00:00:01
♪ Pima kuwazia, mbele yako ♪00:00:05
00:00:05
♪ Dunia mupya, hamuna mateso ♪00:00:09
00:00:10
♪ Muko tu furaha ♪00:00:14
00:00:14
♪ Na watoto wako wanacheza. ♪00:00:19
00:00:19
♪ Watu wote wanatii Mungu ♪00:00:24
00:00:24
♪ Na wanahangaikia dunia ♪00:00:28
00:00:28
♪ Yenye inapendeza. ♪00:00:32
00:00:32
♪ Kuko amani na usalama; ♪00:00:37
00:00:39
♪ Tutaona ♪00:00:42
00:00:42
♪ Upendo wa Yehova ♪00:00:47
00:00:47
♪ Mu dunia mupya. ♪00:00:52
00:00:58
♪ Ninatumainia ♪00:01:03
00:01:03
♪ Ile mambo itatimia, ♪00:01:07
00:01:07
♪ Na njo maana sitachoka ♪00:01:11
00:01:11
♪ Ili niingie ♪00:01:15
00:01:16
♪ Mu dunia mupya. ♪00:01:21
00:01:27
♪ Wazia kidogo, nyumba yako ♪00:01:30
00:01:30
♪ Iko pembeni ya mutoni na miti ♪00:01:35
00:01:35
♪ Ao ku mulima. ♪00:01:39
00:01:39
♪ Ni fasi ya muzuri sana ♪00:01:44
00:01:45
♪ Sasa, mupendwa wako, ♪00:01:48
00:01:50
♪ Iko nakuja mbio ili ♪00:01:54
00:01:54
♪ Mukumbatiane. ♪00:01:58
00:01:58
♪ Mulionanaka zamani sana. ♪00:02:03
00:02:04
♪ Wapendwa wetu ♪00:02:08
00:02:09
♪ Watafufuka ♪00:02:13
00:02:13
♪ Mu dunia mupya ♪00:02:18
00:02:24
♪ Ninatumainia, ♪00:02:28
00:02:28
♪ Ile mambo itatimia. ♪00:02:33
00:02:33
♪ Na njo maana sitachoka ♪00:02:36
00:02:36
♪ Ili niingie ♪00:02:41
00:02:41
♪ Mu dunia mupya. ♪00:02:46
00:02:52
♪ Mungu atatimiza ♪00:02:56
00:02:56
♪ Tamaa zenye tuko nazo ♪00:03:01
00:03:01
♪ Tena mapenzi yake ni: ♪00:03:05
00:03:05
♪ Dunia ikuwe paradiso. ♪00:03:10
00:03:39
♪ Ninatumainia, ♪00:03:43
00:03:43
♪ Ile mambo itatimia. ♪00:03:47
00:03:47
♪ Na njo maana sitachoka ♪00:03:51
00:03:51
♪ Ili niingie ♪00:03:56
00:03:56
♪ Mu dunia mupya, ♪00:04:01
00:04:01
♪ Mu dunia mupya, ♪00:04:05
00:04:05
♪ Mu dunia mupya, ♪00:04:10
00:04:10
♪ Mu dunia mupya. ♪00:04:30
Dunia Mupya Yenye Kuja
-
Dunia Mupya Yenye Kuja
♪ Pima kuwazia, mbele yako ♪
♪ Dunia mupya, hamuna mateso ♪
♪ Muko tu furaha ♪
♪ Na watoto wako wanacheza. ♪
♪ Watu wote wanatii Mungu ♪
♪ Na wanahangaikia dunia ♪
♪ Yenye inapendeza. ♪
♪ Kuko amani na usalama; ♪
♪ Tutaona ♪
♪ Upendo wa Yehova ♪
♪ Mu dunia mupya. ♪
♪ Ninatumainia ♪
♪ Ile mambo itatimia, ♪
♪ Na njo maana sitachoka ♪
♪ Ili niingie ♪
♪ Mu dunia mupya. ♪
♪ Wazia kidogo, nyumba yako ♪
♪ Iko pembeni ya mutoni na miti ♪
♪ Ao ku mulima. ♪
♪ Ni fasi ya muzuri sana ♪
♪ Sasa, mupendwa wako, ♪
♪ Iko nakuja mbio ili ♪
♪ Mukumbatiane. ♪
♪ Mulionanaka zamani sana. ♪
♪ Wapendwa wetu ♪
♪ Watafufuka ♪
♪ Mu dunia mupya ♪
♪ Ninatumainia, ♪
♪ Ile mambo itatimia. ♪
♪ Na njo maana sitachoka ♪
♪ Ili niingie ♪
♪ Mu dunia mupya. ♪
♪ Mungu atatimiza ♪
♪ Tamaa zenye tuko nazo ♪
♪ Tena mapenzi yake ni: ♪
♪ Dunia ikuwe paradiso. ♪
♪ Ninatumainia, ♪
♪ Ile mambo itatimia. ♪
♪ Na njo maana sitachoka ♪
♪ Ili niingie ♪
♪ Mu dunia mupya, ♪
♪ Mu dunia mupya, ♪
♪ Mu dunia mupya, ♪
♪ Mu dunia mupya. ♪
-