00:00:12
Unasikia sauti, za ndege wakiimba,00:00:20
00:00:20
Mandhari nzuri ya miti, anga linapendeza sana.00:00:28
00:00:28
Na unawapokea, waliofufuliwa,00:00:36
00:00:36
Paradiso hi’ nzuri, Ipo karibu sana!00:00:44
00:00:49
Unaishi kwenye bonde, au kwenye mlima,00:00:56
00:00:56
Mito ipo kila pande, maji yanatiririka tu.00:01:05
00:01:04
Na chakula shambani, kimejaa tele.00:01:12
00:01:12
Paradiso hi’ nzuri, ipo karibu sana!00:01:21
00:01:21
Ni vizuri, tukumbuke,00:01:25
00:01:25
Tumaini letu zuri;00:01:29
00:01:29
Shida zote zitaisha.00:01:33
00:01:33
Dunia itapendeza.00:01:37
00:01:37
Unasikia sauti, za watu wenye shangwe.00:01:44
00:01:44
Uko na rafiki zako, mkifurahia pamoja.00:01:53
00:01:53
Tutamshukuru sana, Yehova kila siku.00:02:00
00:02:00
Paradiso hi’ nzuri ipo karibu sana!00:02:08
00:02:08
Nitakuwa na furaha, kukuona wewe tena.00:02:17
00:02:17
Ndoto yangu itimie, tena nikukumbatie.00:02:25
00:02:25
Ninasubiri sana, paradiso ifike00:02:32
00:02:32
Ni ahadi ya Yehova, na lazima itatimia.00:02:41
00:02:41
Ninafarijika sana, ninapoikumbuka00:02:48
00:02:48
Dunia paradiso, naisubiri kwa hamu.00:03:17
Paradiso Ipo Karibu Sana
-
Paradiso Ipo Karibu Sana
Unasikia sauti, za ndege wakiimba,
Mandhari nzuri ya miti, anga linapendeza sana.
Na unawapokea, waliofufuliwa,
Paradiso hi’ nzuri, Ipo karibu sana!
Unaishi kwenye bonde, au kwenye mlima,
Mito ipo kila pande, maji yanatiririka tu.
Na chakula shambani, kimejaa tele.
Paradiso hi’ nzuri, ipo karibu sana!
Ni vizuri, tukumbuke,
Tumaini letu zuri;
Shida zote zitaisha.
Dunia itapendeza.
Unasikia sauti, za watu wenye shangwe.
Uko na rafiki zako, mkifurahia pamoja.
Tutamshukuru sana, Yehova kila siku.
Paradiso hi’ nzuri ipo karibu sana!
Nitakuwa na furaha, kukuona wewe tena.
Ndoto yangu itimie, tena nikukumbatie.
Ninasubiri sana, paradiso ifike
Ni ahadi ya Yehova, na lazima itatimia.
Ninafarijika sana, ninapoikumbuka
Dunia paradiso, naisubiri kwa hamu.
-