00:00:06
Jina langu ni Kiara,00:00:07
00:00:08
na yule ni mume wangu Shaan.00:00:10
00:00:18
Hivi karibuni mwana wetu Akil00:00:20
00:00:20
alihamia kwenye
eneo lenye uhitaji.00:00:22
00:00:24
Sikugundua jinsi
alivyokuwa akituchekesha.00:00:26
00:00:28
Ninamkosa sana.00:00:29
00:00:34
Sasa nyumba
imenyamaza sana.00:00:36
00:00:39
Na pia nahisi00:00:40
00:00:40
hatupendani kama zamani.00:00:42
00:00:59
Nilijaribu kuongea naye.00:01:01
00:01:03
Lakini tulikasirishana tu.00:01:04
00:01:23
Tangu Akil alipoondoka,00:01:25
00:01:26
hali haijawa nzuri
kati yangu na Kiara.00:01:29
00:02:14
Hacheki tena.00:02:15
00:02:17
Natamani angeweza kucheka00:02:18
00:02:18
kama alivyokuwa akicheka00:02:19
00:02:19
Akil alipokuwepo.00:02:21
00:02:26
Ingawa sipendi kukiri hivyo,00:02:28
00:02:29
nahisi hatupendani kama zamani.00:02:32
00:02:35
Hata Akil amegundua.00:02:38
00:02:39
Naweza kuwauliza swali?00:02:41
00:02:43
Mko sawa kweli?00:02:44
00:02:45
Kwa sababu hamwonekani sawa.00:02:46
00:02:46
Bila shaka tuko sawa.00:02:48
00:02:48
Tunaendelea vizuri, sivyo?00:02:50
00:02:50
Ndiyo.00:02:50
00:02:50
Hakuna tatizo.00:02:51
00:02:51
Tuko sawa kabisa.00:02:52
00:02:58
Hatumdanganyi yeyote00:02:59
00:03:01
isipokuwa sisi wenyewe.00:03:02
00:03:05
Na kwa mara ya kwanza,00:03:06
00:03:06
tulielezana tulivyohisi hasa.00:03:08
00:03:14
Tulijua kwamba hali
haikuwa nzuri hata kidogo.00:03:17
00:03:18
Tulihitaji kuchukua hatua—haraka.00:03:20
00:03:26
Tulisoma kwa sauti andiko la00:03:28
00:03:28
Waroma 12:10:00:03:30
00:03:32
“Katika kuonyeshana heshima,00:03:34
00:03:34
iweni wa kwanza.”00:03:35
00:03:36
Tuliwafikiria Abrahamu na Sara.00:03:39
00:03:40
Hawakuwa wakamilifu,00:03:42
00:03:43
lakini walijitahidi sana
kuonyeshana heshima00:03:46
00:03:46
kwa kusikiliza na kujali.00:03:49
00:03:57
Nilimwambia Kiara,00:03:59
00:03:59
“Najua ninaweza kuboresha hali.”00:04:01
00:04:03
Na nilitaka kufanya hivyo00:04:04
00:04:04
kwa sababu ninampenda sana.00:04:07
00:04:09
Nilimwambia Shaan,00:04:11
00:04:11
“Acha sote tujaribu kuwa wenzi bora.”00:04:13
00:04:18
Tulifaulu.00:04:19
00:05:02
Miezi kadhaa baadaye,00:05:03
00:05:03
tuliamua kuwa mapainia.00:05:05
00:05:07
Sasa tulikuwa na mengi
sana ya kuzungumzia.00:05:10
00:05:11
Ni kana kwamba nilianza kujifunza00:05:13
00:05:13
mambo mapya kumhusu Kiara.00:05:15
00:05:16
Kama Abrahamu na Sara,00:05:18
00:05:18
ndoa yetu haikuwa kamilifu.00:05:19
00:05:21
Tutapatwa na mikazo.00:05:23
00:05:26
Lakini tulipojitahidi00:05:27
00:05:27
kutumia kanuni za Biblia,00:05:28
00:05:29
tulifaulu kupita kipindi hicho kigumu00:05:31
00:05:31
na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi.00:05:33
Jinsi ya Kuimarisha Kifungo cha Ndoa
-
Jinsi ya Kuimarisha Kifungo cha Ndoa
Jina langu ni Kiara,
na yule ni mume wangu Shaan.
Hivi karibuni mwana wetu Akil
alihamia kwenye
eneo lenye uhitaji.
Sikugundua jinsi
alivyokuwa akituchekesha.
Ninamkosa sana.
Sasa nyumba
imenyamaza sana.
Na pia nahisi
hatupendani kama zamani.
Nilijaribu kuongea naye.
Lakini tulikasirishana tu.
Tangu Akil alipoondoka,
hali haijawa nzuri
kati yangu na Kiara.
Hacheki tena.
Natamani angeweza kucheka
kama alivyokuwa akicheka
Akil alipokuwepo.
Ingawa sipendi kukiri hivyo,
nahisi hatupendani kama zamani.
Hata Akil amegundua.
Naweza kuwauliza swali?
Mko sawa kweli?
Kwa sababu hamwonekani sawa.
Bila shaka tuko sawa.
Tunaendelea vizuri, sivyo?
Ndiyo.
Hakuna tatizo.
Tuko sawa kabisa.
Hatumdanganyi yeyote
isipokuwa sisi wenyewe.
Na kwa mara ya kwanza,
tulielezana tulivyohisi hasa.
Tulijua kwamba hali
haikuwa nzuri hata kidogo.
Tulihitaji kuchukua hatua—haraka.
Tulisoma kwa sauti andiko la
Waroma 12:10:
“Katika kuonyeshana heshima,
iweni wa kwanza.”
Tuliwafikiria Abrahamu na Sara.
Hawakuwa wakamilifu,
lakini walijitahidi sana
kuonyeshana heshima
kwa kusikiliza na kujali.
Nilimwambia Kiara,
“Najua ninaweza kuboresha hali.”
Na nilitaka kufanya hivyo
kwa sababu ninampenda sana.
Nilimwambia Shaan,
“Acha sote tujaribu kuwa wenzi bora.”
Tulifaulu.
Miezi kadhaa baadaye,
tuliamua kuwa mapainia.
Sasa tulikuwa na mengi
sana ya kuzungumzia.
Ni kana kwamba nilianza kujifunza
mambo mapya kumhusu Kiara.
Kama Abrahamu na Sara,
ndoa yetu haikuwa kamilifu.
Tutapatwa na mikazo.
Lakini tulipojitahidi
kutumia kanuni za Biblia,
tulifaulu kupita kipindi hicho kigumu
na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi.
-