00:00:08
Je, wewe ndiye Yule Anayekuja,00:00:10
00:00:15
au00:00:16
00:00:16
tumtarajie mwingine?00:00:18
00:00:26
Yesu. Rabi. Yesu. Rabi. Yesu. Rabi. Yesu. Rabi.00:00:30
00:00:30
Sikuja kuwaita waadilifu,00:00:32
00:00:34
Bali kuwahimiza watenda dhambi watubu00:00:38
00:00:38
Yesu. Rabi.00:00:39
00:00:40
Ikiwa tu unataka,00:00:42
00:00:42
Mkoma! Asiyesafi! Mkoma! Asiyesafi!
Mkoma! Asiyesafi! Mkoma!00:00:46
00:00:47
Unaweza kunitakasa.00:00:49
00:01:02
Kwa nini wanafanya jambo00:01:03
00:01:03
lisilo halali siku ya Sabato?00:01:05
00:01:11
Je, ni halali kufanya mema00:01:14
00:01:15
au kufanya mabaya siku ya Sabato,00:01:18
00:01:21
kuokoa uhai00:01:23
00:01:26
au kuua?00:01:26
00:01:40
Kijana, ninakuambia, inuka!00:01:43
00:01:53
Yeye ana roho mwovu.00:01:56
00:02:00
Kwa nini unatusumbua,00:02:03
00:02:04
wewe Yesu Mnazareti?00:02:06
00:02:06
Nyamaza, na umtoke!00:02:10
00:02:45
Kwa maana nilikuja kwa kusudi hilo.00:02:48
Drama ya Biblia: Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 4, 5, na 6
-
Drama ya Biblia: Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 4, 5, na 6
Je, wewe ndiye Yule Anayekuja,
au
tumtarajie mwingine?
Yesu. Rabi. Yesu. Rabi. Yesu. Rabi. Yesu. Rabi.
Sikuja kuwaita waadilifu,
Bali kuwahimiza watenda dhambi watubu
Yesu. Rabi.
Ikiwa tu unataka,
Mkoma! Asiyesafi! Mkoma! Asiyesafi!
Mkoma! Asiyesafi! Mkoma!
Unaweza kunitakasa.
Kwa nini wanafanya jambo
lisilo halali siku ya Sabato?
Je, ni halali kufanya mema
au kufanya mabaya siku ya Sabato,
kuokoa uhai
au kuua?
Kijana, ninakuambia, inuka!
Yeye ana roho mwovu.
Kwa nini unatusumbua,
wewe Yesu Mnazareti?
Nyamaza, na umtoke!
Kwa maana nilikuja kwa kusudi hilo.
-