00:00:01
Kulingana na Isaya 60:1700:00:05
00:00:05
Yehova alisema:00:00:06
00:00:06
“Badala ya shaba00:00:08
00:00:08
nitaleta dhahabu,00:00:10
00:00:10
na badala ya chuma nitaleta fedha.”00:00:13
00:00:15
Kwa kutumia maneno hayo,00:00:16
00:00:16
Yehova aliahidi kwamba ubora wa00:00:19
00:00:19
sehemu ya kidunia ya tengenezo lake00:00:21
00:00:21
ungeongezeka hatua kwa hatua.00:00:23
00:00:23
Kadiri ambavyo miaka imepita00:00:25
00:00:25
ameboresha jinsi tunavyofanya00:00:27
00:00:27
kazi yake kutia ndani00:00:29
00:00:29
kazi muhimu sana00:00:30
00:00:30
inayofanywa Betheli.00:00:32
00:00:32
Kazi hii ya maana sana00:00:34
00:00:34
inayofanywa Betheli inatimiza00:00:36
00:00:36
mambo mawili muhimu:00:00:37
00:00:37
inahakikisha chakula cha kiroho00:00:39
00:00:39
kinapatikana kwa watu wengi iwezekanavyo00:00:41
00:00:41
na inategemeza kazi ya kuhubiri00:00:44
00:00:44
ulimwenguni pote.00:00:45
00:00:46
Baraza Linaloongoza linaporekebisha00:00:48
00:00:48
kazi zinazofanywa Betheli,00:00:49
00:00:49
lengo limekuwa kuunga mkono mambo hayo.00:00:52
00:00:53
Kadiri ambavyo miaka imepita00:00:54
00:00:54
tumefanya marekebisho katika mbinu za00:00:56
00:00:56
uchapishaji, matumizi ya teknolojia,00:00:59
00:00:59
na mbinu za ujenzi,00:01:00
00:01:00
na tukarahisisha jinsi kazi00:01:02
00:01:02
inavyosimamiwa katika ofisi fulani za tawi,00:01:04
00:01:04
kutaja machache tu.00:01:06
00:01:06
Familia ya Betheli ulimwenguni pote00:01:09
00:01:09
imeunga mkono mabadiliko hayo00:01:11
00:01:11
kupatana na himizo linalopatikana00:01:13
00:01:13
kwenye Wakolosai 3:23:00:01:15
00:01:16
“Lolote mnalofanya,00:01:17
00:01:17
lifanyeni kwa nafsi yote kama kwa Yehova,00:01:21
00:01:21
na si kwa wanadamu.”00:01:22
00:01:23
Wengi wametumikia Betheli00:01:25
00:01:25
kwa miaka mingi sana00:01:27
00:01:27
na wamejionea mabadiliko hayo00:01:29
00:01:29
moja kwa moja.00:01:30
00:01:31
Kama Yehova, tunawathamini sana00:01:33
00:01:33
wale wanaojitoa kwa hiari00:01:35
00:01:35
kwa ajili ya utumishi mtakatifu.00:01:37
00:01:37
Wana roho ile ile kama ya nabii Isaya00:01:40
00:01:40
ambaye alisema:00:01:41
00:01:41
“Mimi hapa! Nitume mimi!”00:01:44
00:01:44
Ulimwenguni pote,00:01:45
00:01:46
idadi ya ndugu vijana00:01:47
00:01:47
wanaoomba kutumikia Betheli inaongezeka.00:01:50
00:01:50
Wakati huo huo sikuzote00:01:52
00:01:52
kuna uhitaji wa ndugu na dada00:01:53
00:01:53
waliozoezwa na wakomavu kiroho00:01:56
00:01:56
kutumikia shambani.00:01:57
00:01:57
Baada ya kupitia upya mahitaji ya Betheli00:01:59
00:01:59
na ya shamba la ulimwenguni pote,00:02:01
00:02:01
Baraza Linaloongoza limeamua kufanya00:02:04
00:02:04
mabadiliko kuhusu maoni yetu00:02:06
00:02:06
ya utumishi wa Betheli.00:02:07
00:02:07
Kuanzia sasa,00:02:09
00:02:09
utumishi wa Betheli hautaonwa00:02:11
00:02:11
tena kuwa mgao ambao00:02:12
00:02:12
mtu anatumikia maisha yote.00:02:14
00:02:14
Betheli itaendelea kuwa sehemu00:02:16
00:02:16
ambapo watu wanakuja00:02:18
00:02:18
kumtumikia Yehova kwa bidii00:02:20
00:02:20
na kupokea mazoezi yanayoweza00:02:22
00:02:22
kutumiwa na tengenezo lake.00:02:24
00:02:24
Hata hivyo, sasa mkazo utakuwa00:02:27
00:02:27
kwa ndugu na dada kutumia00:02:28
00:02:28
mazoezi hayo shambani00:02:30
00:02:30
au popote ambapo tengenezo00:02:32
00:02:32
la Yehova linawahitaji zaidi.00:02:34
00:02:35
Ili hilo liwezekane,00:02:36
00:02:37
tunafurahi kuwajulisha kuhusu00:02:39
00:02:39
mabadiliko fulani ambayo00:02:40
00:02:40
yatakuwa yakifanywa hapa Betheli.00:02:42
00:02:42
Kwanza,00:02:43
00:02:43
tutakuwa na kawaida ya kuhamisha00:02:45
00:02:45
wafanyakazi kutoka shambani00:02:47
00:02:47
kuja Betheli00:02:48
00:02:48
na kutoka Betheli00:02:49
00:02:49
kwenda shambani.00:02:50
00:02:51
Kama tulivyotaja awali,00:02:52
00:02:52
kutumikiwa Betheli hakutaonwa tena00:02:55
00:02:55
kuwa mgao wa kudumu.00:02:56
00:02:57
Kwa hiyo ingawa sikuzote00:02:59
00:02:59
kutakuwa na uhitaji wa wenye umri mkubwa00:03:01
00:03:01
wenye uzoefu wa kuzoeza00:03:03
00:03:03
kizazi kinachofuata cha Wanabetheli,00:03:05
00:03:05
wengi wanaokuja Betheli00:03:07
00:03:07
watatumikia kwa muda00:03:08
00:03:08
wapate mazoezi, wajipatie uzoefu muhimu,00:03:12
00:03:12
wazoeze wengine,00:03:13
00:03:13
kisha wakatumie mazoezi hayo shambani.00:03:16
00:03:17
Kutakuwa na pindi zilizoamuliwa00:03:18
00:03:18
mapema katika utumishi wa Mwanabetheli00:03:20
00:03:20
ambapo tutachanganua mazoezi ambayo00:03:22
00:03:22
tayari amepata, yanafaa kutumiwa wapi.00:03:25
00:03:26
Kuna faida gani kwa tengenezo00:03:27
00:03:27
kuhamisha wafanyakazi hivyo?00:03:29
00:03:30
Tunakualika usikilize tafadhali00:03:32
00:03:32
mahojiano yafuatayo.00:03:34
00:03:35
Mazoezi hapa Betheli00:03:37
00:03:37
pamoja na mgao wangu00:03:38
00:03:38
yamenifundisha kuwa na busara.00:03:40
00:03:40
Kufanya kazi na ndugu na dada00:03:41
00:03:41
wakomavu ambao wana uzoefu na00:03:43
00:03:43
ambao wanamtegemea Yehova,00:03:45
00:03:45
ni jambo ambalo lilinisaidia00:03:47
00:03:47
nikiwa mzee mpya kutanikoni,00:03:49
00:03:49
kujifunza jinsi ya kuendelea kumtegemea00:03:51
00:03:51
Yehova katika mgao wangu.00:03:53
00:03:54
Na pia ukanisaidia kuona jinsi ya00:03:55
00:03:55
kuwasaidia ndugu na dada wengine00:03:57
00:03:57
kama tu nilipokuwa Betheli.00:03:59
00:03:59
Mwanzoni tulipopewa mgao mpya00:04:01
00:04:01
tulianza kusoma vitabu vya Injili tena00:04:04
00:04:04
kuanzia mwanzo.00:04:05
00:04:05
Na kwa kweli hicho ndicho nilichohitaji.00:04:08
00:04:08
Kusikia maneno hayo yakikazia00:04:10
00:04:10
kwamba Yehova anatupenda00:04:12
00:04:12
na kwamba mabadiliko hayo00:04:14
00:04:14
yalikuwa tu sehemu ya kile00:04:16
00:04:16
ambacho tengenezo linahitaji na00:04:18
00:04:18
kwa kushirikiana na mabadiliko hayo,00:04:20
00:04:20
tungeendelea kuwa na baraka za00:04:22
00:04:22
Yehova hata katika mgao wetu mpya.00:04:24
00:04:24
Unapokuwa Betheli unapata nafasi ya00:04:27
00:04:27
kukutana na watu wengi sana.00:04:29
00:04:29
Unaanzisha urafiki na watu ambao00:04:31
00:04:31
mnafanya kazi nao,00:04:32
00:04:32
kuna wageni wengi wanaokuja kutembea, 00:04:34
00:04:34
na kwa njia hiyo unaweza kujionea00:04:36
00:04:36
tengenezwa kwa ujumla kuliko00:04:39
00:04:39
ikiwa ungekaa tu kutanikoni.00:04:41
00:04:41
Na kwa njia hiyo unathamini00:04:42
00:04:42
ya kwamba una familia kubwa,00:04:44
00:04:44
undugu wa ulimwenguni pote.00:04:45
00:04:45
Sasa ninaweza kuwasimulia00:04:47
00:04:47
ndugu na dada katika kutaniko langu jipya,00:04:49
00:04:49
kuhusu mambo, nilijionea,00:04:51
00:04:51
na kuwachochea waone kwamba00:04:53
00:04:53
hata wao wenyewe wanaweza00:04:54
00:04:54
kufanya mengi zaidi00:04:55
00:04:55
kwa ajili ya Yehova.00:04:57
00:04:57
Kuna tengenezo kubwa sana00:04:58
00:04:58
nyuma yetu ambalo linatutegemeza.00:05:00
00:05:00
Na huo ni wonyesho wa00:05:02
00:05:02
upendo wa Yehova kwamba anatujali.00:05:04
00:05:04
Na basi tunaweza kuwaeleza wengine00:05:06
00:05:06
mambo yote hayo mazuri00:05:07
00:05:07
ambayo tumejionea.00:05:09
00:05:11
Kama mifano hiyo inavyoonyesha wazi,00:05:13
00:05:14
hata ikiwa Betheli si mgao wa maisha,00:05:17
00:05:17
ni mgao unaobadili maisha.00:05:19
00:05:20
Je, hilo linamaanisha kwamba00:05:22
00:05:22
kila mtu ambaye sasa yuko Betheli,00:05:24
00:05:24
hatimaye lazima atahamishiwa shambani?00:05:27
00:05:27
Hapana.00:05:28
00:05:28
Sikuzote kutakuwa na uhitaji 00:05:31
00:05:31
wa kuwa na wenye umri00:05:32
00:05:32
mkubwa na vijana pia.00:05:34
00:05:34
Kama Methali 20:29 inavyosema:00:05:38
00:05:38
“Utukufu wa vijana ni nguvu zao,00:05:41
00:05:41
na fahari ya wazee ni mvi zao.”00:05:45
00:05:46
Mnara wa Mlinzi la Machi 15, 199300:05:49
00:05:49
lilizungumzia mstari huo:00:05:51
00:05:51
“Nguvu za ujana00:05:53
00:05:53
zinapounganishwa na ujuzi na hekima00:05:56
00:05:56
ya miaka, muunganisho wenye nguvu00:05:59
00:05:59
sana unafanyizwa.00:06:00
00:06:00
Maneno haya yamethibitika kuwa00:06:02
00:06:02
kweli hapa Betheli.00:06:04
00:06:04
Hali ya kiroho yenye kina00:06:06
00:06:06
na makumi ya miaka ya uzoefu ya00:06:08
00:06:08
wenye umri mkubwa ni muhimu.00:06:10
00:06:10
Lakini huenda ukajiuliza,00:06:12
00:06:12
‘Ikiwa kutakuwa na00:06:13
00:06:13
uhamisho wa kawaida Betheli,00:06:15
00:06:15
akina ndugu watafauluje kuendelea00:06:17
00:06:17
kutimiza kazi muhimu inayofanywa huko?’00:06:19
00:06:20
Hilo linatuleta kwenye badiliko la pili.00:06:22
00:06:23
Mkazo mkubwa sasa utawekwa00:06:25
00:06:25
kwenye kuharakisha mazoezi.00:06:27
00:06:28
Tunataka kuwasaidia ndugu na dada00:06:30
00:06:30
wapate ustadi unaohitajika kutumikia00:06:32
00:06:32
katika migao mbalimbali upesi zaidi.00:06:36
00:06:36
Mazoezi hayo yanatia ndani00:06:38
00:06:38
kuwakabidhi ndugu vijana00:06:39
00:06:39
mapendeleo ya usimamizi mapema.00:06:42
00:06:43
Ndugu wenye umri mkubwa00:06:44
00:06:44
watawasaidia na kuwazoeza vijana00:06:46
00:06:46
wakiwasaidia kuchukua majukumu00:06:49
00:06:49
ya usimamizi na ya uangalizi Betheli.00:06:52
00:06:53
Mazoezi haya yatawasaidia wawe00:06:55
00:06:55
na thamani Betheli.00:06:56
00:06:56
Yatawaandaa watumiwe kujazia mahitaji 00:06:59
00:06:59
ya wakati ujao ya tengenezo.00:07:01
00:07:01
Na yatajenga ndani yao sifa00:07:03
00:07:03
na ustadi ambao00:07:04
00:07:04
utakuwa muhimu sana00:07:05
00:07:05
katika ulimwengu mpya.00:07:07
00:07:08
Ofisi za tawi zimenufaikaje00:07:10
00:07:10
tayari kwa kutumia miongozo hii?00:07:13
00:07:14
Tafadhali sikiliza kwa makini00:07:16
00:07:16
maelezo yafuatayo.00:07:18
00:07:19
Kasi na ubora wa mazoezi00:07:21
00:07:21
inaendelea kuboreshwa.00:07:23
00:07:23
Badala ya kumzoeza kila mtu00:07:25
00:07:25
kwa njia ile ile00:07:26
00:07:27
tunachochewa kufikiria vizuri zaidi00:07:29
00:07:29
kuhusu utu wa mtu,00:07:30
00:07:30
uwezo wake, na ustadi wa kila ndugu.00:07:34
00:07:34
Na pia kuchunguza ni wapi00:07:35
00:07:35
anahitaji msaada.00:07:37
00:07:37
Kwa hiyo badala tu ya kuzoeza00:07:38
00:07:38
kwa ujumla, mazoezi yanakuwa na lengo.00:07:41
00:07:41
Na basi tunaweka msingi wa00:07:43
00:07:43
mtu kufanikiwa.00:07:44
00:07:44
Nilipokuwa kijana,00:07:46
00:07:46
sidhani nilipata mazoezi mengi.00:07:48
00:07:49
Nilipata migao lakini sikupata mazoezi.00:07:52
00:07:52
Tengenezo linakua.00:07:54
00:07:54
Kwa hiyo mazoezi ni muhimu.00:07:56
00:07:56
Na inapendeza kuona yakiharakishwa00:07:58
00:07:58
ili kazi itimizwe.00:07:59
00:08:00
Tengenezo linanufaika sana00:08:03
00:08:03
kwa kuwazoeza na kuwakabidhi00:08:05
00:08:05
ndugu vijana mapendeleo.00:08:08
00:08:08
Tumeona kwamba akina ndugu vijana00:08:09
00:08:09
wanaleta nguvu na mawazo mapya.00:08:12
00:08:12
Wakati huo huo wenye umri mkubwa00:08:14
00:08:14
wakiwapa hekima na uzoefu.00:08:16
00:08:16
Unapounganishwa mambo hayo, 00:08:18
00:08:19
hivyo ndivyo tengenezo linaweza00:08:20
00:08:20
kuendelea kukua na kukabiliana00:08:23
00:08:23
na changamoto mpya.00:08:24
00:08:25
Badiliko muhimu la tatu,00:08:27
00:08:28
litahusu jinsi tunavyowaratibu00:08:30
00:08:30
wajitoleaji wengi sana00:08:32
00:08:32
ambao wako tayari kupanua00:08:34
00:08:34
utumishi wao wa Kitheokrasi.00:08:36
00:08:37
Tutakazia zaidi kuwatumia00:08:39
00:08:39
kwa hekima na kwa njia inayofaa00:08:41
00:08:41
wajitoleaji wanaoishi nyumbani00:08:43
00:08:43
na pia wanaofanyia kazi wakiwa00:08:45
00:08:45
nyumbani na pia wa muda.00:08:47
00:08:47
Hilo linamaanisha kuamua00:08:49
00:08:49
ni watu wangapi wanaofaa00:08:50
00:08:50
kuwa Betheli ili wengi zaidi00:08:52
00:08:52
waweze kutumia nguvu zao00:08:54
00:08:54
katika kazi muhimu sana ya kuhubiri.00:08:57
00:08:58
Kuna faida nyingi sana za kufanya hivyo.00:09:00
00:09:01
Fikiria mifano ifuatayo.00:09:04
00:09:04
Imekuwa wazi kwamba utumishi wa Betheli00:09:06
00:09:06
hautegemei uko wapi.00:09:08
00:09:08
Ni aina ya utumishi,00:09:09
00:09:09
utumishi mtakatifu ambao unaweza00:09:11
00:09:11
kutolewa mtu akiwa popote duniani.00:09:13
00:09:13
Nilienda Betheli nilipokuwa na miaka 19.00:09:16
00:09:16
nikakaa huko kwa muda nikatoka,00:09:18
00:09:18
nikafunga ndoa, nikawa na familia,00:09:20
00:09:20
na sasa miaka kadhaa baadaye,00:09:23
00:09:23
ninatumikia tena Betheli.00:09:25
00:09:25
Ninafanyia kazi nikiwa nyumbani.00:09:28
00:09:28
Si kila siku. Lakini ninaendelea00:09:30
00:09:30
kuona manufaa ya kazi hiyo00:09:33
00:09:33
na jinsi inavyoboresha.00:09:35
00:09:35
Ninaendelea kupata mazoezi00:09:36
00:09:36
ni kama ninachungulia dirishani00:09:38
00:09:38
na kuona jinsi Yehova00:09:39
00:09:39
anavyoongoza tengenezo lake.00:09:41
00:09:41
Lazima tunyumbulike.00:09:43
00:09:43
Tunaacha kuzingatia mambo00:09:45
00:09:45
kama vile ratiba au00:09:46
00:09:46
mahali ambapo mtu yupo.00:09:48
00:09:48
Na basi tunakuwa wabunifu00:09:50
00:09:50
na hivyo tunatokea mbinu00:09:51
00:09:51
zinazoweza kumsaidia mtu00:09:53
00:09:53
anayefanyia kazi nyumbani00:09:54
00:09:54
atusaidie kazi hapa.00:09:56
00:09:56
Unaweza kuwa unaishi katika eneo00:09:58
00:09:58
ambapo muda unatofautiana00:09:59
00:09:59
lakini wanakuhusisha katika mazungumzo.00:10:02
00:10:02
Na hivyo wanakufanya unajihisi unaaminiwa.00:10:05
00:10:05
Wewe ni sehemu ya timu.00:10:07
00:10:07
Mara nyingi hatuwezi kuchagua timu yetu,00:10:09
00:10:10
lakini Yehova anaandaa ndugu na dada00:10:13
00:10:13
wenye kupendeza sana.00:10:14
00:10:14
Wenye ustadi mwingi, wanaotusaidia.00:10:17
00:10:17
Tunapofungua akili zetu kuona njia mbali mbali00:10:20
00:10:20
za kutimiza kazi yetu00:10:21
00:10:21
tumegundua kwamba tunaweza kupunguza00:10:23
00:10:23
idadi ya wafanyakazi Betheli00:10:25
00:10:25
na bado tufanye kazi yenye ubora wa00:10:27
00:10:27
hali ya juu katika idara yetu.00:10:29
00:10:29
Ikiwa unafanya kazi ya muda Betheli00:10:32
00:10:32
ni muhimu sana kwa kutaniko lako00:10:34
00:10:34
kuelewa jinsi hilo linavyoathiri ratiba yako.00:10:36
00:10:37
Tayari tumekuwa tukifanya kazi na00:10:39
00:10:39
ofisi za tawi ulimwenguni pote ili00:10:40
00:10:40
kutekeleza mabadiliko haya hatua kwa hatua.00:10:43
00:10:44
Na tayari tumejionea matokeo mazuri sana.00:10:47
00:10:48
Washiriki wa Halmashauri za Tawi00:10:50
00:10:50
wameona kuna idadi kubwa zaidi00:10:52
00:10:52
ya nafasi kwa ajili ya ndugu na dada00:10:54
00:10:54
kupokea mazoezi Betheli.00:10:56
00:10:56
Vivyo hivyo mbinu hii mpya00:10:58
00:10:58
imewasisimua na kuwachochea vijana00:11:01
00:11:01
ya kufikia mapendeleo na kupanua00:11:04
00:11:04
utumishi wao wa Kitheokrasi.00:11:06
00:11:06
Mbali na hilo,00:11:07
00:11:07
Halmashauri za Tawi zinaripoti kwamba00:11:10
00:11:10
wale ambao wamepelekwa shambani00:11:12
00:11:12
wanatimiza mengi sana katika kazi00:11:15
00:11:15
ya kuhubiri ulimwenguni pote.00:11:17
00:11:18
Wengi wamepanua utumishi wao00:11:20
00:11:20
na wakawa tayari kusaidia00:11:22
00:11:22
mahali ambapo kuna mahitaji ya pekee.00:11:24
00:11:25
Kwa mfano, katika utendaji wa00:11:26
00:11:26
usanifu-majengo na ujenzi,00:11:28
00:11:28
Halmashauri za Uhusiano na Hospitali,00:11:31
00:11:31
na mahubiri ya hadharani00:11:32
00:11:32
katika miji mikubwa.00:11:34
00:11:34
Wengine wamehamia katika maeneo00:11:36
00:11:36
ambako kuna uhitaji mkubwa wa00:11:38
00:11:38
wahubiri wa Ufalme,00:11:39
00:11:39
wakahudhuria Shule ya Waeneza-injili00:11:41
00:11:41
wa Ufalme, na mengi zaidi.00:11:44
00:11:44
Mabadiliko haya matatu yatawasaidia00:11:46
00:11:46
ndugu na dada wengi zaidi kunufaika00:11:48
00:11:48
kutokana na mazoezi na uzoefu00:11:50
00:11:50
unaopatwa kupitia utumishi wa Betheli.00:11:53
00:11:53
Halafu wao wanaweza kutumia00:11:55
00:11:55
mazoezi hayo kuendeleza00:11:56
00:11:56
masilahi ya Ufalme.00:11:58
00:11:58
Waefeso 4:16 inafafanua00:12:01
00:12:01
jinsi mwili Wakristo unavyounganishwa00:12:04
00:12:04
na kushirikiana na unafanya kazi vizuri00:12:07
00:12:07
kwa sababu ya utendaji kazi00:12:08
00:12:08
wa kila kiungo.00:12:09
00:12:10
Tunatumaini kwamba00:12:11
00:12:11
mabadiliko haya yatatusaidia00:12:13
00:12:13
sisi sote kuendelea kufanya kazi00:12:16
00:12:16
pamoja kwa ushirikiano00:12:17
00:12:17
na kuendelea kujitiisha00:12:19
00:12:19
kwa ukichwa wa Kristo00:12:20
00:12:20
kwa roho ya upendo.00:12:22
00:12:23
Ndugu vijana tunawahimiza00:12:25
00:12:25
msali na kufikiria00:12:27
00:12:27
ikiwa sasa ndio wakati wa kufikia00:12:29
00:12:29
na kuanza utumishi wa Betheli.00:12:31
00:12:31
Wakati wa hotuba ya kuweka wakfu00:12:33
00:12:33
jengo jipya katika Betheli ya Brooklyn00:12:35
00:12:35
mwaka wa 1960,00:12:37
00:12:37
Ndugu Frederick Franz,00:12:39
00:12:39
aliyekuwa mshiriki wa Baraza Linaloongoza,00:12:41
00:12:41
alifafanua Betheli kuwa taasisi bora zaidi00:12:44
00:12:44
ya elimu duniani pote.00:12:46
00:12:47
Zaidi ya miaka 65 baadaye, 00:12:49
00:12:49
bado tunakubaliana kabisa00:12:51
00:12:51
na maneno hayo.00:12:52
00:12:53
Kutumikia Betheli00:12:54
00:12:54
ni nafasi ya pekee ya kupokea00:12:56
00:12:56
mazoezi yenye thamani00:12:57
00:12:58
mazoezi ambayo yatakusaidia wewe00:13:01
00:13:01
na tengenezo kwa miaka mingi ijayo,00:13:03
00:13:04
na hata katika ulimwengu mpya.00:13:06
00:13:07
Wazazi, wasaidieni watoto wenu00:13:09
00:13:09
wajiwekee mradi wa kutumikia Betheli00:13:11
00:13:12
ili waweze kujipatia00:13:13
00:13:13
mazoezi hayo yenye thamani.00:13:15
00:13:15
Hiyo ni njia moja ya kuwasaidia00:13:18
00:13:18
wamtumikie Yehova kwa bidii00:13:20
00:13:20
katika lolote wanalofanya.00:13:22
00:13:23
Kwa wale ambao tayari wameanza00:13:24
00:13:24
kufanyia kazi nje ya Betheli,00:13:26
00:13:26
tafadhali hakikishweni kwamba00:13:28
00:13:28
tunawapenda na kuwathamini.00:13:30
00:13:31
Mambo mnayojionea Betheli ni zawadi00:13:33
00:13:34
mwe wakarimu kwa kuwagawia00:13:35
00:13:35
wengine zawadi hiyo.00:13:37
00:13:37
Watie moyo ndugu na dada zako00:13:39
00:13:39
wamtumikie Yehova kwa moyo wote00:13:41
00:13:41
katika lolote wanalofanya00:13:43
00:13:43
ili wao pia wajionee baraka00:13:45
00:13:45
ambazo umefurahia.00:13:47
00:13:48
Mfano wako mzuri00:13:49
00:13:49
utadumu mioyoni mwao.00:13:51
00:13:52
Wale unaowatia moyo00:13:54
00:13:54
hawatawahi sahau upendo unaoonyesha.00:13:57
00:13:57
Kupatana na Isaya 60:17,00:14:00
00:14:00
tuna uhakika kwamba Yehova00:14:03
00:14:03
ataendelea kuboresha mipango inayofanywa00:14:05
00:14:05
hapa Betheli ili kushughulikia00:14:07
00:14:07
mahitaji ya tengenezo lake.00:14:09
00:14:09
Pia tuna uhakika kwamba00:14:11
00:14:11
upendo na ujitoaji wetu kwa Yehova00:14:14
00:14:14
na tengenezo lake utatuchochea sote00:14:16
00:14:16
tumtumikie Yehova kwa moyo wote00:14:18
00:14:18
katika lolote tunalofanya00:14:20
00:14:20
sasa na hata wakati ujao.00:14:23
Utumishi wa Betheli—Sehemu Muhimu ya "Lolote Mnalofanya"
-
Utumishi wa Betheli—Sehemu Muhimu ya "Lolote Mnalofanya"
Kulingana na Isaya 60:17
Yehova alisema:
“Badala ya shaba
nitaleta dhahabu,
na badala ya chuma nitaleta fedha.”
Kwa kutumia maneno hayo,
Yehova aliahidi kwamba ubora wa
sehemu ya kidunia ya tengenezo lake
ungeongezeka hatua kwa hatua.
Kadiri ambavyo miaka imepita
ameboresha jinsi tunavyofanya
kazi yake kutia ndani
kazi muhimu sana
inayofanywa Betheli.
Kazi hii ya maana sana
inayofanywa Betheli inatimiza
mambo mawili muhimu:
inahakikisha chakula cha kiroho
kinapatikana kwa watu wengi iwezekanavyo
na inategemeza kazi ya kuhubiri
ulimwenguni pote.
Baraza Linaloongoza linaporekebisha
kazi zinazofanywa Betheli,
lengo limekuwa kuunga mkono mambo hayo.
Kadiri ambavyo miaka imepita
tumefanya marekebisho katika mbinu za
uchapishaji, matumizi ya teknolojia,
na mbinu za ujenzi,
na tukarahisisha jinsi kazi
inavyosimamiwa katika ofisi fulani za tawi,
kutaja machache tu.
Familia ya Betheli ulimwenguni pote
imeunga mkono mabadiliko hayo
kupatana na himizo linalopatikana
kwenye Wakolosai 3:23:
“Lolote mnalofanya,
lifanyeni kwa nafsi yote kama kwa Yehova,
na si kwa wanadamu.”
Wengi wametumikia Betheli
kwa miaka mingi sana
na wamejionea mabadiliko hayo
moja kwa moja.
Kama Yehova, tunawathamini sana
wale wanaojitoa kwa hiari
kwa ajili ya utumishi mtakatifu.
Wana roho ile ile kama ya nabii Isaya
ambaye alisema:
“Mimi hapa! Nitume mimi!”
Ulimwenguni pote,
idadi ya ndugu vijana
wanaoomba kutumikia Betheli inaongezeka.
Wakati huo huo sikuzote
kuna uhitaji wa ndugu na dada
waliozoezwa na wakomavu kiroho
kutumikia shambani.
Baada ya kupitia upya mahitaji ya Betheli
na ya shamba la ulimwenguni pote,
Baraza Linaloongoza limeamua kufanya
mabadiliko kuhusu maoni yetu
ya utumishi wa Betheli.
Kuanzia sasa,
utumishi wa Betheli hautaonwa
tena kuwa mgao ambao
mtu anatumikia maisha yote.
Betheli itaendelea kuwa sehemu
ambapo watu wanakuja
kumtumikia Yehova kwa bidii
na kupokea mazoezi yanayoweza
kutumiwa na tengenezo lake.
Hata hivyo, sasa mkazo utakuwa
kwa ndugu na dada kutumia
mazoezi hayo shambani
au popote ambapo tengenezo
la Yehova linawahitaji zaidi.
Ili hilo liwezekane,
tunafurahi kuwajulisha kuhusu
mabadiliko fulani ambayo
yatakuwa yakifanywa hapa Betheli.
Kwanza,
tutakuwa na kawaida ya kuhamisha
wafanyakazi kutoka shambani
kuja Betheli
na kutoka Betheli
kwenda shambani.
Kama tulivyotaja awali,
kutumikiwa Betheli hakutaonwa tena
kuwa mgao wa kudumu.
Kwa hiyo ingawa sikuzote
kutakuwa na uhitaji wa wenye umri mkubwa
wenye uzoefu wa kuzoeza
kizazi kinachofuata cha Wanabetheli,
wengi wanaokuja Betheli
watatumikia kwa muda
wapate mazoezi, wajipatie uzoefu muhimu,
wazoeze wengine,
kisha wakatumie mazoezi hayo shambani.
Kutakuwa na pindi zilizoamuliwa
mapema katika utumishi wa Mwanabetheli
ambapo tutachanganua mazoezi ambayo
tayari amepata, yanafaa kutumiwa wapi.
Kuna faida gani kwa tengenezo
kuhamisha wafanyakazi hivyo?
Tunakualika usikilize tafadhali
mahojiano yafuatayo.
Mazoezi hapa Betheli
pamoja na mgao wangu
yamenifundisha kuwa na busara.
Kufanya kazi na ndugu na dada
wakomavu ambao wana uzoefu na
ambao wanamtegemea Yehova,
ni jambo ambalo lilinisaidia
nikiwa mzee mpya kutanikoni,
kujifunza jinsi ya kuendelea kumtegemea
Yehova katika mgao wangu.
Na pia ukanisaidia kuona jinsi ya
kuwasaidia ndugu na dada wengine
kama tu nilipokuwa Betheli.
Mwanzoni tulipopewa mgao mpya
tulianza kusoma vitabu vya Injili tena
kuanzia mwanzo.
Na kwa kweli hicho ndicho nilichohitaji.
Kusikia maneno hayo yakikazia
kwamba Yehova anatupenda
na kwamba mabadiliko hayo
yalikuwa tu sehemu ya kile
ambacho tengenezo linahitaji na
kwa kushirikiana na mabadiliko hayo,
tungeendelea kuwa na baraka za
Yehova hata katika mgao wetu mpya.
Unapokuwa Betheli unapata nafasi ya
kukutana na watu wengi sana.
Unaanzisha urafiki na watu ambao
mnafanya kazi nao,
kuna wageni wengi wanaokuja kutembea,
na kwa njia hiyo unaweza kujionea
tengenezwa kwa ujumla kuliko
ikiwa ungekaa tu kutanikoni.
Na kwa njia hiyo unathamini
ya kwamba una familia kubwa,
undugu wa ulimwenguni pote.
Sasa ninaweza kuwasimulia
ndugu na dada katika kutaniko langu jipya,
kuhusu mambo, nilijionea,
na kuwachochea waone kwamba
hata wao wenyewe wanaweza
kufanya mengi zaidi
kwa ajili ya Yehova.
Kuna tengenezo kubwa sana
nyuma yetu ambalo linatutegemeza.
Na huo ni wonyesho wa
upendo wa Yehova kwamba anatujali.
Na basi tunaweza kuwaeleza wengine
mambo yote hayo mazuri
ambayo tumejionea.
Kama mifano hiyo inavyoonyesha wazi,
hata ikiwa Betheli si mgao wa maisha,
ni mgao unaobadili maisha.
Je, hilo linamaanisha kwamba
kila mtu ambaye sasa yuko Betheli,
hatimaye lazima atahamishiwa shambani?
Hapana.
Sikuzote kutakuwa na uhitaji
wa kuwa na wenye umri
mkubwa na vijana pia.
Kama Methali 20:29 inavyosema:
“Utukufu wa vijana ni nguvu zao,
na fahari ya wazee ni mvi zao.”
<i>Mnara wa Mlinzi </i>la Machi 15, 1993
lilizungumzia mstari huo:
“Nguvu za ujana
zinapounganishwa na ujuzi na hekima
ya miaka, muunganisho wenye nguvu
sana unafanyizwa.
Maneno haya yamethibitika kuwa
kweli hapa Betheli.
Hali ya kiroho yenye kina
na makumi ya miaka ya uzoefu ya
wenye umri mkubwa ni muhimu.
Lakini huenda ukajiuliza,
‘Ikiwa kutakuwa na
uhamisho wa kawaida Betheli,
akina ndugu watafauluje kuendelea
kutimiza kazi muhimu inayofanywa huko?’
Hilo linatuleta kwenye badiliko la pili.
Mkazo mkubwa sasa utawekwa
kwenye kuharakisha mazoezi.
Tunataka kuwasaidia ndugu na dada
wapate ustadi unaohitajika kutumikia
katika migao mbalimbali upesi zaidi.
Mazoezi hayo yanatia ndani
kuwakabidhi ndugu vijana
mapendeleo ya usimamizi mapema.
Ndugu wenye umri mkubwa
watawasaidia na kuwazoeza vijana
wakiwasaidia kuchukua majukumu
ya usimamizi na ya uangalizi Betheli.
Mazoezi haya yatawasaidia wawe
na thamani Betheli.
Yatawaandaa watumiwe kujazia mahitaji
ya wakati ujao ya tengenezo.
Na yatajenga ndani yao sifa
na ustadi ambao
utakuwa muhimu sana
katika ulimwengu mpya.
Ofisi za tawi zimenufaikaje
tayari kwa kutumia miongozo hii?
Tafadhali sikiliza kwa makini
maelezo yafuatayo.
Kasi na ubora wa mazoezi
inaendelea kuboreshwa.
Badala ya kumzoeza kila mtu
kwa njia ile ile
tunachochewa kufikiria vizuri zaidi
kuhusu utu wa mtu,
uwezo wake, na ustadi wa kila ndugu.
Na pia kuchunguza ni wapi
anahitaji msaada.
Kwa hiyo badala tu ya kuzoeza
kwa ujumla, mazoezi yanakuwa na lengo.
Na basi tunaweka msingi wa
mtu kufanikiwa.
Nilipokuwa kijana,
sidhani nilipata mazoezi mengi.
Nilipata migao lakini sikupata mazoezi.
Tengenezo linakua.
Kwa hiyo mazoezi ni muhimu.
Na inapendeza kuona yakiharakishwa
ili kazi itimizwe.
Tengenezo linanufaika sana
kwa kuwazoeza na kuwakabidhi
ndugu vijana mapendeleo.
Tumeona kwamba akina ndugu vijana
wanaleta nguvu na mawazo mapya.
Wakati huo huo wenye umri mkubwa
wakiwapa hekima na uzoefu.
Unapounganishwa mambo hayo,
hivyo ndivyo tengenezo linaweza
kuendelea kukua na kukabiliana
na changamoto mpya.
Badiliko muhimu la tatu,
litahusu jinsi tunavyowaratibu
wajitoleaji wengi sana
ambao wako tayari kupanua
utumishi wao wa Kitheokrasi.
Tutakazia zaidi kuwatumia
kwa hekima na kwa njia inayofaa
wajitoleaji wanaoishi nyumbani
na pia wanaofanyia kazi wakiwa
nyumbani na pia wa muda.
Hilo linamaanisha kuamua
ni watu wangapi wanaofaa
kuwa Betheli ili wengi zaidi
waweze kutumia nguvu zao
katika kazi muhimu sana ya kuhubiri.
Kuna faida nyingi sana za kufanya hivyo.
Fikiria mifano ifuatayo.
Imekuwa wazi kwamba utumishi wa Betheli
hautegemei uko wapi.
Ni aina ya utumishi,
utumishi mtakatifu ambao unaweza
kutolewa mtu akiwa popote duniani.
Nilienda Betheli nilipokuwa na miaka 19.
nikakaa huko kwa muda nikatoka,
nikafunga ndoa, nikawa na familia,
na sasa miaka kadhaa baadaye,
ninatumikia tena Betheli.
Ninafanyia kazi nikiwa nyumbani.
Si kila siku. Lakini ninaendelea
kuona manufaa ya kazi hiyo
na jinsi inavyoboresha.
Ninaendelea kupata mazoezi
ni kama ninachungulia dirishani
na kuona jinsi Yehova
anavyoongoza tengenezo lake.
Lazima tunyumbulike.
Tunaacha kuzingatia mambo
kama vile ratiba au
mahali ambapo mtu yupo.
Na basi tunakuwa wabunifu
na hivyo tunatokea mbinu
zinazoweza kumsaidia mtu
anayefanyia kazi nyumbani
atusaidie kazi hapa.
Unaweza kuwa unaishi katika eneo
ambapo muda unatofautiana
lakini wanakuhusisha katika mazungumzo.
Na hivyo wanakufanya unajihisi unaaminiwa.
Wewe ni sehemu ya timu.
Mara nyingi hatuwezi kuchagua timu yetu,
lakini Yehova anaandaa ndugu na dada
wenye kupendeza sana.
Wenye ustadi mwingi, wanaotusaidia.
Tunapofungua akili zetu kuona njia mbali mbali
za kutimiza kazi yetu
tumegundua kwamba tunaweza kupunguza
idadi ya wafanyakazi Betheli
na bado tufanye kazi yenye ubora wa
hali ya juu katika idara yetu.
Ikiwa unafanya kazi ya muda Betheli
ni muhimu sana kwa kutaniko lako
kuelewa jinsi hilo linavyoathiri ratiba yako.
Tayari tumekuwa tukifanya kazi na
ofisi za tawi ulimwenguni pote ili
kutekeleza mabadiliko haya hatua kwa hatua.
Na tayari tumejionea matokeo mazuri sana.
Washiriki wa Halmashauri za Tawi
wameona kuna idadi kubwa zaidi
ya nafasi kwa ajili ya ndugu na dada
kupokea mazoezi Betheli.
Vivyo hivyo mbinu hii mpya
imewasisimua na kuwachochea vijana
ya kufikia mapendeleo na kupanua
utumishi wao wa Kitheokrasi.
Mbali na hilo,
Halmashauri za Tawi zinaripoti kwamba
wale ambao wamepelekwa shambani
wanatimiza mengi sana katika kazi
ya kuhubiri ulimwenguni pote.
Wengi wamepanua utumishi wao
na wakawa tayari kusaidia
mahali ambapo kuna mahitaji ya pekee.
Kwa mfano, katika utendaji wa
usanifu-majengo na ujenzi,
Halmashauri za Uhusiano na Hospitali,
na mahubiri ya hadharani
katika miji mikubwa.
Wengine wamehamia katika maeneo
ambako kuna uhitaji mkubwa wa
wahubiri wa Ufalme,
wakahudhuria Shule ya Waeneza-injili
wa Ufalme, na mengi zaidi.
Mabadiliko haya matatu yatawasaidia
ndugu na dada wengi zaidi kunufaika
kutokana na mazoezi na uzoefu
unaopatwa kupitia utumishi wa Betheli.
Halafu wao wanaweza kutumia
mazoezi hayo kuendeleza
masilahi ya Ufalme.
Waefeso 4:16 inafafanua
jinsi mwili Wakristo unavyounganishwa
na kushirikiana na unafanya kazi vizuri
kwa sababu ya utendaji kazi
wa kila kiungo.
Tunatumaini kwamba
mabadiliko haya yatatusaidia
sisi sote kuendelea kufanya kazi
pamoja kwa ushirikiano
na kuendelea kujitiisha
kwa ukichwa wa Kristo
kwa roho ya upendo.
Ndugu vijana tunawahimiza
msali na kufikiria
ikiwa sasa ndio wakati wa kufikia
na kuanza utumishi wa Betheli.
Wakati wa hotuba ya kuweka wakfu
jengo jipya katika Betheli ya Brooklyn
mwaka wa 1960,
Ndugu Frederick Franz,
aliyekuwa mshiriki wa Baraza Linaloongoza,
alifafanua Betheli kuwa taasisi bora zaidi
ya elimu duniani pote.
Zaidi ya miaka 65 baadaye,
bado tunakubaliana kabisa
na maneno hayo.
Kutumikia Betheli
ni nafasi ya pekee ya kupokea
mazoezi yenye thamani
mazoezi ambayo yatakusaidia wewe
na tengenezo kwa miaka mingi ijayo,
na hata katika ulimwengu mpya.
Wazazi, wasaidieni watoto wenu
wajiwekee mradi wa kutumikia Betheli
ili waweze kujipatia
mazoezi hayo yenye thamani.
Hiyo ni njia moja ya kuwasaidia
wamtumikie Yehova kwa bidii
katika lolote wanalofanya.
Kwa wale ambao tayari wameanza
kufanyia kazi nje ya Betheli,
tafadhali hakikishweni kwamba
tunawapenda na kuwathamini.
Mambo mnayojionea Betheli ni zawadi
mwe wakarimu kwa kuwagawia
wengine zawadi hiyo.
Watie moyo ndugu na dada zako
wamtumikie Yehova kwa moyo wote
katika lolote wanalofanya
ili wao pia wajionee baraka
ambazo umefurahia.
Mfano wako mzuri
utadumu mioyoni mwao.
Wale unaowatia moyo
hawatawahi sahau upendo unaoonyesha.
Kupatana na Isaya 60:17,
tuna uhakika kwamba Yehova
ataendelea kuboresha mipango inayofanywa
hapa Betheli ili kushughulikia
mahitaji ya tengenezo lake.
Pia tuna uhakika kwamba
upendo na ujitoaji wetu kwa Yehova
na tengenezo lake utatuchochea sote
tumtumikie Yehova kwa moyo wote
katika lolote tunalofanya
sasa na hata wakati ujao.
-