00:00:08
Nilicheza kwenye Series A00:00:10
00:00:11
ambayo ndiyo ligi kuu nchini Italia.00:00:13
00:00:13
Nilichezea00:00:14
00:00:14
timu ya kitaifa ya vijana,00:00:15
00:00:16
na hata nilitiwa ndani ndani ya00:00:17
00:00:17
timu ya Kitaifa ya Wanaume.00:00:19
00:00:22
Inaridhisha tu kujua kwamba00:00:23
00:00:23
unajua kazi yako.00:00:25
00:00:25
Halafu pia kiasi cha pesa nilichopata00:00:27
00:00:27
kilikuwa kizuri sana.00:00:28
00:00:31
Baba na mama walikuwa00:00:32
00:00:32
Mashahidi wa Yehova,00:00:33
00:00:34
na pia kaka yangu.00:00:35
00:00:38
Pindi fulani, nilihisi00:00:40
00:00:41
ni kama nimegawanyika,00:00:42
00:00:44
hasa wakati ambapo00:00:46
00:00:46
nilitaka kujifunza kweli.00:00:47
00:00:50
Niliacha kuiona00:00:51
00:00:51
kuwa dini ya “familia.”00:00:53
00:00:53
Baada ya muda,00:00:54
00:00:54
ni kama kitu kikaanza00:00:55
00:00:55
kusitawi ndani yangu00:00:57
00:00:57
ni kama moto,00:00:58
00:00:58
moto mdogo.00:00:59
00:01:00
Hatimaye,00:01:01
00:01:01
nikafikia kujiweka wakfu kwa Yehova00:01:03
00:01:03
ingawa sikuacha00:01:04
00:01:04
kucheza mpira wa vikapu.00:01:06
00:01:07
Lakini ni kama00:01:08
00:01:08
si eti ni kama,00:01:10
00:01:10
kwa kweli—sikuwa nikimpa Yehova00:01:13
00:01:13
kilicho bora,00:01:14
00:01:14
nguvu zangu zote.00:01:15
00:01:16
Nilikuwa nikimtumikia Yehova00:01:18
00:01:18
wakati kazi yangu iliporuhusu00:01:20
00:01:21
badala ya kumtanguliza Yehova.00:01:23
00:01:26
Nilitoa udhuru kwamba:00:01:27
00:01:28
“Ninachofanya ni kazi tu00:01:29
00:01:29
kama kazi nyingine.00:01:30
00:01:33
Ndiyo,00:01:33
00:01:34
inachukua muda wangu mwingi,00:01:36
00:01:36
lakini ni ya muda mfupi00:01:38
00:01:38
kwa sababu wachezaji00:01:39
00:01:39
huwa wanastaafu mapema.”00:01:40
00:01:43
Kadiri nilivyomkaribia Yehova00:01:45
00:01:46
ndivyo hisia ya kugawanyika00:01:47
00:01:47
moyoni mwangu ilivyoongezeka.00:01:49
00:01:56
Mwangalizi wa mzunguko00:01:58
00:01:58
katika eneo langu alinisaidia sana.00:02:00
00:02:01
Nilimfahamu00:02:02
00:02:02
tangu nilipokuwa mtoto.00:02:04
00:02:06
Tulipokutana tena,00:02:07
00:02:07
jambo la kwanza ambalo aliniuliza ni,00:02:10
00:02:10
“Je, unafurahia kile unachofanya?”00:02:12
00:02:15
Huenda hilo likaonekana kuwa00:02:17
00:02:17
swali rahisi,00:02:18
00:02:19
sivyo?00:02:19
00:02:20
Lakini swali hilo00:02:22
00:02:22
lilizama akilini mwangu.00:02:24
00:02:28
Ninamshukuru sana00:02:29
00:02:29
yeye na mke wake00:02:30
00:02:30
kwa muda wote00:02:31
00:02:31
waliotenda kwa ajili yangu.00:02:33
00:02:35
Walikuwa na shughuli nyingi sana00:02:37
00:02:38
lakini hata siku ambayo00:02:39
00:02:39
hawakuwa wakizunguka,00:02:40
00:02:40
au jioni00:02:41
00:02:41
baada ya siku ndefu ya utendaji,00:02:43
00:02:43
walitenga wakati wa kuwa na mimi.00:02:45
00:02:46
Baada ya muda00:02:47
00:02:47
nilihamia miji mingine00:02:49
00:02:49
na kubadili timu nilizochezea,00:02:50
00:02:51
kwa hiyo ni kana kwamba00:02:52
00:02:52
alinikabidhi kwa familia nyingine mbili,00:02:54
00:02:55
nao walijitoa sana kwa ajili yangu,00:02:57
00:02:58
wakadhabihu muda wao,00:02:59
00:03:00
na hakuna wakati ambapo00:03:01
00:03:01
walinifanya nijihisi vibaya00:03:03
00:03:03
kwa sababu ya kazi yangu.00:03:04
00:03:05
Kuhusu maamuzi00:03:06
00:03:06
yaliyohusu mpira wa vikapu,00:03:08
00:03:08
hawakuwahi niambia nifanye nini,00:03:10
00:03:11
mimi nilipaswa kufanya00:03:12
00:03:12
uamuzi huo mwenyewe,00:03:14
00:03:14
kuamua ikiwa nitaendelea kucheza00:03:16
00:03:16
au la.00:03:17
00:03:18
Ninaweza kusema kwamba00:03:20
00:03:20
njia yao ya maisha00:03:21
00:03:21
ndiyo iliyonirekebisha.00:03:23
00:03:23
Mfano wao,00:03:24
00:03:26
maisha yao,00:03:26
00:03:27
mambo waliyotanguliza,00:03:29
00:03:30
na shangwe waliyokuwa nayo;00:03:32
00:03:32
hayo ndiyo mambo yaliyonisaidia.00:03:34
00:03:35
Mfano wao00:03:36
00:03:36
ulinifundisha mambo mengi sana00:03:38
00:03:38
kuliko hata maneno yao.00:03:40
00:03:44
Mfano wao ulinifundisha kile hasa00:03:46
00:03:46
nilichotaka maishani mwangu.00:03:48
00:03:52
Nilianza kucheza mpira wa vikapu00:03:54
00:03:54
mwaka wa 199500:03:56
00:03:56
hadi Aprili 2008,00:03:58
00:03:59
nilipocheza mechi yangu ya mwisho.00:04:01
00:04:05
Niliamua kwamba00:04:06
00:04:06
sitacheza tena mpira wa vikapu,00:04:08
00:04:09
ninashukuru niliamua hivyo.00:04:10
00:04:11
Nyakati nyingine ninajiambia:00:04:13
00:04:15
‘Afadhali tu ningefanya00:04:16
00:04:16
uamuzi huo mapema,00:04:17
00:04:18
afadhali ningepata ujasiri huo mapema!’00:04:20
00:04:22
Nilipata pendeleo la kutumikia00:04:23
00:04:23
nikiwa painia wa kawaida00:04:24
00:04:24
kwa miaka miwili na nusu,00:04:26
00:04:26
kisha nikaulizwa00:04:28
00:04:28
ikiwa ningependa kujaza ombi00:04:30
00:04:30
la kwenda Betheli.00:04:31
00:04:32
Na nilishangaa sana,00:04:33
00:04:34
nilipoalikwa kutumikia00:04:35
00:04:36
katika ofisi ya tawi ya Italia00:04:37
00:04:38
na nikatumikia humo kwa miaka mitano.00:04:40
00:04:41
Miezi michache00:04:42
00:04:42
baada ya kutoka Betheli,00:04:43
00:04:44
nilipata pendeleo la kuhudhuria00:04:46
00:04:46
Shule ya Waeneza-Injili wa Ufalme.00:04:48
00:04:50
Ilikuwa shule nzuri sana!00:04:51
00:04:53
Mchezo wa mpira wa vikapu00:04:55
00:04:55
unapendeza,00:04:56
00:04:56
unasisimua sana,00:04:58
00:04:58
ni wenye kuchochea,00:04:59
00:04:59
lakini si chanzo cha furaha ya kweli.00:05:02
00:05:03
Ni kweli,00:05:04
00:05:04
ulimwengu unaweza00:05:05
00:05:05
ukakupa uradhi wa kadiri fulani,00:05:07
00:05:07
lakini gharama yake00:05:09
00:05:09
ni kubwa sana.00:05:10
00:05:13
Ilinichukua muda mrefu sana00:05:15
00:05:15
kuelewa jambo hilo.00:05:17
00:05:18
Lakini kujua kwamba00:05:19
00:05:19
ninampa Yehova kilicho bora,00:05:21
00:05:21
kumenileta furaha nyingi.00:05:24
00:05:25
Naam,00:05:25
00:05:25
sisi sote tuko kwenye timu,00:05:27
00:05:27
timu kubwa,00:05:29
00:05:29
timu ya Yehova.00:05:30
00:05:31
Ina malengo yenye kusisimua00:05:33
00:05:33
na ushindi wake00:05:34
00:05:34
ni hakika.00:05:35
Samuele Podestà: Sasa Ninachezea Timu Bora
-
Samuele Podestà: Sasa Ninachezea Timu Bora
Nilicheza kwenye Series A
ambayo ndiyo ligi kuu nchini Italia.
Nilichezea
timu ya kitaifa ya vijana,
na hata nilitiwa ndani ndani ya
timu ya Kitaifa ya Wanaume.
Inaridhisha tu kujua kwamba
unajua kazi yako.
Halafu pia kiasi cha pesa nilichopata
kilikuwa kizuri sana.
Baba na mama walikuwa
Mashahidi wa Yehova,
na pia kaka yangu.
Pindi fulani, nilihisi
ni kama nimegawanyika,
hasa wakati ambapo
nilitaka kujifunza kweli.
Niliacha kuiona
kuwa dini ya “familia.”
Baada ya muda,
ni kama kitu kikaanza
kusitawi ndani yangu
ni kama moto,
moto mdogo.
Hatimaye,
nikafikia kujiweka wakfu kwa Yehova
ingawa sikuacha
kucheza mpira wa vikapu.
Lakini ni kama
si eti ni kama,
kwa kweli—sikuwa nikimpa Yehova
kilicho bora,
nguvu zangu zote.
Nilikuwa nikimtumikia Yehova
wakati kazi yangu iliporuhusu
badala ya kumtanguliza Yehova.
Nilitoa udhuru kwamba:
“Ninachofanya ni kazi tu
kama kazi nyingine.
Ndiyo,
inachukua muda wangu mwingi,
lakini ni ya muda mfupi
kwa sababu wachezaji
huwa wanastaafu mapema.”
Kadiri nilivyomkaribia Yehova
ndivyo hisia ya kugawanyika
moyoni mwangu ilivyoongezeka.
Mwangalizi wa mzunguko
katika eneo langu alinisaidia sana.
Nilimfahamu
tangu nilipokuwa mtoto.
Tulipokutana tena,
jambo la kwanza ambalo aliniuliza ni,
“Je, unafurahia kile unachofanya?”
Huenda hilo likaonekana kuwa
swali rahisi,
sivyo?
Lakini swali hilo
lilizama akilini mwangu.
Ninamshukuru sana
yeye na mke wake
kwa muda wote
waliotenda kwa ajili yangu.
Walikuwa na shughuli nyingi sana
lakini hata siku ambayo
hawakuwa wakizunguka,
au jioni
baada ya siku ndefu ya utendaji,
walitenga wakati wa kuwa na mimi.
Baada ya muda
nilihamia miji mingine
na kubadili timu nilizochezea,
kwa hiyo ni kana kwamba
alinikabidhi kwa familia nyingine mbili,
nao walijitoa sana kwa ajili yangu,
wakadhabihu muda wao,
na hakuna wakati ambapo
walinifanya nijihisi vibaya
kwa sababu ya kazi yangu.
Kuhusu maamuzi
yaliyohusu mpira wa vikapu,
hawakuwahi niambia nifanye nini,
mimi nilipaswa kufanya
uamuzi huo mwenyewe,
kuamua ikiwa nitaendelea kucheza
au la.
Ninaweza kusema kwamba
njia yao ya maisha
ndiyo iliyonirekebisha.
Mfano wao,
maisha yao,
mambo waliyotanguliza,
na shangwe waliyokuwa nayo;
hayo ndiyo mambo yaliyonisaidia.
Mfano wao
ulinifundisha mambo mengi sana
kuliko hata maneno yao.
Mfano wao ulinifundisha kile hasa
nilichotaka maishani mwangu.
Nilianza kucheza mpira wa vikapu
mwaka wa 1995
hadi Aprili 2008,
nilipocheza mechi yangu ya mwisho.
Niliamua kwamba
sitacheza tena mpira wa vikapu,
ninashukuru niliamua hivyo.
Nyakati nyingine ninajiambia:
‘Afadhali tu ningefanya
uamuzi huo mapema,
afadhali ningepata ujasiri huo mapema!’
Nilipata pendeleo la kutumikia
nikiwa painia wa kawaida
kwa miaka miwili na nusu,
kisha nikaulizwa
ikiwa ningependa kujaza ombi
la kwenda Betheli.
Na nilishangaa sana,
nilipoalikwa kutumikia
katika ofisi ya tawi ya Italia
na nikatumikia humo kwa miaka mitano.
Miezi michache
baada ya kutoka Betheli,
nilipata pendeleo la kuhudhuria
Shule ya Waeneza-Injili wa Ufalme.
Ilikuwa shule nzuri sana!
Mchezo wa mpira wa vikapu
unapendeza,
unasisimua sana,
ni wenye kuchochea,
lakini si chanzo cha furaha ya kweli.
Ni kweli,
ulimwengu unaweza
ukakupa uradhi wa kadiri fulani,
lakini gharama yake
ni kubwa sana.
Ilinichukua muda mrefu sana
kuelewa jambo hilo.
Lakini kujua kwamba
ninampa Yehova kilicho bora,
kumenileta furaha nyingi.
Naam,
sisi sote tuko kwenye timu,
timu kubwa,
timu ya Yehova.
Ina malengo yenye kusisimua
na ushindi wake
ni hakika.
-