00:00:15
Tangu wanadamu wa kwanza00:00:17
00:00:17
walipomkataa Yehova00:00:18
00:00:18
Mungu kuwa Mtawala00:00:19
00:00:19
ulimwengu wetu umejaa00:00:21
00:00:21
uovu na kuteseka.00:00:23
00:00:23
Lakini Yesu alitupatia tumaini.00:00:26
00:00:26
Alifundisha kwamba akiwa00:00:28
00:00:28
Mfalme wa Ufalme wa Mungu,00:00:30
00:00:30
atarudisha amani na haki duniani.00:00:32
00:00:32
Ufalme huo ungeanza00:00:34
00:00:34
kutawala lini?00:00:35
00:00:35
Kulingana na Biblia,00:00:37
00:00:37
tayari Ufalme huo00:00:38
00:00:38
umeanza kutawala.00:00:40
00:00:40
Tunajuaje?00:00:41
00:00:41
Fikiria jambo lililotekea00:00:43
00:00:43
zaidi ya miaka 2,600 iliyopita.00:00:46
00:00:47
Yehova Mungu00:00:48
00:00:48
alimfanya Nebukadneza00:00:50
00:00:50
Mfalme wa Babiloni la kale00:00:52
00:00:52
aote ndoto ya kinabii.00:00:54
00:00:54
Katika ndoto hiyo,00:00:56
00:00:56
Nebkadneza aliona00:00:58
00:00:58
mti mrefu sana uliofika mbinguni.00:01:00
00:01:00
Mti huo ulikatwa,00:01:02
00:01:02
lakini kisiki chake kikabaki ardhini.00:01:05
00:01:05
Baada ya kipindi cha “nyakati saba”00:01:07
00:01:07
mti huo ulikua tena.00:01:10
00:01:11
Biblia inaonyesha kwamba00:01:13
00:01:13
ndoto hiyo ingetimizwa kwa njia mbili.00:01:15
00:01:16
Kwanza ingetimizwa00:01:18
00:01:18
kuhusiana na Mfalme Nebukadneza.00:01:20
00:01:20
Alikuwa mashuhuri00:01:21
00:01:21
na mwenye nguvu sana.00:01:23
00:01:23
kama mti huo mrefu uliofika mbinguni.00:01:26
00:01:25
lakini alikatwa kwa “nyakati saba.”00:01:29
00:01:29
Hilo lilitokea wakati Nebukadneza00:01:32
00:01:32
alipokuwa wazimu kwa miaka 7.00:01:35
00:01:35
Katika kipindi hicho00:01:36
00:01:36
hangeweza kutawala akiwa Mfalme.00:01:39
00:01:39
Baada ya nyakati hizo saba00:01:42
00:01:42
Nebukadneza alirudiwa na akili00:01:45
00:01:45
akaanza kutawala tena.00:01:46
00:01:47
Huo ulikuwa utimizo wa00:01:49
00:01:49
kwanza wa unabii huu.00:01:51
00:01:51
Unabii huo ulitimizwaje00:01:53
00:01:53
kwa njia ya pili?00:01:54
00:01:54
Ni kuhusiana na utawala wa Mungu.00:01:57
00:01:58
Biblia inasema,00:01:59
00:01:59
Wafalme katika Israeli ya kale,00:02:02
00:02:02
waliketi kwenye kiti00:02:03
00:02:03
cha Ufalme cha Yehova.00:02:05
00:02:05
Yaani, walimwakilisha Mungu00:02:08
00:02:08
na utawala wake.00:02:09
00:02:10
Lakini wengi wa wafalme hao00:02:14
00:02:14
walikosa kumtii Yehova00:02:16
00:02:16
na pia wengi kati ya00:02:18
00:02:18
raia wao hawakumtii.00:02:19
00:02:19
Kwa sababu ya kutotii00:02:21
00:02:21
Mungu aliruhusu Waisraeli00:02:24
00:02:24
washindwe na Wababiloni00:02:25
00:02:25
ambao waliharibu jiji la Yerusalemu00:02:28
00:02:28
mwaka wa 607 K.W.K.00:02:32
00:02:32
Tangu wakati huo,00:02:33
00:02:33
hakuna wafalme waliomwakilisha00:02:35
00:02:35
Yehova huko Yerusalemu.00:02:38
00:02:37
Basi 607 K.W.K00:02:41
00:02:41
ulikuwa mwanzo00:02:42
00:02:42
wa zile “nyakati saba”00:02:44
00:02:44
au kipindi ambacho00:02:46
00:02:46
utawala wa Mungu ungekatizwa.00:02:48
00:02:48
Kipindi hicho kingeendelea00:02:49
00:02:49
mpaka Yehova00:02:50
00:02:50
amweke Mfalme mpya00:02:52
00:02:52
ambaye angemwakilisha,00:02:54
00:02:54
Mfalme aliye mbinguni.00:02:56
00:02:57
Hilo lingetokea lini?00:02:58
00:02:59
Katika utimizo wa pili wa unabii huo00:03:02
00:03:02
zile nyakati saba00:03:04
00:03:04
zingekuwa kipindi kirefu00:03:05
00:03:05
kuliko miaka 7.00:03:07
00:03:07
Tunajuaje?00:03:08
00:03:08
Kwanza, miaka 7 baada ya00:03:11
00:03:11
Yerusalemu kuharibiwa00:03:12
00:03:12
hakuna jambo muhimu lililotokea00:03:15
00:03:15
kuhusiana na utawala wa Mungu.00:03:17
00:03:17
Na karne nyingi baadaye,00:03:19
00:03:19
Yesu alionyesha00:03:20
00:03:20
kwamba zile “nyakati saba”00:03:22
00:03:22
hazikuwa zimeisha.00:03:24
00:03:24
Katika unabii kuhusu siku za mwisho00:03:27
00:03:27
Yesu alisema kwamba00:03:29
00:03:29
utawala wa Mungu au Yerusalemu00:03:32
00:03:31
“litakanyagwakanyagwa na mataifa00:03:34
00:03:34
mpaka nyakati zilizowekwa00:03:36
00:03:36
za mataifa zitimie.”00:03:37
00:03:38
“Nyakati zilizowekwa za mataifa”00:03:41
00:03:41
ni sawa na zile “nyakati saba.”00:03:43
00:03:44
Nyakati hizo zingekwisha lini?00:03:46
00:03:48
Kitabu cha Biblia cha00:03:49
00:03:49
Ufunuo kinasema kwamba00:03:51
00:03:51
“nyakati tatu na nusu”00:03:53
00:03:53
ni sawa na siku 1,260.00:03:56
00:03:56
Basi nyakati saba00:03:58
00:03:58
ni mara mbili ya idadi hiyo00:04:00
00:04:00
au siku 2,520.00:04:03
00:04:03
Katika unabii wa Biblia, siku moja00:04:06
00:04:06
inaweza kuwakilisha mwaka mmoja.00:04:09
00:04:09
Ndivyo ilivyo kuhusu00:04:10
00:04:10
ule unabii wa “nyakati saba”00:04:13
00:04:13
zinawakilisha miaka 2,520.00:04:18
00:04:19
Tukianzia mwaka wa 607 K.W.K00:04:23
00:04:23
miaka 2,52000:04:26
00:04:26
inatufikisha kwenye mwaka wa 191400:04:29
00:04:29
mwaka ambao zile00:04:31
00:04:31
“nyakati saba” zilikwisha00:04:32
00:04:32
na Yesu akaanza kutawala mbinguni00:04:35
00:04:35
akiwa Mfalme wa Ufalme wa Mungu.00:04:37
00:04:37
Huo ulikuwa mwanzo wa00:04:39
00:04:39
kipindi ambacho Biblia inakiita00:04:41
00:04:41
“siku za mwisho.”00:04:43
00:04:43
Hivi karibuni,00:04:44
00:04:44
Yesu atamaliza kazi ya00:04:46
00:04:46
kuwakusanya watawala wenzake00:04:48
00:04:48
wajiunge naye mbinguni.00:04:50
00:04:50
Kisha, Ufalme wa Mungu00:04:52
00:04:52
utaondoa matatizo yote00:04:53
00:04:53
yanayotupata sisi na familia zetu.00:04:57
00:04:56
Wazia ukiishi wakati huo00:04:59
00:04:59
chini ya utawala wa Mfalme00:05:01
00:05:01
ambaye anakujali sana.00:05:03
Ufalme wa Mungu Ulianza Kutawala Mwaka wa 1914
-
Ufalme wa Mungu Ulianza Kutawala Mwaka wa 1914
Tangu wanadamu wa kwanza
walipomkataa Yehova
Mungu kuwa Mtawala
ulimwengu wetu umejaa
uovu na kuteseka.
Lakini Yesu alitupatia tumaini.
Alifundisha kwamba akiwa
Mfalme wa Ufalme wa Mungu,
atarudisha amani na haki duniani.
Ufalme huo ungeanza
kutawala lini?
Kulingana na Biblia,
tayari Ufalme huo
umeanza kutawala.
Tunajuaje?
Fikiria jambo lililotekea
zaidi ya miaka 2,600 iliyopita.
Yehova Mungu
alimfanya Nebukadneza
Mfalme wa Babiloni la kale
aote ndoto ya kinabii.
Katika ndoto hiyo,
Nebkadneza aliona
mti mrefu sana uliofika mbinguni.
Mti huo ulikatwa,
lakini kisiki chake kikabaki ardhini.
Baada ya kipindi cha “nyakati saba”
mti huo ulikua tena.
Biblia inaonyesha kwamba
ndoto hiyo ingetimizwa kwa njia mbili.
Kwanza ingetimizwa
kuhusiana na Mfalme Nebukadneza.
Alikuwa mashuhuri
na mwenye nguvu sana.
kama mti huo mrefu uliofika mbinguni.
lakini alikatwa kwa “nyakati saba.”
Hilo lilitokea wakati Nebukadneza
alipokuwa wazimu kwa miaka 7.
Katika kipindi hicho
hangeweza kutawala akiwa Mfalme.
Baada ya nyakati hizo saba
Nebukadneza alirudiwa na akili
akaanza kutawala tena.
Huo ulikuwa utimizo wa
kwanza wa unabii huu.
Unabii huo ulitimizwaje
kwa njia ya pili?
Ni kuhusiana na utawala wa Mungu.
Biblia inasema,
Wafalme katika Israeli ya kale,
waliketi kwenye kiti
cha Ufalme cha Yehova.
Yaani, walimwakilisha Mungu
na utawala wake.
Lakini wengi wa wafalme hao
walikosa kumtii Yehova
na pia wengi kati ya
raia wao hawakumtii.
Kwa sababu ya kutotii
Mungu aliruhusu Waisraeli
washindwe na Wababiloni
ambao waliharibu jiji la Yerusalemu
mwaka wa 607 K.W.K.
Tangu wakati huo,
hakuna wafalme waliomwakilisha
Yehova huko Yerusalemu.
Basi 607 K.W.K
ulikuwa mwanzo
wa zile “nyakati saba”
au kipindi ambacho
utawala wa Mungu ungekatizwa.
Kipindi hicho kingeendelea
mpaka Yehova
amweke Mfalme mpya
ambaye angemwakilisha,
Mfalme aliye mbinguni.
Hilo lingetokea lini?
Katika utimizo wa pili wa unabii huo
zile nyakati saba
zingekuwa kipindi kirefu
kuliko miaka 7.
Tunajuaje?
Kwanza, miaka 7 baada ya
Yerusalemu kuharibiwa
hakuna jambo muhimu lililotokea
kuhusiana na utawala wa Mungu.
Na karne nyingi baadaye,
Yesu alionyesha
kwamba zile “nyakati saba”
hazikuwa zimeisha.
Katika unabii kuhusu siku za mwisho
Yesu alisema kwamba
utawala wa Mungu au Yerusalemu
“litakanyagwakanyagwa na mataifa
mpaka nyakati zilizowekwa
za mataifa zitimie.”
“Nyakati zilizowekwa za mataifa”
ni sawa na zile “nyakati saba.”
Nyakati hizo zingekwisha lini?
Kitabu cha Biblia cha
Ufunuo kinasema kwamba
“nyakati tatu na nusu”
ni sawa na siku 1,260.
Basi nyakati saba
ni mara mbili ya idadi hiyo
au siku 2,520.
Katika unabii wa Biblia, siku moja
inaweza kuwakilisha mwaka mmoja.
Ndivyo ilivyo kuhusu
ule unabii wa “nyakati saba”
zinawakilisha miaka 2,520.
Tukianzia mwaka wa 607 K.W.K
miaka 2,520
inatufikisha kwenye mwaka wa 1914
mwaka ambao zile
“nyakati saba” zilikwisha
na Yesu akaanza kutawala mbinguni
akiwa Mfalme wa Ufalme wa Mungu.
Huo ulikuwa mwanzo wa
kipindi ambacho Biblia inakiita
“siku za mwisho.”
Hivi karibuni,
Yesu atamaliza kazi ya
kuwakusanya watawala wenzake
wajiunge naye mbinguni.
Kisha, Ufalme wa Mungu
utaondoa matatizo yote
yanayotupata sisi na familia zetu.
Wazia ukiishi wakati huo
chini ya utawala wa Mfalme
ambaye anakujali sana.
-