00:00:02
Utangulizi wa 1 Timotheo.00:00:04
00:00:06
Mtume Paulo aliandika00:00:07
00:00:07
barua ya kwanza kwa Timotheo
akiwa Makedonia00:00:10
00:00:10
yapata mwaka wa 61 hadi 64 W.K.00:00:14
00:00:15
Paulo anaonyesha00:00:16
00:00:16
kwamba wakati huo00:00:17
00:00:17
Timotheo alikuwa Efeso.00:00:18
00:00:19
Paulo aliandika 1 Timotheo ili00:00:22
00:00:22
kuweka miongozo
ya kitengenezo00:00:24
00:00:24
katika kutaniko na kuonya dhidi
ya mafundisho ya00:00:26
00:00:26
uwongo na
kupenda pesa.00:00:28
00:00:29
1 Timotheo ina sura sita.00:00:31
00:00:32
Katika sura ya 1,00:00:33
00:00:33
Paulo anamtia moyo
Timotheo abaki Efeso00:00:36
00:00:36
ili awarekebishe wale00:00:37
00:00:37
ambao wameacha kufuata00:00:39
00:00:39
mafundisho ya Kristo.00:00:40
00:00:41
Vilevile, Paulo anatoa00:00:42
00:00:42
shukrani kwa ajili ya00:00:43
00:00:43
rehema nyingi za Kristo.00:00:45
00:00:46
Ingawa Paulo alikuwa00:00:47
00:00:47
amelitesa kutaniko
la Kikristo,00:00:49
00:00:49
Yesu alimwona kuwa
mwaminifu kwa kumpa huduma.00:00:52
00:00:54
Katika sura ya 2,00:00:55
00:00:56
Paulo anataja
uhitaji wa kusali00:00:57
00:00:57
kwa ajili ya wengine,00:00:58
00:00:58
kutia ndani maofisa wa serikali,00:01:00
00:01:01
ili watu wa Mungu
waendelee kuishi00:01:02
00:01:02
kwa utulivu na kutimiza00:01:04
00:01:04
huduma yao kwa amani.00:01:05
00:01:06
Anaeleza kwamba
ni mapenzi00:01:08
00:01:08
ya Mungu “watu
wa namna zote00:01:09
00:01:09
waokolewe na kupata ujuzi
sahihi wa kweli.”00:01:12
00:01:14
Katika sura ya 3,00:01:16
00:01:16
Paulo anaorodhesha
sifa za kiroho00:01:18
00:01:18
ambazo wale wanaojitahidi00:01:19
00:01:19
kufikia kuwa waangalizi au00:01:21
00:01:21
watumishi wa huduma
wanapaswa kutimiza.00:01:24
00:01:24
Je, ulijua?00:01:26
00:01:26
Kitenzi cha Kigiriki
kinachotafsiriwa00:01:28
00:01:28
“kujitahidi kufikia”
kinamaanisha00:01:31
00:01:31
“kujinyoosha ili
kushika kitu fulani.”00:01:33
00:01:33
Kwa hiyo, mtume Paulo00:01:34
00:01:34
anaonyesha kwamba akina00:01:35
00:01:35
ndugu wanaotaka
kuwatumikia wengine00:01:36
00:01:36
kutanikoni wanapaswa
kujitoa kikamili.00:01:39
00:01:40
Katika sura ya 4
Paulo anaandika00:01:42
00:01:42
kwamba kuna kipindi00:01:43
00:01:43
ambacho baadhi ya00:01:44
00:01:44
Wakristo wataanguka00:01:45
00:01:45
kutoka kwenye imani00:01:46
00:01:46
na kujaribu
kupotosha wengine.00:01:48
00:01:48
Waasi-imani hao
watasema uwongo00:01:50
00:01:50
na hata kuwazuia00:01:51
00:01:51
watu wasifunge ndoa.00:01:52
00:01:53
Anamtia moyo00:01:54
00:01:54
Timotheo awe mfano00:01:55
00:01:55
mfano mzuri katika kusema,00:01:57
00:01:57
katika mwenendo,
na katika upendo.00:01:59
00:02:00
Timotheo anapaswa
kuendelea kujitahidi00:02:02
00:02:02
kusoma mbele ya
watu na kufundisha.00:02:04
00:02:06
Katika sura ya 5,
Paulo anamshauri00:02:08
00:02:08
Timotheo awatendee00:02:09
00:02:09
wanaume wazee kama baba,00:02:11
00:02:11
wanaume vijana kama ndugu,00:02:12
00:02:13
wanawake wazee kama mama,00:02:14
00:02:14
na wanawake vijana kama dada.00:02:16
00:02:18
Anamweleza Timotheo
kwamba ikihitajika,00:02:21
00:02:21
makutaniko yanapaswa
kuwaandalia msaada00:02:24
00:02:24
wa kimwili wajane
waliozeeka ambao00:02:26
00:02:26
ambao wana uhitaji wa kweli00:02:27
00:02:28
na wanaojulikana kwa kutenda mema.00:02:29
00:02:32
Katika sura ya 6,00:02:34
00:02:34
mtume Paulo anataja00:02:35
00:02:35
kwamba wale wanaofundisha00:02:36
00:02:36
kinyume na mafundisho ya Kristo00:02:38
00:02:38
‘wanajivuna kwa kiburi.’00:02:40
00:02:41
Vilevile, Paulo anataja00:02:42
00:02:42
kwamba wale ambao00:02:43
00:02:43
“wameazimia kuwa matajiri00:02:44
00:02:45
huanguka kwenye
majaribu, na mtego”00:02:47
00:02:47
na tamaa nyingi zenye madhara.00:02:49
00:02:49
Kwa sababu ya kupenda pesa00:02:51
00:02:51
watapata madhara ya kiroho
na maumivu mengi.00:02:53
00:02:55
Badala ya kuwa na pupa,00:02:57
00:02:57
wafuasi wa Kristo wanapaswa kuwa00:02:59
00:02:59
wakarimu na tayari kushiriki
vitu vyao na wengine,00:03:02
00:03:02
wakimtegemea Mungu,00:03:03
00:03:04
ili waushike imara
uzima ulio wa kweli.00:03:06
00:03:08
Unaposoma 1 Timotheo,00:03:10
00:03:10
ona jinsi Yehova anavyotaka watu00:03:12
00:03:12
wa namna zote waokolewe na00:03:14
00:03:14
kupata ujuzi sahihi wa kweli,00:03:16
00:03:16
jinsi Wakristo wanavyoweza
kuepuka kupenda pesa,00:03:19
00:03:19
na jinsi tunavyoweza kuushika
imara uzima ulio wa kweli,00:03:23
00:03:24
ambao tunaweza kuupata tu00:03:25
00:03:25
kupitia Ufalme wa Mungu.00:03:28
Utangulizi wa 1 Timotheo
-
Utangulizi wa 1 Timotheo
Utangulizi wa 1 Timotheo.
Mtume Paulo aliandika
barua ya kwanza kwa Timotheo
akiwa Makedonia
yapata mwaka wa 61 hadi 64 W.K.
Paulo anaonyesha
kwamba wakati huo
Timotheo alikuwa Efeso.
Paulo aliandika 1 Timotheo ili
kuweka miongozo
ya kitengenezo
katika kutaniko na kuonya dhidi
ya mafundisho ya
uwongo na
kupenda pesa.
1 Timotheo ina sura sita.
Katika sura ya 1,
Paulo anamtia moyo
Timotheo abaki Efeso
ili awarekebishe wale
ambao wameacha kufuata
mafundisho ya Kristo.
Vilevile, Paulo anatoa
shukrani kwa ajili ya
rehema nyingi za Kristo.
Ingawa Paulo alikuwa
amelitesa kutaniko
la Kikristo,
Yesu alimwona kuwa
mwaminifu kwa kumpa huduma.
Katika sura ya 2,
Paulo anataja
uhitaji wa kusali
kwa ajili ya wengine,
kutia ndani maofisa wa serikali,
ili watu wa Mungu
waendelee kuishi
kwa utulivu na kutimiza
huduma yao kwa amani.
Anaeleza kwamba
ni mapenzi
ya Mungu “watu
wa namna zote
waokolewe na kupata ujuzi
sahihi wa kweli.”
Katika sura ya 3,
Paulo anaorodhesha
sifa za kiroho
ambazo wale wanaojitahidi
kufikia kuwa waangalizi au
watumishi wa huduma
wanapaswa kutimiza.
Je, ulijua?
Kitenzi cha Kigiriki
kinachotafsiriwa
“kujitahidi kufikia”
kinamaanisha
“kujinyoosha ili
kushika kitu fulani.”
Kwa hiyo, mtume Paulo
anaonyesha kwamba akina
ndugu wanaotaka
kuwatumikia wengine
kutanikoni wanapaswa
kujitoa kikamili.
Katika sura ya 4
Paulo anaandika
kwamba kuna kipindi
ambacho baadhi ya
Wakristo wataanguka
kutoka kwenye imani
na kujaribu
kupotosha wengine.
Waasi-imani hao
watasema uwongo
na hata kuwazuia
watu wasifunge ndoa.
Anamtia moyo
Timotheo awe mfano
mfano mzuri katika kusema,
katika mwenendo,
na katika upendo.
Timotheo anapaswa
kuendelea kujitahidi
kusoma mbele ya
watu na kufundisha.
Katika sura ya 5,
Paulo anamshauri
Timotheo awatendee
wanaume wazee kama baba,
wanaume vijana kama ndugu,
wanawake wazee kama mama,
na wanawake vijana kama dada.
Anamweleza Timotheo
kwamba ikihitajika,
makutaniko yanapaswa
kuwaandalia msaada
wa kimwili wajane
waliozeeka ambao
ambao wana uhitaji wa kweli
na wanaojulikana kwa kutenda mema.
Katika sura ya 6,
mtume Paulo anataja
kwamba wale wanaofundisha
kinyume na mafundisho ya Kristo
‘wanajivuna kwa kiburi.’
Vilevile, Paulo anataja
kwamba wale ambao
“wameazimia kuwa matajiri
huanguka kwenye
majaribu, na mtego”
na tamaa nyingi zenye madhara.
Kwa sababu ya kupenda pesa
watapata madhara ya kiroho
na maumivu mengi.
Badala ya kuwa na pupa,
wafuasi wa Kristo wanapaswa kuwa
wakarimu na tayari kushiriki
vitu vyao na wengine,
wakimtegemea Mungu,
ili waushike imara
uzima ulio wa kweli.
Unaposoma 1 Timotheo,
ona jinsi Yehova anavyotaka watu
wa namna zote waokolewe na
kupata ujuzi sahihi wa kweli,
jinsi Wakristo wanavyoweza
kuepuka kupenda pesa,
na jinsi tunavyoweza kuushika
imara uzima ulio wa kweli,
ambao tunaweza kuupata tu
kupitia Ufalme wa Mungu.
-