00:00:13
♪ Nachoka na hii maisha, ♪ 00:00:20
00:00:20
♪ Niko nahangaika tu. ♪00:00:26
00:00:26
♪ Nawazia ile siku ♪00:00:32
00:00:32
♪ Maumivu itaisha. ♪00:00:39
00:00:39
♪ Wazia ile siku maisha ♪00:00:45
00:00:45
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪00:00:52
00:00:52
♪ Wazia ile siku tutasema: ♪00:00:57
00:00:57
♪ “Aksanti sana Yehova kwa hii uzima.” ♪00:01:07
00:01:08
♪ Macho yangu haionake, ♪ 00:01:14
00:01:14
♪ Na tena sisikiake. ♪00:01:20
00:01:20
♪ Lakini niko hakika ♪00:01:27
00:01:27
♪ Siku moya taponaka. ♪00:01:33
00:01:33
♪ Wazia ile siku maisha ♪00:01:39
00:01:39
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪00:01:45
00:01:45
♪ Wazia ile siku tutasema: ♪00:01:52
00:01:52
♪ “Aksanti sana Yehova kwa hii uzima.” ♪00:02:00
00:02:14
♪ Na hata kama niko kilema, ♪00:02:21
00:02:21
♪ Kuko siku nitakimbia. ♪00:02:28
00:02:28
♪ Wazia ile siku maisha ♪00:02:33
00:02:33
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪00:02:40
00:02:40
♪ Waza vile tutaimba na kucheza! ♪00:02:47
00:02:47
♪ Hatutahangaika tena. ♪00:02:53
00:02:53
♪ Wazia ile siku maisha ♪00:02:59
00:02:59
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪00:03:07
00:03:07
♪ Wazia ile siku tutasema: ♪00:03:12
00:03:12
♪ “Aksanti Baba kwa uzima.” ♪00:03:37
Wazia ile Siku
-
Wazia ile Siku
♪ Nachoka na hii maisha, ♪
♪ Niko nahangaika tu. ♪
♪ Nawazia ile siku ♪
♪ Maumivu itaisha. ♪
♪ Wazia ile siku maisha ♪
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪
♪ Wazia ile siku tutasema: ♪
♪ “Aksanti sana Yehova kwa hii uzima.” ♪
♪ Macho yangu haionake, ♪
♪ Na tena sisikiake. ♪
♪ Lakini niko hakika ♪
♪ Siku moya taponaka. ♪
♪ Wazia ile siku maisha ♪
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪
♪ Wazia ile siku tutasema: ♪
♪ “Aksanti sana Yehova kwa hii uzima.” ♪
♪ Na hata kama niko kilema, ♪
♪ Kuko siku nitakimbia. ♪
♪ Wazia ile siku maisha ♪
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪
♪ Waza vile tutaimba na kucheza! ♪
♪ Hatutahangaika tena. ♪
♪ Wazia ile siku maisha ♪
♪ Itakuwa ya muzuri sana. ♪
♪ Wazia ile siku tutasema: ♪
♪ “Aksanti Baba kwa uzima.” ♪
-