00:00:01
Mungu aliwaongoza watu 4000:00:03
00:00:03
kuandika Biblia00:00:04
00:00:04
Umewahi kujiuliza,00:00:06
00:00:06
Walitumia nini kuandika?00:00:08
00:00:08
Kwasababu00:00:09
00:00:09
sehemu za zamani zaidi za Biblia00:00:12
00:00:12
ziliandikwa zaidi ya miaka 100000:00:13
00:00:13
kabla ya karatasi kubuniwa.00:00:15
00:00:16
Hati za kale za Biblia ziliandikwa00:00:18
00:00:18
juu ya kitu kinachoitwa mafunjo.00:00:21
00:00:21
Mafunjo hutoka kwenye mmea00:00:23
00:00:23
unaokua kwenye maji yasiyo na kina00:00:25
00:00:25
na mmea huo unaweza kukua00:00:27
00:00:27
kufikia mita 4.6 hivi.00:00:29
00:00:30
Zaidi ya miaka 4000 iliyopita,00:00:32
00:00:32
Wamisri walibuni00:00:33
00:00:33
njia ya kufanya mafunjo00:00:34
00:00:34
yawe kifaa laini00:00:36
00:00:36
ambacho kinaweza kuandikiwa00:00:37
00:00:37
kama karatasi.00:00:38
00:00:39
Hata ukitumia vifaa vya kisasa,00:00:41
00:00:41
utaona hiyo ilikuwa kazi nyingi sana.00:00:43
00:00:44
Vipande vyembamba vya katikati00:00:45
00:00:45
vilihitaji kulainishwa,00:00:47
00:00:47
na kutiwa ndani ya maji00:00:48
00:00:49
kisha vingepangwa katika safu.00:00:51
00:00:53
Halafu vingegongwa na kubanwa00:00:55
00:00:55
ili kuviunganisha.00:00:57
00:00:58
Kurasa hizo zilipokauka,00:01:00
00:01:00
zilizonyooshwa kwa kutumia00:01:01
00:01:01
kipande cha jino la tembo,00:01:03
00:01:03
gamba, au jiwe laini.00:01:05
00:01:06
Na hapo ndipo ukurasa mwororo00:01:07
00:01:07
ungepatikana wa kuandikia.00:01:09
00:01:10
Ili kufanyiza kitabu cha kukunjwa,00:01:12
00:01:12
kurasa kadhaa00:01:13
00:01:13
ziliunganishwa kuwa gundi00:01:14
00:01:15
na kufanyiza kitabu cha kukunjwa00:01:17
00:01:17
chenye urefu wa mita 6 hivi.00:01:18
00:01:22
Hata hivyo kufikia karne ya pili00:01:23
00:01:23
wakati wa kawaida,00:01:24
00:01:25
wanakili00:01:25
00:01:25
walianza kutumia mbinu nyingine00:01:27
00:01:27
ambayo ilifanya iwe rahisi00:01:29
00:01:29
kutumia kurasa hizo za mafunjo00:01:31
00:01:31
iliitwa Kodeksi.00:01:32
00:01:32
Ili kutengeneza Kodeksi00:01:34
00:01:34
kurasa za mafunjo zilikunjwa00:01:36
00:01:36
kisha zikashonwa00:01:38
00:01:38
na hivyo kuunganishwa00:01:39
00:01:39
ili kufanyiza kitu kama kitabu cha kisasa.00:01:42
00:01:42
Wazia ilichukua saa nyingi kadri gani00:01:44
00:01:44
ili kutengeneza vifaa hivi vyote00:01:46
00:01:46
ili kuandika.00:01:47
00:01:47
Lakini kwa kuwa hawakuwa00:01:48
00:01:48
na kalamu kama za sasa,00:01:49
00:01:50
walitumia nini kuandikia?00:01:51
00:01:53
Mara nyingi kalamu walizotumia00:01:54
00:01:55
zilitengenezwa kutokana00:01:56
00:01:56
na utetee mgumu kama huu00:01:57
00:01:58
zilichongwa kwa uangalifu00:01:59
00:01:59
ili kufanyiza ncha kali kama hii.00:02:01
00:02:03
Katika nyakati za Biblia00:02:04
00:02:04
rangi ambayo kwa kawaida00:02:06
00:02:06
iliyotumiwa na kalamu hizi00:02:07
00:02:08
ilitengenezwa kwa00:02:09
00:02:09
masinzi meusi kama ya mkaa00:02:10
00:02:11
na kuunganishwa na aina fulani ya00:02:12
00:02:12
mpira unaonata.00:02:14
00:02:15
Kisha yakichanganywa na maji.00:02:16
00:02:22
Tatizo la mafunjo ni kwamba00:02:24
00:02:24
iwe yalitengenezwa00:02:25
00:02:25
kama kitabu cha kukunjwa00:02:26
00:02:26
au kama Kodeksi,00:02:28
00:02:28
yaliharibika upesi.00:02:29
00:02:29
Inashangaza kwamba,00:02:30
00:02:30
kuna vipande vingi00:02:32
00:02:32
vya hati za Biblia00:02:33
00:02:33
zilizoandikwa kwenye mafunjo00:02:35
00:02:35
ambazo zimeokoka hadi leo hii.00:02:37
00:02:37
Hapa kuna vipande vya mafunjo00:02:39
00:02:39
ambavyo viliandikwa00:02:40
00:02:40
miaka 2000 iliyopita.00:02:42
00:02:42
Baada ya muda00:02:43
00:02:44
hati za Biblia zilianza kunakiliwa00:02:46
00:02:46
kwenye vifaa vinavyodumu zaidi.00:02:48
00:02:48
Kufikia karne ya nne00:02:49
00:02:50
ngozi za wanyama00:02:50
00:02:50
zilianza kutumiwa sana00:02:52
00:02:52
na hasa wanyama kama kondoo,00:02:54
00:02:54
ndama, na mbuzi.00:02:56
00:02:57
Mchakato ulianza00:02:58
00:02:58
kwa kutumbukiza ngozi hiyo00:02:59
00:02:59
ndani ya maji yenye limao.00:03:01
00:03:01
kisha manyoya na nyama yeyote00:03:03
00:03:03
iliyosalia zikaondolewa.00:03:04
00:03:10
Baadaye ngozi hiyo ilinyooshwa00:03:12
00:03:12
na kuondolewa kitu chochote00:03:13
00:03:13
kilichosalia kama vile mafuta.00:03:15
00:03:16
Kisha ngozi hiyo ingekazwa hata zaidi00:03:19
00:03:19
ili ikaushwe.00:03:20
00:03:20
Hilo lingeifanya iwe ngumu na inyooke.00:03:23
00:03:24
Halafu ingenyunyuziwa chokaa00:03:26
00:03:26
na kupigwa msasa00:03:27
00:03:27
kwa jiwe la kukwaruzia00:03:29
00:03:29
ili kufanyiza sehemu laini ya kuandikia.00:03:31
00:03:33
Kama unavyoona00:03:34
00:03:34
ilikuwa kazi kubwa sana00:03:35
00:03:35
kutengeneza ukurasa mmoja tu wa ngozi.00:03:38
00:03:38
Hata hivyo leo00:03:39
00:03:39
kuna hati nyingi sana00:03:41
00:03:41
ambazo zimeokoka00:03:42
00:03:42
ambazo ziliandikwa kwenye ngozi00:03:44
00:03:44
kama hizi mbili.00:03:45
00:03:45
Hati nyingine maarufu00:03:47
00:03:47
ni Kodeksi Amiatinus,00:03:49
00:03:49
iliyoko Italia00:03:50
00:03:50
iliandikwa miaka 1300 iliyopita.00:03:53
00:03:53
Hiyo ndiyo Biblia ya zamani zaidi00:03:54
00:03:54
ya Kilatini00:03:55
00:03:55
iliyowahi kupatikana katika buku moja.00:03:58
00:03:58
Wanahistoria wanasema00:03:59
00:04:00
ngozi za wanyama zaidi ya 40000:04:01
00:04:01
zilitumika kuitengeneza.00:04:03
00:04:05
Huu ni mfano tu wa Biblia hiyo00:04:07
00:04:07
na kama uonavyo ni kubwa sana00:04:09
00:04:09
hata hivyo Biblia yenyewe ni kubwa zaidi00:04:11
00:04:11
na ina uzito wa kilo 34.00:04:14
00:04:14
Wazia ni kazi nyingi kadiri gani00:04:16
00:04:16
iliyohusika ili kutengeneza00:04:18
00:04:18
Biblia hiyo moja tu.00:04:19
00:04:20
Lakini vifaa hivyo vyote00:04:21
00:04:21
vinaweza kudhoofika00:04:22
00:04:22
na kuharibika kadiri muda unavyopita.00:04:25
00:04:25
Hata hivyo ili kuhakikisha kwamba00:04:26
00:04:26
Neno lake linahifadhiwa00:04:28
00:04:28
Yehova alihakikisha Biblia inanakiliwa00:04:30
00:04:30
tena na tena kwa umakini00:04:32
00:04:32
hivi kwamba leo tuna maelfu ya hati00:04:35
00:04:35
zinazotuonyesha 00:04:36
00:04:36
sehemu mbalimbali za Biblia.00:04:38
00:04:38
Kwa hiyo wakati ujao00:04:39
00:04:39
unaposoma tu mstari00:04:40
00:04:40
kwa kubofya kiunganishi,00:04:42
00:04:42
tafakari ni kazi gani00:04:43
00:04:43
iliyohusika ili kuandika maneno haya00:04:46
00:04:46
na jinsi inavyostaajabisha00:04:47
00:04:47
kwamba licha ya kuandikwa kwenye00:04:49
00:04:49
vifaa vya kale vinavyoharibika,00:04:51
00:04:51
Neno la Mungu00:04:52
00:04:52
bado linapatikana leo.00:04:54
Jinsi Neno la Mungu Lilivyoandikwa
-
Jinsi Neno la Mungu Lilivyoandikwa
Mungu aliwaongoza watu 40
kuandika Biblia
Umewahi kujiuliza,
Walitumia nini kuandika?
Kwasababu
sehemu za zamani zaidi za Biblia
ziliandikwa zaidi ya miaka 1000
kabla ya karatasi kubuniwa.
Hati za kale za Biblia ziliandikwa
juu ya kitu kinachoitwa mafunjo.
Mafunjo hutoka kwenye mmea
unaokua kwenye maji yasiyo na kina
na mmea huo unaweza kukua
kufikia mita 4.6 hivi.
Zaidi ya miaka 4000 iliyopita,
Wamisri walibuni
njia ya kufanya mafunjo
yawe kifaa laini
ambacho kinaweza kuandikiwa
kama karatasi.
Hata ukitumia vifaa vya kisasa,
utaona hiyo ilikuwa kazi nyingi sana.
Vipande vyembamba vya katikati
vilihitaji kulainishwa,
na kutiwa ndani ya maji
kisha vingepangwa katika safu.
Halafu vingegongwa na kubanwa
ili kuviunganisha.
Kurasa hizo zilipokauka,
zilizonyooshwa kwa kutumia
kipande cha jino la tembo,
gamba, au jiwe laini.
Na hapo ndipo ukurasa mwororo
ungepatikana wa kuandikia.
Ili kufanyiza kitabu cha kukunjwa,
kurasa kadhaa
ziliunganishwa kuwa gundi
na kufanyiza kitabu cha kukunjwa
chenye urefu wa mita 6 hivi.
Hata hivyo kufikia karne ya pili
wakati wa kawaida,
wanakili
walianza kutumia mbinu nyingine
ambayo ilifanya iwe rahisi
kutumia kurasa hizo za mafunjo
iliitwa Kodeksi.
Ili kutengeneza Kodeksi
kurasa za mafunjo zilikunjwa
kisha zikashonwa
na hivyo kuunganishwa
ili kufanyiza kitu kama kitabu cha kisasa.
Wazia ilichukua saa nyingi kadri gani
ili kutengeneza vifaa hivi vyote
ili kuandika.
Lakini kwa kuwa hawakuwa
na kalamu kama za sasa,
walitumia nini kuandikia?
Mara nyingi kalamu walizotumia
zilitengenezwa kutokana
na utetee mgumu kama huu
zilichongwa kwa uangalifu
ili kufanyiza ncha kali kama hii.
Katika nyakati za Biblia
rangi ambayo kwa kawaida
iliyotumiwa na kalamu hizi
ilitengenezwa kwa
masinzi meusi kama ya mkaa
na kuunganishwa na aina fulani ya
mpira unaonata.
Kisha yakichanganywa na maji.
Tatizo la mafunjo ni kwamba
iwe yalitengenezwa
kama kitabu cha kukunjwa
au kama Kodeksi,
yaliharibika upesi.
Inashangaza kwamba,
kuna vipande vingi
vya hati za Biblia
zilizoandikwa kwenye mafunjo
ambazo zimeokoka hadi leo hii.
Hapa kuna vipande vya mafunjo
ambavyo viliandikwa
miaka 2000 iliyopita.
Baada ya muda
hati za Biblia zilianza kunakiliwa
kwenye vifaa vinavyodumu zaidi.
Kufikia karne ya nne
ngozi za wanyama
zilianza kutumiwa sana
na hasa wanyama kama kondoo,
ndama, na mbuzi.
Mchakato ulianza
kwa kutumbukiza ngozi hiyo
ndani ya maji yenye limao.
kisha manyoya na nyama yeyote
iliyosalia zikaondolewa.
Baadaye ngozi hiyo ilinyooshwa
na kuondolewa kitu chochote
kilichosalia kama vile mafuta.
Kisha ngozi hiyo ingekazwa hata zaidi
ili ikaushwe.
Hilo lingeifanya iwe ngumu na inyooke.
Halafu ingenyunyuziwa chokaa
na kupigwa msasa
kwa jiwe la kukwaruzia
ili kufanyiza sehemu laini ya kuandikia.
Kama unavyoona
ilikuwa kazi kubwa sana
kutengeneza ukurasa mmoja tu wa ngozi.
Hata hivyo leo
kuna hati nyingi sana
ambazo zimeokoka
ambazo ziliandikwa kwenye ngozi
kama hizi mbili.
Hati nyingine maarufu
ni Kodeksi Amiatinus,
iliyoko Italia
iliandikwa miaka 1300 iliyopita.
Hiyo ndiyo Biblia ya zamani zaidi
ya Kilatini
iliyowahi kupatikana katika buku moja.
Wanahistoria wanasema
ngozi za wanyama zaidi ya 400
zilitumika kuitengeneza.
Huu ni mfano tu wa Biblia hiyo
na kama uonavyo ni kubwa sana
hata hivyo Biblia yenyewe ni kubwa zaidi
na ina uzito wa kilo 34.
Wazia ni kazi nyingi kadiri gani
iliyohusika ili kutengeneza
Biblia hiyo moja tu.
Lakini vifaa hivyo vyote
vinaweza kudhoofika
na kuharibika kadiri muda unavyopita.
Hata hivyo ili kuhakikisha kwamba
Neno lake linahifadhiwa
Yehova alihakikisha Biblia inanakiliwa
tena na tena kwa umakini
hivi kwamba leo tuna maelfu ya hati
zinazotuonyesha
sehemu mbalimbali za Biblia.
Kwa hiyo wakati ujao
unaposoma tu mstari
kwa kubofya kiunganishi,
tafakari ni kazi gani
iliyohusika ili kuandika maneno haya
na jinsi inavyostaajabisha
kwamba licha ya kuandikwa kwenye
vifaa vya kale vinavyoharibika,
Neno la Mungu
bado linapatikana leo.
-