasiri wa taifa lote?
Hapo tu ndipo utakuwa salama.
Na usisahau mimi si kuhani.
Nikiingia hekaluni, ninastahili kufa.
Kwa hiyo, sitaingia.
Huo ni uamuzi wa kipumbavu Nehemia.
Sasa nimeelewa!
Tobia na Sanbalati walikutuma
uje uniambie maneno hayo, sivyo?
Mnafiki.
Yehova na awakumbuke wao.
Na akukumbuke wewe
na manabii wenzako wa uwongo
wanaojaribu kuniogopesha.
Tuondoke Hanani,
tuna kazi ya kufanya.
Njama tatu
na zote zilishindwa.
Basi hili ndilo somo la pili:
Huenda tukakumbana
na wapinzani ambao kwa ujanja watajaribu
kutuzuia
tusiendelee kumtumikia Yehova
kwa ushikamanifu.
Huenda baadhi yao wakajaribu
kutufanya tukutane katikati
kwa njia ya mfano,
labda kwa kujaribu kutusadikisha kwamba
tukipunguza bidii ya kumtumikia Yehova
tunaweza kufuatia miradi
ya kilimwengu wakati huohuo.
Hata hivyo,
kwa kuwa tunatanguliza
Ufalme wa Mungu maishani mwetu
tunaweza kuwa kama Nehemia
na kukataa kuunga mkono.
Tunajua mahali ambapo
ulimwengu huu unaelekea.
Pia wapinzani wetu hutoa
mashtaka ya uwongo dhidi yetu.
Katika nchi fulani,
tunashtakiwa kwamba sisi ni
hatari kwa serikali.
Tumefanikiwa kushinda
mashtaka fulani mahakamani.
Lakini vyovyote vile,
tuna uhakika
kwamba Yehova ataongoza mambo
kulingana na mapenzi yake.
Pia,
upinzani unaweza kutoka
kwa wale wanaodai
kwamba wanamtumikia Yehova.
Kama vile Myahudi mwenzake
alivyojaribu kumfanya Nehemia
avunje sheria ya Mungu ili kuokoa uhai wake,
ndivyo baadhi ya watu
ambao zamani walikuwa Mashahidi
wanaweza kujaribu kutufanya
tuvunje imani yetu.
Lakini tunawapinga waasi-imani
kwa sababu tunajua tunaokoa maisha yetu,
si kwa kuvunja sheria za Mungu,
bali kwa kuzifuata.
Pindi zote,
Nehemia alikataa
kunaswa na mitego waliyoweka.
Kwa nini?
je, ni kwa sababu alikuwa na akili nyingi?
Hapana!
Ni kwa sababu alimtegemea Yehova,
naye Yehova alimpa ufahamu aliohitaji
ili kutambua njama zao zenye hila.
Baada ya kuta kujengwa,
Nehemia aliondoka Yerusalemu kwa muda.
Lakini hali zilikuwaje aliporudi?
Badala ya kurudi
na kukuta ibada safi ikinawiri,
alikuta hali ikiwa mbaya sana.
Alikuwa amefanya kazi nyingi sana
kuwasaidia watu wamtegemee Yehova
Unafikiri alihisije?
Angeweza kusema:
“Imetosha!
Mimi nimechoka!
Acha mwingine aje arekebishe hali hii,”
halafu aondoke.
Je, alifanya hivyo?
Acheni tuone tena.
Kwa nini wewe na watawala wasaidizi
mmeipuuza nyumba ya Mungu?
Tafadhali takasa chumba hiki.
Mnajua sheria ya Mungu:
Hakuna kazi,
wala biashara,
Siku ya Sabato!
Ondokeni!
Je, hukuapa kwamba hutawahi
kumwoa mtu asiyemwabudu Yehova?
Basi kwa nini umepuuza amri ya Yehova
na kiapo chako mwenyewe?
Nehemia,
mjukuu wa Eliashibu alioa Mhoroni,
binti ya Sanbalati.
Msikubali binti zenu waolewe na wana wao
na wana wenu wasioe binti zao!
Umeuchafua ukuhani!
Huwezi tena kuendelea kuwa kuhani
wala kuishi Yerusalemu.
Ilichukua muda
lakini ibada ya kweli
ilirudishwa.
Nehemia hakuondoka tu,
sivyo?
La,
alidumu katika mgawo wake.
Kwa nini?
Kwa sababu alidumisha shangwe yake.
Chanzo chake kikuu cha shangwe
hakikuwa mambo aliyotimiza,
au usalama ulitokezwa na kuta hizo,
wala haukutegemea
mambo ambayo wengine walifanya.
Shangwe ya kweli inatoka wapi?
Nehemia mwenyewe alituambia:
“Shangwe ya Yehova ndiyo ngome yenu.”
Kwa hiyo hili ndilo somo la tatu kwetu:
Licha ya hali ngumu na changamoto,
tunaweza kuwa na shangwe
kwa sababu shangwe ya kweli huja
kwa kuwa na uhusiano mzuri
pamoja na Yehova.
Nehemia alikuwa mwanadamu
kama wewe na mimi.
Kumbuka,
Nehemia hakuona miujiza ya Yehova
kama vile Musa na Yoshua walivyojionea.
Lakini angeweza kufanya nini?
Angeweza kusali,
angeweza kuonyesha imani
na alikuwa na uhakika.
Mambo hayo yalimtegemeza.
Na hakuna shaka
kwamba Yehova alikuwa akitenda
kwa niaba ya Nehemia,
akiongoza na kubariki jitihada zake.
Sisi tunaweza kutumia mambo hayo leo.
Sali kwa Yehova,
uwe na imani katika Yeye,
na uwe na uhakika kwamba atabariki
jitihada zako za kujidhabihu.
Kama tu Yehova alivyompa Nehemia ujasiri,
nguvu,
ufahamu,
na udumifu wa kutimiza mgawo wake
atafanya hivyo pia,
kwa niaba yako.
-