00:00:02
Utangulizi wa Petro ya Pili00:00:04
00:00:07
Mtume Petro
anajitambulisha kuwa00:00:09
00:00:09
mwandishi wa barua zake
mbili00:00:11
00:00:11
zilizoongozwa na roho,00:00:12
00:00:12
yaani, Petro ya kwanza
na ya pili.00:00:14
00:00:15
Petro aliandika barua ya pili
mwaka wa 64 hivi W.K,00:00:19
00:00:20
muda mfupi baada ya kuandika
barua yake ya kwanza.00:00:23
00:00:23
Wakati huo,00:00:24
00:00:24
huenda bado alikuwa Babiloni
au karibu na hapo.00:00:27
00:00:28
Barua ya pili ya Petro00:00:30
00:00:30
inawatia moyo Wakristo
watiwa mafuta waendelee00:00:32
00:00:32
kuwa waaminifu ili wapokee
thawabu yao mbinguni,00:00:35
00:00:35
wajilinde dhidi ya
walimu wa uwongo,00:00:37
00:00:37
na wakazie fikira neno
la kinabii.00:00:39
00:00:41
Barua ya pili ya Petro
ina sura tatu.00:00:43
00:00:44
Sura ya kwanza,00:00:45
00:00:45
inazungumzia tukio la
kugeuka sura kwa00:00:47
00:00:47
Kristo ambapo00:00:49
00:00:49
Petro, Yakobo, na Yohana00:00:51
00:00:51
walishuhudia utukufu ambao00:00:53
00:00:53
Kristo atakuwa nao katika
mamlaka ya Kifalme.00:00:55
00:00:56
Tukio hilo lilifanya neno la
kinabii liwe hakika zaidi,00:00:59
00:01:00
hivyo wafuasi wa Kristo00:01:01
00:01:01
wanapaswa kulikazia
uangalifu kama00:01:03
00:01:03
“taa inayoangaza mahali
penye giza.”00:01:06
00:01:06
Katika sura ya pili,00:01:08
00:01:08
Petro anatutahadharisha
kwamba walimu wa uwongo00:01:11
00:01:11
watatokea na kusababisha
madhehebu hatari.00:01:14
00:01:16
Wadanganyifu hao,00:01:17
00:01:17
walioanza kuonekana katika
karne ya kwanza,00:01:20
00:01:20
wangekabili
hukumu ya kimungu00:01:22
00:01:22
kama watu wa Sodoma
na Gomora.00:01:24
00:01:25
Je ulijua?00:01:27
00:01:27
Petro alipoandika barua
yake ya pili,00:01:29
00:01:29
alijua kwamba muda
wake wa00:01:31
00:01:31
kufa ulikuwa umekaribia.00:01:33
00:01:33
Lakini badala ya
kujihangaikia sana,00:01:35
00:01:35
aliendelea kutii amri ya Yesu
yenye upendo,00:01:38
00:01:38
yaani,
“Lisha kondoo wangu wadogo.”00:01:41
00:01:42
Sura ya tatu,00:01:43
00:01:43
inafafanua yatakayotokea
wakati wa00:01:45
00:01:45
kuwapo kwa Kristo00:01:47
00:01:47
akiwa Mfalme wa
Ufalme wa Mungu.00:01:49
00:01:50
Petro alitabiri kwamba
wadhihaki,00:01:52
00:01:52
‘watapuuza kimakusudi’00:01:53
00:01:53
ukweli wa kwamba
Yehova00:01:55
00:01:55
aliharibu ulimwengu
mwovu siku za Noa.00:01:57
00:02:01
Kisha Petro anataja ahadi
ya Mungu ya “mbingu mpya00:02:04
00:02:04
na dunia mpya” za mfano00:02:05
00:02:05
ambamo uadilifu utakaa.00:02:07
00:02:08
Kwa sasa,00:02:09
00:02:09
watu wa Mungu wanapaswa
kushikamana na00:02:11
00:02:11
maandiko matakatifu00:02:12
00:02:13
na kujihusisha na
“vitendo ya ujitoaji-kimungu.”00:02:16
00:02:18
Unaposoma Petro ya Pili,00:02:19
00:02:20
ona jinsi tukio la kugeuka
sura kwa Yesu00:02:22
00:02:22
linavyoimarisha imani yetu
katika unabii wa Biblia,00:02:26
00:02:26
jinsi tunavyopaswa kujilinda
dhidi ya walimu wa uwongo,00:02:29
00:02:30
na jinsi tunavyoweza kuwa
na subira00:02:32
00:02:32
tunapongojea “mbingu mpya”00:02:34
00:02:34
—yaani serikali ya
Ufalme wa Mungu,00:02:36
00:02:36
ambayo itatawala jamii00:02:38
00:02:38
mpya ya wanadamu
inayomwogopa Mungu.00:02:40
Utangulizi wa 2 Petro
-
Utangulizi wa 2 Petro
Utangulizi wa Petro ya Pili
Mtume Petro
anajitambulisha kuwa
mwandishi wa barua zake
mbili
zilizoongozwa na roho,
yaani, Petro ya kwanza
na ya pili.
Petro aliandika barua ya pili
mwaka wa 64 hivi W.K,
muda mfupi baada ya kuandika
barua yake ya kwanza.
Wakati huo,
huenda bado alikuwa Babiloni
au karibu na hapo.
Barua ya pili ya Petro
inawatia moyo Wakristo
watiwa mafuta waendelee
kuwa waaminifu ili wapokee
thawabu yao mbinguni,
wajilinde dhidi ya
walimu wa uwongo,
na wakazie fikira neno
la kinabii.
Barua ya pili ya Petro
ina sura tatu.
Sura ya kwanza,
inazungumzia tukio la
kugeuka sura kwa
Kristo ambapo
Petro, Yakobo, na Yohana
walishuhudia utukufu ambao
Kristo atakuwa nao katika
mamlaka ya Kifalme.
Tukio hilo lilifanya neno la
kinabii liwe hakika zaidi,
hivyo wafuasi wa Kristo
wanapaswa kulikazia
uangalifu kama
“taa inayoangaza mahali
penye giza.”
Katika sura ya pili,
Petro anatutahadharisha
kwamba walimu wa uwongo
watatokea na kusababisha
madhehebu hatari.
Wadanganyifu hao,
walioanza kuonekana katika
karne ya kwanza,
wangekabili
hukumu ya kimungu
kama watu wa Sodoma
na Gomora.
Je ulijua?
Petro alipoandika barua
yake ya pili,
alijua kwamba muda
wake wa
kufa ulikuwa umekaribia.
Lakini badala ya
kujihangaikia sana,
aliendelea kutii amri ya Yesu
yenye upendo,
yaani,
“Lisha kondoo wangu wadogo.”
Sura ya tatu,
inafafanua yatakayotokea
wakati wa
kuwapo kwa Kristo
akiwa Mfalme wa
Ufalme wa Mungu.
Petro alitabiri kwamba
wadhihaki,
‘watapuuza kimakusudi’
ukweli wa kwamba
Yehova
aliharibu ulimwengu
mwovu siku za Noa.
Kisha Petro anataja ahadi
ya Mungu ya “mbingu mpya
na dunia mpya” za mfano
ambamo uadilifu utakaa.
Kwa sasa,
watu wa Mungu wanapaswa
kushikamana na
maandiko matakatifu
na kujihusisha na
“vitendo ya ujitoaji-kimungu.”
Unaposoma Petro ya Pili,
ona jinsi tukio la kugeuka
sura kwa Yesu
linavyoimarisha imani yetu
katika unabii wa Biblia,
jinsi tunavyopaswa kujilinda
dhidi ya walimu wa uwongo,
na jinsi tunavyoweza kuwa
na subira
tunapongojea “mbingu mpya”
—yaani serikali ya
Ufalme wa Mungu,
ambayo itatawala jamii
mpya ya wanadamu
inayomwogopa Mungu.
-