00:00:10
Ulikuwa usiku wa mwisho wa Yesu00:00:13
00:00:13
pamoja na mitume wake00:00:15
00:00:16
Nyinyi ndio mmeshikamana nami00:00:18
00:00:18
katika majaribu yangu00:00:19
00:00:21
Baada ya muda mfupi00:00:22
00:00:22
Yesu angekamatwa00:00:24
00:00:24
na wanafunzi wangekabili00:00:26
00:00:26
hali ngumu sana00:00:27
00:00:28
nyinyi nyote mtakwazika00:00:30
00:00:30
kuhusiana nami usiku wa leo00:00:32
00:00:32
kwa maana imeandikwa: 00:00:33
00:00:33
“Nitampiga mchungaji, 00:00:35
00:00:35
nao kondoo wa kundi watatawanyika.”00:00:38
00:00:39
Wanafunzi wote wangekimbia00:00:41
00:00:41
na kumwacha Yesu00:00:42
00:00:42
Lakini Petro akasema:00:00:44
00:00:44
“Hata wengine wote00:00:46
00:00:46
wakikwazika kuhusiana nawe,00:00:47
00:00:47
mimi sitakwazika kamwe!”00:00:50
00:00:50
Hongera sana Caleb00:00:52
00:00:52
Petro alifikiri yeye ni mwenye nguvu00:00:54
00:00:54
na wala hatawahi00:00:55
00:00:55
kumhuzunisha Yehova00:00:57
00:00:59
Petro ninakuambia00:01:00
00:01:00
Leo “kabla jogoo hajawika, 00:01:02
00:01:02
utanikana mara tatu.”00:01:05
00:01:07
Ku- ku-ruu!00:01:09
00:01:09
Hapana, ni ku-ku-ru-ruu!00:01:11
00:01:11
Ah-ah, huyo si jogoo00:01:13
00:01:13
Haya basi watoto jambo muhimu00:01:15
00:01:15
si jinsi jogoo anavyowika00:01:17
00:01:17
Mimi sitawahi kumhuzunisha Yehova00:01:20
00:01:21
Mimi pia00:01:22
00:01:22
Tunajua kwamba hamtaki kumhuzunisha . . .00:01:24
00:01:24
. . . lakini Yesu alijua kwamba00:01:26
00:01:26
Petro angeogopa00:01:27
00:01:27
na unapoogopa . . . 00:01:29
00:01:30
Aiyaa! Jamani mmechelewa!00:01:32
00:01:32
Chukueni mfuko wenu00:01:33
00:01:33
ni muda wa kuondoka!00:01:34
00:01:36
Taratibu!00:01:38
00:01:40
-Kwaheri baba
-Kwaheri00:01:42
00:01:42
-Kwaheri mama
-Kwaherini, nawapenda00:01:45
00:02:19
Hodi00:02:21
00:02:23
Nimerudi00:02:25
00:02:26
Watu wako wapi?00:02:27
00:02:30
Amerudi akiwa na huzuni00:02:33
00:02:33
Eti eh?00:02:34
00:02:34
Kuna nini?00:02:35
00:02:42
Caleb00:02:43
00:02:43
We’ mzima?00:02:45
00:02:45
Vipi ikiwa Yehova hataki00:02:48
00:02:48
kuwa rafiki yangu tena?00:02:50
00:02:52
Hm!00:02:53
00:02:54
Yehova anataka kuwa rafiki yako00:02:57
00:02:57
lakini kama ulifanya jambo baya00:02:59
00:02:59
anataka utueleze00:03:01
00:03:03
Sawa00:03:05
00:03:05
Leo shuleni nilikuwa nje uwanjani00:03:09
00:03:50
Caleb00:03:51
00:03:52
Oh! Habari?00:03:53
00:03:53
Uh, nilikuwa tu niki . . .00:03:56
00:03:56
Uh . . .00:03:57
00:03:57
Unaweza kula00:04:00
00:04:00
Subiri! Caleb hawezi kula00:04:02
00:04:02
Haya! Tuambie?00:04:04
00:04:05
Uh . . .00:04:06
00:04:06
Sikuwa nataka kula00:04:08
00:04:08
Nilifikiri Biblia inasema huwezi kula?00:04:11
00:04:11
Uh . . .00:04:12
00:04:12
Inasema . . . 00:04:14
00:04:14
-Inasemaje?
-Uh . . .00:04:16
00:04:16
Sina uhakika00:04:18
00:04:18
Lakini si ulikuja nyumbani kwetu00:04:19
00:04:19
kuzungumza kuhusu Biblia?00:04:21
00:04:21
Kwani umesahau?00:04:22
00:04:24
Uh . . . 00:04:26
00:04:26
Labda huyo alikuwa mtu mwingine00:04:29
00:04:36
Wapi! Ilikuwa wewe lakini unaogopa00:04:40
00:04:48
Hello00:04:50
00:04:50
Siwezi kuzungumza sasa hivi . . .00:04:52
00:04:59
Ah, kweli ulikuwa na siku ngumu00:05:02
00:05:04
Je, unakumbuka Petro00:05:06
00:05:06
aliposema kwamba hatawahi kukwazika?00:05:08
00:05:09
Baadaye usiku huo, Yesu alikamatwa00:05:13
00:05:15
Twende!00:05:17
00:05:28
Petro alimpenda00:05:29
00:05:29
na alitaka kumsaidia00:05:31
00:05:45
Lakini kufanya jambo linalofaa00:05:47
00:05:47
si rahisi nyakati zote00:05:49
00:05:56
Wewe! Hata wewe
ulikuwa na Yesu Mgalilaya!00:06:00
00:06:01
Ah, sijui unachosema00:06:04
00:06:12
Subiri!00:06:13
00:06:14
Huyu ni mmoja wao!00:06:15
00:06:19
Simjui mtu huyo!00:06:21
00:06:37
Wewe!00:06:38
00:06:38
Wewe ni mfuasi wa Yesu!00:06:40
00:06:40
Nilikuona katika bustani00:06:41
00:06:41
pamoja naye, sivyo?00:06:42
00:06:44
Ninaapa simjui mtu huyo00:06:47
00:07:28
Petro alijua jambo sahihi la kufanya00:07:32
00:07:32
Lakini aliogopa00:07:33
00:07:33
kwa hiyo akakosea00:07:35
00:07:42
Ni kama tu shuleni00:07:44
00:07:48
Ndiyo00:07:49
00:07:50
Petro hakutaka00:07:51
00:07:51
kurudia kosa hilo tena kamwe00:07:53
00:07:54
Lakini alijiuliza ikiwa Yesu na Yehova00:07:57
00:07:57
bado wangekuwa rafiki zake00:08:00
00:08:16
Baada ya Yesu kufufuliwa00:08:18
00:08:18
alizungumza na Petro00:08:20
00:08:21
Simoni, mwana wa Yohana00:08:24
00:08:24
Je, unanipenda?00:08:26
00:08:26
Ndiyo00:08:27
00:08:27
Bwana00:08:28
00:08:28
unajua ninakupenda00:08:30
00:08:32
Yesu alimsamehe00:08:34
00:08:35
Yehova pia alimsamehe00:08:37
00:08:37
Lakini Petro alipaswa kwanza00:08:39
00:08:39
kuongea na Yesu00:08:40
00:08:40
Wewe ukimkasirisha Yehova00:08:42
00:08:42
unafikiri unapaswa kufanya nini?00:08:45
00:08:45
Kusali kwa Yehova00:08:47
00:08:47
Kweli kabisa00:08:49
00:08:49
Unahitaji kusali uombe msamaha00:08:52
00:08:53
Na Yesu alimwonyesha Petro00:08:54
00:08:54
kwamba amesamehewa00:08:56
00:08:56
kwa kumpa kazi zaidi00:08:58
00:08:58
Chunga kondoo wangu wadogo00:09:01
00:09:09
Kwa hiyo Petro alipokosea00:09:11
00:09:11
kwa nini hakukata tamaa?00:09:13
00:09:13
Kwa sababu Yehova husamehe00:09:16
00:09:16
Njooni niwaambie!00:09:18
00:09:26
Aiyaa!00:09:27
00:09:28
Lazima niwaeleze kuhusu00:09:29
00:09:29
siku za kuzaliwa00:09:30
00:09:30
Utanisaidia?00:09:31
00:09:32
Bila shaka.00:09:34
Yehova Husamehe
-
Yehova Husamehe
Ulikuwa usiku wa mwisho wa Yesu
pamoja na mitume wake
Nyinyi ndio mmeshikamana nami
katika majaribu yangu
Baada ya muda mfupi
Yesu angekamatwa
na wanafunzi wangekabili
hali ngumu sana
nyinyi nyote mtakwazika
kuhusiana nami usiku wa leo
kwa maana imeandikwa:
“Nitampiga mchungaji,
nao kondoo wa kundi watatawanyika.”
Wanafunzi wote wangekimbia
na kumwacha Yesu
Lakini Petro akasema:
“Hata wengine wote
wakikwazika kuhusiana nawe,
mimi sitakwazika kamwe!”
Hongera sana Caleb
Petro alifikiri yeye ni mwenye nguvu
na wala hatawahi
kumhuzunisha Yehova
Petro ninakuambia
Leo “kabla jogoo hajawika,
utanikana mara tatu.”
Ku- ku-ruu!
Hapana, ni ku-ku-ru-ruu!
Ah-ah, huyo si jogoo
Haya basi watoto jambo muhimu
si jinsi jogoo anavyowika
Mimi sitawahi kumhuzunisha Yehova
Mimi pia
Tunajua kwamba hamtaki kumhuzunisha . . .
. . . lakini Yesu alijua kwamba
Petro angeogopa
na unapoogopa . . .
Aiyaa! Jamani mmechelewa!
Chukueni mfuko wenu
ni muda wa kuondoka!
Taratibu!
-Kwaheri baba
-Kwaheri
-Kwaheri mama
-Kwaherini, nawapenda
Hodi
Nimerudi
Watu wako wapi?
Amerudi akiwa na huzuni
Eti eh?
Kuna nini?
Caleb
We’ mzima?
Vipi ikiwa Yehova hataki
kuwa rafiki yangu tena?
Hm!
Yehova anataka kuwa rafiki yako
lakini kama ulifanya jambo baya
anataka utueleze
Sawa
Leo shuleni nilikuwa nje uwanjani
Caleb
Oh! Habari?
Uh, nilikuwa tu niki . . .
Uh . . .
Unaweza kula
Subiri! Caleb hawezi kula
Haya! Tuambie?
Uh . . .
Sikuwa nataka kula
Nilifikiri Biblia inasema huwezi kula?
Uh . . .
Inasema . . .
-Inasemaje?
-Uh . . .
Sina uhakika
Lakini si ulikuja nyumbani kwetu
kuzungumza kuhusu Biblia?
Kwani umesahau?
Uh . . .
Labda huyo alikuwa mtu mwingine
Wapi! Ilikuwa wewe lakini unaogopa
Hello
Siwezi kuzungumza sasa hivi . . .
Ah, kweli ulikuwa na siku ngumu
Je, unakumbuka Petro
aliposema kwamba hatawahi kukwazika?
Baadaye usiku huo, Yesu alikamatwa
Twende!
Petro alimpenda
na alitaka kumsaidia
Lakini kufanya jambo linalofaa
si rahisi nyakati zote
Wewe! Hata wewe
ulikuwa na Yesu Mgalilaya!
Ah, sijui unachosema
Subiri!
Huyu ni mmoja wao!
Simjui mtu huyo!
Wewe!
Wewe ni mfuasi wa Yesu!
Nilikuona katika bustani
pamoja naye, sivyo?
Ninaapa simjui mtu huyo
Petro alijua jambo sahihi la kufanya
Lakini aliogopa
kwa hiyo akakosea
Ni kama tu shuleni
Ndiyo
Petro hakutaka
kurudia kosa hilo tena kamwe
Lakini alijiuliza ikiwa Yesu na Yehova
bado wangekuwa rafiki zake
Baada ya Yesu kufufuliwa
alizungumza na Petro
Simoni, mwana wa Yohana
Je, unanipenda?
Ndiyo
Bwana
unajua ninakupenda
Yesu alimsamehe
Yehova pia alimsamehe
Lakini Petro alipaswa kwanza
kuongea na Yesu
Wewe ukimkasirisha Yehova
unafikiri unapaswa kufanya nini?
Kusali kwa Yehova
Kweli kabisa
Unahitaji kusali uombe msamaha
Na Yesu alimwonyesha Petro
kwamba amesamehewa
kwa kumpa kazi zaidi
Chunga kondoo wangu wadogo
Kwa hiyo Petro alipokosea
kwa nini hakukata tamaa?
Kwa sababu Yehova husamehe
Njooni niwaambie!
Aiyaa!
Lazima niwaeleze kuhusu
siku za kuzaliwa
Utanisaidia?
Bila shaka.
-