00:00:01
Habari mimi ni Jonathan.00:00:03
00:00:03
Karibu kwenye00:00:04
00:00:04
“Chuma Hunoa Chuma.”00:00:05
00:00:16
Sifa tutakayozungumzia leo00:00:19
00:00:19
ni ile ambayo iliwavuta00:00:21
00:00:21
watenda dhambi, wagonjwa,00:00:23
00:00:23
na watoto, kwa Yesu.00:00:26
00:00:26
Yaani, fadhili.00:00:28
00:00:28
Kama Yehova, Yesu aliwaonyesha00:00:30
00:00:30
fadhili watu wema na waovu.00:00:33
00:00:34
Yesu hakuwatendea wengine00:00:35
00:00:35
kwa fadhili eti kwa sababu00:00:37
00:00:37
walimpenda au walimtendea kwa fadhili.00:00:40
00:00:41
Badala yake sikuzote00:00:43
00:00:43
Yesu alionyesha fadhili kwa sababu00:00:46
00:00:46
alijua jinsi sifa hiyo ilivyo00:00:47
00:00:47
na matokeo mazuri00:00:48
00:00:48
na jinsi ambavyo sifa hiyo00:00:50
00:00:50
ingemletea Yehova utukufu.00:00:52
00:00:54
Hilo linatuhusuje?00:00:56
00:00:56
Ni nani tunaweza kuonyesha00:00:57
00:00:57
fadhili na ni wakati gani?00:00:59
00:01:19
Nyie, muda wa kuona wagonjwa00:01:20
00:01:20
umeisha ondokeni!00:01:21
00:01:22
Samahani hatukujua.00:01:24
00:01:24
Lakini mbona muda bado.00:01:25
00:01:25
Tuna dakika 5.00:01:27
00:01:27
Usijali Emily. Teddy acha tuondoke.00:01:30
00:01:30
Tutarudi baadaye.00:01:31
00:01:49
Dada yetu alionyesha00:01:50
00:01:50
ukomavu wa Kikristo00:01:52
00:01:52
kwa kukubali kuondoka00:01:53
00:01:53
kwa utulivu licha ya kwamba00:01:55
00:01:55
bado alikuwa na muda uliobaki.00:01:57
00:01:58
Lakini, je, angeweza00:02:00
00:02:00
kufanya mengi zaidi?00:02:01
00:02:02
Hilo linatuleta kwenye00:02:03
00:02:03
hatua ya kwanza ya kuonyesha fadhili:00:02:06
00:02:06
Uwe mwenye huruma.00:02:07
00:02:08
Jiulize,00:02:09
00:02:09
‘Huenda mtu huyu ninayezungumza naye00:02:12
00:02:12
anahangaishwa na nini au anahitaji nini?00:02:15
00:02:15
Kisha,00:02:16
00:02:17
Mwonyeshe kwamba unamjali00:02:18
00:02:18
kwa kumsikiliza kwa makini.00:02:20
00:02:30
Mnaweza kutangulia. Ninakuja.00:02:32
00:02:37
Mambo.00:02:38
00:02:38
Poa.00:02:39
00:02:39
Nilitaka kukwambia asante sana00:02:42
00:02:42
kwa kumtunza vizuri rafiki yangu.00:02:44
00:02:44
Asante.00:02:45
00:02:47
Ninaomba msamaha sana00:02:49
00:02:49
ni kwa sababu kuna kazi nyingi00:02:52
00:02:52
na zinanipa mkazo.00:02:53
00:02:54
Je, unaweza kuwazia jinsi00:02:56
00:02:56
pongezi ndogo tu ilivyo na matokeo.00:02:58
00:02:58
Muuguzi huyo alihitaji pongezi.00:03:01
00:03:02
Mtu anapotueleza hisia zake,00:03:05
00:03:05
tunapaswa kuzungumza naye kwa00:03:07
00:03:07
uchangamfu na heshima.00:03:09
00:03:09
Na hiyo ni hatua ya pili.00:03:11
00:03:12
Tunaweza kuonyesha jinsi00:03:13
00:03:13
tunavyowajali wengine kupitia jinsi00:03:16
00:03:16
tunavyozungumza.00:03:17
00:03:18
Tuwe waangalifu kuhusu kile00:03:19
00:03:19
tunachosema na jinsi tunavyosema00:03:21
00:03:21
na kuepuka kusema mambo yanayoweza00:03:23
00:03:23
kuwakasirisha.00:03:24
00:03:25
Ni kwa sababu kuna kazi nyingi00:03:28
00:03:28
na zinanipa mkazo.00:03:29
00:03:30
Usijali hakuna tatizo.00:03:32
00:03:32
Unafanya kazi nzuri sana00:03:34
00:03:34
licha ya kwamba00:03:35
00:03:35
kazi hii ni yenye kuchosha.00:03:37
00:03:38
Na leo nimechoka sana.00:03:40
00:03:42
Angalau unaweza kunywa chai sasa.00:03:44
00:03:45
Chai yangu ilimwagika.00:03:46
00:03:46
Na hata sikupata muda wa00:03:48
00:03:48
wa kununua nyingine. 00:03:49
00:03:49
Aisee! Kwa kweli leo ulikuwa na 00:03:51
00:03:51
siku ngumu sana.00:03:54
00:03:55
Jina langu ni Maureen.00:03:56
00:03:56
Mary.00:03:57
00:03:57
Nafurahi kukufahamu.00:03:59
00:03:59
Wewe endelea na kazi.00:04:00
00:04:02
Bila shaka dada yetu alifanya00:04:03
00:04:03
vizuri sana kwa kumstarehesha00:04:05
00:04:05
muuguzi huyo.00:04:07
00:04:07
Lakini sasa anamfahamu muuguzi huyo.00:04:09
00:04:09
Atamsaidiaje?00:04:11
00:04:11
Na hii ni hatua yetu ya 3.00:04:14
00:04:15
Kuwa mwenye fadhili kunahusisha mengi00:04:16
00:04:16
zaidi ya kufikiria na kuzungumza.00:04:19
00:04:19
Matendo pia yanahusika.00:04:21
00:04:21
Hivyo tunatafuta kila fursa ya00:04:23
00:04:23
kutoa msaada hususa kwa wengine.00:04:25
00:04:26
Hilo linamaanisha tunahitaji kutumia00:04:28
00:04:28
wakati, nguvu, na kujidhabihu.00:04:31
00:04:31
Tukifanya hivyo tutapata matokeo mazuri.00:04:35
00:04:39
Nimekuletea. Ni zawadi yako.00:04:42
00:04:43
Jamani! Asante.00:04:46
00:04:46
Usijali ni chai tu.00:04:48
00:04:49
Ninathamini sana.00:04:51
00:04:52
Ninaweza kukuuliza swali?00:04:54
00:04:54
Mm-hm00:04:54
00:04:55
Huyu mwanamke mliemtembelea,00:04:56
00:04:56
ni nani?00:04:57
00:04:58
Ninaona watu wengi00:04:59
00:04:59
wanakuja kumtembelea.00:05:01
00:05:01
Ni rafiki yetu wa karibu sana.00:05:03
00:05:04
Ni ndugu yetu.00:05:05
00:05:06
Sisi ni Mashahidi wa Yehova.00:05:08
00:05:08
Kumbe. Ninyi ni watu wenye fadhili.00:05:11
00:05:11
Asante.00:05:12
00:05:13
Teddy ni rafiki yangu sana.00:05:15
00:05:16
Sikuzote lengo letu linapaswa00:05:18
00:05:18
kuwa wenye fadhili.00:05:20
00:05:20
Kwa hiyo kuna nyakati ambazo00:05:21
00:05:21
tutatenda kwa fadhili00:05:23
00:05:23
bila kuzungumzia Biblia.00:05:24
00:05:24
Hata hivyo, watu watakuwa tayari00:05:27
00:05:27
kusikiliza ujumbe wetu00:05:29
00:05:29
wanapojua kwamba tunawajali.00:05:31
00:05:32
Kwa hiyo, kwa kumalizia,00:05:34
00:05:34
hatua 3 za kuonyesha fadhili ni:00:05:38
00:05:38
(1) Uwe mwenye huruma kwa wengine.00:05:41
00:05:42
Jaribu kuwazia jinsi anavyohisi00:05:43
00:05:43
na mambo anayohitaji.00:05:45
00:05:45
Mtu huyo anapokueleza hisia zake.00:05:47
00:05:47
Msikilize kwa makini.00:05:49
00:05:50
(2) Zungumza kwa uchangamfu00:05:53
00:05:53
na heshima.00:05:54
00:05:55
Watu wataona jinsi tunavyohisi kuwaelekea 00:05:58
00:05:58
kupitia maneno yetu tunayosema.00:06:00
00:06:01
Na (3) Toa msaada.00:06:04
00:06:04
Tafuta njia za kuwasaidia watu.00:06:06
00:06:06
Jambo hilo linaweza kufungua njia00:06:08
00:06:08
ya kutoa ushahidi.00:06:10
00:06:12
Lakini kumbuka00:06:13
00:06:13
jambo muhimu zaidi tunaloweza kufanya00:06:16
00:06:16
ni kumwiga Yesu.00:06:18
00:06:18
Wapende watu00:06:20
00:06:20
kwa sababu Maandiko yanasema:00:06:22
00:06:22
“Upendo ni wenye . . . fadhili.”00:06:25
"Chuma Hunoa Chuma"—Fadhili
-
"Chuma Hunoa Chuma"—Fadhili
Habari mimi ni Jonathan.
Karibu kwenye
“Chuma Hunoa Chuma.”
Sifa tutakayozungumzia leo
ni ile ambayo iliwavuta
watenda dhambi, wagonjwa,
na watoto, kwa Yesu.
Yaani, fadhili.
Kama Yehova, Yesu aliwaonyesha
fadhili watu wema na waovu.
Yesu hakuwatendea wengine
kwa fadhili eti kwa sababu
walimpenda au walimtendea kwa fadhili.
Badala yake sikuzote
Yesu alionyesha fadhili kwa sababu
alijua jinsi sifa hiyo ilivyo
na matokeo mazuri
na jinsi ambavyo sifa hiyo
ingemletea Yehova utukufu.
Hilo linatuhusuje?
Ni nani tunaweza kuonyesha
fadhili na ni wakati gani?
Nyie, muda wa kuona wagonjwa
umeisha ondokeni!
Samahani hatukujua.
Lakini mbona muda bado.
Tuna dakika 5.
Usijali Emily. Teddy acha tuondoke.
Tutarudi baadaye.
Dada yetu alionyesha
ukomavu wa Kikristo
kwa kukubali kuondoka
kwa utulivu licha ya kwamba
bado alikuwa na muda uliobaki.
Lakini, je, angeweza
kufanya mengi zaidi?
Hilo linatuleta kwenye
hatua ya kwanza ya kuonyesha fadhili:
Uwe mwenye huruma.
Jiulize,
‘Huenda mtu huyu ninayezungumza naye
anahangaishwa na nini au anahitaji nini?
Kisha,
Mwonyeshe kwamba unamjali
kwa kumsikiliza kwa makini.
Mnaweza kutangulia. Ninakuja.
Mambo.
Poa.
Nilitaka kukwambia asante sana
kwa kumtunza vizuri rafiki yangu.
Asante.
Ninaomba msamaha sana
ni kwa sababu kuna kazi nyingi
na zinanipa mkazo.
Je, unaweza kuwazia jinsi
pongezi ndogo tu ilivyo na matokeo.
Muuguzi huyo alihitaji pongezi.
Mtu anapotueleza hisia zake,
tunapaswa kuzungumza naye kwa
uchangamfu na heshima.
Na hiyo ni hatua ya pili.
Tunaweza kuonyesha jinsi
tunavyowajali wengine kupitia jinsi
tunavyozungumza.
Tuwe waangalifu kuhusu kile
tunachosema na jinsi tunavyosema
na kuepuka kusema mambo yanayoweza
kuwakasirisha.
Ni kwa sababu kuna kazi nyingi
na zinanipa mkazo.
Usijali hakuna tatizo.
Unafanya kazi nzuri sana
licha ya kwamba
kazi hii ni yenye kuchosha.
Na leo nimechoka sana.
Angalau unaweza kunywa chai sasa.
Chai yangu ilimwagika.
Na hata sikupata muda wa
wa kununua nyingine.
Aisee! Kwa kweli leo ulikuwa na
siku ngumu sana.
Jina langu ni Maureen.
Mary.
Nafurahi kukufahamu.
Wewe endelea na kazi.
Bila shaka dada yetu alifanya
vizuri sana kwa kumstarehesha
muuguzi huyo.
Lakini sasa anamfahamu muuguzi huyo.
Atamsaidiaje?
Na hii ni hatua yetu ya 3.
Kuwa mwenye fadhili kunahusisha mengi
zaidi ya kufikiria na kuzungumza.
Matendo pia yanahusika.
Hivyo tunatafuta kila fursa ya
kutoa msaada hususa kwa wengine.
Hilo linamaanisha tunahitaji kutumia
wakati, nguvu, na kujidhabihu.
Tukifanya hivyo tutapata matokeo mazuri.
Nimekuletea. Ni zawadi yako.
Jamani! Asante.
Usijali ni chai tu.
Ninathamini sana.
Ninaweza kukuuliza swali?
Mm-hm
Huyu mwanamke mliemtembelea,
ni nani?
Ninaona watu wengi
wanakuja kumtembelea.
Ni rafiki yetu wa karibu sana.
Ni ndugu yetu.
Sisi ni Mashahidi wa Yehova.
Kumbe. Ninyi ni watu wenye fadhili.
Asante.
Teddy ni rafiki yangu sana.
Sikuzote lengo letu linapaswa
kuwa wenye fadhili.
Kwa hiyo kuna nyakati ambazo
tutatenda kwa fadhili
bila kuzungumzia Biblia.
Hata hivyo, watu watakuwa tayari
kusikiliza ujumbe wetu
wanapojua kwamba tunawajali.
Kwa hiyo, kwa kumalizia,
hatua 3 za kuonyesha fadhili ni:
(1) Uwe mwenye huruma kwa wengine.
Jaribu kuwazia jinsi anavyohisi
na mambo anayohitaji.
Mtu huyo anapokueleza hisia zake.
Msikilize kwa makini.
(2) Zungumza kwa uchangamfu
na heshima.
Watu wataona jinsi tunavyohisi kuwaelekea
kupitia maneno yetu tunayosema.
Na (3) Toa msaada.
Tafuta njia za kuwasaidia watu.
Jambo hilo linaweza kufungua njia
ya kutoa ushahidi.
Lakini kumbuka
jambo muhimu zaidi tunaloweza kufanya
ni kumwiga Yesu.
Wapende watu
kwa sababu Maandiko yanasema:
“Upendo ni wenye . . . fadhili.”
-