00:00:02
Utangulizi wa 1 Yohana.00:00:04
00:00:07
Yohana ya kwanza ndiyo00:00:08
00:00:08
ndiyo barua ndefu
zaidi kati ya barua00:00:10
00:00:10
tatu zilizoongozwa na roho
ambazo Yohana aliandika.00:00:13
00:00:14
Huenda Yohana alikuwa Efeso
au karibu na Efeso00:00:16
00:00:16
alipoandika barua zake katika
mwaka wa 98 W.K.00:00:20
00:00:21
Pia,00:00:21
00:00:21
aliandika simulizi lake la Injili
karibu na wakati huo.00:00:24
00:00:26
Yohana hakumwandikia mtu
hususa00:00:28
00:00:28
barua yake ya kwanza00:00:29
00:00:30
bali aliandika barua ya ujumla
kwa Wakristo wote.00:00:32
00:00:35
Kusudi lake lilikuwa kuimarisha00:00:36
00:00:36
imani ya Wakristo wenzake00:00:38
00:00:38
katika kweli ambazo Mungu
alilifunulia00:00:40
00:00:40
kutaniko la Kikristo.00:00:41
00:00:43
Barua hiyo inashughulikia
mada tatu kuu:00:00:45
00:00:46
yule mpinga-Kristo,00:00:47
00:00:47
dhambi, na upendo.00:00:49
00:00:52
Yohana ya Kwanza ina
sura tano.00:00:54
00:00:56
Katika sura ya 1,00:00:57
00:00:57
Yohana anatueleza kwamba
“Mungu ni nuru”00:01:00
00:01:00
na kwamba Wakristo
wanapaswa00:01:01
00:01:01
kutembea katika nuru.00:01:03
00:01:04
Ili kutembea katika nuru,00:01:06
00:01:06
tunapaswa kutambua kwamba
watenda-dhambi wanahitaji00:01:08
00:01:08
kupata msamaha unaotegemea00:01:10
00:01:10
dhabihu ya fidia ya Kristo.00:01:12
00:01:14
Sura ya 2 inaonya kuhusu
wapinga-Kristo.00:01:17
00:01:18
Wanadai kwamba Yesu
hakuwa Kristo,00:01:20
00:01:20
kwamba Mwana wa Mungu00:01:21
00:01:21
hakuja akiwa na mwili
wa kibinadamu,00:01:23
00:01:23
na mambo mengine mengi.00:01:25
00:01:27
Je, ulijua?00:01:28
00:01:28
Zaidi ya miaka 30 mapema,00:01:31
00:01:31
ilitabiriwa kwamba walimu
wa uwongo00:01:33
00:01:33
wangetokeza madhehebu
ambayo yangetokeza00:01:35
00:01:35
mgawanyiko na kujaribu
“kuwavuta wanafunzi00:01:38
00:01:38
wawafuate wao wenyewe.”00:01:40
00:01:40
Maandishi ya Yohana
yanaonyesha kwamba00:01:42
00:01:42
uasi-imani huo tayari
ulikuwepo.00:01:45
00:01:46
Katika sura ya 3,00:01:48
00:01:48
Yohana anaonyesha
tofauti iliyopo00:01:50
00:01:50
kati ya watoto wa Mungu na
watoto wa Ibilisi.00:01:53
00:01:53
Watoto wa Mungu
wanapendana.00:01:55
00:01:55
Watoto wa Ibilisi,00:01:56
00:01:56
kama Kaini wanachukia
ndugu zao.00:01:59
00:02:01
Mada kuhusu upendo
inaendelezwa katika sura ya 4.00:02:05
00:02:06
Yohana anatukumbusha
kwamba hatuwezi00:02:08
00:02:08
kudai kwamba tunampenda
Mungu00:02:09
00:02:09
ikiwa hatuwapendi Wakristo
wenzetu.00:02:11
00:02:14
Katika sura ya mwisho,
tunasoma hivi:00:02:16
00:02:17
“Kumpenda Mungu
humaanisha hivi,00:02:19
00:02:19
kwamba tuzishike
amri zake.”00:02:21
00:02:22
Pia, Yohana anatuhakikishia00:02:24
00:02:24
kwamba Mungu husikiliza
maombi yetu yote00:02:27
00:02:27
yanayopatana na mapenzi
Yake.00:02:29
00:02:31
Unaposoma 1 Yohana,00:02:34
00:02:34
ona jinsi tunavyopaswa
kuwapinga waasi-imani,00:02:37
00:02:37
jinsi tunavyoweza00:02:38
00:02:38
kujilinda dhidi ya kuzoea
dhambi,00:02:40
00:02:41
na jinsi tunavyopaswa
kusitawisha upendo00:02:44
00:02:44
kwa ajili ya raia wenzetu wa
Ufalme wa Mungu.00:02:47
Utangulizi wa 1 Yohana
-
Utangulizi wa 1 Yohana
Utangulizi wa 1 Yohana.
Yohana ya kwanza ndiyo
ndiyo barua ndefu
zaidi kati ya barua
tatu zilizoongozwa na roho
ambazo Yohana aliandika.
Huenda Yohana alikuwa Efeso
au karibu na Efeso
alipoandika barua zake katika
mwaka wa 98 W.K.
Pia,
aliandika simulizi lake la Injili
karibu na wakati huo.
Yohana hakumwandikia mtu
hususa
barua yake ya kwanza
bali aliandika barua ya ujumla
kwa Wakristo wote.
Kusudi lake lilikuwa kuimarisha
imani ya Wakristo wenzake
katika kweli ambazo Mungu
alilifunulia
kutaniko la Kikristo.
Barua hiyo inashughulikia
mada tatu kuu:
yule mpinga-Kristo,
dhambi, na upendo.
Yohana ya Kwanza ina
sura tano.
Katika sura ya 1,
Yohana anatueleza kwamba
“Mungu ni nuru”
na kwamba Wakristo
wanapaswa
kutembea katika nuru.
Ili kutembea katika nuru,
tunapaswa kutambua kwamba
watenda-dhambi wanahitaji
kupata msamaha unaotegemea
dhabihu ya fidia ya Kristo.
Sura ya 2 inaonya kuhusu
wapinga-Kristo.
Wanadai kwamba Yesu
hakuwa Kristo,
kwamba Mwana wa Mungu
hakuja akiwa na mwili
wa kibinadamu,
na mambo mengine mengi.
Je, ulijua?
Zaidi ya miaka 30 mapema,
ilitabiriwa kwamba walimu
wa uwongo
wangetokeza madhehebu
ambayo yangetokeza
mgawanyiko na kujaribu
“kuwavuta wanafunzi
wawafuate wao wenyewe.”
Maandishi ya Yohana
yanaonyesha kwamba
uasi-imani huo tayari
ulikuwepo.
Katika sura ya 3,
Yohana anaonyesha
tofauti iliyopo
kati ya watoto wa Mungu na
watoto wa Ibilisi.
Watoto wa Mungu
wanapendana.
Watoto wa Ibilisi,
kama Kaini wanachukia
ndugu zao.
Mada kuhusu upendo
inaendelezwa katika sura ya 4.
Yohana anatukumbusha
kwamba hatuwezi
kudai kwamba tunampenda
Mungu
ikiwa hatuwapendi Wakristo
wenzetu.
Katika sura ya mwisho,
tunasoma hivi:
“Kumpenda Mungu
humaanisha hivi,
kwamba tuzishike
amri zake.”
Pia, Yohana anatuhakikishia
kwamba Mungu husikiliza
maombi yetu yote
yanayopatana na mapenzi
Yake.
Unaposoma 1 Yohana,
ona jinsi tunavyopaswa
kuwapinga waasi-imani,
jinsi tunavyoweza
kujilinda dhidi ya kuzoea
dhambi,
na jinsi tunavyopaswa
kusitawisha upendo
kwa ajili ya raia wenzetu wa
Ufalme wa Mungu.
-