00:00:01
Kichwa cha mazungumzo yangu ni00:00:03
00:00:03
“Usimruhusu Kamwe Shetani00:00:05
00:00:06
Akuogopeshe.”00:00:07
00:00:07
Kuogopesha kunamaanisha00:00:09
00:00:09
kujaribu kumfanya mtu afanye00:00:11
00:00:11
au asifanye jambo fulani00:00:13
00:00:13
kwa kumnyanyasa,00:00:14
00:00:14
kumshambulia,00:00:16
00:00:16
au kumtisha00:00:17
00:00:17
na bila shaka00:00:18
00:00:18
Shetani ni Mungu00:00:19
00:00:19
anayewaogopesha watu.00:00:21
00:00:21
Na hivyo ndivyo anavyofanya00:00:22
00:00:22
watu watende jinsi anavyotaka.00:00:24
00:00:24
Kwa upande mwingine00:00:25
00:00:25
sikuzote Yehova hutuchochea kwa upendo.00:00:28
00:00:28
Neno “kuogopesha”00:00:29
00:00:29
linapatikana mara mbili00:00:31
00:00:31
katika Biblia00:00:32
00:00:32
yenye maelezo ya utafiti.00:00:33
00:00:33
Na neno msiogopeshwe00:00:35
00:00:35
linapatikana mara moja00:00:37
00:00:37
kwenye maandishi ya Biblia yetu00:00:39
00:00:39
kwenye Kumbukumbu la Torati 1:17,00:00:41
00:00:41
ambapo waamuzi ambao00:00:42
00:00:42
wangemsaidia Musa00:00:43
00:00:43
waliamriwa:00:00:44
00:00:44
‘Msiogopeshwe na wanadamu.00:00:46
00:00:46
Hampaswi kuhukumu00:00:48
00:00:48
kwa upendeleo.’00:00:49
00:00:50
Ingawa maneno hayo00:00:51
00:00:51
hayatumiwi mara nyingi katika Biblia,00:00:54
00:00:54
wazo hilo00:00:55
00:00:55
linapatikana mara nyingi.00:00:57
00:00:58
Fikiria mifano michache,00:00:59
00:01:00
mfikirie Goliathi00:01:01
00:01:01
ambaye alikuwa na urefu wa mita 2.900:01:04
00:01:04
na alijaribu kumtisha kijana Daudi.00:01:07
00:01:07
Unakumbuka jambo alilomwambia00:01:08
00:01:08
kwenye Samweli cha kwanza sura ya 17 alimwambia:00:01:11
00:01:11
“Nikaribie tu,00:01:13
00:01:13
nyama yako00:01:15
00:01:15
nitawapa ndege wa angani00:01:16
00:01:17
na wanyama wa mwituni.”00:01:19
00:01:19
‘Nikaribie tu, mvulana mdogo,00:01:21
00:01:22
nami nitawalisha fisi na mwewe00:01:24
00:01:24
maiti yako.00:01:25
00:01:25
Kwa kweli00:01:26
00:01:26
alimtisha sana.00:01:27
00:01:27
Namna gani Rabshake00:01:29
00:01:29
ambaye alijaribu kuwatisha Wayahudi00:01:31
00:01:31
kuzungumza Kiebrania vizuri00:01:33
00:01:33
kwa sauti kubwa00:01:34
00:01:34
katika siku za Hezekia00:01:35
00:01:35
au Sanbalati na Tobia00:01:37
00:01:37
waliojaribu kumdhihaki Nehemia00:01:40
00:01:40
na Wayahudi00:01:41
00:01:41
kwa sababu ya kujenga ukuta?00:01:43
00:01:43
Au mfano mwingine00:01:44
00:01:44
ulio katika maelezo ya Mnara wa Mlinzi00:01:46
00:01:46
ya andiko la leo,00:01:47
00:01:48
Nebukadneza alipojaribu kuwatisha00:01:50
00:01:50
wale Waebrania watatu00:01:52
00:01:52
ili waabudu sanamu.00:01:53
00:01:53
Alifanyaje hivyo?00:01:54
00:01:54
Danieli 3:1 inasema kwamba00:01:57
00:01:57
alijenga sanamu00:01:58
00:01:58
kubwa sana00:01:59
00:01:59
urefu wa mita 27.4 hivi00:02:02
00:02:02
na upana wa mita 2.7,00:02:05
00:02:05
na sanamu hiyo kubwa00:02:06
00:02:06
ilikuwa yenye kuogopesha sana.00:02:08
00:02:08
Kisha00:02:08
00:02:08
kulingana na mstari wa 200:02:10
00:02:10
akakusanya kundi kubwa la watu:00:02:12
00:02:12
“maliwali,00:02:13
00:02:13
wasimamizi,00:02:14
00:02:14
magavana,00:02:15
00:02:15
washauri”00:02:16
00:02:16
kundi lenye kuogopesha kweli.00:02:18
00:02:18
Kisha kwenye mstari wa 4-6,00:02:20
00:02:20
akaamuru tangazo hili litolewe kwa sauti kubwa:00:02:23
00:02:23
‘Mtakaposikia sauti ya pembe,00:02:25
00:02:26
zumari, zeze .00:02:27
00:02:27
. mnaamriwa kwamba00:02:29
00:02:29
lazima mwanguke chini00:02:30
00:02:30
na kuabudu sanamu hii.00:02:32
00:02:32
Na mtu ambaye hatafanya hivyo00:02:34
00:02:34
atatupwa mara moja00:02:36
00:02:36
katika tanuru00:02:37
00:02:37
lenye moto mkali.00:02:38
00:02:38
Hilo liliogopesha sana00:02:40
00:02:40
lakini00:02:41
00:02:41
wale Waebrania watatu00:02:43
00:02:43
hawakuogopa chochote.00:02:45
00:02:45
Lakini kama tulivyosema00:02:47
00:02:47
Shetani00:02:48
00:02:48
bado anajaribu kuwaogopesha watu leo.00:02:50
00:02:51
‘Usipokubali kuongezewa damu mwilini00:02:53
00:02:54
kwa hakika utakufa.’00:02:55
00:02:56
‘Usipokubali kazi hii00:02:57
00:02:58
(kazi ambayo itaathiri hali yako ya kiroho),00:03:01
00:03:01
familia yako italala njaa.’00:03:03
00:03:03
‘Vuta hii sigara,00:03:05
00:03:05
unaogopa00:03:06
00:03:06
kwani wewe ni mwoga kama kuku?’00:03:07
00:03:08
‘Kwa nini usianzishe urafiki na msichana huyu00:03:10
00:03:10
anayekupenda darasani?00:03:11
00:03:12
Je, wewe ni shoga?’00:03:13
00:03:14
Leo,00:03:14
00:03:14
Shetani anatumia00:03:15
00:03:15
mbinu ya kuwaogopesha watu.00:03:17
00:03:17
Petro ya kwanza 5:8 inasema kwamba00:03:19
00:03:19
Ibilisi “anatembea huku na huku00:03:21
00:03:21
kama simba anayenguruma.”00:03:23
00:03:23
Na mara nyingi00:03:24
00:03:24
ananguruma00:03:25
00:03:25
kwa njia inayokusudiwa kutuogopesha.00:03:27
00:03:28
Kama vile00:03:28
00:03:29
mngurumo halisi wa simba00:03:30
00:03:31
kulingana na kitabu cha Insight,00:03:32
00:03:32
mngurumo huo00:03:33
00:03:33
umekusudiwa kuwafanya wanyama wanaofugwa,00:03:36
00:03:36
wakanyagane00:03:37
00:03:37
na kutoka ndani00:03:38
00:03:38
ya zizi lenye ulinzi.00:03:40
00:03:41
Tufikirie swali hili:00:03:42
00:03:42
ni masomo gani ambayo tunaweza kujifunza00:03:45
00:03:45
kutoka kwa Waebrania hao watatu00:03:47
00:03:47
yatakayotusaidia tusikubali kamwe00:03:50
00:03:50
Shetani atuogopeshe?00:03:51
00:03:52
Yafuatayo ni masomo machache.00:03:54
00:03:54
Kwanza:00:03:54
00:03:54
usiache kamwe kumtumaini Yehova00:03:57
00:03:57
kwa moyo wako wote,00:03:58
00:03:58
licha ya mingurumo ya Ibilisi.00:04:01
00:04:01
Tufungue Danieli sura ya 3,00:04:03
00:04:04
ona jinsi walivyomtumaini kabisa Yehova00:04:07
00:04:08
licha ya kukabili hali hiyo00:04:10
00:04:10
yenye kuogopesha00:04:11
00:04:11
sura ya 3, mstari wa 16:00:04:13
00:04:13
“Shadraki, Meshaki, na Abednego00:04:16
00:04:16
wakamjibu mfalme:00:04:18
00:04:18
“Ee Nebukadneza,00:04:20
00:04:20
hatuhitaji kukujibu kuhusiana na jambo hili.00:04:23
00:04:23
Ikiwa ni lazima iwe hivyo,00:04:25
00:04:25
Mungu wetu tunayemtumikia00:04:27
00:04:27
anaweza kutuokoa00:04:28
00:04:28
kutoka katika tanuru hilo lenye moto mkali,00:04:30
00:04:30
Ee mfalme,00:04:31
00:04:31
na kutuokoa kutoka mikononi mwako.00:04:33
00:04:34
Lakini hata asipotuokoa,00:04:36
00:04:36
Ee mfalme,00:04:37
00:04:37
ujue kwamba00:04:38
00:04:39
hatutaiabudu miungu yako00:04:41
00:04:41
wala kuabudu sanamu ya dhahabu00:04:43
00:04:43
uliyosimamisha.”00:04:45
00:04:45
Kwa kweli walimtumaini Yehova.00:04:47
00:04:48
Kuna somo lingine pia:00:04:49
00:04:50
Roho takatifu00:04:51
00:04:51
itatusaidia kuendelea kuwa watulivu00:04:53
00:04:53
na kuepuka kushtuka,00:04:55
00:04:55
na kuwajibu kwa njia nzuri00:04:57
00:04:57
wale wanaotutesa.00:04:58
00:04:58
Unapofikiria jambo ambalo tumesoma00:05:00
00:05:00
kwa kweli walikuwa watulivu,00:05:02
00:05:02
kwa kweli00:05:03
00:05:03
walitoa jibu zuri sana00:05:05
00:05:05
ni wazi kwamba00:05:06
00:05:06
roho takatifu00:05:07
00:05:07
ilikuwa ikiwaongoza00:05:08
00:05:08
kwa njia kubwa sana.00:05:09
00:05:10
Na tunaahidiwa kwamba00:05:11
00:05:11
itakuwa hivyo kwetu pia.00:05:12
00:05:12
Kwenye Luka 12:11, 12,00:05:15
00:05:15
Yesu alisema:00:05:16
00:05:16
“Mtakapopelekwa mbele ya makusanyiko00:05:18
00:05:18
ya watu wote,00:05:20
00:05:20
maofisa wa serikali,00:05:21
00:05:21
na mamlaka,00:05:22
00:05:22
msihangaike kuhusu jambo mtakalosema,00:05:25
00:05:25
saa hiyohiyo00:05:26
00:05:26
roho takatifu itawafundisha00:05:27
00:05:27
mambo mnayopaswa kusema.”00:05:29
00:05:29
Hili ni somo lingine:00:05:31
00:05:31
Yehova anaweza kutumia00:05:32
00:05:32
malaika zake wenye nguvu00:05:34
00:05:34
ili kutukomboa00:05:35
00:05:35
kutoka kwenye hali 00:05:36
00:05:36
yenye kuogopesha.00:05:37
00:05:38
Katika kisa cha wale Waebrania watatu,00:05:40
00:05:40
waliokolewa kimuujiza.00:05:42
00:05:42
Mfalme alipotazama ndani ya tanuru hilo,00:05:45
00:05:45
badala ya kuona wanaume watatu00:05:46
00:05:47
waliofungwa wakiteketezwa,00:05:48
00:05:49
aliona wanne00:05:50
00:05:51
wakitembea wakiwa huru.00:05:53
00:05:53
Ni wazi kwamba00:05:54
00:05:54
wa nne alikuwa malaika.00:05:55
00:05:55
Walipotolewa ndani ya tanuru hilo,00:05:58
00:05:58
Danieli 3:27 inasema kwamba00:06:00
00:06:00
hata hawakuwa00:06:01
00:06:01
na “harufu ya moto.”00:06:03
00:06:03
Hakuna hata unywele mmoja00:06:04
00:06:04
uliokuwa umeungua.00:06:05
00:06:05
Unapoenda katika nyumba00:06:07
00:06:07
ya mtu ambaye anavuta sigara,00:06:08
00:06:08
wewe pia00:06:09
00:06:09
utakuwa na harufu ya sigara.00:06:11
00:06:11
Kuhusu kuunguza nywele,00:06:13
00:06:13
ni rahisi sana kwa nywele kuungua.00:06:15
00:06:15
Wakati fulani uliopita00:06:17
00:06:17
nilijaribu kuwasha jiko la gesi00:06:19
00:06:19
kwa kutumia kiberiti.00:06:20
00:06:20
Lakini nilichelewa00:06:21
00:06:21
kuwasha kiberiti.00:06:22
00:06:23
Moto mkubwa ukawaka00:06:24
00:06:24
na kuchoma nywele kwenye mkono wangu.00:06:26
00:06:27
Lakini Waebrania hao00:06:28
00:06:28
hawakuungua unywele hata mmoja,00:06:30
00:06:30
wala hawakuwa na harufu ya moshi.00:06:32
00:06:32
Leo, hatutarajii kwamba00:06:34
00:06:34
malaika wa Yehova00:06:35
00:06:35
watatuokoa kimuujiza.00:06:37
00:06:37
Lakini Yehova00:06:39
00:06:38
anaweza kuwatumia malaika00:06:40
00:06:40
kutusaidia 00:06:41
00:06:41
tunapokabiliana na hali fulani.00:06:43
00:06:43
Na hivyo, unapata kazi00:06:44
00:06:44
ili kuiandalia familia yetu.00:06:46
00:06:46
Au tunapata daktari mwenye ushirikiano00:06:48
00:06:48
ambaye anaheshimu msimamo wetu00:06:50
00:06:50
kuhusu damu,00:06:51
00:06:51
hiyo ni mifano michache.00:06:52
00:06:52
Au huenda akawatumia malaika00:06:54
00:06:54
kutuimarisha00:06:55
00:06:55
tuendelee kuwa waaminifu00:06:57
00:06:57
tunapokabili jaribu gumu.00:06:59
00:06:59
Hili ni somo lingine tunalojifunza.00:07:01
00:07:01
Imani thabiti00:07:03
00:07:03
kuhusu ufufuo00:07:04
00:07:04
inaweza kutuimarisha00:07:06
00:07:06
kwa njia kubwa,00:07:07
00:07:07
hata tunapotishiwa kuuawa.00:07:09
00:07:09
Bila shaka,00:07:10
00:07:10
Waebrania hao watatu00:07:11
00:07:11
walijua maneno00:07:12
00:07:13
ya Ayubu 14:13,00:07:15
00:07:15
ambapo Ayubu00:07:16
00:07:16
alimwomba Yehova00:07:17
00:07:17
amfiche kaburini,00:07:18
00:07:18
ampimie wakati,00:07:20
00:07:20
kisha amkumbuke,00:07:21
00:07:21
amfufue.00:07:22
00:07:23
Inawezekana kwamba00:07:24
00:07:24
walifahamu kuhusu ufufuo00:07:26
00:07:26
ulifanywa na Eliya na Elisha.00:07:28
00:07:28
Hawakujua kwamba00:07:29
00:07:29
watakombolewa kimuujiza,00:07:31
00:07:31
lakini walijua kwamba00:07:32
00:07:32
wangefufuliwa00:07:33
00:07:33
ikiwa wangeendelea kuwa watimilifu.00:07:35
00:07:35
Hivyo, ndivyo ilivyo kwetu leo.00:07:37
00:07:37
Na imani hiyo thabiti katika ufufuo,00:07:39
00:07:39
unapofikiria jambo hilo,00:07:41
00:07:41
humwondolea Shetani00:07:42
00:07:42
nguvu zake00:07:43
00:07:44
za kutuogopesha00:07:45
00:07:45
hata tunapokabili kifo.00:07:47
00:07:47
Tunaweza kusema kwamba00:07:48
00:07:48
tumaini hilo00:07:49
00:07:49
litatusaidia kuendelea kuwa waaminifu.00:07:51
00:07:52
Tunapata pia somo lingine:00:07:53
00:07:54
tunaposimama imara00:07:55
00:07:55
na kutoogopeshwa00:07:56
00:07:57
tunawatolea ushahidi wenye nguvu00:07:59
00:07:59
wale wanaotutazama.00:08:00
00:08:01
Unakumbuka alichosema mfalme00:08:02
00:08:02
walipotoka kwenye tanuru00:08:04
00:08:04
bila madhara?00:08:05
00:08:05
Alisema:00:08:06
00:08:06
“Na asifiwe Mungu wa Shadraki,00:08:08
00:08:08
Meshaki, na Abednego, .00:08:10
00:08:12
. kwa maana00:08:12
00:08:12
hakuna Mungu mwingine yeyote00:08:14
00:08:15
anayeweza kuokoa kama huyu.”00:08:17
00:08:17
Ikiwa Nebukadneza00:08:19
00:08:19
na watazamaji wengine wa Babiloni00:08:21
00:08:21
watafufuliwa00:08:22
00:08:22
wakiwa sehemu ya wasio waadilifu,00:08:24
00:08:24
wanaotajwa kwenye Matendo 24:15,00:08:27
00:08:27
tukio hilo litawasaidia00:08:29
00:08:30
kumkaribia Yehova,00:08:31
00:08:31
na kuunga mkono upande wake.00:08:33
00:08:33
Katika ulimwengu mpya.00:08:34
00:08:34
Pia fikiria00:08:35
00:08:35
wale wanaume waliowatupa00:08:37
00:08:37
ndani ya tanuru la moto,00:08:39
00:08:39
na wakafa kwa kufanya hivyo.00:08:40
00:08:40
Ikiwa watafufuliwa00:08:42
00:08:42
wataambiwa kuhusu00:08:43
00:08:43
mambo yaliyotokea baada ya wao kufa.00:08:46
00:08:46
Na bila shaka,00:08:47
00:08:47
jambo hilo litawasaidia kumkaribia Yehova zaidi,00:08:51
00:08:51
katika ulimwengu mpya.00:08:52
00:08:52
Hivyo ndivyo ilivyo pia leo.00:08:54
00:08:55
Tunaposimama imara00:08:56
00:08:56
bila kuogopeshwa00:08:57
00:08:58
tunatoa ushahidi wenye nguvu.00:08:59
00:09:00
Na kuna wengi ambao leo wamejifunza kweli00:09:02
00:09:02
kwa sababu ya ushahidi kama huo.00:09:04
00:09:05
Tumezungumzia masomo matano00:09:06
00:09:07
kuhusu kutoogopeshwa,00:09:08
00:09:09
ambayo tunaweza kujifunza00:09:10
00:09:10
kutokana na Waebrania hao watatu.00:09:13
00:09:13
Kwa muhtasari:00:09:14
00:09:14
usiache kamwe kumtumaini Yehova,00:09:16
00:09:16
licha ya mingurumo ya Ibilisi.00:09:19
00:09:19
Pili:00:09:20
00:09:20
Roho takatifu itatusaidia00:09:21
00:09:21
kuendelea kuwa watulivu00:09:23
00:09:23
kuepuka kushtuka,00:09:24
00:09:24
na kujibu kwa njia nzuri.00:09:25
00:09:25
Tatu Yehova anaweza kutumia malaika wake00:09:28
00:09:28
kwa njia mbalimbali00:09:30
00:09:30
ili kutuokoa00:09:31
00:09:31
kutoka kwenye hali zenye kuogopesha.00:09:33
00:09:33
Na nne:00:09:33
00:09:34
Tumaini la ufufuo00:09:35
00:09:36
litatuimarisha00:09:37
00:09:37
ili tusiogopeshwe00:09:39
00:09:39
hata ikiwa,00:09:40
00:09:40
tutakabili kifo.00:09:41
00:09:42
Na tano:00:09:43
00:09:43
tunaposimama imara kabisa bila kuogopeshwa,00:09:46
00:09:46
tunawatolea ushahidi mkubwa00:09:48
00:09:49
wale wanaotutazama.00:09:50
00:09:50
Basi, acheni sisi sote00:09:52
00:09:52
kama Waebrania hao watatu,00:09:53
00:09:54
tuazimie00:09:55
00:09:55
kwamba hatutamruhusu kamwe00:09:57
00:09:57
Shetani00:09:58
00:09:58
atuogopeshe.00:09:59
M. Stephen Lett: Usimruhusu Kamwe Shetani Akutishe (Kum. 1:17)
-
M. Stephen Lett: Usimruhusu Kamwe Shetani Akutishe (Kum. 1:17)
Kichwa cha mazungumzo yangu ni
“Usimruhusu Kamwe Shetani
Akuogopeshe.”
Kuogopesha kunamaanisha
kujaribu kumfanya mtu afanye
au asifanye jambo fulani
kwa kumnyanyasa,
kumshambulia,
au kumtisha
na bila shaka
Shetani ni Mungu
anayewaogopesha watu.
Na hivyo ndivyo anavyofanya
watu watende jinsi anavyotaka.
Kwa upande mwingine
sikuzote Yehova hutuchochea kwa upendo.
Neno “kuogopesha”
linapatikana mara mbili
katika <i>Biblia</i>
<i>yenye maelezo ya utafiti.</i>
Na neno msiogopeshwe
linapatikana mara moja
kwenye maandishi ya Biblia yetu
kwenye Kumbukumbu la Torati 1:17,
ambapo waamuzi ambao
wangemsaidia Musa
waliamriwa:
‘Msiogopeshwe na wanadamu.
Hampaswi kuhukumu
kwa upendeleo.’
Ingawa maneno hayo
hayatumiwi mara nyingi katika Biblia,
wazo hilo
linapatikana mara nyingi.
Fikiria mifano michache,
mfikirie Goliathi
ambaye alikuwa na urefu wa mita 2.9
na alijaribu kumtisha kijana Daudi.
Unakumbuka jambo alilomwambia
kwenye Samweli cha kwanza sura ya 17 alimwambia:
“Nikaribie tu,
nyama yako
nitawapa ndege wa angani
na wanyama wa mwituni.”
‘Nikaribie tu, mvulana mdogo,
nami nitawalisha fisi na mwewe
maiti yako.
Kwa kweli
alimtisha sana.
Namna gani Rabshake
ambaye alijaribu kuwatisha Wayahudi
kuzungumza Kiebrania vizuri
kwa sauti kubwa
katika siku za Hezekia
au Sanbalati na Tobia
waliojaribu kumdhihaki Nehemia
na Wayahudi
kwa sababu ya kujenga ukuta?
Au mfano mwingine
ulio katika maelezo ya <i>Mnara wa Mlinzi</i>
ya andiko la leo,
Nebukadneza alipojaribu kuwatisha
wale Waebrania watatu
ili waabudu sanamu.
Alifanyaje hivyo?
Danieli 3:1 inasema kwamba
alijenga sanamu
kubwa sana
urefu wa mita 27.4 hivi
na upana wa mita 2.7,
na sanamu hiyo kubwa
ilikuwa yenye kuogopesha sana.
Kisha
kulingana na mstari wa 2
akakusanya kundi kubwa la watu:
“maliwali,
wasimamizi,
magavana,
washauri”
kundi lenye kuogopesha kweli.
Kisha kwenye mstari wa 4-6,
akaamuru tangazo hili litolewe kwa sauti kubwa:
‘Mtakaposikia sauti ya pembe,
zumari, zeze .
. mnaamriwa kwamba
lazima mwanguke chini
na kuabudu sanamu hii.
Na mtu ambaye hatafanya hivyo
atatupwa mara moja
katika tanuru
lenye moto mkali.
Hilo liliogopesha sana
lakini
wale Waebrania watatu
hawakuogopa chochote.
Lakini kama tulivyosema
Shetani
bado anajaribu kuwaogopesha watu leo.
‘Usipokubali kuongezewa damu mwilini
kwa hakika utakufa.’
‘Usipokubali kazi hii
(kazi ambayo itaathiri hali yako ya kiroho),
familia yako italala njaa.’
‘Vuta hii sigara,
unaogopa
kwani wewe ni mwoga kama kuku?’
‘Kwa nini usianzishe urafiki na msichana huyu
anayekupenda darasani?
Je, wewe ni shoga?’
Leo,
Shetani anatumia
mbinu ya kuwaogopesha watu.
Petro ya kwanza 5:8 inasema kwamba
Ibilisi “anatembea huku na huku
kama simba anayenguruma.”
Na mara nyingi
ananguruma
kwa njia inayokusudiwa kutuogopesha.
Kama vile
mngurumo halisi wa simba
kulingana na kitabu cha <i>Insight</i>,
mngurumo huo
umekusudiwa kuwafanya wanyama wanaofugwa,
wakanyagane
na kutoka ndani
ya zizi lenye ulinzi.
Tufikirie swali hili:
ni masomo gani ambayo tunaweza kujifunza
kutoka kwa Waebrania hao watatu
yatakayotusaidia tusikubali kamwe
Shetani atuogopeshe?
Yafuatayo ni masomo machache.
Kwanza:
usiache kamwe kumtumaini Yehova
kwa moyo wako wote,
licha ya mingurumo ya Ibilisi.
Tufungue Danieli sura ya 3,
ona jinsi walivyomtumaini kabisa Yehova
licha ya kukabili hali hiyo
yenye kuogopesha
sura ya 3, mstari wa 16:
“Shadraki, Meshaki, na Abednego
wakamjibu mfalme:
“Ee Nebukadneza,
hatuhitaji kukujibu kuhusiana na jambo hili.
Ikiwa ni lazima iwe hivyo,
Mungu wetu tunayemtumikia
anaweza kutuokoa
kutoka katika tanuru hilo lenye moto mkali,
Ee mfalme,
na kutuokoa kutoka mikononi mwako.
Lakini hata asipotuokoa,
Ee mfalme,
ujue kwamba
hatutaiabudu miungu yako
wala kuabudu sanamu ya dhahabu
uliyosimamisha.”
Kwa kweli walimtumaini Yehova.
Kuna somo lingine pia:
Roho takatifu
itatusaidia kuendelea kuwa watulivu
na kuepuka kushtuka,
na kuwajibu kwa njia nzuri
wale wanaotutesa.
Unapofikiria jambo ambalo tumesoma
kwa kweli walikuwa watulivu,
kwa kweli
walitoa jibu zuri sana
ni wazi kwamba
roho takatifu
ilikuwa ikiwaongoza
kwa njia kubwa sana.
Na tunaahidiwa kwamba
itakuwa hivyo kwetu pia.
Kwenye Luka 12:11, 12,
Yesu alisema:
“Mtakapopelekwa mbele ya makusanyiko
ya watu wote,
maofisa wa serikali,
na mamlaka,
msihangaike kuhusu jambo mtakalosema,
saa hiyohiyo
roho takatifu itawafundisha
mambo mnayopaswa kusema.”
Hili ni somo lingine:
Yehova anaweza kutumia
malaika zake wenye nguvu
ili kutukomboa
kutoka kwenye hali
yenye kuogopesha.
Katika kisa cha wale Waebrania watatu,
waliokolewa kimuujiza.
Mfalme alipotazama ndani ya tanuru hilo,
badala ya kuona wanaume watatu
waliofungwa wakiteketezwa,
aliona wanne
wakitembea wakiwa huru.
Ni wazi kwamba
wa nne alikuwa malaika.
Walipotolewa ndani ya tanuru hilo,
Danieli 3:27 inasema kwamba
hata hawakuwa
na “harufu ya moto.”
Hakuna hata unywele mmoja
uliokuwa umeungua.
Unapoenda katika nyumba
ya mtu ambaye anavuta sigara,
wewe pia
utakuwa na harufu ya sigara.
Kuhusu kuunguza nywele,
ni rahisi sana kwa nywele kuungua.
Wakati fulani uliopita
nilijaribu kuwasha jiko la gesi
kwa kutumia kiberiti.
Lakini nilichelewa
kuwasha kiberiti.
Moto mkubwa ukawaka
na kuchoma nywele kwenye mkono wangu.
Lakini Waebrania hao
hawakuungua unywele hata mmoja,
wala hawakuwa na harufu ya moshi.
Leo, hatutarajii kwamba
malaika wa Yehova
watatuokoa kimuujiza.
Lakini Yehova
anaweza kuwatumia malaika
kutusaidia
tunapokabiliana na hali fulani.
Na hivyo, unapata kazi
ili kuiandalia familia yetu.
Au tunapata daktari mwenye ushirikiano
ambaye anaheshimu msimamo wetu
kuhusu damu,
hiyo ni mifano michache.
Au huenda akawatumia malaika
kutuimarisha
tuendelee kuwa waaminifu
tunapokabili jaribu gumu.
Hili ni somo lingine tunalojifunza.
Imani thabiti
kuhusu ufufuo
inaweza kutuimarisha
kwa njia kubwa,
hata tunapotishiwa kuuawa.
Bila shaka,
Waebrania hao watatu
walijua maneno
ya Ayubu 14:13,
ambapo Ayubu
alimwomba Yehova
amfiche kaburini,
ampimie wakati,
kisha amkumbuke,
amfufue.
Inawezekana kwamba
walifahamu kuhusu ufufuo
ulifanywa na Eliya na Elisha.
Hawakujua kwamba
watakombolewa kimuujiza,
lakini walijua kwamba
wangefufuliwa
ikiwa wangeendelea kuwa watimilifu.
Hivyo, ndivyo ilivyo kwetu leo.
Na imani hiyo thabiti katika ufufuo,
unapofikiria jambo hilo,
humwondolea Shetani
nguvu zake
za kutuogopesha
hata tunapokabili kifo.
Tunaweza kusema kwamba
tumaini hilo
litatusaidia kuendelea kuwa waaminifu.
Tunapata pia somo lingine:
tunaposimama imara
na kutoogopeshwa
tunawatolea ushahidi wenye nguvu
wale wanaotutazama.
Unakumbuka alichosema mfalme
walipotoka kwenye tanuru
bila madhara?
Alisema:
“Na asifiwe Mungu wa Shadraki,
Meshaki, na Abednego, .
. kwa maana
hakuna Mungu mwingine yeyote
anayeweza kuokoa kama huyu.”
Ikiwa Nebukadneza
na watazamaji wengine wa Babiloni
watafufuliwa
wakiwa sehemu ya wasio waadilifu,
wanaotajwa kwenye Matendo 24:15,
tukio hilo litawasaidia
kumkaribia Yehova,
na kuunga mkono upande wake.
Katika ulimwengu mpya.
Pia fikiria
wale wanaume waliowatupa
ndani ya tanuru la moto,
na wakafa kwa kufanya hivyo.
Ikiwa watafufuliwa
wataambiwa kuhusu
mambo yaliyotokea baada ya wao kufa.
Na bila shaka,
jambo hilo litawasaidia kumkaribia Yehova zaidi,
katika ulimwengu mpya.
Hivyo ndivyo ilivyo pia leo.
Tunaposimama imara
bila kuogopeshwa
tunatoa ushahidi wenye nguvu.
Na kuna wengi ambao leo wamejifunza kweli
kwa sababu ya ushahidi kama huo.
Tumezungumzia masomo matano
kuhusu kutoogopeshwa,
ambayo tunaweza kujifunza
kutokana na Waebrania hao watatu.
Kwa muhtasari:
usiache kamwe kumtumaini Yehova,
licha ya mingurumo ya Ibilisi.
Pili:
Roho takatifu itatusaidia
kuendelea kuwa watulivu
kuepuka kushtuka,
na kujibu kwa njia nzuri.
Tatu Yehova anaweza kutumia malaika wake
kwa njia mbalimbali
ili kutuokoa
kutoka kwenye hali zenye kuogopesha.
Na nne:
Tumaini la ufufuo
litatuimarisha
ili tusiogopeshwe
hata ikiwa,
tutakabili kifo.
Na tano:
tunaposimama imara kabisa bila kuogopeshwa,
tunawatolea ushahidi mkubwa
wale wanaotutazama.
Basi, acheni sisi sote
kama Waebrania hao watatu,
tuazimie
kwamba hatutamruhusu kamwe
Shetani
atuogopeshe.
-