00:00:01
Utangulizi wa kitabu cha Wagalatia.00:00:04
00:00:06
Mutume Paulo aliandika hii barua wakati wa safari yake ya pili ya umisionere ao kisha,00:00:11
00:00:11
inawezekana aliiandika na iko Korinto ao Siria ya Antiokia.00:00:15
00:00:16
Hata kama Paulo alizoea kutumia muandishi ili kuandika barua zake,00:00:20
00:00:20
yeye mwenyewe njo aliandikia Wagalatia barua.00:00:23
00:00:23
Kitabu cha Wagalatia kiliandikwa mu mwaka wa 50 mupaka 52 hivi.00:00:29
00:00:31
Ulijua?00:00:32
00:00:33
Galatia ilikuwa Jimbo la Roma lenye lilikuwa kwenye sehemu ya katikati ya eneo lenye linajulikana leo kuwa Turquie.00:00:39
00:00:40
Inawezekana, makutaniko ya Galatia yenye Paulo
aliandikia ilitia ndani ile ya Antiokia ya Pisidia,00:00:47
00:00:47
Ikoniamu, Listra na Derbe.00:00:50
00:00:53
Paulo aliandika hii barua juu ya kupinga walimu wa uongo wenye walikuwa wanafundisha kama00:00:58
00:00:59
kufuata Sheria ya Musa ilikuwa sehemu ya maana ya Ukristo wa kweli.00:01:02
00:01:04
Barua kwa Wagalatia iko na sura sita.00:01:07
00:01:08
Mu sura ya 1, Paulo anafasiria namna aliacha dini ya Wayahudi na kuwa Mukristo.00:01:13
00:01:15
Anakumbusha Wagalatia kama00:01:17
00:01:17
Yesu Kristo njo alimufunulia mambo yenye aliwafundisha00:01:20
00:01:21
na kama hawakupaswa kuacha ile mafundisho.00:01:23
00:01:24
Mu sura ya 2 na ya 3,00:01:26
00:01:26
Paulo anaonyesha kama haiko “matendo ya sheria” njo inafanya mutu akuwe mwenye haki.00:01:31
00:01:32
Anaita Sheria kuwa “mulinzi” mwenye aliongoza watu kwa Kristo.00:01:36
00:01:36
Kumuamini Yesu njo kunafanya mutu akuwe mwenye haki.00:01:39
00:01:41
Paulo anafasiria kama uzao wa kiroho wa Abrahamu ni Kristo na wale wenye watatawala pamoja naye.00:01:47
00:01:48
Wagalatia walikuwa mu hatari ya kuwa watumwa wa mafundisho ya watu,00:01:52
00:01:52
kwa hiyo, Paulo anawapatia angalisho mu sura ya 4 mupaka 6.00:01:57
00:01:58
Mu sura ya 4, Paulo anazungumuzia historia ya mufano,00:02:01
00:02:02
anatumia mufano wa Hagari na Sara na watoto wao, Ismaeli na Isaka..00:02:07
00:02:08
Hagari na Ismaeli wanafananisha Yerusalemu la hapa ku dunia na wakaaji wake wenye walikuwa watumwa wa sheria ya Musa.00:02:15
00:02:16
Sara na Isaka wanafananisha “Yerusalemu la juu”—sehemu ya mbinguni ya tengenezo la Yehova—00:02:23
00:02:24
na watoto wake ni wakristo watiwa-mafuta, ni kusema, wana wenye kuwa huru wa Mungu.00:02:29
00:02:32
Lakini Paulo anatoa angalisho kama,00:02:34
00:02:34
ule uhuru haupaswe kutumiwa kama kisingizio cha kufanya mambo ya mubaya.00:02:39
00:02:40
Anaonyesha tofauti kati ya matendo ya mwili na tunda la roho ya Mungu,00:02:44
00:02:44
na anafundisha kama kile tunapanda na njo kile tutavuna.00:02:48
00:02:51
Wakati unasoma barua kwa Wagalatia,00:02:54
00:02:54
ona namna Wakristo wanatangazwa kuwa wenye haki kupitia imani,00:02:58
00:02:58
namna wale wenye wanaonyesha tunda la roho wanapata baraka,00:03:02
00:03:03
na namna Paulo anafasiria kama00:03:05
00:03:05
uzao wa kiroho wa Abrahamu
ni Kristo Yesu na wale wenye watatawala pamoja naye00:03:10
00:03:10
mu Ufalme wake wa milele.00:03:12
Utangulizi wa Kitabu cha Wagalatia
-
Utangulizi wa Kitabu cha Wagalatia
Utangulizi wa kitabu cha Wagalatia.
Mutume Paulo aliandika hii barua wakati wa safari yake ya pili ya umisionere ao kisha,
inawezekana aliiandika na iko Korinto ao Siria ya Antiokia.
Hata kama Paulo alizoea kutumia muandishi ili kuandika barua zake,
yeye mwenyewe njo aliandikia Wagalatia barua.
Kitabu cha Wagalatia kiliandikwa mu mwaka wa 50 mupaka 52 hivi.
Ulijua?
Galatia ilikuwa Jimbo la Roma lenye lilikuwa kwenye sehemu ya katikati ya eneo lenye linajulikana leo kuwa Turquie.
Inawezekana, makutaniko ya Galatia yenye Paulo
aliandikia ilitia ndani ile ya Antiokia ya Pisidia,
Ikoniamu, Listra na Derbe.
Paulo aliandika hii barua juu ya kupinga walimu wa uongo wenye walikuwa wanafundisha kama
kufuata Sheria ya Musa ilikuwa sehemu ya maana ya Ukristo wa kweli.
Barua kwa Wagalatia iko na sura sita.
Mu sura ya 1, Paulo anafasiria namna aliacha dini ya Wayahudi na kuwa Mukristo.
Anakumbusha Wagalatia kama
Yesu Kristo njo alimufunulia mambo yenye aliwafundisha
na kama hawakupaswa kuacha ile mafundisho.
Mu sura ya 2 na ya 3,
Paulo anaonyesha kama haiko “matendo ya sheria” njo inafanya mutu akuwe mwenye haki.
Anaita Sheria kuwa “mulinzi” mwenye aliongoza watu kwa Kristo.
Kumuamini Yesu njo kunafanya mutu akuwe mwenye haki.
Paulo anafasiria kama uzao wa kiroho wa Abrahamu ni Kristo na wale wenye watatawala pamoja naye.
Wagalatia walikuwa mu hatari ya kuwa watumwa wa mafundisho ya watu,
kwa hiyo, Paulo anawapatia angalisho mu sura ya 4 mupaka 6.
Mu sura ya 4, Paulo anazungumuzia historia ya mufano,
anatumia mufano wa Hagari na Sara na watoto wao, Ismaeli na Isaka..
Hagari na Ismaeli wanafananisha Yerusalemu la hapa ku dunia na wakaaji wake wenye walikuwa watumwa wa sheria ya Musa.
Sara na Isaka wanafananisha “Yerusalemu la juu”—sehemu ya mbinguni ya tengenezo la Yehova—
na watoto wake ni wakristo watiwa-mafuta, ni kusema, wana wenye kuwa huru wa Mungu.
Lakini Paulo anatoa angalisho kama,
ule uhuru haupaswe kutumiwa kama kisingizio cha kufanya mambo ya mubaya.
Anaonyesha tofauti kati ya matendo ya mwili na tunda la roho ya Mungu,
na anafundisha kama kile tunapanda na njo kile tutavuna.
Wakati unasoma barua kwa Wagalatia,
ona namna Wakristo wanatangazwa kuwa wenye haki kupitia imani,
namna wale wenye wanaonyesha tunda la roho wanapata baraka,
na namna Paulo anafasiria kama
uzao wa kiroho wa Abrahamu
ni Kristo Yesu na wale wenye watatawala pamoja naye
mu Ufalme wake wa milele.
-