00:00:03
Utangulizi wa 3 Yohana.00:00:05
00:00:07
Yohana aliandika barua yake
ya tatu00:00:10
00:00:10
akiwa Efeso au karibu
na Efeso 00:00:12
00:00:12
katika mwaka wa 98 W.K. hivi.00:00:15
00:00:16
Yohana aliandika barua hiyo kwa00:00:17
00:00:17
ndugu mpendwa, anayeitwa Gayo,00:00:19
00:00:19
jina la Kiroma ambalo lilitumiwa na00:00:21
00:00:21
watu wengi wakati huo.00:00:22
00:00:23
Yohana ya 3 ina mistari 14.00:00:26
00:00:27
Gayo alijulikana kuwa mtumishi
mwaminifu wa Mungu00:00:30
00:00:30
ambaye sikuzote aliwakaribisha00:00:31
00:00:31
akina ndugu ambao hakuwafahamu.00:00:33
00:00:35
Mtume Yohana anampongeza00:00:37
00:00:37
kwa roho yake ya ukarimu.00:00:39
00:00:41
Mtazamo wa Diotrefe
unatofautiana00:00:43
00:00:43
kabisa na ule wa Gayo.00:00:45
00:00:46
Diotrefe alikuwa na kawaida ya00:00:48
00:00:48
kupinga mwongozo wa mitume00:00:50
00:00:51
na alitaka kuwa wa kwanza00:00:53
00:00:53
kati ya akina ndugu.00:00:54
00:00:55
Diotrefe alikataa kuwakaribisha00:00:57
00:00:57
akina ndugu waliowatembelea.00:00:58
00:00:59
Hata alijaribu kuwazuia00:01:02
00:01:02
na kuwatupa nje ya kutaniko00:01:04
00:01:04
wale waliowaonyesha ukarimu.00:01:06
00:01:08
Hata hivyo00:01:09
00:01:09
Demetrio00:01:10
00:01:10
Mkristo na rafiki wa karibu
wa Yohana00:01:13
00:01:13
alisifiwa na wengine.00:01:14
00:01:16
Huenda Demetrio ndiye00:01:17
00:01:17
aliyepeleka barua00:01:18
00:01:18
ya tatu ya Yohana.00:01:19
00:01:21
Je, ulijua?00:01:23
00:01:23
Kwenye 3 Yohana 6,00:01:25
00:01:25
Gayo anaagizwa ashughulikie00:01:27
00:01:27
safari ya akina ndugu wanaosafiri00:01:29
00:01:29
“kwa njia inayomfaa Mungu.”00:01:31
00:01:32
Huenda hilo linamaanisha00:01:34
00:01:34
kuwaandalia akina ndugu00:01:35
00:01:35
mahitaji yao kwa ajili ya safari.00:01:36
00:01:37
Inaonekana kwamba Gayo
alifanya hivyo.00:01:40
00:01:42
Mwishoni mwa barua yake ya00:01:43
00:01:43
pili na ya tatu,00:01:45
00:01:45
Yohana anaeleza kwamba
barua zake ni fupi00:01:47
00:01:47
kwa sababu anatumaini00:01:48
00:01:48
kuwaona ndugu zake karibuni00:01:50
00:01:50
na kuzungumza nao uso kwa uso.00:01:52
00:01:53
Unaposoma 3 Yohana,00:01:55
00:01:55
ona jinsi inavyokazia00:01:57
00:01:57
umuhimu wa ukarimu wa Kikristo,00:01:59
00:02:00
jinsi inavyotofautisha00:02:01
00:02:01
mtazamo wa Diotrefe wenye kiburi00:02:03
00:02:03
na ule wa Gayo mpendwa,00:02:05
00:02:05
na uone jinsi upendo wa
Yohana wenye kina00:02:08
00:02:08
unavyoonyeshwa kuelekea00:02:10
00:02:10
warithi wenzake wa Ufalme.00:02:12
Utangulizi wa 3 Yohana
-
Utangulizi wa 3 Yohana
Utangulizi wa 3 Yohana.
Yohana aliandika barua yake
ya tatu
akiwa Efeso au karibu
na Efeso
katika mwaka wa 98 W.K. hivi.
Yohana aliandika barua hiyo kwa
ndugu mpendwa, anayeitwa Gayo,
jina la Kiroma ambalo lilitumiwa na
watu wengi wakati huo.
Yohana ya 3 ina mistari 14.
Gayo alijulikana kuwa mtumishi
mwaminifu wa Mungu
ambaye sikuzote aliwakaribisha
akina ndugu ambao hakuwafahamu.
Mtume Yohana anampongeza
kwa roho yake ya ukarimu.
Mtazamo wa Diotrefe
unatofautiana
kabisa na ule wa Gayo.
Diotrefe alikuwa na kawaida ya
kupinga mwongozo wa mitume
na alitaka kuwa wa kwanza
kati ya akina ndugu.
Diotrefe alikataa kuwakaribisha
akina ndugu waliowatembelea.
Hata alijaribu kuwazuia
na kuwatupa nje ya kutaniko
wale waliowaonyesha ukarimu.
Hata hivyo
Demetrio
Mkristo na rafiki wa karibu
wa Yohana
alisifiwa na wengine.
Huenda Demetrio ndiye
aliyepeleka barua
ya tatu ya Yohana.
Je, ulijua?
Kwenye 3 Yohana 6,
Gayo anaagizwa ashughulikie
safari ya akina ndugu wanaosafiri
“kwa njia inayomfaa Mungu.”
Huenda hilo linamaanisha
kuwaandalia akina ndugu
mahitaji yao kwa ajili ya safari.
Inaonekana kwamba Gayo
alifanya hivyo.
Mwishoni mwa barua yake ya
pili na ya tatu,
Yohana anaeleza kwamba
barua zake ni fupi
kwa sababu anatumaini
kuwaona ndugu zake karibuni
na kuzungumza nao uso kwa uso.
Unaposoma 3 Yohana,
ona jinsi inavyokazia
umuhimu wa ukarimu wa Kikristo,
jinsi inavyotofautisha
mtazamo wa Diotrefe wenye kiburi
na ule wa Gayo mpendwa,
na uone jinsi upendo wa
Yohana wenye kina
unavyoonyeshwa kuelekea
warithi wenzake wa Ufalme.
-