00:00:02
Utangulizi wa kitabu cha Yuda.00:00:05
00:00:07
Inaonekana kwamba Yuda00:00:09
00:00:09
aliyeandika barua hii
iliyoongozwa na roho00:00:11
00:00:12
ndiye Yuda yule anayesemekana00:00:13
00:00:13
kuwa ndugu wa kambo wa
Yesu Kristo.00:00:15
00:00:17
Yuda aliandika barua yake
katika mwaka wa 65 W.K. hivi,00:00:21
00:00:21
huenda akiwa katika eneo
la nyumbani.00:00:23
00:00:24
Wakati huo, hali hatari
ilikuwa imesitawi:00:00:27
00:00:28
watu wenye maadili mapotovu,00:00:30
00:00:30
na wenye tabia za kinyama
walikuwa wameanza00:00:32
00:00:32
kuingia katika kutaniko.00:00:33
00:00:34
Kwa hiyo, Yuda alikazia
uhitaji wa Wakristo00:00:36
00:00:36
kufanya pigano kali kwa
ajili ya imani.00:00:39
00:00:40
Barua ya Yuda ina mistari
25.00:00:43
00:00:44
Katika mstari wa 5,00:00:46
00:00:46
Yuda anatukumbusha kwamba
baada ya Yehova00:00:48
00:00:48
kuwakomboa watu wake
kutoka Misri,00:00:50
00:00:50
aliwaangamiza Waisraeli kwa
sababu hawakuwa na imani.00:00:54
00:00:55
Vivyo hivyo, mstari wa 7
unasema00:00:57
00:00:57
kwamba “Sodoma na Gomora
na majiji ya karibu”00:01:00
00:01:00
“yamewekwa mbele yetu
kama onyo kwa sababu00:01:02
00:01:02
yalihukumiwa adhabu ya moto
wa milele.”00:01:05
00:01:08
Mstari wa 12 na wa 13
unatumia misemo ya wazi00:01:12
00:01:12
kufafanua watu waovu
wanaoingia katika00:01:14
00:01:14
kutaniko la Kikristo00:01:15
00:01:16
kuwa “miamba iliyo chini
ya maji,”00:01:18
00:01:19
“mawingu yasiyo na maji
yanayopeperushwa na upepo,”00:01:22
00:01:23
“miti isiyozaa matunda” ambayo
inapaswa kung’olewa,00:01:26
00:01:27
na “ mawimbi ya bahari
iliyochafuka yenye mapovu.”00:01:29
00:01:31
Je, ulijua?00:01:32
00:01:32
Barua ya Yuda ina habari
ambayo haipatikani00:01:35
00:01:35
mahali pengine popote katika
Biblia.00:01:38
00:01:38
Yuda peke yake ndiye anayetaja
kuhusu bishano00:01:41
00:01:41
ambalo Mikaeli na Ibilisi
walikuwa nalo00:01:43
00:01:43
kuhusu mwili wa Musa.00:01:45
00:01:45
Ni Yuda pekee anayetaja unabii
wa Enoko kwamba Mungu,00:01:49
00:01:49
kupitia maelfu ya malaika,00:01:51
00:01:51
angetekeleza hukumu dhidi
ya waovu.00:01:53
00:01:55
Yuda anamaliza barua
yake kwa00:01:56
00:01:56
kuwasihi ndugu zake wajitunze00:01:59
00:01:59
“katika upendo wa Mungu,”00:02:00
00:02:01
‘waendelee kuwaonyesha rehema
wale walio na shaka,’00:02:04
00:02:04
na ‘kuwaokoa kwa kuwanyakua
kutoka katika moto.’00:02:07
00:02:10
Unaposoma barua ya Yuda,00:02:12
00:02:12
ona jinsi anavyotaja
mara nyingi00:02:14
00:02:14
mifano ya hukumu za Mungu,00:02:16
00:02:17
tafakari mifano yake ya wazi00:02:19
00:02:19
na uone jinsi alivyohangaikia
sana00:02:22
00:02:22
usafi na hali ya kiroho ya wale
wanaotumaini00:02:25
00:02:25
kuurithi Ufalme wa Mungu.00:02:27
Utangulizi wa Yuda
-
Utangulizi wa Yuda
Utangulizi wa kitabu cha Yuda.
Inaonekana kwamba Yuda
aliyeandika barua hii
iliyoongozwa na roho
ndiye Yuda yule anayesemekana
kuwa ndugu wa kambo wa
Yesu Kristo.
Yuda aliandika barua yake
katika mwaka wa 65 W.K. hivi,
huenda akiwa katika eneo
la nyumbani.
Wakati huo, hali hatari
ilikuwa imesitawi:
watu wenye maadili mapotovu,
na wenye tabia za kinyama
walikuwa wameanza
kuingia katika kutaniko.
Kwa hiyo, Yuda alikazia
uhitaji wa Wakristo
kufanya pigano kali kwa
ajili ya imani.
Barua ya Yuda ina mistari
25.
Katika mstari wa 5,
Yuda anatukumbusha kwamba
baada ya Yehova
kuwakomboa watu wake
kutoka Misri,
aliwaangamiza Waisraeli kwa
sababu hawakuwa na imani.
Vivyo hivyo, mstari wa 7
unasema
kwamba “Sodoma na Gomora
na majiji ya karibu”
“yamewekwa mbele yetu
kama onyo kwa sababu
yalihukumiwa adhabu ya moto
wa milele.”
Mstari wa 12 na wa 13
unatumia misemo ya wazi
kufafanua watu waovu
wanaoingia katika
kutaniko la Kikristo
kuwa “miamba iliyo chini
ya maji,”
“mawingu yasiyo na maji
yanayopeperushwa na upepo,”
“miti isiyozaa matunda” ambayo
inapaswa kung’olewa,
na “ mawimbi ya bahari
iliyochafuka yenye mapovu.”
Je, ulijua?
Barua ya Yuda ina habari
ambayo haipatikani
mahali pengine popote katika
Biblia.
Yuda peke yake ndiye anayetaja
kuhusu bishano
ambalo Mikaeli na Ibilisi
walikuwa nalo
kuhusu mwili wa Musa.
Ni Yuda pekee anayetaja unabii
wa Enoko kwamba Mungu,
kupitia maelfu ya malaika,
angetekeleza hukumu dhidi
ya waovu.
Yuda anamaliza barua
yake kwa
kuwasihi ndugu zake wajitunze
“katika upendo wa Mungu,”
‘waendelee kuwaonyesha rehema
wale walio na shaka,’
na ‘kuwaokoa kwa kuwanyakua
kutoka katika moto.’
Unaposoma barua ya Yuda,
ona jinsi anavyotaja
mara nyingi
mifano ya hukumu za Mungu,
tafakari mifano yake ya wazi
na uone jinsi alivyohangaikia
sana
usafi na hali ya kiroho ya wale
wanaotumaini
kuurithi Ufalme wa Mungu.
-