00:00:08
Kuna jambo ambalo
siwezi kusahau00:00:12
00:00:13
Kumtazama mama yangu,00:00:15
00:00:15
akitayarisha kwa umakini,00:00:17
00:00:17
mkate kwa ajili ya ukumbusho
wa kifo cha Kristo00:00:21
00:00:27
Alichukua jambo hilo
kwa uzito sana00:00:30
00:00:30
kwa sababu mkate huo00:00:32
00:00:32
ulikuwa na maana
ya pekee.00:00:34
00:00:36
Usiku kabla ya
kifo chake00:00:39
00:00:40
Yesu aliwaambia
wanafunzi wake hivi00:00:42
00:00:43
Mkate huu unamaanisha
mwili wangu.00:00:46
00:00:46
Baada ya mkate na
divai kupitishwa,00:00:50
00:00:50
Yesu aliwaambia hivi
wanafunzi wake:00:00:53
00:00:53
“Endeleeni kufanya hivi
kwa kunikumbuka”00:00:57
00:00:57
Mpaka leo, bado
tunaendelea kufanya hivyo00:01:01
00:01:02
Shari, unaweza
kuniletea unga00:01:05
00:01:09
Asante00:01:10
00:01:17
Ulikuwa mchanganyiko
ambao,00:01:19
00:01:19
haukutia ndani vitu vingi00:01:21
00:01:22
Unajua nini kinachofuata?00:01:24
00:01:26
Maji00:01:26
00:01:27
Kweli00:01:28
00:01:38
Unaweza kuongeza
kitu chochote00:01:40
00:01:41
Hapana, ni muhimu
kwamba mkate00:01:44
00:01:44
utengenezwe kwa njia
ileile00:01:46
00:01:46
kama katika siku za Yesu00:01:48
00:01:48
Maji na unga peke yake00:01:51
00:01:53
Itakuwaje kama watu
hawana unga wa ngano00:01:56
00:01:56
Bado mkate unaweza
kutengenezwa00:01:58
00:01:58
kutumia unga
wa mchele00:02:00
00:02:00
shayiri00:02:01
00:02:01
mahindi00:02:02
00:02:03
Au nafaka nyingine 00:02:04
00:02:04
Lakini hupaswi kuongeza00:02:06
00:02:06
kitu kingine isipokuwa
unga na maji00:02:08
00:02:08
Hakuna hamira00:02:09
00:02:10
Hata chumvi?00:02:11
00:02:11
Hata chumvi00:02:12
00:02:13
Unakumbuka Yesu
alisema nini00:02:15
00:02:15
kwenye Luka 16:10?00:02:17
00:02:17
“Mtu aliyemwaminifu
katika lililo dogo00:02:20
00:02:20
Ni mwaminifu katika...00:02:22
00:02:22
lililo kubwa”00:02:23
00:02:23
Kweli kabisa00:02:24
00:02:25
Na tungependa kuwa
waaminifu00:02:27
00:02:27
kwa Yehova katika
mambo yote00:02:28
00:02:28
Si ni kweli?00:02:29
00:02:31
Baada ya kuchanganya,00:02:33
00:02:33
alikanda unga00:02:34
00:02:34
na nilifurahia kuona
chembe za unga00:02:37
00:02:37
zikipanda na kushuka.00:02:39
00:02:39
Kisha akaniruhusu
mimi niusukume.00:02:42
00:02:42
Kisha, akauweka
kwenye kikaangio00:02:45
00:02:45
chenye mafuta kidogo
na kuuoka00:02:48
00:02:50
Ulipoiva,00:02:51
00:02:51
haukufanana na mkate
ambao00:02:54
00:02:54
wewe na mimi
tunaufahamu00:02:56
00:02:57
Badala yake,00:02:58
00:02:58
ulionekana kuwa
mkavu,00:03:00
00:03:01
na ulivunjika kwa
urahisi00:03:03
00:03:04
Hivyo ndivyo
ulivyopaswa kuwa00:03:06
00:03:06
Na tulifurahia kuupeleka
Jumba la Ufalme00:03:10
00:03:10
kwa ajili ya ukumbusho00:03:11
00:03:15
Ninakumbuka pindi
hizo kwa shangwe,00:03:18
00:03:18
ninapotayarisha mkate00:03:20
00:03:20
kwa ajili ya ukumbusho
wa mwaka huu00:03:23
00:03:25
Lakini jambo muhimu
zaidi,00:03:28
00:03:28
ninapofikiria00:03:30
00:03:30
kile ambacho Yesu
amefanya kwa ajili yetu,00:03:33
00:03:34
ni pendeleo kubwa sana00:03:36
00:03:36
kushiriki kwa njia ndogo00:03:38
00:03:38
katika maandalizi00:03:40
00:03:40
ya tukio muhimu
zaidi katika mwaka.00:03:42
Jinsi ya Kutengeneza Mkate wa Ukumbusho
-
Jinsi ya Kutengeneza Mkate wa Ukumbusho
Kuna jambo ambalo
siwezi kusahau
Kumtazama mama yangu,
akitayarisha kwa umakini,
mkate kwa ajili ya ukumbusho
wa kifo cha Kristo
Alichukua jambo hilo
kwa uzito sana
kwa sababu mkate huo
ulikuwa na maana
ya pekee.
Usiku kabla ya
kifo chake
Yesu aliwaambia
wanafunzi wake hivi
Mkate huu unamaanisha
mwili wangu.
Baada ya mkate na
divai kupitishwa,
Yesu aliwaambia hivi
wanafunzi wake:
“Endeleeni kufanya hivi
kwa kunikumbuka”
Mpaka leo, bado
tunaendelea kufanya hivyo
Shari, unaweza
kuniletea unga
Asante
Ulikuwa mchanganyiko
ambao,
haukutia ndani vitu vingi
Unajua nini kinachofuata?
Maji
Kweli
Unaweza kuongeza
kitu chochote
Hapana, ni muhimu
kwamba mkate
utengenezwe kwa njia
ileile
kama katika siku za Yesu
Maji na unga peke yake
Itakuwaje kama watu
hawana unga wa ngano
Bado mkate unaweza
kutengenezwa
kutumia unga
wa mchele
shayiri
mahindi
Au nafaka nyingine
Lakini hupaswi kuongeza
kitu kingine isipokuwa
unga na maji
Hakuna hamira
Hata chumvi?
Hata chumvi
Unakumbuka Yesu
alisema nini
kwenye Luka 16:10?
“Mtu aliyemwaminifu
katika lililo dogo
Ni mwaminifu katika...
lililo kubwa”
Kweli kabisa
Na tungependa kuwa
waaminifu
kwa Yehova katika
mambo yote
Si ni kweli?
Baada ya kuchanganya,
alikanda unga
na nilifurahia kuona
chembe za unga
zikipanda na kushuka.
Kisha akaniruhusu
mimi niusukume.
Kisha, akauweka
kwenye kikaangio
chenye mafuta kidogo
na kuuoka
Ulipoiva,
haukufanana na mkate
ambao
wewe na mimi
tunaufahamu
Badala yake,
ulionekana kuwa
mkavu,
na ulivunjika kwa
urahisi
Hivyo ndivyo
ulivyopaswa kuwa
Na tulifurahia kuupeleka
Jumba la Ufalme
kwa ajili ya ukumbusho
Ninakumbuka pindi
hizo kwa shangwe,
ninapotayarisha mkate
kwa ajili ya ukumbusho
wa mwaka huu
Lakini jambo muhimu
zaidi,
ninapofikiria
kile ambacho Yesu
amefanya kwa ajili yetu,
ni pendeleo kubwa sana
kushiriki kwa njia ndogo
katika maandalizi
ya tukio muhimu
zaidi katika mwaka.
-