00:00:15
Umepamba anga lote00:00:19
00:00:19
Kwa nyota zako.00:00:22
00:00:22
Umeumba kwa upendo00:00:25
00:00:25
nuru na giza.00:00:28
00:00:28
Bahari na ulimwengu,00:00:32
00:00:32
Kazi zako Ee Yehova 00:00:35
00:00:35
Hukupa shangwe.00:00:39
00:00:42
Twafurahia ’umbaji,00:00:46
00:00:46
Na kazi ya kuhubiri,00:00:49
00:00:49
Paradiso ijayo.00:00:55
00:00:56
Upendo wako Yehova.00:00:59
00:00:59
Ni hazina ya milele.00:01:03
00:01:03
Wewe ni shangwe yetu00:01:09
00:01:10
Shangwe ya milele.00:01:16
00:01:32
Tumepata kila kitu00:01:36
00:01:36
Kutoka Kwako—00:01:39
00:01:39
Tukichunguza ’umbaji00:01:42
00:01:42
Twafarijika.00:01:45
00:01:45
Umeweka ndani yetu—00:01:49
00:01:49
Tamaa ya umilele,00:01:53
00:01:53
Tuwe na shangwe.00:01:56
00:01:59
Twafurahia ’umbaji,00:02:03
00:02:03
Na kazi ya kuhubiri,00:02:06
00:02:06
Paradiso ijayo.00:02:12
00:02:13
Upendo wako Yehova.00:02:16
00:02:16
Ni hazina ya milele.00:02:20
00:02:20
Wewe ni shangwe yetu00:02:26
00:02:27
Shangwe ya milele.00:02:31
00:02:42
Kwa dhabihu ya Mwana00:02:45
00:02:45
wako tuna shangwe.00:02:49
00:02:49
Alilipia fidia00:02:52
00:02:52
ili tuishi milele.00:02:59
00:02:59
Twafurahia ’umbaji,00:03:03
00:03:03
Na kazi ya kuhubiri,00:03:06
00:03:06
Paradiso ijayo.00:03:13
00:03:13
Upendo wako Yehova.00:03:17
00:03:17
Ni hazina ya milele.00:03:20
00:03:20
Wewe ni shangwe yetu00:03:26
00:03:27
Shangwe ya milele.00:03:32
00:03:34
Twafurahia ’umbaji,00:03:37
00:03:37
Na kazi ya kuhubiri,00:03:40
00:03:40
Paradiso ijayo.00:03:47
00:03:47
Upendo wako Yehova.00:03:51
00:03:51
Ni hazina ya milele.00:03:54
00:03:54
Wewe ni shangwe yetu00:04:01
00:04:01
Shangwe ya milele.00:04:07
Shangwe Yetu ya Milele
-
Shangwe Yetu ya Milele
Umepamba anga lote
Kwa nyota zako.
Umeumba kwa upendo
nuru na giza.
Bahari na ulimwengu,
Kazi zako Ee Yehova
Hukupa shangwe.
Twafurahia ’umbaji,
Na kazi ya kuhubiri,
Paradiso ijayo.
Upendo wako Yehova.
Ni hazina ya milele.
Wewe ni shangwe yetu
Shangwe ya milele.
Tumepata kila kitu
Kutoka Kwako—
Tukichunguza ’umbaji
Twafarijika.
Umeweka ndani yetu—
Tamaa ya umilele,
Tuwe na shangwe.
Twafurahia ’umbaji,
Na kazi ya kuhubiri,
Paradiso ijayo.
Upendo wako Yehova.
Ni hazina ya milele.
Wewe ni shangwe yetu
Shangwe ya milele.
Kwa dhabihu ya Mwana
wako tuna shangwe.
Alilipia fidia
ili tuishi milele.
Twafurahia ’umbaji,
Na kazi ya kuhubiri,
Paradiso ijayo.
Upendo wako Yehova.
Ni hazina ya milele.
Wewe ni shangwe yetu
Shangwe ya milele.
Twafurahia ’umbaji,
Na kazi ya kuhubiri,
Paradiso ijayo.
Upendo wako Yehova.
Ni hazina ya milele.
Wewe ni shangwe yetu
Shangwe ya milele.
-