00:00:15
Mambo shwari,
lakini nani,00:00:19
00:00:19
Nitamuoa?00:00:22
00:00:22
Sitaki kufanya
uamuzi wa haraka.00:00:28
00:00:29
Ndoa yaweza
leta shangwe00:00:33
00:00:33
au majonzi.00:00:36
00:00:36
Hisia za moyoni za ujana
Hutoweka haraka.00:00:43
00:00:44
Subiri;00:00:48
00:00:48
Ukisubiri,
Utaona.00:00:56
00:00:58
Fikiri na tafuta vizuri,
kweli,00:01:06
00:01:06
‘Ndiye atanifaa?’00:01:12
00:01:13
Pengine,
Ukisubiri tu.00:01:21
00:01:22
Uchague.00:01:29
00:01:37
Nilitaka mtu wa kunijali,
atakayenipenda.00:01:44
00:01:44
Na nilijua moyoni haiwezekani.00:01:51
00:01:51
Ninataka Neno la Yehova
Liniongoze.00:01:58
00:01:58
Ninasubiri nimpate mwenzi
atakayenifaa.00:02:06
00:02:07
Subiri, 00:02:10
00:02:10
Ukisubiri;
Utaona.00:02:20
00:02:21
Fikiri na tafuta vizuri,
kweli,00:02:29
00:02:29
‘Ndiye atanifaa?’00:02:35
00:02:35
Pengine,00:02:38
00:02:38
Ukisubiri tu.00:02:44
00:02:45
Uchague.00:02:51
00:02:58
Uchague.00:03:07
Subiri, Uchague kwa Hekima
-
Subiri, Uchague kwa Hekima
Mambo shwari,
lakini nani,
Nitamuoa?
Sitaki kufanya
uamuzi wa haraka.
Ndoa yaweza
leta shangwe
au majonzi.
Hisia za moyoni za ujana
Hutoweka haraka.
Subiri;
Ukisubiri,
Utaona.
Fikiri na tafuta vizuri,
kweli,
‘Ndiye atanifaa?’
Pengine,
Ukisubiri tu.
Uchague.
Nilitaka mtu wa kunijali,
atakayenipenda.
Na nilijua moyoni haiwezekani.
Ninataka Neno la Yehova
Liniongoze.
Ninasubiri nimpate mwenzi
atakayenifaa.
Subiri,
Ukisubiri;
Utaona.
Fikiri na tafuta vizuri,
kweli,
‘Ndiye atanifaa?’
Pengine,
Ukisubiri tu.
Uchague.
Uchague.
-