00:00:02
Utangulizi wa kitabu cha Wafilipi.00:00:05
00:00:07
Mtume Paulo aliandika barua hii00:00:09
00:00:09
iliyoongozwa na roho00:00:11
00:00:11
akiwa Roma,00:00:12
00:00:12
ambako alikuwa akitumikia00:00:13
00:00:13
kifungo cha nyumbani.00:00:14
00:00:15
Aliandika barua hiyo00:00:16
00:00:16
mwaka wa 60 au 61 W.K.00:00:19
00:00:21
Miaka kadhaa mapema,00:00:23
00:00:23
katika ziara yake ya pili ya umishonari,00:00:25
00:00:25
Paulo alikuwa amepokea00:00:26
00:00:26
maono akiwa Troa.00:00:28
00:00:29
Mwanamume Mmakedonia00:00:30
00:00:30
alimsihi hivi:00:00:31
00:00:31
“Vuka uingie Makedonia utusaidie.”00:00:34
00:00:36
Hivyo mwaka wa 50 hivi W.K.,00:00:39
00:00:39
Paulo na waandamani wake00:00:41
00:00:41
walianza kuhubiri habari njema00:00:42
00:00:42
katika jiji la Makedonia la Filipi.00:00:45
00:00:46
Paulo alianzisha kutaniko huko,00:00:48
00:00:48
lakini alikabili upinzani.00:00:50
00:00:52
Yeye na Sila walipigwa kwa fimbo00:00:55
00:00:55
na kutupwa gerezani,00:00:56
00:00:56
ambako miguu yao00:00:58
00:00:58
ilifungwa katika mikatale.00:00:59
00:01:02
Paulo alirudi Filipi wakati wa00:01:04
00:01:04
ziara yake ya tatu ya umishonari.00:01:06
00:01:06
Barua yake kwa kutaniko hilo00:01:08
00:01:08
inaonyesha00:01:09
00:01:09
kifungo cha pekee cha upendo00:01:11
00:01:11
kilichokuwepo kati yake na00:01:13
00:01:13
akina ndugu huko Filipi.00:01:14
00:01:17
Barua kwa Wafilipi ina sura nne.00:01:20
00:01:21
Katika sura ya 1,00:01:23
00:01:23
Paulo aliandika kwamba00:01:24
00:01:24
kifungo chake jijini Roma00:01:26
00:01:26
kilisaidia00:01:27
00:01:27
“kuendeleza habari njema.”00:01:29
00:01:29
Ujasiri wa mtume huyo00:01:31
00:01:31
chini ya upinzani00:01:32
00:01:32
uliwaimarisha ndugu wengine00:01:34
00:01:34
kuendelea kutangaza00:01:35
00:01:35
neno la Mungu bila woga.00:01:37
00:01:39
Katika sura ya 2,00:01:40
00:01:40
Paulo anawatia moyo Wafilipi00:01:42
00:01:42
waendelee kuiga mtazamo wa Kristo.00:01:45
00:01:47
Kisha anawapongeza Wafilipi00:01:49
00:01:49
kwa “[kuangaza]00:01:50
00:01:50
kama mianga katika ulimwengu.”00:01:52
00:01:54
Je, ulijua?00:01:56
00:01:56
Muda fulani mapema,00:01:57
00:01:58
Wafilipi walimtuma00:01:59
00:01:59
Epafrodito ampelekee00:02:00
00:02:00
Paulo zawadi huko Roma.00:02:02
00:02:02
Baadaye,00:02:03
00:02:03
Paulo alimtuma Epafrodito00:02:05
00:02:05
kwenda Filipi,00:02:05
00:02:06
akamkabidhi barua yake00:02:07
00:02:07
iliyoongozwa na roho00:02:08
00:02:08
kwa kutaniko hilo.00:02:09
00:02:12
Katika sura ya 3,00:02:13
00:02:13
Paulo anaonya kuhusu wale00:02:15
00:02:15
waliokuwa na00:02:15
00:02:15
“uhakika katika mwili,”00:02:17
00:02:17
inaonekana ni kwa sababu00:02:19
00:02:19
walijivunia kuwa Wayahudi.00:02:20
00:02:21
Paulo anasema kuwa faida zozote00:02:23
00:02:23
alizopata akiwa Farisayo00:02:25
00:02:25
anaziona kuwa takataka00:02:27
00:02:27
zikilinganishwa na pendeleo00:02:28
00:02:28
la kumjua Kristo00:02:30
00:02:30
na kuwa katika muungano naye.00:02:32
00:02:33
Katika sura ya 4,00:02:34
00:02:34
Wafilipi wanakumbushwa00:02:36
00:02:36
“[wasihangaike] kuhusiana na00:02:38
00:02:38
jambo lolote,”00:02:39
00:02:39
lakini wajipatie00:02:41
00:02:41
“amani ya Mungu”00:02:42
00:02:42
kwa kutoa sala,00:02:43
00:02:43
dua,00:02:44
00:02:44
na shukrani.00:02:45
00:02:45
Pia,00:02:46
00:02:46
Paulo analishukuru kutaniko hilo00:02:48
00:02:48
kwa ukarimu wao wa00:02:49
00:02:49
kumwandalia mahitaji ya kimwili.00:02:51
00:02:52
Unaposoma barua kwa Wafilipi,00:02:55
00:02:55
ona jinsi00:02:56
00:02:56
kudumisha ushikamanifu tunapojaribiwa00:02:58
00:02:58
kunavyoweza kuwatia moyo00:02:59
00:02:59
wengine kubaki imara,00:03:01
00:03:01
jinsi Neno la Mungu00:03:03
00:03:03
na roho yake inavyoweza kutusaidia00:03:05
00:03:05
kuiga mtazamo wa akili wa Kristo,00:03:07
00:03:07
na jinsi wale wanaosali00:03:09
00:03:09
kwa Mungu kutoka moyoni00:03:11
00:03:11
wanavyopata amani ya kweli00:03:13
00:03:13
huku wakiusubiri00:03:14
00:03:14
utawala wa Ufalme wake.00:03:16
Utangulizi wa Wafilipi
-
Utangulizi wa Wafilipi
Utangulizi wa kitabu cha Wafilipi.
Mtume Paulo aliandika barua hii
iliyoongozwa na roho
akiwa Roma,
ambako alikuwa akitumikia
kifungo cha nyumbani.
Aliandika barua hiyo
mwaka wa 60 au 61 W.K.
Miaka kadhaa mapema,
katika ziara yake ya pili ya umishonari,
Paulo alikuwa amepokea
maono akiwa Troa.
Mwanamume Mmakedonia
alimsihi hivi:
“Vuka uingie Makedonia utusaidie.”
Hivyo mwaka wa 50 hivi W.K.,
Paulo na waandamani wake
walianza kuhubiri habari njema
katika jiji la Makedonia la Filipi.
Paulo alianzisha kutaniko huko,
lakini alikabili upinzani.
Yeye na Sila walipigwa kwa fimbo
na kutupwa gerezani,
ambako miguu yao
ilifungwa katika mikatale.
Paulo alirudi Filipi wakati wa
ziara yake ya tatu ya umishonari.
Barua yake kwa kutaniko hilo
inaonyesha
kifungo cha pekee cha upendo
kilichokuwepo kati yake na
akina ndugu huko Filipi.
Barua kwa Wafilipi ina sura nne.
Katika sura ya 1,
Paulo aliandika kwamba
kifungo chake jijini Roma
kilisaidia
“kuendeleza habari njema.”
Ujasiri wa mtume huyo
chini ya upinzani
uliwaimarisha ndugu wengine
kuendelea kutangaza
neno la Mungu bila woga.
Katika sura ya 2,
Paulo anawatia moyo Wafilipi
waendelee kuiga mtazamo wa Kristo.
Kisha anawapongeza Wafilipi
kwa “[kuangaza]
kama mianga katika ulimwengu.”
Je, ulijua?
Muda fulani mapema,
Wafilipi walimtuma
Epafrodito ampelekee
Paulo zawadi huko Roma.
Baadaye,
Paulo alimtuma Epafrodito
kwenda Filipi,
akamkabidhi barua yake
iliyoongozwa na roho
kwa kutaniko hilo.
Katika sura ya 3,
Paulo anaonya kuhusu wale
waliokuwa na
“uhakika katika mwili,”
inaonekana ni kwa sababu
walijivunia kuwa Wayahudi.
Paulo anasema kuwa faida zozote
alizopata akiwa Farisayo
anaziona kuwa takataka
zikilinganishwa na pendeleo
la kumjua Kristo
na kuwa katika muungano naye.
Katika sura ya 4,
Wafilipi wanakumbushwa
“[wasihangaike] kuhusiana na
jambo lolote,”
lakini wajipatie
“amani ya Mungu”
kwa kutoa sala,
dua,
na shukrani.
Pia,
Paulo analishukuru kutaniko hilo
kwa ukarimu wao wa
kumwandalia mahitaji ya kimwili.
Unaposoma barua kwa Wafilipi,
ona jinsi
kudumisha ushikamanifu tunapojaribiwa
kunavyoweza kuwatia moyo
wengine kubaki imara,
jinsi Neno la Mungu
na roho yake inavyoweza kutusaidia
kuiga mtazamo wa akili wa Kristo,
na jinsi wale wanaosali
kwa Mungu kutoka moyoni
wanavyopata amani ya kweli
huku wakiusubiri
utawala wa Ufalme wake.
-