00:00:05
Caleb,00:00:05
00:00:06
ni saa ya kuenda mu mahubiri!00:00:07
00:00:08
Uko tayari?00:00:08
00:00:11
Hauko tayari!00:00:12
00:00:13
Mbele uende mu mahubiri,00:00:15
00:00:15
kuko mambo 3 ya kujua.00:00:17
00:00:19
Mambo 3?00:00:20
00:00:20
Ndiyo!00:00:21
00:00:21
Kujitayarisha,00:00:22
00:00:22
kuwa safi na kuvala muzuri,00:00:24
00:00:24
na kujiendesha muzuri.00:00:26
00:00:27
Kwanza,00:00:27
00:00:28
inaomba kujitayarisha,00:00:29
00:00:29
njo utahubiri muzuri.00:00:32
00:00:33
Kila kazi inaomba vyombo.00:00:35
00:00:36
Juu tuko na vyombo mingi vya mahubiri, inaweza kuwa nguvu kuchagua.00:00:41
00:00:41
Lakini usiogope!00:00:43
00:00:43
Juu tuko na Vyombo vya Kufundishia,00:00:46
00:00:46
haiko nguvu tena kupata vyombo vyenye vinafaa!00:00:49
00:00:49
Kisha kupata vyombo,00:00:51
00:00:51
fanya mazoezi mbele utoke ku nyumba.00:00:53
00:00:54
Mutu hajitayarishiake ku mulango.00:00:57
00:00:59
Vile umejitayarisha,00:01:01
00:01:01
tuzungumuzie sasa jambo la pili:00:01:03
00:01:04
kuwa safi na kuvala muzuri.00:01:06
00:01:06
Inaomba kuwa safi na kuvala muzuri juu tunafanya kazi ya Yehova.00:01:11
00:01:11
Mbele ya kuenda,00:01:12
00:01:13
inaomba kuona kama tuko safi,00:01:15
00:01:16
juu wasituseme mubaya.00:01:18
00:01:18
Yehova anapenda tukuwe safi na tuonekane muzuri.00:01:22
00:01:22
Tuonekane safi,00:01:23
00:01:24
bila harufu ya mubaya;00:01:26
00:01:27
tuvale nguo za kutuenea,00:01:29
00:01:30
zisitubane;00:01:31
00:01:32
nywele zikuwe muzuri,00:01:34
00:01:35
na tusivale nguo za kujionyesha sana.00:01:38
00:01:38
Unapendeza Caleb!00:01:40
00:01:40
Tuzungumuzie sasa jambo ya mwisho:00:01:42
00:01:42
namna ya kujiendesha.00:01:44
00:01:44
Namna tunajiendesha mu mahubiri inaweza kufanya watu wamusifu Yehova.00:01:49
00:01:49
Inaomba kuwa na tabia ya muzuri.00:01:51
00:01:52
Usiseme-seme ao kucheka-cheka,00:01:54
00:01:55
usicheze-cheze00:01:56
00:01:56
usiguse-guse vitu,00:01:58
00:01:58
ao kukosa adabu.00:01:59
00:02:00
Tena, usikulie ku mulango.00:02:03
00:02:04
Wakati tunahubiri nyumba kwa nyumba, watu wanatuona,00:02:08
00:02:08
na tabia yetu ya muzuri inamutukuza Yehova.00:02:11
00:02:12
Tusifanye jambo yenye itafanya watu watuseme mubaya.00:02:16
00:02:16
Naweza enda mu mahubiri sasa?00:02:18
00:02:18
Ndiyo!00:02:19
00:02:19
Sasa uko tayari.00:02:21
00:02:21
Sasa ni wakati ya kutumikisha mambo 3 yenye tuliona.00:02:24
00:02:26
Jambo! Miye njo Caleb! Na Weye?00:02:29
00:02:29
Jambo, Caleb!00:02:30
00:02:30
Miye njo...00:02:32
Ujitayarishe na Ujiendeshe Muzuri mu Mahubiri
-
Ujitayarishe na Ujiendeshe Muzuri mu Mahubiri
Caleb,
ni saa ya kuenda mu mahubiri!
Uko tayari?
Hauko tayari!
Mbele uende mu mahubiri,
kuko mambo 3 ya kujua.
Mambo 3?
Ndiyo!
Kujitayarisha,
kuwa safi na kuvala muzuri,
na kujiendesha muzuri.
Kwanza,
inaomba kujitayarisha,
njo utahubiri muzuri.
Kila kazi inaomba vyombo.
Juu tuko na vyombo mingi vya mahubiri, inaweza kuwa nguvu kuchagua.
Lakini usiogope!
Juu tuko na Vyombo vya Kufundishia,
haiko nguvu tena kupata vyombo vyenye vinafaa!
Kisha kupata vyombo,
fanya mazoezi mbele utoke ku nyumba.
Mutu hajitayarishiake ku mulango.
Vile umejitayarisha,
tuzungumuzie sasa jambo la pili:
kuwa safi na kuvala muzuri.
Inaomba kuwa safi na kuvala muzuri juu tunafanya kazi ya Yehova.
Mbele ya kuenda,
inaomba kuona kama tuko safi,
juu wasituseme mubaya.
Yehova anapenda tukuwe safi na tuonekane muzuri.
Tuonekane safi,
bila harufu ya mubaya;
tuvale nguo za kutuenea,
zisitubane;
nywele zikuwe muzuri,
na tusivale nguo za kujionyesha sana.
Unapendeza Caleb!
Tuzungumuzie sasa jambo ya mwisho:
namna ya kujiendesha.
Namna tunajiendesha mu mahubiri inaweza kufanya watu wamusifu Yehova.
Inaomba kuwa na tabia ya muzuri.
Usiseme-seme ao kucheka-cheka,
usicheze-cheze
usiguse-guse vitu,
ao kukosa adabu.
Tena, usikulie ku mulango.
Wakati tunahubiri nyumba kwa nyumba, watu wanatuona,
na tabia yetu ya muzuri inamutukuza Yehova.
Tusifanye jambo yenye itafanya watu watuseme mubaya.
Naweza enda mu mahubiri sasa?
Ndiyo!
Sasa uko tayari.
Sasa ni wakati ya kutumikisha mambo 3 yenye tuliona.
Jambo! Miye njo Caleb! Na Weye?
Jambo, Caleb!
Miye njo...
-