00:00:02
Utangulizi wa 2 Samweli 00:00:05
00:00:06
Katika maandishi ya awali00:00:08
00:00:08
ya Kiebrania,00:00:09
00:00:09
Samweli cha Kwanza na cha Pili00:00:11
00:00:11
vilikuwa kitabu kimoja.00:00:13
00:00:13
Nabii Gadi na Nathani00:00:15
00:00:15
ambao walikamilisha kuandika00:00:16
00:00:16
1 Samweli00:00:18
00:00:18
waliandika 2 Samweli.00:00:20
00:00:20
Simulizi hilo linazungumzia00:00:22
00:00:22
mambo yaliyotendeka katika00:00:23
00:00:23
kipindi cha miaka 37.00:00:26
00:00:26
Kuanzia 1077 hadi 1040 K.W.K.00:00:31
00:00:32
2 Samweli kinaanza00:00:33
00:00:33
na masimulizi ya00:00:34
00:00:34
punde tu baada ya00:00:35
00:00:35
Mfalme Sauli kufa.00:00:36
00:00:37
Na kwisha kabla tu00:00:38
00:00:38
ya kifo cha Mfalme Daudi.00:00:39
00:00:41
Kitabu hicho kinasimulia 00:00:42
00:00:42
maisha ya Daudi kwa unyoofu 00:00:43
00:00:43
na kwa njia ya wazi.00:00:45
00:00:45
Alivyojitahidi kumtumikia Yehova00:00:47
00:00:47
kwa moyo wake wote.00:00:49
00:00:51
Katika sura ya 1,00:00:53
00:00:53
Daudi anapata habari00:00:54
00:00:54
zenye kuhuzunisha.00:00:55
00:00:55
Sauli na Yonathani mwanawe00:00:58
00:00:58
wamekufa vitani.00:00:59
00:01:00
Akiwa na huzuni nyingi00:01:01
00:01:01
Daudi anatunga wimbo00:01:02
00:01:02
wa maombolezo,00:01:03
00:01:03
na anauita “Upinde.”00:01:05
00:01:07
Sehemu inayosalia ya 00:01:08
00:01:08
2 Samweli inaweza00:01:10
00:01:10
kugawanywa mara mbili.00:01:11
00:01:12
Sura ya 2 hadi ya 400:01:14
00:01:14
inazungumzia Daudi akiwa00:01:15
00:01:15
mfalme juu ya Yuda.00:01:16
00:01:17
Na sura ya 5 hadi 2400:01:19
00:01:19
zinazungumzia Daudi00:01:20
00:01:20
akiwa Mfalme wa Israeli yote.00:01:22
00:01:23
Katika sura ya 2,00:01:24
00:01:24
Daudi anaenda Hebroni00:01:25
00:01:25
ambapo anatawazwa kuwa00:01:27
00:01:27
mfalme juu ya Yuda.00:01:28
00:01:30
Wakati huohuo00:01:31
00:01:31
Abneri, mkuu wa jeshi la Sauli00:01:33
00:01:33
anamtawaza Ish-boshethi,00:01:34
00:01:34
mwana wa Sauli kuwa mfalme00:01:35
00:01:35
juu ya makabila yale mengine.00:01:37
00:01:39
Hata hivyo, katika sura ya 3 na ya 400:01:41
00:01:41
Abneri na Ish-boshethi wanauawa,00:01:43
00:01:44
na katika sura inayofuata00:01:45
00:01:45
watu wanamtawaza Daudi00:01:47
00:01:47
kuwa mfalme juu ya Israeli yote.00:01:49
00:01:51
Kisha Daudi anateka00:01:52
00:01:52
ngome ya Wayebusi ya Sayuni,00:01:54
00:01:54
na anahamisha mji mkuu kwenda huko00:01:57
00:01:57
kutoka Hebroni.00:01:58
00:01:58
Sayuni linakuja kujulikana pia00:02:00
00:02:00
kama jiji la Daudi.00:02:02
00:02:02
Katika sura ya 6,00:02:04
00:02:04
Daudi analileta00:02:05
00:02:05
sanduku la agano Yerusalemu.00:02:07
00:02:08
Katika sura ya 7,00:02:10
00:02:10
Daudi anamwambia Nathani 00:02:11
00:02:11
kwamba angependa00:02:12
00:02:12
kumjengea Yehova nyumba00:02:14
00:02:14
au hekalu.00:02:15
00:02:15
Lakini Mungu anasema00:02:16
00:02:16
pendeleo hilo litakuwa la00:02:18
00:02:18
mwana wa wakati ujao wa mfalme.00:02:20
00:02:21
Hata hivyo, kwa kuwa00:02:22
00:02:22
Mungu anampenda Daudi00:02:23
00:02:23
anafanya agano naye00:02:25
00:02:25
kwa ajili ya Ufalme00:02:26
00:02:26
utakaodumu miele.00:02:27
00:02:29
Sura ya 8 na ya 10,00:02:31
00:02:31
zinazungumzia ushindi wa Daudi00:02:33
00:02:33
dhidi ya Waamaleki,00:02:34
00:02:34
Wamoabu,00:02:36
00:02:36
Wafilisti,00:02:37
00:02:37
na maadui wengine.00:02:38
00:02:39
Sura ya 11,00:02:41
00:02:41
inatusimulia00:02:42
00:02:42
pindi yenye kuhuzunisha zaidi00:02:44
00:02:44
katika maisha ya Daudi.00:02:45
00:02:45
Anafanya uzinzi na Bath-sheba00:02:47
00:02:47
ambaye ansika ujauzito00:02:49
00:02:49
kisha Daudi anafanya mume wake,00:02:51
00:02:51
Uria auawe vitani.00:02:53
00:02:53
Katika sura ya 12,00:02:55
00:02:55
kwa mwongozo wa Yehova00:02:57
00:02:57
Nathani anamkaripia Daudi.00:02:59
00:03:00
Pia, anasema kwamba00:03:01
00:03:01
nyumba ya Daudi00:03:01
00:03:01
itapatwa na msiba.00:03:03
00:03:03
Na kwamba mtoto aliyetoka00:03:04
00:03:04
kuzaliwa na Bath-sheba atakufa.00:03:07
00:03:08
Bath-sheba ambaye00:03:09
00:03:09
sasa ni mke wa Daudi,00:03:10
00:03:10
anashika tena ujauzito00:03:12
00:03:12
na kujifungua mwana00:03:13
00:03:13
anayeitwa Sulemani.00:03:15
00:03:16
Katika sura ya 13 hadi ya 18,00:03:19
00:03:19
misiba iliyotabiriwa dhidi ya00:03:21
00:03:21
nyumba ya Daudi inaanza.00:03:23
00:03:23
Absalomu, mwana wa Daudi00:03:25
00:03:25
anapanga njama ya kunyakua utawala.00:03:27
00:03:27
Na Daudi analazimika00:03:29
00:03:29
kukimbia kutoka Yerusalemu.00:03:31
00:03:32
Katika sura ya 18,00:03:33
00:03:33
wanaume wa Daudi00:03:35
00:03:35
wanawashinda wanaume wa Absalomu.00:03:37
00:03:37
Naye Yoabu anamuua Absalomu.00:03:39
00:03:42
Je, ulijua?00:03:44
00:03:44
Samweli 2 kinafunua00:03:46
00:03:46
unyoofu wa Biblia kwa njia ya pekee.00:03:48
00:03:49
Hata makosa ya viongozi wa Israeli 00:03:51
00:03:51
yanafunuliwa waziwazi.00:03:53
00:03:53
Tunaona pia kwamba00:03:55
00:03:55
watenda-dhambi wanaotubu kikweli00:03:57
00:03:57
wanaweza kusamehewa00:03:59
00:03:59
licha ya kwamba00:04:00
00:04:00
watapatwa na madhara.00:04:01
00:04:05
Katika sura ya 23,00:04:07
00:04:07
kwa unyenyekevu Daudi anasema:00:04:09
00:04:09
“Roho ya Yehova00:04:10
00:04:10
ilisema kupitia mimi;00:04:12
00:04:12
Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.00:04:15
00:04:16
Katika sura ya 24,00:04:18
00:04:18
Daudi anachochewa00:04:19
00:04:19
kuliandikisha taifa lote.00:04:21
00:04:21
Tendo hilo baya linamkasirisha Yehova,00:04:24
00:04:24
naye akawapiga watu00:04:26
00:04:26
kwa ugonjwa hatari.00:04:27
00:04:27
Akifuata mwongozo wa Nathani,00:04:30
00:04:30
Daudi ananunua uwanja00:04:31
00:04:31
wa kupuria nafaka00:04:32
00:04:32
wa Arauna Myebusi,00:04:34
00:04:34
anajenga madhabahu hapo00:04:36
00:04:36
na kumtolea Mungu dhabihu.00:04:38
00:04:39
Kwa amri ya Yehova,00:04:41
00:04:41
ugonjwa wa hatari00:04:42
00:04:42
uliowakumba Waisraeli unakomeshwa.00:04:44
00:04:46
Unaposoma 2 Samweli00:04:48
00:04:48
Ona jinsi manabii wa Mungu00:04:49
00:04:49
walivyorekodi historia ya Israeli00:04:51
00:04:51
kwa unyooofu.00:04:52
00:04:53
Ona jinsi dhambi inavyoweza00:04:55
00:04:55
kuwa na matokeo mabaya sana.00:04:57
00:04:58
Na uone ahadi ya Mungu00:04:59
00:04:59
ya kumpa Daudi ufalme wa kudumu,00:05:02
00:05:02
ahadi iliyotimizwa na Yesu Kristo,00:05:05
00:05:05
“Mwana wa Daudi”00:05:06
00:05:06
na Mfalme wa Ufalme wa Mungu.00:05:09
Utangulizi wa 2 Samweli
-
Utangulizi wa 2 Samweli
Utangulizi wa 2 Samweli
Katika maandishi ya awali
ya Kiebrania,
Samweli cha Kwanza na cha Pili
vilikuwa kitabu kimoja.
Nabii Gadi na Nathani
ambao walikamilisha kuandika
1 Samweli
waliandika 2 Samweli.
Simulizi hilo linazungumzia
mambo yaliyotendeka katika
kipindi cha miaka 37.
Kuanzia 1077 hadi 1040 K.W.K.
2 Samweli kinaanza
na masimulizi ya
punde tu baada ya
Mfalme Sauli kufa.
Na kwisha kabla tu
ya kifo cha Mfalme Daudi.
Kitabu hicho kinasimulia
maisha ya Daudi kwa unyoofu
na kwa njia ya wazi.
Alivyojitahidi kumtumikia Yehova
kwa moyo wake wote.
Katika sura ya 1,
Daudi anapata habari
zenye kuhuzunisha.
Sauli na Yonathani mwanawe
wamekufa vitani.
Akiwa na huzuni nyingi
Daudi anatunga wimbo
wa maombolezo,
na anauita “Upinde.”
Sehemu inayosalia ya
2 Samweli inaweza
kugawanywa mara mbili.
Sura ya 2 hadi ya 4
inazungumzia Daudi akiwa
mfalme juu ya Yuda.
Na sura ya 5 hadi 24
zinazungumzia Daudi
akiwa Mfalme wa Israeli yote.
Katika sura ya 2,
Daudi anaenda Hebroni
ambapo anatawazwa kuwa
mfalme juu ya Yuda.
Wakati huohuo
Abneri, mkuu wa jeshi la Sauli
anamtawaza Ish-boshethi,
mwana wa Sauli kuwa mfalme
juu ya makabila yale mengine.
Hata hivyo, katika sura ya 3 na ya 4
Abneri na Ish-boshethi wanauawa,
na katika sura inayofuata
watu wanamtawaza Daudi
kuwa mfalme juu ya Israeli yote.
Kisha Daudi anateka
ngome ya Wayebusi ya Sayuni,
na anahamisha mji mkuu kwenda huko
kutoka Hebroni.
Sayuni linakuja kujulikana pia
kama jiji la Daudi.
Katika sura ya 6,
Daudi analileta
sanduku la agano Yerusalemu.
Katika sura ya 7,
Daudi anamwambia Nathani
kwamba angependa
kumjengea Yehova nyumba
au hekalu.
Lakini Mungu anasema
pendeleo hilo litakuwa la
mwana wa wakati ujao wa mfalme.
Hata hivyo, kwa kuwa
Mungu anampenda Daudi
anafanya agano naye
kwa ajili ya Ufalme
utakaodumu miele.
Sura ya 8 na ya 10,
zinazungumzia ushindi wa Daudi
dhidi ya Waamaleki,
Wamoabu,
Wafilisti,
na maadui wengine.
Sura ya 11,
inatusimulia
pindi yenye kuhuzunisha zaidi
katika maisha ya Daudi.
Anafanya uzinzi na Bath-sheba
ambaye ansika ujauzito
kisha Daudi anafanya mume wake,
Uria auawe vitani.
Katika sura ya 12,
kwa mwongozo wa Yehova
Nathani anamkaripia Daudi.
Pia, anasema kwamba
nyumba ya Daudi
itapatwa na msiba.
Na kwamba mtoto aliyetoka
kuzaliwa na Bath-sheba atakufa.
Bath-sheba ambaye
sasa ni mke wa Daudi,
anashika tena ujauzito
na kujifungua mwana
anayeitwa Sulemani.
Katika sura ya 13 hadi ya 18,
misiba iliyotabiriwa dhidi ya
nyumba ya Daudi inaanza.
Absalomu, mwana wa Daudi
anapanga njama ya kunyakua utawala.
Na Daudi analazimika
kukimbia kutoka Yerusalemu.
Katika sura ya 18,
wanaume wa Daudi
wanawashinda wanaume wa Absalomu.
Naye Yoabu anamuua Absalomu.
Je, ulijua?
Samweli 2 kinafunua
unyoofu wa Biblia kwa njia ya pekee.
Hata makosa ya viongozi wa Israeli
yanafunuliwa waziwazi.
Tunaona pia kwamba
watenda-dhambi wanaotubu kikweli
wanaweza kusamehewa
licha ya kwamba
watapatwa na madhara.
Katika sura ya 23,
kwa unyenyekevu Daudi anasema:
“Roho ya Yehova
ilisema kupitia mimi;
Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.
Katika sura ya 24,
Daudi anachochewa
kuliandikisha taifa lote.
Tendo hilo baya linamkasirisha Yehova,
naye akawapiga watu
kwa ugonjwa hatari.
Akifuata mwongozo wa Nathani,
Daudi ananunua uwanja
wa kupuria nafaka
wa Arauna Myebusi,
anajenga madhabahu hapo
na kumtolea Mungu dhabihu.
Kwa amri ya Yehova,
ugonjwa wa hatari
uliowakumba Waisraeli unakomeshwa.
Unaposoma 2 Samweli
Ona jinsi manabii wa Mungu
walivyorekodi historia ya Israeli
kwa unyooofu.
Ona jinsi dhambi inavyoweza
kuwa na matokeo mabaya sana.
Na uone ahadi ya Mungu
ya kumpa Daudi ufalme wa kudumu,
ahadi iliyotimizwa na Yesu Kristo,
“Mwana wa Daudi”
na Mfalme wa Ufalme wa Mungu.
-