00:00:04
Naona una hamu
ya kwenda kuhubiri!00:00:07
00:00:07
Unafikiri uko tayari?00:00:09
00:00:10
Subiri kidogo!00:00:11
00:00:11
Kabla ya kwenda,00:00:12
00:00:13
kuna mambo tunahitaji kuzungumzia.00:00:15
00:00:15
Lazima tujifunze M tatu.00:00:18
00:00:19
Eti M tatu?00:00:20
00:00:20
Ndiyo!00:00:21
00:00:21
Matayarisho, mwonekano,
na mwenendo unaofaa.00:00:26
00:00:27
Kwanza, matayarisho.00:00:29
00:00:30
Lazima tujitayarishe vizuri00:00:31
00:00:31
ili tufaulu.00:00:33
00:00:33
Kazi yoyote inahitaji vifaa vinavyofaa.00:00:36
00:00:37
Unapotaka kuhubiri,00:00:38
00:00:38
huenda ukachanganyikiwa00:00:40
00:00:40
kwa sababu kuna vifaa vingi00:00:42
00:00:42
Usiogope!00:00:43
00:00:43
Tuna Sanduku la Vifaa vya Kufundishia.00:00:46
00:00:46
Utapata vifaa unavyohitaji kwa urahisi!00:00:49
00:00:50
Ukishavipata,00:00:51
00:00:51
hakikisha unafanya mazoezi00:00:53
00:00:53
kabla ya kuondoka nyumbani.00:00:54
00:00:55
Usitayarishe
unapobisha mlango wa mtu.00:00:58
00:00:59
Sasa tuzungumzie00:01:01
00:01:01
mwonekano wako.00:01:03
00:01:06
Ni muhimu kuonekana vizuri00:01:08
00:01:08
kwa sababu tunamwakilisha Yehova.00:01:10
00:01:11
Mwonekano wetu unapaswa kuwafanya00:01:13
00:01:13
watu wawe na maoni
yanayofaa kuhusu tunachohubiri.00:01:17
00:01:17
Yehova anataka uwe safi na nadhifu.00:01:20
00:01:20
Yaani, usiwe mchafu00:01:23
00:01:23
na usiwe na harufu mbaya;00:01:26
00:01:27
mavazi yanapaswa kututosha,
lakini yasitubane;00:01:31
00:01:32
nywele zipendeze;00:01:34
00:01:34
na tusijielekezee fikira kupita kiasi00:01:38
00:01:38
Unapendeza mwanangu!00:01:40
00:01:40
Sasa tuzungumzie00:01:42
00:01:42
mwenendo unaofaa.00:01:44
00:01:44
Mwenendo wetu
pia unamletea Yehova utukufu.00:01:48
00:01:49
Hakikisha unajiendesha vizuri.00:01:51
00:01:51
Epuka kuzungumza na kucheka kwa sauti,00:01:54
00:01:54
kuchezacheza,00:01:56
00:01:56
kuharibu mali za wengine,00:01:57
00:01:57
au kuwachungulia.00:01:59
00:02:00
Pia, usile unapokuwa mlangoni.00:02:03
00:02:04
Tunapoenda nyumba kwa nyumba,00:02:05
00:02:05
watu wanatutazama,00:02:07
00:02:07
na mwenendo wetu
mzuri unawatolea ushahidi.00:02:10
00:02:10
Hatutaki kumfanya mtu yeyote00:02:13
00:02:13
aseme mambo
yasiyofaa kuhusu huduma yetu.00:02:16
00:02:16
Sasa naweza kwenda kuhubiri?00:02:18
00:02:18
Ndiyo!00:02:19
00:02:19
Inaonekana uko tayari.00:02:21
00:02:21
Twende tukatumie
hizo M tatu tulizozungumzia.00:02:24
00:02:26
Habari!00:02:27
00:02:27
Ninaitwa Caleb.00:02:28
00:02:28
Wewe unaitwaje?00:02:29
00:02:29
Hujambo, Caleb!00:02:30
00:02:30
Mimi ninaitwa . . .00:02:32
Jiendeshe Vizuri Katika Huduma
-
Jiendeshe Vizuri Katika Huduma
Naona una hamu
ya kwenda kuhubiri!
Unafikiri uko tayari?
Subiri kidogo!
Kabla ya kwenda,
kuna mambo tunahitaji kuzungumzia.
Lazima tujifunze M tatu.
Eti M tatu?
Ndiyo!
Matayarisho, mwonekano,
na mwenendo unaofaa.
Kwanza, matayarisho.
Lazima tujitayarishe vizuri
ili tufaulu.
Kazi yoyote inahitaji vifaa vinavyofaa.
Unapotaka kuhubiri,
huenda ukachanganyikiwa
kwa sababu kuna vifaa vingi
Usiogope!
Tuna Sanduku la Vifaa vya Kufundishia.
Utapata vifaa unavyohitaji kwa urahisi!
Ukishavipata,
hakikisha unafanya mazoezi
kabla ya kuondoka nyumbani.
Usitayarishe
unapobisha mlango wa mtu.
Sasa tuzungumzie
mwonekano wako.
Ni muhimu kuonekana vizuri
kwa sababu tunamwakilisha Yehova.
Mwonekano wetu unapaswa kuwafanya
watu wawe na maoni
yanayofaa kuhusu tunachohubiri.
Yehova anataka uwe safi na nadhifu.
Yaani, usiwe mchafu
na usiwe na harufu mbaya;
mavazi yanapaswa kututosha,
lakini yasitubane;
nywele zipendeze;
na tusijielekezee fikira kupita kiasi
Unapendeza mwanangu!
Sasa tuzungumzie
mwenendo unaofaa.
Mwenendo wetu
pia unamletea Yehova utukufu.
Hakikisha unajiendesha vizuri.
Epuka kuzungumza na kucheka kwa sauti,
kuchezacheza,
kuharibu mali za wengine,
au kuwachungulia.
Pia, usile unapokuwa mlangoni.
Tunapoenda nyumba kwa nyumba,
watu wanatutazama,
na mwenendo wetu
mzuri unawatolea ushahidi.
Hatutaki kumfanya mtu yeyote
aseme mambo
yasiyofaa kuhusu huduma yetu.
Sasa naweza kwenda kuhubiri?
Ndiyo!
Inaonekana uko tayari.
Twende tukatumie
hizo M tatu tulizozungumzia.
Habari!
Ninaitwa Caleb.
Wewe unaitwaje?
Hujambo, Caleb!
Mimi ninaitwa . . .
-