00:00:13
♪ Ndege wako wanaimba ♪00:00:17
00:00:17
♪ Sauti za muzuri. ♪00:00:21
00:00:21
♪ Unatembea mu shamba ♪00:00:25
00:00:25
♪ Na unafurahia jua. ♪00:00:29
00:00:29
♪ Unashangaa kuona ♪00:00:33
00:00:33
♪ Wenye kufufuliwa. ♪00:00:37
00:00:37
♪ Ni kweli paradiso ♪00:00:41
00:00:41
♪ Iko karibu sana. ♪00:00:46
00:00:49
♪ Unajenga nyumba yako ♪00:00:53
00:00:53
♪ Juu kwenye mulima. ♪00:00:57
00:00:57
♪ Na chini kuko mutoni, ♪00:01:01
00:01:01
♪ Maji mingi iko nashuka. ♪00:01:05
00:01:05
♪ Mashamba iko tayari, ♪00:01:09
00:01:09
♪ Tuende tuivune. ♪00:01:13
00:01:13
♪ Kweli dunia mupya ♪00:01:17
00:01:17
♪ Iko karibu sana. ♪00:01:21
00:01:21
♪ Pamoja na marafiki ♪00:01:25
00:01:25
♪ Tunafurahia sana. ♪00:01:29
00:01:29
♪ Hakuna tena machozi. ♪00:01:33
00:01:33
♪ Dunia inapendeza. ♪00:01:37
00:01:37
♪ Na uko unasikia ♪00:01:41
00:01:41
♪ Harufu ya maua. ♪00:01:45
00:01:45
♪ Unatembelea watu ♪00:01:49
00:01:49
♪ Wale wenye unapendaka. ♪00:01:53
00:01:53
♪ Yehova anatupenda; ♪00:01:57
00:01:57
♪ Na tunamushukuru. ♪00:02:01
00:02:01
♪ Baraka za Yehova ♪00:02:05
00:02:05
♪ Ziko karibu sana. ♪00:02:09
00:02:09
♪ Kila siku nafurahi ♪00:02:13
00:02:13
♪ “Kuiona sura yako!” ♪00:02:17
00:02:17
♪ Ilikuwa kama ndoto ♪00:02:21
00:02:21
♪ Niko nakukumbatia. ♪00:02:25
00:02:25
♪ Na dunia mupya ♪00:02:29
00:02:29
♪ Iko karibu sana. ♪00:02:33
00:02:33
♪ Ni ahadi ya Yehova, ♪00:02:37
00:02:37
♪ Haitakosa kutimia. ♪00:02:41
00:02:41
♪ Na sitavunjika moyo ♪00:02:45
00:02:45
♪ Hata kukuwe nini; ♪00:02:49
00:02:49
♪ Sababu paradiso ♪00:02:53
00:02:53
♪ Iko karibu sana. ♪00:02:58
Iko Karibu Sana
-
Iko Karibu Sana
♪ Ndege wako wanaimba ♪
♪ Sauti za muzuri. ♪
♪ Unatembea mu shamba ♪
♪ Na unafurahia jua. ♪
♪ Unashangaa kuona ♪
♪ Wenye kufufuliwa. ♪
♪ Ni kweli paradiso ♪
♪ Iko karibu sana. ♪
♪ Unajenga nyumba yako ♪
♪ Juu kwenye mulima. ♪
♪ Na chini kuko mutoni, ♪
♪ Maji mingi iko nashuka. ♪
♪ Mashamba iko tayari, ♪
♪ Tuende tuivune. ♪
♪ Kweli dunia mupya ♪
♪ Iko karibu sana. ♪
♪ Pamoja na marafiki ♪
♪ Tunafurahia sana. ♪
♪ Hakuna tena machozi. ♪
♪ Dunia inapendeza. ♪
♪ Na uko unasikia ♪
♪ Harufu ya maua. ♪
♪ Unatembelea watu ♪
♪ Wale wenye unapendaka. ♪
♪ Yehova anatupenda; ♪
♪ Na tunamushukuru. ♪
♪ Baraka za Yehova ♪
♪ Ziko karibu sana. ♪
♪ Kila siku nafurahi ♪
♪ “Kuiona sura yako!” ♪
♪ Ilikuwa kama ndoto ♪
♪ Niko nakukumbatia. ♪
♪ Na dunia mupya ♪
♪ Iko karibu sana. ♪
♪ Ni ahadi ya Yehova, ♪
♪ Haitakosa kutimia. ♪
♪ Na sitavunjika moyo ♪
♪ Hata kukuwe nini; ♪
♪ Sababu paradiso ♪
♪ Iko karibu sana. ♪
-