00:00:00
Maelezo ya Mnara wa Mlinzi leo00:00:03
00:00:03
yanataja jambo hili waziwazi:00:00:05
00:00:05
yanasema00:00:06
00:00:06
Shetani hutumia sinema00:00:08
00:00:08
na vipindi vya televisheni00:00:10
00:00:10
kueneza njia yake ya kufikiri.00:00:13
00:00:14
Wazo hilo tu 00:00:16
00:00:16
linatosha kumfanya yeyote00:00:18
00:00:18
anayempenda Yehova00:00:19
00:00:19
afikiri kwa makini kabla ya00:00:22
00:00:22
kutazama televisheni00:00:23
00:00:23
au kutumia kompyuta.00:00:25
00:00:25
Kuhusiana na mbinu hiyo 00:00:27
00:00:27
ambayo Shetani hutumia00:00:29
00:00:29
kueneza njia yake ya kufikiri00:00:31
00:00:31
Mnara huo ulisema00:00:32
00:00:32
Anaelewa kwamba00:00:34
00:00:34
mbali na kutuburudisha00:00:35
00:00:35
masimulizi ya hadithi00:00:37
00:00:37
hutufundisha00:00:38
00:00:38
jinsi ya kufikiri00:00:40
00:00:41
kuhisi, na kutenda.00:00:43
00:00:44
Kwa hiyo00:00:45
00:00:45
tunapochagua burudani00:00:47
00:00:48
tunahitaji kukumbuka kwamba00:00:50
00:00:50
masimulizi ya Shetani00:00:52
00:00:52
yamekuwa na madhara00:00:53
00:00:53
makubwa sana 00:00:54
00:00:54
kwa watu wengi00:00:55
00:00:55
kwa miaka mingi.00:00:57
00:00:57
Tunaweza kuona matokeo00:00:59
00:00:59
tunapochunguza Isaya 5500:01:02
00:01:03
Tusome andiko hilo.00:01:04
00:01:04
55:7.00:01:06
00:01:08
Inasema “Mtu mwovu na00:01:10
00:01:10
aiache njia yake00:01:12
00:01:12
Na mtu mbaya mawazo yake.”00:01:15
00:01:15
Kwa hiyo, mtu00:01:17
00:01:17
anayefundishwa na Shetani00:01:19
00:01:19
njia yake ya kufikiri itaathiriwa00:01:22
00:01:22
na mwishowe00:01:24
00:01:24
atabadilika na kuwa mtu mwovu00:01:26
00:01:26
na mtu mbaya.00:01:28
00:01:28
Mstari wa 8 na00:01:30
00:01:30
9 unaonyesha kwamba00:01:31
00:01:31
mawazo ya mtu asiye mkamilifu00:01:34
00:01:34
yanatofautiana sana00:01:37
00:01:37
na mawazo ya Yehova Mungu.00:01:39
00:01:39
Ona mistari hiyo inavyosema:00:01:40
00:01:41
Mstari wa 800:01:43
00:01:43
“Kwa maana mawazo yangu00:01:44
00:01:44
si mawazo yenu,00:01:46
00:01:46
Na njia zenu si njia zangu,00:01:48
00:01:48
asema Yehova.”00:01:49
00:01:49
Kwa maana kama mbingu zilivyo00:01:51
00:01:51
juu kuliko dunia,00:01:52
00:01:52
Ndivyo njia zangu zilivyo juu00:01:54
00:01:54
kuliko njia zenu00:01:55
00:01:55
Na mawazo yangu00:01:56
00:01:56
kuliko mawazo yenu.00:01:58
00:01:58
Kwa hiyo ingawa mistari hii00:02:00
00:02:00
inazungumzia00:02:01
00:02:01
kuhusu mtu mwovu00:02:03
00:02:02
na mtu mbaya00:02:03
00:02:03
mwanzoni hakuwa mwovu00:02:05
00:02:05
au mtu mbaya00:02:07
00:02:07
alikuwa tu mtu asiye mkamilifu.00:02:09
00:02:10
Hivyo00:02:11
00:02:11
kuna jambo lililomsukuma na00:02:12
00:02:12
kumfanya kuwa00:02:13
00:02:13
mtu mbaya na mwovu.00:02:14
00:02:15
Alibadilika kwa sababu alifundishwa00:02:18
00:02:18
na Shetani Ibilisi.00:02:19
00:02:19
Sisi sote leo00:02:21
00:02:21
si wakamilifu.00:02:22
00:02:23
Basi tunawezaje kudumisha00:02:26
00:02:26
njia ya Yehova00:02:27
00:02:27
ya kufikiri ili tusigeuke00:02:30
00:02:30
na kuwa watu wabaya na waovu?00:02:33
00:02:33
Ni kweli kwamba Yehova00:02:35
00:02:35
pia anatumia masimulizi00:02:37
00:02:37
ili kutusaidia00:02:38
00:02:38
tupatanishe njia yetu ya00:02:40
00:02:40
kufikiri na njia yake.00:02:41
00:02:42
Kwa mfano,00:02:43
00:02:43
Biblia ina mifano mingi ya watu00:02:45
00:02:45
mifano mizuri00:02:46
00:02:46
na mifano mibaya.00:02:48
00:02:48
Biblia inataja mifano 00:02:50
00:02:50
na masimulizi mengi00:02:51
00:02:51
yanayotugusa mioyo00:02:53
00:02:53
yanayotusaidia kuelewa00:02:55
00:02:55
kanuni zenye thamani00:02:56
00:02:56
na Sheria za Biblia00:02:58
00:02:58
zinazotusaidia00:02:59
00:02:59
kufanya maamuzi mazuri00:03:01
00:03:01
ili njia zetu00:03:03
00:03:03
zipatane na njia za Yehova.00:03:06
00:03:06
Tutoe mfano.00:03:08
00:03:08
Biblia yote inakazia00:03:11
00:03:11
sifa ya Yehova ya kusamehe.00:03:13
00:03:13
Tuone jambo hilo.00:03:15
00:03:15
Tusome kitabu cha Kutoka 3400:03:18
00:03:19
tusome mstari wa 7.00:03:21
00:03:22
Kumbuka kwamba tunafundishwa00:03:24
00:03:24
kuhusu jinsi Yehova anavyosamehe.00:03:27
00:03:27
Unasema hivi:00:03:28
00:03:28
“Ninawatendea maelfu kwa00:03:30
00:03:30
upendo mshikamanifu,00:03:32
00:03:32
ninasamehe makosa00:03:34
00:03:34
na uovu na dhambi.”00:03:36
00:03:36
Huo ndio utu wa00:03:37
00:03:37
Yehova wa kusamehe.00:03:39
00:03:39
Na pia tunaposoma kitabu00:03:42
00:03:42
cha Isaya 1:1800:03:44
00:03:45
ona jinsi anavyotusaidia00:03:47
00:03:47
kupata picha ya jambo hilo.00:03:49
00:03:49
Isaya 1:18.00:03:53
00:03:55
Anasema “Sasa, njooni,00:03:57
00:03:57
na tunyooshe mambo kati yetu,”00:03:59
00:03:59
asema Yehova.00:04:01
00:04:01
Ingawa dhambi zenu ni00:04:02
00:04:02
kama rangi nyekundu,00:04:04
00:04:04
Zitafanywa kuwa nyeupe00:04:06
00:04:06
kama theluji;00:04:06
00:04:07
Ingawa ni nyekundu kama00:04:09
00:04:09
kitambaa chekundu,00:04:10
00:04:10
Zitakuwa kama sufu.”00:04:13
00:04:13
Hapa tena00:04:15
00:04:15
tunajifunza jinsi Yehova00:04:16
00:04:16
anavyosamehe.00:04:18
00:04:18
Ili kugusa mioyo yetu00:04:19
00:04:19
na kuelewa kwa kina jambo hilo00:04:22
00:04:22
anatumia simulizi fulani.00:04:24
00:04:24
Yesu ndiye aliyetoa simulizi hilo.00:04:27
00:04:27
Na linapatikana00:04:28
00:04:28
katika Luka 1500:04:30
00:04:30
kumhusu mwana mpotevu.00:04:32
00:04:33
Hatutalisoma simulizi hilo lote00:04:35
00:04:35
lakini tutaanza kwa00:04:36
00:04:36
kusimulia mistari michache.00:04:38
00:04:39
Kwa mfano mstari wa 1100:04:41
00:04:41
mtu fulani alikuwa na wana wawili.00:04:43
00:04:43
Mstari wa 12 mwana mdogo00:04:46
00:04:46
anachukua urithi wake00:04:47
00:04:47
na mstari wa 13 anasafiri00:04:50
00:04:50
na kwenda nchi ya mbali00:04:52
00:04:52
anatumia vibaya mali yake.00:04:54
00:04:55
Kisha 15 na 16 akawa maskini00:04:58
00:04:58
mstari wa 17 akarudiwa na fahamu00:05:02
00:05:02
na kurudi kwa baba yake.00:05:04
00:05:04
Mstari wa 2000:05:05
00:05:05
unaonyesha00:05:06
00:05:06
“baba yake akamwona00:05:08
00:05:08
na kumsikitikia,00:05:10
00:05:10
akakimbia, akamkumbatia00:05:13
00:05:13
na kumbusu kwa wororo.” 00:05:15
00:05:16
Basi Yehova anatufundisha00:05:19
00:05:19
somo gani00:05:20
00:05:20
kupitia simulizi hili?00:05:22
00:05:23
Kwanza kabisa00:05:24
00:05:24
Yehova anatamani sana 00:05:27
00:05:27
kutoa msamaha.00:05:28
00:05:28
Huo ndio utu wake.00:05:29
00:05:30
Na kama baba huyo00:05:32
00:05:33
tunatambua kwamba00:05:34
00:05:34
watenda dhambi wanaweza00:05:36
00:05:36
kupoteza fursa walizokuwa nazo.00:05:38
00:05:39
Lakini hatukati tamaa 00:05:41
00:05:41
kwamba mtenda dhambi atarudi.00:05:43
00:05:43
Nasi tutamkaribisha00:05:45
00:05:45
kwa uchangamfu00:05:46
00:05:46
atakapomrudia Yehova Mungu.00:05:48
00:05:49
Watenda dhambi00:05:50
00:05:50
wanaweza kubadilika00:05:52
00:05:52
na kujiunga tena 00:05:53
00:05:53
kwenye familia ya Yehova.00:05:55
00:05:55
Na mwishowe 00:05:56
00:05:56
tumejifunza huenda00:05:58
00:05:58
watenda dhambi00:05:59
00:05:59
wakakata tamaa kabisa00:06:00
00:06:00
kabla ya kurudiwa00:06:01
00:06:01
tena na fahamu.00:06:02
00:06:02
Bila shaka,00:06:03
00:06:03
hayo ni masomo muhimu00:06:05
00:06:05
yanayotusaidia kuelewa00:06:07
00:06:07
kufikiri kwa Yehova00:06:09
00:06:09
na kupatanisha 00:06:10
00:06:10
njia yetu ya kufikiri isiyo kamilifu 00:06:13
00:06:13
na njia yake.00:06:13
00:06:13
Na nimetumia mfano huo00:06:16
00:06:16
kwa sababu00:06:17
00:06:17
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya inatumia00:06:19
00:06:19
maneno 350 hivi00:06:21
00:06:21
kuelezea simulizi hilo.00:06:22
00:06:23
Lakini imetumia maneno00:06:25
00:06:25
10 hivi kuelezea dhambi00:06:27
00:06:27
za mwana mpotevu.00:06:29
00:06:29
Ukitazama mstari wa00:06:30
00:06:30
13 unasema00:06:32
00:06:32
aliishi maisha ya anasa.00:06:34
00:06:35
Kisha 3000:06:36
00:06:36
unataja habari za ziada00:06:38
00:06:38
kwamba alitumia mali yake00:06:41
00:06:41
na makahaba.00:06:42
00:06:43
Basi hili ni simulizi linalotaja00:06:45
00:06:45
makosa yaliyofanywa lakini00:06:48
00:06:48
halikazii fikira makosa hayo00:06:50
00:06:50
kuyatukuza au kuyafanya00:06:52
00:06:52
kuwa yenye kusisimua.00:06:53
00:06:53
Badala yake linatusaidia00:06:55
00:06:55
kumkaribia Yehova Mungu00:06:57
00:06:57
na kuelewa utu wake wa kusamehe.00:07:00
00:07:01
Hilo ndilo kusudi la simulizi hili.00:07:04
00:07:05
Wazia jinsi ambavyo Shetani00:07:08
00:07:08
angepotosha simulizi hilo00:07:10
00:07:10
kumhusu mwana mpotevu.00:07:12
00:07:13
Je, angemfanya baba00:07:15
00:07:15
huyo aonekane kuwa mkali00:07:17
00:07:17
na shupavu?00:07:18
00:07:19
Je, angetokeza00:07:20
00:07:20
picha ya mwana00:07:22
00:07:22
huyo aliyeasi00:07:23
00:07:23
kwamba alikandamizwa00:07:24
00:07:24
na kunyimwa uhuru00:07:26
00:07:26
akiwa nyumbani?00:07:27
00:07:28
Je, angetumia lugha chafu00:07:31
00:07:31
na isiyo na heshima00:07:32
00:07:32
katika simulizi hilo?00:07:33
00:07:35
Unafikiri angetumia muda gani00:07:37
00:07:37
kuelezea mambo mapotovu00:07:39
00:07:39
katika simulizi hilo?00:07:41
00:07:42
Na aliporudi nyumbani,00:07:43
00:07:43
je, angeonyesha mwana00:07:45
00:07:45
huyo ametubu?00:07:46
00:07:47
Au je, angeonyesha00:07:48
00:07:48
baba amelegeza msimamo00:07:50
00:07:50
kuelekea makosa00:07:51
00:07:51
ya mwana wake?00:07:53
00:07:54
Je, angeonyesha mwana huyo 00:07:55
00:07:55
akirudi nyumbani 00:07:57
00:07:57
na mmoja wa wanawake00:07:58
00:07:58
aliokuwa nao?00:07:59
00:08:00
Kwa kweli masimulizi ya Shetani00:08:03
00:08:03
ukiyachunguza kwa undani00:08:05
00:08:05
utatambua sikuzote00:08:06
00:08:06
yana uchafu na uwongo.00:08:08
00:08:08
Masimulizi yake 00:08:10
00:08:10
ni habari zile zile zinazojirudia00:08:12
00:08:13
zinazohusu uasi00:08:15
00:08:15
ukatili,00:08:16
00:08:16
na uasherati.00:08:17
00:08:18
Ni simulizi lilelile00:08:20
00:08:21
linalorudiwa tena 00:08:23
00:08:23
na tena00:08:24
00:08:24
lenye wahusika tofauti.00:08:26
00:08:26
Lakini masimulizi ya Yehova00:08:29
00:08:29
tunapoyasoma00:08:31
00:08:31
tunatambua jambo00:08:32
00:08:32
jipya kila wakati.00:08:34
00:08:34
Isitoshe tunapoyatafakari00:08:37
00:08:37
na kuchunguza kwa undani00:08:39
00:08:39
masimulizi hayo yanakuwa00:08:40
00:08:40
mapya kila wakati.00:08:42
00:08:42
Inaonekana kila tunaposoma00:08:44
00:08:44
masimulizi hayo00:08:45
00:08:45
tunajifunza jambo fulani00:08:47
00:08:47
kumhusu Yehova00:08:48
00:08:48
tunaloweza kutumia maishani.00:08:50
00:08:51
Basi tunapofanya maamuzi00:08:53
00:08:53
kuhusu burudani00:08:54
00:08:55
tunahitaji kutafakari jambo hili00:08:58
00:08:59
‘Ninafundishwa na nani?00:09:01
00:09:02
Je, burudani hiyo itaniburudisha 00:09:04
00:09:04
na kunisaidia kuwa mtu bora zaidi?00:09:08
00:09:08
Au inawezekana itadhoofisha00:09:10
00:09:10
imani yangu kwa Yehova Mungu?00:09:12
00:09:13
Ikiwa ndivyo00:09:14
00:09:14
itakuwa jambo la hekima 00:09:16
00:09:16
kuiepuka.00:09:18
00:09:19
Katika mfumo huu00:09:21
00:09:21
tunahitaji kuwa waangalifu00:09:22
00:09:22
kuhusu burudani tunazochagua.00:09:24
00:09:25
Acheni tufundishwe na Yehova00:09:27
00:09:27
ili tufikiri00:09:29
00:09:29
tuhisi00:09:30
00:09:30
na kuona mambo kama anavyoyaona00:09:33
00:09:33
tunapotazamia kwa hamu00:09:35
00:09:35
wakati ambapo burudani00:09:37
00:09:37
pekee itakayokuwepo00:09:38
00:09:38
itakuwa salama00:09:40
00:09:40
na yenye kujenga.00:09:41
Gary Breaux: Kusimulia Hadithi Ni Mbinu Nzuri Sana ya Ufundishaji (1 Yohana 5:19)
-
Gary Breaux: Kusimulia Hadithi Ni Mbinu Nzuri Sana ya Ufundishaji (1 Yohana 5:19)
Maelezo ya <i>Mnara wa Mlinzi </i>leo
yanataja jambo hili waziwazi:
yanasema
Shetani hutumia sinema
na vipindi vya televisheni
kueneza njia yake ya kufikiri.
Wazo hilo tu
linatosha kumfanya yeyote
anayempenda Yehova
afikiri kwa makini kabla ya
kutazama televisheni
au kutumia kompyuta.
Kuhusiana na mbinu hiyo
ambayo Shetani hutumia
kueneza njia yake ya kufikiri
Mnara huo ulisema
Anaelewa kwamba
mbali na kutuburudisha
masimulizi ya hadithi
hutufundisha
jinsi ya kufikiri
kuhisi, na kutenda.
Kwa hiyo
tunapochagua burudani
tunahitaji kukumbuka kwamba
masimulizi ya Shetani
yamekuwa na madhara
makubwa sana
kwa watu wengi
kwa miaka mingi.
Tunaweza kuona matokeo
tunapochunguza Isaya 55
Tusome andiko hilo.
55:7.
Inasema “Mtu mwovu na
aiache njia yake
Na mtu mbaya mawazo yake.”
Kwa hiyo, mtu
anayefundishwa na Shetani
njia yake ya kufikiri itaathiriwa
na mwishowe
atabadilika na kuwa mtu mwovu
na mtu mbaya.
Mstari wa 8 na
9 unaonyesha kwamba
mawazo ya mtu asiye mkamilifu
yanatofautiana sana
na mawazo ya Yehova Mungu.
Ona mistari hiyo inavyosema:
Mstari wa 8
“Kwa maana mawazo yangu
si mawazo yenu,
Na njia zenu si njia zangu,
asema Yehova.”
Kwa maana kama mbingu zilivyo
juu kuliko dunia,
Ndivyo njia zangu zilivyo juu
kuliko njia zenu
Na mawazo yangu
kuliko mawazo yenu.
Kwa hiyo ingawa mistari hii
inazungumzia
kuhusu mtu mwovu
na mtu mbaya
mwanzoni hakuwa mwovu
au mtu mbaya
alikuwa tu mtu asiye mkamilifu.
Hivyo
kuna jambo lililomsukuma na
kumfanya kuwa
mtu mbaya na mwovu.
Alibadilika kwa sababu alifundishwa
na Shetani Ibilisi.
Sisi sote leo
si wakamilifu.
Basi tunawezaje kudumisha
njia ya Yehova
ya kufikiri ili tusigeuke
na kuwa watu wabaya na waovu?
Ni kweli kwamba Yehova
pia anatumia masimulizi
ili kutusaidia
tupatanishe njia yetu ya
kufikiri na njia yake.
Kwa mfano,
Biblia ina mifano mingi ya watu
mifano mizuri
na mifano mibaya.
Biblia inataja mifano
na masimulizi mengi
yanayotugusa mioyo
yanayotusaidia kuelewa
kanuni zenye thamani
na Sheria za Biblia
zinazotusaidia
kufanya maamuzi mazuri
ili njia zetu
zipatane na njia za Yehova.
Tutoe mfano.
Biblia yote inakazia
sifa ya Yehova ya kusamehe.
Tuone jambo hilo.
Tusome kitabu cha Kutoka 34
tusome mstari wa 7.
Kumbuka kwamba tunafundishwa
kuhusu jinsi Yehova anavyosamehe.
Unasema hivi:
“Ninawatendea maelfu kwa
upendo mshikamanifu,
ninasamehe makosa
na uovu na dhambi.”
Huo ndio utu wa
Yehova wa kusamehe.
Na pia tunaposoma kitabu
cha Isaya 1:18
ona jinsi anavyotusaidia
kupata picha ya jambo hilo.
Isaya 1:18.
Anasema “Sasa, njooni,
na tunyooshe mambo kati yetu,”
asema Yehova.
Ingawa dhambi zenu ni
kama rangi nyekundu,
Zitafanywa kuwa nyeupe
kama theluji;
Ingawa ni nyekundu kama
kitambaa chekundu,
Zitakuwa kama sufu.”
Hapa tena
tunajifunza jinsi Yehova
anavyosamehe.
Ili kugusa mioyo yetu
na kuelewa kwa kina jambo hilo
anatumia simulizi fulani.
Yesu ndiye aliyetoa simulizi hilo.
Na linapatikana
katika Luka 15
kumhusu mwana mpotevu.
Hatutalisoma simulizi hilo lote
lakini tutaanza kwa
kusimulia mistari michache.
Kwa mfano mstari wa 11
mtu fulani alikuwa na wana wawili.
Mstari wa 12 mwana mdogo
anachukua urithi wake
na mstari wa 13 anasafiri
na kwenda nchi ya mbali
anatumia vibaya mali yake.
Kisha 15 na 16 akawa maskini
mstari wa 17 akarudiwa na fahamu
na kurudi kwa baba yake.
Mstari wa 20
unaonyesha
“baba yake akamwona
na kumsikitikia,
akakimbia, akamkumbatia
na kumbusu kwa wororo.”
Basi Yehova anatufundisha
somo gani
kupitia simulizi hili?
Kwanza kabisa
Yehova anatamani sana
kutoa msamaha.
Huo ndio utu wake.
Na kama baba huyo
tunatambua kwamba
watenda dhambi wanaweza
kupoteza fursa walizokuwa nazo.
Lakini hatukati tamaa
kwamba mtenda dhambi atarudi.
Nasi tutamkaribisha
kwa uchangamfu
atakapomrudia Yehova Mungu.
Watenda dhambi
wanaweza kubadilika
na kujiunga tena
kwenye familia ya Yehova.
Na mwishowe
tumejifunza huenda
watenda dhambi
wakakata tamaa kabisa
kabla ya kurudiwa
tena na fahamu.
Bila shaka,
hayo ni masomo muhimu
yanayotusaidia kuelewa
kufikiri kwa Yehova
na kupatanisha
njia yetu ya kufikiri isiyo kamilifu
na njia yake.
Na nimetumia mfano huo
kwa sababu
<i>Tafsiri ya Ulimwengu Mpya </i>inatumia
maneno 350 hivi
kuelezea simulizi hilo.
Lakini imetumia maneno
10 hivi kuelezea dhambi
za mwana mpotevu.
Ukitazama mstari wa
13 unasema
aliishi maisha ya anasa.
Kisha 30
unataja habari za ziada
kwamba alitumia mali yake
na makahaba.
Basi hili ni simulizi linalotaja
makosa yaliyofanywa lakini
halikazii fikira makosa hayo
kuyatukuza au kuyafanya
kuwa yenye kusisimua.
Badala yake linatusaidia
kumkaribia Yehova Mungu
na kuelewa utu wake wa kusamehe.
Hilo ndilo kusudi la simulizi hili.
Wazia jinsi ambavyo Shetani
angepotosha simulizi hilo
kumhusu mwana mpotevu.
Je, angemfanya baba
huyo aonekane kuwa mkali
na shupavu?
Je, angetokeza
picha ya mwana
huyo aliyeasi
kwamba alikandamizwa
na kunyimwa uhuru
akiwa nyumbani?
Je, angetumia lugha chafu
na isiyo na heshima
katika simulizi hilo?
Unafikiri angetumia muda gani
kuelezea mambo mapotovu
katika simulizi hilo?
Na aliporudi nyumbani,
je, angeonyesha mwana
huyo ametubu?
Au je, angeonyesha
baba amelegeza msimamo
kuelekea makosa
ya mwana wake?
Je, angeonyesha mwana huyo
akirudi nyumbani
na mmoja wa wanawake
aliokuwa nao?
Kwa kweli masimulizi ya Shetani
ukiyachunguza kwa undani
utatambua sikuzote
yana uchafu na uwongo.
Masimulizi yake
ni habari zile zile zinazojirudia
zinazohusu uasi
ukatili,
na uasherati.
Ni simulizi lilelile
linalorudiwa tena
na tena
lenye wahusika tofauti.
Lakini masimulizi ya Yehova
tunapoyasoma
tunatambua jambo
jipya kila wakati.
Isitoshe tunapoyatafakari
na kuchunguza kwa undani
masimulizi hayo yanakuwa
mapya kila wakati.
Inaonekana kila tunaposoma
masimulizi hayo
tunajifunza jambo fulani
kumhusu Yehova
tunaloweza kutumia maishani.
Basi tunapofanya maamuzi
kuhusu burudani
tunahitaji kutafakari jambo hili
‘Ninafundishwa na nani?
Je, burudani hiyo itaniburudisha
na kunisaidia kuwa mtu bora zaidi?
Au inawezekana itadhoofisha
imani yangu kwa Yehova Mungu?
Ikiwa ndivyo
itakuwa jambo la hekima
kuiepuka.
Katika mfumo huu
tunahitaji kuwa waangalifu
kuhusu burudani tunazochagua.
Acheni tufundishwe na Yehova
ili tufikiri
tuhisi
na kuona mambo kama anavyoyaona
tunapotazamia kwa hamu
wakati ambapo burudani
pekee itakayokuwepo
itakuwa salama
na yenye kujenga.
-