00:00:02
Utangulizi wa 2 Yohana.00:00:05
00:00:08
Yohana aliandika
barua yake ya pili,00:00:10
00:00:10
pamoja na barua
zile nyingine mbili,00:00:12
00:00:12
katika mwaka wa 98 W.K. hivi.00:00:15
00:00:16
Wakati huo, huenda alikuwa Efeso00:00:18
00:00:18
au karibu na Efeso,00:00:20
00:00:20
na huenda alikuwa na
umri wa karibu miaka 100.00:00:23
00:00:24
Yohana anaanza
barua yake kwa maneno:00:00:27
00:00:27
“Mwanamume mzee,00:00:28
00:00:28
kwa bibi aliyechaguliwa
na kwa watoto wake.”00:00:31
00:00:32
Watu fulani wanafikiri
kwamba huenda00:00:34
00:00:34
“bibi aliyechaguliwa”00:00:35
00:00:35
ni kutaniko la Kikristo00:00:37
00:00:37
au dada wa kiroho
anayeitwa Kyria,00:00:40
00:00:40
neno la Kigiriki
linalomaanisha “bibi.”00:00:43
00:00:44
Mambo mengi katika
barua ya pili ya Yohana00:00:46
00:00:46
yanafanana na mawazo yaliyo00:00:48
00:00:48
katika barua yake ya kwanza.00:00:50
00:00:50
Kwa mfano, Yohana anataja tena00:00:53
00:00:53
uhitaji wa wafuasi
wa Kristo kupendana.00:00:56
00:00:57
Pia anasema hivi:00:00:58
00:00:59
“Upendo unamaanisha hivi,00:01:00
00:01:00
kwamba tuendelee kutembea00:01:02
00:01:02
kulingana na amri zake.”00:01:04
00:01:05
Kisha mtume anaonya kwamba00:01:07
00:01:07
“wadanganyifu wengi
wametokea ulimwenguni.”00:01:11
00:01:11
Wapinga-Kristo
hao wanadai kwamba00:01:14
00:01:14
Kristo hakuja katika mwili.00:01:16
00:01:18
Je, ulijua?00:01:21
00:01:21
Kwenye 2 Yohana 10, 1100:01:24
00:01:24
Yohana anakazia agizo alilotoa00:01:26
00:01:26
katika barua ya kwanza00:01:28
00:01:28
kuhusu mtu yeyote00:01:29
00:01:29
anayepinga mafundisho ya Kristo.00:01:31
00:01:31
Yohana anaongezea hivi:00:01:33
00:01:33
“Msimpokee nyumbani
mwenu wala kumsalimu.”00:01:37
00:01:39
Barua ya Pili ya Yohana00:01:41
00:01:41
inaonyesha wazi kwamba00:01:43
00:01:43
anawapenda sana
ndugu zake watiwa-mafuta.00:01:45
00:01:45
Anawataka ‘wapate thawabu kamili,’00:01:48
00:01:48
inayotia ndani
pendeleo la kutawala00:01:50
00:01:50
na Kristo katika Ufalme wake.00:01:52
00:01:53
Unaposoma Yohana ya Pili,00:01:55
00:01:55
ona jinsi mtume huyo00:01:57
00:01:57
mwenye umri mkubwa00:01:58
00:01:58
alivyoonyesha kwamba
anawapenda ndugu zake,00:02:01
00:02:01
jinsi alivyotamani00:02:02
00:02:02
‘waendelee kutembea
kulingana na amri za Mungu,’00:02:05
00:02:05
na jinsi wale wanaopinga uasi-imani00:02:08
00:02:08
kwa uthabiti watakavyourithi
Ufalme wa Mungu.00:02:12
Utangulizi wa 2 Yohana
-
Utangulizi wa 2 Yohana
Utangulizi wa 2 Yohana.
Yohana aliandika
barua yake ya pili,
pamoja na barua
zile nyingine mbili,
katika mwaka wa 98 W.K. hivi.
Wakati huo, huenda alikuwa Efeso
au karibu na Efeso,
na huenda alikuwa na
umri wa karibu miaka 100.
Yohana anaanza
barua yake kwa maneno:
“Mwanamume mzee,
kwa bibi aliyechaguliwa
na kwa watoto wake.”
Watu fulani wanafikiri
kwamba huenda
“bibi aliyechaguliwa”
ni kutaniko la Kikristo
au dada wa kiroho
anayeitwa Kyria,
neno la Kigiriki
linalomaanisha “bibi.”
Mambo mengi katika
barua ya pili ya Yohana
yanafanana na mawazo yaliyo
katika barua yake ya kwanza.
Kwa mfano, Yohana anataja tena
uhitaji wa wafuasi
wa Kristo kupendana.
Pia anasema hivi:
“Upendo unamaanisha hivi,
kwamba tuendelee kutembea
kulingana na amri zake.”
Kisha mtume anaonya kwamba
“wadanganyifu wengi
wametokea ulimwenguni.”
Wapinga-Kristo
hao wanadai kwamba
Kristo hakuja katika mwili.
Je, ulijua?
Kwenye 2 Yohana 10, 11
Yohana anakazia agizo alilotoa
katika barua ya kwanza
kuhusu mtu yeyote
anayepinga mafundisho ya Kristo.
Yohana anaongezea hivi:
“Msimpokee nyumbani
mwenu wala kumsalimu.”
Barua ya Pili ya Yohana
inaonyesha wazi kwamba
anawapenda sana
ndugu zake watiwa-mafuta.
Anawataka ‘wapate thawabu kamili,’
inayotia ndani
pendeleo la kutawala
na Kristo katika Ufalme wake.
Unaposoma Yohana ya Pili,
ona jinsi mtume huyo
mwenye umri mkubwa
alivyoonyesha kwamba
anawapenda ndugu zake,
jinsi alivyotamani
‘waendelee kutembea
kulingana na amri za Mungu,’
na jinsi wale wanaopinga uasi-imani
kwa uthabiti watakavyourithi
Ufalme wa Mungu.
-