00:00:01
Katika mfumo huu wa mambo,00:00:05
00:00:05
sisi sote hukabili majaribu00:00:07
00:00:08
Je, wewe hujiuliza ikiwa Yehova00:00:10
00:00:10
atatenda kwa niaba yako?00:00:12
00:00:12
Na ikiwa ndivyo, lini?00:00:15
00:00:15
Tunaweza kuwa na hakika kwamba00:00:16
00:00:16
Yehova atatutegemeza wakati wa majaribu.00:00:20
00:00:20
Kwa nini?00:00:21
00:00:21
Kwa sababu sifa kuu00:00:22
00:00:22
yenye kugusa moyo sana00:00:24
00:00:24
ya Yehova, ni upendo.00:00:25
00:00:25
Ili kujifunza kuhusu sifa hiyo00:00:28
00:00:28
na jinsi tunavyoweza kuionyesha,00:00:30
00:00:30
acheni tuchunguze simulizi la00:00:32
00:00:32
Biblia kuhusu Yosefu.00:00:34
00:00:34
Yosefu alizaliwa zaidi ya miaka00:00:37
00:00:37
3,700 iliyopita huko Mesopotamia.00:00:41
00:00:41
Baba yake alikuwa mzee wa ukoo Yakobo, au Israeli.00:00:46
00:00:46
Yosefu alikuwa na ndugu nusu kumi00:00:48
00:00:48
na mwingine waliyezaliwa naye baba00:00:50
00:00:50
mmoja na mama mmoja, Benjamini.00:00:52
00:00:52
Akiwa na umri mdogo sana,00:00:55
00:00:55
Yosefu alikabili matatizo kwa sababu00:00:57
00:00:57
ndugu zake wakubwa kumi
walikuwa wakimwonea wivu.00:01:01
00:01:01
Hata hivyo, majaribu ambayo Yosefu alipitia00:01:05
00:01:05
yalifanya familia yote isife njaa.00:01:07
00:01:07
Isitoshe, kwa msingi wa majaribu hayo,00:01:11
00:01:11
tunaweza kupata uzima wa milele.00:01:13
00:01:14
Ninawaalika mfungue Biblia zenu00:01:17
00:01:17
mnaposikiliza usomaji wa Mwanzo 37:2-11.00:01:22
00:01:25
Kijana Yosefu alipokuwa na umri wa miaka 17,00:01:28
00:01:28
alikuwa akichunga kondoo
pamoja na wana wa Bilha00:01:31
00:01:31
na wana wa Zilpa, wake za baba yake.00:01:34
00:01:34
Naye Yosefu akamletea baba yake
habari mbaya kuwahusu.00:01:38
00:01:38
Sasa Israeli alimpenda sana Yosefu
kuliko wanawe wengine00:01:43
00:01:43
kwa sababu alimzaa uzeeni,00:01:45
00:01:45
naye alikuwa amemshonea joho la pekee.00:01:48
00:01:48
Ndugu zake walipoona kwamba baba yao00:01:51
00:01:51
alimpenda sana kuliko yeyote miongoni mwao,00:01:53
00:01:53
wakaanza kumchukia,00:01:55
00:01:55
na hawakuzungumza
naye kwa amani.00:01:58
00:01:59
Baadaye Yosefu aliota ndoto na
kuwasimulia ndugu zake,00:02:03
00:02:03
nao wakapata sababu zaidi ya kumchukia.00:02:05
00:02:05
Aliwaambia hivi:00:02:07
00:02:07
Tafadhali sikilizeni ndoto hii niliyoota.00:02:10
00:02:10
Tulikuwa tukifunga matita ya
masuke katikati ya shamba00:02:13
00:02:13
kisha tita langu likainuka na kusimama wima,00:02:16
00:02:16
nayo matita yenu yakalizunguka
tita langu na kuliinamia.00:02:19
00:02:22
Ndugu zake wakamuuliza:00:02:24
00:02:24
Je, kweli utajiweka kuwa mfalme
wetu na kututawala?00:02:28
00:02:28
Basi wakapata sababu
nyingine ya kumchukia,00:02:32
00:02:32
kwa sababu ya ndoto
zake na mambo aliyosema.00:02:34
00:02:34
Baada ya hayo akaota tena ndoto nyingine,00:02:38
00:02:38
naye akawasimulia ndugu zake ndoto hiyo:00:02:41
00:02:41
Nimeota ndoto nyingine.00:02:43
00:02:43
Wakati huu jua na mwezi na
nyota 11 zilikuwa zikiniinamia.00:02:49
00:02:51
Kisha akamsimulia baba yake00:02:52
00:02:52
na ndugu zake ndoto hiyo,00:02:54
00:02:54
baba yake akamkemea na kumuuliza:00:02:57
00:02:57
Ndoto hiyo yako inamaanisha nini?00:02:59
00:03:00
Je, kweli mimi na pia mama yako00:03:03
00:03:03
na ndugu zako tutakuja na kukuinamia00:03:06
00:03:06
mpaka ardhini?00:03:07
00:03:08
Basi ndugu zake wakazidi kumwonea wivu,00:03:11
00:03:11
lakini baba yake akayaweka00:03:14
00:03:14
akilini maneno yake.00:03:16
00:03:17
Ilikuwa vigumu kwa familia ya Yosefu
kuamini ndoto zake!00:03:22
00:03:22
Lakini Yakobo ‘anayaweka maneno’
ya Yosefu akilini, yaani, ndoto za Yosefu.00:03:28
00:03:28
Jinsi gani?00:03:29
00:03:29
Anaendelea kutafakari kuhusu jambo hilo.00:03:33
00:03:33
Huenda anatambua kwamba ndoto za
mwanaye zinatoka kwa Yehova.00:03:37
00:03:37
Hata hivyo, ndugu za Yosefu wanaitikia
kwa njia tofauti.00:03:40
00:03:40
Fuatana na usomaji wa Mwanzo 37:18-36.00:03:47
00:03:48
Sasa wakamwona akiwa mbali,00:03:51
00:03:52
na kabla hajafika karibu,00:03:54
00:03:54
wakaanza kupanga njama ya kumuua.00:03:57
00:03:57
Wakaambiana: Tazama!00:03:59
00:03:59
Ndiye yule mwota-ndoto anakuja.00:04:02
00:04:02
Haya basi, njooni tumuue na kumtupa
ndani ya shimo moja la maji,00:04:06
00:04:06
halafu tutasema kwamba aliliwa na
mnyama mkali sana wa mwituni.00:04:09
00:04:09
Tuone itakuwaje kwa ndoto zake.00:04:12
00:04:12
Rubeni aliposikia maneno hayo,
alijaribu kumwokoa ili wasimuue.00:04:18
00:04:18
Akasema: Tusimuue.00:04:21
00:04:21
Kisha akawaambia:00:04:22
00:04:23
Msimwage damu.00:04:25
00:04:25
Mtupeni ndani ya shimo hili la maji
lililo nyikani, lakini msimdhuru.00:04:30
00:04:30
Rubeni alikusudia kumwokoa00:04:32
00:04:32
kutoka mikononi mwao ili
amrudishe kwa baba yake.00:04:36
00:04:36
Mara tu Yosefu alipowafikia ndugu zake,00:04:38
00:04:38
wakamvua joho lake la pekee,00:04:41
00:04:41
kisha wakamchukua na kumtupa
ndani ya shimo la maji.00:04:45
00:04:45
Wakati huo shimo hilo lilikuwa tupu;
halikuwa na maji.00:04:48
00:04:51
Kisha wakaketi chini ili wale chakula.00:04:54
00:04:54
Walipoinua macho yao, waliona msafara wa00:04:56
00:04:56
Waishmaeli ukija kutoka Gileadi.00:04:59
00:04:59
Ngamia wao walikuwa wamebeba
gundi ya labdanamu,00:05:02
00:05:02
zeri, na magome yenye utomvu,00:05:05
00:05:05
nao walikuwa wakiteremka kwenda Misri.00:05:07
00:05:07
Ndipo Yuda akawaambia ndugu zake:00:05:10
00:05:10
Tutapata faida gani tukimuua
ndugu yetu na kufunika damu yake?00:05:14
00:05:14
Haya basi, acheni tumuuze kwa Waishmaeli,00:05:18
00:05:18
mkono wetu usimguse.00:05:20
00:05:21
Kwa kweli, yeye ni ndugu00:05:23
00:05:23
yetu na nyama yetu.00:05:24
00:05:25
Kwa hiyo wakamsikiliza ndugu yao.00:05:28
00:05:28
Basi wafanyabiashara hao
Wamidiani walipokuwa wakipita,00:05:32
00:05:32
ndugu zake walimtoa shimoni na
kumuuza kwa hao Waishmaeli00:05:36
00:05:36
kwa vipande 20 vya fedha.00:05:38
00:05:38
Watu hao wakampeleka Yosefu Misri.00:05:42
00:05:42
Baadaye Rubeni aliporudi kwenye
lile shimo la maji00:05:45
00:05:45
na kuona kwamba Yosefu hayumo shimoni,00:05:49
00:05:49
akayararua mavazi yake.00:05:51
00:05:51
Aliporudi kwa ndugu zake,
alisema kwa mshangao:00:05:54
00:05:54
Mtoto amepotea!00:05:56
00:05:56
Sasa mimi—nitafanya nini?00:06:00
00:06:01
Basi wakalichukua joho la Yosefu,00:06:03
00:06:03
wakamchinja mbuzi dume na
kulichovya joho hilo00:06:06
00:06:06
katika damu ya mbuzi huyo.00:06:08
00:06:09
Kisha wakamtumia baba yao joho hilo
na kumwambia:00:06:12
00:06:12
Hiki ndicho tulichopata.00:06:14
00:06:14
Tafadhali chunguza uone ikiwa joho hili
ni la mwanao au la.00:06:19
00:06:19
Basi akalichunguza na kusema kwa mshtuko:00:06:23
00:06:23
Ni joho la mwanangu!00:06:24
00:06:24
Inaonekana ameliwa na mnyama
mkali wa mwituni!00:06:28
00:06:28
Kwa hakika Yosefu ameraruliwa vipandevipande!00:06:32
00:06:33
Ndipo Yakobo akayararua mavazi yake00:06:36
00:06:36
na kuvaa nguo za magunia kiunoni00:06:39
00:06:39
na kumwombolezea mwanawe kwa siku nyingi.00:06:41
00:06:42
Na wanawe wote na mabinti zake wote
wakajaribu sana kumfariji,00:06:47
00:06:47
lakini alikataa kabisa kufarijiwa, akisema:00:06:51
00:06:51
Nitashuka Kaburini nikimwombolezea mwanangu!00:06:57
00:06:57
Na baba yake akaendelea kumlilia.00:07:01
00:07:01
Basi Wamidiani wakamuuza Yosefu
Misri kwa Potifa,00:07:04
00:07:04
ofisa wa makao ya Farao aliyekuwa
pia mkuu wa walinzi.00:07:09
00:07:11
Lilikuwa badiliko kubwa sana—kutoka kuwa00:07:14
00:07:14
mwana mpendwa hadi mtumwa wa hali ya chini!00:07:18
00:07:18
Hawakushindwa tu kumwonyesha
Yosefu upendo mshikamanifu00:07:21
00:07:21
bali pia Yakobo baba yao,00:07:23
00:07:23
na jambo zito hata zaidi00:07:25
00:07:25
walishindwa kumwonyesha upendo huo Yehova,00:07:28
00:07:28
Baba yao wa mbinguni.00:07:30
00:07:30
Ingawa tunamtumikia Yehova kwa uaminifu,00:07:33
00:07:33
bado tunaweza kutendewa isivyo haki.00:07:36
00:07:36
Hata nyakati nyingine,00:07:37
00:07:37
huenda mtu anayetutendea isivyo
haki ni mwamini mwenzetu.00:07:41
00:07:41
Je, kwa sasa unapitia jaribu kama hilo?00:07:44
00:07:44
Ukweli ni kwamba00:07:45
00:07:45
jaribu hilo linakupa fursa ya pekee00:07:47
00:07:47
ya kuthibitisha jinsi
unavyompenda Yehova.00:07:50
00:07:50
Jinsi gani?00:07:52
00:07:52
Fikiria jinsi Yosefu alivyokabili jaribu lake.00:07:55
00:07:55
Tusikilize Mwanzo 39:1-23.00:08:00
00:08:02
Basi Yosefu akapelekwa Misri,00:08:05
00:08:05
na Mmisri aliyeitwa Potifa,00:08:07
00:08:08
ofisa wa makao ya Farao aliyekuwa
pia mkuu wa walinzi,00:08:12
00:08:12
akamnunua kutoka kwa Waishmaeli
waliomleta huko.00:08:16
00:08:16
Lakini Yehova alikuwa pamoja na Yosefu.00:08:19
00:08:20
Kwa hiyo akafanikiwa na kuwekwa kuwa00:08:23
00:08:23
msimamizi wa nyumba ya bwana wake,
yule Mmisri.00:08:26
00:08:26
Bwana wake akaona kwamba Yehova
alikuwa pamoja naye00:08:29
00:08:29
na kwamba Yehova alikuwa akifanikisha
kila jambo alilokuwa akifanya.00:08:34
00:08:34
Yosefu akaendelea kupata kibali
machoni pa Potifa,00:08:37
00:08:38
naye akawa mhudumu wake binafsi.00:08:40
00:08:40
Kwa hiyo Potifa akamweka kuwa
msimamizi wa nyumba yake,00:08:43
00:08:43
na wa vitu vyake vyote.00:08:45
00:08:45
Tangu alipomweka kuwa msimamizi wa
nyumba yake na wa vitu vyake vyote,00:08:49
00:08:49
Yehova aliendelea kuibariki nyumba
ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu,00:08:54
00:08:54
na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa
navyo nyumbani na shambani.00:08:59
00:08:59
Hatimaye akamwachia Yosefu usimamizi
wa vitu vyake vyote,00:09:03
00:09:03
naye hakujishughulisha na kitu
chochote isipokuwa chakula chake.00:09:07
00:09:08
Isitoshe, Yosefu akawa mwanamume
mwenye umbo zuri na sura inayopendeza.00:09:14
00:09:14
Sasa baada ya hayo,00:09:17
00:09:17
mke wa bwana wake akaanza kumtupia
jicho Yosefu na kumwambia:00:09:22
00:09:22
Lala nami.00:09:23
00:09:24
Lakini akakataa na kumwambia mke wa bwana wake00:09:29
00:09:29
Tazama, bwana wangu hajui vitu nilivyo navyo nyumbani,00:09:33
00:09:33
naye ameniweka kuwa msimamizi
wa vitu vyake vyote.00:09:36
00:09:36
Hakuna yeyote aliye mkuu zaidi
yangu katika nyumba hii,00:09:39
00:09:39
naye hajanikataza kitu chochote
isipokuwa wewe,00:09:41
00:09:41
kwa sababu wewe ni mke wake.00:09:44
00:09:44
Basi ninawezaje kufanya uovu huu mkubwa00:09:46
00:09:46
na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?00:09:49
00:09:49
Basi siku baada ya siku alizungumza na Yosefu,00:09:52
00:09:52
lakini Yosefu hakukubali kamwe
kulala naye wala kukaakaa naye.00:09:57
00:09:57
Lakini siku moja kati ya siku ambazo Yosefu
aliingia nyumbani kufanya kazi yake,00:10:01
00:10:01
hakukuwa na mtumishi yeyote nyumbani.00:10:05
00:10:05
Basi mke wa Potifa akaishika kwa
nguvu nguo ya Yosefu akisema:00:10:09
00:10:09
Lala nami!00:10:11
00:10:11
Lakini Yosefu akaiacha nguo yake
mikononi mwake na kukimbilia nje.00:10:15
00:10:15
Mara tu mke wa Potifa alipoona kwamba
Yosefu ameiacha nguo yake mikononi mwake00:10:20
00:10:20
na kukimbilia nje, akaanza kulia kwa sauti kubwa00:10:23
00:10:23
na kuwaita wanaume wa nyumbani
mwake na kuwaambia:00:10:26
00:10:26
Tazameni!00:10:27
00:10:27
Alituletea mwanamume huyu Mwebrania
ili tuwe kichekesho.00:10:32
00:10:32
Alikuja kulala nami, lakini nikaanza
kulia kwa sauti yangu yote.00:10:36
00:10:36
Mara tu aliposikia nikilia kwa sauti kubwa00:10:41
00:10:41
na kupiga mayowe,00:10:43
00:10:43
akaiacha nguo yake kando
yangu na kukimbilia nje.00:10:47
00:10:47
Kisha mke wa Potifa akaiweka nguo ya Yosefu00:10:51
00:10:51
kando yake mpaka bwana wake aliporudi.00:10:54
00:10:54
Halafu akamsimulia kisa hicho, akisema:00:10:57
00:10:57
Yule mtumishi Mwebrania uliyetuletea00:11:00
00:11:00
alikuja kunifanya mimi niwe kichekesho.00:11:03
00:11:03
Lakini mara tu nilipoanza kulia kwa sauti kubwa00:11:07
00:11:07
na kupiga mayowe,00:11:09
00:11:09
aliacha nguo yake kando yangu00:11:11
00:11:11
na kukimbilia nje.00:11:13
00:11:13
Punde tu bwana wa Yosefu
alipomsikia mke wake akisema:00:11:17
00:11:17
“Hayo ndiyo mambo ambayo
mtumishi wako alinitendea,”00:11:20
00:11:20
akawaka hasira.00:11:22
00:11:22
Basi bwana wa Yosefu00:11:24
00:11:24
akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani,00:11:27
00:11:27
mahali ambapo wafungwa
wa mfalme walifungwa,00:11:30
00:11:30
akabaki humo gerezani.00:11:32
00:11:32
Lakini Yehova aliendelea
kuwa pamoja na Yosefu,00:11:36
00:11:36
naye akazidi kumtendea
kwa upendo mshikamanifu00:11:39
00:11:39
na kumfanya apate kibali machoni
pa ofisa mkuu wa gereza.00:11:42
00:11:43
Kwa hiyo, ofisa mkuu wa gereza00:11:45
00:11:45
akamweka Yosefu kuwa msimamizi
wa wafungwa wote gerezani,00:11:48
00:11:48
na wa kazi zote walizokuwa wakifanya humo,00:11:51
00:11:51
yeye ndiye aliyehakikisha zimefanywa.00:11:53
00:11:53
Ofisa mkuu wa gereza hakujishughulisha na00:11:56
00:11:56
jambo hata moja lililokuwa chini
ya usimamizi wa Yosefu,00:11:59
00:12:00
kwa maana Yehova alikuwa pamoja na Yosefu00:12:02
00:12:02
na Yehova alifanikisha jambo lolote alilofanya.00:12:06
00:12:08
Yosefu aliendelea kuwa chini
ya utunzaji mzuri wa Yehova,00:12:12
00:12:12
na Yehova alifanikisha kila jambo
ambalo Yosefu alifanya.00:12:16
00:12:17
Kwa nini Yehova alimpenda sana Yosefu?00:12:19
00:12:20
Kwa sababu Yosefu aliendelea kumpenda
Mungu bila kuyumbayumba.00:12:24
00:12:24
Kisa cha Yosefu kinatufundisha kwamba00:12:28
00:12:28
tukidumisha upendo wetu kwa Yehova,00:12:30
00:12:30
Hatatuacha kamwe!00:12:32
00:12:33
Badala yake,00:12:34
00:12:34
atatupatia msaada tunaohitaji00:12:37
00:12:37
kwa wakati mwafaka,
ili tuendelee kuvumilia.00:12:41
00:12:42
Katika simulizi hili,00:12:43
00:12:43
tunaona pia kwamba Yosefu00:12:45
00:12:45
anapewa kazi ya kuwasimamia00:12:46
00:12:46
wafungwa wawili wa pekee—msimamizi
wa vinywaji na mwokaji mkuu wa Farao.00:12:52
00:12:53
Usiku mmoja wote wawili wanaota
ndoto zenye kutatanisha.00:12:57
00:12:58
Yehova anamwezesha Yosefu00:13:00
00:13:00
kufafanua maana ya ndoto hizo
kwa usahihi, nazo zinatimia.00:13:04
00:13:05
Ona kwamba katika Mwanzo 40:14,00:13:09
00:13:09
Yosefu anamsihi hivi msimamizi wa vinywaji:00:13:12
00:13:13
“Unikumbuke mambo yatakapokwendea vema.00:13:15
00:13:16
Tafadhali, nitendee kwa upendo mshikamanifu00:13:19
00:13:19
na umwambie Farao kunihusu,00:13:21
00:13:22
ili anitoe mahali hapa.”00:13:24
00:13:24
Lakini msimamizi huyo alimsahau kabisa Yosefu.00:13:28
00:13:29
Siku moja, Farao mwenyewe anaota ndoto mbili00:13:33
00:13:33
zinazotatanisha—moja kuhusu
ng’ombe walionona00:13:36
00:13:36
wanaoliwa na ng’ombe wengine waliokonda,00:13:39
00:13:39
na nyingine kuhusu masuke mazuri ya nafaka00:13:41
00:13:41
yakimezwa na masuke membamba.00:13:44
00:13:44
Hakuna kuhani au mwanamume yeyote00:13:46
00:13:46
mwenye hekima nchini Misri aliyeweza00:13:49
00:13:49
kueleza maana ya ndoto hizo.00:13:51
00:13:52
Mwishowe, msimamizi wa vinywaji00:13:54
00:13:54
anamwambia Farao kuhusu00:13:56
00:13:56
uwezo wa Yosefu wa kueleza maana ya ndoto.00:13:59
00:13:59
Mara moja Yosefu anaitwa kutoka gerezani.00:14:02
00:14:02
Tunapoendelea na usomaji
wetu kuanzia Mwanzo 41:25,00:14:07
00:14:07
sasa Yosefu ana umri wa miaka 30,00:14:10
00:14:10
na amefika mbele ya mfalme.00:14:12
00:14:14
Ndipo Yosefu akamwambia Farao:00:14:17
00:14:17
Ndoto zako ni ndoto moja, ndoto ileile.00:14:20
00:14:20
Mungu wa kweli amekuambia
mambo atakayofanya.00:14:23
00:14:23
Wale ng’ombe saba wazuri ni miaka saba.00:14:26
00:14:26
Na yale masuke saba mazuri ya
nafaka ni miaka saba pia.00:14:30
00:14:30
Ndoto zako ni ndoto moja, ndoto ileile.00:14:33
00:14:33
Wale ng’ombe saba waliokonda00:14:34
00:14:34
na wenye sura mbaya ambao walipanda00:14:37
00:14:37
baada ya wale wanono, ni miaka saba,00:14:39
00:14:39
na yale masuke saba ya nafaka yaliyo matupu,00:14:42
00:14:42
yaliyochomwa na upepo wa mashariki,00:14:44
00:14:44
yanamaanisha miaka saba ya njaa kali.00:14:47
00:14:48
Hivi ndivyo nilivyokuambia, Ee Farao:00:14:50
00:14:50
Mungu wa kweli amekuonyesha
mambo atakayofanya.00:14:53
00:14:53
“Kutakuwa na miaka saba ya chakula
kingi sana katika nchi yote ya Misri.00:14:57
00:14:57
Lakini baada ya miaka hiyo,00:14:59
00:14:59
hakika kutakuwa na miaka saba ya njaa kali,00:15:02
00:15:02
nanyi hakika mtasahau chakula kingi sana00:15:04
00:15:04
kilichokuwa katika nchi ya Misri,00:15:06
00:15:06
na njaa hiyo kali itaiharibu nchi.00:15:09
00:15:09
Nanyi hamtakumbuka chakula kingi sana00:15:11
00:15:11
kilichokuwa nchini kwa sababu ya njaa kali00:15:14
00:15:14
itakayofuata, kwa maana itakuwa kali sana.00:15:17
00:15:17
Ee Farao, ulionyeshwa ndoto hiyo mara mbili00:15:21
00:15:21
kwa sababu Mungu wa kweli
amekusudia kabisa jambo hilo,00:15:24
00:15:24
na Mungu wa kweli atalitimiza hivi karibuni.00:15:27
00:15:29
Yosefu anapanga mkakati madhubuti
wa kukabiliana na njaa kali inayokuja.00:15:34
00:15:34
Farao anafurahishwa sana
na ufafanuzi wa Yosefu00:15:37
00:15:37
na ushauri wake mzuri hivi kwamba00:15:39
00:15:39
anamweka rasmi Yosefu kuwa
mtawala wa Misri yote,00:15:44
00:15:44
wa pili kwa cheo baada yake!00:15:47
00:15:48
Miaka minane baadaye,00:15:50
00:15:50
njaa kali inatokea katika eneo hilo.00:15:53
00:15:53
Familia ya Yosefu inaathirika pia.00:15:56
00:15:56
Yakobo anawatuma wanawe00:15:58
00:15:58
wakajaribu kununua chakula Misri.00:16:00
00:16:01
Wana kumi wa Yakobo wanaenda Misri.00:16:04
00:16:04
Hata hivyo, mwanawe mdogo
Benjamini, anabaki nyumbani.00:16:09
00:16:09
Ndugu kumi wa Yosefu wanakutana00:16:12
00:16:12
na Yosefu na kumwinamia,00:16:13
00:16:13
na hivyo kutimiza ndoto ya Yosefu
ya miaka mingi mapema.00:16:17
00:16:18
Yosefu anawatambua ndugu zake,00:16:20
00:16:21
lakini wao hawamtambui.00:16:23
00:16:25
Anazungumza nao kwa Kimisri kupitia
mkalimani ili kuwaficha yeye ni nani.00:16:31
00:16:32
Sasa Yosefu ana uamuzi wa kufanya.00:16:35
00:16:36
Je, atatumia mamlaka yake kufanya
maisha ya ndugu zake kuwa magumu?00:16:40
00:16:41
Je, atawafukuza bila kujali,00:16:43
00:16:43
kwamba hawastahili kupata msaada wake?00:16:46
00:16:46
Au atatafuta fursa yoyote ya
kufanya amani pamoja nao?00:16:50
00:16:51
Je, ataiga upendo mshikamanifu wa Yehova?00:16:54
00:16:55
Wewe ungefanya nini?00:16:57
00:16:58
Yosefu anataka kujua ikiwa mtazamo wao00:17:01
00:17:01
umebadilika au bado wana chuki na wivu.00:17:05
00:17:06
Hivyo, anawatuhumu kuwa wapelelezi na00:17:10
00:17:10
kuwaambia kwamba atamtia kifungoni00:17:11
00:17:11
ndugu yao Simeoni hadi
watakapomleta Benjamini.00:17:16
00:17:17
Acheni tusome Mwanzo 42:21-24.00:17:23
00:17:24
Bila shaka tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu,00:17:28
00:17:28
kwa sababu tuliyaona mateso yake alipotusihi
tumhurumie, lakini hatukumsikiliza.00:17:35
00:17:35
Ndiyo sababu tunateseka hivi.00:17:37
00:17:38
Kisha Rubeni akawaambia:00:17:40
00:17:40
Je, sikuwaambia, ‘Msimdhuru mtoto,’
lakini hamkunisikiliza?00:17:45
00:17:47
Sasa kwa hakika tunadaiwa damu yake.00:17:50
00:17:51
Lakini hawakujua kwamba Yosefu
alielewa mambo waliyokuwa wakisema,00:17:55
00:17:55
kwa sababu aliongea nao kupitia mkalimani.00:17:58
00:17:58
Basi akaenda mbali nao na kuanza kulia.00:18:01
00:18:01
Aliporudi na kuzungumza nao,00:18:03
00:18:03
alimchukua Simeoni kutoka kati yao00:18:06
00:18:06
na kumfunga mbele ya macho yao.00:18:07
00:18:09
Rubeni anajutia mambo mabaya waliyomfanyia Yosefu.00:18:13
00:18:13
Lakini je, Rubeni na ndugu
zake wanajutia kosa lao kikweli?00:18:18
00:18:19
Ili kujua, Yosefu anawaagiza ndugu
zake warudi Kanaani na kumleta Misri,00:18:25
00:18:25
Benjamini, ndugu yao mdogo.00:18:27
00:18:28
Yakobo anaitikiaje anaposikia kuhusu
agizo la kumpeleka Benjamini Misri?00:18:33
00:18:34
Mwanzo 42:36, 37 inajibu:00:18:39
00:18:41
Mmefanya nifiwe!00:18:42
00:18:43
Yosefu hayupo, Simeoni naye hayupo,00:18:46
00:18:47
na sasa mnataka kumchukua Benjamini!00:18:49
00:18:49
Mambo hayo yote yamenijia mimi!00:18:52
00:18:53
Lakini Rubeni akamwambia baba yake:00:18:55
00:18:56
Unaweza kuwaua wanangu wawili nisipomrudisha kwako.00:18:59
00:19:01
Mweke chini ya uangalizi wangu,00:19:02
00:19:03
nami nitamrudisha kwako.00:19:04
00:19:06
Yakobo anakataa katakata!00:19:09
00:19:09
Hawezi kamwe kuruhusu Benjamini aondoke.00:19:12
00:19:13
Hata hivyo, katika mwaka wa pili wa njaa,00:19:16
00:19:16
nyumba ya Yakobo inaishiwa na chakula.00:19:20
00:19:21
Je, sasa Yakobo atashawishika kumruhusu Benjamini00:19:25
00:19:25
aandamane na ndugu zake kwenda
Misri wakatafute chakula?00:19:29
00:19:29
Acheni tupate jibu kwenye
Mwanzo 43:8-10, 13, na 14.00:19:37
00:19:38
Kisha Yuda akamsihi Israeli baba yake:00:19:41
00:19:41
Niruhusu niende na mvulana huyu,00:19:43
00:19:43
acha twende zetu ili tuishi tusije00:19:46
00:19:46
tukafa—wewe na sisi na watoto wetu.00:19:50
00:19:50
Nitakuwa dhamana kwa ajili ya ulinzi wake.00:19:52
00:19:52
Nitawajibika kwako.00:19:54
00:19:54
Nisipomrudisha na kukukabidhi,00:19:56
00:19:56
nitakuwa nimekutendea dhambi ya kudumu.00:19:58
00:19:59
Lakini ikiwa hatungalikawia, kufikia sasa00:20:02
00:20:02
tungalikuwa tumefika huko na kurudi mara mbili.00:20:05
00:20:05
Mchukueni ndugu yenu mwende,00:20:07
00:20:07
rudini kwa mtu huyo.00:20:10
00:20:10
Mungu Mweza-Yote na amchochee mtu huyo awahurumie,00:20:15
00:20:15
ili awaruhusu mrudi na00:20:16
00:20:16
yule ndugu yenu mwingine na Benjamini.00:20:19
00:20:20
Lakini ikiwa ni lazima nifiwe, basi nitafiwa!00:20:24
00:20:26
Ingawa hapo awali Yuda hakumtendea kwa fadhili00:20:30
00:20:30
Yosefu mwana mpendwa wa baba yake,00:20:32
00:20:33
sasa yuko tayari kuwajibika kikamili00:20:36
00:20:36
ili kumlinda Benjamini mwana
mpendwa wa baba yake.00:20:39
00:20:40
Basi Yakobo anawaruhusu wanawe warudi Misri,00:20:44
00:20:44
na kumpelekea Yosefu zawadi kubwa.00:20:47
00:20:47
Tuendelee na usomaji wa Mwanzo 43:26-30.00:20:52
00:20:54
Yosefu alipoingia nyumbani,00:20:56
00:20:56
wakampelekea zawadi yao00:20:59
00:20:59
na kuinama kifudifudi mbele yake.00:21:00
00:21:02
Baba yenu aliyezeeka mliyeniambia00:21:03
00:21:03
habari zake anaendeleaje?00:21:05
00:21:06
Je, angali hai?00:21:07
00:21:08
Wakamjibu:00:21:09
00:21:09
Baba yetu ambaye ni mtumishi wako ni mzima.00:21:13
00:21:13
Angali hai.00:21:14
00:21:14
Kisha wakainama chini na kuanguka kifudifudi.00:21:18
00:21:19
Alipoinua macho yake na kumwona
Benjamini ndugu yake,00:21:22
00:21:22
mwana wa mama yake, akasema:00:21:25
00:21:25
Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo
mliyeniambia habari zake?00:21:29
00:21:30
Kisha akamwambia:00:21:31
00:21:31
Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.00:21:35
00:21:35
Halafu Yosefu akatoka nje haraka00:21:37
00:21:37
kwa sababu alilemewa na hisia
alipomwona ndugu yake,00:21:40
00:21:40
akatafuta mahali pa kulilia.00:21:43
00:21:43
Kwa hiyo akaingia katika chumba cha faragha00:21:45
00:21:45
na kulia huku akitokwa na machozi.00:21:48
00:21:49
Yosefu anataka kujua vizuri hisia zao halisi,00:21:52
00:21:52
hivyo anawajaribu. Jinsi gani?00:21:55
00:21:56
Yosefu anawaambia watumishi wake00:21:58
00:21:58
wajaze chakula kwenye
mifuko ya ndugu zake.00:22:01
00:22:02
Pia, anawaambia waweke kisiri
kikombe chake cha pekee cha fedha00:22:06
00:22:06
kwenye mfuko wa Benjamini.00:22:08
00:22:08
Wanapoondoka na kusafiri umbali mfupi,00:22:12
00:22:12
Yosefu anawatuma watumishi wake wawafuate.00:22:15
00:22:15
Wanapowafikia, watumishi hao wanawauliza:00:22:19
00:22:19
‘Kwa nini mmeiba kikombe cha fedha cha bwana wetu?’00:22:22
00:22:23
Ndugu za Yosefu wanakataa kabisa kwamba00:22:27
00:22:27
wameiba na kuwaambia:00:22:29
00:22:29
‘Muueni yeyote kati yetu mtakayemkuta na kikombe hicho.’00:22:33
00:22:34
Basi watumishi hao wakapekua mifuko yote,00:22:37
00:22:37
na kukipata kikombe hicho
kwenye mfuko wa Benjamini!00:22:40
00:22:40
Kwa huzuni, ndugu hao wanararua mavazi yao.00:22:45
00:22:45
Wakiwa wamevurugika kabisa,00:22:47
00:22:47
wanarudi kwa Yosefu wakiwa na Benjamini.00:22:50
00:22:51
Akiwa amejiangusha chini mbele ya Yosefu,00:22:54
00:22:55
Yuda anamwambia:00:22:56
00:22:56
“Mungu wa kweli amefichua kosa
letu sisi watumwa wako.00:23:00
00:23:00
Sasa sisi ni watumwa wako bwana wetu.”00:23:03
00:23:04
Yosefu anaendelea kuwajaribu,00:23:06
00:23:06
anawajibu hivi kwa uthabiti:00:23:08
00:23:09
‘Ninyi wengine, rudini nyumbani,00:23:12
00:23:12
lakini lazima Benjamini abaki
hapa kuwa mtumwa wangu!’00:23:16
00:23:17
Yuda anamsihi, ‘Nikirudi kwa baba yangu bila Benjamini,00:23:21
00:23:22
hakika baba yangu atakufa na00:23:24
00:23:24
nitakuwa nimemtendea dhambi milele.’00:23:27
00:23:28
Yuda hayuko tayari kumsababishia baba yake00:23:31
00:23:31
maumivu ya kumpoteza mwana
wake mwingine mpendwa,00:23:35
00:23:35
hivyo anajitolea kuwa mtumwa
badala ya Benjamini.00:23:39
00:23:40
Acheni tusome jinsi Yosefu alivyolemewa
na hisia kwenye Mwanzo 45:1-15:00:23:47
00:23:48
Ndipo Yosefu akashindwa kujizuia mbele ya watumishi wake wote.00:23:53
00:23:53
Basi akasema kwa sauti kubwa:00:23:55
00:23:55
Mwondoeni kila mtu mbele yangu!00:23:58
00:23:58
Hakuna yeyote aliyebaki pamoja na Yosefu00:24:01
00:24:01
alipokuwa akijitambulisha kwa ndugu zake.00:24:03
00:24:03
Kisha akaanza kulia kwa sauti kubwa hivi00:24:06
00:24:06
kwamba Wamisri wakamsikia na00:24:08
00:24:08
watu wa nyumba ya Farao wakamsikia.00:24:10
00:24:10
Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake:00:24:13
00:24:13
Mimi ni Yosefu.00:24:14
00:24:15
Je, baba yangu angali hai?00:24:18
00:24:18
Lakini ndugu zake wakashindwa kabisa kumjibu,00:24:21
00:24:21
kwa sababu walishtuka sana kusikia hivyo.00:24:24
00:24:24
Basi Yosefu akawaambia ndugu zake:00:24:27
00:24:27
Tafadhali, nikaribieni.00:24:30
00:24:30
Basi wakamkaribia.00:24:32
00:24:33
Kisha akawaambia:00:24:35
00:24:35
Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.00:24:40
00:24:40
Lakini sasa msikasirike wala kulaumiana kwa00:24:44
00:24:44
kuniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma00:24:47
00:24:47
huku niwatangulie ili kuokoa uhai.00:24:49
00:24:50
Huu ni mwaka wa pili wa njaa kali nchini,00:24:53
00:24:53
na bado kuna miaka mitano ambayo00:24:55
00:24:55
watu hawataweza kulima wala kuvuna.00:24:58
00:24:58
Lakini Mungu alinituma niwatangulie ili00:25:01
00:25:01
niwahifadhie ninyi wazao watakaobaki duniani00:25:04
00:25:04
na ili mwendelee kuwa hai kupitia ukombozi mkubwa.00:25:07
00:25:07
Hivyo basi, si ninyi mlionituma hapa, bali ni00:25:12
00:25:12
Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mshauri mkuu00:25:15
00:25:15
wa Farao na msimamizi wa nyumba yake yote00:25:19
00:25:19
na mtawala wa nchi yote ya Misri.00:25:21
00:25:22
Rudini upesi kwa baba yangu, mkamwambie,00:25:25
00:25:25
“Mwana wako Yosefu amesema hivi:00:25:28
00:25:29
‘Mungu ameniweka kuwa
msimamizi wa nchi yote ya Misri.00:25:31
00:25:32
Shuka uje kwangu. Usikawie.00:25:36
00:25:36
Utaishi katika nchi ya Gosheni,00:25:38
00:25:39
utakuwa karibu nami—wewe, wana wako,00:25:44
00:25:44
wajukuu wako, makundi yako, mifugo yako,00:25:48
00:25:48
na kila kitu ulicho nacho.00:25:49
00:25:50
Nitakupa chakula huko,00:25:52
00:25:52
kwa maana bado kuna miaka mitano ya njaa kali.00:25:55
00:25:56
La sivyo, utakuwa maskini, wewe na00:25:59
00:25:59
nyumba yako na kila kitu ulicho nacho.’”00:26:02
00:26:03
Ninyi pamoja na ndugu yangu Benjamini00:26:05
00:26:05
mnajionea wenyewe kwamba kwa kweli00:26:08
00:26:08
ni mimi ninayezungumza nanyi.00:26:10
00:26:11
Kwa hiyo mnapaswa kumwambia baba yangu00:26:13
00:26:13
kuhusu utukufu wangu wote
nchini Misri na kila kitu mlichoona.00:26:18
00:26:18
Sasa fanyeni haraka mkamteremshe huku baba yangu.00:26:22
00:26:23
Kisha akamkumbatia Benjamini ndugu yake na00:26:26
00:26:26
kuanza kulia, naye Benjamini akalia
huku akiwa amemkumbatia shingoni.00:26:31
00:26:31
Akawabusu ndugu zake wote na kuwalilia.00:26:35
00:26:36
Basi, Yakobo pamoja na watu 7000:26:39
00:26:39
wa familia yake, wanashuka kwenda Misri.00:26:42
00:26:42
Farao anawapatia nchi ya Gosheni ili waishi humo.00:26:46
00:26:46
Kwa miaka 215, wazao wa Yakobo00:26:50
00:26:50
wanaishi Misri mpaka siku ambayo00:26:52
00:26:52
watu milioni tatu au zaidi wanapita00:26:56
00:26:56
katikati ya kuta za maji ya Bahari Nyekundu00:26:58
00:26:58
iliyotenganishwa na hatimaye kumiliki Nchi ya Ahadi.00:27:01
00:27:01
Yehova alimtumia Yosefu kuulinda uzao00:27:04
00:27:04
ambao ungemtokeza Masihi.00:27:06
00:27:07
Simulizi la Yosefu linatufundisha nini?00:27:10
00:27:11
Hata iwe alikabili hali gani, Yosefu00:27:14
00:27:14
alimwonyesha Yehova upendo mshikamanifu.00:27:17
00:27:18
Kwa miaka mingi, alikumbwa na tatizo moja00:27:20
00:27:20
baada ya lingine, lakini hakuwahi kuwa na kinyongo.00:27:24
00:27:25
Leo, huenda tusiweze kuzuia matatizo00:27:28
00:27:28
yanayotukabili katika mfumo huu mwovu.00:27:31
00:27:31
Lakini tunaweza kuchagua jinsi00:27:33
00:27:33
tutakavyoyashughulikia.00:27:35
00:27:35
Tunakataa kumkasirikia Yehova.00:27:38
00:27:38
Tunampenda Yehova, na tumeazimia00:27:41
00:27:41
kuthibitisha upendo wetu kwake kwa kukataa00:27:44
00:27:44
mwenendo wowote unaoweza kumwumiza.00:27:47
00:27:48
Baadaye, hali za Yosefu zilipobadilika,00:27:51
00:27:51
aliitendea familia yake kwa upendo mshikamanifu00:27:55
00:27:55
licha ya kwamba ndugu zake walimtendea isivyo haki.00:27:58
00:27:58
Isitoshe, upendo mshikamanifu wa Yosefu00:28:01
00:28:01
kwa familia yake ulitimiza unabii fulani!00:28:04
00:28:04
Katika siku za Abrahamu, babu ya Yosefu,00:28:07
00:28:07
Yehova alikuwa ameweka wakati hususa wa00:28:10
00:28:10
kuwakomboa watu Wake—miaka 430 kamili baadaye.00:28:15
00:28:15
Ikiwa Yosefu hangeitendea familia yake00:28:18
00:28:18
kwa upendo mshikamanifu,00:28:20
00:28:20
unabii huo ungetimizwaje?00:28:22
00:28:22
Ni wazi kwamba mbele za Yehova,00:28:24
00:28:24
kuwatendea ndugu zetu kwa00:28:25
00:28:25
upendo mshikamanifu ni jambo zito.00:28:28
00:28:28
Basi ndugu yako wa kiroho akikuumiza,00:28:30
00:28:31
usishawishike kuwaambia wengine00:28:33
00:28:33
mambo mabaya kumhusu au kumuumiza00:28:36
00:28:36
kwa kumtendea jambo fulani baya.00:28:38
00:28:39
Jitahidi kadiri uwezavyo kurudisha amani.00:28:42
00:28:43
Ukweli ni kwamba Yehova anawapenda ndugu zetu.00:28:46
00:28:46
Wanastahili upendo wetu mshikamanifu pia!00:28:49
00:28:50
Katika simulizi hili,00:28:52
00:28:52
kielelezo bora cha upendo mshikamanifu ni Yehova.00:28:55
00:28:55
Yosefu aliachwa na familia yake,00:28:57
00:28:57
akachongewa na mke wa mwajiri wake,00:28:59
00:28:59
na mwishowe akatupwa gerezani;00:29:01
00:29:01
lakini Yehova “aliendelea kuwa pamoja na00:29:04
00:29:04
Yosefu, naye akazidi kumtendea00:29:07
00:29:07
kwa upendo mshikamanifu.”00:29:09
00:29:10
Kwa nini?00:29:10
00:29:11
Aliona kwamba Yosefu aliendelea kuwa00:29:13
00:29:13
mshikamanifu, basi akamtendea kwa ushikamanifu.00:29:17
00:29:18
Jinsi Yehova alivyomtendea Yosefu kulionyesha00:29:21
00:29:21
pia upendo wake mshikamanifu kwa taifa la Israeli.00:29:24
00:29:24
Yehova alimtumia Yosefu kuilinda familia yake,00:29:28
00:29:28
na kwa njia hiyo akalinda uzao ambao00:29:30
00:29:30
ungemtokeza Masihi na kuhakikisha kwamba00:29:33
00:29:33
ahadi Yake ya kuwakomboa00:29:34
00:29:34
Waisraeli ilitimizwa kwa wakati mwafaka.00:29:37
00:29:38
Inafariji, sivyo?00:29:40
00:29:40
Wanadamu wasio wakamilifu wanaweza00:29:42
00:29:42
kukutamausha, unaweza kudhihakiwa au00:29:44
00:29:44
hata kuchongewa, au kutendewa isivyo haki.00:29:47
00:29:48
Lakini ukiendelea kuwa mshikamanifu,00:29:50
00:29:50
Yehova hatakuacha kamwe.00:29:52
00:29:52
Hakumsahau kamwe Yosefu,00:29:55
00:29:55
naye hatawasahau kamwe00:29:56
00:29:56
watumishi Wake washikamanifu leo.00:29:59
00:29:59
Shikamana kwa ukaribu na Yehova,00:30:01
00:30:01
naye ataendelea kukutendea wewe00:30:03
00:30:03
kwa upendo mshikamanifu.00:30:07
Yehova Aliendelea Kuonyesha Upendo
-
Yehova Aliendelea Kuonyesha Upendo
Katika mfumo huu wa mambo,
sisi sote hukabili majaribu
Je, wewe hujiuliza ikiwa Yehova
atatenda kwa niaba yako?
Na ikiwa ndivyo, lini?
Tunaweza kuwa na hakika kwamba
Yehova atatutegemeza wakati wa majaribu.
Kwa nini?
Kwa sababu sifa kuu
yenye kugusa moyo sana
ya Yehova, ni upendo.
Ili kujifunza kuhusu sifa hiyo
na jinsi tunavyoweza kuionyesha,
acheni tuchunguze simulizi la
Biblia kuhusu Yosefu.
Yosefu alizaliwa zaidi ya miaka
3,700 iliyopita huko Mesopotamia.
Baba yake alikuwa mzee wa ukoo Yakobo, au Israeli.
Yosefu alikuwa na ndugu nusu kumi
na mwingine waliyezaliwa naye baba
mmoja na mama mmoja, Benjamini.
Akiwa na umri mdogo sana,
Yosefu alikabili matatizo kwa sababu
ndugu zake wakubwa kumi
walikuwa wakimwonea wivu.
Hata hivyo, majaribu ambayo Yosefu alipitia
yalifanya familia yote isife njaa.
Isitoshe, kwa msingi wa majaribu hayo,
tunaweza kupata uzima wa milele.
Ninawaalika mfungue Biblia zenu
mnaposikiliza usomaji wa Mwanzo 37:2-11.
Kijana Yosefu alipokuwa na umri wa miaka 17,
alikuwa akichunga kondoo
pamoja na wana wa Bilha
na wana wa Zilpa, wake za baba yake.
Naye Yosefu akamletea baba yake
habari mbaya kuwahusu.
Sasa Israeli alimpenda sana Yosefu
kuliko wanawe wengine
kwa sababu alimzaa uzeeni,
naye alikuwa amemshonea joho la pekee.
Ndugu zake walipoona kwamba baba yao
alimpenda sana kuliko yeyote miongoni mwao,
wakaanza kumchukia,
na hawakuzungumza
naye kwa amani.
Baadaye Yosefu aliota ndoto na
kuwasimulia ndugu zake,
nao wakapata sababu zaidi ya kumchukia.
Aliwaambia hivi:
Tafadhali sikilizeni ndoto hii niliyoota.
Tulikuwa tukifunga matita ya
masuke katikati ya shamba
kisha tita langu likainuka na kusimama wima,
nayo matita yenu yakalizunguka
tita langu na kuliinamia.
Ndugu zake wakamuuliza:
Je, kweli utajiweka kuwa mfalme
wetu na kututawala?
Basi wakapata sababu
nyingine ya kumchukia,
kwa sababu ya ndoto
zake na mambo aliyosema.
Baada ya hayo akaota tena ndoto nyingine,
naye akawasimulia ndugu zake ndoto hiyo:
Nimeota ndoto nyingine.
Wakati huu jua na mwezi na
nyota 11 zilikuwa zikiniinamia.
Kisha akamsimulia baba yake
na ndugu zake ndoto hiyo,
baba yake akamkemea na kumuuliza:
Ndoto hiyo yako inamaanisha nini?
Je, kweli mimi na pia mama yako
na ndugu zako tutakuja na kukuinamia
mpaka ardhini?
Basi ndugu zake wakazidi kumwonea wivu,
lakini baba yake akayaweka
akilini maneno yake.
Ilikuwa vigumu kwa familia ya Yosefu
kuamini ndoto zake!
Lakini Yakobo ‘anayaweka maneno’
ya Yosefu akilini, yaani, ndoto za Yosefu.
Jinsi gani?
Anaendelea kutafakari kuhusu jambo hilo.
Huenda anatambua kwamba ndoto za
mwanaye zinatoka kwa Yehova.
Hata hivyo, ndugu za Yosefu wanaitikia
kwa njia tofauti.
Fuatana na usomaji wa Mwanzo 37:18-36.
Sasa wakamwona akiwa mbali,
na kabla hajafika karibu,
wakaanza kupanga njama ya kumuua.
Wakaambiana: Tazama!
Ndiye yule mwota-ndoto anakuja.
Haya basi, njooni tumuue na kumtupa
ndani ya shimo moja la maji,
halafu tutasema kwamba aliliwa na
mnyama mkali sana wa mwituni.
Tuone itakuwaje kwa ndoto zake.
Rubeni aliposikia maneno hayo,
alijaribu kumwokoa ili wasimuue.
Akasema: Tusimuue.
Kisha akawaambia:
Msimwage damu.
Mtupeni ndani ya shimo hili la maji
lililo nyikani, lakini msimdhuru.
Rubeni alikusudia kumwokoa
kutoka mikononi mwao ili
amrudishe kwa baba yake.
Mara tu Yosefu alipowafikia ndugu zake,
wakamvua joho lake la pekee,
kisha wakamchukua na kumtupa
ndani ya shimo la maji.
Wakati huo shimo hilo lilikuwa tupu;
halikuwa na maji.
Kisha wakaketi chini ili wale chakula.
Walipoinua macho yao, waliona msafara wa
Waishmaeli ukija kutoka Gileadi.
Ngamia wao walikuwa wamebeba
gundi ya labdanamu,
zeri, na magome yenye utomvu,
nao walikuwa wakiteremka kwenda Misri.
Ndipo Yuda akawaambia ndugu zake:
Tutapata faida gani tukimuua
ndugu yetu na kufunika damu yake?
Haya basi, acheni tumuuze kwa Waishmaeli,
mkono wetu usimguse.
Kwa kweli, yeye ni ndugu
yetu na nyama yetu.
Kwa hiyo wakamsikiliza ndugu yao.
Basi wafanyabiashara hao
Wamidiani walipokuwa wakipita,
ndugu zake walimtoa shimoni na
kumuuza kwa hao Waishmaeli
kwa vipande 20 vya fedha.
Watu hao wakampeleka Yosefu Misri.
Baadaye Rubeni aliporudi kwenye
lile shimo la maji
na kuona kwamba Yosefu hayumo shimoni,
akayararua mavazi yake.
Aliporudi kwa ndugu zake,
alisema kwa mshangao:
Mtoto amepotea!
Sasa mimi—nitafanya nini?
Basi wakalichukua joho la Yosefu,
wakamchinja mbuzi dume na
kulichovya joho hilo
katika damu ya mbuzi huyo.
Kisha wakamtumia baba yao joho hilo
na kumwambia:
Hiki ndicho tulichopata.
Tafadhali chunguza uone ikiwa joho hili
ni la mwanao au la.
Basi akalichunguza na kusema kwa mshtuko:
Ni joho la mwanangu!
Inaonekana ameliwa na mnyama
mkali wa mwituni!
Kwa hakika Yosefu ameraruliwa vipandevipande!
Ndipo Yakobo akayararua mavazi yake
na kuvaa nguo za magunia kiunoni
na kumwombolezea mwanawe kwa siku nyingi.
Na wanawe wote na mabinti zake wote
wakajaribu sana kumfariji,
lakini alikataa kabisa kufarijiwa, akisema:
Nitashuka Kaburini nikimwombolezea mwanangu!
Na baba yake akaendelea kumlilia.
Basi Wamidiani wakamuuza Yosefu
Misri kwa Potifa,
ofisa wa makao ya Farao aliyekuwa
pia mkuu wa walinzi.
Lilikuwa badiliko kubwa sana—kutoka kuwa
mwana mpendwa hadi mtumwa wa hali ya chini!
Hawakushindwa tu kumwonyesha
Yosefu upendo mshikamanifu
bali pia Yakobo baba yao,
na jambo zito hata zaidi
walishindwa kumwonyesha upendo huo Yehova,
Baba yao wa mbinguni.
Ingawa tunamtumikia Yehova kwa uaminifu,
bado tunaweza kutendewa isivyo haki.
Hata nyakati nyingine,
huenda mtu anayetutendea isivyo
haki ni mwamini mwenzetu.
Je, kwa sasa unapitia jaribu kama hilo?
Ukweli ni kwamba
jaribu hilo linakupa fursa ya pekee
ya kuthibitisha jinsi
unavyompenda Yehova.
Jinsi gani?
Fikiria jinsi Yosefu alivyokabili jaribu lake.
Tusikilize Mwanzo 39:1-23.
Basi Yosefu akapelekwa Misri,
na Mmisri aliyeitwa Potifa,
ofisa wa makao ya Farao aliyekuwa
pia mkuu wa walinzi,
akamnunua kutoka kwa Waishmaeli
waliomleta huko.
Lakini Yehova alikuwa pamoja na Yosefu.
Kwa hiyo akafanikiwa na kuwekwa kuwa
msimamizi wa nyumba ya bwana wake,
yule Mmisri.
Bwana wake akaona kwamba Yehova
alikuwa pamoja naye
na kwamba Yehova alikuwa akifanikisha
kila jambo alilokuwa akifanya.
Yosefu akaendelea kupata kibali
machoni pa Potifa,
naye akawa mhudumu wake binafsi.
Kwa hiyo Potifa akamweka kuwa
msimamizi wa nyumba yake,
na wa vitu vyake vyote.
Tangu alipomweka kuwa msimamizi wa
nyumba yake na wa vitu vyake vyote,
Yehova aliendelea kuibariki nyumba
ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu,
na Yehova akabariki vitu vyote alivyokuwa
navyo nyumbani na shambani.
Hatimaye akamwachia Yosefu usimamizi
wa vitu vyake vyote,
naye hakujishughulisha na kitu
chochote isipokuwa chakula chake.
Isitoshe, Yosefu akawa mwanamume
mwenye umbo zuri na sura inayopendeza.
Sasa baada ya hayo,
mke wa bwana wake akaanza kumtupia
jicho Yosefu na kumwambia:
Lala nami.
Lakini akakataa na kumwambia mke wa bwana wake
Tazama, bwana wangu hajui vitu nilivyo navyo nyumbani,
naye ameniweka kuwa msimamizi
wa vitu vyake vyote.
Hakuna yeyote aliye mkuu zaidi
yangu katika nyumba hii,
naye hajanikataza kitu chochote
isipokuwa wewe,
kwa sababu wewe ni mke wake.
Basi ninawezaje kufanya uovu huu mkubwa
na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?
Basi siku baada ya siku alizungumza na Yosefu,
lakini Yosefu hakukubali kamwe
kulala naye wala kukaakaa naye.
Lakini siku moja kati ya siku ambazo Yosefu
aliingia nyumbani kufanya kazi yake,
hakukuwa na mtumishi yeyote nyumbani.
Basi mke wa Potifa akaishika kwa
nguvu nguo ya Yosefu akisema:
Lala nami!
Lakini Yosefu akaiacha nguo yake
mikononi mwake na kukimbilia nje.
Mara tu mke wa Potifa alipoona kwamba
Yosefu ameiacha nguo yake mikononi mwake
na kukimbilia nje, akaanza kulia kwa sauti kubwa
na kuwaita wanaume wa nyumbani
mwake na kuwaambia:
Tazameni!
Alituletea mwanamume huyu Mwebrania
ili tuwe kichekesho.
Alikuja kulala nami, lakini nikaanza
kulia kwa sauti yangu yote.
Mara tu aliposikia nikilia kwa sauti kubwa
na kupiga mayowe,
akaiacha nguo yake kando
yangu na kukimbilia nje.
Kisha mke wa Potifa akaiweka nguo ya Yosefu
kando yake mpaka bwana wake aliporudi.
Halafu akamsimulia kisa hicho, akisema:
Yule mtumishi Mwebrania uliyetuletea
alikuja kunifanya mimi niwe kichekesho.
Lakini mara tu nilipoanza kulia kwa sauti kubwa
na kupiga mayowe,
aliacha nguo yake kando yangu
na kukimbilia nje.
Punde tu bwana wa Yosefu
alipomsikia mke wake akisema:
“Hayo ndiyo mambo ambayo
mtumishi wako alinitendea,”
akawaka hasira.
Basi bwana wa Yosefu
akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani,
mahali ambapo wafungwa
wa mfalme walifungwa,
akabaki humo gerezani.
Lakini Yehova aliendelea
kuwa pamoja na Yosefu,
naye akazidi kumtendea
kwa upendo mshikamanifu
na kumfanya apate kibali machoni
pa ofisa mkuu wa gereza.
Kwa hiyo, ofisa mkuu wa gereza
akamweka Yosefu kuwa msimamizi
wa wafungwa wote gerezani,
na wa kazi zote walizokuwa wakifanya humo,
yeye ndiye aliyehakikisha zimefanywa.
Ofisa mkuu wa gereza hakujishughulisha na
jambo hata moja lililokuwa chini
ya usimamizi wa Yosefu,
kwa maana Yehova alikuwa pamoja na Yosefu
na Yehova alifanikisha jambo lolote alilofanya.
Yosefu aliendelea kuwa chini
ya utunzaji mzuri wa Yehova,
na Yehova alifanikisha kila jambo
ambalo Yosefu alifanya.
Kwa nini Yehova alimpenda sana Yosefu?
Kwa sababu Yosefu aliendelea kumpenda
Mungu bila kuyumbayumba.
Kisa cha Yosefu kinatufundisha kwamba
tukidumisha upendo wetu kwa Yehova,
Hatatuacha kamwe!
Badala yake,
atatupatia msaada tunaohitaji
kwa wakati mwafaka,
ili tuendelee kuvumilia.
Katika simulizi hili,
tunaona pia kwamba Yosefu
anapewa kazi ya kuwasimamia
wafungwa wawili wa pekee—msimamizi
wa vinywaji na mwokaji mkuu wa Farao.
Usiku mmoja wote wawili wanaota
ndoto zenye kutatanisha.
Yehova anamwezesha Yosefu
kufafanua maana ya ndoto hizo
kwa usahihi, nazo zinatimia.
Ona kwamba katika Mwanzo 40:14,
Yosefu anamsihi hivi msimamizi wa vinywaji:
“Unikumbuke mambo yatakapokwendea vema.
Tafadhali, nitendee kwa upendo mshikamanifu
na umwambie Farao kunihusu,
ili anitoe mahali hapa.”
Lakini msimamizi huyo alimsahau kabisa Yosefu.
Siku moja, Farao mwenyewe anaota ndoto mbili
zinazotatanisha—moja kuhusu
ng’ombe walionona
wanaoliwa na ng’ombe wengine waliokonda,
na nyingine kuhusu masuke mazuri ya nafaka
yakimezwa na masuke membamba.
Hakuna kuhani au mwanamume yeyote
mwenye hekima nchini Misri aliyeweza
kueleza maana ya ndoto hizo.
Mwishowe, msimamizi wa vinywaji
anamwambia Farao kuhusu
uwezo wa Yosefu wa kueleza maana ya ndoto.
Mara moja Yosefu anaitwa kutoka gerezani.
Tunapoendelea na usomaji
wetu kuanzia Mwanzo 41:25,
sasa Yosefu ana umri wa miaka 30,
na amefika mbele ya mfalme.
Ndipo Yosefu akamwambia Farao:
Ndoto zako ni ndoto moja, ndoto ileile.
Mungu wa kweli amekuambia
mambo atakayofanya.
Wale ng’ombe saba wazuri ni miaka saba.
Na yale masuke saba mazuri ya
nafaka ni miaka saba pia.
Ndoto zako ni ndoto moja, ndoto ileile.
Wale ng’ombe saba waliokonda
na wenye sura mbaya ambao walipanda
baada ya wale wanono, ni miaka saba,
na yale masuke saba ya nafaka yaliyo matupu,
yaliyochomwa na upepo wa mashariki,
yanamaanisha miaka saba ya njaa kali.
Hivi ndivyo nilivyokuambia, Ee Farao:
Mungu wa kweli amekuonyesha
mambo atakayofanya.
“Kutakuwa na miaka saba ya chakula
kingi sana katika nchi yote ya Misri.
Lakini baada ya miaka hiyo,
hakika kutakuwa na miaka saba ya njaa kali,
nanyi hakika mtasahau chakula kingi sana
kilichokuwa katika nchi ya Misri,
na njaa hiyo kali itaiharibu nchi.
Nanyi hamtakumbuka chakula kingi sana
kilichokuwa nchini kwa sababu ya njaa kali
itakayofuata, kwa maana itakuwa kali sana.
Ee Farao, ulionyeshwa ndoto hiyo mara mbili
kwa sababu Mungu wa kweli
amekusudia kabisa jambo hilo,
na Mungu wa kweli atalitimiza hivi karibuni.
Yosefu anapanga mkakati madhubuti
wa kukabiliana na njaa kali inayokuja.
Farao anafurahishwa sana
na ufafanuzi wa Yosefu
na ushauri wake mzuri hivi kwamba
anamweka rasmi Yosefu kuwa
mtawala wa Misri yote,
wa pili kwa cheo baada yake!
Miaka minane baadaye,
njaa kali inatokea katika eneo hilo.
Familia ya Yosefu inaathirika pia.
Yakobo anawatuma wanawe
wakajaribu kununua chakula Misri.
Wana kumi wa Yakobo wanaenda Misri.
Hata hivyo, mwanawe mdogo
Benjamini, anabaki nyumbani.
Ndugu kumi wa Yosefu wanakutana
na Yosefu na kumwinamia,
na hivyo kutimiza ndoto ya Yosefu
ya miaka mingi mapema.
Yosefu anawatambua ndugu zake,
lakini wao hawamtambui.
Anazungumza nao kwa Kimisri kupitia
mkalimani ili kuwaficha yeye ni nani.
Sasa Yosefu ana uamuzi wa kufanya.
Je, atatumia mamlaka yake kufanya
maisha ya ndugu zake kuwa magumu?
Je, atawafukuza bila kujali,
kwamba hawastahili kupata msaada wake?
Au atatafuta fursa yoyote ya
kufanya amani pamoja nao?
Je, ataiga upendo mshikamanifu wa Yehova?
Wewe ungefanya nini?
Yosefu anataka kujua ikiwa mtazamo wao
umebadilika au bado wana chuki na wivu.
Hivyo, anawatuhumu kuwa wapelelezi na
kuwaambia kwamba atamtia kifungoni
ndugu yao Simeoni hadi
watakapomleta Benjamini.
Acheni tusome Mwanzo 42:21-24.
Bila shaka tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu,
kwa sababu tuliyaona mateso yake alipotusihi
tumhurumie, lakini hatukumsikiliza.
Ndiyo sababu tunateseka hivi.
Kisha Rubeni akawaambia:
Je, sikuwaambia, ‘Msimdhuru mtoto,’
lakini hamkunisikiliza?
Sasa kwa hakika tunadaiwa damu yake.
Lakini hawakujua kwamba Yosefu
alielewa mambo waliyokuwa wakisema,
kwa sababu aliongea nao kupitia mkalimani.
Basi akaenda mbali nao na kuanza kulia.
Aliporudi na kuzungumza nao,
alimchukua Simeoni kutoka kati yao
na kumfunga mbele ya macho yao.
Rubeni anajutia mambo mabaya waliyomfanyia Yosefu.
Lakini je, Rubeni na ndugu
zake wanajutia kosa lao kikweli?
Ili kujua, Yosefu anawaagiza ndugu
zake warudi Kanaani na kumleta Misri,
Benjamini, ndugu yao mdogo.
Yakobo anaitikiaje anaposikia kuhusu
agizo la kumpeleka Benjamini Misri?
Mwanzo 42:36, 37 inajibu:
Mmefanya nifiwe!
Yosefu hayupo, Simeoni naye hayupo,
na sasa mnataka kumchukua Benjamini!
Mambo hayo yote yamenijia mimi!
Lakini Rubeni akamwambia baba yake:
Unaweza kuwaua wanangu wawili nisipomrudisha kwako.
Mweke chini ya uangalizi wangu,
nami nitamrudisha kwako.
Yakobo anakataa katakata!
Hawezi kamwe kuruhusu Benjamini aondoke.
Hata hivyo, katika mwaka wa pili wa njaa,
nyumba ya Yakobo inaishiwa na chakula.
Je, sasa Yakobo atashawishika kumruhusu Benjamini
aandamane na ndugu zake kwenda
Misri wakatafute chakula?
Acheni tupate jibu kwenye
Mwanzo 43:8-10, 13, na 14.
Kisha Yuda akamsihi Israeli baba yake:
Niruhusu niende na mvulana huyu,
acha twende zetu ili tuishi tusije
tukafa—wewe na sisi na watoto wetu.
Nitakuwa dhamana kwa ajili ya ulinzi wake.
Nitawajibika kwako.
Nisipomrudisha na kukukabidhi,
nitakuwa nimekutendea dhambi ya kudumu.
Lakini ikiwa hatungalikawia, kufikia sasa
tungalikuwa tumefika huko na kurudi mara mbili.
Mchukueni ndugu yenu mwende,
rudini kwa mtu huyo.
Mungu Mweza-Yote na amchochee mtu huyo awahurumie,
ili awaruhusu mrudi na
yule ndugu yenu mwingine na Benjamini.
Lakini ikiwa ni lazima nifiwe, basi nitafiwa!
Ingawa hapo awali Yuda hakumtendea kwa fadhili
Yosefu mwana mpendwa wa baba yake,
sasa yuko tayari kuwajibika kikamili
ili kumlinda Benjamini mwana
mpendwa wa baba yake.
Basi Yakobo anawaruhusu wanawe warudi Misri,
na kumpelekea Yosefu zawadi kubwa.
Tuendelee na usomaji wa Mwanzo 43:26-30.
Yosefu alipoingia nyumbani,
wakampelekea zawadi yao
na kuinama kifudifudi mbele yake.
Baba yenu aliyezeeka mliyeniambia
habari zake anaendeleaje?
Je, angali hai?
Wakamjibu:
Baba yetu ambaye ni mtumishi wako ni mzima.
Angali hai.
Kisha wakainama chini na kuanguka kifudifudi.
Alipoinua macho yake na kumwona
Benjamini ndugu yake,
mwana wa mama yake, akasema:
Je, huyu ndiye ndugu yenu mdogo
mliyeniambia habari zake?
Kisha akamwambia:
Mungu na akupe kibali chake, mwanangu.
Halafu Yosefu akatoka nje haraka
kwa sababu alilemewa na hisia
alipomwona ndugu yake,
akatafuta mahali pa kulilia.
Kwa hiyo akaingia katika chumba cha faragha
na kulia huku akitokwa na machozi.
Yosefu anataka kujua vizuri hisia zao halisi,
hivyo anawajaribu. Jinsi gani?
Yosefu anawaambia watumishi wake
wajaze chakula kwenye
mifuko ya ndugu zake.
Pia, anawaambia waweke kisiri
kikombe chake cha pekee cha fedha
kwenye mfuko wa Benjamini.
Wanapoondoka na kusafiri umbali mfupi,
Yosefu anawatuma watumishi wake wawafuate.
Wanapowafikia, watumishi hao wanawauliza:
‘Kwa nini mmeiba kikombe cha fedha cha bwana wetu?’
Ndugu za Yosefu wanakataa kabisa kwamba
wameiba na kuwaambia:
‘Muueni yeyote kati yetu mtakayemkuta na kikombe hicho.’
Basi watumishi hao wakapekua mifuko yote,
na kukipata kikombe hicho
kwenye mfuko wa Benjamini!
Kwa huzuni, ndugu hao wanararua mavazi yao.
Wakiwa wamevurugika kabisa,
wanarudi kwa Yosefu wakiwa na Benjamini.
Akiwa amejiangusha chini mbele ya Yosefu,
Yuda anamwambia:
“Mungu wa kweli amefichua kosa
letu sisi watumwa wako.
Sasa sisi ni watumwa wako bwana wetu.”
Yosefu anaendelea kuwajaribu,
anawajibu hivi kwa uthabiti:
‘Ninyi wengine, rudini nyumbani,
lakini lazima Benjamini abaki
hapa kuwa mtumwa wangu!’
Yuda anamsihi, ‘Nikirudi kwa baba yangu bila Benjamini,
hakika baba yangu atakufa na
nitakuwa nimemtendea dhambi milele.’
Yuda hayuko tayari kumsababishia baba yake
maumivu ya kumpoteza mwana
wake mwingine mpendwa,
hivyo anajitolea kuwa mtumwa
badala ya Benjamini.
Acheni tusome jinsi Yosefu alivyolemewa
na hisia kwenye Mwanzo 45:1-15:
Ndipo Yosefu akashindwa kujizuia mbele ya watumishi wake wote.
Basi akasema kwa sauti kubwa:
Mwondoeni kila mtu mbele yangu!
Hakuna yeyote aliyebaki pamoja na Yosefu
alipokuwa akijitambulisha kwa ndugu zake.
Kisha akaanza kulia kwa sauti kubwa hivi
kwamba Wamisri wakamsikia na
watu wa nyumba ya Farao wakamsikia.
Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake:
Mimi ni Yosefu.
Je, baba yangu angali hai?
Lakini ndugu zake wakashindwa kabisa kumjibu,
kwa sababu walishtuka sana kusikia hivyo.
Basi Yosefu akawaambia ndugu zake:
Tafadhali, nikaribieni.
Basi wakamkaribia.
Kisha akawaambia:
Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.
Lakini sasa msikasirike wala kulaumiana kwa
kuniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma
huku niwatangulie ili kuokoa uhai.
Huu ni mwaka wa pili wa njaa kali nchini,
na bado kuna miaka mitano ambayo
watu hawataweza kulima wala kuvuna.
Lakini Mungu alinituma niwatangulie ili
niwahifadhie ninyi wazao watakaobaki duniani
na ili mwendelee kuwa hai kupitia ukombozi mkubwa.
Hivyo basi, si ninyi mlionituma hapa, bali ni
Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mshauri mkuu
wa Farao na msimamizi wa nyumba yake yote
na mtawala wa nchi yote ya Misri.
Rudini upesi kwa baba yangu, mkamwambie,
“Mwana wako Yosefu amesema hivi:
‘Mungu ameniweka kuwa
msimamizi wa nchi yote ya Misri.
Shuka uje kwangu. Usikawie.
Utaishi katika nchi ya Gosheni,
utakuwa karibu nami—wewe, wana wako,
wajukuu wako, makundi yako, mifugo yako,
na kila kitu ulicho nacho.
Nitakupa chakula huko,
kwa maana bado kuna miaka mitano ya njaa kali.
La sivyo, utakuwa maskini, wewe na
nyumba yako na kila kitu ulicho nacho.’”
Ninyi pamoja na ndugu yangu Benjamini
mnajionea wenyewe kwamba kwa kweli
ni mimi ninayezungumza nanyi.
Kwa hiyo mnapaswa kumwambia baba yangu
kuhusu utukufu wangu wote
nchini Misri na kila kitu mlichoona.
Sasa fanyeni haraka mkamteremshe huku baba yangu.
Kisha akamkumbatia Benjamini ndugu yake na
kuanza kulia, naye Benjamini akalia
huku akiwa amemkumbatia shingoni.
Akawabusu ndugu zake wote na kuwalilia.
Basi, Yakobo pamoja na watu 70
wa familia yake, wanashuka kwenda Misri.
Farao anawapatia nchi ya Gosheni ili waishi humo.
Kwa miaka 215, wazao wa Yakobo
wanaishi Misri mpaka siku ambayo
watu milioni tatu au zaidi wanapita
katikati ya kuta za maji ya Bahari Nyekundu
iliyotenganishwa na hatimaye kumiliki Nchi ya Ahadi.
Yehova alimtumia Yosefu kuulinda uzao
ambao ungemtokeza Masihi.
Simulizi la Yosefu linatufundisha nini?
Hata iwe alikabili hali gani, Yosefu
alimwonyesha Yehova upendo mshikamanifu.
Kwa miaka mingi, alikumbwa na tatizo moja
baada ya lingine, lakini hakuwahi kuwa na kinyongo.
Leo, huenda tusiweze kuzuia matatizo
yanayotukabili katika mfumo huu mwovu.
Lakini tunaweza kuchagua jinsi
tutakavyoyashughulikia.
Tunakataa kumkasirikia Yehova.
Tunampenda Yehova, na tumeazimia
kuthibitisha upendo wetu kwake kwa kukataa
mwenendo wowote unaoweza kumwumiza.
Baadaye, hali za Yosefu zilipobadilika,
aliitendea familia yake kwa upendo mshikamanifu
licha ya kwamba ndugu zake walimtendea isivyo haki.
Isitoshe, upendo mshikamanifu wa Yosefu
kwa familia yake ulitimiza unabii fulani!
Katika siku za Abrahamu, babu ya Yosefu,
Yehova alikuwa ameweka wakati hususa wa
kuwakomboa watu Wake—miaka 430 kamili baadaye.
Ikiwa Yosefu hangeitendea familia yake
kwa upendo mshikamanifu,
unabii huo ungetimizwaje?
Ni wazi kwamba mbele za Yehova,
kuwatendea ndugu zetu kwa
upendo mshikamanifu ni jambo zito.
Basi ndugu yako wa kiroho akikuumiza,
usishawishike kuwaambia wengine
mambo mabaya kumhusu au kumuumiza
kwa kumtendea jambo fulani baya.
Jitahidi kadiri uwezavyo kurudisha amani.
Ukweli ni kwamba Yehova anawapenda ndugu zetu.
Wanastahili upendo wetu mshikamanifu pia!
Katika simulizi hili,
kielelezo bora cha upendo mshikamanifu ni Yehova.
Yosefu aliachwa na familia yake,
akachongewa na mke wa mwajiri wake,
na mwishowe akatupwa gerezani;
lakini Yehova “aliendelea kuwa pamoja na
Yosefu, naye akazidi kumtendea
kwa upendo mshikamanifu.”
Kwa nini?
Aliona kwamba Yosefu aliendelea kuwa
mshikamanifu, basi akamtendea kwa ushikamanifu.
Jinsi Yehova alivyomtendea Yosefu kulionyesha
pia upendo wake mshikamanifu kwa taifa la Israeli.
Yehova alimtumia Yosefu kuilinda familia yake,
na kwa njia hiyo akalinda uzao ambao
ungemtokeza Masihi na kuhakikisha kwamba
ahadi Yake ya kuwakomboa
Waisraeli ilitimizwa kwa wakati mwafaka.
Inafariji, sivyo?
Wanadamu wasio wakamilifu wanaweza
kukutamausha, unaweza kudhihakiwa au
hata kuchongewa, au kutendewa isivyo haki.
Lakini ukiendelea kuwa mshikamanifu,
Yehova hatakuacha kamwe.
Hakumsahau kamwe Yosefu,
naye hatawasahau kamwe
watumishi Wake washikamanifu leo.
Shikamana kwa ukaribu na Yehova,
naye ataendelea kukutendea wewe
kwa upendo mshikamanifu.
-