00:00:01
Baada ya gharika,00:00:02
00:00:02
Yehova alisema hivi00:00:04
00:00:04
kwenye Mwanzo 8:21:00:00:05
00:00:06
“Mwelekeo wa moyo00:00:07
00:00:07
wa mwanadamu ni mbaya00:00:09
00:00:09
tangu wakati wa ujana.”00:00:10
00:00:10
Tuna mwelekeo mbaya00:00:12
00:00:12
kwa sababu ya kutokamilika,00:00:14
00:00:15
Shetani anatazamia00:00:16
00:00:16
tufuate mwelekeo huo.00:00:18
00:00:19
Kwa mfano katika maelezo ya leo00:00:20
00:00:20
Ayubu alipaswa00:00:22
00:00:22
kufanyia kazi unyenyekevu.00:00:24
00:00:25
Na tukifanya utafiti,00:00:26
00:00:26
tunaona kwamba00:00:26
00:00:26
alihitaji kufanyia kazi00:00:28
00:00:28
mambo mengine pia.00:00:29
00:00:29
Shetani alipomshambulia,00:00:31
00:00:31
alivunjika moyo00:00:32
00:00:32
nakuwa mchungu.00:00:33
00:00:34
Inaeleweka,00:00:35
00:00:35
(huenda hata sisi pia00:00:36
00:00:36
tungefanya hivyo),00:00:37
00:00:37
ingawa inaeleweka00:00:38
00:00:39
haimaanishi ilikuwa sahihi,00:00:41
00:00:41
kwa sababu jinsi alivyoitikia,00:00:43
00:00:43
au mwelekeo wake,00:00:44
00:00:45
ulimzuia kabisa kuona tatizo hilo00:00:47
00:00:47
kwa njia nyingine.00:00:48
00:00:49
Ndio sababu alimlaumu00:00:51
00:00:51
na kumkosoa Yehova.00:00:53
00:00:53
Kwa hiyo mambo hayo00:00:54
00:00:55
yanatufanya tumwone kwa njia tofauti.00:00:57
00:00:58
Alihitaji kufanyia kazi unyenyekevu,00:01:00
00:01:00
asichukie, asikubali kuvunjika moyo,00:01:02
00:01:02
asikosoe, asijitetee,00:01:04
00:01:04
na kuhamisha lawama.00:01:06
00:01:06
Sote tuna mwelekeo fulani00:01:08
00:01:08
kama wa Ayubu.00:01:09
00:01:09
Mambo ambayo00:01:10
00:01:10
tunaweza kufanyia kazi.00:01:11
00:01:11
Shetani alitazamia kwamba00:01:13
00:01:13
Ayubu angevunja utimilifu wake00:01:14
00:01:15
kwa sababu ya mwelekeo huo.00:01:16
00:01:16
Lakini, je, Yehova alimwona Ayubu,00:01:19
00:01:19
au sisi, kama Shetani anavyotuona?00:01:21
00:01:22
Hapana, hata kidogo.00:01:23
00:01:23
Acha tuone chanzo00:01:24
00:01:24
cha majaribu ya Ayubu00:01:25
00:01:25
kwa maoni ya Yehova.00:01:27
00:01:27
Tusome Ayubu sura ya 1,00:01:29
00:01:29
Ayubu 1:8.00:01:32
00:01:32
Ayubu 1:8. 00:01:33
00:01:35
Huko mbinguni,00:01:36
00:01:36
Shetani aliruhusiwa kuingia00:01:38
00:01:38
na kusimama mbele za Yehova.00:01:40
00:01:40
Na haya ndiyo mazungumzo yao00:01:41
00:01:41
kuanzia mstari wa 800:01:42
00:01:42
“Yehova akamwambia Shetani:00:01:44
00:01:44
‘Je, umemwona mtumishi wangu Ayubu?00:01:48
00:01:48
Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani.00:01:50
00:01:50
Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,00:01:53
00:01:53
anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu.’”00:01:56
00:01:56
Yehova alimsifia Ayubu!00:01:58
00:01:58
Tofauti na tulivyoona.00:02:00
00:02:00
Nasi tunaweza kujifunza nini00:02:02
00:02:02
ili kuvumilia majaribu tunayokabili?00:02:04
00:02:05
Somo la kwanza:00:02:06
00:02:07
Uhusiano wetu na Yehova00:02:11
00:02:11
na pia waabudu wenzetu ni muhimu.00:02:13
00:02:14
Tumzungumzie Yehova.00:02:15
00:02:16
Ni wazi kwamba00:02:17
00:02:17
Shetani alimchukia Ayubu.00:02:19
00:02:19
Shetani alitaka kuona Ayubu00:02:20
00:02:20
akivunja utimilifu wake.00:02:22
00:02:22
Mbali na hilo alimwona kuwa mavumbi tu.00:02:24
00:02:24
Lakini Ayubu alikuwa na00:02:26
00:02:26
uhusiano wa kibinafsi na Yehova.00:02:28
00:02:29
Ayubu hakuelewa00:02:30
00:02:30
kwa nini anateseka.00:02:32
00:02:32
Licha ya hilo,00:02:33
00:02:33
alimpenda Yehova,00:02:34
00:02:35
na hakutaka kuvunja utimilifu wake.00:02:37
00:02:37
Yehova alimjua Ayubu vizuri.00:02:39
00:02:39
Yehova aliona uaminifu wake00:02:41
00:02:41
na jinsi alivyopenda familia yake.00:02:43
00:02:43
Pia aliona kwamba00:02:44
00:02:44
Ayubu hakuabudu jua,00:02:45
00:02:45
mwezi, na nyota kama wengine00:02:47
00:02:47
wakati huo.00:02:48
00:02:48
Hata aliwasaidia00:02:49
00:02:49
wavulana wasio na baba,00:02:50
00:02:50
wajane, na aliwaonyesha00:02:51
00:02:52
watumishi wake fadhili.00:02:53
00:02:53
Na Yehova alijua kwamba Ayubu00:02:56
00:02:56
hakutaka kuvunja utimilifu wake.00:02:57
00:02:58
Kwa hiyo, ingawa Yehova00:02:59
00:02:59
aliona mwelekeo wake00:03:00
00:03:00
unaotokana na kutokamilika,00:03:02
00:03:03
hakuuruhusu upotoshe00:03:05
00:03:05
maoni yake kumhusu.00:03:06
00:03:07
Yehova aliona sifa nzuri na mbaya,00:03:09
00:03:09
Na akakazia fikira sifa nzuri.00:03:11
00:03:11
Anafanya hivyo kwetu pia.00:03:13
00:03:14
Kwa nini?00:03:14
00:03:14
Kwa sababu tuna uhusiano wa00:03:16
00:03:16
kibinafsi na yeye00:03:17
00:03:17
unaotegemea upendo.00:03:18
00:03:19
Nyakati nyingine,00:03:20
00:03:20
huenda tunataka Yehova00:03:22
00:03:22
arekebishe kitu au atoe00:03:23
00:03:23
mwongozo mara moja.00:03:25
00:03:25
Au huenda hatupendi mwongozo fulani.00:03:27
00:03:28
Au hatuelewi kwa nini00:03:29
00:03:29
Yehova ameruhusu hali fulani.00:03:30
00:03:31
Lakini kwa sababu ya00:03:31
00:03:31
uhusiano wetu pamoja naye,00:03:33
00:03:33
tunaonyesha subira na kumtumaini.00:03:36
00:03:36
Tunajua kwamba Yehova atalishughulikia00:03:38
00:03:39
na kwamba utii wetu utabarikiwa,00:03:41
00:03:41
kama tu Ayubu.00:03:42
00:03:43
Uhusiano wa karibu na waabudu wenzetu00:03:45
00:03:45
unatusaidia tunapokabiliana na majaribu.00:03:47
00:03:48
Kwa mfano,00:03:49
00:03:49
roho takatifu ya Yehova00:03:50
00:03:50
ilimwezesha Elihu00:03:52
00:03:52
amsaidie Ayubu.00:03:53
00:03:53
Ingawa Elihu hakuwa na umri00:03:55
00:03:55
wala uzoefu kama wa Ayubu,00:03:57
00:03:57
Ayubu alikubali shauri lake;00:03:59
00:03:59
alihitaji msaada huo.00:04:01
00:04:01
Rejeo fulani lilitaja kwamba00:04:02
00:04:02
huenda Ayubu “alilia”00:04:04
00:04:04
kwa sababu ya faraja aliyopata00:04:05
00:04:05
kutoka kwa Elihu00:04:06
00:04:07
ya upole.00:04:08
00:04:09
Ndugu na dada zetu00:04:10
00:04:10
wanataka kutusaidia.00:04:11
00:04:12
Lakini ili watusaidie,00:04:13
00:04:13
tunahitaji kuwa tayari00:04:14
00:04:14
kukubali msaada wao00:04:15
00:04:15
iwe ni wa kiroho, wa kimwili,00:04:17
00:04:17
au wa kihisia.00:04:19
00:04:19
Hatutaki kukataa msaada wao00:04:21
00:04:21
kwa sababu tunakazia fikira00:04:22
00:04:22
kutokamilika kwao00:04:23
00:04:24
au kwa sababu00:04:25
00:04:25
hatutaki kuwa mzigo.00:04:26
00:04:27
Ndugu na dada zetu00:04:28
00:04:29
wanatujali,00:04:30
00:04:30
na uhusiano wetu pamoja nao00:04:31
00:04:31
unakuwa muhimu hata zaidi00:04:33
00:04:33
tunapokaribia mwisho.00:04:34
00:04:34
Ili kuvumilia majaribu,00:04:36
00:04:36
tunahitaji kuwa na urafiki wa karibu00:04:37
00:04:37
pamoja na Yehova,00:04:39
00:04:39
na pia na ndugu na dada zetu.00:04:40
00:04:41
Tuone somo la pili:00:04:42
00:04:43
Tunataka kuwa na00:04:43
00:04:43
mtazamo unaofaa00:04:44
00:04:44
kuhusu majaribu.00:04:46
00:04:47
Zingatia kwamba Yehova00:04:48
00:04:49
hakusababisha matatizo ya Ayubu,00:04:51
00:04:51
lakini pia Yehova hakumkinga.00:04:53
00:04:53
Aliruhusu Ayubu ateseke00:04:55
00:04:55
lakini kwa kusudi,00:04:57
00:04:57
la kuthibitisha kwamba00:04:58
00:04:59
Ayubu ni mtimilifu00:05:00
00:05:00
na Shetani ni mwongo.00:05:01
00:05:02
Na pia kupitia jaribu hili00:05:04
00:05:04
Yehova alipata fursa00:05:06
00:05:06
ya kumzoeza zaidi Ayubu.00:05:08
00:05:08
Kadiri miaka ilivyopita,00:05:10
00:05:11
Shetani amekuwa00:05:11
00:05:11
mwovu hata zaidi.00:05:13
00:05:13
Ingawa hatutafuti majaribu,00:05:15
00:05:16
hatushangai yanapotupata00:05:17
00:05:18
wala hatuyaondoi00:05:19
00:05:19
kwa njia zisizo za Kimaandiko.00:05:21
00:05:21
Kwa nini?00:05:22
00:05:22
Kwa sababu tunaona majaribu kuwa00:05:24
00:05:25
heshima na pia fursa. 00:05:27
00:05:28
Fikiria Ayubu angehisije00:05:30
00:05:31
ikiwa Yehova angemjibu Shetani00:05:32
00:05:32
kwa njia hii, Shetani alipomdhihaki00:05:35
00:05:35
‘Unajua, Ayubu ni mtu mzuri,00:05:37
00:05:37
lakini hayuko tayari00:05:39
00:05:39
anahitaji kufanyia kazi mambo fulani.00:05:41
00:05:41
Musa ndiye utakayemjaribu.’00:05:43
00:05:44
Haikuwa hivyo.00:05:45
00:05:46
Angalia mstari wa 8.00:05:47
00:05:47
Ona kwamba haikuwa Shetani00:05:49
00:05:50
alitaja kwanza jina la Ayubu.00:05:51
00:05:51
Ni kweli alikuwa akimfikiria,00:05:53
00:05:53
lakini ni Yehova00:05:54
00:05:54
aliyeanza kumzungumzia Ayubu00:05:56
00:05:56
na kumsifia00:05:57
00:05:57
kama tulivyozungumzia hapo awali00:05:59
00:05:59
Ayubu alimwonea00:06:01
00:06:01
Mungu wake fahari00:06:03
00:06:03
na sisi pia.00:06:04
00:06:05
Tunataka Yehova00:06:06
00:06:06
atusifie pia.00:06:08
00:06:08
Kama alivyomsifia Ayubu.00:06:10
00:06:11
Tunapovumilia majaribu tunakuwa na00:06:14
00:06:14
fursa ya pekee.00:06:15
00:06:15
Ningependa tusome barua ya 100:06:17
00:06:17
ambayo Petro aliandika.00:06:18
00:06:20
Tutasoma sura ya 5:10. 00:06:22
00:06:23
Inasema:00:06:24
00:06:27
“Lakini, baada ya00:06:28
00:06:29
kuteseka kwa muda mfupi,00:06:31
00:06:31
[kwa hiyo tutakabili majaribu]00:06:34
00:06:34
Mungu wa fadhili zote zisizostahiliwa,00:06:36
00:06:36
aliyewaita kwenye utukufu00:06:37
00:06:37
wake wa milele00:06:38
00:06:38
katika muungano na Kristo,00:06:39
00:06:39
[ona]00:06:40
00:06:41
yeye mwenyewe00:06:42
00:06:42
atamaliza mazoezi yenu.00:06:44
00:06:44
[Kisha] Atawafanya mwe imara,00:06:46
00:06:47
atawatia nguvu,00:06:48
00:06:48
atawapa msingi imara.”00:06:51
00:06:52
Kwa hiyo ingawa Yehova00:06:53
00:06:53
hakusababisha jaribu la Ayubu,00:06:55
00:06:55
fursa ya kumfundisha ilitokea.00:06:57
00:06:57
Yehova alimsaidia Ayubu00:06:59
00:06:59
kuwa na maoni kama yake00:07:00
00:07:00
na kuwa mnyenyekevu zaidi.00:07:02
00:07:02
Ikiwa tunakabili jaribu fulani,00:07:04
00:07:04
Yehova anaweza00:07:04
00:07:04
kutumia nafasi hiyo.00:07:05
00:07:05
Tunapaswa kujiuliza00:07:07
00:07:07
Yehova ananifundisha jambo gani?00:07:10
00:07:10
Je, nifanyie kazi imani,00:07:12
00:07:12
upole, au unyenyekevu?00:07:14
00:07:14
Kwa lolote lile,00:07:15
00:07:16
tunamwacha Yehova atuzoeze.00:07:18
00:07:19
Hivi karibuni00:07:20
00:07:20
nilizungumza na dada fulani ambaye00:07:22
00:07:22
amekuwa akipitia hali ngumu00:07:23
00:07:23
kwa kipindi fulani.00:07:25
00:07:25
Alipokuwa akinisimulia,00:07:26
00:07:26
alitaja jambo lenye kupendeza.00:07:28
00:07:28
Alisema hakutarajia00:07:29
00:07:29
kupitia hali kama hiyo na00:07:31
00:07:31
hatazamii kupitia hali kama hiyo tena.00:07:33
00:07:33
Amejionea mwenyewe kwamba Yehova00:07:35
00:07:36
anamjali sana.00:07:37
00:07:37
Alisema kwamba ameuona mkono00:07:39
00:07:39
wa Yehova ukitenda kwa niaba yake00:07:41
00:07:41
kwa njia ambazo hajawahi kuona00:07:43
00:07:43
maishani mwake.00:07:45
00:07:45
Lilijenga imani yake.00:07:47
00:07:48
Kwa hiyo, Yehova anaweza kutumia jaribu00:07:51
00:07:51
kutuzoeza00:07:52
00:07:52
na kutuimarisha.00:07:54
00:07:54
Tutakabili majaribu mengi sana00:07:56
00:07:56
kadiri mfumo huu unavyoelekea mwisho,00:07:58
00:07:58
na Shetani anatarajia tutashindwa.00:08:01
00:08:01
Lakini kwa kuwa sisi ni00:08:02
00:08:02
watumishi wa Yehova,00:08:03
00:08:03
tutashinda majaribu hayo.00:08:05
00:08:05
Ili kuyashinda majaribu hayo,00:08:07
00:08:07
tukumbuke kwamba tutahitaji kuwa na00:08:09
00:08:09
uhusiano wa karibu na Yehova00:08:11
00:08:11
na pia na waabudu wenzetu;00:08:13
00:08:13
hakuna anayeweza kujitegemea;00:08:16
00:08:16
tunawahitaji.00:08:17
00:08:18
Pia, tunahitaji kuwa na00:08:19
00:08:19
mtazamo unaofaa kuelekea jaribu.00:08:21
00:08:21
Tunajivunia00:08:23
00:08:23
Yehova anapopata00:08:24
00:08:24
jibu la kumpa Shetani.00:08:25
00:08:25
Yehova anatumia00:08:27
00:08:27
fursa hiyo kumaliza00:08:29
00:08:29
mazoezi yetu.00:08:30
Jody Jedele: Mwige Ayubu Unapokabili Majaribu (Ayu. 1:8)
Baada ya gharika,
Yehova alisema hivi
kwenye Mwanzo 8:21:
“Mwelekeo wa moyo
wa mwanadamu ni mbaya
tangu wakati wa ujana.”
Tuna mwelekeo mbaya
kwa sababu ya kutokamilika,
Shetani anatazamia
tufuate mwelekeo huo.
Kwa mfano katika maelezo ya leo
Ayubu alipaswa
kufanyia kazi unyenyekevu.
Na tukifanya utafiti,
tunaona kwamba
alihitaji kufanyia kazi
mambo mengine pia.
Shetani alipomshambulia,
alivunjika moyo
nakuwa mchungu.
Inaeleweka,
(huenda hata sisi pia
tungefanya hivyo),
ingawa inaeleweka
haimaanishi ilikuwa sahihi,
kwa sababu jinsi alivyoitikia,
au mwelekeo wake,
ulimzuia kabisa kuona tatizo hilo
kwa njia nyingine.
Ndio sababu alimlaumu
na kumkosoa Yehova.
Kwa hiyo mambo hayo
yanatufanya tumwone kwa njia tofauti.
Alihitaji kufanyia kazi unyenyekevu,
asichukie, asikubali kuvunjika moyo,
asikosoe, asijitetee,
na kuhamisha lawama.
Sote tuna mwelekeo fulani
kama wa Ayubu.
Mambo ambayo
tunaweza kufanyia kazi.
Shetani alitazamia kwamba
Ayubu angevunja utimilifu wake
kwa sababu ya mwelekeo huo.
Lakini, je, Yehova alimwona Ayubu,
au sisi, kama Shetani anavyotuona?
Hapana, hata kidogo.
Acha tuone chanzo
cha majaribu ya Ayubu
kwa maoni ya Yehova.
Tusome Ayubu sura ya 1,
Ayubu 1:8.
Ayubu 1:8.
Huko mbinguni,
Shetani aliruhusiwa kuingia
na kusimama mbele za Yehova.
Na haya ndiyo mazungumzo yao
kuanzia mstari wa 8
“Yehova akamwambia Shetani:
‘Je, umemwona mtumishi wangu Ayubu?
Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani.
Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,
anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu.’”
Yehova alimsifia Ayubu!
Tofauti na tulivyoona.
Nasi tunaweza kujifunza nini
ili kuvumilia majaribu tunayokabili?
Somo la kwanza:
Uhusiano wetu na Yehova
na pia waabudu wenzetu ni muhimu.
Tumzungumzie Yehova.
Ni wazi kwamba
Shetani alimchukia Ayubu.
Shetani alitaka kuona Ayubu
akivunja utimilifu wake.
Mbali na hilo alimwona kuwa mavumbi tu.
Lakini Ayubu alikuwa na
uhusiano wa kibinafsi na Yehova.
Ayubu hakuelewa
kwa nini anateseka.
Licha ya hilo,
alimpenda Yehova,
na hakutaka kuvunja utimilifu wake.
Yehova alimjua Ayubu vizuri.
Yehova aliona uaminifu wake
na jinsi alivyopenda familia yake.
Pia aliona kwamba
Ayubu hakuabudu jua,
mwezi, na nyota kama wengine
wakati huo.
Hata aliwasaidia
wavulana wasio na baba,
wajane, na aliwaonyesha
watumishi wake fadhili.
Na Yehova alijua kwamba Ayubu
hakutaka kuvunja utimilifu wake.
Kwa hiyo, ingawa Yehova
aliona mwelekeo wake
unaotokana na kutokamilika,
hakuuruhusu upotoshe
maoni yake kumhusu.
Yehova aliona sifa nzuri na mbaya,
Na akakazia fikira sifa nzuri.
Anafanya hivyo kwetu pia.
Kwa nini?
Kwa sababu tuna uhusiano wa
kibinafsi na yeye
unaotegemea upendo.
Nyakati nyingine,
huenda tunataka Yehova
arekebishe kitu au atoe
mwongozo mara moja.
Au huenda hatupendi mwongozo fulani.
Au hatuelewi kwa nini
Yehova ameruhusu hali fulani.
Lakini kwa sababu ya
uhusiano wetu pamoja naye,
tunaonyesha subira na kumtumaini.
Tunajua kwamba Yehova atalishughulikia
na kwamba utii wetu utabarikiwa,
kama tu Ayubu.
Uhusiano wa karibu na waabudu wenzetu
unatusaidia tunapokabiliana na majaribu.
Kwa mfano,
roho takatifu ya Yehova
ilimwezesha Elihu
amsaidie Ayubu.
Ingawa Elihu hakuwa na umri
wala uzoefu kama wa Ayubu,
Ayubu alikubali shauri lake;
alihitaji msaada huo.
Rejeo fulani lilitaja kwamba
huenda Ayubu “alilia”
kwa sababu ya faraja aliyopata
kutoka kwa Elihu
ya upole.
Ndugu na dada zetu
wanataka kutusaidia.
Lakini ili watusaidie,
tunahitaji kuwa tayari
kukubali msaada wao
iwe ni wa kiroho, wa kimwili,
au wa kihisia.
Hatutaki kukataa msaada wao
kwa sababu tunakazia fikira
kutokamilika kwao
au kwa sababu
hatutaki kuwa mzigo.
Ndugu na dada zetu
wanatujali,
na uhusiano wetu pamoja nao
unakuwa muhimu hata zaidi
tunapokaribia mwisho.
Ili kuvumilia majaribu,
tunahitaji kuwa na urafiki wa karibu
pamoja na Yehova,
na pia na ndugu na dada zetu.
Tuone somo la pili:
Tunataka kuwa na
mtazamo unaofaa
kuhusu majaribu.
Zingatia kwamba Yehova
hakusababisha matatizo ya Ayubu,
lakini pia Yehova hakumkinga.
Aliruhusu Ayubu ateseke
lakini kwa kusudi,
la kuthibitisha kwamba
Ayubu ni mtimilifu
na Shetani ni mwongo.
Na pia kupitia jaribu hili
Yehova alipata fursa
ya kumzoeza zaidi Ayubu.
Kadiri miaka ilivyopita,
Shetani amekuwa
mwovu hata zaidi.
Ingawa hatutafuti majaribu,
hatushangai yanapotupata
wala hatuyaondoi
kwa njia zisizo za Kimaandiko.
Kwa nini?
Kwa sababu tunaona majaribu kuwa
heshima na pia fursa.
Fikiria Ayubu angehisije
ikiwa Yehova angemjibu Shetani
kwa njia hii, Shetani alipomdhihaki
‘Unajua, Ayubu ni mtu mzuri,
lakini hayuko tayari
anahitaji kufanyia kazi mambo fulani.
Musa ndiye utakayemjaribu.’
Haikuwa hivyo.
Angalia mstari wa 8.
Ona kwamba haikuwa Shetani
alitaja kwanza jina la Ayubu.
Ni kweli alikuwa akimfikiria,
lakini ni Yehova
aliyeanza kumzungumzia Ayubu
na kumsifia
kama tulivyozungumzia hapo awali
Ayubu alimwonea
Mungu wake fahari
na sisi pia.
Tunataka Yehova
atusifie pia.
Kama alivyomsifia Ayubu.
Tunapovumilia majaribu tunakuwa na
fursa ya pekee.
Ningependa tusome barua ya 1
ambayo Petro aliandika.
Tutasoma sura ya 5:10.
Inasema:
“Lakini, baada ya
kuteseka kwa muda mfupi,
[kwa hiyo tutakabili majaribu]
Mungu wa fadhili zote zisizostahiliwa,
aliyewaita kwenye utukufu
wake wa milele
katika muungano na Kristo,
[ona]
yeye mwenyewe
atamaliza mazoezi yenu.
[Kisha] Atawafanya mwe imara,
atawatia nguvu,
atawapa msingi imara.”
Kwa hiyo ingawa Yehova
hakusababisha jaribu la Ayubu,
fursa ya kumfundisha ilitokea.
Yehova alimsaidia Ayubu
kuwa na maoni kama yake
na kuwa mnyenyekevu zaidi.
Ikiwa tunakabili jaribu fulani,
Yehova anaweza
kutumia nafasi hiyo.
Tunapaswa kujiuliza
Yehova ananifundisha jambo gani?
Je, nifanyie kazi imani,
upole, au unyenyekevu?
Kwa lolote lile,
tunamwacha Yehova atuzoeze.
Hivi karibuni
nilizungumza na dada fulani ambaye
amekuwa akipitia hali ngumu
kwa kipindi fulani.
Alipokuwa akinisimulia,
alitaja jambo lenye kupendeza.
Alisema hakutarajia
kupitia hali kama hiyo na
hatazamii kupitia hali kama hiyo tena.
Amejionea mwenyewe kwamba Yehova
anamjali sana.
Alisema kwamba ameuona mkono
wa Yehova ukitenda kwa niaba yake
kwa njia ambazo hajawahi kuona
maishani mwake.
Lilijenga imani yake.
Kwa hiyo, Yehova anaweza kutumia jaribu
kutuzoeza
na kutuimarisha.
Tutakabili majaribu mengi sana
kadiri mfumo huu unavyoelekea mwisho,
na Shetani anatarajia tutashindwa.
Lakini kwa kuwa sisi ni
watumishi wa Yehova,
tutashinda majaribu hayo.
Ili kuyashinda majaribu hayo,
tukumbuke kwamba tutahitaji kuwa na
uhusiano wa karibu na Yehova
na pia na waabudu wenzetu;
hakuna anayeweza kujitegemea;
tunawahitaji.
Pia, tunahitaji kuwa na
mtazamo unaofaa kuelekea jaribu.
Tunajivunia
Yehova anapopata
jibu la kumpa Shetani.
Yehova anatumia
fursa hiyo kumaliza
mazoezi yetu.
-