00:00:08
Nilizaliwa na kulelewa
katika kweli hivyo00:00:11
00:00:12
nilijifunza Biblia,
nilihudhuria mikutano00:00:15
00:00:15
na kwenda utumishi
pamoja na wazazi wangu00:00:18
00:00:18
Kwa kuwa nililelewa
katika kweli00:00:20
00:00:20
nilijua kwamba
kuishi kulingana na00:00:22
00:00:22
viwango vya Biblia
ndilo jambo bora00:00:24
00:00:24
wazazi walikuwa na bidii sana
kwenye mambo ya kiroho00:00:27
00:00:28
ninapokumbuka mambo hayo00:00:30
00:00:30
ninatambua kwamba sikutaka tu00:00:32
00:00:32
kuwavunja moyo wazazi wangu00:00:33
00:00:34
Viwango vya Biblia si mzigo00:00:36
00:00:36
na wala si vigumu kuvifuata00:00:38
00:00:39
Kwa kweli tukifanya kile
ambacho Biblia inasema00:00:43
00:00:43
tunanufaika sana00:00:44
00:00:45
lakini pindi fulani nilitamani
kujua maisha yangu00:00:47
00:00:47
yangekuwaje ikiwa
nisingekuwa kwenye kweli00:00:50
00:00:50
nilifurahia sana kuwa na
wanafunzi wenzangu shuleni00:00:53
00:00:55
Nilifurahia kuwa shuleni00:00:56
00:00:57
nilikuwa na mahusiano mazuri
na wanafunzi wenzangu00:01:00
00:01:00
na hata walimu
walinipenda pia00:01:02
00:01:02
hivyo maisha yalikuwa
mazuri sana00:01:04
00:01:05
sikuzote wazazi wangu00:01:06
00:01:06
waliniambia nisiwe
na urafiki wa karibu sana00:01:08
00:01:08
na wanafunzi wenzangu00:01:10
00:01:10
lakini mimi niliwaona
kuwa watu wazuri00:01:12
00:01:12
na wenye tabia nzuri00:01:14
00:01:14
hivyo, sikuelewa kwa
nini wazazi wangu00:01:16
00:01:16
walikuwa na wasiwasi sana00:01:18
00:01:18
wanafunzi wengi shuleni
kwetu walikwenda kanisani00:01:22
00:01:22
na hata walimu wetu
walipenda mambo ya dini00:01:25
00:01:25
Siku moja jambo
fulani lilitokea shuleni00:01:28
00:01:28
ambalo lilifanya
wanafunzi wote wajue00:01:30
00:01:30
kwamba mimi ni
Shahidi wa Yehova00:01:31
00:01:31
Nilijua kwamba
baadhi ya wanafunzi00:01:33
00:01:33
wasingefurahia kujua kwamba00:01:35
00:01:35
mimi ni Shahidi wa Yehova00:01:36
00:01:36
lakini sikutegemea00:01:38
00:01:38
wangebadilika haraka hivyo00:01:40
00:01:40
Nilianza kutumia
muda mwingi zaidi00:01:41
00:01:41
na wanafunzi wenzangu00:01:43
00:01:44
lakini baada ya muda00:01:45
00:01:45
nilitambua kwamba maisha
yetu yalitofautiana sana00:01:48
00:01:51
wangezungumzia
maeneo waliyotembelea00:01:53
00:01:53
na vitu walivyonunua
mwisho-juma00:01:55
00:01:55
lakini kwa upande wangu00:01:56
00:01:56
nilifanya tu mambo ya kiroho00:01:58
00:01:58
nilihisi kwamba sifurahii
maisha kama wao00:02:01
00:02:01
nilijihisi mpweke na
nimetengwa na wengine00:02:04
00:02:05
nilijua kwamba
kanuni za Biblia00:02:07
00:02:07
ni sahihi na zina manufaa00:02:09
00:02:09
lakini hali hiyo ilipotokea,00:02:12
00:02:12
nilianza kuwa na mashaka00:02:14
00:02:16
nilianza kuhisi sikuwa wa
kisasa kama rafiki zangu00:02:19
00:02:20
kwa hiyo walipoanza kuzungumzia00:02:21
00:02:21
malengo yao maishani00:02:22
00:02:22
niliaibika kuzungumzia
malengo yangu00:02:25
00:02:26
Hivyo nilianza kufikiria00:02:29
00:02:29
ninawezaje kutenda
kwa njia inayofaa?00:02:31
00:02:32
nilipata msaada00:02:33
00:02:33
nilipowaambia wazazi wangu00:02:35
00:02:35
kuhusu hali ninayopitia00:02:36
00:02:37
tulizungumzia jambo hilo
katika ibada ya familia00:02:40
00:02:41
tulisoma Mathayo 5:1100:02:44
00:02:44
Wenye furaha ni ninyi,00:02:46
00:02:46
watu wanapowashutumu00:02:47
00:02:47
na kuwatesa
na kuwasingizia00:02:49
00:02:49
kila aina ya uovu
kwa sababu yangu00:02:51
00:02:52
Lakini mnawezaje kuwa
na furaha mnapoteswa?00:02:56
00:02:57
niliwaza lakini sasa sina furaha00:02:59
00:03:00
mama yangu alinisomea Marko 8:3800:03:03
00:03:03
niliguswa sana na
sehemu ya andiko iliyosema00:03:06
00:03:06
ikiwa tutamwonea
aibu Yesu Kristo00:03:08
00:03:08
yeye pia atatuonea aibu00:03:10
00:03:12
nilitambua kwamba niliaibika00:03:13
00:03:13
kujitambulisha kuwa Shahidi00:03:15
00:03:16
Mambo hayo
yalipokuwa yakitokea00:03:18
00:03:18
ndugu mmoja alitoa
hotuba kutanikoni00:03:20
00:03:20
na akasoma Mathayo 19:2900:03:23
00:03:24
Hapo inasema:00:03:24
00:03:24
kila mtu ambaye ameacha00:03:26
00:03:26
jambo muhimu kwake00:03:28
00:03:28
kwa ajili ya Yehova
atapata mara 100 zaidi00:03:32
00:03:32
Hivyo niliamua kuacha mambo
niliyoona kuwa ni muhimu00:03:36
00:03:36
ili nijionee matokeo
na baraka nitakazopata00:03:39
00:03:40
wakati huo wazazi wangu00:03:41
00:03:41
walinitia moyo nianzishe urafiki00:03:43
00:03:43
na ndugu na dada ambao00:03:45
00:03:45
wanashiriki katika aina00:03:46
00:03:46
mbalimbali za utumishi
wa wakati wote00:03:48
00:03:48
ili nisikie mambo waliyojionea00:03:51
00:03:52
Hilo lilinisaidia kuamua00:03:54
00:03:54
jambo nitakalofanya maishani00:03:56
00:03:56
Jambo moja ninalofurahia
kuhusiana na uamuzi wangu00:03:59
00:03:59
ni kukutanana na
ndugu na dada wengi00:04:01
00:04:01
ambao mwanzoni
sikuwafahamu00:04:03
00:04:03
nilitambua kwamba
kuna watu wengi00:04:05
00:04:05
wenye mawazo na
malengo kama yangu00:04:08
00:04:08
hao ndio waliokuwa
marafiki wangu wa kweli00:04:11
00:04:11
siku nyingine
wanafunzi wenzangu00:04:13
00:04:13
walipoanza kuzungumza
malengo yao00:04:15
00:04:15
niliweza kuwaeleza00:04:16
00:04:16
kwa ujasiri kuhusu
malengo yangu00:04:18
00:04:19
ninawashukuru sana wazazi00:04:21
00:04:21
kwa kunisaidia kuwa na ujasiri00:04:22
00:04:23
Nilijionea kwamba sikuzote00:04:24
00:04:24
Yehova hutimiza ahadi zake00:04:26
00:04:26
ninapofikiria hilo00:04:28
00:04:28
ninatambua kwamba Yehova00:04:29
00:04:29
ametimiza ahadi yake00:04:31
00:04:31
kwa kunibariki mara 100 zaidi00:04:34
00:04:34
kwa sababu niliamua kuishi00:04:35
00:04:35
kulingana na kanuni za Biblia00:04:37
00:04:38
sasa nina furaha sana00:04:40
00:04:41
na nina uhakika kwamba00:04:42
00:04:42
ikiwa nitafuata mafundisho ya Biblia00:04:44
00:04:44
ninapofanya maamuzi00:04:45
00:04:46
sikuzote nitapata
matokeo mazuri00:04:48
Maisha Yangu ya Utineja—Biblia Inawezaje Kunisaidia?
-
Maisha Yangu ya Utineja—Biblia Inawezaje Kunisaidia?
Nilizaliwa na kulelewa
katika kweli hivyo
nilijifunza Biblia,
nilihudhuria mikutano
na kwenda utumishi
pamoja na wazazi wangu
Kwa kuwa nililelewa
katika kweli
nilijua kwamba
kuishi kulingana na
viwango vya Biblia
ndilo jambo bora
wazazi walikuwa na bidii sana
kwenye mambo ya kiroho
ninapokumbuka mambo hayo
ninatambua kwamba sikutaka tu
kuwavunja moyo wazazi wangu
Viwango vya Biblia si mzigo
na wala si vigumu kuvifuata
Kwa kweli tukifanya kile
ambacho Biblia inasema
tunanufaika sana
lakini pindi fulani nilitamani
kujua maisha yangu
yangekuwaje ikiwa
nisingekuwa kwenye kweli
nilifurahia sana kuwa na
wanafunzi wenzangu shuleni
Nilifurahia kuwa shuleni
nilikuwa na mahusiano mazuri
na wanafunzi wenzangu
na hata walimu
walinipenda pia
hivyo maisha yalikuwa
mazuri sana
sikuzote wazazi wangu
waliniambia nisiwe
na urafiki wa karibu sana
na wanafunzi wenzangu
lakini mimi niliwaona
kuwa watu wazuri
na wenye tabia nzuri
hivyo, sikuelewa kwa
nini wazazi wangu
walikuwa na wasiwasi sana
wanafunzi wengi shuleni
kwetu walikwenda kanisani
na hata walimu wetu
walipenda mambo ya dini
Siku moja jambo
fulani lilitokea shuleni
ambalo lilifanya
wanafunzi wote wajue
kwamba mimi ni
Shahidi wa Yehova
Nilijua kwamba
baadhi ya wanafunzi
wasingefurahia kujua kwamba
mimi ni Shahidi wa Yehova
lakini sikutegemea
wangebadilika haraka hivyo
Nilianza kutumia
muda mwingi zaidi
na wanafunzi wenzangu
lakini baada ya muda
nilitambua kwamba maisha
yetu yalitofautiana sana
wangezungumzia
maeneo waliyotembelea
na vitu walivyonunua
mwisho-juma
lakini kwa upande wangu
nilifanya tu mambo ya kiroho
nilihisi kwamba sifurahii
maisha kama wao
nilijihisi mpweke na
nimetengwa na wengine
nilijua kwamba
kanuni za Biblia
ni sahihi na zina manufaa
lakini hali hiyo ilipotokea,
nilianza kuwa na mashaka
nilianza kuhisi sikuwa wa
kisasa kama rafiki zangu
kwa hiyo walipoanza kuzungumzia
malengo yao maishani
niliaibika kuzungumzia
malengo yangu
Hivyo nilianza kufikiria
ninawezaje kutenda
kwa njia inayofaa?
nilipata msaada
nilipowaambia wazazi wangu
kuhusu hali ninayopitia
tulizungumzia jambo hilo
katika ibada ya familia
tulisoma Mathayo 5:11
Wenye furaha ni ninyi,
watu wanapowashutumu
na kuwatesa
na kuwasingizia
kila aina ya uovu
kwa sababu yangu
Lakini mnawezaje kuwa
na furaha mnapoteswa?
niliwaza lakini sasa sina furaha
mama yangu alinisomea Marko 8:38
niliguswa sana na
sehemu ya andiko iliyosema
ikiwa tutamwonea
aibu Yesu Kristo
yeye pia atatuonea aibu
nilitambua kwamba niliaibika
kujitambulisha kuwa Shahidi
Mambo hayo
yalipokuwa yakitokea
ndugu mmoja alitoa
hotuba kutanikoni
na akasoma Mathayo 19:29
Hapo inasema:
kila mtu ambaye ameacha
jambo muhimu kwake
kwa ajili ya Yehova
atapata mara 100 zaidi
Hivyo niliamua kuacha mambo
niliyoona kuwa ni muhimu
ili nijionee matokeo
na baraka nitakazopata
wakati huo wazazi wangu
walinitia moyo nianzishe urafiki
na ndugu na dada ambao
wanashiriki katika aina
mbalimbali za utumishi
wa wakati wote
ili nisikie mambo waliyojionea
Hilo lilinisaidia kuamua
jambo nitakalofanya maishani
Jambo moja ninalofurahia
kuhusiana na uamuzi wangu
ni kukutanana na
ndugu na dada wengi
ambao mwanzoni
sikuwafahamu
nilitambua kwamba
kuna watu wengi
wenye mawazo na
malengo kama yangu
hao ndio waliokuwa
marafiki wangu wa kweli
siku nyingine
wanafunzi wenzangu
walipoanza kuzungumza
malengo yao
niliweza kuwaeleza
kwa ujasiri kuhusu
malengo yangu
ninawashukuru sana wazazi
kwa kunisaidia kuwa na ujasiri
Nilijionea kwamba sikuzote
Yehova hutimiza ahadi zake
ninapofikiria hilo
ninatambua kwamba Yehova
ametimiza ahadi yake
kwa kunibariki mara 100 zaidi
kwa sababu niliamua kuishi
kulingana na kanuni za Biblia
sasa nina furaha sana
na nina uhakika kwamba
ikiwa nitafuata mafundisho ya Biblia
ninapofanya maamuzi
sikuzote nitapata
matokeo mazuri
-